word,pos,definition c,noun,ufupisho wa alternating current: mkondo geu wa umeme abandon,verb transitive,"1. acha; tupa; telekeza ~ hope, kata tamaa" abbreviate,verb transitive,fupisha (hadithi au neno). e.g. Mon. kwa Monday; Mr. kwa Mister abdomen,noun,tumbo abdominal,adjective,"a tumbo; abdominal pains maumivu ya tumbo, fumbatio" abduct,verb transitive,"chukua, iba kwa hila au kwa nguvu; teka nyara" Abelian,adjective,"-enye kuhusiana na mtaalamu wa hisabati wa Norway, Niels H. Abel (1802-1829). Abelian group (maths.) kundi la mambari lenye kufuata kanuni ya nadharia ya Abel e.g. $2 \times 3 = 3 \times 2$" ability,noun,"1. uwezo; utendaji jambo vyema. a man of great ~, mtu mwenye uwezo mwingi. 2. (pl.) ustadi" abiotic,adjective,kisichokuwa hai; -enye kuhusiana na vitu visivyokuwa hai able,adjective,1. -enye uwezo; hodari. 2. -enye akili nyingi; stadi. ably able,adverb,kwa ustadi abnormal,adjective,-sio ya kawaida au desturi; -siyo tazamiiwa; mlemavu. -ity n. ulemavu abolish,verb transitive,ondoa kabisa abolition,noun,"utaji tamati wa jambo, mfumo au muundo fulani" abominable,adjective,a kuchukiza mno. abominate abominable,verb transitive,chukiza mno. kirihi aborigine,noun,"wazawa asilia; watu wa asili wa nchi, mfano wa watu wa Australia kabla ya majilio ya wakoloni wa Kiingereza" abort,verb transitive,haribu mimba abortion,noun,mimba iliyoharibika; mimba iliyotolewa kabla wakati wa kuzaa haujafika. abortive abortion,adjective,-liyotokea kabla ya wakati ufaao; -liyoharibika abound,verb intransitive,1. -wa -ingi. 2. jaa tele about,adverb,karibu abreast,adverb,"(kwa watu, mashua, magari, etc.) sambamba; bila ya kutangulia wala kufuata nyuma kuelekea upande mmoja. keep ~ of the times, enda na wakati" abridge,verb transitive,"fupisha; fanya muhtasari wa maneno, hotuba au maandishi" abroad,adverb,1. nchi za nje; nga'mbo; ughaibuni. 2. kwa kuenea kila mahali abrupt,adjective,"1. -a ghafla; siyotazamiiwa. 2. (kwa kusema, kwa kuandika, kwa tabia) -a haraka; pasipo adabu" abscess,noun,jipu; uvimbe absent,adjective,(be) kutokuwepo; adimika. He is ~. hayupo absent,verb transitive,absent oneself from kutokuja au kutohudhuria kwa makusudi. minded absent,adjective,-sahaulifu absolute,adjective,"1. kamili; halisi. 2. -tupu, pasina kiasi wala mipaka. - zero, sifuri halisi: halijoto ya chini ambapo hali ya mata ni bwete kabisa" absorb,verb transitive,"1. -la; meza. 2. shugulisha sana; vutia macho, akili, au mawazo: -ed in a book, zama sana katika kusoma kitabu hata kutofikiria mambo mengine" abstain,verb intransitive,(from) jinyima; epukana na abstinence,noun,"hali ya kujizuia kufanya jambo, e.g. kula, kunywa, etc.; hali ya kufunga. total abstinence, kuacha kabisa ulevi" abstract,adjective,-a kuwazika tu; dhahania; jambo la kuwazika tu; lisiloweza kushikika; etc abstract,noun,muhtasari abstract,verb transitive,toa; katika; tenga absurd,adjective,-a upuuzi; -a kuchekesha; -a dhahiri kuwa si kweli wala kuelekea kuwa kweli abundance,noun,wingi; tele; maridhawa. abundant abundance,adjective,tele abuse,noun,"1. matumizi mabaya; kutendea vibaya. 2. matusi, desturi mbaya isiyokuwa ya haki" abuse,verb transitive,tumia vibaya; tenda vibaya; tukana; shutumu. abusive abuse,adjective,-a kutukana abyss,noun,shimo kubwa la kwenda chini sana; shimo la maangamizi acacia,noun,mti ambao utomvu wake ni buhuri uitwayo ubani academy,noun,chuo; taasisi accede,verb intransitive,1. (to) kubali; ridhi. 2. fika mahali; rithi cheo. When did he ~ to the throne? alirithi lini ufalme? accelerate,verb transitive/intransitive,zidhisha mbio au mwendo; himiza; zidi mwendo acceleration,noun,mchapuko: kima cha badiliko la kasi mwelekeo kwa muda maalumu. accelerator acceleration,noun,chombo au mashine kinachozidisha mwendo accent,noun,1. (katika kusema) mkazo wa sauti. 2. alama ya mkazo; shadda. 3. lafudhi ya kawaida ya jamii ya watu accent,verb transitive,kaza; tia alama ya mkazo accept,verb transitive,kubali; pokea access,noun,"njia ya kuingilia; mlango; ongezeko; ziada. easy of ~, rahisi sana kufikika" accessory,noun,"ongezeko lenye kufaa lakini si la asili. accessories of a bicycle (e.g. taa, bomba, etc.)" accident,noun,tukio; bahati; jambo la hatari; ajali acclaim,verb transitive,pokea kwa shangwe na vigelegele; shangilia acclamation,noun,vigelegele; vifijo acclimatize,verb transitive,zoeza tabia na hali ya hewa ya ugenini accommodate,verb transitive,1. weka; pangisha chumba au vyumba. 2. tengeneza; rekebisha accommodating,adjective,-enye hisani; karimu; -pole. accommodation accommodating,noun,makazi accompany,verb transitive,fuatana na; sindikiza accomplice,noun,msaidizi au rafiki katika tendo baya accomplish,verb transitive,timiza; fanya; maliza; tekeleza; faulu; weza accord,noun,"mapatano (eg. baina ya nchi mbili). of one's own ~ kwa hiari yake. v.t./ti toa; ~pa - a hearty welcome (to), karibisha vizuri; patana na; lingana na" account,verb transitive/intransitive,"1. -for, toa hesabu ya; eleza hesabu ya; hesabu kadiri (fedha au mali). 2. chukua" account,noun,"1. hesabu; idadi. on ~ kulipa sehemu au ajili; sababu. on no (not on any) ~ sivyo; hapana kabisa; hasha. on this ~, kwa sababu hii. 4. thamani; faida; makuu. of no ~, siofaa hata kidogo. take into ~, dhani; take no ~ of, toaangalia; on one's own ~ kujisaidia -enywe" accumulate,verb transitive/intransitive,kusanya; limbika; lundika; dunduliza. accumulation accumulate,noun,mkusanyiko; mlundikano; akiba; wingi accuracy,noun,usahihi accurate,adjective,sahihi; barabara accusation,noun,lawama; usutaji; mashtaka; shutuma accuse,verb transitive,"shtaki; laumu; shutumu; suta. the ~d, mshtakiwa" accustom,verb transitive,"zoeza. oneself, jiozeza" ace,noun,"ree, yaani karata ya kucheza yenye ng'anda moja. within an ~ off, karibu sana" acetate,noun,asiteti; chumvi ya asidi aseti. acetic acetate,adjective,"-enye kuhusiana na asidi aseti. acetic acid, asidi asetiki" acetone,noun,asetoni; kioevu kisichokuwa na rangi chenye kuwaka kwa urahisi kina chotumiwa kama kimumunyishaji kwa ajili ya rangi na vanishi acetylene,noun,asetilini; gesi isiyokuwa na rangi inayotumiwa kukatia metali ache,noun,maumivu yanaoendelea ache,verb intransitive,-uma kwa maumivu yanayoendelea achieve,verb transitive,maliza; faulu; isha; pata acid,noun,asidi; tindikali acknowledge,verb transitive,"1. kubali; kiri; ungama. 2. julisha habari ya kuwa kitu kimewasili. He is ~d to be an expert on this subject, amekubaliwa kuwa ni stadi katika somo hili" acoustic,adjective,-a kuhusu uwezo wa kusikia acquaint,verb transitive,"julisha; fahamiana na; pasha habari. be ~ed with someone, jua jina na mtu fulani" acquire,verb transitive,pata; jipatia kwa akili au kwa jitihada acquisition,noun,1. kupata 2. pato; yaliyopatikana kwa bidii au kwa bei kubwa; tunu acquisitive,adjective,-enye nia ya kupata acquit,verb transitive,(-tt-) 1. hukumu kuwa mtu hana hatia katika jambo aliloshtakiwa; acha huru. 2 acrobat,noun,mwana-sarakasi anayetumia viungo vya mwili kama vile kutataga kamba iliyonyooshwa kwenye nguzo mbili etc act,verb transitive/intransitive,tenda; fanya; cheza; jifanya; igiza; as. wakilisha; kaimu. ~ a kufaa; ~ a kutumika. on ~ service (kwa askari) aliyekwenda kupigania vita. 3. ~ voice (grammar) kauli ya kutenda action,noun,mnada actual,adjective,hasa; kweli; uliopo; halisi; hakika acute,adjective,"1. (kwa maumivu, etc.) kali. 2. - a akili. an ~ brain, akili kali. an ~ observer, mwenye macho makali (yasiyopitwa na kitu). 3. (kwa ugonjwa) kali. 4" adapt,verb transitive,tengeneza; badili; rekebisha; geuza ili kufaa kusudi fulani add,verb transitive/intransitive,jumlisha; ongeza; ongezeka adder,noun,"namna ya nyoka mdogo mwenye sumu. puff ~, swila; kifutu" addict,verb transitive,"-ed to (kwa watu) -enye kushiriki, zoea, pendelea (hasa ubaya, e.g. madawa ya kulevya)" addict,noun,"mtu mteoefu (hasa kwa ulevi, desturi mbaya)" address,verb transitive,1. andikia; tia anwani. 2. hutubia adequacy,noun,hali ya kutosha au kufaa; kifaifu adequate,adjective,-a kutosha; sawa; -a kukifu adhere,verb transitive,1. ambata; nata; kuganda. 2. fuata; shika madhehebu adhesion,noun,kunata; ufuasi. adhesive adhesion,adjective,-a kunata; -a kuganda adjacent,adjective,-a karibu; -a jirani; -a kupakana adjective,noun,kivumishi; neno liongezalo maana ya jina; sifa adjoin,verb intransitive,pakana na; tangamana na; ungana na adjourn,verb transitive/intransitive,weka; ahirisha; chelewesha mpaka siku nyingine. -ment n. uahirisho adjudicate,verb transitive/intransitive,amua; toa hukumu kama hakimu adjudication,noun,hukumu adjust,verb transitive,panga; tengeneza; rekebisha. -ment n. rekebisho; upatanisho administer,verb transitive,"1. tawala; simamia; amirisha shamba. 2. amuru. 3. -pa; toa. - an oath to sb, apisha mtu. - medicine, -pa dawa" administration,noun,1. utawala; uongozi; usimamizi. 2. serikali ya nchi. administrative administration,adjective,-enye kuhusu utawala administrator,noun,mtu anayesimamia au kuangalia kazi; mtawala; kiongozi admirable,adjective,-zuri; bora; -a kupendeza admirably,adverb,vizuri; barabara admiral,noun,jemadari mkuu wa mabaharia wa manowari admire,verb transitive,husudu; penda; sifu. admiration admire,noun,kuhusuud kwema; sifa admit,verb transitive/intransitive,"(-tt-) 1. ruhusu kuingia; ingiza. - sb. into a house, ruhusu mtu kuingia nyumbani; pitisha. windows to - light and air, madirisha ya kupitishia mwanga na hewa. 2. kiri; ungama; kubali. - of, -cha nafasi kwa. It -s of no doubt, hakuna shaka hata kidogo. admissible" admit,adjective,-a kukubali; -a kufaa; -a halali. admission admit,noun,"1. ruhusa ya kuingia. admission free, kiingilio bure. 2. neno lililokiriwa (kuungamwa, kukubaliwa). -tance n. ruhusa ya kuingia. No except on business, hapana kuingia bila shughuli" admonish,verb transitive,onya; gombeza; rudi; karipia; kemea admonition,noun,onyo la upole adolescence,noun,ujana adopt,verb transitive,"1. kumlea mtoto kwa kumfanya kama uliyemzaa; fanya mtoto wa kupangia. 2. fuata au kutumia desturi, fikira, itikadi za mtu mwingine. adoption" adopt,noun,uleaji mtoto adore,verb transitive,penda mno; husudu; abudia. adorable adore,adjective,enye kustahiki kupendwa mno au kuabudiwa. adoration adore,noun,kupenda mno; kuabudiaji adorn,verb transitive,pamba; remba. -ment n. urembo; pambo adrenal,noun,adrenali adrenalin,noun,"adrenalin; homoni itokanayo na tezi adrenali yenye kazi ya kurekebisha kiasi cha sukari na chumvi katika damu, pia husisimua mwili" adulterate,verb transitive,ghushi; haribu. adulteration adulterate,noun,ughushi; kughushi; kuharibu adultery,noun,uzinzi; zinaa advantage,noun,"heri; faida; nafuu. take - of, tumia (vizuri au vibaya), punja, shibulia, laghai. turn to -, tumia ili kujipatia faida. seen to -, onekana vizuri. to the - of, ili kuleta faida. -ous adj. -a kufaa; -a kuleta faida" advent,noun,majilio; ujio: muda wa wiki nne kabla ya sikukuu ya krismasi adventure,noun,safari au jambo la kushangaza au la hatari; vituko; visa adventurous,adjective,-a ujasiri; -enye hatari adverb,noun,"kielezi; neno linaloonyesha maana ya kitenzi, kivumishi, au kielezi" adversary,noun,adui; hasimu; mpinzani. adverse adversary,adjective,-a uadui; -a hasama; -a utesi; -a ushindani; -a upinzani adversity,noun,shari; msiba; jambo baya; taabu; mateso; shida; hasara; dhiki; maafa; mashuhibu advice,noun,ushauri; nasaha advisable,adjective,-a busara; afadhali; heri; yenye busara advise,verb transitive,"onya; shauri; shawishi; asa; nasihi; arifu; julisha. ill- -d, si -a akili. well- -d, -a busara" advocate,noun,mwombeaji; mteteaji; wakili advocate,verb transitive,tetea; ombea adze,noun,tezo; chetezo aerate,verb transitive,tia gesi ya asidi kabonia au nyingine aerial,noun,eria; erio: kifaa cha kupokelea mawasiliano ya redio au televisheni aerial,adjective,-a angani aerobic,adjective,"erobiki: enye kuhitaji oksijini ili kuishi. respiration, uvutaji pumzi unaotokea ndani ya seli na kutoa nishati kwa kutumia oksijeni; mazoezi ya viungo" aerodynamics,noun,elimu mwendo anga; misonge anga; sayansi ya hewa na jinsi inavyoathiri mwendo wa vyombo vinavyoruka angani affable,adjective,-pole; -kunjufu; enye utu mwema. affability affable,noun,upole; ukunju; jamala affair,noun,"1. jambo; shughuli; kazi; kadhia. It is not your ~, hayakuhusu. 2. -s (pl.) mambo; kazi; shughuli" affect,verb transitive,"1. geuza; badili; athiri. Our position will not be -ed by these events, msimamo wetu hautaathirika kwa matukio haya. 2. vutia. -ing adj. -a kuvutia sana. -ing scenes, matukio ya kusisimua sana" affect,verb transitive,"jifanya; jisingizie; jidai. ignorance, jisingizia ujinga" affection,noun,1. upendo; mapenzi; hubu; shauku. 2. ugonjwa; uele; maradhi. -ate adj. enye moyo wa kupenda affinity,noun,uhusiano; ujamaa; udugu; ukoo; ufananaaji; mvuto affirm,verb transitive,thibitisha; yakinisha. -ation n. uthibitisho afflict,verb transitive,umiza; tesa; huzunisha; dhuru; onea; dhulumu; sumbua; udhi; adhili affluence,noun,utajiri affluent,adjective,tajiri afford,verb transitive,1. weza. 2. -pa; toa afraid,adjective,(be) ogopa; hofu; tishika afresh,adverb,tena; upya aft,adverb,-a nyuma; karibu sana au kuelekea tezi ya chombo after,adverb,baadaye; halafu; afternoon,noun,alasiri afterwards,adverb,baadaye; hatimaye; mwishowe; halafu again,adverb,tena; mara ya pili against,preposition,dhidi ya; juu ya; kushindana na; kukabili; karibu na. provide hunger: weka akiba dhidi ya njaa agar,noun,agaa: dutu inayofanana na jelatini ipatikanayo kwenye mwani mwekundu inayohusiana kikemikali na kabohidrati age,noun,"umri; zama; enzi. come (be) of ~, kua, baleghe. the stone age, enzi ya zana za mawe. 1. (colloq.) muda mrefu. We've been waiting for ~s, tumengoja muda mrefu. -d adj. enye umri wa. a boy ~ five, mtoto wa umri wa miaka 2. an ~ man, mzee" agency,noun,kazi au ofisi ya wakala; uwakala agenda,noun,ajenda: orodha ya mambo yaliyokusudiwa kujadiliwa katika mkutano agent,noun,"wakala wa mtu au shirika. house ~, wakala wa nyumba. shipping or forwarding ~, wakala wa meli au wa kusafirisha bidhaa" aggravate,verb transitive,kuza athiri zaidi aggression,noun,shambulio; chokochoko; uchokozi unaoweza kusababisha vita aggressive,adjective,"gomvi, shari, enye kutaka maendeleo ya haraka. aggressor /n. mgomvi mshari; mchokozi" aggrieve,adjective,"dhuru; athiri udhi; tia uchungu; sikitisha. feel -d, hisi kuwa umetendewa vibaya" agile,adjective,-epesi wa mwendo. agility agile,noun,wepesi wa mwendo agitate,verb transitive/intransitive,"tikisatikisa; koroga; harakisha; for, chochea" ago,adverb,"zamani. a little while ~, punde hivi; ten days ~, siku kumi zilizopita" agony,noun,uchungu; maumivu makali. agonizing agony,adjective,a kuumiza sana agree,verb transitive,patana; kubaliana; ridiliana; afikiana agriculture,noun,kilimo; ukulima; elimu ya kilimo agrochemical,noun,kemikali inayotumika katika shughuli za kilimo aid,verb transitive/noun,saidia; auni; msaada AIDS,noun,(ufupisho wa Acquired Immune Deficiency Syndrome) maradhi ya ukosefu wa kinga mwilini (UKIMWI) yanayosababishwa na virusi vinavyoambukizwa hususan kwa njia ya kujamiiana ail,verb transitive/intransitive,ugua; umwa; gonjwa; taabika; sumbuliwa. What -s him? anaumwa na nini? ~ment ail,noun,ugonjwa aim,verb transitive/intransitive,1. tunga shabaha; lenga. 2. kusudia; taka; tamani; azimu aim,noun,shabaha; kusudi; nia; azma air,noun,1. hewa; anga; upepo. 2. by ~ kwa ndege air,adjective,"(kwa ndege) - lioanza kuruka hewani; (kwa watu, askari etc.) liosafirishwa kwa ndege" aisle,noun,"njia baina ya safu za viti, hasa kanisani kwa maraferi" alarm,noun,1. kamsa: indhari; tahadhari: sauti au dalili ya kuashiria kuwepo kwa hatari karibu; king'ora cha kuonyea watu. ~clock: saa yenye kengele. 2. hofu; wasiwasi; mshtuko alarm,verb transitive,piga king'ora; toa indhari; hadharisha albino,noun,zeruzeru album,noun,"albamu: kitabu cha kuhifadhi picha, etc" alchemist,noun,mkemia aliyeishi mnamo karne ya 12 na 17 aliyejaribu kugeuza metali za msingi kuwa dhahabu au dawa ya uhai wa milele alcohol,noun,1. alkoholi; pombe. 2. (chem.) jamii ya vitu vyenye alkoholi ale,noun,aina ya pombe nyepezi alert,adjective,-epesi; -a tayari; -a macho; makini alga,noun,mwani algae,noun,mwani: aina ya mimea inayoshii majini yenye kemikali ya klorofili ambayo haina mfumo changamano wa uzazi pia hufanya usanisinuru algebra,noun,aljebra: hesabu zinazotumia herufi na alama nyingine badala ya tarakimu alibi,noun,kisingizio cha kudai kuwa mtu anayestakiwa kwa kosa fulani hakuwepo wakati kosa lilipotendeka alien,adjective,"1. -geni. 2. -to, enye tabia zisizokuwasawa na mgeni" alight,adjective,"(be) waka; ng'aa; meta; metemete. (fig.) face(s) ~ with happiness, -enye uso unaong'aa furaha" alight,verb intransitive,"shuka; teremka; tua. The bird -ed on a branch, ndege alitua juu ya tawi" align,verb transitive,weka au panga katika mstari ulio sawa alike,adjective,sawasawa; -enye kufanana aliment,noun,chakula alive,adjective,"1. -zima; hai. 2. be ~ to, tambua; ona; angalia; jua" alkali,noun,alkali: kemikali inayoyeyuka kwenye maji na kuteza nguvu ya asidi na hivyo kutengeneza chumvi alkaloid,noun,alkaloidi: namna ya kemikali kali yenye asili ya kemikali za miti kama vile muarobaini alkane,noun,"alkani: jina la misombo yenye muungo mara dufu au zaidi. kama mitheni, itheni na propeni" alkene,noun,alkeni: jina la misombo yenye muungo mara dufu au zaidi. e.g. ethiilini na propini alkyd,noun,aina ya rezini sanisia zinazotengenezwa kwa asidi na alkoholi alkyl,adjective,-enye kutokana na alkani alkyne,noun,aina ya hidrokarboni ya fungu la asetilini all,adjective,ote all,adverb,"pia; kabisa. at - hata kidogo. (colloq.) He is - there, yu mapema; tayari" all,pronoun,-ote allegation,noun,madai; ushahidi; hoja allege,verb transitive,"toa hoja; toa shtutuma; dai kuwa jambo ni kweli - that sb. is a thief, dai kuwa fulani ni mwizi" allegiance,noun,utiifu; umpasao raia kwa mtawala wa nchi allele,noun,"alele: mojawapo ya jeni yenye muundo mabadiliko baada ya kubadilika kimaumbile, huwepo katika sehemu moja mahsusi katika chembeuzi na hivyo kuathiri urithishaji" allergy,noun,"mzio: hali ya kudhuriwa na kitu kwa kukila, kukigusa au kukinusa" alleviate,verb transitive,ondoa; tuliza; punguza; nyamazisha ukali wa maumivu alley,noun,njia ndogo katika mji; kichocho alliance,noun,ushirikiano; muungano alligator,noun,namna ya mamba ambao hupatikana sana Marekani alliteration,noun,utoleaji wa sauti au herufi zinazofanana mwanzoni mwa maneno mengi eg. kitu kikubwa kilichoanguka kilikatika allocate,verb transitive,gawanya allocation,noun,mgao allot,verb transitive,(tt) gawanya. -ment n. mgao hasa wa kipande cha shamba au kikataa allotrope,noun,umbo mojawapo miongoni mwa maumbo mengi ya elementi moja allotropy,noun,"kuwepo kwa maumbo zaidi ya moja ya elementi ya kemikali katika hali moja, hasa gesi" allow,verb transitive/intransitive,"1. ruhusu. Smoking is not -ed, hairuhusiwi kuvuta sigara. 2. kubali kutoa (fedha, nafasi). - a child thousand shillings a week, kumpa mtoto shilingi elfu kwa wiki. 3. - for kumbuka na kuweka tayari; acha nafasi ya kutosha. -ance n. posho. -ee n. for, chukua. We must make - for this youth, inatupasa tumchukulie kwa vile ni kijana" alloy,noun,mchanganyiko wa alluvial,adjective,a matope ya mito alluvium,noun,matope yaliyo­sombwa na kuachwa na maji ya mto almighty,adjective,"-enye nguvu zote. The ~ God, Mwenyezi Mungu" almost,adverb,karibu sana; nusura; takriban aloud,adverb,kwa sauti kubwa; kwa makelele alpha,noun,herufi ya kwanza ya alfabeti ya Kiyunani alphabet,noun,"alfabeti; abjadi; herufi za lugha zilizopangwa katika utaratibu wa kawaida, yaani a, b, ch, d, etc" alpine,adjective,-a kuhusu milima ya Alps au milima mirefu already,adverb,"tayari. It is done ~, tayari imekwishafanyika" also,adverb,na; tena; vilevile; pia; aidha altar,noun,"1. madhabahu; altari. lead a woman to the ~, kuoza. 2. (katika kanisa la kikristo) meza panapotole­wa ushirika mtakatifu" alter,verb transitive/intransitive,badili; geuza; badilika; geuka altercation,noun,ugomvi; ubishani wa maneno makali; mzozo alternate,adjective,"-a zamu kwa zamu; a moja baada ya nyingine. They met on ~ days, walikutana kila baada ya siku moja" alternate,verb transitive/intransitive,"1. (kwa vitu vya namna mbili) kuja, fanya, tia, panga kwa zamu; badili (kitu kimoja) kwa kingine. Wet days ~d with sunny days, siku za mvua zilipishana na siku za jua" alternative,adjective,-a kuchagua baina ya vitu viwili alternative,noun,"hiari ya mambo mawili; uwezekano mwingine. I had to go; there was no alternative, ilini­lazimu kwenda kwani sikuwa na njia nyingine" alternator,noun,kigeuzi: chombo kinachogeuza umeme kutoka mkondo mmoja kwenda mkondo mwingine although,conjunction,japokuwa; ingawa; juu ya hayo altitude,noun,urefu wa kwenda juu; kimo altogether,adverb,"1. pamoja; kwa jumla. I will take them ~, nitavichukua kwa pamoja. 2. hasa; kabisa. It's untrue, ni uongo kabisa" aluminium,noun,alumini: metali nyepesi kama fedha inayotumiwa kusafirisha umeme kwenye njia kuu; metali itengenezwayo vyombo kama masufuria alveolus,noun,kijiribahewa: kifuko kidogo cha hewa amalgamate,verb transitive/intransitive,unganisha; changanya madini au amass,verb transitive,hodhi; limbikiza (hasa mali) amateur,noun,"ridhaa: mtu atendaye kazi ya ufundi au sanaa kwa mapenzi, si kwa nia ya pato au mshahara; mwanmichezo asiyetarajia malipo. ish" amateur,adjective,si stadi sana amaze,verb transitive,staajabisha; shangaza; fadhahisha; shtusha ambassador,noun,mjumbe; balozi anayewakilisha nchi yake katika mataifa ya nje amber,noun,kaharabu; namna ya gundi iliyogeuka kama jiwe yenye rangi ya manjano ambiguity,noun,utata; utatanishi; maana isiyo dhahiri au inayofahamika kwa namna tofauti ambiguous,adjective,enye utatanishi ambition,noun,"juhudi au tamaa ya umaarufu, utajiri, cheo au heshima" ambulance,noun,ambulesi: gari ya kuchukulia wagonjwa ambush,noun,uoteaji; uviziaji ambush,verb transitive/intransitive,otea njiani; vizia kwa siri; shambulia ghafla kutoka mafichoni ameliorate,verb transitive/intransitive,tengeza au fanya bora zaidi; -wa bora; tengeza; boresha amenable,adjective,(kwa watu) -sikivu; -epesi kuongozwa au kushawishiwa amend,verb transitive/intransitive,"1. sahihisha; fanya bora zaidi; tengeza. You must amend your ways, lazima ureke­bishe mwenendo wako. 2. badilisha sheria, kanuni, etc. ment" amend,noun,"rekebisho la sheria, kanuni, marekebisho. etc. s" amend,noun,"make ~, ridhisha; lipa; fidia" amenity,noun,1. uzuri. 2. kitu kinachosaidia kuleta uzuri au furaha amiability,noun,ukun­jufu; upole; tabia nzuri amiable,adjective,-a kupendeka; pole; -ema amicable,adjective,-a urafiki; -a amani; -a upole amino acids,noun,asidi amino: kampaundi ziundazo protini au asidi ammeter,noun,amita; ameta: chombo cha kupimia ukali wa mkondo umeme katika ampea ammonia,noun,"amonia: aina ya gesi yenye harufu kali sana inayoyeyuka kwenye maji, hutumika kwa kusafishia" ammonite,noun,"amoniti: aina ya fili, yaani mabaki ya viumbehai vilivyovizika ardhini miaka mingi iliyopita" ammonium,adjective,-a amonia ammunition,noun,"silaha, hasa risasi na baruti" amnesty,noun,msamaha kwa watu waliokosea serikali amnion,noun,"utando unaozunguka kiini­ tete cha reptilia, ndege au mamalia ili kukihifadhi kabla ya kuzaliwa" amoeba,noun,"amiba: aina ya protozoa ambayo huonekana kwa hadubini tu na mwenye uwezo wa kujibadilishabadilisha. amoebic dysentery, maradhi ya kuhara damu yanayosababishwa na aina fulani ya amiba" among(st),preposition,miongoni mwa; kati­ kati ya; baina ya amorphous,noun,-siyokuwa na umbo wala sura maalumu amount,verb intransitive,pata kiasi cha au kadiri ya; -ote pamoja; jumla; kiasi; kadiri; kima amp,noun,ampea: kizio cha kupimia mkondo wa umeme ampere,noun,ampea: kipimo cha nguvu ya umeme amphitheatre,noun,uwanda wa duara wenye viti vingi kuzunguka wakaapo watu kutazama sanaa za maigizo ample,adjective,"kubwa; enye nafasi kubwa; a kutosha; -ingi; tele; maridhawa. Thousand shillings will be ~ for my needs, shilingi elfu zitantitosha kabisa kwa haja zangu" amplifier,noun,"amplifaya; chombo kinachokuza au kinachozidisha, hasa sauti" amplify,verb transitive,zidisha; kuza; ongeza amplitude,noun,tambo upeo wa benne amputate,verb transitive,kata kiungo cha mwili kwa sababu ya maradhi. amputation amputate,noun,"ukataji wa mguu au mkono, etc" amulet,noun,talasimu; hirizi; kago; kinga amuse,verb transitive,pendeza; chekesha; furahisha. ~ ment amuse,noun,mazungumzo; maongezi; mchezo; tafrija; furaha; starehe; burudani amylase,noun,kimeng'enyawang; kimeng'enya kiwezacho kuvunja wanga na kutengeneza sukari anabolic,adjective,a uanaboli anabolism,noun,uanaboli; hali ya jumla ya ujenzi wa kemikali mwilini anaemia,noun,upungufu wa damu; kuwa na damu dhaifu; safura anaerobic,noun,-a anerobi; enye kuhusu viumbe vyenye kuishi bila ya kutumia oksijeni. ~ bacteria bakteria anayewenza kuishi bila ya kuwepo kwa oksijeni katika mazingira yake. respiration upumuaji usiohitaji oksijeni anaesthesia,noun,hali ya kutosikia maumivu; hali ya kutokuwa na hisia. anaesthetic anaesthesia,noun,"a ganzi, -a nuuskaputi: enye sifa ya kuondoa hisia" anagram,noun,neno au sentensi iliyotungwa kwa kubadili taratibu za herufi za neno lingine e.g. nina na nani analogy,noun,"1. ulinganifu; mfano; mithali. The ~ between the heart and a pump, mithali baina ya moyo na pampu. analogous" analogy,adjective,"a kulinganisha; -a mfano, -a kufanana" analyse,verb transitive,changanua; chambua; panua hoja mbalimbali katika mada fulani. analysis analyse,noun,mchanganuo; uchambuzi analyst,noun,"mchambuzi, mchanganuzi" anarchy,noun,ukosekano wa serikali katika nchi; machafuko katika shughuli za utawala. anarchism anarchy,noun,fikra ya kifalsafa ya kisiasa ya kuwa hakuna haja ya kuwepo serikali au utawala. anarchist anarchy,noun,mtu afikirivyo hivyo anatomy,noun,"elimu ya mwili na viungo vyake jinsi vilivyo kwa binadamu, wanyama na miti" ancestor,noun,mzazi; babu; mtu wa kale. ancestral ancestor,adjective,"-a wazazi, -a babu, wa nasaba. ancestry" ancestor,noun,wazazi; ukoo; nasaba; jadi anchor,noun,"nanga. way ~ king'oa nanga. lie [be, ride] at ~, meli kukaa nangan" anchor,verb transitive,tia nanga ancient,adjective,"1. -a kale; -si a siku nyingi. the Greeks, Wayunani wa kale. 2. -zee sana" anecdote,noun,hadithi fupi; kisa; hekaya; ngano; kisa cha kuchekesha anemone,noun,aina ya miti wenye maua ya rangi zinga'razo aneroid barometer,noun,barometa aneroidi: ala ya kupimia kani eneo ya angahewa isiyotumia kioevu angel,noun,malaika anger,noun,hasira; ghadhabu; chuki; uchungu; ukali angiosperm,noun,anjiospamu: jina la pamoja la miti inayotoa maua yenye mbegu angle,noun,"pembe. of incidence, pembe mtua: pembe kati ya mwalimuto na kisulubi kwenye nukta mtua ya uso unaoakisi. of reflection, pembe murudisho: pembe kati ya mwalimrudisho na kisulubi katika nukta panapotokea urudishaji. of refraction, pembe mchepuko: pembe kati ya mwalimchepuko na kisulubi katika nukta ya mwalimtuto kwenye mpaka wa midia" angle,verb transitive,"vua samaki kwa ndoana na chambo. -for, (fig.) jaribu kupata kitu kwa hila au werevu" angled,noun,pembe: nukta inapokutana mistari miwili anglicize,verb transitive,fanya kitu kiwe cha Kiingereza angry,adjective,-enye hasira. be- kasirika; ghadhabika; udhika; hamaki anguish,noun,uchungu; maumivu makubwa anhydrous,noun,"kampuni ya kemikali ambayo imepoteza maji, mfano wa mrututu ulichomwa au asidi" animal,noun,"mnyama; hayawani; -a mwili si -a moyo wa mtu. -needs, mahitaji ya kimwili; spirits, wengi wa afya nzuri; moyo wa kuchangamka na furaha" animate,verb transitive,"changamsha; huisha; tia moyo. A smile -d her face, uso wake ulijaa furaha. The discussion was -d, majadiliano yalichangamka. animation" animate,noun,wepesi; bidii; uchangamfu animosity,noun,"chuki; uadui, uhasama" anion,noun,1. anioni: atomi au molekuli iliyojiingezera elektroni na hivyo kubakia na chaji hasi. 2. ioni yenye chaji hasi inayovutwa kwenye elektrod yenye chaji chanya iitwayo enodi wakati wa elektrolisisi ankle,noun,kifundo cha mguu annelid,noun,anelida: mnyama wa faila ya minyoo wenye miili yenye tindi au iliyogawanyika kama nyungunyungu au mwata annex,verb transitive,ung'anish; nyang'anya na kuingiza kwenye milki (nchi au shamba) annex,noun,jengo dogo lililounganishwa na jengo kubwa; kipenu annihilate,verb transitive,haribu kabisa; angamiza. annihilation annihilate,noun,maangamizi; uteketezaji; uharibifu mkubwa anniversary,noun,sikukuu ya ukumbusho wa jambo kila mwaka; maadhimisho announce,verb transitive,tangaza; pigia mbiu; onyesha; wa dalili ya annoy,verb transitive,sumbua; udhi; kera; chokoza annual,adjective,1. -a kila mwaka. 2. -a mwaka mmoja tu annual,noun,1. mmea unaoishi kwa mwaka mmoja kisha ukafa. 2. jarida litokalo mara moja kila mwaka anode,noun,anodi: ncha chanya ambapo mkondo umeingia kichanganuzi umeme anoint,verb transitive,"paka mafuta au dawa ya mafuta, hasa kwenye matendo ya ibada ya kikristo kama" anonymous,adjective,"bila jina; -enye jina lisilojulikana na watu. - gift, zawadi iliyotolewa na mtu ambaye jina lake halijulikani; letter, barua isiyotiwa jina" anopheles,noun,anofelesi: mbu wa jener a ya anofelesi ambaye anaweza kubeba viini visababishavyo malaria kwa mtu ant,noun,"mdudu, mchwa: mdudu aishiye katika makundi/makoloni ya kijamaa, hana mabawa isipokuwa kipindi cha kuzaliana. Hujulikana kwa bidii yao ya kazi. soldier, chungu; white -, mchwa; brown -, siafu; red -, maji moto; small black -, sisimizi. -hill n. kichuguu" antagonism,noun,chuki; uadui; upinzani; uhasama; ushindani antagonist,noun,"adui; mshindani, hasimu, mpinzani. -ic adj. -a uadui; -a upinzani; -a ushindani. -ic muscle pair, jozi ya misuli yenye mjongeo unaoelekea pande mbili tofauti kiasi kwamba unyweaji wa mmoja hutana mwengine" antagonize,verb transitive,pinga; fanya mtu adui au hasimu yako antarctic,adjective,-a nchi ya kusini ya dunia antecedent,noun,"1. (grammar) kisarufi: neno au fungu la maneno linalotangulia na kurejewa na kiwakilishi, kielezi au kirai fulani. 2. (pl) matendo, mambo, desturi na habari zilizokwishapita za mtu au za watu" antelope,noun,"mnyama yeyote wa jamii ya paa, pofu, kulungu na palahala" antenna,noun,"1. antena, erio: chombo kinachorusha au kupokea mawimbi ya redio au televisheni kutoka angani. 2. papasi jozi za wadudu katika jamii ya anthropodi" anthem,noun,"wimbo wa dini. national -, wimbo wa taifa" anther,noun,chavulio: sehemu ya stamen ya ua yenye chavuo anthology,noun,"diwani: mkusanyiko wa mashairi, kazi za fasihi na sanaa za maigizo" anthropology,noun,"anthropolojia: elimu ya binadamu kuhusu historia ya asili, jamii na tamaduni zake" antibiotic,noun,"kiuvijasumu, kiuvijasumu: kemikali inayoundwa na viumbe kama kuvu ambayo huweza kuangamiza bakteria au virusi au kuzuia ukuaji wake. resistance, tabia ya bakteria kutouuliwa na dawa fulani kutokana na mabadiliko ya muda mrefu ya dawa hiyo" antibody,noun,"zindiko; kinga; fingo: aina ya protini inayotengenezwa na mwili ili kujikinga. - positive, hali ya kuwapo zindiko maalumu katika damu" anticipate,verb transitive,1. fanya kabla ya wakati utazamiwao. 2. fanya tendo kumtangulia mtu mwingine. 3. tazamia mbele; tumaini; dhani anticlockwise,adjective,kinyumesaa: mwendo wa mzunguko kinyume cha mwendo wa saa antics,noun,matendo ambayo mara nyingi hukusudiwa kuchekesha lakini yanaweza kuudhi pia; matendo ya furaha antidote,noun,dawa antigen,noun,antijeni: protini ngeni ambayo husisimua utengenezaji wa fingo antique,adjective,a kale. antiquity antique,noun,zama za kale antithesis,noun,kinyume: upinzani wa kifikira kwa hoja tofauti antonym,noun,neno lililo na maana kinyume na lingine anus,noun,tundu ya kutoa kinyesi kwa binadamu au mnyama anxiety,noun,mashaka; wasiwasi; fadhaa; shauku. anxious anxiety,adjective,enye mashaka; enye shauku ya kufanya jambo au kupata kitu aorta,noun,mkole: ateri kuu ya damu safi inayoziaa upande wa kushoto wa moyo kwenda mwilini apart,adverb,mbali; mbali na; ~from isipokuwa kwa; mbali ya apartment,noun,nyumba iliyogawanywa kwa kusudi la kupangishwa; chumba cha kupangisha ape,noun,nyani. v.t iga mambo na vitendo aperture,noun,tundu; kidirisha; kipenyo apex,noun,kilele; ncha aphid,noun,afidi: mdudu anayefyonza juisi kwenye mimea na ambaye anaweza kusambaza maradhi aphorism,noun,msemo mfupi wenye maana ya hekima na mazingatio; methali apologetic,adjective,a kujitetea; a kuomba radhi apologize,verb intransitive,omba radhi; toa udhuru; kiri kosa; jitetea apology,noun,"1. maneno ya kujitetea, ya kuomba radhi au msamaha. 2. udhuru" apostle,noun,mtume apostolic,adjective,a utume apostrophe,noun,alama hii (') katika maandishi appal,verb transitive,tisha; fad­haisha; ogofya; shangaza apparatus,noun,kifaa: chombo au jumla ya vyombo vitumikavyo katika jaribio la kisayansi au la kiufundi apparent,adjective,"1. dhahiri; wazi. 2. a kuonekana. The ~ cause but not the real one, was. sababu iliyoonekana lakini si sababu ya kweli, ilikuwa" apparition,noun,mzuka; kivuli; njozi za majinamizi appeal,verb intransitive,"1. omba; ita; sihi; lalama. 2. kata rufaa. 3. to ~ to, vuta macho; tia tamaa; tamanisha" appeal,noun,"1. tendo la kuomba an for mercy, omba kuonewa huruma" appear,verb intransitive,1. onekana; fika; tokea; zuka. 2. elekea kuwa appease,verb transitive,tuliza; ridhisha; nyamazisha; suluhisha append,verb transitive,tia au ongeza mwishoni appendicitis,noun,ugonjwa wa apendiksi appertain,verb intransitive,"-to, pasa; husu; fungamana" appetite,noun,"uhu, hamu, hasa ya chakula. appetizing" appetite,adjective,a kutamanisha: (of food) a kuchapukia applause,noun,vifi­jo; makofi; vigelegele apple,noun,tufaha appliance,noun,apple applicant,noun,mdai; mwombaji application,noun,ombi; ardhihalli; matumizi apply,verb transitive/intransitive,"omba; tumia, paka; husu. - the break, funga breki. - a bandage, funga bendeji. - oneself to, shiriki. applied" apply,adjective,liotumiwa appoint,verb transitive,"1. weka, amuru; chagua; agiza; teua. - a secretary, teua katibu. - ment" appoint,noun,uteuzi; wadhifa; cheo; madaraka; miadi appreciable,adjective,-a kiasi cha kuonekana appreciate,verb transitive/intransitive,"husudu; thamini; tathmini, ongezeka au zidi thamani; shukuru. He -d his help, alithamini msaada wake. This land has -d greatly since 1940, thamani ya shamba hili imezidi sana tangu mwaka wa 1940. appreciation" appreciate,noun,shukrani; kuthamini; tathmini. appreciative appreciate,adjective,-enye shukrani apprehend,verb transitive,1. fahamu; tambua. 2. ogopa; hof u. 3. kamata. apprehension apprehend,noun,kukamatwa. apprehensive apprehend,adjective,enye hofu; -enye woga apprentice,noun,mwanafunzi wa kazi apprentice,verb transitive,"fundisha. bind as an -, chukua kama mwanafunzi. I -d him into a shoemaker, nilimfundisha akawa mshona viatu" approach,verb transitive/intransitive,"1. karibia; sogelea; tongoza; kabil i. 2. endea kwa kuomba msaada. one's employer for higher pay, kumkabili mwajiri kuomba ongezewe mshahara" approach,noun,kukaribia; njia; mbinu; mkabala approbation,noun,kibali; idhini; sifa nzuri appropriate,adjective,-a kufaa appropriate,verb transitive,"jichukulia, iba; nyang'anya; hodhi. appropriation" appropriate,noun,kuchukua; kuiba; kuny'ang'anya; kuhothi approval,noun,kibali; idhini approve,verb transitive/intransitive,sifu; pendezwa na; kubali; idhinisha approximate,adjective,-a karibu sawa approximate,verb transitive/intransitive,karibia; kuwa karibu sawasawa; kisia approximation,noun,ukisiaji April,noun,"Aprili, mwezi wa nne wa mwaka wa kizungu" apron,noun,"apron; vazi maalumu la kuvalia mbele ili kufunika mavazi ya ndani yasichafuke wakati wa kufanya kazi, hasa wakati wa mapishi" aptitude,noun,wepesi; welekevu; ustadi aquarium,noun,akwaria; tangi au hodhi la maji la kuweka samaki wa kufuga au mimea aqueduct,noun,akwidakti; mferejidaraja; mfereji wa maji aqueous,adjective,-a majimaji; -enye kuwa na maji kama kimunyunyishaji aquifer,noun,akife: tabaka ya mwamba chini ya ardhi ambayo huhifadhi na kutoa maji arable,adjective,-a kulimika kwa ardhi arachnid,noun,"araknida: jamii ya anthropoda inayojumuisha nge, buibui, chawa, kupe, kaa wakubwa, etc" arbitrary,adjective,"siyofuata sheria wala kanuni au taratibu zinazokubalika e.g. an - decision, hukumu iliyokatwa bila ya sababu nzuri. vices, vizio hobela: vizio vya upimaji ambavyo havimo katika matumizi ya jumla nchini" arbitrate,verb transitive/intransitive,hukumu; amua; patanisha; suluhisha arc,noun,aki; tao: mkato au sehemu wa kizingo cha duara. light arc,noun,taa kubwa wa umeme ing'ayao sana arch,noun,"tao. a bridge with three -es, daraja lenye matao" archaeology,noun,akiolojia: sayansi ya mambo ya kale ya mwanadamu itokanayo na utafiti wa mabaki ya kihistoria archipelago,noun,bahari yenye visiwa vidogo vingi architect,noun,msanifu ujenzi; mhandisi achoraye ramani na kusimamia ujenzi. -ure architect,noun,"usanifu ujenzi, ujenzi. -ural" architect,adjective,a ujenzi archives,noun,nyaraka: mahali pawekwapo kumbukumbu za maandishi arctic,adjective,-a ncha ya kaskazini ya dunia; (collog.) baridi sana ardent,adjective,-enye bidii; juhudi; hamu ardour,noun,shauku; bidii; juhudi arduous,adjective,-gumu; -a kuchosha; -a taabu area,noun,eneo; uwanja arena,noun,uwanja wa kuchezea ulio katikati ya amfitehita. (fig.) mahali pa kushindania argon,noun,argoni: aina ya gesi inayotumiwa kwenye taa za umeme arid,adjective,-kavu sana; -kame; kame; yabisi arise,verb intransitive,"(arose, arisen) 1. tokea. A new difficulty has arisen, tatizo jipya limetokea. 2. toka; inuka; panda" aristocracy,noun,1. utawala wa makabaila. 2. makabaila; ukabaila; umwinyi. 3. waungwana kwa nasaba arithmetic,noun,arithmetiki; hesabu; taaluma ya namba ark,noun,safina kubwa iliyoundwa na mtume Nuhu wakati wa gharika kuu ili kujokoa pamoja na jozi za wanyama wake; sanduku kubwa arm,noun,"1. mkono. 2. (pl.) silaha. in -s, -enye silaha. 3. jeshi la askari wa nchi. the air -, jeshi la anga. the infantry -, jeshi la ardhini. 4. (pl.) nembo itumikayo kuwa alama ya jamii, ukoo ulio bora au mji. coat of -s, ngao ya taifa. v.t/i. 1. -pa silaha; kaa tayari kwa vita. 2. -pa kitu cha kulinda au cha kufaa. - sb. with answers to likely questions, kumpa mtu majibu ya maswali yanayoelekea kuulizwa. -ament n. 1. kujitayarisha kivita au kijeshi; jeshi. 2. zana za vita" armature,noun,amecha: misuko ya waya katika jenereta au mota ya umeme ambako huzunguka katika uga wa sumaku armistice,noun,mapatano ya kusimamisha vita; makubaliano ya amani armour,noun,1. vazi la chuma la kivita ili kujikinga; silaha. 2. kifaru army,noun,"1. jeshi; kundi kubwa. 2. umati wa watu. the salvation -, jeshi la wokovu" arouse,verb transitive,chochea; ibua hisia; chapua arrange,verb transitive,"1. tengeneza; ratibu. 2. panga shughuli ya. - a date for a meeting, panga tarehe ya mkutano. 3. patanisha; tuliza; suluhisha; amua" arrears,noun,kisicholipwa; deni; bakaa; kiporo. 2. bakaa ya kazi au barua zinazohitajika kushughulikiwa arrest,verb transitive,1. simamisha; zuia; kamata; dhibiti. 2. vutia macho arrest,noun,kukamata. make an ~ kamata. ing arrest,adjective,a kuvutia arrive,verb intransitive,1. fika; wasili. 2. ~at. patana; kubaliana; afikiana; fikia. arrival arrive,noun,kufika; ufikaji; majilio arrogant,adjective,-enye kiburi; -enye majivuno; -enye maringo; -enye kunata; fedhuli; safihi arrow,noun,1. mshale. 2. alama kama mshale. arrowroot arrow,noun,uwanga arsenal,noun,ghala kubwa ya kutengenezea na kuhifadhlia silaha na zana za kivita arsenic,noun,asenia: aina ya kemikali nyeupe ya sumu inayotumika katika dawa nyingine kuulia panya etc arsom,noun,kuteketeza kwa moto nyumba au shamba za watu kwa kusudi la kuleta uharibifu art,noun,sanaa; ustadi; ufundi; sanifu; werevu; ujanaji. ful art,adjective,erevu; stadi; janja; a kisanii artery,noun,ateri: mshipa w o w o t e upokeao damu safi kutoka moyoni na ku-ipeleka kwenye tishu artesian water,noun,maji yaliyohifadhiwa baina ya tabaka za mwamba chini ya ardhi arthropods,noun,"mnyama wa jamii ya wadudu, buibui, krustasia ambaye mwili wake una vipingili na viunzi vyao viko nje ya nyama" article,noun,"1. kitu. 2. makala. 3. ibara; kifungu cha sheria au mkataba. 4. (grammar) a, an, au the" articulate,adjective,"1. -enye kutamkwa vizuri; fasaha; dhahiri. 2. -enye kudhihirisha fikira na maono kwa usemi dhahiri, bayana" articulate,verb transitive/intransitive,"sema; tamka; kwa dhahiri; fasaha, tena vizuri" articulation,noun,1. uungaji wa mifupa miwili katika kiungo. 2. tendo la kusema; kutamka artificial,adjective,"si a asili; si halisi; -a kubuni; -a uongo; -a bandia; -a kuigiza. preservative, kemikali inayotumika kuzuia wadudu waoze-shao, na hivyo kutu-miwa kuzuia vyakula visioze. satellite, chombo chochote kilichoundwa kuzunguka sayari au nyota. selection, uzalishaji viumbehai kwa kuwakatunisha watu wenye sifa maalumu za kijeni" artillery,noun,mizinga; jeshi la mizinga artisan,noun,fundi wa kazi za ujuzi wa mikono artist,noun,fundi; msanii; stadi; mchoraji; -i c; -a sanaa; ufundi as,adverb,"1. kama. as hard as iron, gumu kama chuma. = (like) me kama mimi, you like, kama upendavyo, a thing such -a book, kitu kama kitabu" asbestos,noun,"asbestozi: kitu kama jiwé la nyuzinyuzi (kimefanana sana na pamba au katani iliyogandamizwa pamoja) kizuiacho moto na joto lisipenye, wala hakiumungi" ascertain,verb transitive,hakikisha; yakinisha ascorbic acid,noun,asidi asexual,adjective,siyo husiana na uke wala uume; ~reproduction asexual,noun,"uzaliano nafsi: uzazi usiokuwa na muungano wa gameti za kike na za kiume, mfano hamira, nyuki na bakteria huzaliana namna hii" ash,noun,1. jivu; majivu ashamed,adjective,"(be) ~, ona haya; aibika; tahayari; fedheheka; fadhainika" aside,adverb,upande; kando; pembeni ask,verb transitive/intransitive,1. taka; omba; sihi; alika; karibisha. 2. ~ a question uliza; hoji aspect,noun,"sura; umbo; wajihi; tabia; uso. a house with the southern ~, nyumba inayoelekea kusini" asphalt,noun,aina ya lami ngumu nyeusi itumiwayo kwa kutandazwa juu ya barabara aspire,verb intransitive,kutaka sana; tamani aspirin,noun,aspirini: dawa ya vidonge ya kutuliza maumivu na kuteremsha kiwango cha joto (homa) mwilini ass,noun,"punda; mjinga; mpumbavu; juha. Don't make such an ~ of yourself, usijipumbaze" assassinate,verb transitive,"kuua kwa siri au kwa ghafla, kwa sababu za kisiasa au kidini" assault,verb transitive,rukia; shambulia assault,noun,shambulio la ghafla assemble,verb transitive/intransitive,kusanya; kusanyika; kutana; unganisha. assembly assemble,noun,mkusanyiko; mkutano assert,verb transitive,"tetea; shadidia; dai. oneself, jitokeza; jida -rive adj. enye kushadidia; -nye kushikilia; enye kudai" assess,verb transitive,kisia; kadhiria; tathmini asset,noun,mali ya mtu au kampuni yenye thamani maalumu assiduous,adjective,enye bidii nyingi ya kazi; tendaji. assiduity assiduous,noun,bidii; juhudi assign,verb transitive,gawanya; pangia assimilate,verb transitive/intransitive,"fananisha; linganisha; ingiza katika utamaduni au dini mpya; (kwa mwili) tumia vizuri chakula. His body cannot ~ potatoes, viazi vinamdhuru. food that ~s easily, chakula kinachosagika upesi tena vizuri tumboni. assimilation" assimilate,noun,mlisho; zoezi zote za ubadilishaji chakula mwilini assist,verb transitive/intransitive,saidia; auni associate,verb transitive/intransitive,1. unganisha; shirikisha; husisha assorted,adjective,-a aina mbalimbali; -liochanganyika. assortment assorted,noun,mkusanyiko wa vitu vya aina nyingi assume,verb transitive,1. sadiki; pokea; chukulia kuwa kama ni kweli. 2. shika; pata; twaa. assuming assume,adjective,enye majivuno -enye kimbembele. assumption assume,noun,dhana; tuhuma; tu assure,verb transitive,hakikisha; thibitisha; yakinisha; toa hofu; ahidi asterisk,noun,alama hii () astern,adverb,shetrini; kwa nyuma; tezini asteroid,noun,asteroidi; mojawapo ya sayari ndogondogo asthma,noun,ugonjwa wa pumu astigmatism,noun,uastigmati: kasoro ya macho inayofanya macho yote mawili yaone kitu kimoja kama viwili katika bapa tofauti astonish,verb transitive,ajabisha; shangaza; bumbuaza; staa- jabisha astrology,noun,unajimu: sayansi ya mwendo wa sayari na nyota juu ya mahusiano yake na maisha watu astronaut,noun,mwanaanga; astronoti: mtu aliye- fundishwa kuendesha vyombo vya anga za juu kama roketi na setilaiti astronomy,noun,astronomia: sayansi ya nyota na sayari. astronomer astronomy,noun,mtaalamu wa astronomia asylum,noun,hifadhi; kimbilio; nyumba ambayo walemavu na maskini hutunzwa. political ~: hifadhi ya kisiasa at,preposition,kwa; katika; kwenye; penye; ni atheism,noun,"itikadi na imani kuwa hakuna Mungu muumba, atheist" atheism,noun,asiyesadiki kuwa Mungu yuko athletic,adjective,1. -a michezo. 2. -enye nguvu kupenda michezo atlas,noun,atlasi: kitabu cha ramani atmosphere,noun,"1. angahewa; hewa; anga iliyoizunguka dunia. 2. hali (njema, mbaya), ambayo hutokea mahali. an ~ of peace and calm, hali ya amani na utulivu. atmospheric" atmosphere,adjective,-a hewa atmospheric,noun,"shinikizo angavea. bring - to bear on sb. to do sth., shinikiza kwa ork at high -, fanya kazi kwa nguvu nyingi" atom,noun,"1. atomi; atomi: sehemu ndogo kabisa ya elementi ambayo bado inaonyesha tabia za kikemikali za elementi hiyo. 2. chembe He hasn't an ~ of sense, hana akili hata chembe. ~ bomb" atom,noun,bomu la atomiki atrium,noun,atria: moja ya chemba mbili za juu ya moyo ipokeayo damu kutoka mishipani attach,verb transitive,"1. funga; ambatisha. 2. kupa: I ~ much importance to this, nalipa umuhimu mkubwa jambo hili. 3. fuatana na; ambatana na. the advantages ~ing to the position of president, faida ziambatanazo na cheo cha urais. be ~ed to, penda sana" attack,verb transitive/intransitive,shambulia; attain,verb transitive/intransitive,fika; pata ~able attain,adjective,enye kufikika; enye kupatikana attend,verb transitive/intransitive,"1. angalia; sikiliza; hudumia; tumikia; hudhuria. 2. (as doctor, nurse) uguza. 3. fuatana na. a method ~ed by great difficulties, njia yenye mashaka makubwa" attitude,noun,"1. namna ya kusimama au kukaa; hali. 2. namna ya kuona mambo, kufikiri au kufanya" attract,verb transitive,"vutia; karibisha; tamanisha; pendeza; shavishi. A magnet ~s iron, sumaku huvuta chuma" attribute,noun,"1. sifa, dalili, au alama iliyo kiini cha tabia ya mtu au kitu. Mercy is an ~ of God, huruma ni sifa ya Mungu. 2. (grammar) kiangama: kivumishi kinacholeeza zaidi nomino katika kundi nomino" attribute,verb transitive,sifa; wekea attributive,adjective,"(grammar) kivumishi kiangama: neno lililomo katika kikundi nomino lenye uamilifu wa kuvumisha. e.g. the old man, old ni kivumishi kiangama" audible,adjective,-a kusikika audience,noun,wasikilizaji; hadhira; baraza audio,noun,sauti iliyorekodiwa kwenye kinasa-sauti audit,verb transitive,kagua hesabu audit,noun,ukaguzi wa hesabu augment,verb transitive/intransitive,ongeza; ongezeka; zidisha; pandisha; kuza August,noun,Agosti: mwezi wa nane wa mwaka wa kizungu aunt,noun,shangazi; ndugu wa kike wa baba au mama aural,adjective,-a sikio au usikizi auspices,noun,"pl. msaada; fadhila; himaya. under the ~ of, kwa msaada wa. auspicious" auspices,adjective,"heri, -a bahati" austere,adjective,enye tabia ya kutopenda maisha ya raha au anasa. austerity austere,noun,ubahili; ugumu authentic,adjective,thabiti; halisi; liojulikana kuwa kweli author,noun,"1. mtunzi wa vitabu vya mashairi, michezo etc. 2. Muumba" authority,noun,"1. amri, uwezo; amri; mamlaka. 2. mtu mwenye maarifa yawezayo kusadikika juu ya jambo fulani. He is an ~ in old coins, mtu mwenye maarifa mengi juu ya sarafu za kizamani. authorization" authority,noun,ruhusa; idhini; amuru; halalisha. authorization authority,noun,ruhusa; amri; idhini; kibali; leseni autobiography,noun,habari za maisha ya mtu zilizoandikwa na yeye mwenyewe automate,verb transitive,dhibiti au ongoza kwa mitambo ya otomatiki inayojendesha yenyewe automatic,adjective,"1. (kwa mashine) -a kujindesha yenyewe. 2. (kwa matendo) liofanywa bila kufikiri. Breathing is ~, kuvuta pumzi hufanywa bila kufikiri" automobile,noun,"gari, motokaa. automotive" automobile,adjective,-a kuhusu vipando vya motor autonomous,adjective,-enye uhuru wa kujitawala -enyewe auxiliary,adjective,-a kuongeza nguvu; a kusaidia auxiliary,noun,kisaidizi; msaidizi avenge,verb transitive,lipiza kisasi avenue,noun,1. njia yenye safu mbili za miti pembeni mwake. 2. (fig) njia ya kufikia au kupatia jambo average,noun,wastani average,adjective,"1. -a wastani. 2. -a kawaida. -speed kasi, mwendo wastani: kima cha wastani cha mabadiliko ya umbali na muda" averse,adjective,"(to) be ~ to, chukia; kutopenda. aversion" averse,noun,uchukivu; kitu kisichopendwa; mtu achukiwaye sana avert,verb transitive,kinga; epa; zuia; ambaza; pisha Aves,noun,nyuni: ngeli ya vertebrata pamoja na ndege ambao hutofautiana na mamalia wengine kutokana na manyoya yao na jamii ya karibu nao ya reptilia kuwa kuwa na damu moto na midomo yenye magamba na wajihi mahususi kimofolojia aviation,noun,taaluma na ufundi wa kuongoza eropleni. aviator aviation,noun,rubani wa ndege Avogadro's law,noun,kanuni isemayo kuwa mjazo wa gesi ikiwa katika halijoto na shinikizo sawa huwa pia na idadi sawa ya molekuli avoid,verb transitive,epuka; ambaa; epa; bari await,verb transitive,ngojea award,noun,tunza; zawadi; award,noun,v.t. toa zawadi; tunuku; tunza; hidaya aware,adjective,(be) jua; fahamu; tambua; tanabahi away,adverb,"mbali. He has gone ~, amekwenda zake. He is ~, hayupo. He lives some distance from here, anakaa mbali kidogo kutoka hapa" awe,noun,hofu itokanayo na kitisho au heshima kuu awe,verb transitive,"tisha, ogofya" awhile,adverb,kwa muda kidogo; kitambo awkward,adjective,"1. si -a kawaida; si -epesi kutumika; a kuleta shida au hatari. an ~ corner, kona mbaya iwezayo kusababisha ajali. 2. (kwa mtu au mnyama) aibu; si stadi. 3. a kuleta au -enye matatizo" awl,noun,msharasi: chombo cha kutobolea vitundu vidogo hususan juu ya vitu vya ngozi awning,noun,pazia; chandarua axe,noun,shoka axe,verb transitive,punguza kazini kwa sababu ya ukosefu wa kazi au wingi wa wafanyakazi axillary bud,noun,tumba kwapa: chipuko iliyoko kwenye kwapa ya jani axis,noun,"(axes) 1. mhimili mkuu wa mzunguko, mstari unaounganisha kitovu cha lenzi na kitovu cha kivimbe cha lenzi. 2. mstari unaopita kwenye nukta kati ya kitu kinachozunguka. The world revolves on its ~ once in twenty four hours, dunia huzunguka katika mhimili wake mara moja kila saa ishirini na nne. 3. jira: mstari wa wima au wa mlalo unaotumika katika grafu" axle (ˈæks(ə)l),noun,ekseli: miti au chuma cha katikati ya gurudumu au magurudumu mawili ambapo gurudumu (au magurudumu) huzunguka babe,noun,1. mtoto mchanga. 2. mtu asiye na hatia/asiyejiweza 3. mwanamke kijana baboon,noun,nyani mkubwa baby,noun,mtoto mchanga bachelor,noun,1. kapera. 2. mtu aliyehitimu katika chuo kikuu na kutunukiwa shahada ya kwanza bacillus,noun,basila: bakteria wenye umbo la pau wanaofanya vibofu katika oksijeni huria back,noun,mgongo; sehemu iliyo nyuma backbone,noun,"uti wa mgongo: tindi za mifupa zilizoungana kutoka kisogoni mpaka kwenye nyonga. adv. nyuma; kinyume. v.t/i 1. enda au rudisha nyuma. e.g. a car into a garage. 2. saidia. ~down, acha kudai au kuomba; shindwa. ~out (of a promise or undertaking), vunja ahadi au jitoa katika jambo. ~a horse, shabikia au unga mkono kuwa farasi atashinda wengine. ~er n. msaidizi; mshabikiaji. ~fire n. kishindo kiletwacho na gesi iliyovutwa nyuma katika mashine kama injini. ~ground n. mahali pa nyuma; mahali pa kufichia. keep(stay) in the ~ground, kaa nyuma ili usionekane. 2. mambo ya maisha yaliyokwisha pita. ~ing n. msaada; tegemeo; wasaidizi. ~slide v.i (kwa mtu) kenyeuka; ritadi; rudiia mwendo mbaya. ~ward adj.; sioendelea vizuri; a nyuma. a ~ward child, mtoto aliye mzito wa kuelewa. ~wards adv. nyuma; kinyume. ~water n. sehemu ya mto ambayo mkondo wa maji unarudi nyuma. ~woods n. mwitu" bacon,noun,nyama ya nguruwe iliyotiwa chumvi na kutengenezwa ili isioze bacterium,noun,"(bacteria) kiumbehai kisicho onekana kwa macho ila kwa hadubini, baadhi husababisha maradhi na baadhi yao hurutubisha ardhi" bad,adjective,"baya; ovu. go to the ~, potelea mbali; potea; potoa; angamia. go ~, oza; vunda" badge,noun,beji; alama ya kutambulisha mtu au kitu bag,noun,mfuko; mkoba; gunia bag,verb transitive,benuka katika makunjo bag,verb transitive,chukua baggage,noun,vyombo; mizigo; vikokoroko bail,noun,kijiti mmoja wapo cha viwili kinachowekwa juu ya kigingi katika mchezo wa kriketi bait,noun,chambo bait,verb transitive,tia chambo katika ndoana; ambika; chokoza; sumbua balance,noun,"1. mizani; kapani. in the ~, matokeo hayajajulikana bado. 2. lingana. 3. urari; bakaa. ~ sheet" balance,noun,hati ya kuonyesha mapato na matumizi balance,verb transitive/intransitive,wa sawasawa; pima katika mizani; fikiri; sawazisha; linganisha balcony,noun,roshani bale,noun,robota; mtumba; mzigo; furushi; bunda bale,verb intransitive,"1. tunga katika mitumba. 2. kumba; teka futa maji kutoka chomboni. out, ruka kutoka kwenye eropleni kwa msaada wa parachuti" ball,noun,1. tufe; mpira. 2. dansi ya watu wengi. ~ and socket joint kiungo rungu na kikombe: kiungo ambamo mviringo wa mfupa mmoja (rungu) husaki ndani ya nafasi (kikombe) ya mfupa mwingine na kuruhusu mzunguko kwa urahisi balloon,noun,baluni: mfuko mkubwa uliojaa hewa na hewa kama gesi wa kurukia angani na huwa na mkoba wa kubebea watu ballot,noun,karatasi ya kura ballot,verb intransitive,chagua kwa karatasi ya kura; piga kura bamboo,noun,mwanzi ban,verb transitive,(-nn-) kataza; piga marufuku; zuia ban,noun,tangazo la kupiga marufuku banana,noun,"ndizi, plant, mgomba. bunch of -s, chana la ndizi. fruit stalk of -s, mkungu wa ndizi" band,noun,1. kitu chembamba cha kufungia au cha kuungia. 2. utepe; ukanda. 3. jamii; kundi; kikosi. ~age n./v.t. bendeji; funga bendeji bandit,noun,mnyang’anyi; haramia; jambazi bang,noun,mshindo. v. t. gonga kwa nguvu bangle,noun,bangili; kikuku baniesters,noun,safu ya viguzo vyenye ubao juu vijengwavyo kwenye ngazi za nyumba ya ghorofa kama mlimili banish,verb transitive,hamishia mbali; fukuza. (fig.) sahaulisha shuhuli zote banjo,noun,zeze la kizungu; gambusi bankrupt,noun,mtu aliyefilisika bankrupt,adjective,a kufilisika bank²,noun,benki bank¹,noun,"1. fungu jembamba la mchanga, udongo, etc. low ~s of earth between rice fields, mafungu membamba wa udongo katikati ya mashamba ya mpunga. 2. (kwa mto) ukingo, kando, ng’ambo, etc" bank¹,verb transitive/intransitive,1. fanya; funga banner,noun,bendera; bango; beramu banquet,noun,karamu; dliifa; sherehe baptism,noun,ubatizo. ~al baptism,adjective,~ ubatizo baptize,verb transitive,batiza; ingiza rasmi katika dini ya Kikristo bar,noun,"1. upau, ufito wa chuma; ubao; sabuni. 2. kipingwa; komeo. 3. baraza ya hukumu. the ~ jopo la wanasheria. 4. kilabu ya pombe" bar,verb transitive,"(-rr-) 1. kinga; zuia; kataza; zinga; komea. prep (also ~ring) isipokuwa, ila" barb,noun,mwiba kama ule wa chembe cha mshale au mdomaa barber,noun,kinyozi barchan,noun,barkani: tuta bare,adjective,1. wazi; tupu; bila ya mavazi au mapambo bargain,noun,"1. maafikiano; mapatano; makubaliano. 2. kitu kilichonunuliwa rahisi kuliko bei yake ya asili. into the ~, zaidi; juu; nafuu; faida kama nyongeza" bargain,verb intransitive,patana kuhusu bei barge,noun,"tishri; tishali; mashua kubwa. into, pambaa na; ingia kwa nguvu" barium,noun,bariumu: elementi ya madini yenye rangi nyeupe kama fedha bark,noun,chombo kama jahazi chenye milingoti mitatu au minne bark¹,noun,gome; ganda barley,noun,shayiri barn,noun,ghala ya nafaka barometer,noun,barometa: chombo cha kupimia kanieneo ya angahewa barracks,noun,kambi kubwa kikapo kikosi cha askari; kambi ya jeshi barrage,noun,1. boma la kuzuia maji mtoni. 2. kupiga mizinga mingi pamoja kwa muda bila ya kusita barrel,noun,1. pipa; kasiki. 2. mtutu; kasiba; mwanzi; mdomo wa bunduki barren,adjective,"1. (of land) kame; jangwa; yabisi. 2. (of females) tasa. (of animals, plants, trees) -siozaa. 3. (fig) a bure; bila faida" barricade,verb transitive/noun,zuia; linda; zunguka kwa boma; funga eneo; boma barrier,noun,kizuizi; kizingiti; kinga; boma barrow,noun,bero: gari dogo lenye gurudumu moja au mawili; mkokoteni; rikwama barter,verb transitive/noun,"badilishana mali, bidhaa etc" barter,noun,ubadilishanaji mali au bidhaa basalt,noun,basati: namna ya majabali meusi magumu sana yatokanayo na volkano baseball,noun,"mchezo wa mpira hasa Marekani, ambao hutupwa na kupigwa kwa beti na huwa na wachezaji tisa kila upande kwa mizunguko minne" base²,adjective,"1. (kwa watu tabia, fikira zao, etc.) ovu. 2. (kwa madini) a thamani ndogo" base¹,noun,1. upande au sehemu ya chini ya kitu; msingi; tako; kikali. 2. mahali pa kuwekea zana za kivita; etc. 3. chanzo; chimbuko; asili bashful,adjective,aibu; enye haya; soni basic,adjective,a msingi basin,noun,1. bakuli; kibia; beseni; bonde bask,verb intransitive,"ota jua; jinyosha, jifurahisha; ona sifa" basket,noun,kikapu; kapu; pakacha; mkoba bastard,noun,mwana wa haramu; mtoto wa nje ya ndoa bat,noun,1. beti: ubao kama kafi wa kuchezea mipira. 2. popo batch,noun,fungu; jamii; kundi bath,noun,bafu; birika battalion,noun,jeshi la askari lenye vikosi vingi walio tayari kwa vita batter,noun,1. ponda; sukuma (unga); pigilia. 2. unga uliopondwa kwa maji battery,noun,1. upigaji mizinga mingi pamoja 2. betri battle,noun,vita; mapigano battle,verb intransitive,pigana; shindana bauxite,noun,boksiti: aina ya udongo ambao ndani yake hupatikana madini ya alumini bay,noun,ghuba bay,verb intransitive,bweka bayonet,noun,singe; beneti; upanga wa bunduki bazaar,noun,duka; bazari: mtaa au sehemu yenye maduka mengi makubwa kwa madogo yanayouza bidhaa anuwai BCG vaccination,noun,chanjo iitwayo Bacillus Calmette-Guerin kwa watoto inayokinga kifua kikuu be,verb intransitive,-wa beach,noun,pwani; ufukwe beach,verb transitive,pweleza beacon,noun,bekoni; mnara wa ishara fulani bead,noun,shanga; tasbihi; tone; rozari beak,noun,mdomo wa ndege; omo la jahazi beam,noun,bimu; mhimili; boriti ya mti au chuma; mwonzi mwali wa mwangaza bean,noun,"mbegu za jamii ya kunde: choroko, kunde, fiwi, mbaazi, haragwe etc" bear,verb transitive/intransitive,"(bore, borne) chukua; himili; zaa; zingatia" bear,noun,dubu beard,noun,ndevu; sharafa. -ed adj. enye ndevu bearing,noun,beringi: gololi ambazo huweka beard baina ya sehemu za mashine zinazogusana ili kupunguza ukinzani wakati zinapozunguka beast,noun,1. mnyama; hayawani. 2. mtu mwenye desturi za kinyama; mpupufu beat,verb transitive/intransitive,"(beat, beaten) 1. piga; chapa; kong'ota. 2. shinda; pita; tia fora" beat,noun,pigo; zamus; mtundo beauty,noun,uzuri; urembo; haiba. beautiful beauty,adjective,-a zuri; a haiba; -a kupendeza because,conjunction,"kwa sababu; kwa ajili; mnaijili, kwa kuwa; maadam; madhali" beck,noun,"be at sb's beck and call, wa chini ya amri ya mtu fulani wakati wote" beckon,verb transitive/intransitive,ashiria; pungia mkono; konyesza becquerel,noun,kipimo cha unururifu harakatiredio bed,noun,"1. kitanda. 2. msingi. 3. udongo ulio chini ya bahari, mto au ziwa. 4. tuta" bee,noun,"nyuki. make a ~ line for, -enda kwa njia ya mkato" beech,noun,namna ya mti kama beef,noun,nyama ya ng'ombe. --tea n. mchuzi wa nyama ya ng'ombe. --wood n. mvinje beer,noun,bia; pombe; ulevi beet,noun,kiazi sukari. red - figili ipikwayo na kuliwa kama mboga. white - kiazi cheupe kitengenezewacho sukari beetle,noun,kombamwiko: mdudu wa jamii ya mende mwenye mabawa atambaaye beforehand,adverb,mbele; kwanza; kabla beg,verb transitive/intransitive,"(-gg-) omba; taka; ng'ang'ania. food which is going -ging, chakula kisichotakiwa. I - to differ, sikubali. I - your pardon, niwie radhi; kunradhi. -gar n. mwombaji; maskini; fukara; mkata; omba-omba; mlalahoi" begin,verb transitive/intransitive,(began begun) anza; ingia behalf,noun,"niaba; on (in) ~ of, kwa niaba ya; aka wakilisha" behave,verb intransitive,tenda; endajiweka. behaviour behave,noun,tabia; mazoea; silka; desturi; adabu being,noun,"1. kuwa. 2. kiumbe. 3. The Supreme ~, Mwenyezi Mungu. human ~, mtu; binadamu; mja" belief,noun,1. imani; shahada; itikadi. 2. dhana; wazo believe,verb transitive/intransitive,"amini; sadiki; dhani; tumaini. in, amini. believer" believe,noun,muumini; mfuasi bell,noun,kengele belligerent,noun,mfanya vita; enye kupenda vita belligerent,adjective,ushari bellows,noun,mivuo; mivukuto; viriba belly,noun,tumbo belly,verb intransitive,"- out, hutumika kwa matanga yanapovimba kwa upepo; fura; tuna" beloved,adjective,pendwa; penzi beloved,noun,penzi; mpenzi belt,noun,1. mshipi; ukanda; mkanda. 2. ukanda mrefu wa ngozi wa kuunganisha magurudumu na kuendesha mashine bench,noun,1. ubao wa kukalia; benchi; dawati. 2. meza ya kazi. 3. kiti cha hakimu; kadhi; kundi la mahakimu (majaaji; majakadhi) katika baraza la mahakama bend,verb transitive/intransitive,"(bent) 1. pinda; kunja. 2. pindika; geuka; nesa; nepa; kunjika; elekeza (akili, macho, etc.). --one's mind to one's work, elekeza nadani zote kazini; kufanya kazi kwa bidii. bent on, enye nia; enye bidii" bend,noun,mpindo; kona; mshazari benediction,noun,baraka; dua ya kukatia heri benefaction,noun,fadhila; jamala; sadaka; tendo la wema; hisani. benefactor benefaction,noun,mfadhili; mtenda mema; mhisani benefit,noun,faida; fadhila; maendeleo; manufaa; cheo. v.t.bəˈnevələnt/ benefit,adjective,paji; karimu; -ema bent,noun,"tabia; mwelekeo wa mtu. She has a ~ for sewing, ni hodari sana wa kushona" benzene,noun,"benzeni; aina ya mafuta yasiyokuwa na rangi yapatikanayo kwenye lami ya mkaa wa mawe na petroli, hutumika katika utengenezaji wa" benzine,noun,"benzini: aina ya mafuta yasiyokuwa na rangi yapatikanayo kwenye petroli iliyokuwa haijasafishwa, hutumika kusafishia nguo" berth,noun,"1. kijumba cha melini au garini. 2. mahali pa meli kutia nanga. give a wide - to, epa; ambaa; toa nafasi" beryllium,noun,"aina ya elementi ya madini ya kijivu na ni nyepezi, hutumika sana katika aloi za shaba" beside,preposition,"kando ya mbavuni mwa. He is - himself with anger, amerukwa na akili kwa hasira. That is - the question, hilo halihusiani na hili. ~s prep./adv. zaidi (ya); juu (ya); tena" besiege,verb transitive,"zingia, zunguka; shambulia pande zote sb., with requests, omba sana kwa nguvu bila ya kuachia" bestial,adjective,a hayawani; a kuchukiza; kama hayawani bet,verb transitive/intransitive,(-tt-) pinga; weka sharti; pakiliana bet,noun,sharti ya bahatisho; dau; cheza kamari beta particle,noun,chembe beta: elektroni inayotokana mbungo wa nyutroni fulani beta radiation,noun,"mnururisho beta: miali inayotokana na madini, kama vile urani au plutoni ambayo ina chaji hasi" betray,verb transitive,"1. haini, danganya; saliti. 2. toa siri (ama kwa bahati mbaya ama kwa kusudi). 3. bainisha; onyesha wazi" beware,verb transitive/intransitive,angalia; tahadhari; jihadhari! bible,noun,biblia. biblical bible,adjective,a biblia biceps,noun,misuli ya mkono iliyo kati ya kiko na bega bid,verb transitive/intransitive,"(-dd-) 1. (bid, bade, bidden) zabuni; pandisha bei. 2. amuru; agiza; amblia; agia. bidder" bid,noun,"mzabuni. first bid, rasimu final bid, shiri" bidding,noun,"do sb's ~ding, mtii fulani" big,adjective,kubwa; kuu; nene bigbang,noun,nadharia mng'ano: nadharia kwamba vitu vyote ulimwenguni vilibuma kutokana na mng'ano mkubwa bile,noun,nyongo. (fig.) uchungu; chuki. bilious bile,adjective,"enye uchungu; chuki. bilious attack, ugonjwa wa chuki: hali ya uchungu ulioletwa na nyongo wa kushinikiza kutapika" bilingual,adjective,enye kuzungumza au kuhusu lugha mbili bill,noun,mdomo wa ndege bill2,noun,"1. bili; hesabu; gharama. 2. tangazo lililopigwa chapa. 3. mswada wa sheria. 4. (katika biashara) ~ of exchange, hawala; hundi; cheki" billiards,noun,bilyadi: mchezo wa kugonganish tufe tatu juu ya meza ya kitambaa maalumu kwa kuzigonga nyingine ili kuziingiza ndani ya mifuko ya meza hiyo billion,noun,milioni milioni (katika nchi za Amerika na Ufaransa ni milioni elfu) bimetallic strip,noun,pau metabilimiti: ufito wenye metali mbili tofauti zilizogandamizwa pamoja bin,noun,pipa la kuwekea nafaka; takataka etc binary,noun,jozi; enye sehemu au vizio viwili. ~ fission mwtatuko: 1. utendaji wa kinyuklia unaosababisha kiini kizito cha atomu kumegereka katika sehemu mbili na papo hapo zikatoka nyutroni na kutoa kiasi kikubwa sana cha nishati ya kinyuklia. 2. uzalishaji wa viumbehai ambapo kiumbe wa seli moja hugawika sehemu mbili kupata viumbe viwili hai viikiwa sawa. ~ system mfumo jozi: mfumo wa kuhesabu unaotumia tarakimu mbili tu ambazo ni 0 na 1 binoculars,noun,darubini ya macho mawili. binocular vision uono darubini: uweze hasa wa wanyama kutumia macho yao kuona vitu kama vilivyo na uwezo kupima masafa binomial,noun,"mtajo-vipeo; mtajozi: mtajo ambao ni jumla au ni tofauti ya mitajo miwili tu katika algebra, aidha kwa kujumulisha au kutoa" biochemistry,noun,biokemia: sayansi ya kemia ya viumbehai biodegradable,adjective,enye kuweza kuvunjwavunjwa na bakteria au viumbehai kwa njia za kibiolojia biogas,noun,"biogesi: gesi inayopatikana kwa mchanganuo wa mata mahuluku, hasa toka kwenye samadi ya wanyama kama ng'ombe" biography,noun,maandishi ya habari za maisha ya mtu biological control,noun,"udhibiti biolojia: udhibiti wa viumbe waharibifu kwa kutumia njia za kibiolojia, kama kutumia wanyama wengine kuwala wale waharibifu, pasipo kutumia kemikali" biology,noun,"biolojia: elimu ya asili na maumbo ya viumbe vyote hai, yaani binadamu, wanyama na mimea" biomass,noun,jumla ya viumbe vyote vinavyoishi katika eneo fulani bionic,adjective,~ a bionia: (kwa mtu) ambaye viungo au nadhari zake zinaongozwa na mitambo ya elektroniki badala ya kuongozwa na akili biosphere,noun,biosfia: tabaka laani: eneo lote la uso wa dunia ambamo viumbe hai hupatikana biotechnology,noun,"bioteknolojia: matumizi ya viumbehai kibiolojia viwandani kwa manufaa fulani, hususan matumizi ya uhandisi jeni katika utengenezaji wa dawa za kujiuvjasimua na homoni" biotic,adjective,~ nye kuhusiana na viumbehai kibiolojia. ~ environment mazingira hai; mazingira yatokanayo na harakati za viumbehai. ~ factor kiumbe chochote katika mazingira bird,noun,ndege birth,noun,uzazi; uzawa; uzao; nasaba; ukoo: ~ control udhibiti uzazi: mpango wa kuratibu mfumo wa bird kuongeza binadamu kwa kiwango maalumu biscuit,noun,biskuti bisect,verb transitive,kata sehemu mbili zilizo sawa kabisa bishop,noun,askofu bismuth,noun,bismathi: elementi ya kemikali yenye rangi ya kijivu cheupe ambayo hutumika katika aloi na pia huchanganywa na vitu vingine katika dawa bit,noun,kipande; sehemu; chembe. by haba na haba; kidogo kidogo. a ~ kidogo. wait a ~ ngoja kidogo bitch,noun,jike la mbwa au la mnyama yoyote wa jamii ya mbwa bitter,adjective,1. -chungu; -kali; -enye kakasi. 2. -a kutia huzuni; ngumu kuvumiliwa; enye hasira bitumen,noun,bitumeni: aina ya lami itokanayo na petroli bit²,noun,1. lijamu. 2. a brace and msumari wa kikee black,adjective,"1. -eusi; -a giza. 2. (fig.) -baya; -a kisirani; -a nuhusi; -a mkosi. be in sb's ~ book(s), kutopendwa na fulani; wa -mchukiza kwa mtu" bladder,noun,1. kibofu. 2. mpira laini wa ndani ya mpira wa miguu; plada blade,noun,1. bapa. 2. jani. 3. bapa la kaskia au kafi; wembe blame,verb transitive,karipia; kemea; laumu; shutumu blame,noun,shutuma; lawama blank,adjective,"1. -tupu; -eupe. 2. (kwa uso au macho mtu) -kipumbavu. -liyofadhaliak; -liyotoweka. 3. space, nafasi tupu; wal, ukuta usio na mlango wala madirisha" blast,noun,"1. upepo wa ghafla; dhoruba ya upepo, mfyuko" blaze,noun,1. moto unaong'aa sana; ndimi za moto. v.i/t. waka; ng'aa; meweka; mwesa blaze,verb transitive,1. bandua kipande cha gome mtini kama alama ya kuonyesha njia au mpaka. 2. tia alama/alama ya paje ya mnyama bleak,adjective,"(kwa tabia ya nchi) baridi; a ukiwa; (kwa mahali) eupe, a kuvumiwa na upepo mwingi; tazamia mambo ya mbele bila matumaini" bleat,verb intransitive,lia kama kondoo; lia kijinga bleat,noun,"mlio kama wa kondoo, mbuzi au ndama" blemish,noun,ila; upungufu; athari; dosari; nakisi; hitilafu; mapungufu ya kiroho au kimwili blight,noun,1. maradhi ya mimea. 2. chochote kiharbucho au kuangamiza blind,adjective,"1. pofu. (fig.) jinga. 2. siyefikiri in ~ haste, kwa haraka bila kufikiri; a ~ spot in a corner, kona ambayo dereva wa gari haoni mbele. 4. ~ spot" blind,noun,doto pofu; kituo katika retina ambapo mishipa yote ya damu na mishipa ya neva huingia katika neva optiki blind²,noun,"pazia; hila; uongo; mtego, ghilba" bliss,noun,furaha kubwa; jaha blister,noun,lengelenge; tumbuja bloated,adjective,(be) 1. liyevimba kwa maradhi. 2. liyevimba; kubwa kuliko kiasi block,noun,"1. gogo la mti au jiwe. a chip off the old ~ mtu afanaye sana na baba yake kwa umbo au kwa tabia. 2. bloki; nyumba nyingi za fleti pamoja. 3. kipande cha nati au chuma cha kupigia chapa chenye herufi au picha zilizochorwa juu yake. 4. uzio; kizuizi; kikwazo. traffic ~ msongamano wa vipando barabarani. 5. letters, herufi kubwa" block,verb transitive,"1. funga njia; zuia. 2. in, chora umbo, picha au ramani" blockade,noun,uzuiaji; kizuizi; vikwazo blockade,verb transitive,zunguka kwa nguvu; husuru; zingia. economic ~ vikwazo vya uchumi blood,noun,"damu. in cold ~ bila hasira. make bad ~ between, gombanisha. one's own flesh and ~ ndugu. His ~ was up alikuwa myonye" bloom,noun,ua. (fig.) kipindi cha kukamilika bloom,verb transitive,toa maua; chanua; sitawi blossom,noun,ua: maua mengi blossom,verb intransitive,toa maua; chanua; stawi blouse,noun,blauzi; vazi la kike blow²,noun,pigo; msiba; maafa; masaibu bluff,verb transitive/intransitive,danganya; ghilibu; laghai bluff,noun,udanganyifu; ulaghai; ghiliba bluff²,noun,jabali kubwa; joma; genge; lililo karibu na bahari au mto bluff³,adjective,-nyofu; dhahiri blunder,noun,kosa; koseo; kashfa blunder,verb intransitive,fuja; sitasita; koroga; chafua; kosea; boronga blunt,adjective,"1. -butu. 2. (kwa maneno) -a wazi, -a kweli" blurt,verb transitive,(out) sema ghafla; payuka boa,noun,aina ya chatu wa Amerika boar,noun,nguruwe dume mwitu board,noun,1. ubao. 2. baraza; bodi; halmashauri. 3. meza. above ~ wazi; dhahiri. sweep the ~ shinda zawadi nyingi katika mashindano. 4. chakula kinachotolewa katika vyumba vya kupanga na mabweniini. 5. jalada board,verb transitive/intransitive,1 board,noun,meza au kabati la vyombo boast,noun,majisifu; majivuno boast,verb transitive/intransitive,"jiona; jamba; jiboda. Our school ~s a good swimming pool, shule yetu inajivunia bwawa zuri la kuogelea" boat,noun,"1. mashua; boti; meli. (fig.) be (all) in the same ~, wa wote katika hali moja. burn one's ~s, kufanya shauri bila kujipa nafasi ya kughairi" bob²,noun,(slang) shilingi body,noun,"1. mwili. 2. kiwiliwili. 3. maiti; mzoga. 4. kikosi; jeshi; kundi. 5. mtu any, mtu yeyote" bog,noun,ziwa la matope boil,verb intransitive/transitive,1. chemka; chemsha; tokosa; pika. 2. kasirika; hamaki; ghadhibika boil?,noun,jipu boisterous,adjective,1. -enye kupenda kelele; -enye tadh; inda; -enye fujo; -enye jeuri. 2. hali mbaya ya bahari au hewa bold,adjective,shujaa; jasiri; thabiti; -shupavu; jeuri bolster,noun,mto mrefu na mnene wa kulazia kichwa bolster,verb transitive,(up) saidia mtu atakae sana msaada lakini pengine asiyestahili kusaidiwa; tegemeza; imarisha bolt1,noun,"1. komeo. 2. skrubu, parafujo. (la kizamani) mshale, risasi" bolt1,verb transitive,komea; kaza; funga bomb,noun,kombora; bomu; mzinga. ~ard vt. piga mzinga; tupia makombora. (fig.) hoji sana bond,noun,"1. sharti, dhamana; bondi; mkataba. His word is as good as his - neno lake ni sawa na mkataba, yaani havunji ahadi yake. 2. kiungo" bone,noun,"mfupa; mwiba wa samaki. 2. (fig.) to the ~ ndani kabisa. be drenched to the ~ roa chapachapa. have a ~ to pick with sb., taka kumshitaki fulani" bonfire,noun,moto mkubwa uwashwao kwa sherehe ya jambo fulani bonus,noun,"bahashishi; zawadi; malipo ya ziada baada ya kazi, kwa kawaida hutolewa kwa msimu" book,noun,"1. kitabu; msahafu; biblia; daftari; sura. 3. bring sb. to ~ shtaki; taka sababu ya kosa; ita ili kutoa maelezo. be in sb's good (black, bad) ~s, kupendza (kutopendza) kwa mtu fulani" book,verb transitive,1. andika katika daftari. 2. wekeza oda tiketi ya safari boom1,noun,1. foromali ndogo (ya marikebu). 2. boriti iliyofungwa mlingoti kwa kutweka au kutoa shehena melini. 3. kizuizi kama magogo kilichowekwa mtoni au bandarini kuzuia vyombo kuingia boom2,verb intransitive/transitive,"n. (kwa miziga, ngurumo, etc.) nguruma; mingurumo" boom3,noun,ustawi au nafuu ya ghafla kwa bidhaa boomerang,noun,1. gongo bapa mpindiko ambalo likirusha humrudia mrushaji. 2. jambo baya linalomrudia mtu mwenyewe aliyekusudia kufanya ubaya boot,noun,"kiatu cha kutumbukiza mguuni. buti. have one's heart in one's boots, ogopa mno" border,noun,1. ukingo; pindo; taraza. 2. mpaka border,verb transitive,pakana na; karibia; tarizi pinda bore1,verb transitive,"toboa; pekeeha. n 1. kitobo. 2. kipimo cha duara ya tundu ya mtutu wa bunduki, mzinga, etc" born,noun,"mfupa wa kiko cha mkono upitishao neva-ulna. -farm, hospitali ya vichaa" boron,noun,elementi ya borrow,verb transitive/intransitive,azima; kopa; iga; fuatisha bosom,noun,"kifua; moyo. a friend, msiri" boss,noun,(colloq.) bwana; msimamizi; bosi mkuu; meneja botanical,adjective,-a mimea botanist,noun,mtaalamu wa mimea botany,noun,"taaluma ya maumbile, hali, jeni, na aina za jamii ya miti na manufaa yao" bottom,noun,"chini; tako - upwards, kifudifudi. at -, hasa, kwa kweli. -less adj. -a kina kirefu mno. the -less pit, shimo la manemgazi; mtogoni" bough,noun,tawi kubwa la mti; utanzu boulder,noun,jabali lililolainishwa kutokana na kuroweshwa sana na maji bound,noun,mpaka; mipaka; upeo; kikomo; mwisho bound,verb transitive,weka mipaka ya. -ary n. mpaka bound,verb intransitive,"ruka by leaps and -s, upesi, haraka sana" bound,noun,mruko bounteous,adjective,paji; karimu; -ingi bounty,noun,ukarimu; bahashishi; baraka; zawadi bout,noun,zamu; kipindi; jaribio; shindano bow,noun,"1. upinde, uta. draw the long -, piga chuku. 2. fundo" bow,noun,gubeti ome bowels,noun,matumbo bowl,noun,bakuli box,noun,"sanduku; bweta; kasha; kijaluba. Christmas -, zawadi ya krismasi" boy,noun,"1. mtoto mdogo wa kiume; mvulana. 2. boi; mtumishi mwamume -hood n. ujana, utoto. -ish adj. -a mtoto mwamume" boycott,verb transitive/noun,gomea; piga pande brace,noun,kitu cha kufungia au kukazia; ukanda. - and brit. keke brace,verb transitive,"tia nguvu; burudisha; kaza. a bracing climate, hali ya hewa ya kuburudisha" bracelet,noun,kikuku; bangili; pingu; kingaja; kilinzi braces,noun,kanda za kushikilia suruali bracket,noun,"1. kitegemeo cha mti au cha chuma. 2. alama za mabano ( ), [ ], { } zitumiwazo katika maandishi" brain,noun,"ubongo, akili. have a good -, wa na akili nyingi" brake,noun,kizuio; breki bran,noun,makapi ya nafaka; kumvi; pumba branch,noun,"1. tawi, sehemu" brand,noun,"1. kinga; alama; chapa; stempu; muhuri. 2. alama ichapwavyo kwa chuma cha moto; nembo ya biashara. the best ~ of coffee, aina bora za kahawa" brand,verb transitive,"tia alama ya chuma. (fig.) tia alama ya kudumu juu ya. be ~ed as a coward, julikana kuwa ni mwoga" brandy,noun,brandi; aina ya mvinyo mkali utengenezwao kwa zabibu brass,noun,1. shaba nyeupe. 2. (colloq.) ufedhuli; usafihi; ujuvi; ushupavu. ~ band brass,noun,kundi la wapiga matarumbeta brave,adjective,shujaa; hodari; shupavu; jasiri; thabiti brawn,noun,nguvu ya mwili; gimba; unene breach,noun,"1. uvunjaji (sheria, ahadi, etc.). of the peace kuvunja amani kwa kupigana upya. 2. tundu; ufa (kama katika ukuta au boma lilipobomoka)" bread,noun,mkate breadth,noun,"upana; mapana. of mind, hali ya kuzingatia fikira za watu wote. to have ~ of vision, kupima na kuzingatia mambo" breakfast,noun,chakula cha asubuhi; kifungua kinywa; kisabeho breast,noun,"1. maziwa; machuchu. 2. kifua; kidari. 3. moyo. a troubled ~, moyo wenye hangaiko. make a clean ~ of, kiri; ungama yote" breath,noun,pumzi; roho breathe,verb transitive/intransitive,"ruita pumzi; pumua; pumzika; tafanasi; ishi. 2. nong'ona. Don't ~ a word, usionge neno lolote" bridal,adjective,-a bibi arusi; -a arusi bride,noun,bibi arusi bridge,noun,1. daraja; kantara. 2. jukwaa juu ya sitaha ya meli ambapo maafisa hutoa amri zao. 3. matago bridge,noun,mchezo wa karata wa watu wanne brief,adjective,fupi; liodumii kwa muda mfupi. in - kwa ufupi. hold a - for: tetea; daia. -ly adv. kwa ufupi; kwa muhtasari. -ness n. ufupi bright,adjective,1. -enye kung'aa; eupe; safi; -angavu; -a furaha; changamfu; kunjufu; cheshi. 2. (fig.) -enye akili brilliance,noun,mng'ao; umahiri; uhodari mkubwa brilliant,adjective,-a kung'aa; a kumetameta; -enye akili; zuri bring,verb transitive,"(brought) leta. to - to him to agree, kumkubalisha to - to my (his, our, etc.) notice kunifahamishe (kumfahamisha, kutufahamisha, etc.); up, lea; tapika; simamisha. bring an action against, shtaki; dai. bring home, dhihirisha; thibitisha; eleza bayana" brisk,adjective,-a mwendo wa haraka; mwepesi. -ness n. wepesi brittle,adjective,-epesi kuvunjika japo ngumu; dhaifu broad,adjective,"pana. (fig.) --minded adj. mtu mwenye maarifa mapana na huru. -daylight, mchana. - hint, dokezo dhahiri. --en v.t/i. panua; panuka" broadcast,verb transitive,tangaza broadcast,noun,matangazo ya redio au televisheni broker,noun,wakala; dalali bromine,noun,"kampaundi ya elementi ya kemikali majimaji ya rangi nyekundu iliyokoza, hutumika katika madawa na fotografia" bronchitis,noun,ugonjwa wa kifua bronze,noun,shaba nyeusi brooch,noun,kifungo cha kujipambia; bizimu brood,noun,makinda yaliyoanguliwa pamoja na vt. atamia. (fig.) fikiri; tafakari; shika tama brook,noun,"1. kijito mdogo. 2. vumilia, hasa usipende" broom,noun,ufagio; fagio; mfagio broth,noun,mchuzi wa nyama au samaki brother,noun,ndugu wa kiume. --in-law n. shemeji. --hood n. udugu; umoja wa watu. (half-n. ndugu wa baba au mama mmoja tu) brow,noun,1. paji la uso; kipaji; kikomo cha uso. 2. ukingo wa kilima. --beat v.t. onea; chulumu; ogofya; tolea maneno au kazia macho browse,verb intransitive,1. tafuna majani kama wafanyavyo ng'ombe. 2. (fig.) soma maandishi juu juu bila ya makini madhubuti bruise,verb transitive,chubua; babua; gunyua; chuna bruise,noun,mchubuko; ubabukaji brutality,noun,ukatili; ukali; ukorofi brute,noun,1. mnyama; hayawani 2. mtu mbaya; katili brutish,adverb,a kinyama; a kikatili; enye nguvu bila akili. brutal brutish,adjective,katili; kali-korofi buck,noun,"dume wa jamii ya paa, mbuzi, sungura, etc" bucket,noun,ndoo buckle,noun,kifungo; bizimu buckle,verb transitive/intransitive,1. funga kwa bizimu. 2. pinda au pindika kwa moto; bonyéa bud,noun,jicho la ua; tumba; chipukizi bud,verb transitive,(-dd-) chipua; chanua; mea; kua budget,noun,1. bajeti; makisio 2. habari; taarifa buffalo,noun,(-oes) nyati; mbogo bug,noun,jamii ya wadudu kama kunguni; kosa au kirusi katika kompyuta build,verb transitive/intransitive,"(built) 1. jenga; unda. 2. -up, ongeza nguvu; kuza; ziba. 3. tumainia; tegemea. umbo, a man of powerful ~ mtu mwenye umbo la nguvu" bulb,noun,1. umbo la kitunguu. 2. balbu; tungi (hasa la taa ya umeme) bulge,verb intransitive/transitive,vimba; tokeza; betuka bulge,noun,uvimbe; mbetuko; mtoki bulk,noun,1. wingi; ukubwa. 2. sehemu iliyo kubwa (ya). sell by ~ uza kwa jumla bull,noun,"1. fahali 2. dume la tembo, nyangumi, nyati au wanyama wengine wakubwa. take the ~ by the horns, jituarishie; kabiliana na jambo kwa ujasiri" bulldozer,noun,buldoza; tingatinga bullet,noun,risasi ya bunduki bulletin,noun,taarifa rasmi; kijarida cha habari za taasisi fulani kitolewacho mara kwa mara bullock,noun,ng'ombe maksai bully,noun,mchokozi; mtesi; mshari; jeuri bully,verb transitive,chokoza; onea; dhulumu bulwark,noun,1. boma; kinga. 2. ukuta mdogo uliouzunguka staha ya merikebu. 3. nguzo; kakara bump,noun,uvimbe; mtoki; mgongano bump,verb transitive/intransitive,gonga; gongana; dunda bumper,noun,1. kikombe; bilauri; gilasi bun,noun,mkate mdogo tena mtamu; andazi; hamuri bunch,noun,kicha; chana; fungu; tita; shada la maua bunch,verb transitive/intransitive,kusanya; kusanyika; funga pamoja; songana bundle,noun,furushi; robota; bunda bundle,verb transitive/intransitive,funga pamoja; tutika; funga bungalow,noun,nyumba ndogo; bangaloo bunk,noun,kitanda maalumu kama sanduku refu melini au kwenye garimoshi buoy,verb transitive/noun,"weka boya; weka chelezo, boya; chelezo; mliezi. up, eleza mtu au kitu majini kisizame; tia moyo" burden,noun,"mzigo; shehena; uldhia; taabu. beast of ~, mnyama wa kubebea mizigo" bureau,noun,"1. ofisi; dawati; meza yenye vitoto. de change, kituo cha kubadilishia fedha" burglar,noun,"mwizi aingiaye ndani ya jengo kwa kusudi la kuiba, kudhuru au kuharibu mali" burial,noun,kuzika; mazishi; maziko bursar,noun,mtunza fedha bus,noun,gari kubwa ya abiria; basi busbar,noun,kipitishi chenye kuweka na kugawanya umeme bush,noun,"pori; kichaka; gugu; msitu. beat about the ~, sema kwa mzunguko" business,noun,"1. shughuli; kazi. 2. biashara; uchumi. 3. jambo. mind your own ~, hayakuhusu" bust,noun,"kifua cha mtu; sanamu iliyochongwa ya sehemu ya kifua, hasa cha mwanamke" busy,adjective,enye kazi au shughuli nyingi vt but,conjunction,"lakini; ila; isipokuwa; tu. He all - fell, nusura aanguke" butcher,noun,mchinji nyama; muuaji; katili butter,noun,siagi; samli buttock,noun,tako; kitako button,noun,kifungo; kibonye-switchi ya kuwashia umeme buttress,noun,nguzo ya kuegemezea ukuta wa nje buzz,noun,mvumo kama wa nyuki. vi. vuma kama nyuki; ng'ong'a by,preposition,"katika; kando ya; karibu na; na; kwa. He was killed by a soldier, aliuawa na askari. day ~ day, kila siku ipitayo" cab,noun,1. gari ndogo ya abiria. a taxi - gari ya teksi. 2. chumba cha mwendeshaaji katika garimoshi cabbage,noun,kabichi; mboga majani yenye umbo kama tufe cabin,noun,1. nyumba ndogo kama kibanda; 2. kijumba hasa cha melini; shetri cabinet,noun,1. kabati la kutunzia vitu au kuonyesha biashara. 2. baraza la mawaziri cable,noun,1. amari; kamba nene ya katani au ya usumba. 2. waya wa simu uliotandikwa chini ya ardhi au baharini; simu. vt. piga simu cacao,noun,mkakao; aina ya mti; mbegu zake hutumika kutengenezea kokoa cache,noun,"ficho la fedha, vyakula au zana za kivita" cactus,noun,jamii ya mimea kama mpungate cadet,noun,"mwanafunzi, hasa wa ngazi ya afisa katika jeshi" cadmium,noun,"kadimiamu: elementi ya kemikali ya namba 48, yenye rangi ya fedha na nyeupe inayofanana na bati" caecum,noun,sikamu; chekum: tawi butu la utumbo baina ya utumbo mpana na utumbo mwembamba caesium,noun,siziamu: elementi ya metali yenye rangi ya fedha caesura,noun,kisito; kituo kidogo katika mstari wa ubeti wa shairi cafe,noun,mkahawa caffeine,noun,kafeni: aina ya dawa inayopatikana katika buni isitumwayo mwili cage,noun,kizimba; tundu cage,verb transitive,funga tundu cake,noun,"keki; mkate mtamu; donge; kipande. a- of soap, kipande cha sabuni" calabash,noun,"tree mbuyu. fruit, buyu, tungu, tunguri; kibuyu" calamity,noun,janga; msiba mkubwa; hasara; maafa; baa; balaa calcium,noun,"kalisi: Kalisiamu: elementi ya kemikali ya namba atomia 20, ni metali yenye rangi ya kijivu kama fedha na hupatikana kwenye chokaa, jasi au gange" calculate,verb transitive/intransitive,"hesabu; fikiri; jishauri. upon, tumainia; tegemea; amini. calculator" calculate,noun,ala ya elektroniki itumwayo kufanyia hesabu calculus,noun,kalkulasi: tawi la hisabati linalohusu viwango vya ubadilishaji caldera,noun,lusoko: bonde lenye umbo la bakuli linalofanyika wakati volkano inapobomoa kileleni mwa mlima calendar,noun,kalenda calf,noun,(calves) ndama calf,noun,(calves) misuli ya mguu calibrate,verb transitive,sawazisha; geza; rekebisha chombo cha kupimia ili kionyeshe data halisi calibration,noun,ugezaji; kigezotundu; usawazishaji calibre,noun,1. kipimo cha duara cha tundu ya mwinzi wa bunduki au mzinga. 2. kima cha akili au uwezo wa mtu call,verb transitive/intransitive,1. taja; ita; piga simu; amka; adhini call,noun,"Give my name and you will be called, taja jina na utaitwa. 2. dhani. I that a mistake, nadhani hilo ni kosa" callous,adjective,1. gumu; enye ganzi. 2. shupavu; katili; sugu calm,adjective,shwari; tulivu; pole; makini calm,noun,shwari; utulivu; amani; raha calm,verb transitive/intransitive,tuliza; tulia; fariji; nyamazisha; tulia; nyamaza calorie,noun,kalori: kiasi cha joto kinachohitajika kupandisha kima cha gramu moja ya maji kwa digrii moja ya sentigredi; kizio cha joto sawa na jul 4.18. calorific value calorie,noun,thamani ya kalori: idadi calyx,noun,kalkisi: sehemu yote ya ua inayokingwa na sepali kwa nje cam,noun,keme: kipande kitokezacho katika gurudumu la mashine cha kubadili mwendo usiwe wa kuzunguka ila uwe wa kupanda na kushuka cambium,noun,"kambiamu: seli maalumu hai za miti zinazohusika na ukuaji wa kigogo na mizizi, hutokana na kugawanyika kwa seli hizo" camel,noun,ngamia camera,noun,"kamera: chombo cha kupigia picha kwa kutumia mwanga. in ~ faragha, si hadharani" camp,noun,kambi: kituo camp,verb intransitive,tua safarini; piga kambi campaign,noun,"1. muda vita vinapoendelea. 2. shughuli yenye kusudi maalumu, eg. a kushinda maradhi fulani, kampeni etc" can2,noun,kopa la bati; mkebe can2,verb transitive,(-nn-) tia koponi; tia katika mkebe canal,noun,njia ya maji iliyofanywa na watu; mfereji canary,noun,kirumbizi cancer,noun,"kansa, saratani: aina ya maradhi yanayosababishwa na kasoro ya ugawanyikaji wa seli mwilini kama vile uvimbe au vidonda" candid,adjective,-nyofu; adilifu: a kusema bila upendeleo; a kusema bila kuficha candidate,noun,"mtakaji; mtalimiwa. mgombea; mwombaji; ajaribuye kupata cheo, kazi, etc. The was elected: mwombaji alichaguliwa" candle,noun,"mshumaa. The game is not worth the ~ ni duni kiasi cha kutostahili kushughulikiwa. burn the ~ at both ends, poteza kote kuwili" candour,noun,"unyofu, uadilifu; maadili; tabia ya kusema bila upendeleo au kuficha" cane,noun,henzerani; mwazi mwembamba cane,verb transitive,piga kwa henzerani cane,adjective,"-a henzerani. sugar- ~, sugar: sukari ya miwa" canine,adjective,"-a mbwa. teeth, meno chonge" cannibal,noun,mtu mla watu. -ism n. ulaji nyama ya binadamu cannon,noun,mzinga. -ade n. upigaji mizinga. -ball n. risasi ya mviringo ya mzinga canoe,noun,mtumbwi; ngalawa; dau canon,noun,1. kanuni; sheria. 2. kasisi mwenyekiti katika halmashauri ya kanisa kuu la jimbo la askofu. -ical adj. -a kufuata sheria canteen,noun,"1. mkahawa (hasa katika vyuo, kambi za askari, maofisi). 2. duka la bidhaa za vyakula. 3. kisanduku cha vyombo vya kupikia na kulia" cantilever,noun,wenzo fungwa; mhimili unaozuia roshani canvas,noun,turubali. under- ~ kambini; hemani cap,noun,kofia; kifuniko cap,verb transitive,vika kofia; funika. - block faruma capable,adjective,"enye uwezo; stadi; hodari; enye, eg. in a situation ~ of improvement, hali inayoweza kustawi zaidi. capability" capable,noun,uwezo; akili; nguvu capacitor,noun,kapasita capacity,noun,"ujazifu: uwezo wa kuweka vitu, wa kutahamu. capacious" capacity,adjective,enye nafasi au uwezo mwingi cape1,noun,vazi lisilo mikono la kuvaa mabegani cape2,noun,rasi capillary,noun,kapilari: uso wa kioevu unaopanda na kushuka katika neli nyembamba capital,noun,1. mji mkuu wa nchi. 2. herufi kubwa. 3. rasilimali; mtaji. 4 capsule,noun,1. kidonge cha dawa kilichowikwa gamba la jelatini. 2. fumbuza; tunda kavu ambalo hupasuka na kutoa mbegu captain,noun,1. kapteni; nahodha; kiranja. 2. ofisa mwenye cheo cha kapteni caption,noun,"maelezo mafupi ya habari fulani katika kitabu, gazeti, au chini ya picha" captive,noun,mateka; mfungwa. captivity captive,noun,utumwa; kifungo. capture captive,verb transitive,kamata; nyang'anya captive,noun,kutia mbaroni; kuteka nyara car,noun,gari; motokaa caravan,noun,"1. msafara. 2. nyumba maalumu kwa ajili ya kuishi au kupumzikia, huvutwa na gari ndogo" carbohydrate,noun,kabohidreti: aina ya chakula cha wanga chenye sukari carbon,noun,"kaboni: elementi yenye namba atomia 6, mkaa (grafiti) ikiwa hali mahuluti na almasi katika hali menyu, pia huwepo katika kampaundi zote mahuluku" carburettor,noun,"kabureta: chombo chenye kuchanganya mvuke wa petroli pamoja na hewa katika mashine, hasa gari" carcass,noun,mzoga carcinogen,noun,kisonijeni: kitu chochote kina choweza kusababisha kansa card,noun,"karata; kadi. post ~s, postikadi: kadi zenye picha na maandishi. christmas ~s, kadi za krismasi. playing ~s, jozi ya karata. put one's ~s on the table, toa mawazo yako yote kuhusu jambo. playing one's ~s well, wa na akili katika kufanya jambo. be on the ~s" cardinal,adjective,"kuu; -a maana. - numbers, moja, mbili, tatu, etc. - points, kaskazi, kusi, mashariki, magharibi" cardinal,noun,kadinali: mmojawapo wa wakuu wa baraza ya Papa care,noun,1. tahadhari; hadhari; uangalifu; utunzaji; usimamizi; himaya. take ~ angalia. 2. taabu; mashaka care,verb intransitive,shugulikia; jali. - for; penda; tunza; hurumia. -ful adj. angalifu. -less adj. zembe. -taker n. mtunzaji; mwangalizi career,noun,1. kazi; ajira. 2. namna ya maisha; mwendo; mwendo career,verb intransitive,"enda mbio. - along through (over) a place, pita upesi bila ya kuangalia" caress,verb intransitive,bembereza; busu; kumbatia; papasa; tomasa cargo,noun,(-oes) shehena; mizigo carnal,adjective,-a kuhusu mwili; -a tamaa za kimwili carnival,noun,sikukuu au sherehe ya watu waliovaa mavazi ya mapambo iliyombatana na ngoma na cherekochereko carnivorous,adjective,enye kula nyama carol,noun,"wimbo wa furaha au kusifu, hasa wa sikukuu ya kuzaliwa kwa Kristo" carpel,noun,kapeli: sehemu ya ua ambayo ndani yake mbegu hufanyika carpenter,noun,seremala. carpentry carpenter,noun,useremala carpet,noun,zulia carpet,verb transitive,tandaza zulia carrier,noun,"1. mchukuzi; mpagazi; hamali. 2. kichukuzi; mwambukizaji, aenezae ugonjwa" carry,verb transitive/intransitive,"1. chukua. 2. -wa na. 3. jitembeza. 4. shinda; shawishi. - one's point, shawishi watu wakubali shauri lako. 5. peleka. The pipes ~ water to the town, mabomba hupeleka maji mjini. 6. endeleza. - all before one, shinda pingamizi zote. - ~ away, chukua kupeleka mahali pengine. (fig.) vuta nadhari; forward, hamishia juu ya ukurasa mwingine. - off, chukua kwa nguvu. on, endeleza; samamia. carry on! endelea! - on business, jishughulisha katika kazi. - on a conversation with someone, zungumza na fulani. - (sth) through, timiza; tekeleza; maliza" cart,noun,"gari linalovutwa na mnyama la kuchukua mizigo; mkokoteni. put the ~ before the horse, tibua mambo" cartilage,noun,negegedunia ya tishu nyororo nyeupe iliyombatana na tishu za mfupa cartography,noun,uchoraji ramani. cartographer cartography,noun,mchoraji ramani cartoon,noun,katuni: picha au taswira ya kuchora ya kuchekesha. -ist n. mchora vikatuni cartridge,noun,ala ya risasi ya bunduki. ~ belt cartridge,noun,ukanda wa risasi carve,verb transitive/intransitive,"1. chora, tia au chonga nakshi. 2. kata nyama. carver" carve,noun,stadi wa kutia nakshi; kisu cha kukatia nyama. carving carve,noun,nakshi case,noun,"1. jambo kadhia; hali. 2. mgonjwa. five ~s of malaria fever, wagonjwa watano wa malaria. 3. (law) kesi daawa" case²,noun,kasha; sanduku; bweta; ala cash,noun,"fedha; pesa za kutumia; sarafu. hard ~, spot fedha taslimu" cash,verb transitive,badili noti; hunda; hawala ya fedha kwa fedha taslimu cask,noun,pipa; kasiki cassava,noun,"muhogo. leaves, kisamvu" cassock,noun,"vazi lililofanana na kanzu, huvaliwa na makasisi, wahudumu na waimbaji wa kanisani" caste,noun,jamii ya watu hasa Barahindi wa tabaka lenye hadhi au madhehebu castle,noun,"kasri; ngome; gereza; nyumba yenye boma; husuni - s in the air, mawazo ya kutamani mambo makuu usiyoweza kuyapata" castor oil,noun,"mafuta ya mbarika, ya mbono" castrate,verb transitive,hasi casual,adjective,"1. - a bahati; -a nasibu. - a ajali; 2. - a zembe. 3. - a kutoka mara kwa mara. - labourer, kibarua" casual,noun,"majeruhi; aliyeuawa; aliyepotea; aliyetoroka vitani; tukio baya, msiba" cat,noun,"1. paka. (fig.) Let the ~ out of the bag toa nje siri. Wait for the ~ to jump, ngojea fikira za watu wengine kabla ya kutoa zako. 2. mnyama yoyote wa jamii ya paka" catalyst,noun,"kichochezi; kitu, kemikali inayobadilisha kasi ya utendani" catapult,noun,manati; teo cataract,noun,1. maporomoko ya maji. 2. mtoto wa macho catastrophe,noun,msiba mkubwa; janga catastrophic,adjective,- a msiba; - a maangamizi catechism,noun,utaratibu wa kimuktasari wa mafundisho katika mfumo wa maswali na majibu. catechise catechism,verb transitive,fundisha kwa njia ya kuhoji category,noun,aina; namna; jinsi; jamii. categorical category,adjective,dhahiri; halisi; - a hakika. categorically category,adverb,kabisa; hasa; bila tofauti cater,verb intransitive,"- for, patia chakula, burudani, etc" caterpillar,noun,"1. kiwavi; chamvi. 2. tingatinga; katapila. - a, ukanda unaounganisha pamoja magurudumu ya mashine; gato" cathedral,noun,kanisa kuu katika jimbo la askofu cathode,noun,kathodi catholic,adjective,1. -a kufaa watu wote popote. 2. -a kuhusu Wakristo wote catholic,noun,mfuasi wa kanisa la Roma cation,noun,kesheni: molikuli au atomu ambayo ina elektroni chache kuliko protoni na hivyo ioni kubaki na chaji chanya cattle,noun,"mifugo, yaani ng'ombe, mbuzi, kondoo etc" cauliflower,noun,aina ya mboga kama kabechi cause,noun,1. sababu; asili; kisaudi. 2. dawa; kesi; madai cause,verb transitive,"lazimisha; shurutisha; sababisha; amuru. final —, lengo, ultimate —, chanzo; asili. proximate —, sababu" causeway,noun,njia ya mtaawe iliyoinuka juu ya bonde caustic,adjective,1. -a kubabua; -enye uwezo wa kuunguza. 2. -kali; chungu caustic,noun,magadi; chokaa. ~ soda caustic,noun,soda; magadi cauterize,verb transitive,choma kwa chuma cha moto au soda ili kuondoa sumu caution,noun,uangalifu; hadhari; onyo; indhari caution,verb transitive,onya; tahadharisha. cautious caution,adjective,angalifu; -enye hadhari cavalier,noun,mpanda farasi cavalry,noun,askari wapanda farasi cave,noun,"pango. to -, in, poromoka; bomoka" cavity,noun,tundu; shimo; mvu ngo; ghoba cedar,noun,mwerezi; msandali; mkangazi ceiling,noun,upande wa chini ya dari celebrate,verb transitive,1. tukuza; sifu; adhimisha; sherehekea celebration,noun,adhimisho; sherehe; sikukuu. celebrity celebration,noun,umaarufu; utukufu; mtu maarufu; mtu mashuhuri celestial,adjective,-a mbinguni celibacy,noun,ujane; useja; ukapera cell,noun,"1. chumba kidogo; kitundu; seli; mahabusu. 2. seli, kiini cha asili ya vitu chenye uhai. All animals and plants are made up of —s, wanyama na mimea vyote vimejengwa na seli" cellar,noun,ghala iliyo chini ya ardhi katika nyumba Celsius,adjective,"selsiasi; -a sentigredi: kizio cha joto kilichopewa jina la mtaalamu wa Kiswidi, A. Celsius (1701-1744)" cement,noun,1. saruji; simenti cement,verb transitive,tia saruji; unga kwa simenti; (fig.) imarisha; unganisha cemetery,noun,makaburini; mava; maziara census,noun,sensa; hesabu ya idadi ya watu katika nchi cent,noun,senti; sarafu ya sehemu ya mia kwa moja ya shilingi. five per ~: asilimia tano centigrade,adjective,"-enye digrii 100; e.g. kipimo cha joto kitwacho thermometer, kilichogawanywa sehemu 100. • scale kipimo cha sentigradi: kipimajoto kilichogawanywa katika nyuzi 100" centimetre,noun,"kipimo cha sehemu mia kwa moja ya mita, yaani 0.3937 ya inchi" centipede,noun,jongoo central,adjective,"a katikati; kuu kabisa. central nervous system, mfumo mkuu wa ubongo na neva kwenye uti wa mgongo. central processing unit, kitengo kikuu cha uchakataji: sehemu ya kompyuta inayofanya mlikokotoo, kusoma, kufasiri, kuchakata maelezo, kusimamia matumizi ya kumbukumbu na matokeo ya mfumo huo" centre,noun,"1. katikati. 2. kituo: mahali wanapokutana watu wengi kwa shughuli zao tofauti. The shopping ~ of a town, soko la mji. cultural ~, kituo cha utamaduni. information ~, kituo cha habari. 3. mtu au kitu kinachovutia. v.t/i. weka katikati; wa katikati. • one's hope on sth., tumainia kitu" centripetal,adjective,"tovu: -enye kuelekea katikati. force, kani tovu" century,noun,1. muda wa miaka mia. 2. karne. 3. mizunguko 100 katika mchezo wa kriketi Cephalopoda,noun,"sefalopodi: moluska wa jamii ya pweza, ngisi etc" cerebrum,noun,ubongo-mbele: sehemu ya mbele ya ubongo wa mnyama ceremonial,adjective,-enye kufuata kawaida au taratibu maalumu ceremonious,adjective,-enye sherehe; -enye heshima ceremony,noun,"sherehe. stand upon ~, timiza taratibu za jambo kwa ukamilifu" certain,adjective,"1. yakini; halisi; thabiti; hakika; maalumu; makhsusi. for ~, bila shaka make - hakikisha. 2. moja; fulani. 3. kidogo; baadhi. There was a doubt about his health, kulikuwa na shaka fulani kuhusu afya yake" certificate,noun,hati ya uthibitisho; cheti certify,verb transitive,"thibitisha; hakikisha. certified insane, imethibitishwa na daktari kuwa ni kichaa" cervix,noun,mlango wa uzazi: mlango mwembamba wa uterasi unaoungana na uke cessation,noun,kikomo; ukomo; mwisho cesspool,noun,shimo la kumwagia maji machafu; karo CFC,noun,ufupisho wa chlorofluorocarbon: aina ya kemikali itumikayo katika majokofu na vipoozeshi angani ambayo inasadikiwa kuharibu tabaka ya ozoni katika angahewa chaff,noun,1. makapi; kumvi; pumba. 2. ubishi; mzaha; upuuzi chaff,verb transitive,bishana kwa ucheshi; taniana; fanyiana mzaha chain,noun,"mnyororo; mkufu; mfuatano; mfuulizo. of mountains, mfuulizo wa milima. of events, mfuulizo wa mambo" chair,noun,kiti. ~ man chair,noun,mwenyekiti. ~ person chair,noun,mwenyekiti chair,verb transitive,ongoza jimbo chalk,noun,chokaa kabla hajachomwa moto; chaki challenge,noun,mwito wa kuja kushindana; changa moto challenge,verb transitive,ita ili kuja kushindana; bishia chamber,noun,"1. (la zamani) chumba; shimo; mvu-ngu. 2. baraza; muktano. -of commerce, baraza la wafanya biashara. 3. ofisi ya mwanasheria. 4. nafasi katika mzinga au bunduki ambamo hutiiwa risasi. -maid n. mtumishi wa kike anayeasafisha vyumba hotelini" chameleon,noun,kinyonga champagne,noun,aina ya divai ya kifaransa; shampeni champion,noun,shujaa; mshindi; bingwa champion,verb transitive,shindania; pigania; saidia chance,noun,"tukio; bahati; suudi; nafasi; fursa; mwelekeo. Let - decide, iache bahati yako ikaamulie. go on the - that sb. will be there, enda kuwa kuna labda fulani atakuwapo. take the - of a lifetime, tumia bahati udhaniayo kuwa haitatokea tena maishani. v.t/i. tokea kwa bahati; upon, kuta. take a - bahatisha" chancel,noun,upande wa kanisa palipo madhabahu chancellor,noun,(katika nchi nyingine) mkuu wa serikali; mkuu wa chuo kikuu; mkuu wa hazina change,verb transitive/intransitive,"badili; geuza; badilisha; vunja; ghairi; badilika; geuka. - one's mind, ghairi. The property -d hands, mali ilichukuliwa na mtu mwingine. - a 1000 shillings note, vunja noti ya shilingi elfu" change,noun,"mageuzi; mabadiliko; cheriji. Take a - of clothes with you, chukua nguo za kubadilisha. - of state, badiliko la hali; hali inayotokea wakati dutu fulani inapogeuka kuwa katika hali nyingine, kwa mfano barafu ambayo ili mango kuwa kioevu" change,noun,badiliko la kiumbo: badiliko katika kitu ambalo ni la umbo tu na sio la kikemikali channel,noun,"1. mlango-bahari; utumbi; mfereji; mto. The - is marked by buoys, mto umewekwa alama kwa maboya. 2. njia ambayo mawimbi ya sauti hurushwa angani ili yasikike katika redio, televisheni au simu" chant,noun,wimbo. v.t/i. imba chaos,noun,machafuko; fujo; mparaganyiko; ghasia; mchafuko-ge. chaotic chaos,adjective,-liochafuka chap,verb transitive/intransitive,"(-pp-) (kwa ngozi) pasua; pasuka. The skin of my hands is -ped, ngozi ya mikono yangu imepasuka" chap,noun,kea; buba chapel,noun,kanisa dogo chaplain,noun,kasisi wa kanisa dogo chapter,noun,"1. sura; mlango. 2. mfululizo mlongolo - of accidents, mfululizo wa ajali. to the end of the -, mpaka tamati, mwisho" chap²,noun,(colloq.) mwanaume character,noun,"1. sifa; wasifu; tabia; hulka; silka; herufi; tarakimu; mwandiko; chapa; mwonekano. - in public, mtu maarufu. quite a -, mtu wa desturi za pekee. 2. mhusika. -istic adj. -a pekee yake; mwenye; maalum. with his - bravery, kwa ushujaa kama alivyo desturi yake. -ize v.t. pambana; ainisha; fafanua" charcoal,noun,mkaa; sehemu ya kaboni inayobakia baada ya kitu kuungua charge,noun,"1. mashtaka. bring a - of murder against sb., shtaki fulani kwa mauaji. 2. shambulio. 3. bei; thamani; gharama; kima; kiasi; malipo. 4. kiasi cha elektrisiti kilichotiwa katika betri. 5. utunzaji; ulinzi; dhamana. be in or of, kuwa chini ya wa. 6. utagizaji; amri; wasia" charge,verb transitive/intransitive,"1. shtaki 2. shambulia; rukia. 3. toza; lipisha. They -d me 1000 shillings for this shirt, walinitozwa shilingi 1000 kwa shati hii. How much do you - to make a pair of shoes?, unatotoza kiasi gani kushona jozi ya viatu? 4. tia chaji. His motor car battery is not -d, betri ya gari yake haima chaji" charitable,adjective,paji; enye huruma; enye hisani charity,noun,1. hisani; huruma; sadaka. 2. chama cha watu wasaidiao maskini charm,noun,1. uzuri; haiba; madaha; upendezaji. 2. talasimu; hirizi; kago; zinguo; fungo charm,verb transitive/intransitive,1. vutia; pendeza; livaza. 2. roga; zuga chart,noun,1. chati; ramani ya bahari na pwani. 2. jedwali yenye taarifa za aina yoyote chart,verb transitive,tengeneza chati charter,noun,hati; mkataba charter,verb transitive,kodi meli au ndege chase,verb transitive,winda; saka; fukuza; inga chase,noun,uwindaji; usakaji; ufukuzaji chassis,noun,chassi; sehemu ya gari ukiondosha bodi chaste,adjective,safi; takatifu; zuri; -nyofu chastity,noun,utakatifu; usafi; ubikira chatter,verb intransitive,1. sema upesiupesi. 2. payuka; poroja cheap,adjective,rahisi; nafuu; hafifu; duni cheat,verb transitive/intransitive,danganya; punja; hadaa; laghai; tapeli cheat,noun,mdanganyifu; mjanja; ayari; laghai; tapeli check,verb transitive,1. pitia kusudi kusahihisha. 2. zuia; simamisha; pinga; rudi; kemea; karipia check,noun,1. masahihisho; ukaguzi. 2. cheki; hundi; hawala. 3. kizuizi; zuiaji cheek,noun,shavu. 2. ufedhuli; usafihi; ujuba cheek,verb transitive,sema kwa ujuba cheer,verb transitive/intransitive,furahisha; fariji; changamsha; anisi; -pa moyo; changamka; shangilia; furahia; sifu; tia moyo cheese,noun,"jibini, chizi; aina ya chakula kitengenezacho kwa maziwa yaliyogandishwa" cheeseparing,noun,bahili chemical,adjective,-liotengenezwa kwa au ihusianayo na kemikali chemistry,noun,kemia; sayansi ihusuyo uchunguzi wa muundo wa dutu na jinsi dutu hizo na elementi zake vinavyohusiana cheque,noun,hawala; cheki; hati ya fedha; hundi cherish,verb transitive,tunza; linda; tendae wema; chunga; lea chess,noun,mchezo wa chesi chest,noun,"1. kasha; sanduku. a- of drawers, almari. 2. kifua; kidari" chick,noun,kifaranga cha kuku au kinda la ndege chief,noun,mkuu; jumbe; chifu chief,adjective,-kuu: -kubwa; bora; -a kwanza child,noun,(children) mtoto; mwana; kijana. be with - chukua mimba; -wa mja mzito chill,noun,1. baridi. 2. homa ya baridi chill,verb transitive,tia baridi; gandisha kwa barafu chime,noun,sauti za kengele zikigongwa taratibu; ulinganifu wa sauti chime,verb transitive/intransitive,gonga kengele taratibu; lingana; patana chimney,noun,1. dohani; bomba la kutokea moshi. 2. tundu la taa ya kandili au karabai; chemni chimpanzee,noun,"sokwe, aina ya nyani mkubwa" chin,noun,kidevu China,noun,1. Uchina. china China,noun,vyombo vya kaure chip,noun,"kipande kidogo sana; chembe; chenga. v.t/i. kata, vunja katika vipande vidogo; katika, vunjika vipande vidogo. things which - easily, vitu vivunjikavyo kirahisi" chlorine,noun,"klorini; aina ya gesi ya kijani kibichi yenye harufu kali sana, hutumika kuulia bakteria na kwa matumizi mengine ya kikemia" chlorofluorocarbon (cfc),noun,"gesi yoyote iliyo kampaundi ya kaboni, hidrojeni, klorini, na florini, hutumika katika mafiriji na inaaminika kuwa huathiri tabaka ya ozoni katika angalewa" chloroform,noun,kloroformu; nusukaputi; aina ya gesi itumikayo kutia usingizi au ganzi chlorophyll,noun,klorofili; kemikali ya rangi ya kijani katika mimea chloroplast,noun,"kloroplasti, kiwiti; kiriba ndani ya seli ya mmea chenye klorofili wakati usanisinuru unapotekea" chock,noun,kipande au kabari la kukazia chock,verb transitive,kaza kwa kabari. -full adj. liojaa kabisa; pomoni chocolate,noun,chokoleti; chakula kitengenezwacho kwa unga wa kakao chocolate,adjective,chakleti; hudhurungi choice,noun,"chaguo; hiari; haki. A large of books was shown, vitabu vya aina nyingi vilionyeshwa" choice,adjective,-lioteuliwa; bora; teule choir,noun,kwaya; kundi la waimbaji. chorister choir,noun,mwimbaji wa kwaya. chorus choir,noun,waitikiaji chord,noun,"1. mtambuko; mstari mnyoofu utokao kwenye nukta moja hadi nukta nyingine, nao huwa ni mfupi kuliko kipenyo cha duara. 2. sambo; noti kadhaa" christian,noun,"adj. a kikristo, a Kristo; mkris­to; mmasihi; mnasara" Christmas,noun,"sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa Kristo, tarehe 25 Disemba" chromatography,noun,kromatografia: utenganishaji wa sehemu za mchanganyiko wa kemikali kwa kupitisha kimumunyishaji kwenye mchanganyiko huo chromium,noun,"kromiamu: elementi nyeupe ya kemikali ngumu, hutumika katika chuma cha pua na hupakazwa kwenye metali nyingine" chromosome,noun,kromosomu: nyuzi katika kiini cha seli zenye jeni zinazohusika na urithi wa tabia na maumbile kutoka kwa wazazi chromosphere,noun,kromosfia: tabaka la angahewa la jua linalozunguka fotosfia. huweza kuonekana pale jua linapopatwa lote chrysalis,noun,buu: gamba linalomfunika funza kabla ya kutoka kwake chuck,verb transitive,"(colloq.) tupa. away rubbish, tupa taka ~ sth. up, acha" chunk,noun,"kipande kinene cha kitu chochote, e.g. cha mkate au nyuma" church,noun,kanisa churn,noun,chombo cha kusukia maziwa; tungu. v.t./i suka maziwa ili kupata mtindi na siagi; vagandisha yawe samli chutney,noun,"chatne: achari ya embe, pilipili, siki, etc" cigar,noun,sigara cilium,noun,(cilia) silamu: uzi kama unywele utokao kwenye baadhi ya seli kwa kazi maalumu cinder,noun,kaa lenye moto ndani kwa ndani circle,noun,1. duara. 2. jamii ya watu wenye shughuli za aina moja; duru. v.t./i zungusha; zunguka circuit,noun,1. mzunguko. 2. saketi: muunganisho wowote wa njia mbalimbali wa kupitishia umeme circumcision,noun,tohara; tia jandoni circumference,noun,mzingo; mstari wa kuzunguka umbo la duara circumspect,adjective,angalifu; enye hadhari; enye busara circumstance,noun,"jambo; neno; kadhia; tukio; hali ya mambo. in/under the ~s, kwa hali mambo yaliy­o under no ~s haieweze­kani kabisa" circus,noun,1. kiwanja cha kuchezea sarakasi. 2. mchezo wa sarakasi cistern,noun,tangi; hodhi citadel,noun,ngome (ndani ya mji) citation,noun,notisi; dondoo cite,verb transitive,nena; taja; nukuu; ita mahakamani citizen,noun,raia; mwananchi citizenship,noun,uraia citric acid,noun,asidi sitriki: asidi itokanayo na matunda ya jamii ya machungwa citron,noun,"mbalungi, balungi. citrus" citron,adjective,a mti wa jamii ya miti ya michungwa civet,noun,"ngawa - cat, fungo" civic,adjective,a kuhusu nchi na watu wake civil,adjective,"1. a jamii. = law, sheria za nchi. = war, vita vya wenyewe kwa wenyewe. 2. a serikali. = servant, mtumishi wa serikali. 3. -enye adabu; enye heshima. ~ kiungwana" civilization,noun,ustaarabu claim,verb transitive,dai; jidai claim,noun,haki; haja; madai; daawa; an mteja clamber,verb intransitive,panda kwa shida; paramia. e.g. over a wall clamour,noun,makelele; ghasia; hoihoi; vifijo clamour,verb transitive,piga makelele clan,noun,kabila; ukoo clap,verb transitive/intransitive,"(-pp) piga makofi; shangilia. = sb. in prison, tupa mtu gerezani ghafla" clarify,verb transitive/intransitive,dhihirisha; safisha; dhihirika; bainisha; fafanua; hakikisha. clarification clarify,noun,ufafanuzi clarity,noun,udhahiri; uwazi clasp,noun,"kifungo, bizimu; ufumbataji; ukumbataji" clasp,verb transitive/intransitive,funga; kumbatia; kamata; fumbata. ~ knife clasp,noun,kisu cha kukunja class,noun,aina; darasa; cheo; daraja; jinsi class,verb transitive,ainisha; weka katika makundi clause,noun,"1. kishazi; tundu ndogo yenye uoaniifu ndani yake iwezayo kusimama peke yake au kuwa sehemu wa sentensi. 2. kifungu, aya, ibara katika sheria" claw,noun,kucha; gando claw,verb transitive,piga makucha; papura. clay claw,noun,udongo; tope clean,adjective,"safi; eupe; bila hitafu; tohara. show a pair of heels, toroka; kimbia" clean,verb transitive/intransitive,safisha; wa safi; toharisha; takasa clean,adverb,kabisa; pia. We were forgetting you completely tulisahau kabisa kuwa utakuja cleave,verb transitive/intransitive,"(cleft, clove, cloven) katika; pasuka; pasua; choma. cloven hoof, kwato ya ng'ombe, au shetani. cleavage" cleave,noun,mpasuko clench,verb transitive/intransitive,"kaza sana meno, vidole au ngumi" clergy,noun,kiongozi katika kanisa la kikristo clerk,noun,karani. clerical clerk,adjective,a karani; a kuhusu dini clever,adjective,enye akili; click,verb transitive/noun,"mwaliko; sauti ya kualika kama vile kidoko, mtambo wa bunduki, etc.; alika; piga kidoko" client,noun,mteja cliff,noun,jabali; genge climate,noun,hali ya hewa ya sehemu climax,noun,mwisho; kikomo; kipeo climb,verb transitive/intransitive,"panda; kwea -ing plant, mmelea; kirukia" clinch,verb transitive/intransitive,"kaza sana meno, vidole au ngumi; kwaana, an argument, toa ithibati baya maneno" cling,verb intransitive,(clung) shika; nata; ambatana; shikamana clinic,noun,hospitali; zahanati; kituo cha afya clip,noun,klipu; kibainio; kishikizio clip,verb transitive,(-pp-) shikiza; bana kwa klipu clip,verb transitive,(-pp-) kata kwa mkasi; fupisha; punguza clitoris,noun,kisimi; kinembe cloak,noun,vazi kama joho. (fig.) chochote kifichacho au kufunika cloak,verb transitive,(fig.) ficha; sitiri clock,noun,"saa. go like -work, endelea vyema" clog,noun,kiatu cha mti; matarawanda clog,verb transitive/intransitive,(-gg-) ganda; zuia; zibika; zuilika clone,verb transitive,n 1. toa kopi iliyofanana clone,noun,mnyama au mmea ambao kijeneitiki hufanana na mzazi wake kwa hali zote. 2. Kiumbe kilichozalishwa kutoka kwa mzazi mmoja katika maabara bila tendo la kujamiiana close,verb transitive/intransitive,"funga; ziba; fungika; fumbika. - up, sogea; sogeza. - in (upon), zunguka; zingia. with an offer, patana" close,noun,kikomo; mwisho; uwanja close,adjective,"finyu; lioyfungwa; ~embamba; bahili; karibu; ~ a sir. a friend, msiri; rafiki wa ndani" clot,noun,"kidonge. The blood is -ted, damu imeganda" cloth,noun,kitambaa clothe,verb transitive,(clothed) vika; visha clothing,noun,nguo cloud,noun,"1. wingu; gubari. 2. kundi kubwa. 3. (fig.) hali ya taabu, hofu au huzuni. be under a ~ of suspicion, -wa umeshukiwa, au umetuhumiwa" clove,noun,karafuu cloze test,noun,utaratibu wa makusudi wa kuacha maneno katika makala kwa ajili ya zoezi la ufahamu club,noun,1. chama; klabu. 2. rungu; gongo club,verb transitive,piga kwa rungu Clue,noun,alama; dalili; kidokezo clump,noun,1. kichaka. 2. bonge. 3. fungu Clumsy,adjective,-zito; zembe; enye umbo si zuri cluster,noun,tawi; shada; kundi; chana cluster,verb intransitive,kusanyika; jumuika clutch,verb transitive/intransitive,"shikilia; fumbata; shikilia au kamata imara. in the ~es of, chini ya amri kali ya" clutch,noun,mtambo (wa motokaa au mashine) unaounganisha na kutenga mashine na mtambo uzungushao magurudumu clutch,noun,jumla ya mayai clutter,verb transitive,chafua; fuja; paraganda clutter,noun,machafuko; fujo coach,noun,1. gari; behewa. 2. kocha. 3. mwalimu coach,verb transitive/intransitive,fundisha; elekeza; safiri katika gari coal,noun,makaa ya mawe coalesce,verb intransitive,ungana; fungamana; shirikiana coalition,noun,muungano; shirikisho; mapatano coarse,adjective,a kukwaruza; siyo laini; duni; hafifu. ~language maneno yasiyo heshima; matusi coast,noun,pwani; mwambao; ufukwe; ufuko coast,verb intransitive/transitive,"1. pita, ambaa pwani kwa pwani. 2. teremka mlima kama kwa baiskeli bila ya kutumia nguvu" coat,noun,1. koti; ngozi ya mnyama au manyoya. 2. mpako wa rangi coat,verb transitive,paka coax,verb transitive/intransitive,bembeleza; rairai; shawishi; rubuni cobalt,noun,"metali ngumu ing'ayo kama fedha, hutumika katika aloi mbalimbali" cobra,noun,kobra; aina ya nyoka cobweb,noun,utando wa buibui coccyx,noun,kifandugu; kinyungu; mfupa wa tindi ya mwisho wa uti wa mgongo cochlea,noun,komboli; koa; muundo mzungomano ndani ya sikio ambao umeungana na neva sikizi cock1,noun,jogoo; ndege dume cock2,noun,1. koki; bilula; bulula. 2. mtambo wa bunduki cock2,verb transitive,jaza mtambo wa bunduki cockroach,noun,mende cocoa,noun,unga wa kakao; kinywaji kitengenezwa kwa unga huo coconut,noun,nazi cocoon,noun,kokuni; nyumba ya mdudu ambaye huitengeneza kwa kujiunganisha nyuzinyuzi code,noun,kanuni; sheria; taratibu; kawaida coefficient,noun,kigeuzi; uwiano kati ya vipimo viwili hasa katika algebra coelenterate,noun,kolentrate; jamii ya wanyama wa baharini wasio na uti wa mgongo kama jeli yavuvuvavu etc coerce,verb transitive,shurutisha; lazimisha; zuia; tesa nguvu coercion,noun,lazima; nguvu; utezaji nguvu. coercive coercion,adjective,-enye nguvu coffee,noun,buni; kahawa coffin,noun,jeneza cog,noun,jino la gurudumu cogent,adjective,n. yenye maana; a lazima kwa hoja cogitate,verb transitive/intransitive,waza; fikiri sana; kumbuka cohere,verb intransitive,"ambatana, shikamana; fungamana" coil,verb transitive/intransitive,kunja; zunguka; zonga; zungusha; zongomana coil,noun,pindi; koili; sukenpidi la waya coin,noun,sarafu; fedha; pesa coin,verb transitive,"tunga; zua. to pay a man in his own ~s, lipizia mtu kama" coincide,verb intransitive,lingana; patana; wa sawa; tokea wakati mmoja coke,noun,makaa zimwe; aina ya kaboni inayofanywa kutokana na makaa ya mawe yasiyo na gesi cold,adjective,"-baridi. in blood, bila huruma. throw - water on, vunja moyo. give the - shoulder to, -pa kisogo; puuza" cold,noun,"baridi, makamasi; mafua. ~ chisel" cold,noun,tindo collaborate,verb intransitive,shiriki katika kazi; saidia. collaborator collaborate,noun,mshiriki; msaidizi collapse,verb intransitive,anguka; vunjika; zimia; zirai; poromoka; kata tamaa; vunja moyo collapse,noun,uangukaji; uporomokaji; hali ya kuzimia au kukata tamaa collapsible,adjective,a kuweza kukunjwa collar,noun,ukosi; ukanda uzunguka shingo ya mnyama collar,verb transitive,kamata kwa ukosi colleague,noun,mwenza; mshiriki; rafiki college,noun,"chuo cha elimu ya juu; jamii ya walimu na wanafunzi wa chuo; taasisi; jumuiya ya wataalamu. the ~ of surgeons, jumuiya ya waganga waopasuaji" collegiate,adjective,-a kuhusu chuo collide,verb intransitive,gongana collision,noun,mgongano colloid,noun,vunjiv; koloidi; chembe za kemikali za aina moja ambazo zimesambaa katika dutu kemikali nyingine kwa njia ya hewa au uoevu colloquial,adjective,-a usemi tu; simo collusion,noun,mapatano ya hila; udanganyifu; hila colon,noun,alama hii (:) colonel,noun,mkubwa wa rejimenti ya askari colonial,adjective,-a wakoloni; -a ukoloni; -a koloni colonialism,noun,ukoloni. neo-colonialism n. ukoloni mamboleo. colonize colonialism,verb transitive,tawala nchi si yako. colonization colonialism,noun,kutawalia nchi nyingine colony,noun,"koloni; nchi iliyotawaliwa na wageni; kundi; jumuiya. The African in Paris, jumuiya wa Waafrika waishio mji wa Paris" colon²,noun,utumbo mpana; sehemu ya chini ya utumbo mkubwa colossal,adjective,-kubwa mno; zidi ukubwa colour,noun,"rangi. give (lend) ~ to, fanya jambo kama litakavyokuwa. (fig.) He is off ~, anaonekana si ~one's, kataa kabisa kuacha imani yako. come off with flying ~s, fanikiwa vizuri sana" colt,noun,"farasi, aghalabu chini ya miaka minne asiyehasiwa; kijana mdogo asiye na uzoefu" column,noun,nguzo; mhimili; mnara; safu coma,noun,usingizi mzito sana; kuzirai combustible,adjective,-a kuweza kuwaka upesi combustion,noun,mwako; hali ya kuwaka come,verb intransitive,"(came come) ja; wasili; fika. - by (sth.) pata kitu kwa bahati. - to ~ round one's senses, pata fahamu baada ya kuzimia" comedy,noun,kichekesho; mchezo wa kuigiza wa kuchekesha. comedian comedy,noun,mtu aigizaye vichekesho comet,noun,nyotamkia; kimondo comfort,noun,faraja; kitulizo; liwazo; raha; starehe; fanaka comfort,verb transitive,fariji; tuliza; liwaza; burudisha. -able adj. -a kufariji; enye raha; enye faraja; -a kuburudisha; -a kupendeza; -a kuliwa. -less adj. -a bila raha; -a bila faraja; -a bila starehe comic,adjective,-a mzaha; cheshi; -chekeshaji comma,noun,"koma; alama hii (,)" command,verb transitive,"amrisha; tawala. - respect and sympathy, stahili heshima na huruma. The fort on the hill -s the plain, ngome iliyo kilimani inaangalia kwenye bonde" command,noun,amri; uwezo; utawala; sehemu ya jeshi iliyo chini ya amri ya fulani. -ant n. kamanda. -eer v.t. twaa kwa matumizi ya vita au ya majeshi ya askari. -er n. kamanda wa askari au wa manowari. -ment n. amri; sheria; agizo. -o n. komando; askari stadi wa kikosi maalumu katika mapambano commemorate,verb transitive,adhisha kumbukumbu ya tukio fulani kwa hotuba au maandishi commend,verb transitive,"sifu; kutukuza; pongeza. -able adj. kustahili sifa, pongezi, tunzo. -ation n. sifa" commensurate,adjective,-a kipimo au kadiri iliyo sawa na; -a kulingana na; -a kutufa comment,noun,ufafanuzi; tamko comment,verb transitive,"eleza; fafanua; toa maoni. -ary n. ufafanuzi; maelezo. broadcast ~ on a football match, tangaza mpira wa mguu wa redioni. -ator n. mtangazaji wa matukio hai katika redio au televisheni" commerce,noun,biashara; uchumi. commercial commerce,adjective,-a kuhusu biashara. commiserate v.t/i. sikitika; hurumia; hani; pa mtu pole commissar,noun,kamisaa; mwamasiasa katika taasisi ya kazi commissariat,noun,kitengo kitoacho chakula na zana za kivita jeshini commission,noun,"1. agizo; amri; cheo cha afisa. 2. utendaji; 3. faida; ushuru; malipo. 4. hati au cheti cha kumpa mtu nguvu, cheo au amri fulani. 5" commit,verb transitive,"(-tt-) 1. tenda; fanya. 2. amini­sha; ahidi; funga; ingiza. -ment n. sharti; ahadi. - to memory, hifadhi akilini. - suicide, jiu­a. - murder, ua mtu" committee,noun,kamati; halmashauri commodity,noun,kifaa; bidhaa; mali; kitu common,adjective,"a siku zote; a kawaida; a watu wote. -a language, lugha ya pamoja. knowledge, ifahamika­yo na wengi. House of Commons, Halmashauri ya Bunge la Uingereza. in - a watu wote. out of the -, si -a kawaida" Commonwealth,noun,Jumuiya ya Madola commotion,noun,udhia; kishindo; ghasia; fitina; makelele; rabsha communal,adjective,a watu wa mtaa au mji mmoja commune,verb intransitive,ongea; zungumza; shauriana communicable,adjective,-a kuweza kuwasilishwa. communication communicable,noun,"mawasiliano. communication satellite, setilaiti ya mawasiliano. communicative" communicable,adjective,-enye tabia ya kuzungumza communion,noun,ushirika; mazungumzo; maongezi; urafiki communique,noun,habari au tangazo lililotolewa na taasisi fulani; ripoti; tamko communism,noun,"mfumo wa jamii uliobuniwa na Marx uliokusudia kupiga vita matabaka na uliotaka rasilimali ya taifa imilikiwe na wananchi wote, pia mtu hulipwa na kuchangia kulingana na uwezo wake katika jamii. communist" communism,noun,mkomunisti; muumini wa mfumo huo wa jamii community,noun,jamii; watu waishio mahali pamoja commutative,adjective,(katika hesabu) -enye kutoa jawabu lilelile mpangilio wa tarakimu ni tofauti. e.g. $7 \times 5 = 5 \times 7$ commutator,noun,kibadilishi; komuteta; chombo kinachotumiwa kubadili umeme commute,verb transitive,1. badilisha; punguza adhabu. 2. enda na kurudi kazini kila siku kwa usafiri fulani companion,noun,mwenza; rafiki; mwandani comparable,adjective,a kuweza kulinganishwa na comparative,adjective,1. linganifu. 2. sio sawasawa kabisa ila ni karibu sawasawa. 3. -a kupimia kwa kulinganisha na kingine compare,verb transitive,"linganisha; fananisha; mithilisha. Yours is not to be -d to mine, yako hailingani na yangu" comparison,noun,ulinganifu; ulinganishaji compartment,noun,chumba; behewa compass,noun,dira; eneo; duara; upeo; kikomo; mpaka; mzungo compassion,noun,huruma. -ate adj. -enye huruma; -pole compatible,adjective,a kupatana; a kuelekeana; a kutangamana; a kuchukuana. compatibility compatible,noun,upatanifu; ulinganifu; uchukuanaji compatriot,noun,mtu wa nchi moja na mwingine compel,verb transitive,(-ll-) shurutisha; lazimisha; teza nguvu compensate,verb transitive/intransitive,lipa; fidia. compensation compensate,noun,ridhaa; fidia; malipo compete,verb intransitive,shindana. competition compete,noun,ushindani; shindano; mashindano competent,adjective,"enye nguvu, akili, uwezo etc. wa kutenda jambo. competence" competent,noun,uwezo; nguvu; ustadi; akili. competitive competent,adjective,a kushindaniiwa; a ushindani; -a shindano competitor,noun,mshindani compile,verb transitive,kusanya. compilation compile,noun,ukusanyaji complacent,adjective,kinaifu; -a kuridhika; -a kutoshelezeka. complacency complacent,noun,utulivu; kinaya complain,verb intransitive,nun'gunika; lalamika; shtaki complaisant,adjective,enye kutaka kupendeza wengine; pole. complaisance complaisant,noun,ridhaa; adabu; upole complement,noun,kitimizio; kijalizo; bakaa complement,verb transitive,kamilisha; jaliza; timiza. ~ angles pembe kamilishi complete,adjective,"kamili; zima; timilifu; kabisa. a -stranger, mgeni kabisa" complete,verb transitive,timiza; kamilisha; maliza; hitimisha complex,adjective,gumu kufahamika; changamano; a fumbo; enye kinyongo complex,noun,kinyongo compliance,noun,"kibali; ridhaa. in ~ with, kulingana na maridhia" complicate,verb transitive,tatiza; tatanisha; zonga compliment,noun,sifa; salamu; shukrani compliment,verb transitive,salimu; sifu; shukuru comply,verb intransitive,kubali; tii; fanya; timiza; fuata component,adjective,liyomo; liyo sehemu ya component,noun,kitu kilichomo; sehemu compose,verb transitive/intransitive,tunga; buni; andika; tuliza; panga herufi za chapa. oneself jituliza composite,adjective,liofanywa na sehemu nyingi au na vitu mbalimbaili composition,noun,insha; utungaji; utunzi; mpango; mchanganyiko compositor,noun,mpangaji herufi za chapa compost,noun,mbolea; mboleavunde; mboji composure,noun,utulivu; makini comprehend,verb transitive,fahamu; tambua; elewa; wa na; comprehension,noun,ufahamu; ujuzi. comprehensive comprehension,adjective,-enye uwezo wa kufahamu mengi; -enye vitu vingi compress,verb transitive,bana; shindilia; gandamiza; sindika; kaza; kamua; fupisha comprise,verb transitive,"-wa na. eg. The book ~ all sorts of knowledge, kitabu kina maarifa ya namna nyingi. comprising" comprise,adjective,-enye compromise,noun,mapatano; maridhiano; maafikiano; makubaliano compromise,verb transitive/intransitive,patana; ridhiana; kubaliana; afikiana; sikilizana; hatarisha compulsion,noun,shuruti; shurisho; nguvu; lazima. compulsory compulsion,adjective,a lazima compunction,noun,majuto; toba; masikitiko; uchungu compute,verb transitive,kototoa; hesabu; kadiria. computation compute,noun,hesabu; ukadiriaji computerize,verb transitive,hifadhi au chambua data za kompyuta; fanya mitambo iongozwe kwa kompyuta comrade,noun,rafiki; mwenza concave,adjective,a mvungu; -enye shimo; a kubonyea conceal,verb transitive,ficha; sitiri concede,verb transitive,kubali; kiri; acha; achilia; toa ruhusa conceit,noun,majivuno; kiburi conceive,verb transitive/intransitive,chukua mimba; waza; dhani; ona; fahamu. conceivable conceive,adjective,a kuwazi; a kuonekana; a kufahamika concentrate,verb transitive/intransitive,"kusanya; kusanyika; ongeza nguvu, or, fikiria sana juu ya -d adj. kolevu; -enye nguvu nyingi. concentrated solution, mmumunyo kolevu. concentration" concentrate,noun,ukolezi: kiasi cha mashi ya dutu katika mchanganyiko kwa kila kioo kimoja concept,noun,wazo; dhana concern,verb transitive,"pasa; husu; juza; sumbua; udhi; hangaisha; shugulisha. oneself with, jishughulisha na jambo. be ~ed about the future, hangaika mambo ya maisha ya baadaye" concern,noun,1. shirika; kampuni. 2. shaka; hangaiko. ~ing concern,preposition,kuhusu concert,noun,"tafrija ya pamoja; umoja wa shauri; m/kiti, kwa mashauriano na; kwa mapatano na" concession,noun,kukubali; ruhusa; ridhaa; fadhila; mkataba conciliate,verb transitive,patanisha; suluhisha; tuliza conciliation,noun,upatanishi; usuluhishi concise,adjective,fupi; enye habari nyingi katika maneno machache; -dogo conclave,noun,baraza ya siri; njama; mzungwe conclude,verb transitive/intransitive,koma; isha; komesha; hitimisha; dhani; maliza. conclusion conclude,noun,mwisho; hitimisho; hukumu. conclusive conclude,adjective,enye nguvu; -a kuthibitisha; -a mwisho concord,noun,mapatano; umoja; itifaki; mkataba; urafiki. -ance n. upatanifu concourse,noun,mkutano; kundi; umati concrete,adjective,"-a kushikika; -a kuonekana. e.g. a example, mfano halisi" concrete,noun,kangiriti; zege concur,verb intransitive,(-rr-) patana; kubali; ridhi; tokea chanjar; -rence n. mapatano; makubaliano. -rent adj. -a wakati mmoja; chanjar. -rently adv. chanjar; sawia; sambamba concussion,noun,mtikisiko; mgongano; kuzira kwa sababu ya kipigo cha kichwa condemn,verb transitive,laumu; patiliza; hukumu; batilisha. -ation n. lawama; laana; hukumu; upatilizaji condense,verb transitive/intransitive,"fanya zito; punguza; fanya muhtasari wa; punguka na kuwa -zito zaidi; owevya; tonesha. a-d account of an event, maelezo ya tuko kwa muhtasari. -r n. kondensa; kitoneshi; kiowevya. condensation" condense,noun,"uoevu; kit utone shaji, mtonesho; hali ya kubadilika mvuke kuwa matone; mabadiliko wa kikemia wa molekuli mbili na kutengeneza nyingine kubwa. condensation polymerization, upolima mtonesho; utendaji wa kikemikali ambao molekuli ndogo huungana kuunda na molekuli kubwa" condescend,verb intransitive,1. tendea hisani kwa lengo la kujionyesha. 2. fanya au kubali kitu kilicho chini ya hadhi yako condescension,noun,wema wenye lengo la kujionyesha condition,noun,tabia; hali; hulka; cheo; kanuni; sharti; mapatano; siha; afya. -al adj. shuruti; -a muda tu; -enye masharti. -ed adj. -enye hali fulani condole,verb transitive,hurumia; sikitika; hani; pa pole; peleka rambi rambi. -nce n. rambirambi condom,noun,kondomu condone,verb transitive,achilia; samehe conduce,verb intransitive,faa; saidia; elekea kuleta. conducive conduce,adjective,-a kufaa kwa; -a kuelekea kuleta conduct,noun,mwenendo; matengenezo; usimamizi; uongozi; tabia conduct,verb transitive/intransitive,ongoza; peleka; tengeneza; endesha. -ivity n. upitifu; kika umeme upitishi katika midia. -or n. 1. mwongozaji; kiongozi. 2. kipitishi; midia yoyote inayoweza kupitisha umeme au joto conduit,noun,mfereji; neli; bomba; konjuiti; paipu inayohifadhi nyaya za umeme cone,noun,"koni; kitu cha mviringo chini kilichochongoka juu; pia cell, seli koni: moja ya seli katika retina zinazofasiri mwanga wa rangi kuwa seli za fahamu. conic, conical" cone,adjective,enye umbo la koni confection,noun,chakula chenye utamu kama sukari. confectionery confection,noun,"aina ya vyakula vitamu kama halua, kashata, maandazi, peremende, etc. confectioner" confection,noun,muuzaji vitu vitamu hasa vya sukari confederate,adjective,-a umoja confederate,noun,rafiki; mwenza; mshirika; msaidizi. confederation confederate,noun,shirikisho; urafiki confer,verb transitive/intransitive,(-rr-) 1. toa; pa confidant,noun,msiri configuration,noun,umbo; wasifu; hali; tabia; sura confine,verb transitive,wekea mpaka; funga; zuia; husika na ~s confine,noun,mipaka; ukingo confirm,verb transitive,thibitisha; imarisha; idhinisha; pa kipa imara confiscate,verb transitive,filisi; nyang'anya; twala mali ya mtu mwingine kwa nguvu ya serikali; adhibu mtu kwa kutwaa mali zake conflagration,noun,moto mkubwa conflict,noun,mapigano; vita; ugomvi; mzozo; mapambano; suitafahamu conflict,verb transitive,pambana; hitilafiana; pingana; zozana; tofautiana confluence,noun,mahali inapokutana mito miwili; makutano confront,verb transitive,kabil; pinga; pambanisha; piganishia confuse,verb transitive,changanya; chafua; changanya; fadhaiha; paraganya congeal,verb transitive,gandisha; ganda congenial,adjective,a kupatana; a kupendeza kitabia congenital,adjective,"a kuzaliwa na. a ~ sickness, ugonjwa wa kurithi" congested,adjective,"enye kusongana mno; enye kujaa sana. The streets were ~ with people, njia zilijaa watu wengi; enye damu nyingi kuliko kiasi. His lungs were ~, mapafu yake yalikuwa na damu nyingi. congestion" congested,noun,msongamano conglomerate,noun,jabali lililofanyika kwa sedimenti ya kokoto au changaraware congratulate,verb transitive,shangilia; pongeza. congratulation congratulate,noun,pongezi; hongera congregation,noun,mkusanyiko; kundi; jumla wa watu waabudu congress,noun,"1. mkutano. 2. baraza kuu katika bunge, hasa la Marekani" conifer,noun,mti wa jamii ya msonobari conjunction,noun,"kiunganishi; muungano. in ~ with, pamoja na. conjunctive" conjunction,adjective,a kuunganisha conjuror (conjurer),noun,mfanya conscience,noun,nadhari; moyo. Have a clear (guilty) - wa na moyo mtulivu (wenye wasiwasi) conscientious,adjective,enye bidii kufanya mema yote yapasayo; -aminifu conscious,adjective,"razini; enye fahamu. be - of, fahamu; ona; sikia; jua. -enye haya; enye soni" consecutive,adjective,a kufuatana mfulizo. -ly adv. mfululizo; mta walia; moja kwa moja consensus,noun,mapatano; makubaliano; mwafaka consequence,noun,"1. matokeo. 2. ukubwa, cheo; heshima; umaarufu. It's of no -, haina maana; si kitu basi; haidhuru. a person of -, mtu mwenye cheo kikubwa" consequent,adjective,a baada ya consequential,adjective,"a kufuatana, -enye majivuno; -a fahari" consequently,adverb,hatimaye; baadaye conspicuous,adjective,enye kuonekana; wazi; bayana; bora; mashuhuri conspirator,noun,mshiriki katika uovu. conspiracy conspirator,noun,njama conspire,verb transitive,"shauriana; ungana (hasa kwa ubaya); panga njama. Events ~d to bring about his failure, mambo yaliyopangwa kwa kumuangusha" constable,noun,polisi. constabulary constable,noun,ofisa wa polisi wa cheo cha chini kabisa constancy,noun,uthabiti; uaminifu constant,adjective,a siku zote; a daima; thabiti; siyobadilika; aminifu constellation,noun,kundinyota; kundi la nyota consternation,noun,hofu kuu; mshangao; fadhaa constipate,verb transitive,zuia choo. constipation constipate,noun,hali ya kuzuia choo; uyabisi wa tumbo constituent,adjective,"1. enye haki ya kutunga au kubadilisha katiba, kupiga kura. 2. a sehemu ya kitu kizima" constituent,noun,mpiga kura constitute,verb transitive,weka; simamisha; anzisha; fanya; wa constitution,noun,1. sheria; kanuni; katiba. 2. tabia; asili; umbo; afya constrain,verb transitive,lazimisha; shurutisha; zuia constrict,verb transitive,bana; songa; minya; nyonga construct,verb transitive,jenga; unga; fanya; unda; tunga consul,noun,balozi consult,verb transitive,shauriana; tafuta habari katika maandishi consume,verb transitive/intransitive,la; nywa; tumia; maliza; teketeza; haribu; lika; dhofu; haribika consumption,noun,ulaji; utumiaji consumptive,adjective,enye kuugua kifua kikuu au ukimwi contact,noun,"mgusano; mkutano; mawasiliano. be in with sb, kutana, onana, wasiliana na mtu. ~ metamorphism badiliko mgusano; ubadilishaji wa majabali unaotokana na kugusana na magima moto" contain,verb transitive,1. -wa ndani; weka ndani; chukua ndani. 2. zuia contaminate,verb transitive,tia uchafu; najisi; haribu; ambukiza contamination,noun,uchafu; ambukizo; najisi contemplate,verb transitive,tazama sana; fikiri sana; zingatia kwa makini; tafakari contemplation,noun,fikira; mawazo; hali ya kushika tama contemporary,adjective,"-a rika moja; a wakati ule ule. a record of events, kumbukumbu za nyakati moja" contemporary,noun,"mtu wa hirimu moja. We were contemporaries at school, tulisoma shule wakati mmoja. contemporaneous" contemporary,adjective,a wakati uleule contempt,noun,dharau; utwezaji; bezo; aibu; unyonge contend,verb intransitive,jitahidi; shindana; pigana; pingana; kaidi; bishana; jadili; hoji. contention contend,noun,"hoja; ushindani; ukinzani; kauli the bone of contention, kisa cha ugomvi au ushindani" content,noun,"maudhui; kilichomo ndani. table of contents, yaliyomo; fahirisi; faharasa" content,adjective,"ridhisha. be ~, ridhi, ridhika; ridhika; -wa radhi. be self -ed, kinai" content,noun,radhi; ridhaa; kinaya contentious,adjective,gombvi; bishii; shindani; kaidi contest,verb transitive/intransitive,shindana; kana; bisha; kaidi contest,noun,ugomvi; utesi; mabishano; shindano context,noun,muktadha; mazingira ambamo jambo hutokea; maneno yanayotangulia na kufuata maneno mengine ambayo hudhihirisha maana yake contiguity,noun,utanganmano; ujirani; ukaribiano contiguous,adjective,-a kukaribiana; -a kugusana; -a jirani; -a kupakana; -a kutangamania continent,adjective,"1. zuilifu wa tamaa, hasa ya kike na kiume. 2" continent,noun,kontinenti; bara contingent,adjective,sio hakika; -a bahati; -a kutegemea jambo jingine contingent,noun,sehemu ya kundi la askari. contingency contingent,noun,"jambo la nasibu; bahati. In such a ~, we cannot agree, mambo yakitokea hivi hatuwezi kukubali" continue,verb transitive,endelea; dumu; endesha; fululiza; zidi. continual continue,adjective,-a daima; -a kuendelea; -a moja kwa moja. continuance continue,noun,maisha; uendelevu. continuation continue,noun,mfuatano; mfululizo continuity,noun,mfulizo; uendelevu. continuous continuity,adjective,-enye kuendelea; -enye kufululiza contour,noun,"kontua; umbo; sura; namna. -line, mstari uliyochorwa katika ramani kuonyesha miinuko sawa ya nchi" contraceptive,noun,kinzamimba; kitu au dawa ambayo huzuiia mwanamke asitunge mimba contract,noun,mapatano; maafikiano; makubaliano; ahadi; kandarasi contract,verb transitive/intransitive,patana; pata; patwa na; punguza; punguka; fupika; sinyaa; katibiana; afikiana; kubaliana contradict,verb transitive,kana; kanusha; kinyume; pinga; bisha kaidi; hitilafiana; -wa kinyume chake contrary,adjective,1. -a mbalimbali; -a kinyume; -a namna nyingine kabisa. 2. -kaidi; -bishi; tundu contrary,noun,"kinyume, on the ~, bali; kinyume chake. Have you finished? 'On the ~ I have just started'. 'umemaliza' kinyume chake, ndio kwanza nimeanza! contrariness" contrary,noun,ukaidi; ubishi contrast,verb transitive/intransitive,1. pambanisha; linganisha. 2. -wa namna nyingine kabisa; -wa kinyume cha; -wa mbalimbali na contrast,noun,tofauti; hitilafu; kinyume; kitu kilicho tofauti kabisa contravene,verb transitive,"shindana na; vunja (sheria, desturi, etc.); hitilafi. asi contravention" contravene,noun,uhalifu; uasi; ukinzani; ushindani contribute,verb transitive/intransitive,saidia; toa; shiriki; chango; changia; peleka habari kuchapishwa katika contribution,noun,mchango; msaada; sadaka; sehemu contributor,noun,mchangaji contrivance,noun,kitu kilichobuniwa; hila; mbinu control,noun,amri; utawala; usimamizi; udhibiti; uongozaji control,verb transitive,(-ll-) weza; zuia; dhibiti; simamia; ongoza; tawala. -ler n. mdhibiti; mwongozaji; msimamizi; mtawala controversy,noun,ugomvi; ushindani wa maneno; ubishani; majadiliano yenye utata convection,noun,"myuko: namna mvuke, joto n.k. vinavyosafirishwa katika kimiminiko kwa njia ya msogeo. current, mkondo wa myuko: mkondo wa mtiririko unaosababishwa kwa njia ya myuko" convenient,adjective,"-a kufaa; rahisi kufikia; - kuwepo tayari kuitika; -a urahisi; -a kifaacho nafasi; nafuu; raha; wasaa; manufaa. make a convenience of sb, tumilia bila huruma mtu aliye tayari kusaidia. at your convenience, kwa wakati wako wa wasaa" convent,noun,jamii au nyumba ya watawa convention,noun,mkutano; mapatano; makubaliano; maagano; jambo la desturi. -al adj. -a desturi conversant,adjective,"zoefu; enye kujua sana habari za mambo, watu" conversation,noun,mazungumzo; maongezi. -al adj. mzungumzaji; -a mazungumzo converse,noun,mazungumzo; maongezi. vi. zungumza; ongea; sema conversion,noun,ubadilishaji; ugeukaji; kurtadia; usilimishaji converter,noun,kigeuzi; tanuri ya kutengenezea chuma; chombo cha kubadilisha mwelekeo wa umeme; chombo cha kubadilisha masafa convex,adjective,"a mbinuko; enye umbo la kivimbe. lens, lenzi mbinuko ambayo upande convex mmoja au zote mbili zimebinuka" cool,adjective,1. -a baridi kidogo. 2. -tulivu. 3. -legevu; tepetefu; vivu coolie,noun,kuli; mchukuzi hamali coop,noun,"kitundu; kizimba (cha kuku, etc.). vt. funga, zuia zizini au kizimbani" cope,noun,vazi la sherehe la kasisi cope²,verb intransitive,"- with, weza; faulu; shindana na" copper,noun,shaba nyekundu. ~ sulphate copper,noun,mrututu copra,noun,mbata; nazi kavu copy,noun,kopi; nakala; mwigo copy,verb transitive/intransitive,kopia; nakili; fuatisha; iga; igiza coral,noun,"red - marijani. white-, matumbawe" cord,noun,"kamba nyembamba; ugwe. spinal - ~ uti wa mgongo. umbilical -, utovu; kiungamwana" cordial,adjective,"kunjufu; changamfu. a welcome, mapokezi ya furaha" cordial,noun,jambo linalofurahisha moyo; kiburudisho corduroy,noun,kodurai; kodrai; aina ya nguo nzito tena ngumu core,noun,moyo; kiini; sehemu ya katikati; maana halisi cork,noun,gome la muoki; kizibo; koki. vt. ziba corn,noun,"nafaka; maize, mahindi. wheat -, ngano. grain of -, punje. cob" corn,noun,gunzi; bunzi; gurunzi. ~flour: unga wa mahindi cornea,noun,konea; sehemu nyeupe ya jicho inayoweza mionzi ya mwanga kupenya corner,noun,"1. kona; pembe; nukta ambapo mistari miwili hukutana; ncha. turn the ~ (fig.) okoka hatarini, a. hatua kubwa. 2. (kwa biashara) make a ~ in wheat, etc., nunua yote ili kupandisha bei. vt. tida hatarini; weka pembeni; nunua bidhaa yote ili kupandisha bei; dhihisha. ~stone (fig.) msingi" corn²,noun,(kwa mguu) suguru (kwa paji la uso) sijida corolla,noun,korola; jumla ya petali katika ua coronation,noun,kutawaza; kutawazwa kwa mfalme au malkia coroner,noun,afisa mchunguzi wa vifo vya ghafula vihusishwavyo na mauaji au ajali corporal²,adjective,"a mwili. punishment, adhabu ya viboko" corporal¹,noun,koplo; cheo cha askari chini ya sajenti corporate,adjective,a jamii; a shirika corporation,noun,"1. shirika; ushirika. 2. madiwani wa manispaa. the mayor and ~, meya na madiwani wake. public -, shirika la umma" corps,noun,"kundi la askari. carrier, kikosi cha wachukuzi" corpuscle,noun,seli au viini vyekundu au vyepupe vya damu correct,adjective,sahihi; bila kosa; barabara correct,verb transitive,sahihisha; tia adabu; rudi; ongoa; rekebisha correspond,verb intransitive,1. lingana; fanana; afikiana; elekeana; shabihiana. 2. wasiliana kimandishi corridor,noun,mlia; njia mwembamba nyumbani uunganisha vyumba; ukumbi corrode,verb transitive/intransitive,-la; haribu; lika; haribika; babua kwa kemikali corrosion,noun,uharibifu wa kuliwa na kutu au tindikali corrugated,adjective,-enye mikunjo au migongomigongo midogo. iron sheets; mabati ya kuzezeka corrugation,noun,migongomigongo; mikunjo; makunyazi corrupt,adjective,-ovu; bovu; potofu; -chafu; fisadi; fasiki; halithi; -baya. ~air hewa chafu corrupt,verb transitive/intransitive,chafua; ozesha; haribu; fisidi; badili; geuza; lisha rushwa; honga; haribika cortex,noun,1. koteksi: tabaka ya nje ya ubongo; figo. 2. ganda; gamba; gome cosmopolitan,adjective,a kuhususehemu zote za ulimwengu cost,verb transitive/intransitive,gharimu; uzwa kwa bei fulani. What does it~? kiasi gani? cost,noun,1. bei; kima; thamani; gharama. 2. gharama ya kuendesha kesi kortini. at all ~s kwa vyovyote costume,noun,mavazi ya kawaida. 2. koti fupi na sketi ya kike. costumer costume,noun,"mtengenezaji mavazi, muazimaji nguo za sherehe" cosy,adjective,-a raha nyingi; -a anasa cot,noun,kitanda cha mtoto mdogo; nyumba ndogo cotangent,noun,kotanjiti; tanjiti kamilshi ya pembe cottage,noun,nyumba ndogo cotton,noun,pamba cotyledon,noun,kotiledoni; jani la kwanza linalochipua kwenye mbegu couch,noun,sofa; kochi; kitanda couch,verb transitive/intransitive,1. eleza kwa maneno. 2. jikunyata; jificha; jilaza cough,verb intransitive,koho; cough,noun,kikohozi council,noun,"baraza; diwani; halmashauri; mkutano. city ~, halmashauri ya jiji. revolutionary ~, baraza la mapinduzi. legislative ~, baraza la kutunga sheria" counsel,noun,"shauri; fikira; maoni; mashaka; mawaidha; waadihi; wasia; wakili; mwanasheria. keep one's own ~, ficha maoni (sh.) (sh.), take ~ together, shauriana" counsel,verb transitive,(-ll-) shauri; onya; nasihi count,verb transitive/intransitive,"1. hesabu; adili. 2. tegemea; tumainia. He does not ~, hana maana. 3. dhania; ona" count,noun,1. hesabu; kuhesabu; idadi. take the ~ (boxing) hesabika kuwa ume-shindwa katika ndondi. 2. shtaka; mashtaka counteract,verb transitive,kinza; zuia; shinda counterbalance,noun,uzito ulio sawa na uzito mwingine katika mizani counterbalance,verb transitive,"sawazisha kwa kuongeza uzito, nguvu, upande ulio mwepesi" counterfoil,noun,nakala; kopi ya stakabadhi counterpart,noun,mwenza; kifanani; nakala countersign,noun,"ishara au neno la siri, alama watumiayo askari katika zamu" countersign,verb transitive,tia saini mara ya pili; thibitisha kwa kutia saini counter²,adverb,kwa mkabala wa kupinga counter¹,noun,sarafu bandia zitumikazo katika michezo tu country,noun,nchi; bara; shamba county,noun,"mkoa, jimbo au wilaya" count²,noun,cheo cha heshima coup,noun,"kipigo dhoruba; mapinduzi; d'etat, mapinduzi ya kijeshi. -de grace, pigo la kifo" couple,noun,"1. kiungo; jozi watu (au vitu) wawili wa mamoja au pamoja; wachumba, maharusi. 2. mume na mke" couple,verb transitive,1. unga au weka vitu pamoja. 2. ungana; unganika coupon,noun,kuponi; cheti courage,noun,ushujaa; uhodari; uthabiti; ushuupavu; ujasiri. take ~ jipa moyo; kaza moyo; piga moyo konde course,noun,"1. mwendo; njia; maendeleo; majira. the ~ of events, jinsi mambo yaendavyo. A railway was in ~ of construction, reli ilikuwa inajengwa. In the ~ of his childhood he often went hunting wakati wa utoto wake aghlabu alikuwa akiwinida. in ~ of time, halafu; baadaye. in ~ of conversation, katika kuongea. in due ~, kwa wakati wake. of ~, ndiyo; naam; bila shaka. 2. mwenendo; maisha. 3. uwanja wa mashindano. 4. mfululizo; safu; mstari. 5. sehemu au aina moja ya chakula, katika wakaa" court,noun,"1. korti; mahakama, mahakimu; majaji. 2. ikulu; kasri; wafuasi wa kiongozi wa nchi. 3. uwanja; kitalu; uwa. 4. heshima" court,verb transitive,chumba; jipendekeza kwa; bembelesa; posa; heshimu cousin,noun,mtoto wa ndugu wa baba au mama; binamu covalent bond,noun,muungo kikovalenti; muungo wa atomu mbili katika molekuli ambapo kila atomu inachangia elektroni moja covalent compound,noun,msonbo uliojengwa kwa muungo kikovalenti cover,verb transitive,"1. funika; tanda; gubika; enea. The water ~s the whole plain, maji yameenea uwanda mzima. 2. enda; safiri. ten miles in an hour, enda maili kumi kwa saa. 3. lenga (kwa bunduki au bastola). 4. linda; thafidhi; kata bima. 5. tosheleza" cover,noun,kifuniko; jalada; gambala; kificho cow,verb transitive,ogofya; tisha; vunja moyo coward,noun,mwoga cowl,noun,ng'ombe; jike la mnyama mkubwa cowrie,noun,kauri; kaure crab,noun,kaa wa pwani; crack,noun,1. ufa; mwatukio. 2. mwaliko; kishindo; mtataliko; radi. 3. pigo la ghafla. vt.in. data; tatalika; alika cradle,noun,kitanda kidogo cha mtoto; susu craft,noun,1. ufundi; ustadi; amali; ubingwa; umahiri. 2. hila; werevu; ujanja; udanganyifu. 3. vyombo vya baharini cramp,noun,kiharusi; jiriwa cramp,verb transitive,bana kama jiriwa; pata kiharusi crane,noun,1. (bird) korongo. 2. sling; winchi. vt./i. nyoosha shingo; jinyosha crank,noun,kombo; hendeli. shaft crank,noun,crane mtaimbo-kombo. vt. piga hendeli crate,noun,sanduku; kreti; tenga crater,noun,kreta; kasoko; shimo la katikati la mlima lililosababishwa na volkano crayon,noun,krayoni; chaki au penseli ya rangi crazy,adjective,enye wazimu; kichaa. craze crazy,noun,1. wazimu; kichaa crazy,verb transitive,tia kichaa; tia wazimu; rusha akili; tia wasiwasi; tia wahka cream,noun,1. maziwa ya mtindi; malai; krimu. 2. sehemu iliyo bora. 3. rangi ya krimu; rangi ya samli cream,verb transitive,fanya mtindi; engua mtindi crease,noun,1. mkunjo. 2. mstari uliyochorwa juu ya ardhi kwa chokaa katika mchezo wa kriketi. vt/i. kunja; kunjana credible,adjective,a kustahili kusadikika; a kusadikika; a kuaminika credit,noun,1. imani; itibari; mkopo; muamana; uaminifu. 2. a njema. 3. heshima. 4. muda wa kulipa deni. 5. fedha alizo nazo mtu katika benki. vt. amini; kopesha; kardi credulous,adjective,epesi kutamini au kusadiki bila ushahidi creed,noun,imani; nguzo ya dini creek,noun,"hori; ghuba ndogo; kijito. be up the ~, wa mashakani" creep,verb intransitive,"(crept) ambaa; enda polepole; jikokota. the ~s, hali ya damu kusisimka; msisimko. creep up to, nyatia mwenyeela" cremate,verb transitive,unguzua choma maiti badala ya kuzika cremation,noun,uchomaji maiti crescent,noun,mwezi mwandamo; mwezi koongo; mwezi mchanga; kitu chenye umbo koongo crest,noun,1. shungi; unyunju cretaceous,adjective,"a chaki; age, zama za kijilojia ambapo miamba ya chaki iliumbika" crew,noun,"jumla ya wafanyakazi wa melini, ndegeini au relini" cricket1,noun,nyenje; panzi; senene cricket2,noun,mchezo wa kriketi. Not ~ (colloq.) si desturi; si haki crime,noun,uhalifu; kosa; dhambi; uvunjaji sheria. criminal crime,adjective,a kuvunja sheria; ovu crime,noun,mhalifu; mvinja sheria. criminology crime,noun,taaluma ya kisayansi ya makosa ya jinai cripple,noun,kiwete; kilema; mlemavu cripple,verb transitive,fanya mtu kiwete; haribu; punguza sana nguvu; lemazwa crisis,noun,(crises ) 1. kipoe; upeo wa mgogoro; hatari; ugonjwa etc. 2. hali ya hatari; hali ya wasiwasi mkubwa crisp,adjective,1. kavu hata kuweza kufikichika. 2. (kwa hewa) a kuburudisha; a baridi. 3. (kwa nywele) a kipilipili. 4. (kwa tabia) epesi; thabiti; bila shaka criterion,noun,(criteria) kigezo; ruwaza critic,noun,mhakiki; mkosoaji. ~ize v.t/i. hakiki; laumu; kosoa; toa maoni critical,adjective,1. muhimu kabisa. 2. ~ a uhakiki. 3. ~ lawama. ~point nukta kiwango pambanuzi croak,noun,mlio kama wa chura au kunguru croak,verb transitive/intransitive,1. lia kama chura au kunguru. 2. bashiri mambo mabaya crock1,noun,"chombo cha udongo, kaure au kigae" crock2,noun,(colloq.) mnyama mzee tena dhaifu (hasa farasi ); mtu asiyeweza kufanya kazi vizuri kwa sababu ya ugonjwa crocodile,noun,mamba crook,noun,1. fimbo ndefu iliyopindikika mwishoni. 2. kingoe; kingosho; matege. 3. mjanja; enye hila; tapeli; jagari crop1,noun,mavuno; mazao; matunda crop3,verb transitive/intransitive,(-pp-) 1. -la chomipukizi au vichwa vya mimea 2. kata; nyoa kuwa fupi cross,noun,"1. msalaba. 2. chotara wa wanyama au mimea. 3. hasira; kali a chuki. 2. a kupinga njia. be at ~ purposes, kabiliana na mambo mawili yasiyowiana" cross,verb transitive/intransitive,pita; vuka crouch,verb intransitive,jikunyata; crow1,noun,"kunguru, as the flies, kwa mwendo wa njia ya mkato moja kwa moja" crowbar,noun,mtaimbo crowd,noun,"kundi; umati; msongamano, halaiki" crowd,verb intransitive,"songana, kusanyika; ja kwa wingi; jaa" crowd,verb transitive,"songa; jaza sana. -round, zongea" crown,noun,1. taji. 2. serikali. 3. utosi. 4. sehemu ya juu; kilele. 5. uzuri; ubora; ukamilifu; utimilifu crown,verb transitive,"1. visha taji; tawaza. 2. -wa juu ya a hill -ed with trees, kilima kilichofunikwa na miti. 3. kiima matokeo ya. Success will ~ his efforts, matokeo ya jitihada yake ni kufuzu. -prosecutor, wakili aliye mwendesha mashtaka wa serikali" crucial,adjective,a maana; umuhimu mkubwa crucible,noun,chombo kitumwacho kuyeyushia metali ndani yake crucifix,noun,sanamu au taswira ya Yesu Kristo akiwa amesulubiwa msalabani. cruciform crucifix,adjective,nye sura ya msalaba crucify,verb transitive,sulubisha; sulubu. -ion n. kusulibiwa crude,adjective,1. bichi; sio safika; changa; isiyotengenezwa; si a dabu; jinga; isiyofanywa vizuri cruel,adjective,katili; kali; bila huruma; jahili; mbaya; dhalimu; korofi; habithi; n' cruel,noun,ukatili; ukorofi; udhalimu crumb,noun,chembe; chenga. ~s makombo crumbly,adjective,tifutifu; -a kuweza kufikichika crust,noun,"ganda (la mkate, etc.); ukoko; koya; gaga; ukungu; utando. earth" crust,noun,"uso wa dunia; ardhi. -acean n. kurustasia; anthropodi wa majini wenye gamba lililofunikwa kwa gamba kama vile kaa, kamba na duvi. -y adj. 1. -enye ganda gumu. 2. kali; enye ghadhalbu; enye hasira" crutch,noun,mkongojo cryogenics,noun,taaluma ya sayansi ya fizikia kuhusu viwango vya chini sana vya halijoto na athari zake crystal,noun,jiwe kama kioo; fuwele. 2. (science) chembe yenye mpangilio maalumu wa atomu zilizopangwa katika umbo la kijiometria. -line adj. -a fuwele; enye tabia au umbo la fuwele cub,noun,mtoto wa mnyama wa mwitu au mbwa cube,noun,mchemaraba; umbo la miraba sita iliyosawazawa cubicle,noun,kichumba kidogo cucumber,noun,"tango; tangopépeta. - tree, mibirimi" cuddle,verb transitive,sogea kifuani; kumbatia; bembeleza; beba; pakata. v.i kumbatiana; jikunyata; jikunga cue,noun,ishara; kidokezi; dokezo cue,noun,fimbo ndefu ya kuchezea biliadi cuff,noun,(of a coat etc.) sijafu. off the ~ papo hapo; bila maandalizi culminate,verb intransitive,fika upeo; kamilika; fika kikomo; isha; timia. culmination culminate,noun,utimilifu; mwisho; upeo culpable,adjective,-enye hatia; mkosa; -a kupasa kuhukumiwa; -a kupasa kulaumiwa culprit,noun,mkosaji; mwenye hatia; mhalifu cult,noun,"imani ya dini ya kuabudia kitu au uungu fulani, imani ambayo huleta taathira za kimawazo kwa waumini kutokana shinikizo lake; kupenda kitu sana hadi kufikia kuwa kama dini" cultivate,verb transitive,"1. lima; panda mbegu; otesha. 2. fanya juhudi na uangalifu mwingi katika kufanya jambo. 3. endeleza; kuza; idilisha ~ a person, jaribu kujenga urafiki na mtu" culture,noun,1. malezi; elimu. 2. adabu; ustaarabu; utamaduni; uungwana. 3. kilimo; ukulima culvert,noun,kalvati; mtaro; bomba ya kupitishia maji au myava za umeme cumulative,adjective,-a kulimbikiza; -a kukusanyika kidogo kidogo cunning,adjective,1. -erevu; janja; -stadi; mahiri; hodari cunning,noun,werevu; ujanja; hila; ustadi cup,noun,kikombe; kopo; kombe (la michezo) cup,verb transitive,umika; piga chuku cupboard,noun,kabati cupidity,noun,tamaa; uchu; uroho; ulafi; shauku (hasa ya mali) curable,adjective,-a kuponyeka; -a kutibika. curative curable,adjective,-a kuponya; -a dawa curd,noun,maziwa yaliyoganda; maziwa mabivu. ~le v.t/i gandisha; ganda; iva (maziwa) cure,verb transitive,"1. ponya; ponesha: ~poverty, ondelea mbali ufukara. 2. (ng'onda) tia chumvi au dawa isioze" cure,noun,dawa; kuponya au kutibu curfew,noun,kafyu; amri ya kutotembea wakati fulani; ishara ya kuzuia watu kutembea; kipindi cha kutotembea curious,adjective,1. -chunguzi; -dadisi. 2. -a tunu; geni; -a ajabu. curiosity curious,noun,1. upekuzi; udadisi; utekpeke; uchunguzi. 2. tunu; kitu kigeni; ajabu ~ly -adv. kiajabu; kwa mshangao curl,noun,msongo wa nywele; msokoto; singa curl,verb transitive,sokota; pinda; kunja; suka; jinyonganyonga curl,verb intransitive,pindana; zongomana currant,noun,zabibu kavu ndogo zisizo na mbegu currency,noun,1. desturi; matumizi. 2. sarafu; fedha current,adjective,1. -a desturi. 2. -a kutumika au kutendeka sasa au siku hizi. 3. -a kukubalíwa na wengi current,noun,"1. mkondo. 2. mkondo wa nguvu za umeme. alternating ~, mkondogeu: mkondo wa umeme ubadilishaji mwelekeo. direct ~, mkondo fulizo: mkondo usiobadilishabadilisha mwelekeo. 3. mfululizo wa" curriculum,noun,mtaala; mtaala. developer: mkuza mitala curry,noun,mchuzi. powder: bizari curse,noun,"laana; matusi; maapizo; kukuba mateeso. Gambling is often a ~: kamari ni chanzo cha laana. v. t/i. laani; tukana; apiza; tesa; jipaiza. be -d with continual ill health, patwa na ugonjwa wa daima. be -d with idle children, teswa na watoto wavivu" curtail,verb transitive,fupisha; punguza; kata; katisha; katiza ziara au matembezi curtain,noun,"pazia. draw a ~ over sth., acha kabisa kuzungumzia jambo fulani. It will be ~s for you, itakuwa mwisho wako" curvature,noun,1. mpindo; kigoshoro; mpindikio. 2. kivimbe radius = kivimbe nusukipenyo; urefu kutoka nuktakwenye tao hadi kwenye kitovu cha mpindo curve,noun,kizingo; tao; pindi; kigoshoro; ukombo curve,verb intransitive,kunja; bina; pinda; pindika cushion,noun,mto; takia custody,noun,"ulinzi; utunzaji; usimamizi; uangalizi; kifungo. have in safe ~, tunza vyema. custodian" custody,noun,mlinzi; mtunzaji; msimamizi custom,noun,1. desturi; kawaida; mazoea; ada; mila. 2. biashara ya kawaida. ~(s) house custom,noun,forodha cut,verb transitive/intransitive,"(cut) 1. kata; pasua; chonga; chenga; tema; changa; chanja; chonga nakshi. - down, punguza. - off, simamisha; zuia; katiza. - out, ondoa. be ~ out for, faa kwa. He's not ~ out for that sort of work, hafai kwa kazi ya namna ile. - up, kata vipandevipande. be ~ up by sth., huzunishwa sana na jambo. - dead, paa kisogo. - a tooth, ota jino. - both ways, (kwa maneno) faa na kutoa faida kwa mmoja. - a loss, tupilia mbali biashara ya hasara kwa ya faida. - and dried, tayari yote tangu hapo" cut,noun,1. mkato. 2. mtindo. 3. pigo katika mchezo wa kriketi 4. jeraha cute,adjective,erevu; -enye hila; -enye akili; -enye kupendeza cycle,noun,"1. mfululizo wa matukio yana jojirudiarudia ambavyo mwisho wake ni sawa na mwanzo wake. 2. duru; saiklo; mzunguko; muhula mzima; mkatano. the ~ of the seasons of the year, mfuatano wa miongo ya mwaka. 3. baiskeli. v/i panda baiskeli. cyclist" cycle,noun,mpanda baiskeli. cyclic cycle,adjective,1. dawari; saikliki; -enye kutokeza kwa mfuatano au mzunguko. 2. ~ a mzunguko cyclone,noun,tufani; dhoruba; kimbunga cylinder,noun,1. mcheduara; silinda; chombo mcheduara katika injini ambamo kanieneo ya gesi au kioevu husogeza pistoni. 2. kitu chochote kirefu cha mviringo kama bomba cytoplasm,noun,sitoplazimu: sehemu inayoizingira kiini cha seli na kuzingirwa na kiambaza seli au kiwambaseli c,noun,ufupisho wa direct current: mkondo fulizo; mkondo usiobadilisha mwelekeo dad (dy),noun,baba (usemi wa kitoto) dairy,noun,1. mahali patengenezewapo maziwa na bidhaa zake. 2. duka linalouza vitu vya maziwa. 3. kiwanda cha kusindikiza maziwa daisy,noun,aina ya ua dam,noun,lambo; bwawa; kuko damage,noun,1. hasara; uharibifu; madhara; maafa. 2. (law) faini; fidia damage,verb transitive,"haribu; vunja be ~d, haribika; vunjika" damn,verb transitive,"tia adhabu ya milele; laani; apiza; tukana. a book ~ed by the critics, kitabu kilichodharauliwa mmo na wahakiki asilia. - you I won't do it, naapa sifanyi" damp,adjective,"-nyevu, a majimaji; mbichi-lio chapachapa. wipe a window with a ~ cloth, pangusa dirisha kwa kitamba kinyenvu" damp,noun,unyevu; umajimaji damp,verb transitive,"tia unyevu kidogo; fanya chapachapa; punguza furaha; punguza matumaini. - down a fire, punguza mwako wa moto. -er n. vali ya kudhibiti uingizaji wa hewa katika jiko au tanuri" dance,verb intransitive,cheza ngoma dance,verb transitive,chezesha ngoma; muziki dance,noun,ngoma; dansi danger,noun,hatari; janga; baa dare,verb transitive,"thubutu; jusurisha; jaribu; pa changamoto. I ~ you to strike me, huthubutu kunipiga. ~devil adj.n. jasiri mno. daring n./adj. ujasiri; jasiri" Darwinism,noun,nadharia mabadiliko ya viumbe hai kutokana na uteuzi asilia ya mwanahistoria wa maumbile Charles Darwin ya mwaka 1859 dash,verb transitive/intransitive,"1. tupa kwa nguvu; enda mbio; ruka; kurupuka. 2. vunja; haribu. a person's hopes, vunja matumaini ya mtu. 3. (kwa mawimbi, etc.) pigapiga. a. tia kwa haraka; fanya kwa haraka" dash,noun,"1. mwendo wa mbio. make a ~ for shelter, kimbilia pa kujificha. 2. kishindo cha mawimbi yakipiga piga. 3. kidogo a ~ of pepper in the food, pilipili kidogo katika chakula. 4" data,noun,"data; taarifa au takwimu inayotumiwa katika kufanya, kufanyia jambo au kuchambuliwa na kompyuta" date²,noun,"- tree, mtende; - fruit, tende" date¹,noun,"1. tarehe. out of -, -a zamani; -a kale; enye kupitwa na wakati. up to -, -a siku hizi; -a sasa. -pya: enye kwenda na wakati. 2. (colloq.) miadi; kiaga. v.t/i. tia tarehe" daughter,noun,"binti; mtoto wa kike. -in-law, mkwe (mke wa mwana)" dawn,noun,"1. mapambazuko; alfajiri. 2. mwanzo; asili; chimbuko vi. pambazuka; -cha. It -ed upon me, imeanza kunifahamikia" day,noun,"1. siku; mchana; kutwa. have one's - fankikiwa kwa kipindi. 2. wakati; muda; maisha; asuhi. all -, mchana kutwa - by -, kila siku - after day, siku kwa siku. - after tomorrow, keshokutwa. -break mapambazuko" dazzle,verb transitive,fanya kiwi; shangaza; staajabisha dazzle,noun,kiwi; mng'ao deacon,noun,shemasi dead,adjective,"1. -fu; liokufa; kavu; dhaifu; pooza. 2. (be) fariki; -fa. the - hours of the night, usiku wa manane. come to a - stop, simama kabisa. The telephone is -, simu haifanyi kazi. - letter, sheria, amri isiyo na nguvu; barua isiyojulikana mwenyewe. - heat, sare (suluhu) katika shindano. - shot, shabaha barabara. in the - centre, katikati kabisa. -lock n. hali ya kutatiza kiasi cha jambo kutoendelea" deaf,adjective,"ziwi; (fig.) siotaka kusikiliza. a -mute, mtu aliye kiziwi na bubu pia. -en v.t. tia uziwi" deal¹,noun,"msonobari. - furniture, samani ya msonobari" dean,noun,1. paroko; mkuu wa makasisi wa parokia. 2. mkuu wa kitivo dear,adjective,ghali; -a thamani kubwa; -penzi dear,noun,"mpenzi; oh dear, dear me!, Mungu wangu! lahula!" death,noun,"mauti; kifo; ajali; faradhi. be at death's door, chunguia kaburi; kuwa katika hali ya kukata roho. - rate, kiwango cha watu wanaokufa mahali katika kila mia kwa muda wa mwaka mmoja" debatable,adjective,-enye kustahiki kujadiliwa debate,noun,mjadala; majadiliano; mabishano; hoja; mdahalo. v.t/i. bishana; jadiliana; fanya mdahalo; hojiana debit,noun,mtoe; hesabu ya upande wa madeni wa daftari debit,verb transitive,"andika, rajisi madeni" debris,noun,takataka; kifusi debt,noun,"1. deni. be in -, wiwa; daiwa. have in one's debts, wa; dai" decade,noun,mwongo; kipindi cha miaka kumi decadent,adjective,-a kupungua; kupooza; kuharibika; kuchakaa decapitate,verb transitive,kata kichwa au sehemu ya juu decay,verb intransitive,oza; haribika; chakaa decay,noun,uoza; uharibifu; uchakavu deceive,verb transitive,danganya; punja; hadaa; ghilibu; rubuni; laghai. deceit deceive,noun,hila; udanganyifu; uwongo; ulaghai; hadaa; unjanja; ghilba. deceitful deceive,adjective,-danganyifu; mwongo; janja. deception deceive,noun,udanganyifu; hila; ghilba. deceptive deceive,adjective,-danganyifu; -a hadaa December,noun,Disemba; mwezi wa kumi na mbili wa mwaka wa kizungu decent,adjective,-a adabu; -a heshima; -enye haya; -enye adabu; -a kufaa; -enye staha; -zuri; -a kupendeza. decency decent,noun,adabu; heshima; staha decentralize,verb transitive,ondoa madaraka kutoka ngazi ya juu kupeleka ngazi ya chini decibel,noun,desibeli: kizio kinachotumiwa kupimia kiwango cha sauti na elektrisiti katika mawasiliano decide,verb transitive/intransitive,kata shauri; amua; azimia; kusudia. ~ decide,adjective,-enye nia; thabiti; imara; -enye kudhamiria. decision decide,noun,hukumu; uamuzi; uthabiti. decisive decide,adjective,mkataa; -a kuamua deciduous,adjective,-enye kupukutika majani au mbawa kwa majira maalumu decimal,adjective,-a kumi; -a sehemu za kumi decipher,verb transitive,fumbua maandiko ya siri au ya fumbo deck,noun,"deki; sitaha. clear the ~s, kaa tayari kwa vita; (fig.) kaa tayari kwa lolote" declare,verb transitive/intransitive,tangaza; arifu; julisha. declaration declare,noun,tangazo; taarifa; ilani; tamko; azimio decline,verb transitive/intransitive,"kataa; shuka; pungua; inama. a declining birth-rate, upungufu wa kiwango cha uzazi. prices beginning to ~, bei zianzazo kushuka. an empire that has ~d, dola iliyodhoofika. a man's declining years, miaka ya makamo na uzeeni mwa mtu" decline,noun,"upungufu; uharibifu; uchakavu; mteremko; mwinamo. fall into a ~, pungua nguvu; ugua kifua kikuu" decode,verb transitive,fasiri maandiko ya siri decompose,verb intransitive,1. oza; haribika. 2. changanua; geuza. 3. vunja; vunijka; geuza misombo kemikali kuwa katika vijenzi vyake. decomposition decompose,noun,1. uoza; mchanganuo. 2. uvunjikaji; uvunjikaji wa molekuli kuwa sehemu ndogondogo decorate,verb transitive,pamba; remba; visha nishani; tia makshi. decoration decorate,noun,mapambo; nishani; upambaji; urembo. decorative decorate,adjective,-a kupamba; -a urembo. decorator decorate,noun,mpambaji decrease,verb transitive/intransitive,pungua; punguza; tulia; tuliza; fifia; nyamaa decrease,noun,"upungufu; nakisi. Crime is on the decrease, uhalifu unapungua" decree,noun,amri; hukumu; sheria; agizo decree,verb transitive/intransitive,amuru; hukumu dedicate,verb transitive,weka wakfu; andikia ukumbusho; tabaruku. dedication dedicate,noun,kutabaruku; uwekaji wakfu deduce,verb transitive,dhihirisha; hitimisha kimantiki kwa kutumia taarifa uliyopewa. deduct deduce,verb transitive,toa; chukua; punguza; kata; ondosha; kusuru. deduction deduce,noun,1. upunguzaji; upungufu. 2. dhihirisho; udhihirishaji deed,noun,"tendo; kitendo; mkataba. be rewarded for one's good ~s, tunzwa kwa matendo mema. title ~, hatimiliki; waraka" deep,adjective,"1. -a kwenda chini; -enye kina kirefu au kilindi. 2. -enye kukoza. -red, -ekundu ya kukoza. 3. (kwa sauti) -zito; -a chini. -respect, heshima kubwa. -silence, kimya" deer,noun,paa; kulungu; mbawala defecation,noun,kunya; utoaji wa kinyesi defect,noun,ila; kombo; upungufu; waga; dosari; kasoro; walakini. ~ in a system of education kasoro katika mfumo wa elimu deficient,adjective,"pungufu; ~kosefu; haba; ~dogo. He is ~in sense, hana akili timamu. deficit" deficient,noun,hasara; upungufu; nakisi hasa ya fedha au mali degradable,adjective,enye kuwea kuvunjwavunjwa kwa njia za kikemikali au kibiolojia degree,noun,"1. kipeo; uzi; digrii. 2. cheo; daraja; kiwango. 3. shahada. 4. kadiri; kiasi. by degrees, kidogo kidogo" deify,verb transitive,fanya Mungu; abudia au heshimu kama Mungu dejected,adjective,-enye huzuni; -enye kuvunjika moyo; -enye majonzi. dejection dejected,noun,huzuni; masikitiko; majonzi delay,verb transitive/intransitive,kawilisha; kawia; chelewesha; chelewa; ahirisha; ahirika; taahiri delay,noun,ukawi;ji; taahira delegate,verb transitive,wakilisha; tuma; agiza delegate,noun,wakili; mjumbe; kaimu; makam; wakala delegation,noun,uwakilishi; wakala; mjumbe; ujumbe delete,verb transitive,futa; ondoa; dondosha. deletion delete,noun,kufuta; udondoshaji; utoaji wa kipashio kutoka mfumo maalumu wa lugha deliberate,verb transitive/intransitive,fikiri; pima; waza; shauriana deliberate,adjective,1. -a kusudi. 2. -a hadhari; bila wakala. -ly adv. kwa uangalifu; makusudi; taratibu deliberation,noun,fikira; uamuzi; azimio; shauri delicate,adjective,"1. -ororo as as silk, -ororo kama hariri. 2. -epesi kuvunjika; kuungua; dhaifu. = cups, vikombe vyepesi kuvunjika. a looking child, mtoto dhaifu. a matter, jambo gumu kuamua. 3. -enye adabu. 4. (kwa chakula) -tamu. delicacy" delicate,noun,"chakula kitamu, uangalifu; malezi mema" delicious,adjective,-a kupendeza sana; -a kufurahisha sana; -tamu; -zuri delight,verb transitive/intransitive,pendeza sana; penda sana; furahi; penda delight,noun,furaha; anasa. -ed adj. -enye furaha. -ful adj. -a kufurahisha sana; -zuri sana delirium,noun,upayukaji; wazimu; uwewesekaji; upagawa; uchangawa. delirious delirium,adjective,-enye kupayukapayuka; kuweweseka; kupagawa au kuchagaa deliver,verb transitive,peleka; okoa; fanya huru; toa delta,noun,mahali mto unapojigawanya sehemu mbili au zaidi kabla ya kuingia baharini au ziwani. arcuate ~ deltao: delta yenye umbo la nusu au robo duara deluge,noun,gharika; mafuriko ya maji; mvua kubwa sana deluge,verb transitive,gharikisha demagnetize,verb transitive,sumakua; haribu sumaku katika gimba demand,verb transitive,taka; omba; hitaji; uliza demand,noun,"haja; matakwa; swali on itakopohitajika. a great ~ for good clerks, kuna mahitaji makubwa wa makarani hodari" democracy,noun,1. demokrasia; mfumo wa uongozi unaowashirikisha wananchi wote katika maamuzi ya utawala kwa kupitia mwakilishi wao. 2. wananchi waimarishaji mfumo wa kidemokrasia. democrat democracy,noun,mfuasi wa demokrasia democratic,adjective,-a demokrasia; -enye kuunga mkono demokrasia; -a kidemokrasia demolish,verb transitive,bomoa; vunja; haribu. demolition demolish,noun,ubomoaji; uharibifu; uvunjaji demon,noun,pepo; shetani; jini; mtu katili demonstrate,verb transitive/intransitive,1. fafanua; dhihirisha; thibitisha; onyesha. 2. andamana. demonstration demonstrate,noun,uthibitisho; ufafanuzi; onyesho; maandamano; mkusanyiko. demonstrative demonstrate,adjective,-a kuonyesha; -a kutibitisha. demonstrator demonstrate,noun,mtu afundishaye kwa vielelezo; mwandamanaji demoralization,noun,upotofu; uvunjikaji moyo demoralize,verb transitive,potosha; potoa; vunja moyo den,noun,1. shimo la mnyama wa mwitu; pango. 2. pakutanapo waovu. 3. (colloq.) chumba cha faragha cha kazi au starehe deni,noun,mripuko; usaha; ruhusa; kufukuzwa au kufukuza kazini; utokaji denitrifying bacteria,noun,mnaitrishuaji: bakteria mwenye uwezo wa kugeuza chumvi za naitreti na amonia kuwa gesi ya nitrojeni denominator,noun,kigawanyo; asili dense,adjective,nene; zito; liosongamana; ingi. density dense,noun,"densiti; uzito; msongamano. 1. kiasi cha masi katika kizio kimoja cha ujazo wa dutu. relative density uzito husianifu: uwiano kati ya masi ya mata katika ujazo fulani na masi ya maji yenye ujazo sawa. 2. kiasi cha tabiaumbile katika kizio kimoja cha urefu, eneo, au ujazo" dent,noun,kishimo; kibonyeo dent,verb transitive/intransitive,"bonyeza, bonyea" dental,adjective,-a meno. dentifrice dental,noun,dawa ya kusugulia meno. dentist dental,noun,daktari wa meno. dentition dental,noun,mpango wa meno; mkato wa meno. denture dental,noun,meno bandia deny,verb transitive,kana; kanisha; kataa; kataa; kaidi; nyima hini. denial deny,noun,ukanaji; unyimaji; katazo deoxygenated blood,noun,damu isiyo na oksijeni ambayo rangi yake ni nyekundu isiyokoza department,noun,idara; sehemu depend,verb intransitive,"tegemea. The old man still -s on his own earnings, mzee bado anategemea mapato yake mwenyewe. Good health -s on balanced diet, afya njema hutegemea lishe bora. 2. amini. You can always - on him, unaweza kumtegemea siku zote. -able adj. a kutumainika; tumainiifu. -ant n. anaytegemea mwingine. -ance n. utegemezi. -ency n. kolon. -ent adj. a kufuatana na; a kutegemea; a kutumaini" deplete,verb transitive,punguza idadi; tumia na kumaliza; fanya tupu deplore,verb transitive,sikitika; juta; lilia. deplorable deplore,adjective,a kusikitisha; -a kuhuzunisha; -baya depopulate,verb transitive,"punguza idadi ya watu. AIDS -s the world, ukimwi unapunguza idadi ya watu ulimwenguni. depopulation" depopulate,noun,upungufu wa watu deport,verb transitive,"hamisha; fukuza; ondoa katika nchi. -ation n. kufukuza au kufukuzwa nchini. -oneself, jiweka. -oneself with dignity, jiweka kwa heshima. -ment n. mwenendo, tabia; kikao" deposit,verb transitive,"weka; toa; salimisha; acha mashapo au tope. The river -s mud on the fields in the rainy season, mto huacha matope katika mashamba siku za mvua" deposit,noun,amana; rubuni; akiba; rehani; mashapo. -or n. mwekaji akiba benki. -ory n. ghala; bohari; depo; bohari depreciate,noun,upungufu wa thamani ya kitu depress,verb transitive,inamisha; shusha; huzunisha; punguza nguvu; dhofisha; sikitisha. -ing adj. a kuhuzunisha. -ion n. huzuni; unyovu; bonde; shimo; mwinamo deprivation,noun,unyimaji deprive,verb transitive,nyima depute,verb transitive,tuma; wakilisha; agiza; weka naibu; weka makamnu. deputy depute,noun,wakala; naibu; kaimu; makamu. deputation depute,noun,ujumbe. deputize depute,verb transitive,fanya kwa niaba; kaimu derelict,adjective,lioachwa; liotupwa; pangupakavu derive,verb transitive,pata kutokana na; tokana na; chimbuka; nyambua; mwanz.o; chimbuko; unyambu-lishaji; unyambuaji. derivative adj./n. zalika; kinyambuo; mnyambuo; kitu au neno lililotoka katika lingine; kitokanacho na dermis,noun,tabakandani tabaka ya ndani ya ngozi derogatory,adjective,a kuvunjia heshima; a kuaibisha; a dharau desalination,noun,utochumishaji; utoaji chumvi katika maji bahari ili yaweze kutumika kama ya kawaida descent,noun,1. mshuko; mteremko; mwinamo; nasaba; ukoo; uzao; jadi. 2. uvamizi; shambulio la ghafla describe,verb transitive,eleza; eleza wasifu; fafanua; hadithia description,noun,"maelezo; wasifu; habari. (colloq.) namna of any description, a namna yoyote" descriptive,adjective,a kueleza; a kuainisha desert²,noun,jangwa desert³,noun,"haki; stahili; rada. get one's ~s, pata stahili yake" desert¹,verb transitive/intransitive,"acha; toroka; kimbia; tupa; hama; telekeza a ~ed person, mkiwa. a ~ed village, mahame" deserve,verb transitive,stahili deserving,adjective,a kustahili design,noun,"dizaini; kielelezo; picha; mpango; kusudi; mradi; nia; hila; mtego. have ~s on, wa na kusudio baya juu ya" design,verb transitive/intransitive,buni; vumbua; tunga; sanifu; kusudia designate,verb transitive,onyesha; taja; agiza; chagua; teua designation,noun,maana; jina; maelezo; uteuzi; cheo desirable,adjective,a kupendeza; a kutamanika. desirous desirable,adjective,enye kutaka; enye kutamani desire,noun,tamaa; shauku; haja; uchu; hamu; matakwa; utashi; mapenzi; matilaba; ashiki desire,verb transitive,"taka; tamani; ashiki; omba. I ~d him to sit down, nilimwomba aketi" desk,noun,meza ya kuandikia; dawati; deski desolate,adjective,lioachwa; chwa; a jangwa; lioachwa; siyo stahili kukalika a ukiwa; a huzuni; desolate,verb transitive,huzunisha; tia majonzi. desolation desolate,noun,ukiwa; majonzi; huzuni desperado,noun,katili; tayari kufanya lolote; jasiri desperate,adjective,enye kukata tamaa; bila tumaini; tayari kufanya lolote; sioponyeka; baya mno. desperation desperate,noun,hali ya kukata tamaa despise,verb transitive,tweza; dharau. despicable despise,noun,a kustahili kudharauliwa; mnyonge; dhaifu despite,preposition,"ijapokuwa. in ~ of his wishes, ijapokuwa hataki" despond,verb intransitive,kata tamaa; fa moyo despot,noun,dikteta; dhalimu; mtawala mwenye madaraka yote peke yake destination,noun,"mahali mtu (au kitu) anapopelekwa, au akusudiapo kufika" destined,verb transitive,"liokusudiwa kuwa; jaalia. He is ~ for the army, anakusudiwa kuwa askari" destiny,noun,majaliwa; jaala; bahati destitute,adjective,"fukara; maskini; mkata. of, bila ya" destitution,noun,ufakiri; ufukara; umaskini; uhitaji; ukiwa destroy,verb transitive,haribu; vunja; angamiza detach,verb transitive,tenga; bandua; peleka kikosi cha askari kutoka jeshi kubwa detail,noun,kila kitu; habari zote detail,verb transitive,eleza kinaganaga; tuma kufanya kazi maalumu detain,verb transitive,kawilisha; zuia; tia ndani; weka kizuizini; funga. detention detain,noun,kifungo; mahabusu; zuiawaji detect,verb transitive,gundua; ona; peleleza deter,verb transitive,(~rr) kataza; zuia; viza. ~rent n/adj. kizuizi; a kuzuia; -enye kuviza detergent,noun,ditajenti; sabuni ya unga; dawa ya maji ya kusafishia deteriorate,verb transitive/intransitive,punguza thamani; punguza thamani; haribika; chaka; fifia. deterioration deteriorate,noun,uchakavu; uharibikaji determination,noun,kusudi; nia; bidii; shauri; uthabiti; ushupavu determine,verb transitive/intransitive,"1. weka mpaka. The supply of food ~s the size of the army, ugavi wa chakula hubainisha ukubwa wa jeshi. 2. weka; kusudia; amua; kata maneno; maliza. 3. yakinisha - the meaning of a word, ainisha maana ya neno" detest,verb transitive,chukia sana; kirihi detonate,noun,mripuko; uripukaji; uripuaji detour,noun,"njia ya kuzunguka; mzunguko. make a ~, zunguka" detract,verb transitive,punguza sifa au thamani ya; toa; dunisha; umbu detriment,noun,hasara; dhara deuterium,noun,duteri isotopu ya hidrojeni yenye namba ya masi mara mbili zaidi devastate,verb transitive,haribu; teketeza devastation,noun,uharibifu; uteketeeaji develop,verb transitive/intransitive,kuza; endeleza; sitawisha; kua; fafanua; eleza device,noun,"1. hila; mbinu; mpango. leave sb. to his own ~s, mwache afanye apendavyo. 2. chombo; ala; zana; kitu; nyenzo. 3. chapa; alama; picha" devil,noun,"shetani; bilisi. a poor ~, maskini fukara" devious,adjective,-enye kuzunguka devise,verb transitive,"fanya; vumbua; tunga; buni; zaa, waza shauri au hila. to, rithisha usia" devoid,adjective,bila; pasipo. He is - of sense hana akili devote,verb transitive,"tenga, oneself, jibidiisha" dew,noun,umande; unyevu unaotokea juu ya majani au vitu vyengine kutokana na hali joto kushuka sana. point kiwango cha umande: kiwango cha halijoto ambapo mvuke wa maji hewani hugeuka kuwa matone dhow,noun,jahazi diabetes,noun,kisukari; ugonjwa unaosababishwa na upungufu wa homoni ya insulini ambayo hurekebisha sukari itumike kwa njia sahihi mwilini diagnose,verb transitive,"baini, tambua ugonjwa kwa dalili zilizopo. diagnosis" diagnose,noun,uchunguzi yakinifu wa jambo diagonal,adjective,ulalo: a kutoka pembe mpaka pembe mkabala; a mshazari diagonal,noun,mstari wa kukata mraba pembe kwa pembe; mshazari; hanamu diagram,noun,"picha inayoonyesha kilwa kilivyo, mfano; kielelezo; kiolezo" dial,noun,uso wa saa; chombo cha simu chenye nambari juu yake dial,verb transitive/intransitive,piga simu dialect,noun,"lahaja. the ~ of Zanzibar, Kiunguja. the ~ of Mombasa, Kimvita" dialogue,noun,"mazungumzo, mashauriano" diameter,noun,kipenyo; mstari ulionyooka upitao katikati ya duara. diametrically diameter,adverb,"kabisa; halisi, be opposed, kabiliana kabisa; -wa kinyume kabisa" diamond,noun,diamond almasi. ~ wedding ndoa iliyodumu kwa miaka sitini au sabini na tano diaphragm,noun,kiwambo: utando unaogawa kifua na tumbo; kiwambo diarrhoea,noun,"tumbo la kuendesha, la kuhara" diary,noun,shajara; kitabu cha kumbukumbu za kila siku diatom,noun,"diatomi: mwani wa selimoja anaonekana kwa hadubini ni huwa na kuta seli za silika. -ic gas gesi yenye atomu mbili kwenye molekuli moja, kama gesi ya hidrojeni" dictate,verb transitive,to imla; amuru; agiza diction,noun,ufasaha: uteuzi na matumizi salihi ya maneno katika mawasiliano dictionary,noun,kamusi: kitabu cha orodha ya maneno yaliyo pangwa na maana zake die1,verb intransitive,fa; fariki; kata roho die2,noun,(dice) dadu die3,noun,(dies) zana za kuchorea na kupigia chapa sarafu diet,noun,chakula; ulaji; maakuli; lishe kamili differ,verb intransitive,"hitilafiana; tofautiana; achana. -ence n. hitilafu tofauti. of opinion, tofauti ya maoni. -ent adj. mbalimbali; -ingine; tofauti. -entiate v.t/i. pambanua; ainisha; hitilafiana; tofautiisha; achana; tengua" differential,noun,difu; difficult,adjective,-gumu; -zito. -a shida difficult,noun,"shida. -y n. shida, matatizo, dhiki; ugumu. difficulty index, faharasa ngumu" diffidence,noun,"haya, woga; wasiwasi" diffident,adjective,-oga; -enye haya; siojiamini diffuse,verb transitive/intransitive,enea; tawanya; enea; tawanyika; toa zagaa; sambaa diffuse,adjective,-a maneno mengi; enye kuzagaa. diffusion diffuse,noun,"mweneo. diffusion coefficient, kigeu cha mweneo. diffusion equation, mlinganyo wa mweneo" digital,noun,dijitali: taarifa iliyohifadhiwa kwa mfululizo wa tarakimu dignified,adjective,-a heshima; adhlimu dignify,verb transitive,tukuza; heshimu; adhimisha dignitary,noun,mheshimiwa; mwadhama dignity,noun,heshima; adhma; daraja; cheo digress,verb intransitive,toka nje ya mada dilapidated,adjective,bovu; gofu dilate,verb transitive/intransitive,tanua; panua; vimbisha; tanuka; panuka; vimba dilatory,adjective,vivu; tembe; -enye kucheleweshewa dilemma,noun,"hali ambayo inabidi kutoa uamuzi mmoja kutoka kwenye fursa ya kuchagua kati ya mambo kadhaa; tatizo; hali ngumu. You are on the horns of a -, uko katika hali ngumu sana" diligent,adjective,-enye bidii; -tendaji; -angalifu; -enye juhudi. -ly adv. kwa juhudi; kwa uangalifu; kwa bidii. diligence diligent,noun,bidii; juhudi; uangalifu; jitihada dilute,verb transitive,zimua; punguza ukolevu; ghushi; punguza nguvu dilute,adjective,zimulifu: -enye kufanya hafifu kutokana na kuongezwa dutu chapwa. dilution dilute,noun,uzimujaji dim,adjective,-a giza; ingia giza; fifia dim,adjective,"a giza kidogo; siyoonekana vizuri; siyoisikilikan vizuri; siyoonekana vizuri akili si dhahiri; -liofifia. His eyes are ~, macho yake yana giza" dimension,noun,"kipimo; kiasi cha urefu, upana, au kina" diminish,verb transitive/intransitive,punguza; pungua; punguka diminution,noun,upungufu; upunguzaji din,noun,mshindo; kelele; ghasia din,verb transitive/intransitive,fanya kelele au ghasia mfululizo dine,verb transitive/intransitive,"la chamchana au chajio; karibisha kwenye chakula cha mchana. dining-room, chumba cha kula. dinner" dine,noun,chamchana au chajio dinghy,noun,mashua ndogo; kilori dingy,adjective,-chafu; liyoififia; -eusi; -enye giza/giza dinosaur,noun,mnyama aliyeishi miaka milioni nyingi zilizopita diocese,noun,dayosisi; jimbo la askofu. diocesan adj/n. -a jimbo la askofu; askofu diode,noun,diodi: kifaa cha elektroniki kinachopitisha umeme dioxide,noun,"dioksidi: oksidi yenye atomu mbili za oksijeni kwa kila molekuli, zote mbili zikiwa zimebabadika kwenye atomi ya elementi nyingine" dip,verb transitive/intransitive,chovya; zamisha; ogesha; inama; dip,noun,uchovaji; utazamaji; josho; mviamo diphtheria,noun,dondakoo: ugonjwa wa koo wa kuambukiza unaosababishwa na bakteria na pia huleta homa na shida ya kupumua diphthong,noun,"irabuinganifu: irabu, vokali mbili zinazotamkwa kama kwambia ni moja tu" diploma,noun,diploma; stashahada diplomacy,noun,diplomasia: upatanishi; usuluhishi; busara; hekima. diplomat diplomacy,noun,mwanadiplomasia; balozi; mtaalamu wa mambo ya uhusiano diplomatic,adjective,a kidiplomasia. corps maofisa wa ubalozi katika nchi direct,verb transitive,ongoza; elekeza; simamia; amuru; agiza. attention to angalia; tazama; onyesha direct,adjective,-nyofu; sawasawa; halisi dirt,noun,uchafu; taka. cheap as ~ rahisi mno disable,verb transitive,lemaz; ondoela nguvu; dhoofisha; vunja disaffected,adjective,-enye chuki; -a kutaka maasi; -enye uadui. disaffection disaffected,noun,chuki; kuchukia disallow,verb transitive,kataza; kanusha disappoint,verb transitive,vunja moyo; sikitisha; vunja matarajio ~ed disappoint,adjective,-enye kuvunjika moyo; -enye kupoteza matumaini disarm,verb transitive/intransitive,1. nyang'anya silaha. 2. punguza silaha; punguza majeshi. 3. tuliza; zuia; punguza nguvu disaster,noun,msiba; baa; hasara; janga; masaibu; maafa. disastrous disaster,adjective,"-a msiba; -a maafa. disc, disk" disaster,noun,sahani; kisahani; diski discard,verb transitive,tupa; ondosha; kataa; choka; beza discern,verb transitive/intransitive,ona; fahamu; tambua; pambana; hisi; nabilika; miazi discharge,verb transitive,"1. shusha; teremsha (shehena kutoka melini). 2. piga; fyatua (bunduki etc.); tupa (mshale etc.). 3. toa (maji, mvuke, nguvu za umeme etc.). 4. ondosha; toa katika kazi. 5. lipa" disciple,noun,mwanafunzi; mfuasi; sahaba discipline,noun,1. malezi; maongozi 2. taratibu; nidhamu; utii; usikivu. 3. maadili discipline,verb transitive,adilisha; rudi; ongoza. disciplinarian discipline,noun,enye kushadidia nidhamu na taratibu. disciplinary discipline,adjective,a kurudi; -a kuadilisha; -a kuongoza disclaim,verb transitive,kana; kataa; kanusha disconcert,verb transitive,sumbua; tia wasiwasi; babaisha; kanganya; vuruga akili disconnect,verb intransitive,"tenga, fungua; tumpua; kata; ungua. -ed adj. (kwa maneno au fikira) siyofungamana vizuri; -siyofutata barabara; -liyokatwa" discontent,noun,uchungu; ukosefu wa ridhaha; chuki; manung'uniko discount,noun,turuhani; punguzo la bei. be at a ~ kwa bei nafuu discount,verb transitive,kataa faida; punguzua bei; sadiki nusu tu ya habari discourage,verb transitive,vunja moyo; katisha tamaa; pinga. -ment n. jambo au hali ya kukatisha tamaa discourteous,adjective,sio na heshima au adabu discover,verb transitive,vumbua; gundua; kuta; fumania; onyesha; funua. -er n. mvumbuzi; mgunduzi. -y n. uvumbuzi; ugunduzi; jambo jipya discredit,verb transitive,tosadiki; aibisha; tahayarisha; fedhehesha discredit,noun,aibu; fedheha. -able adj. -a aibu; -a kutiliwa wasiwasi discreet,adjective,-a busara; angalifu; enye tahadhari; makini katika mazungumzo au matendo discrepancy,noun,tofauti; kutopatikana; hitilafu discretion,noun,"busara; nadhari; makini; akili; uchunguzi; uteuzi. surrender at discretion, jisalimisha bila masharti. at your discretion, kwa hiari yako" discuss,verb transitive,zungumza juu ya; hoji; jadili. -ion n. mazungumzo; mjadala; masha-uriano disease,noun,ugonjwa; maradhi. -ed adj. -gonjwa disgorge,verb transitive,tapika; kokomoka; hozomoka (fig.) rudisha kwa nguvu (vitu vilivyo nyang'anywa) disgrace,noun,aibu; ila; fedheha; soni; izara; madhara; kitu au mtu aletea aibu disgrace,verb transitive,aibisha; fedhehi; adhiri. -ful adj. -a aibu disgruntled,adjective,sioridhika; sionependezwa; enye kuudhi disguise,verb transitive,geuza; ficha disguise,noun,mavazi ya kujigeuza; ulaghai; hila disgust,noun,chuki; karaha; maudhi disgust,verb transitive,chukiza; kirihi. -ing adj. -a kuchukiza dish,noun,dishi; sufuria; chakula dish,verb transitive,pakua; andalia chakula dishearten,verb transitive,vunja moyo; ogofya dishonour,noun,aibu; fedheha; dharau; kitu au mtu aletea fedheha dishonour,verb transitive,"aibisha; fedhehesha; hizi; tahayarisha. -a cheque, tokubali cheki. -able adj. -a aibu; si -aminifu" disillusion,verb transitive,ondosha dhana; onyesha ukweli. -ment n. uono wa ukweli disinfect,verb transitive,ua viini vya maradhi kwa kufukizia au kusafisha kwa dawa za kemikali. -ant n. dawa ya kuu viini vya maradhi disinfect,adjective,-a dawa hiyo disinterested,adjective,"si -enye kuendelea; si -enye kutaka faida. a - person, mtu mwadilifu" disjointed,adjective,siyofungamana; siyofuatana moja kwa moja; iliyokatika katika dislocate,verb transitive,tegua; vuruga; chafua; fuja dislodge,verb transitive,ondoa; ondosha; hamisha; fukuza ng'oa dismal,adjective,-a kufisha moyo; -a kuhuzunisha; -a kuchekiza; -a kuondoa furaha; -enye huzuni dismantle,verb transitive,"pambu; kongoa; vunja; bomoa. - a machine, kongoa mashine" dismay,noun,hofu; fadhaha dismay,verb transitive,ogofya; fadhahisha dismiss,verb transitive,"ondosha; uzulu; fukuza; achia mbali; ruhusu. - thoughts of revenge, ondoa mawazo ya kisasi. -al n. ruhusa; kufukuzwa; kutolewa; kuondoshwa" disorder,noun,fujo; machafuko; ghasia; fujo; maradhi; machafuko; disorder,noun,"v.t. chafua; fuja. -ly adj. shaghalabaghala bila mpangilio; asi. -e house, nyumba chafu; danguro" disorganize,verb transitive,chafua; haribu; fuja; pangu disown,verb transitive,kana; kataa; kanusha disparity,noun,hitilafu; tofauti dispassionate,adjective,siopendelea; -a haki; -siohemkwa; siotawaliwa na jazba "dispatch, despatch",verb transitive,tuma; peleka; fanya upesi; maliza; ua; nyonga "dispatch, despatch",noun,"utumaji; upelekeaji; barua; waraka; wepesi; haraka. act with -, fanya upesi" dispensary,noun,zahanati; chumba cha kutolea dawa dispensation,noun,ruhusa; fatwa; ruhusa maalumu itolewayo katika mfumo wa kidini au kisiasa unaoendelea; majaliwa ya Mungu dispense,verb transitive/intransitive,"gawanya; toa; changanya na kutoa dawa. with, acha kutumia; achana na; fanya bila ya" dispense,noun,mchanganyaji na mgawaji dawa dispersal,noun,mtawanyiko; msambao; uenezi. dispersion dispersal,noun,1. mtawanyiko; kutandawaa kwa mnururisho wa sumakuumeme kwenye nidia. 2. msambao wa data disperse,verb transitive/intransitive,tawanya; tawanyika; eneza; enea; ondoa; ondoka; sambaza; sambaa displace,verb transitive,"hamisha; toa mahali pake. -ment n. 1. uhamisho. 2. kima cha maji kilichohamishwa na kitu kina cholelea juu yake. 3. umbali; mwelekeo; umbali wa kunyooka kuelekea upande fulani. - reaction, mmenyuko msogezo; utendani ambapo metali yenye nguvu huchukua nafasi ya metali dhaifu katika mchanganyiko wa kampaundi" display,verb transitive,onyesha; angaza; tembeza display,noun,"onyesho; tamasha. make a -, jifaharisha" dispose,verb transitive,"panga; tengeneza; ongoza; amuru; kata shauri; -of, komesha; acha; toa; kata. -n, kutumiwa he-d to, taka; penda; elekea. disposal" dispose,noun,"matumizi; uuzaji; matengenezo; madaraka; hukumu. at your -, kwa matumizi yako. disposition" dispose,noun,madaraka; mpango; taratibu; tabia; silka; moyo; nia dispossess,verb transitive,"nyang'anya; pokonya; pora; toa; punga shetani. -njon, nyang'anyi; uporaji; upokonyaji" dispute,verb transitive/intransitive,shindana; bishana; kaidi; kana; gombana; pinga; jadiliana dispute,noun,"shindano; mabishano; ugomvi; manza. beyond -, bila shaka yoyote" disregard,verb transitive,tojaji; toangalia; tofikiri; dharau; puuza; acha disregard,noun,kutoangalia; dharau; upuuzi; upuuzaaji disrepute,noun,tabia mbaya; utovu wa heshima. fall into disrupt,verb transitive,chafua; vunja; vuruga; katiza; ingilia kati; dakiza; tenganisha "dissect , dr-",verb transitive,changua; kata vipande vipande kwa ustadi; tawanya; sambaza dissertation,noun,tasnifu; insha au hotuba ndefu juu ya mada fulani chuoni dissolve,verb transitive,yeyusha; mumunyisha; yeyuka; vunja; vunijka; toweka polepole; fifia; komesha distance,noun,masafa; umbali; mwendo; muda. distant distance,adjective,a mbali. ~ relative jamaa wa mbali distaste,noun,chuki; maudhi distinct,adjective,~epesi kusikika; ~epesi kuonekana; dhahiri; bayana; ingine; a mbalimbali distinction,noun,tofauti; heshima; sifa district,noun,jimbo; wilaya; mtaa ditch,noun,"handaki; shimo; mtaro; mfereji; ufumaji. wdie in the last, linda mpaka mwisho" diverge,verb intransitive,achana; fuata njia mbalimbali; chepuka; tawanyika diverse,adjective,-a namna mbalimbali; anuwai diversity,noun,hali ya kuwa anuwai divert,verb transitive,geuza upande; elekeza kwingine; kengeusha; furahisha divest,verb transitive,"vua; nyang'anya; uzulu; vua madaraka. a man of his rank and honours, vua mtu madaraka yake yote" divine,adjective,-a Mungu; takatifu divine,verb transitive,agua; bashiri; bahatisha; kisia. divination divine,noun,ugaguzi; ramli; falaki; bishara division,noun,ugawanyaji; kugawanyika; mstari ugawao katika sehemu; fungu; divisheni. divisor division,noun,kigawanyo divorce,noun,talaka; utengano divorce,verb transitive,taliki; acha; tangu ndoo divulge,verb transitive,toa siri; weka wazi; tangaza dizziness,noun,kizunguzungu dizzy,adjective,-enye kizunguzungu; -enye kutia kizunguzungu DNA,noun,"deoksiriboasidi nyuklia: chembechembe zinazohifadhi taarifa za urithi wa viumbe hai, zimo katika kromosomu" do,verb transitive/intransitive,"(did done) 1. fanya; tenda. 2. faa. 3. pika. The meat isn't done yet, nyama haijawa tayari. 4. (collq.) danganya; punja; laghai; rubuni; ghilibu. 5. (collq.) haribu. for sb, ua au haribu mtu. be done for, haribika. do sth. to death, choka sana" docile,adjective,-tii; -sikivu; tiifu; -sikizi; -elekevu; makini. docility docile,noun,welekevu dockyard,noun,gatini dockyard,verb transitive/intransitive,funga gati; ingia gatini dock²,noun,kizimba akaapo mshitakiwa kortini dock³,verb transitive,kata; katisha; fupisha; punguza dock¹,noun,gati; majahaba; gati doctor,noun,daktari; mganga; tabibu; daktari wa falsafa; mtu aliye na shahada ya falsafa ya taaluma fulani doctor,verb transitive,"(collq.) tibu; ganga; ghushi. accounts (evidence), geuza hesabu (ushahidi)" document,noun,hati; waraka; cheti; mkataba dodge,verb transitive/intransitive,epa; epuka; piga chenga; kwepa dodge,noun,hila; mtego; werevu; mbinu doe,noun,jike la kulungu au wa jamii hiyo dog,noun,"mbwa. go to the ~s, haribika; potoka. lead a ~'s life, ishi maisha ya kuhangaika na yasiyo" dogma,noun,imani; itikadi dogmatic,adjective,- a kufuatwa bila hoja dogmatize,verb transitive,weka kanuni; shikilia kauli binafsi doldrums,noun,huzuni; masikitiko; ukanda wa bahari ulio shwari dole,verb transitive,(out) gawia kidogo dole,noun,sadaka; posho kwa wasio na kazi doleful,adjective,a huzuni; -zito doll,noun,mtoto wa bandia; mwanasesere dollar,noun,"dola, aina ya sarafu" dolomite,noun,aina ya madini yenye rangi nyeupe au wardi yenye kalisi na magnesi kabonati katika umbo la fuwele pembesita dolphin,noun,mnyama wa baharini aitwaye pomboo dome,noun,kuba dominant,adjective,-kuu; enye nguvu; enye amri; enye kutawala dominion,noun,utawala; amri; mamlaka; nchi dominoes,noun,mchezo wa dhumna wenye seti 28 na alama kuanzia 0 hadi 6 donate,verb transitive,"pa, toa msaada; changa" donation,noun,mchango; sadaka; msaada donkey,noun,punda; mpu mbavu; mkadiri donor,noun,mhisani; mfadhili; mtoaji sadaka dormancy,noun,"ubwete; hali ambapo kiumbe, hasa mimea na mbegu, inakua katika metaboliki shikizo na huwa ukuaji umesita hasa wakati wa majira ya baridi" dormant,adjective,-a kulala; siotumika; -a kupumzika dormitory,noun,bweni; dakhilia dose,noun,kipimo cha dawa dose,verb transitive,nywesha dawa dosimeter,noun,dosimita: chombo cha kupimia kima cha mnuurisho uliofyonzwa dot,noun,nukta dot,verb transitive,"(-tt) tia nukta. be-ted about, tapakaa. on the ~ juu ya alama" double,adjective,"1. maradufu; mara mbili. 2. enye sehemu mbili. a ~ barrelled gun, bunduki yenye mitutu miwili. a ~ bed, kitanda cha watu wawili" double,adverb,1. mara mbili. cost - wa ma bei mara mbili zaidi. 2. kwa jozi double,noun,"kiasi cha mara mbili. at the ~ mbio. v.t./i zidisha au ongeza mara mbili; kunja sehemu mbili. -back, rudi mbio. -up, pinda; kunja; pindika; kunjika; jikunjia kwa maumivu" doubt,noun,"shaka; wasiwasi; tuhuma. without ~, bila shaka. no ~, pasina shaka. v.t./i shuku; tuhuma" dough,noun,unga uliotiwa maji na hamira halafu ukakandwa na dove,noun,hua; njiwa; tetere; pugi. ~tail v.t/i. umanisha kwa ndimi; funga kwa urahisi down,adverb,chini down,preposition,"chini ya. vt. put ~ fools, goma kufanya kazi. an enemy, shinda adui" down,noun,nchi ya vilima vilima vyenye majani down³,noun,"laika, malaika" dowry,noun,mahari draft,noun,1. rasimu; kiolezo; kielelezo. 2. hundi; hawala; cheki. 3. kundi la askari lililopangiwa kazi maalumu. 4. mchezo wa dama draft,verb transitive,andika rasimu; chagua watu kwa kazi maalumu drag,verb transitive/intransitive,(-gg-) kokota burura; kokoteza; vuta; buruta; enda kwa shida; chelewa; kawia drag,noun,wavu; kizuizi dragon,noun,"dragoni; joka (la hadithini) lenye mabawa, magamba, miguu yenye makucha litalo moto kinywani" drain,noun,1. mfereji; ufumbiji bomba; mtaro; funda la maji. 2. gharama kubwa; v.t/i ondoa maji kwa mtaro; tiririka na kukauka; tumia kidogo kidogo; nywa yote drama,noun,drama; tamthilia; mchezo wa kuigiza; mtulizo wa matukio ya kuvutia draught,noun,1. upepo dread,noun,woga; hofu. v.t/i ogopa; hofu dream,noun,ndoto; njozi; ruya. v.t/i (dreamed dreamt) ota ndoto; waza dress,noun,nguo; nguo. v.t./i vaa; valia; pangaa; chana; funga daw; vika; pamba. ~ed v. ed dress,noun,vika drill,noun,kekee. v.t/i. toboa; pekecha drill²,noun,gwaride; mazoezi drill³,noun,mfuo wa kupandia mbegu; mashine ya kupandia mbegu; safu ya mbegu zilizopandwa drill⁴,noun,dreli; aina ya kitambaa kizito drone,noun,nyuki dume; mvivu; goigoi; uvumi; mvumo. v.t/i. vuma kama nyuki; sema au imba kivivu kusiko na msisimko wowote drop,noun,"tone; tojo; upungufu; mwanguko. - in price, upungufu wa bei. v.i/t. (~pp~) 1. angusha. 2. punguza; punguza; legea. The wind ~ped suddenly, upepo ulilegea ghafla. 3. acha" drought,noun,ukame; ukavu; kiu drug,noun,dawa; dawa ya kulevya. -gist n. muuza dawa drum,noun,"ngoma. ear ~, kiwambo cha sikio. v.t/i. (~mm~) piga ngoma. -something into sb.'s head, sisitiza ili asisahau. -mer n. mpiga ngoma" dry,adjective,"kauka; yabisi; kame; si a kupendeza; kali; chungu. -enye kiu. cell, seli kavu (betri) seli msingi ambamo elektroliti imevyonzwa kwenye mango na kutengenezea lahamu. v.t/i. kausha; kauka; anika; nyauka. drily" dry,adverb,wawazi. -ness n. ukavu; ukame; uyabisi. -er n. mashine ya kukausha dual,adjective,a watu wawili -a vitu viwili dubious,adjective,enye mashaka; si hakika; a wasiwasi; enye kuta wasiwasi duck¹,noun,"bata; kootewe; sallie; mpenzi; mlibubu. make -s and drakes of, tapanva; fuja; tupa -tojali" duct,noun,"1. mchirizi; kifereji; nyweleo. 2. neli au tyubu ya kupitishia kioevu, gesi, hewa, waya, etc. 3. tyubu ipitishayo vioevu mwilini" due,adjective,"a haki; a halali. When is the ship ~? meli yatajamiwa lini? to, kwa sababu ya;" due,adverb,"barabara; sawasawa. north, kaskazini barabara" due,noun,haki; ushuru; kodi; ada duet,noun,wimbo wa watu wawili dull,adjective,siong'aa; sio kali; zito; pumbavu; pocho; goigoi; butu dumb,adjective,bubu dummy,noun,mfano; mwigo; sanamu dummy,adjective,~a uwongo; a kuigiza; a bandia dump,noun,jaa la taka; dampo; jalala; ghala la zana za vita dump,verb transitive,tupa takataka; angusha ghafla; uza kwa ya kutupa dung,noun,mavi; kinyesi; samadi duodenum,noun,duodeni: sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo mwembamba kutoka kwenye tumbo duplicate,verb transitive/noun,nakili; rudufu; zidisha kuwa mbili; nakala; kopi. -adj. sawa na ya kwanza durable,adjective,a kudumu sana; a dumu; sioharibika upesi duration,noun,maisha; muda; wakati; kipindi during,preposition,wakati wa dusk,noun,giza la jioni; magharibi; utusitusi dust,noun,"vumbi; tifutifu; unga. throw ~ in sb.'s eyes, danganya; kosesha; laghai. shake the ~ off one's feet, ondoka kwa hasira" dust,verb transitive/intransitive,pangusa; nyunyiza; kung'uta duty,noun,"wajibu; kazi; haki; ushuru; kodi. it is my ~, ni wajibu wangu. -bids me, inanibidi. dutiful" duty,adjective,-ti; -tifu; -sikivu; -sikizi dwarf,noun,mblilikimo dwarf,adjective,dogo kuliko kawaida dwarf,verb transitive,dumaza; viza dwindle,verb intransitive,pungua; dhoofika; punguka; sinyaa; fifia dye,verb transitive/intransitive,tia rangi; tilika rangi dye,noun,dutu sanisia au asilia inayotumika kutia rangi; rangi. fast ~ rangi isiyochujuka dynamic,adjective,enye nguvu; enye bidii; mkakamavu dynamite,noun,aina ya baruti yenye nguvu nyingi dynamo,noun,dainamo; chombo cha kuzalishia umeme eager,adjective,-enye bidii; -enye shauku eagle,noun,tai; koho; furukombe ear,noun,"sikio; shuke la nafaka. give ~, tega sikio. bring about ~s, letea matatizo" early,adjective,a kale; a zamani early,adverb,mapema; mwanzo; mwanzoni earn,verb transitive,pata ujira au tijara earnest,adjective,-enye juhudi; -a enye bidii; -a enye ari; -enye ukweli. in ~ kwa moyo mmoja. -ly adv. kwa bidii earth,noun,1. dunia; ulimwengu. 2. nchi; bara; nchi kavu. 3. ardhi; udongo. 4. pango la mnyama wa mwituni earth,verb transitive,fukia. -en adj. a udongo. -enware n. vyombo vya udongo. -ing n. uunganishaji kifaa cha umeme na ease,noun,raha; utulivu; amani; faraja nafuu; ahueni. be at starehe; poa; burudika. be ill at fadhaiha; ona wasiwasi. vt./i. tuliza; fariji; pumzisha; legeza; punguza; legea; punguza; pumzika easel,noun,kiegeomeo cha picha au ubao wa kuandikia Easter,noun,Pasaka; sikukuu ya kufufuka kwa Yesu Kristo eat,verb transitive/intransitive,"(ate, eaten) -la; tafuna; haribu" eaten,adjective,liotobolewa na funza eatery,noun,mkahawa; hoteli ebony,noun,mpingo; enye rangi nyeusi tititi eccentric,adjective,si a kawaida; gen.~nity eccentric,noun,ajabu; ugeni; upekee wa tabia ecclesiastic,noun,kasisi; padri echo,noun,mwangwi; mfano; itiko. v.i.t. toa mwangwi; fuatisha maneno; kariri. ~ sounder echo,noun,kipima kina: kifaa kitumiacho mwangwi kupima kina cha bahari eclipse,noun,"kupatwa mwezi au jua; (fig.) onekana kupunguka akili, nguvu, sifa njema" eclipse,verb transitive,"pinga; shinda; pita; acha nyuma. be -d, patwa; liwa; shindwa" ecology,noun,ikolojia: sayansi ya mahusiano ya viumbe na mazingira yao. ecosystem ecology,noun,mfumo ikolojia economics,noun,sayansi kimu economy,noun,uchumi. economic economy,adjective,a uchumi. economics economy,noun,"uchumi; sayansi ya uzalishaji, usambazaji, utumaji bidhaa na fedha. economical" economy,adjective,rahisi; a gharama ndogo. economize economy,verb transitive/intransitive,punguza gharama; bana matumizi ecosystem,noun,mfumo-kolojia: mfumo unaohusisha mitagusano kati ya jamii na mazingira yake ikiwa vitu visivyo kuwa hai ecstasy,noun,1. upeo wa furaha; hali ya kurukwa na akili. 2. aina ya dawa ya kulevya sanisia ya kupumbaza hisia na akili ectopic,adjective,a mahali si pa kawaida ectoplasm,noun,uteselinishe: sehemu ya nje ya uteseli inayopakana na kiwamboseli eczema,noun,ukurutu edge,noun,"1. makali. His nerves were on - alikuwa amefaidhika sana. 2. ukingo; upindo; mpaka. give an - to, noa. ways, wise" edge,adverb,"kwa upande, ubavuni. I could not get a word in -ways sikuweza kusema hata neno moja kwani alikuwa akindikaluliza kila niliposema" edible,adjective,a kulika na wanadamu edification,noun,wema; maadili edify,verb transitive,fundisha mema; adilisha; ongoza vizuri kimaadili edit,verb transitive,hariri; panga data ili iingizwe kwenye kompyuta educate,verb transitive,funza; elimisha; fundisha; somehesha education,noun,elimu; mafundisho; malezi. educationist education,noun,mtaalamu wa elimu educator,noun,mwalimu eel,noun,mkunga nyoka maji efface,verb transitive,futa; ondoa; haribu kabisa. ~oneself jinywezea effect,noun,"athari; matokeo. of no -, bure; sifoda. in -, kwa kweli. take -, anza kufanya kazi. talk for -" effervesce,verb intransitive,chemka; fanya povu; umuka; fofomoka efficiency,noun,ufanisi; uwiano wa ufanisi juu ya zao la kazi na kazi iliyoingizwa kwenye mashine efficient,adjective,-a kufaa; stadi; madhubuti; fanisi effort,noun,bidii; nguvu; jitihada; juhudi; idili effusion,noun,utokaji; umwagaji; umwagikaji effusive,adjective,kunjufu; changamfu egestion,noun,ijesheni; utoaji wa vitu visivyotumika au takataka kutoka mwilini egg,noun,"yai. white of an ~, ute mweupe wa yai" egg2,verb transitive,"-sb. on, sukuma; sukumizia; chochea; himiza; harakisha" ejaculation,noun,utoaji manii wakati wa kujamiiana eject,verb transitive,fukuza; toa; tapika; fuka; ondosha El Nino,noun,Elninyo: mfumo wa hali ya hewa katika bahari ya Pasifiki unaoathiri kwa namna tofauti dunia nzima elaborate,adjective,liochanganuliwa; liofafanuliwa; lionakishiwa elaborate,verb transitive,tia madoido; fafanua; eleza kinaganaga elapse,verb intransitive,pita kwa wakati elastic,adjective,nyumbufu; -a kunyumbulika; -a kunepa; kunyauka elastic,noun,mpira elbow,noun,"kisugudi; kiwiko. out at ~s, (kwa mavazi) kuu-kuu" elbow,verb transitive,piga kikumbi elder,adjective,mzee; kubwa elder,noun,mzee; mwenye umri zaidi ya mwingine elect,verb transitive,chagua; elect,adjective,"-teule. president ~, rais mteule" electricity,noun,"umeme. electric charge, chaji umeme: kiasi cha umeme kilichomo katika kitu. electric current, mkondo umeme: mtiririko au msongo wa elektroni au chaji umeme katika kipitishi umeme. electric motor, mota mashine inayogeuza nishati umeme kuwa nishati mwendo. electrical energy, nishati umeme: nishati inayotokana na nguvu za umeme. electrochemical cell," electricity,noun,seli elektrokemikali: seli itengenezayo umeme kwa kutumia utendakazi wa kikemikali. electrocute electricity,verb transitive,tia kwa umeme. electrode electricity,noun,elektrod: kipitishi ambacho huingiza au kutoa mkondo umeme kwenye elektrokemikali seli kwa elektrolisisi au kwenye tao umeme au katika mwili au umbeo. electrolysis electricity,noun,elektrolisi: uionishaji kikemikali utokanao na kupitishwa kwa umeme kwenye mmumunyo au myeyuko wa dutu. electrolyte electricity,noun,elektroliti: msombo mmumunyo au myeyuko ambao hupitisha mkondo wa umeme. electromagnetic electricity,adjective,-a sumakuumeme: enye kuhusisha umeme na usumaku pamoja electromotive force,noun,kani mwendouememe: chanzo cha nishati cha kuumeme kinachotakiwa kuunda mkondo wa umeme katika mzunguko electron,noun,elektroni: 1. chembe hasi ya kimsingi iliyomo katika kila atomu. 2. sehemu ya atomu yenye chaji hasi inayozunguka kiini katika mzunguko maalumu. ~ shell mzingoelektroni: mzunguko wa elektroni zilizopangwa kuzunguka kiini katika mizingo tofauti. ics electron,noun,elektroniki: sayansi inayohusu tabia na nyendo za elektroni electroplating,noun,mpakazokiumeme: mpakazo wa tabaka ya metali juu ya kitu kwa njia ya elektrolisi elegant,adjective,nzuri; a madaha; usanifu element,noun,1. elementi: dutu isiyoweza kugawanywa kikemikali katika dutu nyingine ndogo zaidi. 2. jambo la asili au msingi. He is in his ~s: anajihisi kama kwake elephant,noun,tembo; ndovu elevation,noun,mwinuko; kimo; ramani ya upande mmoja wa jengo elevator,noun,lifti eligible,adjective,-a kufaa; -a kustahiki. eligibility eligible,noun,haki; ufaaji eliminate,verb transitive,toa; futa; ondosha; acha. elimination eliminate,noun,utoaji; ufutaji; uachaji ellipse,noun,duaradufu; umbo la yai. ellipsis ellipse,noun,ufutaji maneno katika maandishi au hotuba elliptical,adjective,-enye umbo la yai; -liofuta maneno elongation,noun,urefu; urefu shaji; nyongeza ya urefu else,adverb,tena; zaidi; juu ya hayo; vinginevyo; ama sivyo elsewhere,adverb,"pengine, penginepo" elucidate,verb transitive,eleza; fafanua elucidation,noun,maelezo; ufafanuzi elude,verb transitive,epuka; epa; epusha; okoka kwa mbinu. elusion elude,noun,hila; werevu; mbinu. elusive elude,adjective,-a hila; -danganyifu; -telezi emanate,verb transitive,tokea; anzia emancipate,verb transitive,komboa; weka huru; toa utumwani embankment,noun,boma la kuzuia maji; njia ya juu kwa juu; tuta la reli embargo,noun,"(-oes) kikwazo; kizuizi. lay an ~ on, piga marufuku; zuia; funga; ekea vikwazo" embark,verb transitive,"panda; ingia; pakia; ingiza chomboni. upon, on, anza; anzisha; ingia" embarrass,verb transitive,fadhaisha; sumbua; taharisha; zuia embassy,noun,ubalozi; ofisi na kazi za balozi; balozi na maofisa wake embellish,verb transitive,pamba; remba; tia madodo; tia chumvi embitter,verb transitive,chukiza; tia uchungu; kirihi emblem,noun,nembo; mfano; alama; ishara embody,verb transitive,"dhihirisha mawazo, maoni; jumuisha; unganisha. embodiment" embody,noun,udhihirihi embrace,verb transitive,kumbatia; kumbatiana; kubali; jumuisha; ingiza; fahamu; fuata embrace,noun,kumbatio embroider,verb intransitive,tarizi; nakshi; tia chumvi embryo,noun,kiinitete; kitu kilicho katika hatua ya mwanzo ya ukuaji emend,verb transitive,sahihisha; rekebisha emerald,noun,kito cha zumaridi emerge,verb intransitive,zuka; tokea; onekana; dhihirika; ibuka; julikana EMF,noun,ufupisho wa electromotive force: kani mwendoulememe emigrate,verb intransitive,hama; hajiri; hamia. emigrant emigrate,noun,mhamiaji. emigration emigrate,noun,uhamaji; uhamiaji eminent,adjective,tukufu; maarufu; adhimu; mashuhuri emir,noun,amiri; sheikh; kadh emit,verb transitive,toa; tokeza. emission emit,noun,utoaji; utokezaji emotion,noun,hisia; jazba; mshtuko emperor,noun,mfalme emphasis,noun,mkazo; nguvu; msisitizo. emphasize emphasis,verb transitive,sisitiza; tilia mkazo. emphatic emphasis,adjective,-a nguvu; -a mkazo; -a msisitizo. emphatically emphasis,adverb,kwa msisitizo; kwa nguvu empire,noun,milki; ufalme; mamlaka emplacement,noun,mahali pa kuweka silaha employ,verb transitive,ajiri; tumia; tuma. ~ee mmojawapo; mfanyakazi; kibarua empower,verb transitive,wezesha; pa idhini; pa mamlaka empress,noun,"mtawala wa kike, yaani mke wa mfalme au mjane wa mfalme" empty,verb transitive,mwagika; mimina; toa empty,verb intransitive,mwagika; wa tupu emulate,verb transitive,iga; igiza; fuatisha; husudu; shindana na en route,adverb,njiani; katika safari enable,verb transitive,wezesha enact,verb transitive,tunga sheria; igiza enamel,noun,enameli; sehemu ya nje ya jino iliyo ngumu na nyeupe yenye kung'aa; inayotokana na mgandamano maalumu wa kemikali ya kalisi enamoured,adjective,ashiki; tamani; penda; pendezwa na; vutiwa na encampment,noun,kituo; kambi enchant,verb transitive,pendeza mno; liwaza; roga; zuga encircle,verb transitive,zunguka; zungusha; zingira; zingira enclose,verb transitive,zunguka kabisa; zungusha kabisa; tia ndani ya; ambatanisha. enclosure enclose,noun,kiambatisho; eneo lililozungushiwa ukuta au uwa encounter,verb transitive,kutana na; pigana na; pambana na; kuta; encourage,verb transitive,tia moyo; tia nguvu; saidia; fariji encroach,verb intransitive,nva- ng'anya; iba; jiingiza; jipenyeza encyclopaedia,noun,ensaiklopidia: kitabu au seti ya vitabu vyenye taarifa kamili za mambo mengi end,noun,"mwisho; kikomo; mpaka; ncha; kusudi; nia; madhumuni; matakwa; azma; mradi. for hours on ~ kwa muda wa saa nyingi bila kusita. make both ~s meet, muda kujikimu. put an ~ to, make an ~ of, komesha. be at a loose ~, wa bila kazi. to gain one's ~ pata mradi wako" end,verb transitive,ishia koma; komesha; kata; maliza; hitimisha. ~less (ly) adj/adv. a daima; a milele; isiyo na mwisho. ~ways ~wise end,adjective,kwa ncha; kiwima wima endanger,verb transitive,hatarisha; ponza endear,verb transitive,fanya kupendeka endemic,noun,"ndwele: enye kuathiri watu au kiambo maalumu, kama vile ugonjwa wa malaria" endocrine,adjective,(kwa tezi) enye kumwaga homoni moja kwa moja katika mkondo wa damu. ~ gland endocrine,noun,tezi ndani: tezi inayotengeneza homoni na kuzitia moja kwa moja katika mfumo wa damu bila kupita kwenye vichirizi maalum endorse,verb transitive,thibitisha; ridhia; kubali; unga mkono; idhinisha endothermic reaction,noun,utendakazi nyonyajoto: utendakazi kemikali mmenyuko unaonyonya joto kutoka nje endow,verb transitive,"weka wakfu. be ~ed with, jaliwa" endure,noun,uvumilivu; ustahamilivu; jambo la kuwa mliwa enemy,noun,adui; hasimu energy,noun,"nguvu; bidii; nishati; uwezo wa kutenda kazi. atomic ~, nishati atomu. chemical ~, nishati kikemikali. kinetic ~, nishati mwendo. mechanical ~, nishati mekanika. nuclear ~, nishati nyuklia. potential ~, nishati tuli. solar ~, nishati ya mionzi ya jua. thermal ~, nishati joto. thermonuclear ~, nishati joto nyuklia. energetic" energy,adjective,-enye nguvu; bidii; juhudi enervate,verb transitive,dhoofisha; legeza; nyong'onyesha enervate,adjective,dhaifu; tepetefu. enervation enervate,noun,udhaifu; ulegevu; unyong'onyewu enfeeble,verb transitive,dhoofisha; legeza; nyong'onyesha enfold,verb transitive,kumbatia; funga kwa kuzungushia enforce,verb transitive,shurutisha; utifu; lazimisha; tilia nguvu enfranchise,verb transitive,-pa haki ya kupiga kura; toa katika utumwa engage,verb transitive/intransitive,"1. tuma; ajiri. 2. ahidi. be ~d in, shugulika na. 3. pigana; piganishia. 4. (kwa sehemu za mashine) ingia; shika; ingiza" engender,verb transitive,sababisha; zaa; fanya; anzisha engine,noun,injini; mashine; chombo; mtambo. ~ driver engine,noun,dereva (hasa wa treni) engrave,verb transitive,chora; tia; kata nakshi. engraving engrave,noun,"sanaa ya uchoraji, ukataji au utiaji nakshi katika vitu anuwai; sanaa iliyonakshiwa" engulf,verb transitive,meza; dilimizwa; gharikisha enhance,verb transitive,ongeza; kuza; zidisha; endeleza enjoin,verb transitive,amuru; agiza; lazimisha enjoy,verb transitive,penda; furahia; faidika na. ~ oneself furahi; jista- rehesha enlighten,verb transitive,elimisha; taalamilisha; ongoa; angaza enmity,noun,uadui; hasama enormity,noun,ukubwa enormous,adjective,kubwa mno; a kupita kiasi enrage,verb transitive,kasirisha; ghadhabisha enrich,verb transitive,tajirisha; sitawisha enrol,verb transitive,andika; andikisha; orodhesha; changa enslave,verb transitive,tia utumwani; tumikisha ensue,verb intransitive,fuata; fuatana; tokea ensure,verb transitive,hakikisha; salimisha entail,verb transitive,lazimaisha; hitaji; taka; husisha;weka wakfu entangle,verb transitive,tega; tatanisha; tatiza; zongomeza enterprise,noun,1. jambo kubwa; kazi; uhodari; ujasiri. 2. shirika; kampuni; biashara. enterprising enterprise,adjective,hodari; jasiri enthral,verb transitive,(-ll-) vutia sana; furahisha sana; shangaza enthrone,verb transitive,tawaza mfalme enthusiasm,noun,shauku; idili. enthusiast enthusiasm,noun,mwenye shauku. enthusiastic enthusiasm,adjective,enye shauku; enye bidii. enthusiastically enthusiasm,adverb,kwa shauku entice,verb transitive,laghai; shawishi; bembelesa; rubuni entire,adjective,zima; ote; kamili entomology,noun,entomolojia; tawi la zuolojia kuhusu taaluma ya wadudu entrance,verb transitive,n. 1. furahisha; vutia; pendeza; shangaza; pumbaza. 2. mlango; njia ya kupitia/kuingilia entrant,noun,aingaye; mshindani entrench,verb transitive,"zungushia handaki au boma. - oneself, ingia katika handaki; (fig.) jiweka salama mahali. -ment n. handaki; boma" entropy,noun,entropi: kiasi fulani cha joto kinachowezesha mikokotoo na kueleza vizuri matokeo ya viendosho enturst,verb transitive,amini; aminisha; kabidhi; wekea amana enumerate,verb transitive,hesabu; taja kwa mpangilio enumeration,noun,kuhesabu; kutaja moja moja enunciate,verb transitive/intransitive,nena; tamka; nena wazi na kwa ufasaha; tangaza. enunciation enunciate,noun,tamko; kunena wazi envelop,verb transitive,"zunguka, zungusha; funga; gubika; funika. be -ed in smoke, zungukwa na moshi" envelope,noun,bahasha environment,noun,mazingira; hali envisage,verb transitive,taamuli; hisi; fikiria; wazia envoy,verb transitive/noun,mjumbe; balozi epicentre,noun,mahali ambapo tetemeko la ardhi hutokea kwenye uso wa dunia epidermis,noun,ngozi nje; seli za gamba la nje katika mimea na wanyama epilepsy,noun,kifafa epileptic,adjective,-a kifafa epileptic,noun,mgonjwa wa kifafa episode,noun,kisa; kipindi; tukio katika mfululizo wa matukio epithet,noun,kivumishi; lakabu; kisifa epoch,noun,kipindi maalumu chenye matukio muhimu katika historia equable,adjective,"si a kubadilika; sawasawa. an - climate, hali ya hewa isiyobadilika mara kwa mara" equal,adjective,sawa; sawasawa; -a kulingana na. hirim; rika equal,verb transitive,(-ll-) -wa sawa na; lingana na. -ly adv. sawasawa. -ity n. usawa. -ize v.t. sawazisha; linganisha equanimity,noun,utulivu wa moyo; upole; utaratibu hasa wakati wa matatizo equate,verb transitive,linganisha na; sawazisha. equation equate,noun,usawazishaji; mlinganyo equator,noun,istiwa; ikweta. -ial adj. a ikweta; a karibu na ikweta equidistant,adjective,enye umbali sawa equilateral,adjective,"enye pande zote sawa. triangle, pande sawa tatu" equilibrium,noun,"msawazisho; msawazo: hali tuli baina ya kani au athari zinazopingana. constant, msawazisho kibaki. neutral, msawazisho suluhu. stable, msawazisho thabiti. unstable, msawazisho dhaifu" equinox,noun,"ikwinoksi, sikusare: siku mlingano ambapo jua huvuka mstari wa ikweta hivyo kufanya mchana na usiku uwe sawa. equinoctial" equinox,adjective,a kiwinoksi equip,verb transitive,(-pp-) tayarisha; andaa; zatiti. -ment n. vifaa; zana; vyombo era,noun,"enzi; zama. the christian -, enzi ya dini au mwaka wa kikristo" eradicate,verb transitive,ng'oa; futa; haribu eradication,noun,uharibifu; ufutaji; ung'oaaji erase,verb transitive,futa. erasable adj erect,adverb,-a wima erect,verb transitive,simamisha; jenga erg,noun,kizio cha kani au kazi erg²,noun,(ˈs_areg) eneo kubwa jangwani lenye milima ya mchanga inayohamahama kwa upepo hasa katika jangwa la Sahara erode,verb transitive,mong’onyoa; momonyoa erosio(n,noun,mmong’onyoko; mmomonyoko err,verb intransitive,kosea; potoka; fanya dhambi errand,noun,safari fupi; ujumbe. He has gone on an ~ ametumwa erupt,verb intransitive,foka; bubujika; ripuka; fumuka erythrocyte,noun,selidamu nyekundu: seli ya damu iliyo na protini yenye rangi nyekundu iitwayo hemoglobini escalator,noun,eskeleta: ngazi ya umeme escapade,noun,tendo la ujinga; utundu; ujasiri; upuuzi; utani unaosababisha matatizo; mwishowe escort,noun,mlinda; mpambe; msindikizaji escort,verb transitive,sindikiza; linda especial,adjective,-a peke yake; bora; mahsusi; maalumu essay,noun,1. insha essence,noun,1. asili; nafsi; dhati. 2. mafuta; uturi; marashi essential,adjective,-a lazima; muhimu; -a msingi establish,verb transitive,amrisha; weka; asisi; anzisha; imarisha; thibitisha estate,noun,shamba; mali; rasilimali estimate,verb transitive,kadiri; kisia; pima estimate,noun,kisio; makadirio estimation,noun,"heshima; sifa; maoni; mtazamo. in my ~, ninavyo mimi, be held in high ~, heshimiwa sana" estuary,noun,hori; mlango wa mto et cetera,noun,(hufupishwa kuwa etc) na kadhalika (n.k.) eternal,adjective,-a milele; -a daima. eternity eternal,noun,milele; ahera ethane,noun,"etheni, ethani: alkali au hidrokarboni iliyojaza hidrojeni yenye atomi mbili za kaboni" ethanol,noun,etani ambayo atomu moja ya hidrojeni imebadilishwa na kikundi kimoja cha hidroksili ether,noun,kioevu kisicho rangi kinachotengenezwa kwa asidi na alkoholi kinachotumika kama nusukaputi na pia kama kimunyunyishaji ether,noun,anga ya juu; mbingu ethics,noun,elimuadili; maadili. ethical ethics,adjective,-a maadili ethyl,noun,ethili: redikali ya kikaboni itokanayo na ethene etiolate,verb transitive,fanya mmea upoteze rangi ya kijani kwa kuunyima mwangaza etiquette,noun,adabu; taratibu za itifaki; miiko etymological,adjective,= etimolojia etymology,noun,etimolojia: taaluma inayochunguza historia ya maumbo na maana za maneno eucalyptus,noun,"aina ya mti uitwao mkaratusi, huota sana Australia" Eucharist,noun,"Ekaristi the ~, ushirika mtakatifu wa kikristo" eulogize,verb transitive,sifu eulogy,noun,maneno ya kusifu kwa maandishi au hotuba euphemism,noun,tasfida: matumizi ya maneno mbadala ili kukwepa matusi au karaha eureka,noun,mchanganyiko wa shaba na nikeli unaotumiwa kwenye filamenti na nyaya za umeme can eutrophication,noun,utrofikesheni: uchafuzi wa mazingira wa maziwa ambapo mata oganiki iliyooza huifyonza oksijeni yote iliyomo kwenye maji na kuua viumbe hai vilivyo evacuate,verb transitive,ondoka; hama; hamisha; kunya; toa kinyesi evacuation,noun,uhamaji; uhamishaji. evacuee evacuation,noun,mtu aliyehamishwa evade,verb transitive,epa; epuka; piga chenga; kwepa; tegea evaluate,verb transitive,tathmini; kadria. evaluation evaluate,noun,tathmini; ukadiriaji; makadirio. evaluator evaluate,noun,mkadiri evangelical,adjective,-a kiinjili; -a kiprotestanti; -a kilokole evangelical,noun,mlokole. evangelist evangelical,noun,mmoja wa waandishi wa injili; mwinjilisti evasion,noun,ukwepaji; uepukaji; kisingizio; hila evasive,adjective,a kukwepakwepa eve,noun,mkesha even,noun,(poet) jioni; magharibi even,adjective,sawasawa; laini; linganifu; -enye urari; tulivu; sawa; shufwa even,adverb,"sawasawa; askama -vyo. as expected, kama ilivyotarajiwa; if, ijapokuwa; hata - if you die, hata ukifa" evening,noun,jioni; magharibi -star; zuhura: (nyota) sayari ya pili katika mfumo wa jua inayonekana magharibi ya dunia event,noun,jambo; tukio; mksasa ever,adverb,"siku zote; daima; kila mara; wakati wowote. whoever, yeyote. now and for ever, maisha na milele. ~green n./adv. enye majani mabichi mwaka mzima" every,adjective,kila evidence,noun,"ushahidi. give, -toa ushahidi" evident,adjective,"dhahiri, wazi. evidently" evident,adverb,kidahiri evil,adjective,ovu; baya; fisadi evil,noun,uovu; dhambi; ubaya; ufisadi evil,adverb,kwa uovu evolution,noun,"ukuaiji, mabadiliko, mageuko. theory of ~, nadharia inayoshikilia kwamba viumbe hai changamano vilitokana na viumbe hai sahili" evolve,verb transitive/intransitive,kua; endelea ewe,noun,kondoo jike exact,adjective,halisi; barabara; hasa; kamili; enye bidii exact,verb transitive,toza; lipisha kwa nguvu; hitaji; taka. -ing adj. enye kuhitaji bidii nyingi; enye kuona exaggerate,verb transitive/intransitive,tia chumvi; kuza jambo exaggeration,noun,utiaji wa chumvi jambo; ukuzaji exalt,verb transitive,kuza; sifu sana; tukuz examination,noun,mtihani; ukaguzi; uchunguzi examine,verb transitive,"hoji, saili ~eyed" examine,adjective,enye makengeza. ~word (puzzle) examine,noun,chemsho bongo ya maneno yaliyopangwa kwenye mraba examine,verb transitive,kagua; chunguza; tahini example,noun,"mfano; kielelezo; funzo. Let this be an ~ to you, hili liwe fundisho kwako. I will make an ~ of him, nitamwadhibu ili liwe funzo kwa wengine" exasperate,verb transitive,kasirisha; udhi; ghadhabisha; kera exasperation,noun,ghadhabu; uchungu; hasira excavate,verb intransitive,chimba; chimbua; fukua. excavator excavate,noun,m chimbaji; chimbulio excavation,noun,"uchimbuzi, uchimbaji" exceed,verb transitive,pita; shinda; ruka mpaka; zidi; wa zaidi ya excel,verb transitive/intransitive,(-ll-) pita; wa bora kuliko tía fora; zidi except,preposition,ila; isipokuwa excerpt,noun,dondoo excess,noun,"ziada; tendo lililopindukia mpaka. in ~ of, zaidi ya" exchange,verb transitive,"badili; badilisha; badilishana. blows, pigana. words, zozana" exchange,noun,"ubadilishaji; ubadilishanaji; ofisi, soko. the stock ~, soko la hisa. telephone ~, ofisi ya simu. labour ~, ofisi ya kazi. rate of ~, kima cha kubadilishana fedha. foreign ~, fedha za kigeni" exchequer,noun,wizara ya fedha; waziri wa fedha; hazina hasa huko Uingereza excise,noun,ushuru; kodi ya bidhaa. excisable excise,adjective,enye kutozeka ushuru excise,verb transitive,kata sehemu. excision excise,noun,ukataji sehemu excitable,adjective,-epesi a hisia; enye kuweza kusisimuliwa. excitability excitable,noun,uwezo wa kusisimka excite,verb transitive,sisimua; chochea exclaim,verb transitive/intransitive,shangaa exclamation,noun,"mshangao. exclamation mark, alama ya mshangao hii (!)" exclude,verb transitive,"zuia; tenga; toa. sb. from membership of a club, zuia mtu uanachama wa klabu. exclusion" exclude,noun,utoaji; kutolewa; uzuiaji. exclusive exclude,adjective,"pweke; zuifu; -liojitenga; a watu maalumu, exclusive of, isipokuwa; minghairi; ghairi ya" excrement,noun,mavi; kinyesi; choo kikubwa; haja kubwa excrete,verb transitive,"kunya; toa takamwili; enda haja kubwa. excretory system, mfumo takamwili: mfumo wa maungo w a t u m i a y o w a n y a m a changamano kutoa taka mwilini" excursion,noun,"matembezi; safari; pikniki. ticket, tiketi ya bei nafuu" excuse,verb transitive,"samehe; wia radhi; ruhusu. - oneself from a duty, omba ruhusa ya kutofika kazini" excuse,noun,sababu; udhuru; kisingizio execute,verb transitive,1. tekeleza; timiza; fanya. 2. ua; nyonga. 3. tia saini; 4. cheza; onyesha jukwaani. executant execute,noun,mtekelezaji jambo. execution execute,noun,utekelezaji; utimizaji; uchezaji; upigaji; uuaji; unyongaji; unyongwaaji. executioner execute,noun,mnyongaji; muuaji executive,adjective,"a utendaji; enye amri; madaraka au mamlaka. the -, serikali. order, amri ya rais. executor" executive,noun,kabilidhi wasii; msimamizi wa mirathi. executrix executive,noun,kabilidhi wasii mwanamke exemplary,adjective,a kupigiwa mfano; enye kufaa kufuatwa. exemplify exemplary,verb transitive,onyesha kwa mfano; wa mfano exercise,noun,"matumizi, zoezi; mazoezi; drili. the - of patience, subira; uvumilivu. - of the body and its limbs, mazoezi ya mwili na viungo vyake; mamacheza" exercise,verb transitive/intransitive,"zoeza; jioeza; tumia; hangaisha; jaribu. - patience, subiri. He was -d about his faults, alihangaishwa na makosa yake" exert,verb transitive,"tumia; weka; wekea; gandamiza. - oneself, fanya juhudi; jitahidi. -ion n. bidii; juhudi; jitihada; utumiaji; ugandamizaji" exhale,verb transitive/intransitive,"toa pumzi; toa mvuke (harufu, uvundo); toka (kama mvuke, etc.)" exhaust,verb transitive,maliza kabisa; toa -ote; ondoa -ote; tumia -ote; chosha kabisa; chemua exhaust,noun,ekzozi; chemuo. -ion n. mavune; uchovu; umalizikaji. -ive adj. kamilifu; timilifu exhibit,verb transitive,onyesha hadharani; tembeza; dhihirisha exhibit,noun,"maonyesho; kizibiti; ushalidi. -ion n. tamasha; maonyesho; uonyeshaji; udhamini apewo mwanafunzi shule au chuoni. make an - of oneself, jiaibisha; fanya vituko hadharani" exhilarate,verb transitive,"changamsha; furahisha; tia moyo; sisimua. exhilarating news, habari za kusisimua" exile,verb transitive,fukuza; hamisha; kimbia kutoka nchi yake exile,noun,ufuukzaji; uhamishaji; ukimbiaji kutoka nchi yake; mkimbizi exist,verb intransitive,wa; ishi; -wako exit,noun,mlango wa kutokea; utokaji exocrine gland,noun,tezi kemikali; tezi ambayo hutoa kemikali na kuziingiza katika sehemu maalumu ya kiumbe kupitia kwenye mfumo au uwazi maalumu badala ya mkondo wa damu exonerate,verb transitive,toa lawamani au hakiani kwa tamko rasmi; achilia huru exorbitant,adjective,(kwa bei au haja) -a kupita sana kiasi; kubwa mno exoskeleton,noun,kiunzi; gamba au manyoya yanayofunika kiwiliwili cha mnyama. e.g. gamba la kaa exothermic reaction,noun,utendakazi toajoto; utendakazi unaotoa joto nje expand,verb transitive/intransitive,panua; enea; panuka; enea; kuza; kunjua; funua; wa - kunjufu. expanse expand,noun,eneo pana na wazi. expansion expand,noun,upanuzi; nenezi; mpanuiko. expansive expand,adjective,enye kupanua; enye kupanuka; -enye kuvimba; pana sana; -kunjufu expect,verb transitive,tazamia; tarajia expedite,verb transitive,harakisha; himiza expedition,noun,safari; hima; wepesi; haraka; msafara maalumu expel,verb transitive,(-ll-) fukuza; ondosha; toa. expulsion expel,noun,"ufukuzaji; uondoaji, utoaji" expend,verb transitive,tumia expense,noun,gharama expensive,adjective,ghali experience,noun,uzoefu; tajiriba; maarifa; ustadi experience,verb transitive,pata uzoefu katika jambo; pitia experiment,noun,jaribio experiment,verb intransitive,jaribu expert,noun,mzoefu; stadi; bingwa. ~d -zoefu; stadi expire,verb intransitive,1. koma; isha; malizika. 2. vuta pumzi; pumua; fa; kata roho. expiration expire,noun,uvutaji pumzi; umalizikaji. expiry expire,noun,"kikomo expiry date, tarehe ya mwisho wa matumizi" explain,verb transitive,"eleza; fasiri; fasili; fafanua. oneself, jieleza. explanation" explain,noun,maelezo; ufafanuzi; tafsiri; fasili. explanatory explain,adjective,-a kueleza; fafanuzi explicit,adjective,wazi; dhahiri; bayana explode,verb transitive/intransitive,ripua; ripuka; tengua; haribu. ~ with laughter; angua kicheko exploit,verb transitive,tumia; tumilia; nyonya; chimba madini; endeleza nguvu za asili exploit,noun,tendo la ujasiri explore,verb transitive,peleleza; vumbua; talii; tafiti; gundua; chunguza explosion,noun,mlipuko exponential growth,noun,ongezeko nambakipeo; ongezeko fulani la kasi ambalo hutegemea idadi ya viumbe vilivyo po export,verb transitive,kuuza au kusafirisha bidhaa nchi nyingine export,noun,bidhaa za nje expose,verb transitive,funua; weka wazi; fichua; inua; tia mwanga; hatarisha; chongea; onyesha. exposure expose,noun,uwazi; uingizaji mwangaza; ufunuaji; ufunuaji express,verb transitive,"eleza; onyesha; dhihirisha; simulia; peleka kwa njia ya haraka. - one's feelings, eleza hisia zako" express,adjective,"harisi; dhahiri; -a haraka; muhimu. an - command, agizo muhimu. an - train, treni ya mwendo wa kasi" express,adverb,kwa haraka exquisite,adjective,bora sana; kali sana; tamu sana exquisite,noun,mmaridadi; mlilmbwende; mtanashati extant,adjective,liopo extend,verb transitive/intransitive,nyoosha; ongeza; refusha; tandaza; enea; ongeza. extension extend,noun,"nyongeza; upanuzi; uenezi. an - to a hotel, sehemu iliyoongezwa ya hoteli. extensive" extend,adjective,-enevu; kubwa; pana. extent extend,noun,"urefu; eneo; kiasi. to a certain extent, kwa" extenuate,verb transitive,punguza ukubwa au makali wa kosa. extenuation extenuate,noun,udhuru wa kupunguza ukubwa wa kosa exterminate,verb transitive,maliza; ua; ote; teketeza; angamiza. extermination exterminate,noun,maangamizi external,adjective,-a nje; lio nje extinct,adjective,-liotoweka; -liozimika; -siyokuwepo tena extinguish,verb transitive,zima; komesha; haribu; futa extort,verb transitive,toza au lipisha kwa nguvu; pora; nyang'anya; pokonya extra,adjective,-a ziada; -a nyongeza extra,adverb,"zaidi. -special, zuri zaidi" extra,noun,zaida ya nyongeza extract,verb transitive,ngo'a; ondoa; toa; kongoa; chopoa; sindika; dondoa; zidua extract,noun,kiziduo; dondoo; sehemu extradite,verb transitive,rudisha mhalifu katika nchi aliyofanya makosa ili akahukumiwe. extradition extradite,noun,urudishaji mhalifu namna hiyo extraordinary,adjective,"-a ajabu; si -a kawaida; -a pekee; -a dharura. -beauty, uzuri wa ajabu; -meeting, mkutano wa dharura" extravagant,adjective,badhirifu; -a kupita kiasi. extravagance extravagant,noun,ubadhirifu extreme,adjective,"mno, kabisa; -a kupindukia mpaka" extreme,noun,"mwisho; upeo; kigezo ncha. the ~s of heat and cold, vipeo vya joto na baridi. go to ~s, vuka mpaka. extremist" extreme,noun,enye siasa kali. extremely extreme,noun,ncha; kikomo; mpaka; upeo; mwisho; (pl.) 1. mikono na miguu. 2. vitendo vya kiatili; hali ngumu na mashaka extricate,verb transitive,toa; okoa; nasua. extrication extricate,noun,uokoaji; unakoaji; unasuaaji extrude,verb transitive,toa nje; sukumia nje; toka nje exult,verb intransitive,"furahia sana, shangilia sana" eye,noun,"jicho; tundu ya sindano. see - to - (sb), patana naye, have an (a good) - for, elewa; jua sana. with an -, to, enye kutumaini. make -s at, jipendekeza kwa; jikomba. -ball n. soketi ya jicho" eye,verb transitive,tazama fable,noun,ngano fupi; hekaya za maadili aghalabu wanyama huwa wahusika wakuu; habari za uzushi e.g. Aesop's ~. fabulous fable,adjective,-a kubuni; -a uzushi; -a uongo fabric,noun,kitambaa; kiunzi; mfumo; jengo. ~ate vt. jenga; zua; buni; tunga; ghushi; tengeneza facade,noun,upande wa mbele wa nyumba face,noun,"uso; sura; wajihi; upande wa mbele. make (pull) a (at), kunja uso; geuza uso. save ones ~, jiepusha na aibu. the ~ of a clock uso wa saa. value, thamani iliyondikwa. on the ~ of it, kama inavyoonekana. vt./i. tazama; elekea; kabil; tomea. the music, kabil hatari. -it out, kabil kishujaa. a stone wall ~d with cement, ukuta wa mawe uliotomewa kwa saruji" facial,adjective,-a uso facile,adjective,-epesi; rahisi; sahili; kufanyika au kupatikana; a juujuu tu; pole. facilitate vt. rahisisha; saidia; sahlilisha facility,noun,urahisi; wepesi; kifaa; nyenzo; wekelevu; upole fact,noun,"jambo la hakika; kweli; hakika. in (point of) ~, as a matter of ~, kwa kweli. -ual adj. -enye ukweli" faction,noun,kikundi ndani ya kundi kubwa; ugomvi baina ya vikundi vya kundi moja. factious faction,adjective,-a ugomvi wa mgawanyiko factor,noun,"sababu; kipengele; kigawo; kigawanyo; zao mtiririko; e.g. 2, 3, 4, 6 ni vigawanyo vya 12" factory,noun,kiwanda; karakana; banda la kazi faculty,noun,"welekevu (ustadi, uwezo) wa kufanya jambo; nguvu; akili; kitivo cha chuo kikuu" fade,verb transitive/intransitive,fifisha; chujusha; fifia; chujuka; chaka; pauka; paua; punguza; pungua faeces,noun,kinyesi; mabaki ya chakula ambacho haki kumeng'enywa perceptible,adjective,-a kuonekana; -a kutambulikana fail,verb transitive,"shindwa; feli; felisha; kosekana; haribika; dhoofika; sahau kufanya; flisika. He ~ed me, alishindwa kutimimiza ahadi. Come without ~, usikose kuja" faint,adjective,dhaifu; sioonekana vyema; si dhahiri; -a kuzimia; nyonge faint,verb intransitive,zimia; zirai; fifia; dhoofu faint,noun,"uzimaji; kuzirai. in a dead ~, zirai kabisa" fair,adjective,"-a haki; -adilifu; -zuri; eupe; safi. a ~ chance, bahati nzuri" fair,noun,soko lilfunguliwa katika vipindi maalumu: tamasha; maonyesho. a day before the mapema mno fairy,noun,pepo; jini; zimwi; kibwengo. ~ tale fairy,noun,ngano za mazimwi; ngano faith,noun,"imani; itikadi; dini; ahadi; miadi; utiifu; uaminifu. in good ~, kwa nia safi; in bad ~, kwa nia mbaya" fake,noun,iga; ghushi; mwigo; -a bandia fall,verb intransitive,"anguka; poromoka; tekwa; punguka; nyesha; shuka; pukutika. -in love (with), penda. asleep, sinzia; lala. -shot (of), punguka. -back on, rudi nyuma; rudi -back on, rudi kutuma badala ya -ingine isiyofaa. -in, jiangia. -in with, kubaliana na. -off, punguka. -on, shambulia. out with" fallacious,adjective,a uwongo; enye kupotosha; danganyifu fallacy,noun,kosa; uwongo; hoja ya uwongo; dhana yenye kosa fallible,adjective,a kuweza kukosa; a kuweza kuwa na kosa fallopian tube,noun,neli ya falopi: neli inayounganisha ovari na uterasi false,adjective,si kweli; ~ a uwongo; si halisi; danganyifu; nafiki; bandia false,adverb,"kwa udanganyifu. play sb. ~, hain; danganya" falsification,noun,uwongo; udanganyifu falsify,verb transitive,1. danganya; ghushi; potosha. fears ~ wa kinyume cha vile alivyooogopa falter,verb intransitive,sita; sema kwa kigugumizi fame,noun,"umaarufu; sifa. house of ill ~, danguro" familiar,adjective,"mashuhuri; -zoefu: a siku zote: ~a kawaida. be ~ with, jua sana" family,noun,"familia; jamaa; ahali; aila; ukoo; masaba. a person of ~, mtoto wa watu. be in the ~ way, wa mja mzito" famine,noun,njaa. famish v.i/t. ona njaa sana; shindisha na njaa famous,adjective,maarufu; mashuhuri fan,noun,feni; upepo; kipepeo. v.t/i. (~nn-) pepea; peta; pepeta; punga fan?,noun,"(colloq.) shabiki. film ~, mashabiki wa sinema" fancy,noun,wazo; fikira; ndoto; shauku; dhana fancy,adjective,"-liorembewa; a kupendeza macho; ghali sana. dress, vazi la fahari" fancy,verb transitive,waza; dhani; hisi; fikiri; penda fang,noun,chonge; jino refu; jino lenye sumu la nyoka fantastic,adjective,a ajabu; ~ a kutisha; ~ a kuchekesha; ~ a kuwazika tu far,adverb,"1. mbali. in so ~ as, as ~ as, kwa kadiri" fare,noun,"1. nauli; uchukuzi. 2. mlo. bill of ~, orodha ya vyakula" fare,verb intransitive,"safiri; endelea; enda: How did you ~? uliendeleaje? He did well, alifanikiwa" farm,noun,shamba; konde fascinate,verb transitive,vutia sana. fascination fascinate,noun,kuvuto; uzuri; mvuto fashion,noun,mtindo. the Zanzibar ~s mitindo ipendwayo fast,adjective,1. imara; madhubuti. 2. aminifu. 3. a kudumu fast,adverb,"imara. be ~ asleep, lala fofo. play ~ and loose with, badilisha msimamo mara kwa mara. stand ~, simama imara; kataa kuyumbishwa" fast2,adjective,-epesi; a haraka; badhirifu; a anasa; enye kukimbia fast2,adverb,"upesi; haraka; hima. rain ~, nyesha sana. live ~, ishi kianasa" fast3,verb intransitive,funga (kidini) kujizuia kula na kunywa na mambo mengine yaliyokatazwa wakati wa kufunga fast3,noun,"funga; fungu; saum. break one's ~, futuru; fungua; fungua saum" fasten,verb transitive/intransitive,funga; fungika; kaza; upon. shikilia fat,noun,"mafuta; shahamu; uto. live on the ~ of the land, ishi maisha ya anasa" fat,adjective,enye mafuta; nene; nono; iliojaa fatal,adjective,a kuua; a ajali fate,noun,majaliwa; jala; amri ya Mungu; mauti; maangamizi father,noun,"1. baba. adoptive ~, baba wa kupangia. putative ~, baba wa kudhaniwa. step ~, baba wa kambo. 2. kasisi; padre. 3. mwanzilishi; kiongozi wa awali" fathom,noun,pima; futi sita; mita 1.8 fathom,verb transitive,pima kina cha; elewa fathomless,adjective,isiopimika kina; sioleweka fatigue,noun,uchovu; mavune; kazi ya sulubu fatigue,verb transitive,chosha fault,noun,"kosa; dosari; hitilafu; ila; kasoro. find with, lalamikia. be at ~, sitasita. It's your own ~, ni kosa lako mwenyewe" faultless,adjective,bila kosa; kamili. ~y adj. -enye kosa. ~ily adv. kimakosa fauna,noun,fauna; jumla ya wanyama wote katika mazingira fulani favour,noun,"fadhila; hisani; neema; jamala. in ~ of, kwa upande wa; kwa faida ya; kwa ajili ya. do me a ~, nisaidie" favour,verb transitive,pendelea; unga mkono; fadhili. ~ite n./adj. kipenzi; mpenzi fax,noun,nukushi fear,noun,"hofu; woga; chaji. the ~ of God, ucha Mungu" fear,verb transitive/intransitive,ogopa; chelea; hof; cha; chelea feasibility,noun,"uwezekano. feasibility study, uchunguzi wa kina" feasible,adjective,enye kuwezekana; enye kuyumkinika feast,noun,sikukuu; karamu; dhifa feast,verb transitive/intransitive,furika. ~la karamu feat,noun,tendo kubwa la ujasiri lililofanikiwa feather,noun,"unyoya. birds of a ~, watu wa namna moja. show the white ~, onyesha hofu. in high ~, kwa furaha" feather,verb transitive,tia manyoya feature,noun,wasifu; sura; sifa; makala katika gazeti; filamu February,noun,Februari: mwezi wa pili wa mwaka wa kizungu federal,adjective,-a shirikisho; a kuhusu serikali ya shirikisho fee,noun,"ada; karo; kingilio. estate in - simple, mali inayorithiwa bila ya masharti yoyote" feeble,adjective,dhaifu; goigoi; hafifu. feebly feeble,adverb,kidhaifu felicity,noun,heri; furaha kuu; nyemi; suudi; baraka; ufasaha; maneno fasaha fell,verb transitive,"angusha; kata mti. run and - a seam in sewing, piga bandi" fellow,noun,1. (colloq.) mtu; jamala. 2. mwenza; mshiriki. 3. msomi; mwanazuoni fellow,adjective,a namna moja felt,noun,kitambaa cha manyoya ya mnyama yaliyo gandamizwa kwenye kitu kingine kwa gundi female,adjective,"-ke, a mwanamke; -a kike" female,noun,mke; mwanamke; jike feminine,adjective,-a kike; ke. feminism feminine,noun,harakati za kuleta haki na usawa wa kijinsia kwa wanawake. feminist feminine,noun,mshawishi wa harakati hizo fence1,verb transitive,"zungushia ua, boma au seng'enge" fence1,noun,boma; ua; seng'enge fence2,verb intransitive,1. cheza kwa panga au vitara. 2. (fig.) epuka kujibu swali. fencing fence2,noun,"ua, vifaa vya kujenga ua; mchezo wa panga" fern,noun,jamii ya mimea: dege la watoto; mkangaga; madole matano ferocious,adjective,-a kali; katili. ferocity ferocious,noun,ukali; ukatili ferret,noun,"mnyama kama cheche au nguchiro. v.t/i. winda kwa kutumia mnyama huyo. -out sth, chunguza; peleleza" ferric,noun,ferasi; ioni ya feri yenye chaji chanya tatu ferrous,noun,ferasi; ioni ya feri yenye chaji chanya mbili ferry,noun,kivuko; feri. v.t/i. vusha; vuka; safirisha fertile,adjective,enye rutuba; zazi; enye akili za kivumbuzi; enye kuzaa sana. fertility fertile,noun,rutuba; uzaji. fertilize fertile,noun,rutubisha; tungisha mimba. fertilization fertile,noun,urutubishaji; tungishaji. fertilizer fertile,noun,mbolea festival,noun,sikukuu; sherehe; tamasha festive,adjective,a sikukuu; a sherehe; kunjufu; changamfu festivity,noun,"shangwe; furaha; shamrashamra. wedding festivities, shamrashamra za arusi" fetch,verb transitive/intransitive,leta; toza; (kwa bidhaa) tewa; kwa; pata fetish,noun,miungu ya sanamu; mizimu fetter,noun,pingu za miguu; kizuizi fetter,verb transitive,"tia pingu; zuia. make a ~ of, penda mno; husudu" fever,noun,"homa; wasiwasi. yellow ~, homa ya manjano" fez,noun,tarbush; tunga fiancé(e),noun,mchumba mwanamume; mchumba mwanamke fibre,noun,uzi. fibrous fibre,adjective,a nyuzinyuzi fiction,noun,hadithi ya kubuni; riwaya; habari ya kubuni fictitious,adjective,a kubuni; a uwongo fiddle,noun,"fidla; udi. be fit as a ~, wa mzima sana; play second ~, wa msaidizi. v.t/i. piga fidla; piga udi; cheza chezea na; cheza chezechezea. ~sticks int. upuuzi mtupu" fidelity,noun,uaminifu field,noun,"konde; shamba; uwanja; tawi la taaluma; machimbo; eneo; mbuga ya malisho. rice ~, shamba la mpunga. landing ~, eneo la kutulia ndege. events, mashindano ya michezo isipokuwa ya mbio. v.i/t. wa tayari kudaka au kuzuia mpira" fierce,adjective,kali; a nguvu; katili fiery,adjective,a moto; kali; a joto; enye hasira fig,noun,"tree, mtini; fruit, tini. don't care a ~, haidhuru hata kidogo, haina faida yoyote" figure,noun,"1. tarakimu. 2. bei. buy sth. at a low ~, nunua kitu kwa bei ndogo. 3. umbo, have a fine ~, wa na umbo zuri. 4. mtu mashuhuri. Nyerere is a great ~ of our times, Nyerere ni mtu mashuhuri wa zama zetu. 5. sanamu ya kuchonga au ya kuchora" filament,noun,filamenti; nyaya nyembamba ndani ya balbu file1,noun,jalada; faili file1,verb transitive,hifadhi katika jalada; faili; sajili; andikisha jambo mahakamani file2,noun,tupa file2,verb transitive,piga tupa; chonga; kata kwa tupo. filings file2,noun,vumbitupa file3,noun,safu file3,verb intransitive,fuatana; andamana katika safu film,noun,utando; filamu; sinema. v.tˈfɪlmi/ film,adjective,-mbamba; -a utando; -epesi filter,noun,chujio; kichujio; kung'utuo. v.t/i chuj a; (fig) penya; sambaa; ingia; enea; rishai; vuja filth,noun,uchafu; taka; kinyaa; najisi. -thy adj. -chafu; najisi. -ily adv. kichafu fin,noun,"pezi la samaki. -ny adj. -enye mapezi. tail -, mkia wa ndege" final,adjective,-a mwisho; -a kukata maneno final,noun,mtihani wa mwisho; fainali. -e n. -a mwisho katika mfululizo. -ly mwishowe; hatimaye finance,noun,"usimamizi wa fedha; fedha za serikali/kampuni. company, kampuni ya kushughulikia gharama za fedha," finance,noun,gharimia. financial finance,adjective,"-ya fedha. -year, mwaka wa fedha. financier" finance,noun,mtaalamu wa mambo ya fedha; mgharamiaji; mdhamini fine,noun,faini; fidia fine,verb transitive,toza faini fine,adjective,"-zuri; -embamba; -kali; laini; -ororo; safi. -art(s), sanaa za uchoraji. call sb. by -names, ita mtu kwa kutukana tasfida" finger,noun,"kidole; chanda. have a - in, shiriki. burn one's -s, pata matatizo" finish,verb transitive/intransitive,maliza; timiza; hitimisha kamilisha finish,noun,mwisho; ukamilifu finite,adjective,"-enye mpaka au kikomo; -enye kukubaliana kimahesabu kiidadi na pia kinasfi. state grammar, sarufi miundo ukomo. verb, kitenzi ukomo" fire,noun,1. moto. 2. milio wa bunduki. 3. hasira; hasara fire,verb transitive/intransitive,1. washa moto; unguz a; choma; teketeza; kaanga; oka katika tanuri. 2. piga silaha yoyote ya risasi. 3. (colloq.) fukuza (mtumishi). ~ alarm fire,noun,king'ora firm,adjective,1. -gumu; thabiti; imara. 2. -shupavu; -siotetereka; -sioyumba; madhubuti firm,adverb,imara; madhubuti. -ly imara; madhubuti. -ness n. uthabiti; uimara firmament,noun,mbingu; anga firm²,noun,kampuni; shirika; washirika; wabia fission,noun,uatukaji; mwatuko; ubandukaji; ugawikaji; umegukaji; ugawanyika katika sehemu. nuclear ~ mwatuko unaosababisha kiini cha atomu nzito kama ya urani kugawanyika katika sehemu mbili na kutoa nishati ya nyuklia fissure,noun,ufa fist,noun,"ngumi; konde. put up one's ~, jitayarisha kupigana" fit²,noun,"ugonjwa wa ghafula wa muda mfupi, ~a of coughing kipindi cha kukohoa. epileptic ~ kifafa. hysteria ~ kicheko au kilio cha ghafula. by ~s and starts, kwa vipindi vifupivifupi. ~ful" fit²,adjective,~a kuegukeaguka; enye kutokea kwa vipindi vifupi fit¹,adjective,1. ~a kufaa; enye kustahili. 2. ~ting fit¹,adjective,~a kufaa; stahiki; kifa. ~a electric light ~ mfumo wa vifaa vya taa za umeme fix,verb transitive/intransitive,kaza; imarisha; amua; tengeneza; vutia; toa picha; honga; lipiza kisasi. ~ture n flagrant,adjective,~siyo na haya; dhahiri; shahiri flake,noun,"chembe; vipande vidogovidogo. snow ~s, chembechembe za theluji" flame,noun,"mwale; mwako; ulimi, mrija wa moto" flame,verb intransitive,waka; ripuka; fanana na miale kwa rangi flamingo,noun,"korongo, flamingo" flank,noun,"ubavu; upande wa mtu, mnyama au mlima" flannel,noun,kitambaa cha kusafishia; fulana; suruali na fulana vya michezo flare,verb intransitive,waka; ripuka; tanuka flash,noun,"mwako, umweso; nuru ya mwanga unaomulika ghafla. in a ~, kufumba na kufumbua" flat,adjective,1. sawa; bapa. ~sio tamu; chapwa. 3. (kwa muziki) ~a sauti ya kuteremka flavour,noun,ladha. vt. tia viungo; chapua flaw,noun,kombo; ufa; hitilafu; dosari; ila. less flaw,adjective,kamili; bila kasoro flea,noun,kiroboto flee²,adjective,"epesi, enye kasi" flesh,noun,"1. nyama, one's own and blood, ndugu wa damu. 2. mwili; asili the sins of the dhambi za matamanio ya kimwili" flex,noun,waya wa umeme flex,verb transitive/intransitive,nepa; nyoosha; nyumbua flick,verb transitive/noun,piga kidogo; papasa; pigo jepesi; ufyekuzaji flicker,verb intransitive,1. (kwa nuru) sinzia. 2. yumbayumba; tikisika flight,noun,"1. kuruka; masafa ya mruko. 2. safari ya angani. 3. kundi la ndege warukao pamoja a ~ of pigeons, kundi la njiwa warukao pamoja. 4. ngazi" flight²,noun,"ukimbiaji; ukimbizi. put to ~, fukaza; kimbiza. take to ~, kimbia" flimsy,adjective,"(kwa karatasi au kitambaa) ~epesi; ~embamba; shashi. a ~ excuse, udhuru wa kizembe" flinch,verb intransitive,nywea; epa; jikunyata; jikuna flint,noun,namna ya jiwe gumu sana flit,verb intransitive,(-tt) rukaruka harakaharaka; hama kimyakimya ili kukimbia waden flock,noun,kundi; umati; jeshi flock,verb intransitive,"kusanyika. -out, toka kwa makundi. The people around ~ed to see the accident, watu walio kuwepo walikusanyika kutazama ajali ile" flood,noun,"gharika; mafuriko; leleji; mwingi; mbubujiko. -of anger, wingi wa hasira. -tide, maji kujaa; maji majale; maji makuu" floor,noun,"1. sakafu. 2. ghorofa. 3. ukumbi wa bunge take ~, pata nafasi ya kuongea katika mjadala" floor,verb transitive,"sakafu; shinda; tatiza. - a man in a boxing match, angusha mtu kwenye ndondi" flora,noun,flora: jumla ya mimea katika mazingira fulani. –al flora,adjective,-a maua. floriculture flora,noun,kilimo cha maua. florist flora,noun,muuza maua flour,noun,unga. → mill mashine ya kusagia nafaka flourish,verb transitive/intransitive,1. sitawi; shamiri; fanikiwa; tononoka. 2. punga; tikisa flourish,noun,upungaji; urembo; usitawi; mtindo; cheko; urekeb flow,verb intransitive,tiririka; bubujika; (kwa nywele au nguo) ning'inia flow,noun,"mkondo; mtiririko; mbubujiko. chart, chati mtiririko" flower,noun,1. ua. in~ enye maua flu,noun,makamasí; mafua; homa ya mafua fluctuate,verb intransitive,badilikabadilika; panda na kushuka. fluctuation fluctuate,noun,mabadiliko fluent,adjective,epesi kusema; semaji; fasaha. fluency fluent,noun,ufasaha fluff,noun,kibonge cha sufi; manyoya; malaika; pamba fluorescent,adjective,memetevu; mulikaji; enye kutoa nuru ya rangirangi baada ya kupigwa na mnururisho fulani; enye kuakisi mwanga fluorine,noun,florini elementi ya kikemikali katika hali ya gesi yenye rangi ya manjano kavu nyepsi katika kutenda kuliko zote flush,verb transitive/intransitive,iva uso; vuta maji; piga bomba. ~ed with happiness iva uso kwa furaha flush,noun,wekundu usoni; ufurikaji; ububujikaji; msisimko; ustawi flush,adjective,enye kulingana na; ~a kujaa pomoni flute,noun,filimbi; zumari. flutist flute,noun,mpiga moja wapo ya ala hizo flutter,verb transitive/intransitive,pigapiga mabawa. papatika; pepesuka; hangika flutter,noun,upapatikaji; wasiwasi; fadhaha fly,verb transitive/intransitive,(flew flown) 1. ruka; chukuliwa na upepo. 2. (kwa bendera) pepewa hewani; pandisha. 3. kimbia; pita upesi fly,noun,inzi foal,noun,farasi au punda mchanga. in~ (kwa farasi) zaa au wa na mimba pevu focus,noun,"(focuses, foci) 1. fokasi, kitovu; nukta ya mkutano wa miali baada ya kukengeuka. 2. mahali kitu kinapoonekana vizuri. 3. uwekeji kitu mahali kinapoonekana vizuri. 4. mahali" fodder,noun,chakula cha mifugo foe,noun,adui; hasimu foetus,noun,kijiusi: mtoto wa binadamu katika hatua zake za awali za ukuaji katika tumbo la mama kwenye umri wa takriban wiki nane au zaidi kidogo fog,noun,"ukungu. -horn n. parapanda inayoashiria hatari ya ukungu, hasa baharini. -gy adj. -enye ukungu" foil,verb transitive,kwamisha; zuia fold,verb transitive/intransitive,kunja; kunjana; pindika; pinda fold,noun,mkunjo; pindo. -er n. folda; brosha foliage,noun,majani folk,noun,1. watu. 2. (colloq.) ndugu au jamaa follow,verb transitive/intransitive,"1. fuata; andama. 2. fahamu; elewa. 3. fanya (kazi). -the sea, fanya kazi ya ubaharia. 4. iga, fuatisha. 5. tokana na. -it's s from what you say, kutokana na maelezo yako. That does not ~ at all, haiendani kabisa. sth. up, fuatilia. as ~s, kama ifuatavyo. -er n. mfuasi; msaidizi" folly,noun,upuuzi; upumbavu fond,adjective,"-enye kupenda. be very ~ of, penda sana" font,noun,1. chombo kitiliwacho maji wa ubatizo. 2. aina ya herufi za chapa food,noun,chakula; maakuli fool,noun,"mpumbavu; mjinga. make a ~ of, danganya; make a ~ of oneself, jipumbaza. -'s errand, kazi isiyo faida. -'s paradise, -wa na furaha ya kipumbavu isiyodumu" fool,verb transitive/intransitive,"jipumbaza; fanya upuuzi. 2. danganya. -away one's time, poteza wakati. -ery n. upuuzi. hardy" fool,adjective,jasiri mno: -enye kujihatarisha bure. -ish adj. pumbavu; jinga; puuzi. -ishly adv. kipuuzi; kipumbavu. -proof adj. isiyo na hitilafu foot,noun,"(feet). 1. mguu; sole of~, wayo; unyayo. cloven ~, ukwato. on ~, kwa miguu. set sth. on~, anzisha jambo, set (sb.) on his feet, saidia mtu kujitegemea. fall on one's feet, fanikiwa bahatika. put one's ~ down, kataa; pinga; shikilia msimamo. carry sb. off his feet, athiri sana mtu. put one's ~ in it, kosea. 2. upande wa chini. the ~ of" for,conjunction,kwa kuwa; kwa maana; maana for,preposition,"kwa; kwa ajili ya; badala ya; muda wa; mwendo wa. fight ~ pigania. -my sake, kwa ajili yangu. -nothing bure" forbear,noun,babu; mhenga forbid,verb transitive,(forbade forbidden) gomezea; kataza; kanya; piga marufuku; asa; zuia. -ding adj. -a kuogofya; -kali; -chungu force,noun,"1. nguvu; kani; nguvu. -the ~ of a blow, nguvu ya pigo. -the ~s of nature, nguvu za maumbile. 2. bidii, jitihada, juhudi. 3. jeshi. join the ~s, jiunga na jeshi. 4. amri, uwezo. put a law into ~, fanya sheria itumike" force,verb transitive,"1. lazimisha; shurutisha; vunjia, pasua kwa nguvu. -a person's hand, lazimisha mtu kufanya kitu. -d march, mwendo wa kijeshi. 2. otesha; ivisha; pevuisha kabla ya wakati" forceps,noun,koleo ya kungolea meno forcible,adjective,"-liofanywa kwa nguvu. forcible entry, kuingia kwa nguvu. forcibly" forcible,adverb,kwa nguvu ford,noun,kivuko ford,verb transitive,vuka kwa miguu fore1,noun,"mbele; upande wa mbele. come to the ~, -wa maarufu. adj./adv. -a mbele; a omo; a kutangulia; kwa mbele" forearm,noun,"kigasha, mkono toka kiko mpaka kitanga" forecast,verb transitive,tabiri forecast,noun,"utabiri. the weather ~, utabiri wa hali ya hewa" forehead,noun,paji la uso; kikomo cha uso foreign,adjective,"1. -geni, -a nchi za nje; -a kigeni. 2. -siohus. 3. -a nje. -the body in the eye, kitu cha nje kilichoingia jichoni; dodo; puku. -er n. mgeni" foreman,noun,msimamizi; mnyapara; kiongozi wa baraza la wazee forensic medicine,noun,tiba forensiki; matumizi ya taaluma ya tiba katika kutafuta ushahidi unaoweza kutumika mahakamani unaothibitisha kuwa uhalifu umetendeka foresight,noun,uono wa mbele; busara forest,noun,msitu. -er n. msimamizi wa misitu; bwana misitu. -ry n. elimu ya upandaji na usimamizi wa misitu forestall,verb transitive,1. vuruga mambo kwa kufanya kitu mapema bila kutegemewa. 2. ficha bidhaa ili kuuza baadaye kwa bei ya juu; langua foretell,verb transitive,tabiri; bashiri; agua forethought,noun,busara; uono wa mbele foreword,noun,dibaji; utangulizi forfeit,verb transitive,tozwa faini kwa adhabu ya kosa forfeit,noun,faini; fida. -ure n. utozwaji kikombozi forge1,verb intransitive,endelea mbele polepole; ongoza forge2,noun,kiwanda cha muhunzi forge2,verb transitive,fua chuma forge3,verb transitive/intransitive,ghushi; buni. -ry n. mdanganyifu. -ry n. udanganyifu forget,verb transitive/intransitive,"(forgot forgotten) sahau; pitikiwa; oneself, jisahau. ~ful adj" forgo,verb transitive,(forwent forgone) samehe; acha fork,noun,uma; panda. vt.i twaa kwa uma; (kwa njia) gawanyika. ~lift truck fork,noun,foko form,noun,"1. umbo; sura; jinsi. 2. taratibu; kawaida; desturi. 3. muundo; aina. 4. fomu income tax ~, fomu ya kodi ya mapato. be in good ~, wa katika afya nzuri. be out of ~, wa katika hali ya uchovu. 5. fomu; benchi. 6. kidato; darasa" form,verb transitive/intransitive,1. umba; umbika; unda. 2. tengeneza; tengenea; tunga. 3. wa sehemu ya. 4. anzisha former,adjective,liopita; a zamani; ilotajwa mwanz formidable,adjective,1. -a kutisha; -a kuogofya. 2. kubwa; -gumu formula,noun,1. virai vitumikavyo sana kwenye mazungumzo; e.g. How do you do? 2. fomula; kanuni; kawaida; taratibu; maelezo ya kufanya jambo. ~te vt. changanua kanuni au taratibu za kufanya jambo forsake,verb transitive,(forsook forsaken) kataa; acha; tupa; telekeza; toroka fort,noun,ngome; boma; husuni forth,adverb,"1. nje. 2. mbele; kwenda mbele. from this day ~, kutoka leo na kuendelea. back and ~, nyuma na mbele. and so ~, kadhalika" fortification,noun,uongezaji nguvu; uimarishaji; ngome; boma fortify,verb transitive,imarisha; ongeza nguvu fortitude,noun,uvumilivu wa maumivu na shida; ushujaa; ustahamilivu fortnight,noun,wiki mbili; siku kumi na nne. ~ly adj./adv. a wiki mbili; kila wiki mbili fortress,noun,mji uliojengwa kama ngome; boma; ngome; husuni fortunate,adjective,-a bahati; enye bahati fortune,noun,"bahati; mafanikio; neema; baraka; ustawi; utajiri; rasilimali. have ~ on one's side, -wa na bahati njema. tell sb.'s ~, -agua; bashiri; piga ramli" forward,adjective,a mbele; a kutangulia; -a kuendeleza forward,noun,fowadi; mchezaji wa mbele. vt. saidia; himiza; endeleza mbele; peleka; safirisha barua forward,adverb,"mbele. bring sth. ~, wasilisha jambo kwa wengine" "fossil , sil",noun,kisukuku; mabaki na alama za kale za kiumbe foster,verb transitive,lea; tunza; kimu. ~brother (sister) foster,noun,ndugu wa kulea foul,adjective,"1. -a kuchukiza; -a kunuka; chafu. 2. -ovu; -potovu; -a matusi; -a dhoruba. - play, tendo au mchezo uliokiuka sheria" foul,adverb,"fall ~ of, (kwa meli) gongana na (fig.)" fountain,noun,chemchemi; bomba la kurusha maji juu kwa nguvu. ~ pen fountain,noun,kalamu ya wino fovea,noun,kibonye; kishimo katika mfupe au kiungo kingine katika mwili hasa katika retina ya jicho fowl,noun,1. (la zamani) ndege yoyote. 2. kuku fox,noun,1. mbweha. 2. majanja; ayari; laghai fraction,noun,"sehemu; kipande; tarakimu isiyo kamili; e.g. 0.76. decimal ~, sehemu desimali. ~ distillation mwevuusho sehemu: mchakato wa kuevusha kwa ajili ya kubaidisha viowevu vyenye viwango vya kuchemka vinavyokaribiana. ~ating column chubu wima inayotumiwa kupokea mivuke mbalimbali na kuwezesha kila aina ya mvuke kuoweivishwa katika kiwango chake tofauti" fracture,noun,"mivunjiko; uvunjikaji. He has a ~ of the leg, amevunjika mguu. vt./i. vunja, vunjika" fragile,noun,-a kuvunjika upesi; dhaifu. fragility fragile,noun,hali ya kuvunjika upesi fragment,noun,kipande; sehemu frail,adjective,dhaifu; enye kuvunjika upesi frame,noun,"kiunzi; fremu; mwili; umbo; gimba. -of mind, hali ya akili. vt./i. tunga; buni; tengeneza; tia fremu; singiza" franc,noun,faranga; aina ya pesa franchise,noun,haki apewayo raia na nchi yake frank1,adjective,nyofu; enye kusema kweli frantic,adjective,kama -enye wazimu fraternal,adjective,-a ndugu; -a kidugu. fraternity fraternal,noun,1. udugu. 2. chama; shirika; jamii ya watu wenye hali moja. fraternize fraternal,verb intransitive,suthubiana na; fanya urafiki fraud,noun,udanganyifu; hila; ulaghai; mdanganyifu. laghai freak,noun,"1. kioja; wazo tendo, jambo lisilo la kawaida. 2. kiumbe kisicho cha kawaida, e.g. kuku mwenye vichwa viwili" free,adjective,"huru; enye hiari; siozuiwa; huria; bure; wazi. have a ~ hand, fanya upendavyo. the ~ church, kanisa huria. a ~ port, bandari huria" freeze,verb transitive,"(froze frozen) ganda; wa baridi sana. frozen roads; barabara zilizofunikwa na barafu. -the blood, ogofya. -drying, ukaushaji baridi: namna ya ukaushaji ambapo maji hutolewa katika dutu iliyokatika halijoto ya chini bila ya kubakia. freezing point" freeze,noun,kiwango cha kuganda: kiasi cha halijoto wakati dutu inapoanza na kuendelea kuganda na kuwa mango freight,noun,gharama za uchukuzi wa mizigo; mizigo; shehena. -er n. meli au ndege ya mizigo frequent,adjective,-a mara nyingi; -a kawaida; -a mara kwa mara frequent,verb transitive,"enda mahali mara nyingi; zoea kwenda (kuka, kuzuru) mara kwa mara. -ly adv. mara kwa mara. frequency" frequent,noun,1. kadiri ya urudiaji; urudiaji. 2. Kasimawimbi: idadi ya mibembeo katika kizio kimoja kwa muda fulani. resonant ~ kasimawimbi pata: marudio ya kulingana na marudio asili ya kitu fresh,adjective,"-bichi; pya; -ingine; (kwa chakula) -tamu, -siotiwa chumvi; (kwa maji) -siokuwa ya bahari; (kwa sura mtu) safi, -enye afya nzuri; (kwa hali ya hewa) baridi. -air hewa safi. -ly adv. sasa hivi; mapema. -ness n. upya; ubaridi" friction,noun,"1. usuguanaji wa vitu au mawazo 2. msuguano: hali ya kuwepo kani inayozuia msogeo kati ya vitu vinavyogusana. coefficient of ~, kizio cha msuguano. fluid ~, msuguano kimiminiko. kinetic ~, msuguano mwendo. static ~, msuguano tuli" Friday,noun,"Ijumaa. Good ~, Ijumaa Kuu" friend,noun,"rafiki; sahibu; msaidizi; mhisani. make ~s with, wa marafiki. -ly adj. -a kirafiki; -ema. -liness n. urafiki; upole; wema. -ship n. urafiki; usuhuba" frigate,noun,manowari sindikizaji fright,noun,"hofu; woga; mshutuko kichekesho; mzaha. give sb. a ~, shtusha. -en v.t. ogofya; shtusha. -ful adj. -a kuogofya; -a kuchukiza; -a kutisha. -fully adv. kwa hofu sana" frigid,adjective,baridi; si kunjufu; -si na ashiki. -ity n. ubardi; ukosefu wa ashiki frisk,verb transitive,1. rukaruka; cheza cheza; randa. -y adj. -enye kurukaruka; -enye kucheza cheza. 2. pekua; tafuta kitu au silaha harakaharaka frivolous,adjective,-a kipuuzi; -enye kupenda anasa; -a puuzi. frivolity frivolous,noun,upuuzi frog,noun,"chura. have a ~ in the throat, koroma. -man n. mpiga mbizi; mzamiaji" from,preposition,"kwa; katika; toka; kutoka; tangu; kutoka kwa; tokana na. He is ~ home, ametokana. What is it? sababu yake nini?" fronds,noun,"majani makubwa ya miti ya aina ya mikangaga, minazi etc" front,noun,"upande wa mbele; mbele; medani; uwanja; barabara ya ufukweni; uso; umoja. put on a bold ~, kabilili kwa ujasiri" front,verb transitive/intransitive,kabilili; kabiliana na; tazama; elekea; pinga. -age n. upande wa mbele wa nyumba au shamba. -al adj. -a mbele frontier,noun,mpaka; kikomo frost,noun,1. theluji; ukungu. 2. jambo lisilofanikiwa. -bite n. ugonjwa wa kuganda tishu kwa baridi kali na huweza kusababisha gangrini froth,noun,povu; upuuzi froth,verb intransitive,toa povu; foka; fotomoka; umuka fruit,noun,tunda; faida; mapato; chumo; mafanikio; matokeo fruit,verb intransitive,zaa matunda. -erer n. mzao wa matunda. -ful adj. -enye kuzaa matunda; (fig.) -a faida; -a kufaa frustrate,verb transitive,zuia; changanya mtu kisaikolojia; vunja moyo; katisha tamaa. frustration frustrate,noun,kizuizi; uvunjikaji moyo fry,verb transitive/intransitive,kaanga; kaangika fry,noun,samaki wachanga fuel,noun,fueli; kitu chochote kitoacho nishati; (fig.) kichochezi fuel,verb transitive/intransitive,"tia fueli; tia mafuta. add to the flames, chochea; palilia" fulcrum,noun,msingi; mahali ambapo wenzo hugeemea fulfil,verb transitive,(-ll-) timiza; tekeleza; kamilisha full,adjective,"-enye kujaa; tele; -zima; -ote; kamili. -face, uso wote; uso wa moon" full,noun,"mwezi mpevu: umbo la mwezi la duara kamili kama linavyoonekana tarehe 14 mwandamo. in -ote. to the -, kabisa. at - speed, kwa kasi sana" full,adverb,kamili. ~grown -liopevuka. ~blown (kwa maua) -liochanua fumble,verb transitive/intransitive,papasa; shikashika; babalisha; sitasita fume,noun,moshi; mvuke; hasira; ghadhabu fume,verb transitive/intransitive,toa mvuke; fuka; kasirika; foka fumigate,verb transitive,fukiza; tia buhuri. fumigation fumigate,noun,ufukizaji. fumigator fumigate,noun,chetezo; mfukizaji fun,noun,"mchezo; furaha; burudani; raha; mzaha; kichekesho. make -of, poke -at, fanyia mzaha. -fair, kiwanja cha michezo" function,noun,kazi; shuguli; tamasha; adhimisho; tafrija. vi. fanya kazi; faa fund,noun,"akiba; hazina; mfuko. a - of common sense, akiba ya maarifa. public ~s, hazina ya serikali. social security ~, mfuko wa hifadhi ya jamii" fundamental,adjective,-a asili; muhimu; -a msingi fundamental,noun,msingi; kanuni; asili funeral,noun,maziko; mazishi fungicide,noun,dawa ya kuulia kuvu fungus,noun,ukungu; kuvu; uyoga funk,noun,hofu kubwa; mwoga funk,verb transitive/intransitive,ogopa funnel,noun,faneli; bomba; dohani funny,adjective,-a kuchekesha; geni; -a ajabu; -gumu kufahamika fur,noun,manyoya (ya wanyama); ngozi ya mnyama yenye manyoya koya furious,adjective,-a ghadhabu; -kali mno furmace,noun,joko; kalibu; tanuru furnish,verb transitive,toa; patia; pamba; pa furniture,noun,samani; fanicha furrow,noun,mfuo; mfereji; mtaro; kunyazi furrow,verb transitive,fanya kunyazi; tengeneza mtaro further,adverb,mbele zaidi; mbali; zaidi; tena; juu ya hayo; zaidi ya hayo further,adjective,-a zaidi further,verb transitive,saidia; endeleza. furthest adj./adv. mbali kabisa furtive,adjective,"-a siri; -a hila; -a chinichini. a glance, kijicho upembe" fury,noun,ghadhabu kali; mwanamke mkali fuse,verb transitive/intransitive,yeyungana; yevusha; yevuka; ungana; unganika fuse,noun,fyuzi; umtibu fuselage,noun,kiunzi cha eropleni fusion,noun,"miyeyungano, uveyunganishaji. the ~ of copper and tin, uveyunganishaji wa shaba na bati" fuss,noun,udhia; wasiwasi; kihererehere. vi/t. shugulika; shugulikia; sumbua; sumbuka; hangaika futile,adjective,-sioleta manufaa; -sio na maana; -siyefanya lolote la maana. futility futile,noun,"upuuzi, hali ya kutokuwa na manufaa yoyote" futurity,noun,wakati ujao; jambo la baadaye gable,noun,gebo; ukuta wa pembetatu baina ya mapaa ya nyumba ya mngono gadget,noun,chombo cha kazi; ala; zana gag,noun,1. namna ya kitamba kinachofanya kinywa kikae wazi wakati wa matibabu ya meno au upasuaji. 2. kichekesho katika maigizo galaxy,noun,"1. galeksi; kundi la nyota linalo mfumo huru katika anga. the ~, mfumo huru wa nyota ambao ndani yake imo ardhi. the milky way ~, mfumo wa nyota nyingi ndogo zionekanazo kama wingu mbinguni. 2. kundi la watu maarufu" gale,noun,upepo mwingi; dhoruba gall bladder,noun,kibofu-nyongo; kifuko kinachohifadhi nyongo karibu na ini la wanyama gallery,noun,1. nyumba ya sanaa. 2. watu wanaokaa kwenye sehemu rahisi katika thieta. 3. ghorofa ya juu. 4. uja ulioezekwa gallium,noun,galiaumu; elementi laini ya metali ya rangi ya bahari inayotumiwa kutengenezea vipitishi katika transista gallon,noun,galoni gallows,noun,kiunzi cha miti cha kunyongea galvanized iron,noun,chuma galvaniwa; kipande cha bamba la feri lililopakazwa tabaka la zinki ili kuzuia lisiliike na kutu galvanometer,noun,galvanometa; chombo cha kuonyesha au kupima mikondo midogo dhaifu ya umeme gambling,noun,kamari game,noun,"1. mchezo. play the ~, fuata kanuni za jambo. 2. mashindano ya michezo. the Olympic ~s, michezo ya Olimpiki. 3. raundi. win three ~s, shinda raundi tatu. 4. hila. make ~ of, fanya mzaha; dhihaki. The ~ is up, shauri limeshindikana. 5. wanyama wa kuwinda" gamete,noun,gameti; seli gamma radiation,noun,mnururisho gama: mnururisho unaosababishwa na miali gamma gander,noun,bata bukini dume gang,noun,kundi la watu wafanyao jambo pamoja; gengo; gengi gangrene,noun,gangrini; kidonda kinachosababisha wafu kuzoa minofu. gangrenous gangrene,adjective,liooza gaol,noun,"gereza; jela. --bird n. mfungwa mzoefu. --er n. askari jela; mlinzi wa gereza. 1. chumba kirefu chumbani. 2. njia ndani ya machimbo ya madini. play to the ~, jipendekeze kwa wafungwa" gap,noun,ufa; nafasi; hitilafu; uwazi; pengo; mwanya gape,verb intransitive,achama; pasuka; fanya ufa; piga miayo gape,noun,miayo garage,noun,gereji garden,noun,"bustani ya maua, mboga au matunda. kitchen garden bustani ya mboga" garden,verb intransitive,lima bustani garland,noun,shada la maua; koaj; diwani mchanganyiko garland,verb transitive,visha shada la maua garlic,noun,"kitunguu saumu. a clove of ~, tumba la kitunguu saumu" garment,noun,vazi; nguo garrison,noun,"askari walinzi wa mji, ngome, au boma" garrison,verb transitive,linda kwa askari hao gas,noun,"gesi: dutu yenye chembechembe zitembeazo huru na ambazo hazigeuki kioevu au maada katika joto la kawaida; petroli; nusu kaputi; soga. laughing ~, gesi ya kuchekesha" gas,verb transitive,"ua, kufa kwa gesi; bwabwaja" gash,noun,toja; keketa; chanjo gash,noun,jeraha kubwa gash,verb transitive,jeruhi kwa kukata; keketa; chanjo gasoline,noun,petroli gasp,noun,"kutweta; kuhama. be at one's last ~, choka kabisa; gharihari ya kufa; sakarati ya mauti" gasp,verb intransitive,tweta; hema; vuta pumzi kwa shida gastric,adjective,"a tumbo. fever, homa ya tumbo" gastropod,noun,moluska (mfano konokono) atembeaye kwa tumbo na ana macho na minyiri gate,noun,geti; mlango; lango gather,verb transitive,1. kusanya; kusanyika. 2. chuma. 3. fahamu; elewa. What did you ~ from his statement? ulifahamu nini kutokana na maelezo yake? 4. tunga usha. 5. tia marinda gaudy,adjective,a urembo mwingi hadi kuchusha gauge,noun,geji; kipimo; upana wa pau au baina ya gurudumu za gari la moshi; unene. chombo cha kupimia gauge,verb transitive,pima; kadiria; kisia gaunt,adjective,-liokonda sana; lichokizika sana gauze,noun,shashi; kitambaa chembamba sana kinachochanyesha wavu wa nyuzi kama chandarua gay,adjective,"a furaha, changamfu;" gazelle,noun,paa; swala gazette,noun,gazeti la serikali gazette,verb transitive,tangaza katika gazeti. -er n. faharasa ya majina ya kijiografia gear,noun,"1. zana za kazi maalumu. hunting ~, vifaa vya kuwindia. steering ~, usukani. the landing ~ of an aircraft, miguu ya kutulia ndege. 2. gia. be in ~, wa katika gia. be out of ~, kutokuwemo katika gia. high ~, gia ya nguvu. low ~, gia ndogo" Geiger counter,noun,"kimesabio Geiger: ala ya kupimia harakatiredio na nguvu ya miali ya alfa, beta na gama" gem,noun,kito; johari; kitu kithaminiwacho sana kwa sababu ya uzuri wake gemometry,noun,"jiometri: tawi la hisabati linaloshughulika na tabia, uhusiano na upimaji wa nukta, mistari, maumbo na miongo. plane ~ jiometria bapa. motion ~ jiometria jongo" gender,noun,"jins; jinsia. feminine ~, jinsia ya kike. masculine ~, jinsia ya kiume. neuter ~, jinsia si ya kike wala ya kiume; huntha" gene,noun,jeni; sehemu ya DNA inayorithisha tabia au umile fulani general,adjective,"1. a jumla; a juujuu; kuu; a ote; si maalumu. a ~ matter of ~ interest, lhusulo watu wote" generate,verb transitive,fanyiza; tokeza; leta; zalisha; heat: toa joto generator,noun,jenereta generous,adjective,karimu; paji; ema; zuri; -ingi; enye kutoa nyingi. generosity generous,noun,ukarimu genesis,noun,asili; mwanzo; chimbuko genetic,adjective,a uzazi; a kizazi genius,noun,kipaji; mtu mwenye kipaji asilia gentle,adjective,pole; tulivu; raufu; latifu; uungwana gentry,noun,waungwana genuine,adjective,a kweli; halisi genus,noun,"(genera) 1. jenasi (genera) uainishaji wa spishi zenye sifa zinazofanana genus homo, binadamu. 2. jinsi; namna; aina; jamii" geodesy,noun,"tawi la hisabati kuhusu umbo, ukubwa na vipimo vya dunia. geodesic" geodesy,adjective,a umbo au ukubwa wa dunia geographer,noun,mtaalamu wa jiografia. geographical geographer,adjective,a jiografia geography,noun,jiografia: sayansi ya habari za maeneo ya uso wa dunia na viumbe viliyomo geography,noun,jiografia ya umbo la dunia. strength nguvu za mwili. impossibility to be in two places at once haivezekani kuwepo mahali pawili wakati mmoja geology,noun,jiolojia: sayansi inayohusu umbo na historia ya miamba inayounda dunia. geological geology,adjective,"a jiolojia. geological time scale, kipimo wakati kijiolojia: kipimo wakati ambacho kinadhibitisha historia ya dunia kijiolojia. geologist" geology,noun,mtaalamu wa jiolojia geometric(al),adjective,-a jiometri geomorphology,noun,sayansi ya umbo la uso wa sayari inayojumuisha uhusiano na umile lake kijiolojia geostationary satellite,noun,"setilaiti: setilaiti inayozunguka dunia mara moja kwa kila saa 24, na iliyo umbali takriban wa kilomita 35,800 kutoka uso wa dunia" geosyncline,noun,bonde kubwa kama beseni lililofanyika kwenye uso wa ardhi kutokana na ushukaji wa tabaka za miamba geothermal energy,noun,nishatitjoto ardhi: nguvu za joto zitokanazo na majabali yaliyoeyuka chini ya ardhi germ,noun,1. kiini; mbegu; vai; asili; mwanzo. cell selizazi. 2. kijidudu kinachosababisha ugonjwa. ~inate v.t/i ota; mea; chipua germanium,noun,"jemani: elementi metali adimu, aghalabu tetravalensia, yenye rangi kijivu-cheupe" gestation,noun,ujauzito: kipindi cha kuwa katika fuko la uzazi hadi kuzaliwa kwa kiumbe gesture,noun,ishara ya kichwa au mikono gesture,verb intransitive,ashiria geyser,noun,1. chemchemi ya maji moto. 2. chombo cha kupashia maji moto ghost,noun,"1. mzuka; pepo; zimwi. 2. (la zamani) roho, give up the ~, kata roho. The Holy ~, Roho Mtakatifu. not the ~ of an opportunity, hakuna fursa hata ndogo" giant,noun,jitu; jibaba; mwenye sifa inayopindukia mipaka ya kawaida giddiness,noun,kizunguzungu; kisunzi giddy,noun,kupenda raha; -sio na makini; -sio na msimamo thabiti gift,noun,"zawadi; hiba; kipaji; kipawa. a person with a ~ for foreign languages, mtu mwenye kipaji cha lugha za kigeni" gigantic,adjective,-a kupita kiasi; kubwa mno; refu mno gild,noun,mpako wa dhahabu; rangi ya dhahabu gild,verb transitive,paka dhahabu; chovya katika maji ya dhahabu; pamba; remba gill,noun,uzavu la samaki gill,noun,kipimo cha robo painti gimlet,noun,"keke ndogo. eyes, macho makali" ginger,noun,tangawizi gin²,noun,1. kinu cha kuchambulia pamba. 2. mtego wa wanyama; fyuka; kidato gin²,verb transitive,(nn-) chambua pamba kwa kinu; tega kwa fyuka gin¹,noun,jini; aina ya pombe kali giraffe,noun,twiga girder,noun,boriti mhimili (wa ubao au chuma) girdle,noun,1. mshipi; ukanda. 2. kitu kizungukacho kama ukanda; utunda; ukama; mkaja; kiumaji. v.t./v.i. zunguka; zingira girl,noun,"msichana. house msichana wa ndani wa kike. scout, skauti wa kike" gizzard,noun,firigisi; finingi glacial,adjective,-a theluji; -a barafu; -a zama za barafu glaciated,adjective,-liofunikwa na mito ya barafu. glacier glaciated,noun,mto wa barafu uendao polepole glad,adjective,enye furaha; kunjufu; changamfu. -den v.t. furahisha. -ly adv. kwa furaha. -ness furaha; uchangamfu; hasha; shangwe; nderemo glamour,noun,haiba; heba; uzuri. -ous adj. (colloq.) (kwa wanawake tu) -zuri sana glance,noun,"mtazamo; mng'aro. v.t./1. tupia jicho, angalia kidogo. 2. (kwa vitu vyenye kung'aa) ng'aa. 3. (kwa silaha) parura" gland,noun,tezi; sehemu ya mwili inayochambua vitu vya kutumika au kutolewa mwilini. -ular adj. -a tezi au kama tezi glaring,adjective,wazi; dhahiri; bayana; a kutia kiwi glass,noun,"1. kioo. 2. bilauri; gilasi. 3. darubini. 4. boramita etc. -es, miwani. house, jengo la kioo kwa ajili ya kuoteshea mimea. -y adj. -a kama kioo; (kwa macho) meupe" glee,noun,furaha; shangwe; kwaya. -ful adj. enye furaha. -fully adv. kwa furaha glib,adjective,-epesi wa kusema maneno ya udanganyifu; enye maneno mengi glide,noun,utelezaji; unyere- rekaji; mtiririko glide,verb intransitive,teleza; nyerereka; tiririka. -rr n. nyiririko gliding,noun,mchezo wa kunyiririka glisten,verb intransitive,ng'aa; meremeta globalization,noun,utandawazi globe,noun,ramani ya tufe; tufe; mviringo. the ~dunia - fish globe,noun,bunju. ~ warming ongezeko joto la dunia; ongezekaji wa hali joto katika mazingira wa dunia usababishwazo na gesi za viwandani. globular globe,adjective,-enye umbo la mviringo. globule globe,noun,tone glomerulus,noun,(glomeruli) mkusanyiko wa vijishipa vya damu hasa katika figo au mishipa ya fahamu gloom,noun,utusitusi; huzuni; majonzi; ghamu ~y gloom,adjective,a huzuni; a gizagiza glorify,verb transitive,tukuza; kuza; adhimisha; faharisha. glorious glorify,adjective,adhimu; a kupendeza; a kufurahisha glory,noun,sifa kuu; uzuri; fahari; utukufu. vi. furahia; jivunia glove,noun,"glavu. be hand in ~with, -wa chanda na pete" glucose,noun,glukosi glue,noun,gundi glue,verb transitive,gandisha kwa gundi. glutinous glue,adjective,a kunata glycogen,noun,glikojeni: 1. aina ya polisakaridi ambayo hutengenezwa na ini kutokana na kuunganishwa kikemikali kwa sukari ya glukosi iliyomo ndani ya damu. 2. aina ya wanga unaopatikana kwenye mimea au wanyama GMT,noun,"ufupisho wa Greenwich Mean Time: wakati juu ya mstari wa longitudo upitao Greenwich, hutumiwa kuwa ni msingi wa nyakati za nchi zote duniani" gnat,noun,aina ya usubi gnaw,verb transitive/intransitive,tafuna; guguna; sumbua; udhi GNP,noun,ufupisho wa gross national product: jumla ya pato la nchi kutoka ndani na nje gnu,noun,kongoni go,verb intransitive,"(went; gone) 1. enda. 2. fika. How far does this road ~? njia hii inaishia wapi? 3. pata kuwa. - blind, pofuka. - bad, oza. - asleep, sinzia. 4. fanya kazi; enda vizuri. Is your clock ~ing? saa yako inakwenda? 5" goal,noun,1. goli; bao. 2. kusudi; nia; lengo; shabaha; maradi goat,noun,mbuzi God,noun,1. Mungu. 2. Mola; (kwa Waislamu) Allah godown,noun,ghala; bohari goggle,noun,miwani ya kuzuia mavumbi goggle,verb intransitive,kodolea macho gold,noun,"dhahabu; elementi ya kemikali yenye namba atomia 79 ya rangi ya manjano kavu, hutumika kama mapambo na kama kizio cha thamani ya fedha. ~wedding maadhimisho ya miaka 50 ya ndoa" golf,noun,mchezo wa gofu gong,noun,upatu; mbíu gonorrhoea,noun,kisonono-ugonjwa wa zinaa wa kuambukiza unaotungua usaha kwenye sehemu za siri good,noun,wema; uzuri; heri; faida goose,noun,(geese) bata bukini; sallie; mjinga; darabuni; mbumbulu gorge,noun,1. koo; umio. 2. korongo; genge gorge,verb transitive/intransitive,vimibisha kwa chakula kingi. ~l. kwa pupa gorgeous,adjective,zuri sana; enye marembo mengi gorilla,noun,sokwe gospel,noun,"injili. -truth, kweli kabisa" gossip,noun,mbeya; mdaku; umbeya; udaku; soga gossip,verb intransitive,ongea; piga domo; seng'anya gouge,noun,patasi gouge,verb transitive,piga mfu; toa; ng'oa gourd,noun,kibuyu; jamii ya mung'unye; tungo gown,noun,gauni; joho grab,noun,unyakazi grab,verb transitive/intransitive,(-bb-) nyakua; pokonya; nyang'anya grace,noun,uzuri; madaha; adili; adabu; hisani; neema; rehema; dua; neema. be in sb's good ~ tendewa hisani na. do sth. with a good ~ fanya jambo kwa moyo safi graduate,noun,mhitimu graduate,verb transitive,panga kwa daraja; pata shahada; hitimu. graduation graduate,noun,mahafali graft,noun,"1. kipandikizi: kitawi cha mti kilichopandikizwa kwenye mti mwingine. 2. kipande cha ngozi au mfupa, cha mtu au cha mnyama, kilichotolewa mwilini au katika sehemu nyingine ya mwili uleule" graft,verb transitive/intransitive,pandikiza graft,noun,rushwa; udanganyifu graft,verb intransitive,laa rushwa; danganya grain,noun,"punje; chembe; nafaka; kizio kidogo kabisa cha uzito; mpangilio asili wa fumwale katika mbao. without a of sense, bila akili hata. against the , vigumu; haipendezi. go against the , chukiza; kasirisha" gram(me),noun,gramu: kizio cha uzito katika mfumo wa metiriki grammar,noun,sarufi. grammatical grammar,adjective,"-a sarufi, -enye kufuata kanuni za sarufi" granary,noun,ghala ya nafaka grand,adjective,"-kubwa; kuu; muhimu; maalumu; kamili; -zima; tukufu; -a fahari; -a heshima; ashrafu. -zuri sana; -adilifu. have a time, furahi sana. -eur n. fahari; utukufu. child, mjukuu. daughter, mjukuu wa kike. son, mjukuu wa kiume. parent, babu au bibi. father, babu. mother, bibi" granite,noun,itale: aina ya mawe magumu ya kijivu yanayotumika sana katika ujenzi grant,noun,hiba; ruzuku grant,verb transitive,"ruhusu; idhinisha; ridhia; kubali. take sth. for -ed, chukulia kuwa jambo ni la kweli au litatokea" granulocyte,noun,seli nyeupe ya damu yenye punjepunje katika uteseli grape,noun,zabibu. grapefruit grape,noun,balungi. vine grape,noun,mzabibu graph,noun,grafu. ic graph,adjective,-a alama zinazoonekana; bayana; -a dhahiri. ically graph,adverb,kwa kuandika au kuchora bayana; waziwazi; dhahiri graphite,noun,grafiti: aina ya kaboni laini nyeusi itengenezwayo penseli grapple,verb transitive/intransitive,"kamatana na; ng'ang'ania: (fig.) shughulikia, jitahidi sana kutatua jambo fulani" grasp,noun,"uwe wa kushika; ufahamu. v.t/i. shika; fumbata; fahamu; -a at, jaribu kukamata; pokea kwa bidii. ing" grasp,adjective,-choyo; bahili grass,noun,majani. hopper grass,noun,panzi grate,noun,chanja za chuma kwenye tanuri. grating grate,noun,kiunzi cha nondo kitumikacho kuwa kinga grateful,adjective,-enye shukrani; -a kupendeza; tamu gratify,verb transitive,pendeza; furahisha; ridhisha. gratitude gratify,noun,shukrani grave,noun,kaburi; ziara. have grave,adjective,"-enye kuhitaji makini; kubwa; a hatari. a offence, kosa kubwa" gravel,noun,changarawe; kokoto gravity,noun,uzito; utaratibu; ukubwa; mvutano gravy,noun,mchuzi; rojo graze,noun,mchubuko; mkwaruza graze,verb transitive,paruza; chubua kidogo grease,noun,shahamu iliyoyeyushwa; grisi grease,verb transitive,tia mafuta (hasa katika mashine) great,adjective,-kubwa; kuu; maarufu; ingi; adhimu; muhimu greed,noun,choyo; ulafi; uroho green,noun,1. rangi ya kijani. 2. mboga za kijani. 3. kiwanja cha kuchezea green,adjective,"kijani kibichi; chanikivit; bichi, (kwa miti) -bichi; zuzu; jinga. ~house gas" green,noun,gesijoto: gesi yoyote katika hewa inayofyonza nishati joto inayotolewa na ardhi greet,verb transitive,salimu; amkia; pokea gregarious,adjective,-enye kukaa makundi makundi grenade,noun,kombora grid,noun,1. gridi: mfumo wa nyaya zipitishazo umeme 2. mstariramani: mfumo wa miraba ya mistari katika ramani 3. chanja za chuma za kukaangia nyama grief,noun,"huzuni; majonzi; kibuhuti; kihoro, kitu kiletachohuzuni. come to -, pata hasara" grievance,noun,"malalamiko; dai. grieve v.t./v.i. sikitisha, huzunisha; sikitika; huzunika" grievous,adjective,-a kuhuzunisha; -a kusikitisha grim,adjective,-kali; -zito; -katili; -a kuogofya grind,noun,kazi ngumu ya muda mrefu v.t./v.i. saga; sagika; onea; dhulumu; chua; noa; fanya kazi kwa bidii grip,noun,ushikaji; ukamataji; nguvu; uwezo; klachi grip,verb transitive/intransitive,"(-pp-) shika; kamata sana; fahamu; shikamana. have a good of a problem, fahamu vyema tatizo. come to -s with the enemy, shambulia adui kwa nguvu" grit,noun,mchanga; changarawe groan,noun,kite; uuguaji; koroma; gumia; piga kororo. vi. ugua; piga kite grocer,noun,muuza vyakula ~n. biashara ya kuuza vyakula; bidhaa za vyakula groin,noun,maneno; kinema gross,noun,dazeni kumi na mbili gross,adjective,"1. sio na adabu. 2. baya sana. 3. nene; zito. eater, lafi kamili. 4. jumla; kamili; yote. amount, jumla yote" ground,noun,"1. nchi; ardhi. Our plans fell to the ~, mipango yetu iliharibika. hold one's ~, simama imara; shikilia msimamo. shift one's ~, ghairi; badili msimamo. suit sb. down to the ~, falia sana mtu. cover ~, safiri; eleza mambo mengi. 2. kiwanja. cricket, kiwanja cha kuchezea kriketi. fishing ~s, vuo. 3. eneo; nafasi. 4. sababu ya kusema, kufanya au kusadiki jambo. v.t./1. 1. pweleza; pwelewa; (kwa mashine) kuka bila kufanya kazi kwa sababu ya ubovu. 2. panda mwamba. 3. zoeza katika jambo. ~(s) man" ground,noun,mtu atumaye kiwanja cha kuchezea ~nut ground,noun,njugu mawe group,noun,jamii; kundi; kikosi; bendi; kikundi; fungu group,verb transitive,panga katika makundi group,verb intransitive,kusanyika pamoja grove,noun,kichaka grow,verb transitive/intransitive,"(grew, grown)" growl,noun,ngurumo; manung'uniko; mvumo. vi. nguruma; vuma; nung'unika gruano,noun,guano; kinyesi cha ndege wa bahari kitumikacho kama mbolea grudge,noun,fundo; kinyongo grudge,verb transitive,"nyima; husudi. bear ~ against, kamia; chukia; wa na kinyongo kwa; wa na kisasi kwa" grudgingly,adverb,kwa unyimivu; kwa chuki gruff,adjective,(kwa mtu) wa tabia mbaya; (kwa sauti) a kukwaruza grumble,noun,nung'uniko; lalamiko. vi. nung'unika; lalamika grumpy,adjective,enye kisirani; enye hasira guaranter,noun,mdhamini guard,noun,"1. hadhari; lindo. be ~ on one's, jihadhari; keep, linda. 2. mlinzi. 3. kinga e.g. fire, kingamoto. mud, kinga matope" guard,verb transitive/intransitive,"linda; hifadhi. against, kinga; epuka kwa hadhari" guerilla,noun,mpiganaji wa msituni guest,noun,"mgeni. -house, hoteli; nyumba ya wageni. -of honour, mgeni wa heshima. -room, chumba cha wageni" guide,noun,"kiongozi; kielekezi; kiashirio; kishawishi. girl, skauti wa kike. -book, kitabu cha kuongoza wageni. -line, mwongozo, maelekezo. vt. ongoza; elekeza; onyesha njia. guidance" guide,noun,mwongozo; elekezo; ushauri guild,noun,chama; ushirika; jumuiya guilt,noun,"kosa; hatia; uovu. -y adj. -enye kosa. he is -y, ana hatia" guitar,noun,gitaa gulf,noun,"hori; ghuba; shimo kubwa; korongo. (fig) tofauti kubwa baina. Persian ~, Ghuba ya Uajemi" gull,noun,shakwe; membre gullet,noun,umio; koo; kimio gully,noun,"mfereji, mfereji wa maji machafu" gum²,noun,"gundi; urimbo; sandarusi. chewing ~, ubani" gum¹,noun,ufizi; sine gun,noun,"bunduki. stick to one's ~s, shikilia msimamo wako" gurgle,noun,mbubujiko wa maji gurgle,verb intransitive,sukutua; gugumia; bubujika gust,noun,"dharuba; mvua ya ghafla; moto wa ghafla. -of anger, hasira -a ghafla" gusto,noun,furaha; pupa gut,noun,"1. matumbo; utumbo. 2. (fig) ujasiri. He has no ~s, hana ujasiri. 3. uzi wa utumbo wa mnyama, utumikao kwa kutengenezea zeze" gut,verb transitive,"(-tt-) teketeza. a house ~ted by fire, nyumba iliyoteketezwa kwa moto" gutter,noun,mchirizi; mfereji; mlizamu gutter,verb intransitive,(kwa mshumaa) waka kwa vipindi guttural,adjective,"(sauti) -a kooni, (kama sauti ya gh katika ghafla)" gymkhana,noun,tamasha ya michezo; kiwanja cha michezo gymnasium,noun,ukumbi wa michezo ya mazoezi ya viungo. gymnast gymnasium,noun,mwanamichezo stadi wa michezo hiyo. gymnastic gymnasium,adjective,-a mazoezi ya viungo Haber process,noun,mfanikytotendani wa Haber: mfanikytotendani wa kutengeneza amonia kutokana na hidrojeni na nitrojeni kwa uwiano wa 1:3 (moja kwa tatu) habit,noun,"mazoea; desturi; mwenendo; tabia; hali; vazi; nguo. riding-, mavazi ya kuvaliwa kwa kupanda farasi. -able adj. -a kukalika. -at n. makazi; mazingira. ~uate vt. zoeza" hack,noun,"farasi wa kukodi, mtu aliyeajiriwa kufanya kazi ngumu isiyopendeza" hacker,noun,gwiji wa kompyuta; mwizi wa taarifa na data za kompyuta haemoglobin,noun,hemoglobini: kemikali katika seli nyekundu za damu inayosafirisha oksijeni mwilini haemophilia,noun,hemofilia: ugonjwa wa kurithi unaotokana na ukosefu wa kemikali zinazozuia damu kutoka kwa wingi mtu anapojeruhiwa haemorrhage,noun,utokaji damu haggard,adjective,liokonda; liosawijika; liochoka hail,noun,"mvua ya mawe; wingi, mfululizo" hail,verb transitive,nya mvua ya mawe; -ja kwa wingi hail,noun,salamu; wito hail,verb transitive/intransitive,salimu; ita; pigia kelele pongeza hair,noun,"unywele; nywele; malaika; manyoya; singa, not turn a ~, kutoogopa hata kidogo. make sb.'s ~ stand on end, tisha sana. ~ follicle" hair,noun,shina la nywele: kishimo kama tyubu katika ngozi ya mamalia kwenye mizizi inayo sababisha nywele kuota. ~pin bend hair,noun,kona kali hall,noun,ukumbi; bwalo; bweni; sebule Halley's comet,noun,nyotamkia ya Halley: nyota mkia inayoonekana katika anga la dunia kila baada ya miaka 76 halogen,noun,halojeni: elementi simetali yenye nafasi saba za valensi kwenye elektroni juu wa mzingo wake wa nje halter,noun,hatamu halve,verb transitive,gawa nusu nusu; punguza kwa nusu yake ham,noun,hemu: paja la nguruwe lilio kaushwa; paja la mnyama hammer,noun,"nyundo; mnada. go at sth. and tongs, fanya kwa bidii nyingi; gombana kwa kelele. come under the ~, uzwa mnadani" hammer,verb transitive/intransitive,songomea; piga nyundo; piga mfululizo hammock,noun,kitanda cha bembea hamper,verb transitive,zuia; tatanisha hand,noun,"mkono; uwezo; mamlaka; madaraka; ustadi; mshiriki; mozefu; akrabu; upande; mwandishi. at ~, karibu. live from hand to mouth, ishi maisha ya kujungumeko. in tayari" handicap,noun,kikwazo; kilema; upungufu handkerchief,noun,leso; hanjifu handle,noun,mpini; mkono; kipete handle,verb transitive,gusa; shika; simamia; tendea; nunua; uza handsome,adjective,zuri; kubwa hang,noun,"mning'inio; maana. get the ~ of sth., elewa kilichosemwa au kuandikwa; elewa jinsi ya kutumia kitu. He doesn't care a ~, hajali kabisa" hang,verb transitive/intransitive,(hung hanged) tundika; ning'iniza; ning'inia; nyongwa hangar,noun,banda la ndege hangdog,adjective,danganyifu tena -a kuona aibu; a kufedheheka. ~er n. henga. ~on n. mdoezi. ~ings n. mapazia happen,verb intransitive,tokea; jiri; tendeka happy,adjective,a furaha; a bahati; liordihika harass,verb transitive,udhi; sumbua; bughudhi; shambulia mara nyingi harbour,noun,bandari; (fig.) kimbilio; kituo harbour,verb transitive,linda; ficha; hodhi; tia nanga; hifadhi hard,adjective,"gumu; -isiyokuwa rahisi; -a tabu; -a dhiki; -a shida; kali; korofi; kavut; kakamavu; enye juhudi. -cash fedha taslimu. water, maji magumu. be out of hearing, tosika vyema. labour, kazi ngumu. and fast rules, kanuni zisizobadilika. -luck, bahati mbaya. times, siku za dhiki au shida" hard,adverb,"be ~up, ziditwa; wa bila ya fedha. be put to it, wa katika shida. -by, karibu. upon, sio nyuma sana. -en v.t./i. fanya gumu; -wa gumu" hare,noun,sungura. -brained adj. pumbavu harem,noun,harimu; nyumba ya wake na masuria hark,verb intransitive,sikiliza kwa makini harmonious,adjective,patananishi; linganifu harmonium,noun,kinanda; harmoni harmonize,verb transitive/intransitive,patanisha; linganisha; lingana; patana harmony,noun,upatanifu; amani; ulinganifu; mwafaka harpoon,noun,chusa harpoon,verb transitive,vua harrow,noun,haro harrow,verb transitive,lima kwa haro. (fig.) huzunisha; udhi harsh,adjective,a kuchukiza; kali; katili harvest,noun,mavuno; mazao; matokeo. -er n. mvuunaji mashine ya kuvunia hasp,noun,kipete; pete ya kufungia haste,noun,wepesi; haraka; hima. make ~ fanya hima. -n v.t/i. fanya hima; himiza; jhimuti; harakisha. hasty haste,adjective,a haraka; a ghafla hat,noun,kofia; chepeu; heti. talk through one's ~ (colloq.) bwabwaja hatchet,noun,"kishoka; shoka. bury the ~, acha ugomvi; patana" haughty,adjective,-enye kiburi; -enye kujivuna; -enye maringo haul,noun,vuu; pato; gharama ya usafirishaji haul,verb transitive,"kokota; burura; buruta. - sb. over the coals, karipia; kemea" haunch,noun,paja la mnyama au binadamu haunt,noun,maskani; makazi; makao haunt,verb transitive,"rudia tembelea mara kwa mara. the ~ of criminals, makao ya wahalifu. -ed adj. pa kuzururiwa sana na mashetani" haven,noun,kimbilio; kituo; mahali pa usalama havoc,noun,maangamizi; uharibifu mkubwa; vurumai; nakama hawk,noun,shakevale; kozi; mwewe hawker,noun,mchuzi; mmachinga hay,noun,nyasi kavu hazard,noun,hatari hazard,verb transitive,hatarisha; bahatisha; jaribu. -ous adj. -enye hatari haze,noun,ukungu; mvuke; umande; utusitusi. hazy haze,adjective,-enye ukungu; (fig.) si bayana HCF,noun,"ufupisho wa highest common factor, kigawanyo kikubwa cha pamoja" he,pronoun,yeye mwanamme head,noun,"1. kichwa; kitu chenye umbo la kichwa. 2. akili. lose one's ~, changanyikiwa. off one's ~, -enye wazimu. take it into one's ~, amini kuwa. talk above their ~s, zungumza kwa maneno magumu wasiyoelewa. 3. nmtu crowned, s., wafalme, malkia. 4. Fifty ~ of sheep, kondoo hamsini. 5. juu at the ~ of the list, juu katika orodha. 6. mkuu. the ~ of the school, mkuu wa shule. 7. sura. 8. kipeo; upeo. v.t/i. ongoza; wa juu; wa mwanzo; piga kichwa; elekea; endea. -ing n. anwani; dibaji; kichwa cha habari. -land n. rasi. -quarters n. makao makuu. strong ~" head,adjective,"kaidi, siyesikia shauri la mtu. -ship n. uongozi. -way n. maendeleo. -y adj. a kulevya harakahara" heap,noun,"fungu; chungu; rundo; (colloq.) ingi; tele. There were ~s of things there, palikuwa na chungu nzima ya vitu" heap,verb transitive,rundika; limbikiza heart,noun,"moyo; tabia; roho; nia; bidii; huruma; asili; kiini; kipenzi; katikati. have the ~ to, thubutu. lose ~, kata tamaa. take ~, jipa moyo. ache sth., kuathiriwa na jambo. change of ~, majuto after one's own ~, a kupendeza hasa. in the ~ of the forest, katikati ya mwitu" hearth,noun,meko; moto heat,noun,moto; joto; hasira; kushurutufu; (kwa mashindano) mara; zamu heat,verb transitive/intransitive,pasha moto; pata joto heave,noun,uvurumishaji; unyanyuaaji heave,verb transitive/intransitive,inua; tupa; vurumisha; puma heaven,noun,pepo; mbinguni; anga; mbingu; mahali pa raha zote. good ~s! Mungu wangu! ~ly heaven,adjective,a mbinguni heavy,adjective,zito; kubwa; pumbavu. heavily heavy,adverb,"time hanging ~on his hands, saa zikpita polepole. heaviness" heavy,noun,uzito; uzani heckle,verb transitive,hanikiza; dakizadakiza hectare,noun,"hekita; kipimo cha eneo sawa na mita za mraba 10,000" hedge,noun,uwa wa miti iliyooteshwa hedge,verb transitive/intransitive,zungushia uwa; jibu kwa hadhari sana hedgehog,noun,nungu hedgerow,noun,uwa heel,noun,"kisigino. take to one's ~s, kimbia. cool one's ~s, lazimishwa kungoja. come to ~, fuata karibu sana. (fig.) tili down at (kwa viatu) vilivyokalia visigino" heifer,noun,mtamba wa ng'ombe height,noun,"kimo; kilele; ukomo; upeo. the ~ of folly, upeo wa ujinga" heighten,verb transitive/intransitive,refusha; refuka; zidi; zidisha heir,noun,mrithi helical,adjective,enye hesi; msokoto helicopter,noun,helikopta helium,noun,heli; gesi bvetee nyepezi isiyo na rangi itumiwavo katika vyombo vya anga helix,noun,(helices) hesi; msokoto; mzungo ndani ya sikio hell,noun,"jahanamu; motoni; mahali pa mateso. go to ~, potelea mbali" helmet,noun,helmeti; kofia ya chuma au plastiki ngumu help,noun,msaada; msaidizi help,verb transitive/intransitive,"saidia; auni; zuia; jizuia. I can't doing it, sina budi kufanya. It can't be ~ed, hakuzuiliki. There's no ~ for, haiwezekani chochote. yourself, jisaidie mwenyewe" hem,noun,pindo; upindo hem,verb transitive,"kunga; pinda; -in, zingia" hen,noun,kuku; ndege mke henna,noun,hina; mhina hepatic,adjective,a kuhusuu ini hepatitis,noun,homa ya manjano heptagon,noun,umbo bapa lenye pembe saba herb,noun,mmea; mtishamba herbivore,noun,mlamea; mnyama ambaye hula mimea tu herd,noun,1. kundi la wanyama. 2. makabwela here,adverb,"huku; humu; hapa. - and there, huku na huko. It's neither ~ nor there, si hapa wala pale. ~after adv./n. baadaye; ahera" heredity,noun,urithi. heritage heredity,noun,urithi heresy,noun,uasi wa kidini. heretic heresy,noun,mwasi. heretical heresy,adjective,a uasi wa kidini heri,verb transitive,"takia heri; pongeza. drink a -, kunywa kwa kumpongeza fulani" hermaphrodite,noun,huntha; kiumbe chenye mifumo yote ya uzazi wa kike na wa kiume hermetic,adjective,-liozibwa kabisa hata hewa haiwezi kupita hermit,noun,mtawa; walli; anayekaa pweke hero,noun,shujaa; jasiri heron,noun,kulastara hertz,noun,hezi; kipimo cha mzunguko mmoja kwa nukta hesitant,adjective,enye kusita hesitate,verb intransitive,sita hesitation,noun,kusita; wasiwasi; usitiji hew,verb transitive,tema; kata; chanja hexagon,noun,umbo lenye pembe sita hibernate,verb intransitive,bumbwaa; kaa bila kazi; (kwa wanyama) kaa bila harakati nyakati za majira ya baridi hide2,noun,ngozi ya mnyama hideous,adjective,enye sura mbaya sana; -a kutisha high,adjective,1. a juu; refu (kwa kwenda juu). ~brow n./adj. enye akili kali hill,noun,kilima him,pronoun,yeye mwanamume hind²,adjective,"a nyuma. the - legs, miguu ya nyuma. -most adj. -a nyuma kabisa. -er v.t. zuia; pinga; kawilisha. hindrance" hind²,noun,kizuizi; kipingamizi; pingamizi hind¹,noun,paa mke hinge,noun,pete; bawaba hinge,verb transitive/intransitive,funga kwa pete. -on tegemea hint,noun,dokezo; ishara hint,verb transitive/intransitive,dokeza; ashiria hinterland,noun,bara hip,noun,nyonga hippopotamus,noun,kiboko hire,noun,ujira; kodi hire,verb transitive,kodi; kodisha; panga; pangisha. -ling n. mamluki; mfanyakazi wa kukodiwa his,pronoun,-ake mwanamme histogram,noun,histogramu: chati inayotumiwa katika takwimu kuonyesha thamani ya data kwa kutumia miraba historian,noun,mtaalamu wa historia; mwanahistoria. historic historian,adjective,-a historia. historical historian,adjective,-a historia; -a kutegemea matukio ya kweli ya kihistoria history,noun,historia hit,noun,pigo; ushindi hit,verb transitive/intransitive,"(-tt-hit) piga; gonga; pata. -it off with sb., patana be hard-, hasirika. -on, pata kwa bahati. lucky - jambo la bahati. make a -, pendeza sana kwa mtu" hitch,noun,mvuto; fundo; kikwazo hitch,verb transitive/intransitive,"vuta; fungia; fungata; nasa. Everything went off without a -, mambo yote yalikwenda sawasawa" HIV,noun,"ufupisho wa human immunodeficiency virus: kirusi kinachosababisha ukosefu wa kinga mwilini (ukimwi). positive, mwenye virusi vya ukimwi: hali ya kuwa na virusi vya ukimwi katika damu na hivyo kuwa tayari kuweza kuathirika na ukimwi" hive,noun,mzinga wa nyuki hoard,noun,akiba; hazina hoard,verb transitive/intransitive,weka akiba; hodhi hoarse,adjective,(kwa sauti) a gonda; -a madernde; (kwa mtu) enye sauti gonda hoax,noun,ubishi; mzaha; shere; dhihaki; hila hoax,verb transitive,danganya; dhihaki; cheza shere hobble,noun,mwendo wa kuchechemea hobble,verb transitive/intransitive,chechemea; tawa mnyama; funga miguu hobby,noun,jambo afanyalo mtu kuwa ni burudani hock,noun,goti la mguu wa nyuma wa mnyama hockey,noun,hoki; mpira wa magongo hoe,noun,jembe hoe,verb transitive,lima; palilia hog,noun,"nguruwe; (fig.) mtu mchafu; mlafi; mchoyo. go the whole -, fanya jambo kwa ukamilifu" hoist,verb transitive,inua; tweka; pandisha kwa roda hold²,noun,ngama (ya meli); tumbo (la meli); falka hold¹,noun,mshiko; kushika; uwezo; wa kushika; amri; madaraka; shikio hold¹,verb transitive/intransitive,"(held) 1. shika; kamata; nasa. -back, sita. -sth. back, fanya kitu kisite; -oneself back, jizuia. -by, fuata. -forth, jigamba; sema kwa kujikweza; hubiri mno. -off, jitenga; kaa mbali; cheleweshea. -out, vumilia; stahimili; endelea kuwepo. -out sth., toa. -sb. or sth. up, chelewesha; shika; zuia; shikilia kwa nguvu. -with, kali. 2. weka; chukua. 3. dhani; dhania; chukulia. -the view that a promise is a debt, nachukulia kuwa ahadi ni deni. 4. zuia. -the breath, zuia pumzi. -one's tongue, nyamaza. 5. -wa na; wa mwenyewe wa. 6. fanya. -a meeting, fanya mkutano. -a. dumu. -good, wa na nguvu; faa. -hard (collog.) ngoja kwanza! -one's own ground, simama imara" hole,noun,tundu; shimo; pango holiday,noun,siku ya mapumziko; sikukuu; likizo holiness,noun,utakatifu; usufi; uwali hollow,noun,shimo; mvungu; bonde hollow,adjective,1. wazi ndani; tupu. 2. si kweli; si halisi; enye hila. beat sb. pata ushindi usio na thamani yoyote. -ware kibia chungu holy,adjective,1. a. kuhusiana na Mungu au dini. 2. takatifu homage,noun,heshima kuu; taa; staha. pay - toa heshima homeostasis,noun,"1. tabia ya miili ya viumbe hai kusawazisha mahitaji yao yote (joto, mapigo ya moyo, sukari, etc.) katika kiwango kinachohitajika kimaumbile. 2. tabia ya idadi ya viumbe hai kubakia ileile katika eneo fulani" homicide,noun,kuua mtu; muuaji mtu. homicidal homicide,adjective,a mauaji hominoid,noun,hominidi; wanyama wa familiasafu wa binadamu na wanaofanana nao (masokwe) homogeneous,adjective,a namna sawa; a muundo sawa; lioundwa kwa sehemu za namna moja homoiotherm,noun,mnyama mwenye uwezo wa kusawazisha joto mwilini mwake na kubaki katika kiwango kinachostahili hata kama hali ya mazingira yake imebadilika honest,adjective,amilifu; mnyofu; kweli. -ly adv. kwa uaminifu. -y n. uaminifu; ukweli honey,noun,asali ya nyuki. -comb n. sega honey,verb transitive,toboa tundu. -moon n. fungate honour,noun,1. heshima; utukufu. 2. sifa njema; uaminifu; uadilifu. on my ~ honour,noun,ahadi; diet of - honour,noun,"ya ahadi, si ya sharti. 3. mhesimiwa; mtukufu. Your (His) ~, mhesimiwa. 4. mtu (au kitu) aletaye heshima. an - to the school, fahari ya shule. 5. nishani; cheo. the ~'s list, orodha ya vyuo vya heshima vilivyotolewa na mtawala. an ~'s degree, digrii ya daraja la juu" honour,verb transitive,"heshimu; tukuza; adhimiisha; pokea na lipa kwa wakati uliopangwa. -a promise, timiza ahadi. -able adj. a heshima; tukufu; mhesimiwa" hood,noun,kifuniko; ukaya; shela; skafu; boneti hoof,noun,"ukwato: cattle on the ~, ng'ombe" hook,noun,"kingoe; ndoana. by - or by crook, kwa vyovyote vile" hook,verb transitive,"vua; ngoeka. -a fish, vua samaki. -ed adj. kama ndoana. -worm n. tegu" hop,noun,pete kubwa ya met; chuma au plastiki; gurudumu; duara hop,noun,mruko mfupi; mruko wa mguu mmoja; nyunyui. v.t./(-pp-) ruka kwa mguu mmoja; chupa; piga nyunyui hope,noun,tumaini; tarajio; tegemeo hope,verb transitive/intransitive,tumaini; tarajia; tegemea. -ful adj. enye kutumaini; a kutia matumaini. -less adj. a kukata tamaa; sio na matumaini horde,noun,kundi kubwa horizon,noun,mstari wa upeo wa macho; upeo. -tal adj. a kwenda sambamba na upeo wa hormone,noun,homoni: kampaundi anuwai za kemikali zinazosafirishwa na tezi ndani na huleta mabadiliko maalumu kwenye kiungo fulani mwilini au kwenye mimea horn,noun,pembe ya mnyama; baragumu; honi hornet,noun,"nyigu; uvi, zinengo, mbrurunzi" horror,noun,kitisho; hofu; chukizo. horrible horror,adjective,a. kuogofya; a kuchukiza. horrid horror,adjective,a kutisha; a kuchukiza; a kuudhi. horrify horror,verb transitive,"ogofya; shtusha, tisha" horse,noun,farasi horseplay,noun,mchezo wenye ghasia horsepower,noun,nguvu ya farasi: nguvu sawa na wati 750 kwa sekunde horticulture,noun,kilimo cha bustani hose,noun,mpira wa maji hose²,noun,soksi hosier,noun,muuza soksi na nguo za ndani. hosepipe hosiery,noun,bidhaa za muuza nguo za ndani kama chupi na soksi hospitable,adjective,karimu hospital,noun,hospitali hospitality,noun,ukarimu host,noun,1. mwenyeji; kimelea hostile,adjective,a adui; a uhasama hot,noun,mlio wa bundi; mlio wa honi hot,verb transitive,somea; piga honi; lia kama bundi. -er n. king'ora; honi. -hop n. mhopi; imeaa mrefu wa kutambaa; maua ya mhopi hot,adjective,"a moto; enye joto; kali; enye hasira; enye ashiki nyingi. get into ~ water, ingia matatani; air, maneno matupu; ahadi za uwongo" hotel,noun,hoteli hotheaded,adjective,a harara; epesi wa hasira. ~house n. kibanda cha kuoteshea maua na matunda hound,noun,mbwa mkubwa wa kuwinda; mtu mbaya hound,verb transitive,fukuza; winda kwa mbwa hour,noun,"1. saa. at the eleventh ~, katika dakika za mwisho. the small ~s, usiku wa manane. 2. muda; kipindi; wakati; saa. what is the ~? saa ngapi? 3. vipindi vya kazi, office ~s, saa za kazi ofisini. keep good ~s, lala mapema. 4. wakati maalumu. in the ~ of danger, wakati wa hatari. questions of the ~, mambo ya leo. ~ly adj./adv. a kila saa; baada ya kila saa" house,noun,"1. nyumba; makazi. keep ~, kimu familia. 2. bunge" hover,verb intransitive,(kwa ndege) simama mahali pamoja angani; ngojea; zenzea how,adverb,jee? jinsi gani? vipi? ~ever how,adverb,kwa hali yoyote. He will howl,noun,"mlio; mvumo. - of laughter, kwakwa. v.i lia; bweka. v.t lia kwa kelele; piga kwakwa, vuma, somea. - a speaker down, somea msemaji" hub,noun,kitovu cha gurudumu; habu; kituo cha shughuli hug,noun,kumbatio. v.t (-gg-) kumbatia; shikilia; ng'ang'ania (kwa meli) ambaa pwani huge,adjective,kubwa mno hull,noun,1. fremu ya merikebu. 2. ganda; kumbi; kumbi. v.t menya; papatua; koboa hum,noun,mvumo. v.t/i (-mm-) vuma kama nyuki; imba hali midomo imefunba human,adjective,"a binadamu; -a watu; enye utu. - being, mtu. rights haki za binadamu" humble,adjective,nyenyekevu; nyonge; maskini; duni; -siotaka makuu. v.t dunisha; dhalilisha humerus,noun,humerusi: mfupa mkubwa utokao begani hadi kwenye kiko cha mkono humid,adjective,yenyeunyefu humiliate,verb transitive,fedhehesha; aibisha; dhalilisha; tweza humility,noun,unyenyekevu; uvumilivu; haya humorist,noun,mcheshi; mchekeshaji humorous,adjective,"-epesi kuona, kufahamu na kufahamu mambo ya mzaha; -a kuchekesha" humour,noun,"kichekesho; uchekeshaji; ucheshi; hali ya mtu. sense of ~, ucheshi. He is in a good ~, yu mchangamfu. He is not in the ~ for work, hana mwanya wa kufanya kazi. aqueous ~, ute maji: ute mwepesi wa jicho unaojaza kati ya konea na ute mzito, ndani yake kuna lenzi na irisi. vitreous ~, ute ng'arifu jeli inayojaza sehemu ya nyuma ya jicho la vetebra" humour,verb transitive,bembeleza; changamsha hump,noun,nundu; kigongo; kibyongo. -back n. embyikibongo humus,noun,mbolea yenye rangi nyeusi inayotokana na mchanganuo wa mata za mimea au wanyama hunch,noun,"kigongo; kibyongo; nundu; kipande kimene. have a ~ that, hisi kwamba" hunch,verb transitive,pinda mgongo. -back n. kibyongo hundred,adjective,mia hunger,noun,"njaa; tamaa; hamu; shauku. go on a ~ strike, goma kula. -march, maandamano ya wasio na kazi" hunger,verb intransitive,tamani sana hungry,adjective,-enye njaa. hungrily hungry,adverb,kinjaa hunt,noun,msako; uwindaji. v.t/i winda; tafuta; saka; fukuza hurdle,noun,kiunzi; kikwazo. ~race mbio za kuruka viunzi utupanishaji,verb transitive,tupa kwa nguvu; vurumisha; vakutiza hurrah,noun,heri int. hure! hurricane,noun,"tufani; kimbunga. -lamp, kandili" hurry,noun,haraka; hima. v.t/i. himiza; harakisha; fanya haraka. haraka; -enye haraka hurt,noun,maumivu; madhara. v.t/i dhuru; umiza; uma; sononesha husband,noun,mume husband,verb transitive,tumia kwa uangalifu; hifadhi hush,noun,ganda; kapi; kumbi; kumbi hustle,noun,kikumbo; msukumo hustle,verb transitive,songa; sukuma; sukumiza hut,noun,kibanda. -ment n. ago; dago; kambi ya vibanda hydrate,noun,hidirati: msonobari wenye maji yalivyo ungano kikemikali na dutu hydraulic,adjective,hidroliki -enye kuhusiana na kanieneo katika kimiminiko; a maji; -enye kuendeshwa kwa maji hydrocarbon,noun,hidrokarboni: kampaundi mahuluku yenye kaboni na hidrojeni tu hydrochloric acid,noun,asidi hidrokloriki: mumunyo wa gesi isiyokuwa na rangi yenye harufu inayounguza hydroelectric,adjective,-a umeme wa nguvu za maji hydrogen,noun,hidrojeni: gesi inayowaka isiyo harufu wala rangi. Huuunga na oksijeni kikemikali kufanya maji hydrosphere,noun,hidrosfia: tabaka yote ya maji iliyoko juu ya ardhi pamoja na mvuke ulioko angani hydroxide,noun,hidroksidi: besi au alkali yenye ioni hyena,noun,fisi hygiene,noun,elimusihna; usafi. hygienic hygiene,adjective,-a afya; a kuleta afya hygrometer,noun,kipimaunyevu: chombo kinachopima unyevu wiani wa angalewa hymn,noun,wimbo wa kidini hyperbola,noun,hipabola: mchirizo unaofanywa na bapa wakati linapokata uso wa pia hyperbole,noun,mubalagh: kutia chumvi sana katika kueleza jambo hyperlink,noun,kiungo-hipa; kiungo hypertext,noun,waraka wenye habari au data unaowakilishwa na kiungo-hipa; kiungwa hypha,noun,"kikungunyanz: mojawapo ya vijiuzi katika mwili wa kuvu vinavyosambaa ndani au juu ya vitu vilivyokufa, ambavyo vinavyofyonza chakula katika vitu vinavyoza" hyphen,noun,alama hii (-) katika maandishi hypnotism,noun,uzugaji; ulazaji; upumbazaji hypocrisy,noun,unafiki; uzandiki. hypocrite hypocrisy,noun,mnafiki; mzandiki hypodermic,adjective,-a chini ya ngozi. ~ syringe sindano ya kuingiza chini ya ngozi hypotenuse,noun,kiegeama: upande mrefu wa pembetatu hypothermia,noun,hipothemia: hali ya kuanguka halijoto ya mwili na kuwa chini ya kiwango chake cha kawaida hypothesis,noun,nadharia tete hypothetic(al),adjective,-a nadharia tete; a kubuni; sio na uhakika bado hysteria,noun,hali ya kupagawa. hysterical hysteria,adjective,-enye kupagawa ice,noun,"barafu. break the ~, anza kitu kigumu; vunja ukimya" ice,verb transitive,gandisha kwa baridi; funika kwa barafu; ikiza keki sukari idea,noun,wazo; fikra; shauri; dhana; nia; lengo; mpango; azimio; imani; hisia identical,adjective,sawa sawa; pacha; -a kufanana identification,noun,kuthibitisha (kutambulishwa) nafsi identify,verb transitive,tambua; tambulisha; jihusisha; fananisha; shirikisha; funganisha identity,noun,sura; kufanana; kuwa sawa kabisa ideology,noun,itikadi. ideological ideology,adjective,-a itikadi idiom,noun,lugha; lahaja; nahau; usemi idiot,noun,mpumbavu; mjinga; zuzu; juha. idiocy idiot,noun,upumbavu; uzuzu idle,adjective,-siofaa; -a bure; sio na kazi; vivu; legevu if,conjunction,"kama; ikiwa, iwapo, even - hata kama, as - kama kwamba; kama vile. -only, laiti; endapo tu" ignite,verb transitive/intransitive,washa; waka; tia moto. ignition ignite,noun,mwako; uwashaji; uwakaji ignorant,adjective,jinga; kosefu wa maarifa; -siojua. ignorance ignorant,noun,ujinga. ignorant ignorant,adjective,jinga; -siojua; -a kijinga illicit,adjective,haramu; marufuku; -liokatazwa illuminate,verb transitive,1. tia nuru; angaza; mulika; fafanua. 2. pamba kwa taa; pamba kwa rangi ya dhahabu. illumination illuminate,noun,kupamba mji kwa taa; taa za mapambo. illumine illuminate,verb transitive,tia nuru illusion,noun,"njozi; uongo; mauzauza; udanganyifu; mazingara; ombwe. illusive, illusory" illusion,adjective,-a njozi; -a uongo illustrate,verb transitive,"eleza kwa mifano, picha, au vielezo; chora vielezo katika kitabu au jarida. illustration" illustrate,noun,kielezi; kueleza kwa mifano. illustrator illustrate,noun,mchora picha image,noun,"sanamu; picha; kifani; mfano; nakala; sura. be the very ~ of sb., fanana kabisa na fulani" imaginable,adjective,-a kuwezakufikirika; -a kuweza kubunika imaginary,adjective,-a mawazo tu; -a kufikirika; -a kubuni imagination,noun,ubunifu; wazo; fikra; dhana imaginative,adjective,bunifu; enye mawazo mengi imagine,verb transitive,waza; dhania; fikiria; dhani; kisia; amini imago,noun,"mdudu kamili; hatua ya mwisho ya kukua kwa mdudu na kukamilika, baada ya kupitia hatua zote za ukuaji kuanzia yai" imbecile,noun,punguani; bozi; mzembe; mpumbavu imbecile,adjective,punguani; mpumbavu imbecility,noun,upungufu; upuuzi imitate,verb transitive,iga; fuatisha; nakili; fanana; wa kama; fananishana. imitation imitate,noun,"wigo; mfano; nakala; uigaji; mfano; bandia. imitation gold, dhahabu bandia. imitative" imitate,adjective,-a kuiga; a kufuatisha immediate,adjective,"-a jirani; -a karibu sana; -a mara moja; -a sasa hivi. my ~ neighbours, jirani zangu wa karibu. an - answer, majibu ya mara moja" immense,adjective,kubwa sana immerse,verb transitive,"chovya; tosa; zamisha; tumbukiza; shugulisha. be ~d in, shugulika sana na; wa katika shida sana ya. immersion" immerse,noun,mchoavyo; mzamo; utumbukiaji; mshughuliko immortal,adjective,"-a kuishi milele; -siosahaulika; -siokufa. the -s, miungu ya Kiyunani na ya Kirumi. -ity n. maisha ya milele; kutokufa. -ize v.t. -pa maisha ya milele; -pa sifa ya daima" immovable,adjective,-siohamishika; imara; thabiti; madhubuti immune,adjective,huru -sioweza kupatwa na ugonjwa impact,noun,mgongano; athari; matokeo; nguvu zipatikanazo wakati vitu viwili viogongapo; nguvu zipatikanazo kutokana na athari ya mawazo fulani impair,verb transitive,haribu; dhoofisha impartial,adjective,-adilifu; -siopendelea; -enye haki. -ity n. uadilifu. -ly adv. kwa uadilifu impassable,adjective,siopitika impassioned,adjective,-enye hamaki; -enye hamasa impassive,adjective,baridi; tulivu; -sioonyesha hisia impeccable,adjective,maasumu; -siokosea; bila kosa impedance,noun,ukinzani-jumla; jumla ya ukinzani katika saketi ya umeme unaopinga mwendo wa umeme ndani impede,verb transitive,zua; pinga; kwamisha. impediment impede,noun,kizuizi; kikwazo; kigugumizi impending,adjective,"-a karibu sana; -a kuelekea kutokea upesi. the ~ storm, dhoruba ya karibu sana" imperative,adjective,-a lazima; -a kuangaliwa mara moja; -a kusikilwa; -a kutiiwa; muhimu; -a kimaamuru; -a sharti; -tiolewa kwa uthabiti; (sarufi) -a amri imperial,adjective,-a kifalme; imperil,verb transitive,(fll-) hatarisha; ponza impermeable,adjective,-siopenywa na maji impersonate,verb transitive,iga; geuka; jifanya; jisingizia imperturbable,adjective,-siosisika; -siohangaika; -tulivu impervious,adjective,-sio penye ka; -siosikia; -siokubali ushauri impetus,noun,nguvu; kichocheo; msukumo implant,verb transitive,tia fikra moyoni; kaza ndani imara; pandikiza implement,noun,kifaa; chombo cha kazi implement,verb transitive,tekeleza implicate,verb transitive,tia hatiani; ingiza lawamani; ingiza hatiani. implication implicate,noun,kutia hatiani; maana; kidokezi imply,verb transitive,"dokeza; husika na; wa na maana; onyesha bila kutaja. Silence implies consent, kunyamaza ami sawa na kukubali" import,noun,bidhaa; bidhaa ziingizwazo nchini; maana; uingizaji import,verb transitive,leta bidhaa nchini kutoka nchi nyingine; maanish a; onyesha important,adjective,a maana; muhimu; kuu; enye amri importunity,noun,usumbufu wa kuombaomba impose,verb transitive/intransitive,1. toza; amuru; lazimisha; lipisha. 2 impossible,adjective,-siowezekana; -siofan yika impostor,noun,ayari; mpunjaji; laghai; jambazi. imposture impostor,noun,ulaghai; utapeli impotent,adjective,bila nguvu; -siofaa neno; dhaifu. impotence impotent,noun,udhaifu wa nguvu za kiume impound,verb transitive,piga mali tanji; zuia katika kituo cha polisi impoverish,verb transitive,fanya kuwa maskini; fukarisha; punguza nguvu; dhoofisha; chakaza impracticable,adjective,sitotekelezeka; -siopitika; muhal impregnable,adjective,-sioshindika; -sioingilika; -a kuweza kustahimili mashambulio yote impregnate,verb transitive,tia mimba; jaza; kifu impress,verb transitive,"1. gandamiza; tia chapa; piga muhuri. 2. shawishi; vuta; athiri. I was not much -ed, sikuvutiwa sana" imprint,noun,alama; wazo moyoni imprint,verb transitive,"chapa; piga muhuri; tia moyoni. ideas ~ed on the mind, fikra zilizotiwa moyoni" imprison,verb transitive,funga; tia jela improve,verb transitive/intransitive,endeleza; wa zuri zaidi; sitawisha; tengeneza vizuri zaidi improvise,verb transitive/intransitive,buni; tunga papo hapo impudent,adjective,fedhuli; jivu; safihi. impudence impudent,noun,ufedhuli; ujeuri; usafi hi impugn,verb transitive,bisha; kana; tilia mashaka impulse,noun,msukumo; raghaba; hamu; mhemko wa ghafla. impulsive impulse,adjective,-a msukumo; -a kuamua ghafla impurity,noun,uchafu; takataka; najisi in vitro,adjective,a halighushi - a mchakato wa kibiolojia unaotokea nje ya kiumbe hai kama kwenye tesitubu au kiolezio in vivo,adjective,a kiasili - a mchakato unaotokea ndani ya kiumbe hai inadvertence,noun,kupitikiwa inadvertent,adjective,si •angalifu; -a kughafalika. •ly inadvertent,adverb,si •a makusudi inane,adjective,"-sio na maana, puuzi; pumbavu. •ly" inane,adverb,kipuuzi. inanilty inane,noun,upuuzi inanimate,adjective,"-fu; si •enye uhai; liopooza; chapwa. conversation, mazungumzo chapwa" inapt,adjective,si stadi; -siohusiana na jambo linalozungumzwa inaugurate,verb transitive,fungua; zindua; ingia rasmi; anzisha; simika; tawaza; tambulisha rasmi. inaugural inaugurate,adjective,-a kuzindua; -a kuanzisha; -a kufungua. inauguration inaugurate,noun,ufunguzi; uzinduzi inborn,adjective,-a asili; -a kuzaliwa nao; -a silka; -a maumbile inbred,adjective,-a asili; -a kuzaliwa nao; liozaliwa na wazazi wa nasaba moja. inbreeding inbred,noun,uzao baina wa wazazi wa nasaba moja incandescent,adjective,-enye kung'aa kwa joto jingi incapacity,noun,kutoweza; ukosefu wa uwezo incense,verb transitive,kasirisha; ghadhabisha incense²,noun,ubani; uvumba; udi; buhuri incentive,noun,kichocheo; kishawishi; motisha; kifuta jasho; marupurupu incessant,adjective,bila kukoma; -a kufululiza; -a daima incest,noun,zinaa baina ya maharimu wasioruhusiwa kuoana kwa mujibu wa dini au utamaduni wao. -uous adj. -a uzinzi wa maharimu inch,noun,"inchi; kiasi kidogo; chembe; by -es, kidogo kidogo. every - a soldier, askari mzuri kabisa" incidence,noun,"jinsi jambo linavyoathiri mambo; tukio. the - of a disease, jinsi ugonjwa unavyoathiri watu. the - of a tax, jinsi kodi inavyoathiri walipaji" incident,noun,jambo; neno; tukio; kadhia. incidental incident,adjective,-dogodogo; -a dharura; -a ziada; -inayoweza kutokea; inayohusiana na incinerate,verb transitive,choma; teketeza. incinerator incinerate,noun,tanuri la kuchomea taka incision,noun,mkato; chanjo; mtai; chale. incisive incision,adjective,-kali; -enye kukata; -erevu. incisor incision,noun,jino la mbele; chonge incite,verb transitive,chochea; shawishi; vuta. -ment n. kichocheo; kishawishi inclination,noun,mwelekeo; -mapenzi; tamaa; matakwa; mbetuko; mwinamo include,verb transitive,"tia, weka ndani; -wa pamoja na. price is 2,000/- postage -d, bei ni elfu mbili pamoja na gharama ya posta" inclusion,noun,uwekeji ndani. inclusive inclusion,adjective,-ote pamoja; pamoja na income,noun,"mapato; chumo; pato; kipato. national - pato la taifa. - tax, kodi ya mapato" incongruity,noun,hitilafu; tofauti. incongruous incongruity,adjective,-siopatana; -siofaa mahali inconvenient,adjective,-sumbufu; -siofaa; -sio na raha incorporate,verb transitive,"unga; unganisha; shirikisha; ungana na; -wa shirika," incorporate,adjective,-liounganishwa; lioshirikishwa. incorporation incorporate,noun,ushirikiano increase,noun,nyongeza; ziada; ongezeko increase,verb transitive/intransitive,ongeza; zidisha; kithiri increment,noun,nyongeza; ongezeko incriminate,verb transitive,ponza; tia hatiani; chongea incubate,verb transitive,atamiza inculcate,verb transitive,"fundisha kwa marudio, hasa juu ya maadili ya jamii" incumbent,noun,padri wa mji; kasisi; mtu ashikilaye cheo incumbent,adjective,"a kubidi. It is upon me, inanipasa; inanibidi" incur,verb transitive,(-rr-) pata; patwa na indebted,adjective,enye kuiwiwa; enye deni; a kupaswa kushukuru indeed,adverb,kweli; hasa; ndio; naam indefatigable,adjective,-siochoka; siochosha indefinite,adjective,"sio dhahiri; sio na mwisho, sio mipaka" indelible,adjective,-sio futika; siosahalulika indemnify,verb transitive,lipa fidia; linda; kinga. indemnity indemnify,noun,fidia; bima indent,noun,hati ya kuagizia bidhaa indent,verb transitive,"tia pengo; bonyeza; jonegeza mstari ndani, agiza bidhaa kwa agizo maalumu" independent,adjective,enye kujitawala; huru; enye kujitegemea. independence independent,noun,uhuru; upekee; kujitegemea index,noun,"(-es, indices) kielezo; alama; ishara; faharasa; mambapeo" index,verb transitive,orodhesha; fahirisiha indicate,verb transitive,elekeza; onyesha; dokeza; ashiria indication,noun,alama; dalili; ishara. indicative indication,adjective,-kuarifu; wa alama ya. indicator indication,noun,alama; indiketa; ishara; dalili indifferent,adjective,-siojali; a kawaida. indifference indifferent,noun,"kutojali; kutohusisha; kutojiingiza. It's a matter of complete to me, ni mamojakwangukwani hayanhusu" indigenous,adjective,"-zalia, -a asili; -enyeji" indigestion,noun,vimbizi; kuvimbikwa indignant,adjective,-enye uchungu; -a kuudhi indigo,noun,nili indispensable,adjective,-a lazima indisposed,adjective,gonjwa; a kutopenda; a kutotaka. indisposition indisposed,noun,ugonjwa mdogo individual,noun,mtu binafsi; mtu; binadamu individual,adjective,"-a mmoja mmoja, a kitu kimoja" indoor,adjective,a ndani ya nyumba; a kufanywa ndani ya nyumba induce,verb transitive,1. vuta; shawishi; asababisha; sababisha; dukuza; toa umeme induction,noun,"udukuzaji; tendo la kitu kupatwa na tabia ya kitu kingine kilichopo karibu yake bila ya kugusana. electric ~, udukuzaji umeme. electrostatic ~, udukuzaji umemetetamo. electromagnetic ~, udukuzaji sumakuumeme. magnetic ~, udukuzaji sumaku. mutual ~, udukuzaji. self ~, kujidukiza" indulge,verb transitive,pendelea; endekeza; deka; jiingiza industrial,adjective,-a kiwanda industry,noun,utendaji; bidii; uchapaji kazi; kiwanda; tasnia inert,adjective,"fu; kama kifu; kama kufa; tepetewu. — gas, gesi ajizi: kundi la elementi sita za heli, neoni, agoni, kriptoni, xenoni, na radoni zilizomo kwenye kundi sifuri la jedwali mrudio. -ia n. inesha: tabia ya gimba kutokubadilika mwendo kwa shinikizo la kani" inevitable,adjective,sioepukika; -siozuilika inexperience,noun,ukosefu wa uzoefu; ukosefu wa ujuzi inexpressible,adjective,-sioelezeka infallible,adjective,-sioweza kukosa; -nye hakika; -siokosea; -a uhakika infant,noun,mtoto mchanga; mtoto; -changa; -a kitoto. infancy infant,noun,"utoto; uchanga; ukemebe; mwanzo. Aviation is no longer in its infancy, urukaji hewani umepvuka. -icide n. uuaji mtoto mchanga mara tu anapozaliwa. -ile adj. -a kitoto; -a mwanzoni" infantry,noun,askari wa miguu infect,verb transitive,ambukiza; enea; chafua. -ion n. uambukizaji; ugonjwa wa kuambukiza. -ious adj. -a kuambukiza; -a kuenea; enye kushawishi inferior,noun,mtu duni inferior,adjective,-a chini; duni; dhalili. -ity n. udhalili infernal,adjective,-a jehanamuuu; a shetani; -baya sana; -lilolaaniwa. inferno infernal,noun,jahanamu; moto; tukio la kutisha infest,verb transitive,"tapakaa; zagaa; jaa tele. warehouses -d with rats, ghala zilizojawa panya" infidel,noun,kafiri. -ity n. ukafiri; uzinzi infiltrate,verb intransitive,penyeza; penya infiltration,noun,upenyaji infinite,adjective,-siyokoma; sio na kikomo; sio na mwisho; -siopimika; -kubwa sana; -ingi sana. the-. Mungu. -ly adv. mno. -simal adj. -dogo mno; -siopimika infinitive,noun,kitenzijiina; kitenzijiina infinity,noun,pasipo mwisho au kikomo. (maths) namba isiyo na kikomo infirm,adjective,dhaifu; -lemavu; gonjwa; -mara; infirm,noun,(la zamani) hospitali. -ity n. udhaifu; ugonjwa; ulemavu inflame,verb transitive/intransitive,hamasisha; hamakisha; chochea; kasirisha; washa; waka; choma; vimba; vimbisha. inflammable inflame,adjective,-a kuwaka; -a kuwashika; -a kushika moto; -a kukasirika; -a kuchomeka inflammation,noun,mwako; moto; uvimbeuchungu. inflammatory inflammation,adjective,-a kuwasha; -a kuchochea; -a kuhamakisha; -enye uvimbe inflate,verb transitive/intransitive,"jaza upepo; tia pumzi; vimbisha; panua; ongeza; kuza. -d with pride, liovimba kwa kiburi. inflation" inflate,noun,kuvimbia; kupanda gharama za maisha; mfumuko wa bei inflect,verb transitive,"badili; geuza; (grammar) ambisha. -ion, inflexion" inflect,noun,uambishaji inflict,verb transitive,"piga, umiza; tesa; lazimisha; shurutisha. -oneself on sb. fuatana na mtu bila hiari yake. -ion n. adhabu; mateso" influence,noun,mvuto; ushawishi; athari; uwezo wa kuathiri. influential influence,adjective,enye uwezo; -enye kuvutia; -enye kushawishi influenza,noun,homa ya mafua; makamasi; mafua influx,noun,uingiaji kwa wingi informal,adjective,si rasmi; si- infrared,adjective,"infraredi: aina ya miali ya rangi nyekundu ya nuru ya lukoka ndefu ambayo haiwezi kuonekana lakini hutoka joto ~ rays, miali ya infrared" infringe,verb transitive/intransitive,"v unja; asi, halifu" infuriate,verb transitive,ghadhibisha; kasirisha infusion,noun,kumwagia maji; unyweshaji ingenious,adjective,erevu; vumbuzi; stadi; bunifu: -liofanywa kwa ustadi. ingenuity ingenious,noun,ustadi; ubunifu; umahiri ingenous,adjective,-sio na hila; adilifu; kweli ingestion,noun,kula; uingizaji chakula katika kiwiliwili ingot,noun,kinoo; kipande; kidonge; kibongometali ingrained,adjective,-liotopea; liokolea sana; -ingi; -liojazana; lioshika ingredient,noun,kiambato; sehemu; kichanganyiko inhabit,verb transitive,kaa katika; kalia; ishi. ~able inhabit,adjective,~ kuakalika inherent,adjective,-a ndani; -a asili inherit,verb transitive,rithi inhuman,adjective,katili; -a kinyama inimitable,adjective,-sio na kifani; -siogika iniquitous,adjective,-ovu sana; dhalimu. iniquity iniquitous,noun,uovu; udhalimu initial,noun,herufi ya kwanza ya jina la mtu initial,adjective,"-a mwanzo; -a kwanza, -a awali" initial,verb transitive,tia saini kwa kutumia herufi za kwanza za majina. initiate initial,noun,mwnzi; mtu aliyeingizwa katika kundi au chama initial,verb transitive,anza; anzisha; ingiza; fundisha; tia jandoni; kumbini au unyagoni. initiation initial,noun,mwanzo; ufunzwaaji; uingizwaji; jando; unyago. initiative initial,noun,"ari, uwezo wa kuanzisha jambo; moyo wa kujituma; haki ya raia kutunga sheria zao nje ya bunge" inject,verb transitive,ingiza kwa nguvu; piga sindano injure,verb transitive,dhuru; umiza; jeruhi. injurious injure,adjective,-a kudhuru; -a kutia hasara; -a kuumiza. injury injure,noun,madhara; hasara; maumivu; jeraha injustice,noun,udhalimu; tendo lisilo la haki; ~ do sb. an ~ -tomtendea haki ink,noun,wino ink,verb transitive,"paka, tia wino" inland,adjective,-a bara; -a ndani ya nchi inland,adverb,kuelekea bara inlet,noun,hori; ghuba ndogo; njia; mlango inmate,noun,mkazi mwenza inmost,adjective,-a ndani kabisa inn,noun,hoteli; mkahawa inner,adjective,-a ndani; -a ndani zaidi innocent,adjective,maasumu; sio na kosa; -siodhuru; -siojaa uovu; -jinga. innocence innocent,noun,ujinga; hali ya kutokuwa na hatia innocuous,adjective,-siodhuru; -sioumiza; -sio na madhara innovation,noun,uzushi; bidaa; uvumbuzi innumerable,adjective,siohesabika; -ingi mno inoculate,verb transitive,chanjo inorganic,adjective,"si -a kikaboni; sio na uhai; sioelezeka kietimolojia. compound, kampaundi simahuluku; kampaundi yoyote isiyokuwa na atomu za kaboni" inquest,noun,uchunguzi rasmi wa kisheria inquire,verb transitive,"uliza; taftishi; taftiti. into, chunguza; peleleza; dadisi. after, ulizia hali. for, taka; omba" inquisition,noun,uchunguzi rasmi inquisitive,adjective,pekuzi; enye udaku; dadisi insatiable,adjective,sitosheki; siordhika; sioshibika inscribe,verb transitive,andika; chora. inscription inscribe,noun,mwandiko; maandiko inscrutable,adjective,siofahamika; a fumbo; a siri insect,noun,mdudu. -cide n. dawa ya kuua wadudu inselberg,noun,mlima uliojitenga ulio imara wenye kilele cha duara insensible,adjective,-siohisi; liozirai; siofahamu; siojali; liokufa ganzi; dogo sana. insensibility insensible,noun,kutokua; kutotambua; kutohisi insert,noun,kitu kilichoingizwa insert,verb transitive,tia; penyeza; ingiza; weka insidious,adjective,enye kudhuru kwa siri insight,noun,busara; umaizi; utambuzi insinuate,verb transitive,penyeza kidogo kidogo kianja; dokeza; singizia insipid,adjective,chapwa; sio na ladha insolent,adjective,fedhuli; enye jeuri; enye dharau; enye kutakabari. insolence insolent,noun,ujeuri; takaburi insoluble,noun,isomumunyika: isiyoweza kuunda mimumunyo katika maji au kimumunyishaji kingine makhsusi insomnia,noun,ukosefu wa usingizi; kurukwa wa usingizi inspect,verb transitive,kagua; angalia. -ion n. ukaguzi. -or n. mkaguzi; mrakibu inspector,noun,m. inspekta mkuu inspectority,noun,ujumla; kawaida. ~ize v.t. jumlisha; hitimisha; sambaza. ~ization n. ~ly adv. mara nyingi; kwa kawaida inspire,verb transitive,shajihisha; ongoza; tia moyo. inspiration inspire,noun,ilhamu; maongozi; mtu aongozae install,verb transitive,funga chombo sehemu. -ation n. uwekaji; chombo kilichowekwa instalment,noun,sehemu; fungu; kipingili instance,noun,"mfano; namna. for - kwa mfano. at the -, of, kwa ombi la fulani" instance,verb transitive,toa kama mfano; taja instant,adjective,"a mara moja; a mwezi huu; a haraka; a papo hapo. this - sasa hivi. the - that, mara. -ly adv. mara moja. -aneous adj. a mara moja; a papo hapo" instead,adverb,mahali pa; badala ya instep,noun,kiganja cha mguu (juu ya unyayo) instigate,verb transitive,chochea. instigation instigate,noun,uchochezi. instigator instigate,noun,mchochozi instinct,noun,silka. -ive adj. a silka; bila kufikiri institute,noun,"taasisi, chuo. of Kiswahili and Foreign Languages, Taasisi ya Kiswahili na Lugha za Kigeni" institute,verb transitive,anzisha; weka asisi. institution institute,noun,desturi; chama; shirika; asasi; sheria instruct,verb transitive,fundisha; funza; amuru; agiza; arifu. -ion n. mafunzo. -ive adj. a kufundisha; a kueleimisha. -or n. mwalimu instrument,noun,chombo; ala; zana; kifaa; hati rasmi; mtumishi. -al adj. -a ala; -a insubordinate,adjective,asi; kaidi. insubordination insubordinate,noun,uasi; kuasi uhalifu; ukaidi insufferable,adjective,enye kujiona sana; enye majivuno sana; -siovumilika; -siostahamilika insular,adjective,a kisiwa; enye maarifa finyu; enye tabia za watu wa visiwa kwa kuwa mbali na wenzao insulate,verb transitive,funika kwa mpira; tenga; hami; kinga insulation,noun,kutengwa; kukingwa. insulator insulation,noun,kihami; mata au dutu inayozuia umeme au sauti kupita insulin,noun,"insulini; homoni inayorekebisha kiwango cha sukari katika damu, hutengenezwa katika tezi zinazoitwa vijisiwa vya Langerhans vilivyopo katika kongosho ya wanyama wenye uti wa mgongo" insult,noun,tusi insult,verb transitive,tukana insuperable,adjective,sioshindika; -sioondoleka insurance,noun,bima; malipo ya bima; kinga. ~ policy insurance,noun,hati ya bima. insure insurance,verb transitive,kata bima insurrection,noun,uasi; upinzani dhidi ya serikali intact,adjective,zima; kamili; sioharibika intake,noun,mlango; kipenyo; kiingizio; idadi iingayo mahali kwa muda fulani intangible,adjective,sioshikwa; sioeleweka kirahisi; tatanishi integer,noun,kitu kizima; namba kamili. integral integer,adjective,a lazima; muhimu; kamilifu; zima; enye namba kamili; rejeo integrate,verb transitive,kamilisha; uganisha; changanya integrity,noun,uadilifu; uaminifu; ukamilifu intellect,noun,akili intelligence,noun,akili; ufahamu; ujuzi. intelligent intelligence,adjective,enye akili. intelligentsia intelligence,noun,tabaka la wasomi. intelligible intelligence,adjective,dhahiri; a kufahamika. intelligibility intelligence,noun,udhahiri; ufahamikaji intend,verb transitive,kusudia; nuia; dhamiria; azimu intense,adjective,a nguvu; kali sana. intensity v.t.i. ongeza; zidisha; zidi; ongezeka. intensity intense,noun,nguvu; mkazo; ukali intention,noun,nia; azimo; dhamira; kusudi intention,adjective,enye bidii; enye dhamira. intention intention,noun,nia; kusudi; dhamira inter,verb transitive,(-rr-) zika intercede,verb intransitive,ombea; tetea. intercession intercede,noun,maombezi; utetezi intercept,verb transitive,kamata; zuia njiani; ingilia kati interchange,noun,badiliko; ubadilishaji interchange,verb transitive,badilishana; badili intercourse,noun,ushirikiano; maingiliano; biashara; kubadilishana vitu; kujamiana interest,noun,"1. moyo wa kutaka kujua; 2. udadisi; mvuto; raghba. 3. upendeleo. His chief interests are business and football, anapenda sana biashara na kandanda. 4. faida; riba; hisa. He charges 5 per cent., anatosa asilimia tano" interfere,verb intransitive,jiingiza; jitia kati; jidukiza; ingilia; zuia interim,noun,"muda wakaa. in the ~, kwa wakati huu" interior,noun,ndani; upande wa ndani; bara interior,adjective,"-a ndani; -a bara; si -a pwani; a nchi, si -a kigeni" interlude,noun,mapumziko; nafasi kati ya matukio mawili intermediate,adjective,a kati; a baina ya interminable,adjective,sio mwisho; a kuchosha; a kuchusha intermittent,adjective,a vipindi intern,verb transitive,funga; zuia. ~ combustion engine injini mwako ndani: injini ambayo mchanganyiko wa petroli na hewa huingia kwenye silinda ya injini na kuripuliwa na cheche international,adjective,a kati ya mataifa; a mataifa; a kimataifa internet,noun,mdahalishi (mtandao): mtandao wa kimataifa wa mawasiliano wa habari na data unaounganisha kompyuta duniani kwa kutumia modemu na setilaiti. ~ cafe internet,noun,kituo cha huduma za mdahalishi (mtandao) interplanetary space,noun,masafa baina ya jua na sayari nyingine katika mfumo wa jua interpret,verb transitive/intransitive,fasiri; agua; eleza; fafanua interrogate,verb transitive,hoji; saili; dodosa interrogation,noun,kuhoji; usaili. interrogative interrogation,adjective,a kuuliza interrupt,verb transitive/intransitive,dakiza; katiza; dakuliza; ingilia kati; pinga intersect,verb transitive/intransitive,gawa kwa kukata; katana interval,noun,wakati baina ya matukio mawili; nafasi baina ya vitu au vituo viwili; tofauti ya sauti baina ya noti mbili. a.s. kwa vipindi intervene,verb intransitive,ingilia kati; jitia kati; wa kati ya. intervention intervene,noun,uingilaji kati interview,noun,mahojiano; usaili interview,verb transitive,hoji; saili intestine,noun,"matumbo. small ~, utumbo mwembamba. large ~, utumbo mpana" intimate,adjective,a moyoni; a ndani; a siri; a moyo intimidate,verb transitive,tisha; ogofya. intimidation intimidate,noun,kitisho intoxicate,verb transitive,levya; lewesha; rusha akili; tia jazba intricate,adjective,tatanishi; enye matatizo. intricacy intricate,noun,matatizo; utatanishi intrigue,noun,hila; werevu; njama intrigue,verb intransitive,la njama; vutia sana introduce,verb transitive,leta; anz; julisha; anzisha; ingiza; penyeza. introduction introduce,noun,uingizaji; utangulizi; dibaji; utambulisho; ufahamisjo. introductory introduce,adjective,a mwanzo; a kuanzisha; a utambulisho introspection,noun,kujingalia nafsi intrude,verb transitive/intransitive,dukiza; ingia bila kukaribishwa intrusion,noun,kujiudikiza; kuingilia intuition,noun,uwezo wa kuelewa haraka; welewa bila ya kufikiri inundate,verb transitive,gharikisha inundation,noun,gharika; mafuriko invade,verb transitive,shambulia; vami; ingilia; hujumu; ingilia haki ya mtu invalid,adjective,(leg.) batili; lioatnguka; a bure invaluable,adjective,a thamani invent,verb transitive,vumbua; buni; tunga; unda inventory,noun,orodha; hesabu inversion,noun,upinduzi; ugeuzi; mpindu; matokeo ya kubadili utaratibu wa kawaida wa mpangilio wa maneno katika sentensi. invert inversion,verb transitive,pindua; weka kinyume; geuza invertebrate,noun,mnyama asiye na uti wa mgongo invertebrate,adjective,sio na uti wa mgongo; invest,verb transitive/intransitive,tega uchumi; wekeza; nunua; pa; vika; pamba; zingira; fanya mazingara. ~ment kitega uchumi investigate,verb transitive,chunguza; peleleza. investigation investigate,noun,"upelelezi, uchunguzi" invincible,adjective,-sioshindika invite,verb transitive,alika; omba; taka; vuta; shawishi; karibisha. invitation invite,noun,mwaliko. inviting invite,adjective,a kuvutia invoke,verb transitive,"omba kwa Mungu, mizimu etc.; omba; sihi; ita mashetani. invocation" invoke,noun,maombi; dua; utambikaji involuntary,adjective,-siokusudiwa; bila kujua; bila hiari involve,verb transitive,husisha; ingiza matatani; sababisha; -wa sababu ya; maanisha inward,adjective,-a ndani; -a rohoni iodine,noun,"aidini, madini ya joto" ion,noun,ioni: molekuli au atomu iliyo na chaji kutokana na kupokea au kutoa elektroni. ~ic bond muungo kioni; muungo kikemikali ulioundwa kwa njia ya kiume-metatua wa ioni. ~ic compound kampaundi ionia; kampaundi iliyoundwa na ioni zenye chaji chanya na zenye chaji hasi. ~izing radiation mnuururisho ioni: mnururisho unaobadilisha kampaundi kemikali kuwa ioni ionosphere,noun,"tabaka ya tatu toka angahewa ya dunia baada ya tabakastrato, hutumika sana kwa mawasiliano ya redio" irate,adjective,-a hasira ire,noun,(liter.) hasira iris,noun,duara ya rangi izungukayo mboni ya jicho iron,noun,"chuma; pasi. Strike while the is hot, udongo upate ungali maji (rekebisha kasoro katika hatua za awali). a man of ~, katili. have too many ~s in the fire, shugulikia mambo mengi kwa wakati mmoja" irony,noun,"kejeli; kinaya; jambo la kinyume. the ~ of fate, dhihaka ya majaliwa. ironic(al)" irony,adjective,-a kejeli; -a kinaya irradiation,noun,unururikai; unang'anaikaji kutokana na miali ya nuru inayopiga uso wa gimba irresistible,adjective,-siokatalika; -sozulika; -siovumilika irrespective,adjective,bila kujali; bila kuzingatia; bila kuangalia irresponsible,adjective,siopaswa; -siowajibika; -sioaminika irrigate,verb transitive,mwagilia; jenga mfumo wa umwagiliaji maji irrigation,noun,umwagiliaji irritate,verb transitive,washa; kasirisha; choma; udhi; kera; sumbua. irritable irritate,adjective,-epesi wa hasira. irritant n.adj. kitu kinachowasha; -enye kuwasha; enye kukera. irritation irritate,noun,mwasho; kichomi; uchungu island,noun,kisiwa. -er n. mzaliwa au mkazi wa kisiwa isle,noun,kisiwa. islet isle,noun,kisiwa kidogo ismuths,noun,shingo ya nchi iliyounganisha mabara mawili isobar,noun,isobaa; msawakani: mstari unaounganisha sehemu zenye kanieneo ya angahewa inayolingana; mstarianki isohyte,noun,isohiti: mstari unaounganisha sehemu zote zenye kiwango sawa cha mvua kwa kipindi fulani isolate,verb transitive,tenga isolation,noun,utengaji; upweke; upekee isomer,noun,isoma: mojawapo ya misombo yenye mtungo wa uzito wa molekuli sawa lakini hutofautiana katika muundo isosceles,adjective,"enye pande mbili sawa. triangle, pembetatu yenye pande mbili sawa. safari; njia ya safari" isotherm,noun,msawajoto: mstari unaounganisha sehemu zenye halijoto inayolingana isotope,noun,isotopu: atomi yenye uzito tofauti na atomi nyingine issue,noun,kutoka; kitokeacho; utoaji; toleo; suala; hoja; matokeo v.i/t. toka; -ja; tokea; toa; chapisha; gawanya. die without - kufa bila ya mtoto it,pronoun,hii; hiki; hicho; huyu; huyo; huu; kile; ile; ule; etc italic,adjective,-a italiki; -a mlazo; a herufi hizi itch,noun,mwasho; shauku itch,verb intransitive,chochea; washa; -wa na shauku item,noun,kitu kimoja; aya; kipengele; maelezo itenerant,adjective,-a kutembeatembea; -a kuzunguka zunguka itinerary,noun,mpango wa safari; njia ya safari ivory,noun,pembe ya ndovu jab,noun,kipigo cha nguvu; dhoruba jab,verb transitive,(-bb) piga kwa nguvu jack,noun,"jeki; bendera ya meli; kikombe cha ngozi; baharia. -up, inua kwa jeki" jackal,noun,mbweha jacket,noun,"jaketi, kifuniko, kidhihiti joto; maganda ya viazi; gamba" jaded,adjective,hoi jag,noun,chonge; ncha; jino la msumeno jaguar,noun,aina ya chui wa Amerika jail,noun,jela; gereza jam,noun,"msongano; ukwamaji; hali ngumu. v.t/i. (-mm-) bana; kwamisha; kwama; shindilia; funga kwa nguvu; songamana; rundika; ingilia mawimbi ya sauti. He ~med on the brakes, alifunga breki ghafla" jam,noun,mraba; jamu; jemu January,noun,Januari; mwezi wa kwanza wa mwaka wa kizungu jar,noun,mkwaruza; mtetemeko; mshtuko; mtungi; gudulia; kasiki; chupa jar,verb transitive,(-rr-) soriga na kutoa sauti ya kukera; shtua; shtuka jargon,noun,istilahi; lugha ya kitaalam; lugha ya mtaa jaundice,noun,homa ya manjano; wivu; husuda javelin,noun,javelini; mkuki jaw,noun,"taya; utaye; kinywa. (fig.) mwingilio wa bonde, pango hasa wa mahali pa hatari; jirwa. (colloq.) hotuba ndefu na ya kuchosha. v.t.i (colloq.) piga domo; karipia" jazz,noun,jazi jealous,adjective,"enye wivu; enye husuda; ona wivu, be ~ ona wivu. be ~ of sb. else's success, ona kijicho dhidi ya mafanikio ya mwenzio. be ~ of reputation, wa mwangalifu wa heshima. ~" jealous,noun,wivu; husuda jeer,noun,dhihaka; mzaha; cheko jeer,verb intransitive,dhihaki; cheka; zomea jelly,noun,ute; jeli jeopardize,verb transitive,hatarisha jeopardy,noun,hatari; mashaka. put in ~ tia hatarini jersey,noun,fulana nzi to; jezi; sweta jet,noun,"mchirizi wa ghafla wa maji, etc. utokao kwenye kipenyo; upewno wa kutokae maji etc. ~propulsion usukuma ji wa jeti; mbinu ya kuleta kasi ya usukuma ji kwenye chombo cha hewani au majini kwa kutumia mjibutiko wa jeti va velositi ya juu" jewel,noun,kito; johari; almasi; jiwe la thamani; kitu (au mtu) cha thamani. ~lery ~ry jewel,noun,mapambo va vito jig,noun,dansi ya mtindo wa yosayosa. v.t.i. (-gg-) cheza yosayosa; rukaruka; rusharush. ~saw puzzle jig,noun,chemshabongo jigger,noun,chepu; funza job,noun,kazi; ajira; wadhifa. That's a good ~ ni kazi zuri. v.t.i. (-bb-) fanya kazi ndogondogo za namna nyingi. ~bing gardener job,noun,mlima ji bustani jockey,noun,mpanda farasi katika mashindano jockey,verb transitive,hadaa; ghilibu; danganya; laghai join,noun,kiungo; fundo. v.t.i. unga; ingia; ungana; fuatana; na; changamka; kaa joke,noun,mzaha; masihara; kichekesho; dhihaka. It's no ~ mchezo; si utani jokingly,adverb,kimzaha; kimashihara jollity,noun,furaha jolly,adjective,a furaha; changamfu; a kupendeza; zuri jolly,adverb,sana. jollification shangwe; sherehe jot,noun,"kipande kidogo; nukta. He hasn't a ~ of honesty, hana hata chembe va uaminifu" jot,verb transitive,(-tt-) andika; down; andika upesiupesi joule,noun,juli; kizio cha kazi journal,noun,gazeti; jarida; kitabu cha mambo ya kila siku etc journal,noun,lugha chapwa ya kiozeti journey,noun,safari; mwendo. vi. safiri jovial,adjective,"kunjufu; changamfu. -ity n. ukunjuifu, bashasha; furaha" joy,noun,furaha; shangwe; nderemo. -ful adj. a furaha -a kufurahia. -fully adv. kwa furaha. -less adj. huzuni. -lessly adv. bila furaha. -ous adj. a furaha jubilant,adjective,"a shangwe, furaha" jubilee,noun,"jubilei; sikukuu ya ukumbusho. silver jubilee jubilei ya miaka wa 25, golden jubilei ya miaka wa 50, diamond jubilei ya miaka wa 60 au wa 75" judge,noun,"jaji; hakimu; mwamuzi. v.t/i. hukumu; toa hukumu; amua; dhani; ona. - It better to postpone a meeting nadhani afadhali kuahirisha mkutano. - a man by his actions, pima mtu kwa vitendo vyake. -ment n. hukumu; maamuzi; akili; busara; ujuzi; maoni" judicial,adjective,a jaji; a haki; a kimahakama judicious,adjective,"enye akili, a busara. judiciously" judicious,adverb,khekima. judiciousness judicious,noun,hekima; busara juice,noun,juisi; utomvu. coconut- maji ya dafu; tui. gastric- majitumbo. juicy juice,adjective,enye maji mengi July,noun,Julai; mwezi wa saba wa mwaka wa kizungu jumble,noun,fujo; mchanganyiko; vurugu. v.t/i. changanya; chafua; chafuka; fuja; vuruga; paraganya. sale seli ya vitu vikuu kuu jump,noun,"mruko; mchupo; mshtuo; upandaji wa ghafla. v.t/i. ruka; chupa; shtuka; panda ghafla. -at pokea kwa furaha. - up at sb. karipia. There was a - in the price of rice, bei ya mchele ilipanda ghafla. -er n. mrukaji; sweta; aproni. -y adj. epesi kushtuka" junction,noun,"njia panda; kiungio; junctura = munganiko; hali ya jambo, at this hapa sasa; katika hali hii" June,noun,Juni; mwezi wa sita wa mwaka wa kizungu jungle,noun,kichaka; msitu. law of the- sheria ya mahavu junk,noun,takataka; vikorokoro junk²,noun,jahazi la kichina jupiter,noun,simbula; sayari ya tano kutoka kwenye jua iliyokubwa kupita zote jurassic,adjective,"a kijura: a zama za kijilojia ilipoanza miamba ya chokaa, mijusi mikubwa na ndege. period kipindi cha kijura; kipindi cha kijilojia katika historia ya miaka 140 hadi 190 milioni iliyopita" jurisdiction,noun,hukumu; amri; mamlaka; mamlaka ya kisheria jurisprudence,noun,maarifa ya sheria; sayansi na falsafa ya sheria ya binadamu jurist,noun,mwanasheria jury,noun,mzee wa baraza. jury jury,noun,baraza la wazee wa mahakama; waamuzi; mtu anayeapishwa juryman,noun,mzee wa baraza. jury-mast n. mlingoti wa muda just,adverb,barabara justifiable,adjective,a kuthibitishika kuwa -a haki. justification justifiable,noun,haki; uhalali; ithibati. justify justifiable,verb transitive,thibitisha uhalali wa jambo; halalishe; -wa sababu ya kufanya jambo jut,noun,utokezaji jut,verb intransitive,"(-tt-) ~ out, tokeza; chomoza" juvenile,noun,kijana; mtoto juvenile,adjective,-a kitoto; -a kijana juxtapose,verb transitive,weka sambamba. juxtaposition juxtapose,noun,hali ya kuwa sambamba kahaba,verb transitive,tumia vibaya; fanya ukahaba. prostitution kahaba,noun,ukahaba; umalaya kangaroo,noun,kangaruu karst,noun,eneo lenye miamba ya chokaa yenye mivungu mingi chini yake ipitayo michirizi ya maji keel,noun,mkuuk. be on an even ~ (fig.) tulia keen,adjective,"-kali; -enye bidii; hodari; -enye kupenda sana. (fig.) a ~ wind, upepo mkali" kelvin,noun,kelvini: kizio cha SI cha halijoto halisi kennel,noun,tundu la mbwa; kibanda cha mbwa kernel,noun,kiini kerosene,noun,kerosini; mafuta ya taa kettle,noun,"birika; buli. This is a pretty ~ of fish, mambo vameparaganyika. -drum n. ngoma ndogo ya shaba nyeupe" key,noun,"1. ufunguo. 2. (fig) ufumbuzi; tafsiri; majawabu. industries, viwanda muhimu. 3. kibonyoza cha kinanda, tapureta; kompyuta; piano etc. cha kugigwa kwa vidole. ~board safu ya vibonyozo hivyo. 4. mfululizo wa noti au sauti za muziki. ~ up (fig) chochea" kHz,noun,ufupisho wa kilohertz; hezi 1000 kick,noun,teke; kiki; msisimko; mshtuko. v.t/i. piga teke kid,noun,1. mwana mbuzi. 2. ngozi ya mwana mbuzi. 3. (colloq) mtoto ~dy kid,noun,mtoto kidnap,verb transitive,(-pp-) iba mtoto; teka nyara kidney,noun,figo kiln,noun,tanuri; joko kilohertz,noun,hezi 1000 kilometre,noun,mita 1000 kilowatt,noun,wati 1000 kin,noun,"ukoo; jamaa; ndugu. next of ~, ndugu wa karibu zaidi" kind,noun,"namna; aina; kabila; ngeli; asili; tabia. in kind, kwa vitu. pay in ~, lipa kwa vitu. repay sb. in ~, tendea jinsi alivyokutendea" kindergarten,noun,skuli ya watoto wadogo kindle,verb transitive/intransitive,1. washa; waka. 2. (fig.) raghibisha; chochea kind²,adjective,-ema; -pole; enye huruma; -karimu kinetic,adjective,a. mwendo; -a kuhusiana na mwendo. ~ energy nishati mwendo: nishati inayotokana na mwendo wa kiolwa au gimba king,noun,mfalme; mtu mashuhuri; kete kuu kiosk,noun,kioski; kibanda cha kuuza bidhaa; kibanda cha simu kiss,noun,busu kiss,verb transitive/intransitive,busu kit,noun,"vyombo; vifaa; zana za askari, baharia, msafiri au fundi; vifaa vya mchezo" kitchen,noun,jiko kite,noun,mwewe; kozi; kipanga; tiara; kishada kitten,noun,"mtoto wa paka. have ~s, wa na wahaka" knack,noun,ubingwa; wepesi; weledi; welekevu; ustadi knead,verb transitive,"kanda; ponda; sukuma, hasa unga wakati wa kutengeneza mkate, chapati, maandazi" knee,noun,goti. ~-deep adv.adv. -a magotini knife,noun,(knives) kisu knit,verb transitive/intransitive,(-tt-) suka; sokota; fuma; unganisha; unga knob,noun,kirungu; kinundu; kifundo knock,noun,pigo; kipigo; hodi knock,verb transitive/intransitive,gonga; gota; bisha; piga knot,noun,"fundo; kifundo; tindi; shida; tabu; kikundi; noti. tie oneself up into ~s, wa katika matata. a ship of 16 ~s meli iendayo noti 16 kwa saa" knot,verb transitive,funga fundo; piga fundo knuckle,noun,konde; konzi knuckle,verb intransitive,under; salimu amri kowtow,verb intransitive,nyenyekea; sujudia kwa ishara ya heshima. tabia hii hufuatwa na Wachina krypton,noun,kriptoni: aina ya gesi isiyo na rangi wala harufu inayotumiwa katika taa za mishumaa na glopu provoking,adjective,-a kuudhi kudu,noun,tandala laboratory,noun,lebo; maabara labour,noun,kazi; wafanyakazi; nguvu kazi; uchungu wa uzazi lac1,noun,aina ya utomvu mwekundu wa miti utumiwazo kutengenezea rangi lac2,noun,"laki; 100,000" lace,noun,lasi; uzi; kimia lace,verb transitive,funga viatu kwa nyuzi; pamba nguo kwa lasi. Kitambaa chenye urembo kinaochungwa kwenye kitambaa/nguo ili kuongeza mapambo lack,noun,"uhitaji; upungufu; ukosefu. no ~ of, tele. for ~ of, kwa ukosefu wa" lack,verb transitive,"hitaji; pungukiwa na; kosa. be ~ing, kosekana" ladder,noun,ngazi; ufumukaji wa soksi ladder,verb transitive,(kwa soksi) fumuka laden,adjective,"enye mizigo, enye shehena; tele; iliojaa. lading" laden,noun,"mizigo; shehena. bill of lading, orodha ya mizigo; iliojaa ya kutoa mizigo" ladle,noun,upawa ladle,verb transitive,(out) teka kwa upawa lady,noun,bibi; bibiye; mke ladylike,adjective,"a adabu; a heshima. Your, Her, ~ship, mheshimiwa, mtukufu (mwanamke)" lager,noun,bia isiyokuwa kali sana lagoon,noun,mlangwa lair,noun,liya; malalo ya mnyama wa mwitu lake,noun,ziwa lamb,noun,mwana wa kondoo; nyama ya kondoo lament,noun,masikitiko; maombolezo; kilio lament,verb transitive/intransitive,lia; lia; omboleza; sikitika lamp,noun,taa lance,noun,mkuki; fumo lance,verb transitive,"tumbua; pasua (jipu, etc.)" land,noun,nchi; ardhi; shamba; language,noun,lugha. laboratory maabara ya lugha. bad strong matatu; lugha chafu. technical lugha ya kitalamu languid,adjective,-chovu; tepetefu; nyong’onyewu; legevu lantern,noun,kandili; fanusi. jawed -enye taya ndefu nyembamba lap,noun,paja; pajani. live in the - of luxury ishi maisha ya anasa lap,noun,mzunguko lap,verb transitive,zungusha; funga; kunja; pita; pitana; -nywa kwa ulimi kama paka. –ed lap,noun,mkunjo wa koti kifuani lapse,noun,1. kuteleza kwa ulimi; kosa dogo. a. of memory kupititwna. 2. (kwa wakati) kupita. 3. (law) kuisha (kwa sababu ya kutotumiwa) lapse,verb intransitive,potoka; shuka hadhi; rudia dhambi; poteza haki kwa kutodai lard,noun,mafuta ya nguruwe larder,noun,chumba au kabati la kuhifadhia chakula na nyama large,adjective,kubwa; kuu; ingi; karimu: -ena at. -a hurur people at. - watu kwa jumla. by and - kwa kufikiri mambo yote. -ly adv. hasa; zaidi larva,noun,(larvae) mtoto wa mdudu; kiwavi; buu; kiluwiluwi; funza larynx,noun,zoloto: mwanzo wa koromeo panapohusika na utoaji sauti laser,noun,"chombo cha kukuza na kushadidia miale kuelekea upande mmoja. beams, mwangaza leza" lash,noun,mjeledi; kiboko; mchapo; kipigo cha kiboko; ukopoe. v.t/i. chap; piga lass,noun,msichana; mpenzi last²,verb intransitive,"endelea; dumu; tosha kwa; ishi. enough food to us three days, chakula cha kutosha kwa siku tatu. –ing" last²,adjective,-a aushi; -enye kudumu latch,noun,kia; komeza; kitasa; kikomeo latch,verb transitive,funga kwa kia au komeo late,adjective,"-liochelewa; liokawia. -he, - kawia; chelewa; taahari. 2. marehemu; wafu. -liopita, liokwishia, - kisasa; - karibu. of hivi karibu; majuzi. -ly adv. hivi karibuni; juzi juzi. –st" late,adjective,"-a kisasa. the - fashion, mtindo wa kisasa. at the -, kabla ya siyo zaidi ya" latent,adjective,"-sioonekana. –heat, joto fichi: kiasi cha joto kimaohitajika kubadili dutu kutoka hali moja hadi nyingine bila ya kuathiri halijoto yake" lateral,adjective,"-a upande; -a mbavuni; -a kando. –root, mzizi tanzu; tawi la mzizi mkuu" lath,noun,uwasa; upapi lathe,noun,kerezo Latin,noun,Kirumi; Kilatini Latin,adjective,-a kirumi; -a kilatini latitude,noun,1. latitudo. 2. nafasi; hiari; uhuru. 3. maeneo latrine,noun,"choo. go to the - enda msalani, chooni" latter,adjective,karibuuni; lifuata; -a pili lattice,noun,"kimia: 1. mpangilio mahsusi wa atomu katika muundo wa fuwele wa mango. 2. vitu vimwatukaji na visovimwatukaji, hususani vitulizi, vilivyopangwa" lattitudinarian,noun,adj. mvumilivu; mwenye upana wa mawazo laud,verb transitive,sifa laugh,noun,"kicheko. v.i/t. cheka, chekelea; furahi. - in one's sleeve cheka kwa siri. ~ing-stock n mpumbavu. ~tern kicheko" launch,noun,"ushuaji; mashua kubwa ya meli; motaboti. v.t/i cheleza; shua; anzisha; anza; zindua; peleka chombo angani. out into, anza" launder,noun,dobi. v.t/i fua nguo. laundry launder,noun,nguo chafu; mahali pa kufulia nguo; udobi lava,noun,lava lavatory,noun,choo law,noun,sheria; kanuni. ~ of conservation of energy kaida ya hifadhi nishati: kaida inayoeleza kuwa nishati haiundwi wala haiharibiki ila hubadilika katika maumbo mbalimbali. ~ abiding law,adjective,tiifu lawn,noun,"bustani ya majani, bafta. ~ tennis" lawn,noun,tenisi lax,adjective,-zembe; si -angalifu; legevu. laxative n/adj. haluli; dawa ya kuharisha; ~a kuharisha; ~a kuendesha lay,adjective,-a kawaida; si -eledi laze,verb intransitive,wa-vivu; jikalia kivivu. lazily laze,adverb,kivivu. ~d. laziness laze,noun,uvivu. lazy laze,adjective,-vivu leaching,noun,uchujaji; kuosha na kuondoa kijenzi kimuumunyaji katika mchanganyiko lead,noun,risasi; chubwi; timazi. ~acid cell lead,noun,seli ya asidi risasi: aina ya kilimbikizi ambacho ndani yake mna kathodi za sifongo ya risasi na anodi za plumbi dioksidi lead,noun,uongozi; usimamizi; mwongozo. v.t/i tangulia; ongoza; simamia leaf,noun,"(leaves) jani; karatasi. (fig.) turn over a ~ of a table, ubao unaweza kufanya meza iwe ndogo zaidi" leak,noun,ufa; tundu; uvujaji leak,verb intransitive,vuja (fig.) kujulikana; fichuka lean,noun,mnofu lean,adjective,-embamba; -liokonda; hafifu. ~ harvests mavuno hafifu learn,verb transitive/intransitive,"(learnt, learned) jifunza; arifiwa; pata habari. -ed adj. -enye elimu; msomi" lease,noun,"hati ya kukodisha; mkataba wa kukodisha. a new ~ of life, nguvu mpya" lease,verb transitive,"panga, kodisha; pangisha; kodi. ~hold n./adj. mali iliyokodishwa; a kukodi; a kupanga. lessee" lease,noun,mwenye kukodi. lessor lease,noun,mwenye kukodisha least,adjective,-dogo kuliko -ote leather,noun,ngozi iliyotengenezwa iwe laini na ili isioze leave,noun,ruhusa; idhini; likizo; livu leave,verb transitive/intransitive,(left) toka; ondoka; acha; baki; bakisha; achia; pa; kabidhi; pita; rithisha leaven,noun,chachu; hamira leaven,verb transitive,chacha; chachua; umua kwa hamira leavings,noun,"mbaki; makombo. take ~, agana na. take ~ of one's senses, jitia hamnazo; pata wazimu" ledge,noun,shubaka; mwamba chini ya maji ledger,noun,leja; daftari kubwa ya hesabu ya matumizi lee,noun,mahali pasipoelekea upepo; upande wa demani leek,noun,liki; aina ya kitunguu kidogo leg,noun,"mguu; tendegu. give sb. a ~ up, saidia mtu. pull sb.'s ~, fanya mzaha, dhihaki. not to have a ~ to stand on, shindwa kabisa katika kesi. on its last ~s, wa karibu kuisha" legal,adjective,-a kisheria; halali; -a haki legend,noun,"ngano; hekaya; maandishi katika sarafu, medali au ramani" legible,adjective,a kusomeka; dhahiri. legibility legible,noun,usomekaji. legibly legible,adverb,kwa kusomeka legitimate,adjective,halali; -a haki; -a sheria; -a halali; halisi. legitimacy legitimate,noun,uhalali; haki legume,noun,jamii/kunde mimea jamii ya kunde leguminous,adjective,-a jamii ya kunde leisure,noun,wasaa; wakati wa mapumziko; nafasi. -ed adj. -enye wasaa lemon,noun,limau lemur,noun,komba wa bukini lend,verb transitive,"(lent) azima; kopesha, karidhi; toa; pa" length,noun,"urefu; kipande cha kitu kinachotosha kwa kazi fulani. at ~, mwishowe; hatimaye; kwa undani; at full ~, kwa urefu wote; kwa kunyooka. keep sb. at arm's ~, kataa urafiki na tenga; sukumia mbali. go to all ~s, (any ~) fanya kila linalowezekana. ~en vt./i. refusha; refuka" lens,noun,lenzi lent,noun,kwaresima leopard,noun,chui leper,noun,mkoma. leprosy leper,noun,ukoma. leprous leper,adjective,enye ukoma less,adjective,dogo zaidi less,adverb,kidogo less,preposition,"kasoro. $10 ~ $3 for taxes, dola 10 kasoro dola 3 za kodi. ~en v.t/i. punguza; punguka" lesson,noun,"somo; sura; funzo; onyo. Let that be a ~ to you, naliwe funzo kwako" lethal,adjective,a kuua letter,noun,"herufi; barua; waraka; elimu; fasihi. keep the ~ of the law (an agreement), fuata sheria (mkataba). a man of ~s, msomi; mwandishi" lettuce,noun,saladi leucocyte,noun,lukosaiti; selidamu nyeupe levee,noun,baraza lililojengwa kimaumbile pembeni mwa mto; ukuta uliojengwa kuzuia mafuriko; lambo level,noun,"usawa; kiwango; pimamaji. on a ~ with, sawa na" level,adjective,"sawa. - crossing, njia panda ya reli na barabara; tambuka reli. have a ~ head, be ~ headed, wa mtulivu. do one's ~ best, fanya vizuri uwezavyo. a ~ race, nguwu sawa" level,verb transitive,(-ll-) sawazisha; fanya sawa; bomoa; elekeza; lenga. - up (down) linganisha lever,noun,wenzo levy,noun,ada; kodi levy,verb transitive,toza; changisha liability,noun,"deni; mwelekeo; madaraka. unlimited liability, madaraka yasiyo mpaka" liable,adjective,a kupaswa; a kuwajibika kisheria; a kustahili liaison,noun,"kiungo; ushirikiano; uhusiano. officer, ofisa ushirikiano; ofisa mahusiano" liar,noun,mwongo libel,noun,maandishi ya kashfa; kashfa libel,verb transitive,(-ll-) kashifu kimaandishi liberal,adjective,paji; karimu; ema; enye mawazo mapana; a kupanua mawazo; liberal,noun,upaji; wema; ukarimu; upana wa mawazo liberate,verb transitive,komboa; fanya huru. liberty liberate,noun,"uhuru. take liberties with, fanya vasiyofaa" library,noun,maktaba. librarian library,noun,mktubuti licence,noun,"leseni; ruhusa; hati. - to drive a car, leseni ya kuendesha gari" license2,verb transitive,"pa leseni. shops licensed to sell linen, maduka yenye leseni ya kuuza vitambaa. licensed premises, mahali paliporuhusiwa kuuza (ulevi)" lichen,noun,kuvuvumiani; mimea ya jamii ya kuvu na mwani lick,noun,umbalaji; mchakato; mifugo wanaporamba magadi lick,verb transitive/intransitive,ramba; gusagusa. (colloq.) kinda; piga sana. sing lick,noun,(colloq.) kupiga; kupigwa; kushinda; kushindwa lid,noun,kifuniko; ukope (wa jicho) lie,noun,"hali, the ~ of the land hali ya nchi ilivyo" lie,verb intransitive,"(lay lain) lala; jinyoshea; wa juu ya, wa; wa katika hali fulani; wa mahali; kaa; baki; enea; zaga; tanda. The mistake ~s at your door ni kosa lako. The trouble ~s in the lack of goods, tatizo liko katika ukosefu wa bidhaa. - down under, vumilia. - in, kawia kusema; wa katika uchungu. - low, (colloq.) kaa kimya. - up, lala kwa ugonjwa" lie,noun,(of the land) hali ya nchi; jinsi mambo yalivyo lieutenant,noun,luteni; naibu. ~colonel luteni kanali life,noun,uhai; viumbe hai; maisha; uzima; starehe; uhusiano; uchangamfu; kipindi cha maisha lift,noun,kuinjua; msaada lift,verb transitive/intransitive,"inua; pandisha; kweza; nyanyua; tweka; ruka; ondoka; panda; paa; be; ondoa. - up one's voice, paza sauti. give sb a ~, pa mtu lifti; saidia mtu" ligament,noun,nyugwa; mkano; tishu ambayo huunganisha viungo mbalimbali vya mwili light,noun,"nuru; weupe; mwanga; taa; uchangamfu; ufananuzi; mtazamo; uwezo; kipaji; mtu mashuhuri; uangavu. come to ~, be brought to ~ bainika. strike a ~, washa kiberiti" light,adjective,-enye nuru; mwangaza; eupe; epesi; siyozito light,verb transitive/intransitive,"(lit) washa; waka; angaza; mulika; ongoza. - dependent resistor (LDR), kikinzanishi tegemezi mwanga: kifaa cha elektroniki kilicho na ukinzani mdogo katika mwangaza kuliko katika giza" lignite,noun,ligniti: kisukuku chenye rangi ya hudhurungi nyeusi kinachofanana na mkaa wa mawe like,adjective,"sawa; -a kufanana. nothing ~ as good, sifanani hata kidogo kwa uzuri" like,adverb,"I don't feel ~ working today, sisikii kufanya kazi leo" like,conjunction,sawa na; mfano wa; kama; kama vile; kama kawaida. -ly adj. -a kuelekea; -a kutaka kuwa like,verb transitive,"penda; taka; pendelea. I didn't ~ to trouble him, sikutaka kumsumbua. They would ~ to come, wangependa kuja. likeable (likeable)" like,adjective,-a kupendeka. liking like,noun,"mapenzi; upendeleo; matakwa. have a liking for, penda to one's liking kama apendavyo" lily,noun,"yungi, nympungi" limb,noun,kiungo; tawi lime,noun,chokaa lime,noun,mdtimu limit,noun,mpaka; upeo; kikomo; kiasi limit,verb transitive,wekea mpaka; zuia limp,adjective,tetekete; legev; nyong'onyewu line,noun,"mstari; safu; foleni; uzi; kamba; waya; kunyai; kontéua; mpaka; shirika la usafiri; mwelekeo; ukoo; mstari wa maneno; kazi. fishing ~ mshipi. telephone ~s, nyuzi za simu. Send me a ~ to say you have arrived, nitumie habari ya kunifahamisba ya kuwa umeewasili. hard ~ sl' pole; bahati mbaya. v.t.i. piga mstari; panga safu. roads ~d with trees, barabara zenye safu za miti. ~ combination mtangamano mstari. ~ equation mlinganyo mstari. ~ transformation mabadiliko mstari" linen,noun,"kitani, nguo ya kitani, hasa shati na nguo za meza na kitanda" linger,verb intransitive,kawia; kaa karibu; zenqea linguist,noun,mtu ajaye lugha nyingi; mwanaisimu liniment,noun,fututa; dawa ya mafuta ya kusugua au kuchukua link,noun,pete; kiungo; kifungo link,verb transitive/intransitive,ungana na; unga lion,noun,"simba dume. the ~'s share, fungu kubwa" lipase,noun,lipasi: aina ya kimeng'enya chenye uwezo wa kumeng'enya kikemikali chakula cha asili ya mafuta na kukigeuza kuwa gliseroli na asidi ya mafuta lipid,noun,kundi la misombo ya kaboni ambalo ni esta za asidi shalhamu na ambazo haimumunyiki katika maji lakini humumunyika katika vimunyunishaji vya mafuta liquid,noun,kioevu; maji; kimiminiko liquid,adjective,oevu; a majimaji; e'upe; angavu; enye kubadilika-badilika; laini; ororo; epesi kusafirika. liquefaction liquid,noun,kueguka maji; kuyevuka. liquefy liquid,verb transitive/intransitive,yeyusha; yeyuka liquidate,verb transitive,lipa deni; filisi; filisika liquor,noun,pombe; ulevi list,noun,orodha; hesabu list,verb transitive,orodhesha list?,noun,kula ubavu; list?,verb intransitive,"(meli, merikebu) lala ubavu" literacy,noun,kujua kuandika na kusoma. literal literacy,adjective,"a herufi; halisi; a maneno yenyewe; si bunifu. a literal copy, nakala halisi. literal translation, tafsiri sisisi" literary,adjective,a fasihi; a maandishi; -a waandishi literature,noun,fasihi; maandiko mbalimbali ya nchi; maelezo lithium,noun,"lithi, lithiamu" lithosphere,noun,tabaka mwamba; sehemu mango ya dunia ya nje kabisa ambayo hufunika sehemu moto zaidi za ndani litmus,noun,"litmasi; dutu mumunyikaji ya rangi ya zambarau ambayo hugeuka wekundu ikikutana na asidi au buluu ikikutana na alkali, hutumika kama kiashirio" litre,noun,lita litter,noun,machela; takataka; fujo; (kwa wanyama) majari ya kulalia; watoto wa mnyama wa fuko moja. v.t/i. chafua; fuja; tia takataka; (kwa wanyama) zaa little,noun,kidogo little,adjective,"dogo; haba; chache; fupi. the finger, kidole cha hda. after (for) a, baadaye kidogo" little,adverb,"kidogo. He's a ~ better doctor, Joe hajambo kidogo" liver,noun,ini livid,adjective,-a rangi ya risasi; -a kijivu; -a samawati; -liokasirika sana living,noun,riziki living,adjective,"hai; -zima; hasa; halisi; enye kusisimua. make a living as a farmer; ishi kwa kutegemea kilimo. plain living, maisha ya kawaida. high living, maisha ya anasa. a living wage, mshahara wa kukimu mahitaji" lizard,noun,"mjusi; guruguru. lizard monitor, kenge" load,noun,"mzigo; shehena; kiwango cha kazi. (fig.) ~ of sorrow, huzuni nyingi. v.t/i. pakia; sheheni; tia risasi" loaf,noun,"(loaves), mkate; boflo" loan,noun,karadha; mkopo; ukopeshaji loan,verb transitive,karidhi; kopesha loath,adjective,"be ~ totaka nothing, -enye kutaka; kwa hiari" loathe,verb transitive,chukia kabisa loathing,noun,uchukivu; karaha loathsome,adjective,-a kuchukiza mno lobby,noun,sebule; ukumbi; ushinikizaji lobe,noun,ndewe lobster,noun,kamba local,adjective,-a mahali maalumu; -a sehemu locate,verb transitive,"onyesha mahali pa; tambua. be -d, wekwa mahali" lock,noun,"kufuli; kitasa; komeo; kifungio; mtambo; ukwamaji; mlangoo. v.t/i. komea, funga kwa kufuli; shikamanisha" locomotion,noun,mwendo; uwezo wa kwenda locomotive,noun,garimoshi locomotive,adjective,enye uwezo wa kwenda locus,noun,1. lokasi; nafasi au nukta inayowesha nafasi ya kitu fulani. 2. nafasi maalumu ya jeni fulani katika kromosomu locust,noun,nzige lodge,noun,nyumba ndogo; nyumba ya chama; klabu. v.t/i loft,noun,ghorofa ya juu kabisa; darini. lofty loft,adjective,-a juu sana; refu; bora; ema; akburi; -a fahari log,noun,gogo la mti logarithm,noun,logi: mambakipeo ya namba ambavyo namba msingi (kizio) haina budi kupandishwa kupata namba fulani (antilogi) logic,noun,tawi la falsafa linalosuluhisha mantiki; mantiki log²,noun,kipimamwendo wa meli baharini. - book batli; kitabu chenye habari zote za safari ya chombo lone,adjective,-a pekee; pweke longitude,noun,"longitudo. longitudinal wave, wimbi mtambaa: wimbi lenye chembechembe za midia zinazotetemeka mbele na nyuma kufuata pitio ambamo wimbi husafiria kwenye njia yake" long²,verb intransitive,tamani sana long,noun,maisha marefu look,noun,"mtazamo; utazamaji; sura. v.i/t. tazama; angalia; onekana; elekea; tafuta. - after, tunza. - down on, dharau. - for, tafuta. - forward to, ngojea kwa hamu. - in (on), zuru; tembelea. into, chungulia; chunguza; peleleza. - on, tazama; wa mtazamaji. - (up) on, sb. or sth. as, ona kuwa. - out, jihadhari. sth. over, kagua sehemu. - sth. through, kagua kitu kwa makini. - to, tazamia. - up, angalia juu; ongezeka ufanisi. - sth. up, tafuta. - up to, heshimu. - like, elekea. it's ~ like rain, inaelekea kutanyesha mvua. - alive (sharp) changamka. good ~s, sura nzuri" loom²,verb intransitive,onekana kama kubwa kwa kutisha; tisha kwa kuonekana kama kubwa loom¹,noun,kitanda cha mfumi; mtande loop,noun,"kitanzi; shwara. v.t/i. piga kitanzi. sth. up loop (back), funga kitanzi nyuma. ~ hole" loop,noun,kitundu cha kupenyezea bunduki katika ukuta; (fig.) njia ya kukoka; mwanya loose,adjective,"liofunguka; a kulegea; potovu; baya. be at a ~ end, wa bila ya shuguli" loot,noun,nyara; mateka; uporaji; atekaji nyara; nyara. v.t/i. teka; teka nyara; pora lord,noun,"mtawala mkuu; Mwenyezi Mungu; lodi; maulana; bwana; mwinyi; mheshimiwa. the mayor, mstahiwa meya. v.i" lorry,noun,lori loss,noun,"hasara; msiba; upoteaji; upotezaji. be at a loss, fadhaika" lot,noun,-ote; idadi yote lot,noun,"kura bahati nasibu; ajali; bahati; jumla ya vitu viuzwavyo kwa pamoja mnadani. to draw (cast) ~s, piga kura. a bad ~ (colloq.) mtu mbaya" lotion,noun,losheni loud,adjective,enye sauti kubwa; a makelele; ~a mvuto; a kujitangaza. ~ speaker loud,noun,bomba; kipaza sauti lounge,noun,ukumbi; sebule lounge,verb intransitive,kaa kivivu; jikalie. ~ chair lounge,noun,kiti cha kupumzikia louse,noun,(lice) chawa; utitiri lousy,adjective,enye chawa; (colloq.) bovu; ovyo love,noun,"upendo; huba; mapenzi; mahaba. be in ~ (with), penda mwanamke au mwanamume. make ~ to, lala; jamiana; fanya mapenzi; onyesha kupendana na" love,verb transitive,penda; furahia; chunuka; taka. lovable love,adjective,a kupendeka low,adjective,a chini; fupi; ~nyonge; dhaifu; a kishenzi low,adverb,"be running ~, punguza" loyal,adjective,-tifu; aminifu lubricate,verb transitive,lainisha; legeza kwa mafuta; rahisisha kufanya jambo. lubricant lubricate,noun,mafuta ya kulainisha. lubrication lubricate,noun,ulainishaji luck,noun,"bahati; sudi. in ~, enye bahati nzuri. out of ~, enye bahati mbaya. for ~, kwa kuleta heri" ludicrous,adjective,a kuchekesha; a mzaha; puuzi; pumbavu luggage,noun,mizigo lumber,noun,"magogo, mbao; makorokoro" lumber,verb transitive/intransitive,"along (by, past) -enda kwa mwendo mzito. up, jaza makorokoro" luminary,noun,jua; mwezi; nyota; kitu king'acho angani; mtu mashuhuri kwa busara na akili. luminescence luminary,noun,mng'aro; mwanga wa kutoka kwenye kitu kwa njia yoyote isiyokuwa ya kukwza halijoto yake luminous,adjective,dhahiri; a kung'aa. luminosity luminous,noun,mng'aro; utoaji mwanga lump,noun,"bonge; jumla; uvimbe. a ~ sum, malipo ya jumla" lump,verb transitive/intransitive,"together, jumulisha; tuttika; changanya. If you don't like it, you can ~ it, ni lazima uvumilie upende usipende" lunar,adjective,"a mwezi. a ~ month, kadiri ya siku 29 na nusu, mwezi wa mwandamo" lunatic,noun,mwendawazimu; kichaa. lunacy lunatic,noun,wazimu; kichaa lunch,noun,chakula cha lung,noun,"pafu. fish, kamba/remamba" lurch,noun,msepetuko lurch,verb intransitive,pepesuka; sepetuka; enda mrama; luxurious,adjective,-a anasa luxury,noun,anasa lymph,noun,limfu: kioevu kisicho na seli nyekundu na ambacho husafiri katika mishipa limfu lymphnodes,noun,"fundo limfu: kiogani kwenye mlimfu chenye tishu ya kiimfu. ~atic system n. mfumo wa limfu: mpangilio wa neli ndogo sana zinazoitwa kapilari za limfu, huchukua gigili za tishu" lymphocyte,noun,limfosit: seli nyeupe ya damu inayoumbika kwenye tishu za limfu macaroni,noun,makaroni: aina ya tambi mach,noun,machi machine,noun,mashine; mtambo; kikundi kinachoongoza chama cha siasa mad,adjective,-enye wazimu; -enye kichaa; liojaa jazba; -enye hasira madam,noun,bibi; mama magazine,noun,ghala; stoo; bohari ya silaha; chemba ya risasi katika bunduki; jarida maggot,noun,buu; funza magic,noun,uchawi; kiini macho; mazingamombe. uramali magic,adjective,-a uchawi; -enye uchawi magisterial,adjective,-a hakimu; -enye amri; -enye mamlaka magistrate,noun,hakimu; mwamuzi. district magistrate,noun,"hakimu wa wilaya. resident hakimu mkazi. the ~, mahakimu" magma,noun,magima: lahanu yenye mata mango na oevu; maunzi teketeke chini au ndani ya ganda la dunia ambako mwamvuko moto huimbika magnesium,noun,magnesi: elementi metalia nyepesi ya rangi ya fedha ya mfululizo wa madini alkalini ambayo huunga moto mkali mweupe magnet,noun,"sumaku, sumaku" magnificent,adjective,-zuri kabisa; -tukufu; -adhimu. magnificence magnificent,noun,utukufu; adhama; fahari; uzuri magnify,verb transitive,kuza; tia magnitude,noun,ukubwa; cheo; ubora; ukuu mahogany,noun,mkan­gazi; mbambakofi maid,noun,mwanamwali; mwanamwari; mwali; mwari; msichana; mtumishi wa kike mail,noun,"barua za posta; posta. - bag, mfuko wa barua za posta. - box, sanduku la posta" mail,verb transitive,"postia; peleka kwa posta. -ing list, orodha ya watu wanaopelekewa kitu kwa posta" main,noun,bomba kuu la maji; njia kuu ya umeme; bomba kuu la maji machafu main,adjective,"kubwa; -kuu. have an eye on the - chance, fikiria faida yako tu katika jambo. a ~ s et, simu utumiao umeme. with might and ~, kwa bidii kubwa. in the ~, kwa kiasi kikubwa; kwa jumla; aghalabu" maintain,verb transitive,hifadhi; dumisha; endeleza; linda; shikilia; kimu; gharimia; sisitiza; sema maintenance,noun,kiam; matengenezo maize,noun,"mahindi; plant, muhindi" major,noun,"meja. general, meja jenerali" major,adjective,kubwa; -kuu. -enye maana zaidi. -ity n. wingi; zaidi ya nusu; umri wa utu uzima make,noun,"namna; aina; mtindo. This computer is of a good ~, kompyuta hii ni ya aina nzuri" make,verb transitive/intransitive,"(made) umba; fanya; tunga; tengeneza; sababisha; lazimisha; dhani; fikiria; kadiria; chukua­na; pata; funga; shinda; fanikiwa. -wa sawa na; chagua; teua. - cloth, fuma nguo. - a hole in sth, tobua. - a noise, fanya kelele. made of wood, -liotengenezwa kwa mbao. - money, pata pesa. - tea, pika chai" malaria,noun,malaria male,noun,dume male,adjective,dume; a kiume malleability,noun,ufulikaji malleable,adjective,-a kufulika (fig.) elekevu; epesi kuongozwa mallet,noun,nyundo ya mti; rungu ya kuchezea polo malnutrition,noun,utapiamlo malt,noun,kimea cha pombe maltreat,verb transitive,onea; dhulumu. -ment n. uonevu; dhuluma mamma,noun,neno la kitoto kwa mama mammal,noun,"mamalia; mnyama anayenyonyesha watoto wake. -ia n. chuchu: kichomozo kwenye titi, ambacho ni kizio cha vichirizi kutoka kwenye titi hadi kwenye mfereji wa kutoa maziwa" mammary glands,noun,"matiti; tezi ambazo wakati fulani hutoa maziwa, hasa kwa wanyama majike" man,noun,"(men) mtu; watu; binadamu; mwanaume; mume. the ~ in the street, mtu wa kawaida. of the world, mjuzi wa mambo ya ulimwengu" manacle,noun,pingu manage,verb transitive/intransitive,"ongoza; simamia; endesha; tawala; weza; fanikiwa; tazama. I can't ~ without help, siwezi bila msaada" mandate,noun,mamlaka; uwakili; agizo; hukumu; udhamini manganese,noun,mangani; manganizi: metali ya rangi ya kijivu na kechu mange,noun,ugonjwa wa upele wa wanyama. mangy mange,adjective,enye upele huu; duni; liochaka; dhaifu manger,noun,"hori, chombo cha kulishia wanyama kama vile ng'ombe chenye umbo la mtumbwi" mango,noun,(-oes) mwembe; embe mangrove,noun,mkandaa; mkoko; msitu; msindi mania,noun,wazimu; ushabiki mkubwa; shauku kubwa. -c n. mwenye wazimu manifest,adjective,dhahiri; wazi; bayana manifest,verb transitive,onyesha; dhihirisha; jidhihirisha manifest,noun,orodha ya shehena melini manifold,adjective,a namna nyingi; a-mara nyingi manipulate,verb transitive,endesha; tengeneza; fanya; tawala kwa ufundi. manipulation manipulate,noun,kufanya kwa ufundi manner,noun,"jinsi; njia; namna; mwenendo; tabia; adabu. be ~less, hana adabu. all ~ of, kila namna ya. ill-(well-) mannered" manner,adjective,bila (enye) adabu manoeuvre,noun,manuva; werevu; hila; ujanja manoeuvre,verb transitive/intransitive,fanya manuva; tuma werevu; shawishi mansion,noun,nyumba mantle,noun,"utando mzito wa tabaka la miamba yenye mango oevu ya wastani wa kati, takriban umbali wa kilomita 2900 chini ya ganda la dunia" manual,noun,kitabu kinachotoa maelekezo ya namna ya kutumia kitu fulani kama vile mashine manufacture,noun,utengenezaji; uzalishaji; vitu vilivyozalishwa kiwandani manufacture,verb transitive,tengeneza; zalisha; buni manure,noun,mbolea; samadi manure,verb transitive,tia mbolea map,noun,"ramani. scale, skeli" map,verb transitive,"chora ramani; onesha kwenye ramani; out, panga" marathon,noun,marathoni; mbio za masafa marefu; (fig.) jaribio la ustahamilivu maraud,verb intransitive,nyang'anya; iba; teka nyara marble,noun,"marmaru; gololi. a - breast, katili" March,noun,Machi: mwezi wa tatu wa mwaka wa kizungu march,noun,"mwendo wa kijeshi; mwendo; safari. a - past, gwariade. (fig) matukio. the ~ of events, maendeleo ya mambo; matukio v.i/t. tembea kama askari; peleka" mare,noun,farasi jike. 's nest mare,noun,uvumbuzi wa uwongo au usio na maana margarine,noun,majarini; siagi margin,noun,1. pambizo; nafasi ya pembeni katika kitabu. 2. ukingo. 3. ziada ya ~al margin,adjective,-a pembezo; - kando marine,noun,askari wa manowari marine,adjective,"-a bahari; mambo ya bahari; -a baharini. merchant - jumla ya meli zote za taifa fulani. corps, jeshi la wanamaji" mark,noun,"1. alama; dalili; ishara; athari. 2. doa; bovu; waa; kovu chale. 3. chapa; nembo. 4. hesabu. 5. shabaha. beside (wide off) the ~, haimo; haihusiki. 6. kiwango. up to the ~, kiasi kinachohitajika. 7. cheo. make one's ~, pata wa mashuhuri" mark,verb transitive,tia alama; pigia chapa; sahihisha; tia maksi; zingatia; -wa dalili ya; mark,verb transitive,"kitambulisho cha - how it is done, angalia jinsi lifanywavyo" market,noun,"soko; kutawka kwa bidhaa; ununuzi na uuzaji, the coffee ~, soko la kahawa. a lively ~, hali nzuri ya biashara. v.i/t. uza; nunua; peleka kuuza" marmalade,noun,mamaledi; jemu ya machungwa marriage,noun,ndoa; nikahi marrow,noun,"uloto. vegetable ~, mung'unye. chilled to the ~, ona baridi kali" Mars,noun,Mirihi; sayari ya nne kutoka kwenye jua marsh,noun,bwawa; ziwa lenye matope; kinamasi marsupials,noun,wanyamapochi; mamalia wanaozaa watoto na kuwalewa katika mfuko maalumu uliomo katika miili yao e.g. kangaru martial,adjective,"-a vita; -a kupenda vita; -a kijeshi. law, sheria za kijeshi" martyr,noun,"mfiadini; shahidi. be a ~ to a complaint, wateswa sana" martyr,verb transitive,"tua, tesha kihali" marvel,noun,ajabu; muujiza; mtu au kitu a kushangaza marvel,verb intransitive,(ill-) shangaa masculine,adjective,"-ume; -a kiume; dume. gender, jinsia ya kiume. masculinity" masculine,noun,uume maser,noun,meza; chombo cha kuongeza wimbi miakro mash,noun,ponde; mponda; seta mash,verb transitive,ponda; seta mask,noun,kinyago; barakoa mask,verb transitive,vaa kinyago; ficha; geuza; sitiri mason,noun,mwashi. ~ry n massacre,noun,mauaji ya kinyama ya halaiki massacre,verb transitive,au oya watu wengi massage,noun,ukandaji; uchuaji; upuanaji; usingaji massage,verb transitive,kanda; singa; puna; chua masseur,noun,msingaji mwana mme. masseuse masseur,noun,msingaji mwanamke massif,noun,mkusanyiko wa vilele vya milima mass²,noun,"misa. high ~, misa kuu. low ~, misa ndogo" mass¹,noun,"masi; fungu; chungu; wingi; bonge. the -es, umma" mast,noun,mlingoti master,noun,1. bwana. 2. shahada ya pili mat,noun,mkeka; jamvi; kirago; kitanga; busati masala match²,noun,"1. mechi; shindano. a football -, mechi ya mpira. return -, mechi ya marudiano. 2. mwenza; sawa; mshindani; sawa. 3. ndoa; mwenza wa ndoa. They made the - of it, walioana. 4. ulinganifu" match²,verb transitive/intransitive,lingana na; linganisha; pambanisha; shindanisha; oza; oana match¹,noun,ujeti wa kiberiti. ~box kiberiti mate,noun,"mwenza; rafiki; sarahangi; msaidizi; mume; mke; dume; jike. the lioness and her -, simba jike na dume wake" mate,verb transitive/intransitive,pandana material,noun,"nyenzo; vifaa. raw ~s, malighafi" material,adjective,a mwili; yakinifu; muhimu. ~al kiini maternal,adjective,a mama; a kike mathematics,noun,hesabu; hisabati. mathematical mathematics,adjective,a hisabati. mathematician mathematics,noun,mtaalamu wa hisabati matriculate,verb transitive/intransitive,ingia chuo kikuu; ingizwa chuo kikuu; pasi mtihani wa kuingia chuo kikuu matriculation,noun,kuingia au kuingizwa chuo kikuu; mtihani wa kuingia chuo kikuu matrimony,noun,ndoa; kuoana. matrimonial matrimony,adjective,a ndoa matrix,noun,(matrices ) kalibu; mawe ya asili yenye madini; chanzo; solo; matriki matron,noun,matroni; mwanamke anayetuza bweni; mwanamke anayesimamia wauguzi wa hospitali; mwanamke aliyeolewa matter,noun,"mata; maada; maudhui; machapisho; maandishi; jambo; kisa; hoja; habari; umuhimu; maana; kadiri. printed ~, machapisho. money ~s, mambo ya fedha. as a - of fact, kwa kweli. a - of course, jambo la kawaida; jambo la kutarajiwa. be the - (with), wa na. What is the - with him?, ana nini? no ~ what, lolote liwalo. no ~ when, siku yoyote itwayo" matter,verb intransitive,faa mattress,noun,godoro mature,verb transitive,baligha; pevuisha. pevuika. the karimika. wa tajari mature,adjective,pevu. -zima. bovu. kiorgesenzwa tajari. maturity mature,noun,upevu; baligha; ukuvu; ukarimifu maxim,noun,kanuni; mithali; neno la hekima May,noun,Mei mwezi wa tano wa mwaka wa kiingereza. May Mosi: sikukuu ya wafanyakazi duniani mayor,noun,meya. -alty n. umeya; kipindi cha umeya. -ess n. mke wa meya maze,noun,mzunguko; mwanya mwingi; msokota; fadhaa mchana,verb intransitive,-la chakula cha mchana mchoro,verb transitive,(-rnn) nuia: panga kabla; chora ramani meadow,noun,shamba la majani meal,noun,chakula; mlo; unga wa nafaka; -ie n. unga wa mahindi. mealy meal,adjective,a unga; wa unga measly,adjective,-e n. unga wa mahindi. measles measly,noun,surua; chunua; tegu measure,noun,kiasi; kadiri; kiwango; kipimo; kimo; mapigo; mwendo; hatua; mashauri; mstari; kipao; in some -s: kwa kiasi fulani. in a great -: zaidi. take -s: chukua hatua measure,verb transitive/intransitive,pima; tathmini; to out: pambanua; tia alama. It -s six metres: urefu wake ni mita sita. -ed adj. a taratibu; lofikiria; sawasawa. measuring cylinder: silinda kipimio. kifaa kidongezewa; chombo; kioo kinene au plastiki kinachotumiwa kupimia maji ya viowevu. -ment n. kipimo meat,noun,nyama; chakula; mlo meat,noun,nyama; chakula; mlo. -ball n. kababu mechanic,noun,fundi mitambo; mekanika; mbinu. -al adj. a mekanika; umekanika; enye kutenda bila kufikiri; a kufanya kama mashine. -energy n. nishati ya mitambo; jumla ya nishati weza na aikasit mwendo. -s n. umekanika mechanism,noun,mashine; mtambo; utaratibu wa kufanya jambo. mechanize mechanism,verb transitive,tumia mashine medal,noun,nishani. -list n. mtunukiwa nishani median nkati,adjective,a kati medical,adjective,a tabibu; a tiba; the medicine medical,noun,sayansi ya tiba; uganga; tiba; udaktari; dawa; adhabu inayostahili. medicine medical,noun,duni; mchawi; mganga meditate,verb transitive/intransitive,zingatia meditation,noun,usuluhishi. mediator meditation,noun,msuluhishi medium,noun,(media) njia; chombo; wastani; mazingira medium,adjective,a kati; a kadiri; a wastani. ~ wave medium,noun,masafa ya kati; mawimbi ya kati (ya urefu wa mita 100-1000) meet,verb transitive/intransitive,"kuta; kutana; fahamiana; pokea; laki; faa; tosheleza mahitaji; kabili. Will this ~ the case? hili itafaa? ~ a person's wishes, ridha matakwa ya mtu" megahertz,noun,megahezi: hezi milioni moja megaphone,noun,megafoni; bomba; kipaza sauti megawatt,noun,megawati: wati milioni moja meiosis,noun,meiosisi utaratibu wa mgawanyiko wa kukamilika ambapo kromosomu hupunguzwa kutoka kwenye gameti melody,noun,"lahani; tuni, mpangilio wa nota na maneno kimuziki. melodious" melody,adjective,a- sauti tamu; a- inayopendeza melon,noun,tikiti maji melt,verb transitive/intransitive,yeyusha; yeyuka; lainisha; tia huruma; fifia; toweka member,noun,mwana- chama; mjumbe; kiungo cha mwili membrane,noun,kiwambo; ngozi nyembamba inayoweza kupenyeza molekuli za ukubwa fulani; utando memorandum,noun,maandiko ya kumbukumbu; taarifa. memorial n./adj. kumbukumbu; hati ya maombi memorize,verb transitive,hifadhi kwa moyo memory,noun,"uwezo wa kukumbuka; masafa ya kuwea kukumbukia; kumbukumbu; ukubukaji; mambo yaliyopita. have a good ~, wa na uwezo mkubwa wa kukumbuka. within living ~, wakati huu; wakati wetu. memorable" memory,adjective,a- kukumbukwa; mashuhuri; a sifa kubwa menace,noun,hatari; tishio; hamaniko; kamio menace,verb transitive,tisha; kamia; hamanisha. menacingly menace,adverb,kwa namna ya kutisha mend,verb transitive/intransitive,"tengeneza; rekebisha; ongoka; pona. He is on the ~, ameanza kupona" meniscus,noun,meniskasi: uso wa kiowevu uliopinda ndani ya bomba au chombo chembamba menstrual cycle,noun,mzunguko hedhi: kipindi maalum kutoka hedhi mpaka hedhi mensuration,noun,upimaji wa urefu na maeneo mental,adjective,a- akili; a- kichwa menu,noun,menyu; orodha ya vyakula merchandise,noun,bidhaa; biashara. mercantile merchandise,adjective,"a- biashara. mercantile marine, meli ya abiria na bidhaa" merchant,noun,mfanya biashara. ~ marine merchant,noun,meli ya biashara ya kupakia bidhaa merciless,adjective,-sio na huruma; katili mercury,noun,zebaki; hidrargiri. mercurial mercury,adjective,a- zebaki; -geugeu mercy,noun,rehema; huruma; upole; wema; msamaha. merciful mere,adjective,tupu; tu. -ly adv. tu merge,verb transitive/intransitive,unganisha; ungana. -r n. muungano; kuungana; kuunganisha meridian,noun,"meridiani; mstari kutoka kaskazini kusini ya dunia; upeo; usitawi; kipeo. the ~ of Greenwich, meridiani ipitayo Greenwich" merit,noun,sifa njema; tabia nzuri; stahili; matendo mema mesh,noun,jicho la wavu mesh,verb transitive/intransitive,tega; nasa; umana; ingiana mesolithic,adjective,"a zama za mawe kijilojia, nao ni mwisho wa utando wa theluji na mwanzo wa kilimo" mess,noun,"matata; fujo; machafuko; takataka. make a ~ of sth., fuja; haribu; tatanisha. get into a ~, ingia matatizoni" mess,verb transitive/intransitive,"chafua; vuruga; fuja. about, chezea; fanya purukushani; fanya jambo bila mpango. -y adj. -chafu; -a fujo" mess,noun,mesi; bwalo la kulia chakula; watu walao pamoja mess,verb intransitive,la biaj.; kikoo; la pamoja message,noun,habari; maneno; taarifa; barua; ujumbe messenger,noun,mjumbe; tarishi; mtume metabolism,noun,metaboli; umetaboli: hali ya ujenzi na uwanjaivunjaji kemikali katika viumbe hai metal,noun,metali; kitu cha metali; kokoto za kutengenezea barabara metamorphic,adjective,(kwa majabali) enye kubadilika umbo au sifa zake kutokana na kani za maumbile metamorphosis,noun,metamorofosisi; mgeuko mkubwa wa umile la kiumbe katika utaratibu wao wa kukua kutoka hali ya yai mpaka kufikia kiumbe kamili metaphor,noun,"sitiari; mtindo wa usemaji ambao hulinganisha bila ya kutumia vilinganishi. She has a heart of stone, ana moyo wa jiwe" meteor,noun,kimondo; gimba la kumetameta kutoka anga za mbali meter,noun,"mita; chombo cha kupimia umeme, masafa, kasi ya mwendo etc" methane,noun,methani; gesi ya kihidrokarboni ya chini kabisa iliyojaa hidrojeni ambayo haina rangi na hushika moto haraka method,noun,njia; mbinu; utaratibu; desturi methodism,noun,umethodisti; madhehebu ya Kikristo ya kiprotestanti yaliyoanzishwa na John Wesley na wenzake. methodist n./adj. umethodisti; a methodisti methylated spirit,noun,"spiriti iliyo methilishiwa: mchanganyiko wa ethanoli, piridini, petroli na rangi" metre,noun,1. mita: kizio cha msingi cha urefu katika mfumo wa SI sawa na inchi 39.4. 2. mita: mpangilio wa silabi zenye mkazo na zisizo mkazo ili kuunda mfuatano maalumu katika shairi metropolis,noun,mji mkuu wa nchi; makao makuu ya nchi. metropolitan metropolis,adjective,-a mji mkuu mica,noun,madini aina ya ulanga microbe,noun,kijiududu maradhi microbiology,noun,mikrobiolojia: tanzu ya biolojia inayohusika na muundo na kazi za viumbe vidogovidogo kama bakteria na virusi microchip,noun,mikrochip: kipande kidogo sana cha silikoni kinachotumika kama saketi changamano ya umeme micrometer,noun,mikromita: chombo cha kupimia vitu vidogo sana kwa kiwango cha sehemu moja katika milioni microphone,noun,maikrofoni: chombo cha kugeuza mawimbi sauti kuwa mawimbi umeme na kugeuzwa tena kuwa sauti baada ya kurushwa microprocessor,noun,mikroprosesor: kompyuta ndogo yenye mikrochipu moja au zaidi microscope,noun,hadubini: chombo kinachofanya vitu vidogo visivyoonekana kwa macho kuonekana vikubwa microscopic,adjective,-dogo mno kuweza kuonekana kwa macho matupu microwave,noun,"wimbi-mikro, kijimwimbi: kimwili sumaku umeme kinachotumika katika mawasiliano" microwave oven,noun,chombo kinachotumika kupikia kwa kutumia mawimbi ya umeme mid,adjective,"kati. -day n. saa sita ya mchana; adhuhuri. -night n. saa sita ya usiku; usiku wa manane. burn the night oil -kesha. --ocean ridge, tutabahari: tuta la milima lililo chini ya bahari" midst,noun,"in the midst, katikati ya; wakati wa; in our midst miongoni mwetu" midwife,noun,"(f. -wives) mkunga, mtu anayewasaidia akina mama wakati wa kujifungua. -ry n. ukunga" might,noun,"uwezo; nguvu; ukuu. -y adj. -enye uwezo, nguvu, amri na ukuu" migrate,verb intransitive,hama; hama; hajiri. migratory n./adj. mhamaji; -hamaji migration,noun,uhamaji; uhamiaji. migratory migration,adjective,"-enye tabia ya kuhama. migratory birds, ndege wahamao na kurudi kila mwaka" mild,adjective,-pole; sio kali; laini; -dogo. -ly adv. kwa upole; -ness n. upole; ulaini mile,noun,maili. -age n. maili zilizoendwa; posho la usafiri; malipo ya usafirishaji kwa maili. -stone n. jiwe la maili; tukio militant,noun,mpigan-ia hak; mpiganaji militant,adjective,"-a kupigana, -a kutaka vita" militarism,noun,tabia ya kupenda vita. militate militarism,verb intransitive,wa mbali na; pinga; zuia military,adjective,-a kijeshi; -a kivita. the military. jeshi; wanajeshi; askari milk,noun,"maziwa. butter- mtindi. condensed ~, maziwa ya kopo. powder, maziwa ya unga" milk,verb transitive,kama; toa maziwa mill,noun,"kinu. flower ~, kinu cha kusagia unga" millenium,noun,milenia; miaka elfu moja millet,noun,mtama; wimbi; serena; ulez; lulu; wele millibar,noun,milibaa: kizio cha kanienco kitumikaacho katika metrolajia ambacho ni sawa na daini 1000 kwa kila sentimita ya mraba milligram,noun,miligramu: sehemu ya 1/1000 ya gramu moja millilitre,noun,mililita: sehemu moja katika elfu ya lita moja millimetre,noun,milimita: sehemu moja katika elfu ya mita moja million,noun,milioni mimic,noun,mwigaji; mwigo wa lafudhi mimic,adjective,- liyogwa mimic,verb transitive,"iga, hasa kwa kuchekesha; fanana kabisa" minaret,noun,mnara wa msikiti mince,noun,"kima (nyama ya kusaga). v.t./i 1. kata vipande vidogovidogo. 2. tafuna maneno; tembea kwa mikogo. not to ~ matters, sema waziwazi" mind,noun,"1. ukumbukaji; kumbukumbu. keep (bear) sth in ~, kumbuka jambo fulani. call to ~, kumbuka put sb in ~ of, kumbusha mtu. 2. nia; dhamiri. make up one's ~, amua kufanya jambo. change one's ~, ghairi. be in two ~s (about sth), sita; wa na mashaka. speak one's ~, sema ukweli. be of one ~, afikiana. have a good ~ to, taka; elekea. take sb's ~ off (the matter), sahaui. angalia; tunza; kirihika. (out!) tahadhari! Do you ~ my smoking? hutajali nikivuta? Would you ~ shutting the door? tafadhali ufunge mlango" minded,adjective,enye mawazo finyu mine,pronoun,-angu mine,noun,1. machimbo; mgodi; kware; bonna la kutega mine,verb transitive/intransitive,chimbua madini; tega mabomu. ~salts chumvi madini: kemikali zenye madini yahitajikayo kwa maisha na ukuaji wa wanyama na miti mine,adjective,ya madini. ~ral water mine,noun,maji yaliyotwa madini mingle,verb transitive/intransitive,changanya; changanyika miniature,noun,kisanamu; mfano mdogo minister,noun,"waziri; balozi; mchungaji; kasisi. prime ~, waziri mkuu" minister,verb intransitive,saidia; tumikia ministration,noun,utumishi; msaada ministry,noun,"wizara; jamii ya makasisi. enter the ministry, wa kasisi" minor,noun,mtoto wa chini ya miaka kumi na nane minor,adjective,dogo; hafifu; -a chini mint,noun,"kiwanda cha kutengenezea pesa. vt. tengeneza pesa, sarafu" minus,preposition,kasoro; bila minus,adjective,"ya kutoa. the - sign, alama ya kutoa hii (-)" minute²,adjective,dogo sana; halisi minute¹,noun,"dakika; kumbukumbu; taarifa. in a ~, sasa hivi" miracle,noun,muujiza; ajabu miraculous,adjective,a muujiza; a kustaajabisha mirage,noun,mazigazi; mangazimwbe. (fig.) mazingiraombwe mirror,noun,"kioo cha kujitazamia. -image, taswira geu" miscarriage,noun,"uharibikaji mimba; kutowasilisha; kutofika mahali utakiwapo. -of justice, potosha haki. -of goods, bidhaa kutofika ziliko pangiwa" miscarry,verb intransitive,haribika; tofaulu; tokea vibaya; tofika salama miscellaneous,adjective,anuwai; a namna nyingi pamoja miscellany,noun,mchanganyiko wa vitu vya namna mbalimbali mischief,noun,"madhara; hasara; fitina; utundu; utukutu. make ~ between, tia fitina, gombanisha. mischievous" mischief,adjective,tundu; fitinishaji misconduct,noun,tabia mbaya; uongozi mbaya; mwenendo mbaya misconduct,verb transitive,ongoza vibaya; -wa na tabia mbaya misdeed,noun,tendo baya; kosa miser,noun,bahili misfire,noun,kutoripuka; kutowaka; kutofaulu; kutofyatuka; kutolia misfire,verb intransitive,tolia; toripuka; towaka; tofaulu misfit,noun,vazi lisilo sawa na kimo; (fig.) mtu asiye faa; mtu asiye patana na wenzimwe misfortune,noun,msiba; taabu; bahati mbaya; mkosi; belaa misguide,verb transitive,ongoza vibaya; elekeza vibaya mishap,noun,bahati mbaya; ajali mislay,verb transitive,(-laid-) weka (kitu) pasipo pake; poteza mislead,verb transitive,ongoza vibaya; kosesha; potosha misrule,noun,utawala mbaya misrule,verb transitive,tawala vibaya miss,noun,msichana; binti miss,verb transitive/intransitive,"(-ed) kosa. Fire at a lion and ~ it, piga risasi simba na kumkosa. Try to catch a ball and ~ it, jaribu kudaka mpira na kuukosa. He ~ed the train, alikosa treni. sth. out, ruka; acha; toingize; sahau" missile,noun,"kombora guided ~, kombora linaloongozwa na mitambo ya elektroniki" mission,noun,"ujumbe, misheni, kazi maalumu" mist,noun,ukungu; umande kiwi mistake,noun,"kosa. by ~, kwa makosa" mistake,verb transitive/intransitive,"(mistook, mistaken) kosea; kosa; dhania visivyo; tofahamu vyema" mistress,noun,"bibi; kimada; hawara; mpenzi, mweleidi wa kike; mwalimu wa kike; mkuu wa kaya wa kike" mitochondria,noun,mitokondria: oganeliseli ambamo utoaji wa nishati kutokana na chakula sahili hufanyika mitosis,noun,mitosisi: utaratibu wa mgawanyiko wa seli za kawaida na baada ya mgawanyiko huo seli moja huwa mbili mitre,noun,kofia ya kiaskofu mix,verb transitive/intransitive,changanya; changanyika; vuruga; boronga. be ~ed up in (with) jihusisha na jambo fulani. feel ~ed up (about sth.) changanyikiwa moan,noun,kite; kilio; uguaji. v. uguza; lia; piga kite mob,noun,kundi la watu wenye fujo mobile,adjective,a kwenda; a kuwea kwenda; epesi kueguka. phone mobile,noun,"simu ya mkononi, simu tamba. mobility" mobile,noun,"mwendo, wepesi wa kueguka. mobilize" mobile,verb transitive,hamasisha. mobilization mobile,noun,uhamasishaji mode,noun,jinsi; namna; mtindo; hali. modal mode,adjective,a hali; modi. modality mode,noun,hali; namna. =1 mode,noun,modeli kifani; mfano; kielelezo; mtindo; kigezo. a ~ wife mke wa kuigwa mode,verb transitive,(ll-) finyanga kwa kufuata mfano; iga mtu mwingine; onyesha mtindo modem,noun,modemu: chombo kinachounganisha kompyuta na simu ili data iweze kurushwa toka kompyuta hadi nyingine moderate,adjective,a kiasi; a wastani moderate,verb transitive/intransitive,punguza; tuliza; punguza; tulia simamia mtihani; ongoza mjadala; rekebisha mtihani moderation,noun,kiasi; kadiri; wastani; uongozaji mjadala; usimamiji mtihani modern,adjective,a siku hizi; pya; a kisasa modest,adjective,-siojivuna- a kadiri; a wastani; a staha modify,verb transitive,geuza; badilisha; badili kidogo; punguza; vumisha. modification modify,noun,ubadilishaji; badiliko; uvumishaji modulate,verb transitive/intransitive,rekebisha; geuza; rekebua. modulation modulate,noun,ubadilishaji sauti; urekeubasauti namnaisho. modulator modulate,noun,modulator; kirekebuasauti moist,adjective,a majimaji; enye unyevu molasses,noun,molasi mole,noun,fuko; ~hill mole,noun,chungu ya udongo ifanywayo na fuko molecule,noun,molekuli: chembe ndogo sana ya msombo inayoweza kushiriki katika mabadiliko ya kikemikali mollusc,noun,"moluska: kabila safu ya wanyama kama vile konokono, ngisi, pweza na chaza ambao huishi baharini, kwenye maji baridi na hata nchi kavu" molten,adjective,"iliyeyuka; molten gold, dhahabu iliyoyeyushwa" moment,noun,1. kitambo kidogo; muda mfupi sana; kufumba na kufumbua; mara; maana. affairs of great ~ mambo ya maana sana monastery,noun,nyumba ya watawa Monday,noun,Jumatatu money,noun,"fedha (sarafu, noti) itumikayo katika kuuza na kununua; pesa" mongoose,noun,nguchiro mongrel,noun,mbwa chotara monitor,noun,1. kiongozi; msimamizi. 2. mwanafunzi kidogo. 3. msikilizaji na mtoaji habari za kituo cha nipe. 4. chombo cha kufuatilia urukaji wa makombora. 5. chombo cha kufuatilia urushaji wa matangazo ya redio na televisheni. 6. chombo mfano wa seti ya televisheni cha kompyuta monk,noun,mtawa wa kiume; sufii monkey,noun,kima; tumbili; ngedere; mbega. v i chezeachezea; iga monocotyledon,noun,monokotiledoni: mmea ambao mbegu yake ina kotiledoni moja monocyte,noun,"monosit: aina kubwa ya seli damu nyeupe ambayo inaweza kumeza bakteria, virusi na vipande vya seli" monogamy,noun,ndoa ya mke mmoja kwa wakati mmoja monohybrid cross,noun,kizazi kitokanacho na wazazi wawili kila mmoja mwenye jeni tawaliwa moja na jeni tawaliwa moja monologue,noun,mazungumzo binafsi ya mtu peke yake hasa katika maigizo monopoly,noun,"ukiritimba; uhodhi. capitalism, ubepari kiritiimba. monopolist" monopoly,noun,mkiritimba; mhodhi. monopolize monopoly,verb transitive,hodhi monosyllable,noun,silabi moja. monosyllabic monosyllable,adjective,-a silabi moja monotone,noun,toni moja; kidatu bainifu kimoja cha sauti monotreme,noun,"mtundumwe: mamalia wa oda monotremata ambaye ogani za jinsia, mkojo na mmeng'enyo vina tundu moja kwa nje" monoxide,noun,monoksaidi: oksaidi yenye atomu moja ya oksijeni monsoon,noun,monsuni: pepo za msimu; kaskazi monster,noun,dubwana; kiumbe cha kutisha kutokana na umbo lake lisilo la kawaida; mtu katili mno monstrosity,noun,kioja; dubwana. monstrous monstrosity,adjective,kubwa mno; -a ajabu month,noun,mwezi monument,noun,jengo au sanamu ya ukumbusho; kazi ya mfano bora mood,noun,hali; hali ya moyo moon,noun,mwezi. new~ mwezi mwandamo; mwezi mchanga. full~ mwezi mpevu. moor moon,noun,nyika; mbuga; nanga moose,noun,tanzi; shemere; shwara mop,noun,ufagio; tamvua; nywele za matimutimutu mop,verb transitive,(-pp-) piga deki; pangusa kwa tamvua. ~sth up. futa; maliza moraine,noun,takataka na mawe mawe zinazokokotwa na kutuliiwa na mto wa barafu moral,noun,fundisho; maadili; murua moral,adjective,"adilifu; -ema; zuri; nyofu; enye hiari ya kuchagua mema au mabaya. a - life, maisha mema. - books, vitabu vyenye kufunza maadili. - victory, ushindi wa utu. certainty jambo lielekealo kuwa kweli kabisa. -ist n. mwalimu wa maadili; mwadilifu. -ity n. uadilifu; murua; maadili. -ize v.i. shajihisha uadilifu. -ly adv. kwa maadili" morbid,adjective,gonjwa; chafu; enye kuwaza mambo mabaya. -ity n. ugonjwa. -ly adj. kigonjwa more,adjective,zaidi more,adverb,"zaidi; tena. a little - zaidi kidogo. - than, kuliko; zaidi ya, be no - fa; isha, or less, takriban. grow (get, be) zaidi kuwa. -over adv. tena; aidha; zaidi ya" moribund,adjective,a-karibu na kufa; machututi morning,noun,asubuhi. early - alfajiri; mapambazuko morse,noun,"- code, namna ya kupeleka habari kwa mapigo marefu na mafupi ya sauti au ya vimulimuli vya taa" mortal,noun,binadamu mortal,adjective,"enye kufa; -a kufisha; -a kudumu hadi kifo. hatred, chuki ya kudumu. combat, mapambano ya kufa na kupona. in - fear of death, enye kuogopa sana mauti. -ly adv. kwa kufisha; sana; mno. -ity n. maut; vifo; hali ya kuwezà kufa. rate, kiwango cha vifo" mortar,noun,mota; kinu; kombora. - board mortar,noun,chano; ubao wa kuweka udongo; kofia ivalwayo na wanafunzi wa chuo mortuary,noun,nyumba ya maiti; mochari mosque,noun,msikiti mosquito,noun,mbu. -net n. chandarua. - proof mosquito,adjective,siopitisha mbu moss,noun,kuvu; mwani; kuvumwani most,adjective,"-ingi kupita -ote; ingi sana. make the - of, tumia vizuri. for the - part, zaidi; kwa kawaida; aghalabu; kwa jumla. -ly adv. kwa kawaida; hasa; karibu yote" moth,noun,mdudu aina ya nondo mother,noun,"mama mzazi; kiongozi wa jamiiua ya watawa; kiini; chanzo. tongue, lugha mama" mother,verb transitive,tunza; lea kama mama. -in-law n. mkwe. -hood n. umama. -less adj. bila mama. -ly adj. kama mama motion,noun,"wendo; msogeo; hoja pendekezo. move a -, toa hoja" motion,verb transitive,ashiria; elekeza; ongoza. -less adj. tuli; siongea motive,noun,nia; kusudio; matilaba; maarubali; sababu; lengo motive,adjective,"-enye kuendesha. power, nguvu za kuendesha jambo. motivate" motive,verb transitive,hamasisha; pa motisha; sababisha motor,noun,"mota; kitumi; musuli wa mwendo. neuron, mshipa wa fahamu unaoratibu mwendo wa viungo. -cycle, pikipiki. -cade, msafara wa vipando vya moto. -car, motokaa. -boat, motaboti" motor,verb transitive,safiri kwa motokaa; safirisha kwa motokaa motto,noun,(-oes) wito; tamko mould,noun,kalibu; kielezo; tabia mould,verb transitive,finyanga; subu kwa kalibu. (fig.) ongoza; nyoosha; ongoa mould,noun,udongo wa mboji; udongo mweusi wenye rutuba mould,noun,kuvu. -er v.i. ota kuvu; oza; liwa na kutu; vunjakavunjika; chakaa moult,verb intransitive,jigeuza rangi ya manyoya; nyonyoka manyoya mound,noun,chungu; kilima; tuta; rundo; kichuguu mount,noun,"mlima; kiunzi; farasi; baiskeli. v.t.i. panda; kwea; fanya; onyesha mchezo jukwaani; weka mahali pake; tundika picha — up, zidi; ongezeka - guard over, linda — ain" mount,noun,mlima. —eer mount,noun,"mkaa milimani, mpanda milima. —ous" mount,adjective,a milima mingi mouse,noun,(mice) panya moustache,noun,sharubu move,noun,"mwendo, zamutendo; jambo; uhamisho. v.t.i. sogeza; sogea; hamisha; hamasisha; gusa hisi prechekeza; toa hoja; chukua hatua; endelea. — sb to do sth, shawishi mtu kufanya jambo. He is always on the ~, hana kituo; daima yumo mbioni. —ment" move,noun,mwendo; tapo; tendo; maendeleo; uhamaji Mr,noun,ufupisho wa mister: bwana. Mrs Mr,noun,ufupisho wa missis: bibi mtindi,verb transitive/intransitive,chacha; chachuka; chachua muck,noun,"samadi; taka; uchafu; mbolea. v.t.i. —suh, tap buruga; fuja; chafua. about, zurura. —y" muck,adjective,chafu mucous membrane,noun,kiwambo-ute; sehemu ya kiwambo cha seli inayozunguka mfereji wa chakula mucus,noun,"uteute; aina ya kemikali nzito inayoteleza inayotokana na teziute yenye kazi ya kulinda tishu za tabaka-nje zisikauke, na pia kuzuia viumbe maradhi visidhnru kiumbe" mud,noun,"tope. — hut, kibanda cha udongo. — wall, ukuta wa udongo. —dy" mud,adjective,enye matope; liochafuka. —guard mud,noun,madigadi; (kwa baiskeli) panga muddle,noun,fujo; mkanganyo. v.t.i. chafua; fuja; tatiza; kanganya; tibua; vuruga; adong; boronga mufti,noun,mufti; nguo za kiria avazao mtu anayevaa sare mug,noun,magi; kopo. (collog.) baradhuli; mjinga; uso mulch,noun,matandazo; majani yanayotandazwa shambani mwa mche kuhifadhi unyevu mulch,verb transitive,weka matandazo mule,noun,nyumbu; baghala mulish,adjective,kadri; sufuwa multiple,noun,kigawe multiple,adjective,enye sehemu nyingi; a mara nyingi multiplicand,noun,kizidishi; hesabu ya kuzidishwa multiplication,noun,kuzidisha multitude,noun,wingi; umati; thel kaumu. multitudinous multitude,adjective,ingi; tele mummy,noun,mumiani; maiti iliyotiwa mumiani au dawa wa kuhifadhi maiti ili isiharibike; mama (hutumiwa hasa na watoto) mumps,noun,ugonjwa wa m a t u b w i t u b w i; matukwi; matu-mbwitumbwi munch,verb transitive/intransitive,tafunatafuna; guguña; mumunya municipal,adjective,a manispaa munitions,noun,zana za vita mural,noun,picha iliyochorwa ukutani mural,adjective,a ukutani murder,noun,uuaji wa mtu kwa kusudi murder,verb transitive,ua kwa kusudi murky,adjective,enye kiza murmur,noun,"mvumo, mnong'ono; maung'uniko" murmur,verb transitive,vuma; nonga; nunga'unika muscle,noun,misuli; msuli; mnofu; mkano. muscular muscle,adjective,a msuli; enye nguvu ya misuli museum,noun,makumbusho mushroom,noun,uyoga music,noun,"muziki. face the ~, kabili matatizo kijasiri" must,noun,"jambo la lazima. aux.v. hapana budi; sharti; lazima; yapasa. I ~ go, sina budi kwenda" mustard,noun,haradali; mharadali mutation,noun,ubadilishaji; mabadiliko wa ghafla wa muundo wa kikemikali wa jeni au kromo-somu katika seli za kiumbe mute,noun,bubu mute,adjective,kimya; bubu; siotamkwa mutilate,verb transitive,kata; haribu; kata kiungo cha mwili; lemazwa. mutilation mutilate,noun,kilema; ukataji mutiny,noun,maasi; uasi mutiny,verb intransitive,asi; halifu. mutineer mutiny,noun,mwasi. mutinous mutiny,adjective,a kuasi; halifu mutter,verb transitive/intransitive,nung'unika; sema chinichini mutton,noun,nyama ya kondoo mutual,adjective,a pande mbili; a wenyewe; a wote wawili muzzle,noun,pua na mdomo wa mnyama; kitunga; kitundu cha kasiba; mtutu wa bunduki au mzinga mystery,noun,siri; muujiza; fumbo. mysterious mystery,adjective,a siri; a muujiza; -sioelezeka mystify,verb transitive,fumba; tatanisha; tatiza. mystification mystify,noun,utatanishaji; kitu cha kutatanisha myth,noun,kisasili; ngano zinazoelezwa asili ya ulimwengu na vilivyo ndani yake; uwongo; jambo lililobuniwa muhtasari,adjective,a papo hapo; bila kukawia; a mara moja. -mation n. kujumulisha; jumla; muhtasari nail,noun,"kucha; msumari. on the ~, mara moja. hit the ~ on the head, sema au kufanya kama itakivyavyo" nail,verb transitive,"gongomea, pigilia the ~ eye, kwa macho angavu" naive,adjective,nyofu; sio na hila; jinga; shamba naked,adjective,"tupu; uchi; siofunikwa. with the ~, kwa macho angavu" name,noun,jina; sifa; mtu mashuhuri. call sb nape,noun,ukosi; kikosi napkin,noun,1. kitambaa cha kufutia mikono hasa mezani; winda; kitambaa avlishwacho mtoto mchanga kupitia mapajani kuzuia mkojo; 2. nepi narrate,verb transitive,"hadithia, simulia. narration" narrate,noun,masimulizi; usimulaji. narrative n./adj. masimulizi; hadithi; a masimulizi. narrator narrate,noun,msimuliaji narrow,adjective,"-embamba; dogo; a shida; chache; chupu chupu; finyu. a - escape, ponea chupuchupu" nasal,noun,nazali nasal,adjective,"a pua, -a puani; -a nazali" nasty,adjective,chafu; -a kuchukiza; -enye chuki; -enye hatari; -sio murua; bayana nation,noun,taifa native,noun,mwenyeji; mzalia native,adjective,"-enyeji; -a asili; -a kimaumbile. your ~ land, nchi yako ulipozaliwa" natural,adjective,-a asili; -a kawaida; -a maumbile; -a lazima; -a haramu nature,noun,ulimwengu; viumbe vyote; asili; nguvu za asili; hulka; maumbile; desturi; mzoea; jinsi; namna; aina naughty,adjective,tundu; tukutu. naughtiness naughty,noun,utundu; utukutu nausea,noun,kichefuchefu nautical,adjective,a baharia; a ubaharia naval,adjective,a manowari; a mwanamaji nave,noun,ukumbi wa kanisa au msikiti navel,noun,kitovu navigate,verb transitive,ongoza chombo; safiri baharini. navigable navigate,adjective,a kupitika kwa chombo; a kuwea kusafiri. navigation navigate,noun,usafiri wa angani au baharini; uongozaji vyombo baharini au angani. navigator navigate,noun,nahodha; baharia; miongoza njia navy,noun,jeshi la wanamaji; wanamaji near,adverb,karibu near,preposition,karibu na; karibu ya near,adjective,"a karibu; -a upande uliokuelekea; -a choyo; -a bahili; -nyimivu. a ~ escape, okoka kwa shida" neat,adjective,liopangwa vizuri; nadhifu; maridadi; -zuri; kavu nebulas,noun,(~e) jamii ya nyota nyingi ndogo kama wingu nebulous,adjective,kama wingu si wazi; si dhahiri necessarily,adverb,kwa lazima; sharti. necessitate necessarily,verb transitive,lazimisha necessary,noun,mahitaji muhimu wa lazima necessary,adjective,a lazima; a sharti; -a kujuuz; a wajibu necessity,noun,ulazima; haja; shida neck,noun,shingo; rasi nectar,noun,nekta maji yenye utamu katika maua ambayo nyuki hutengenezea asali need,noun,mahitaji; haja; matakwa; umaskini; ufukara; ukata need,verb transitive,"hitaji; taka. There is no ~ to hurry, hakuna haja kukimbiliza" needle,noun,"sindano; ncha. packing ~, shazia. magnetic compass ~, dira. thread a ~, tunga sindano" negative,noun,ukanaji; negativu; hasuo; uhasi; negative,adjective,a kukanusha; hasi neglect,noun,upuuzaji; uzembe; tetelekezaji; hali ya kutotunzwa neglect,verb transitive,totunza; toangalia; tojali; telekeza; tofanya; acha; puuza; zembea negotiate,verb intransitive/transitive,shauriana; jadiliana; patana bei; hadili kwa fedha; pita. negotiable negotiate,adjective,a kupitika; a kubadilishika; a kuwea kujadiliwa. negotiation negotiate,noun,majadiliano; mashauriano; mapa- negotiator,noun,mpatanishi; msuluhishi neigh,noun,mlio wa farasi neigh,verb intransitive,lia (kama farasi) neighbour,noun,jirani neither,adjective,"ote of the two - man lived, wote wawili hawakuishi" neither,pronoun,moja. I can see - siwezi kuona hata -moja neither,conjunction,"wala; si wala. -this nor that, si hili wala lile. We are not working - are they, sisi hatufanyi kazi wala wao hawafanyi" nematocyst,noun,"seliuzi: aina maalumu ya seli katika ngozi/nje ya baadhi ya wanyama katika ngeli selenterata, ambayo ina kifuko kilichojaa sumu ya kuulia mawindo yao au ya kujihami dhidi ya adui" nematode,noun,nematodi: mnyoo neolithic,adjective,neolithiki: a mwishoni mwa zama za mawe neon,noun,neoni: elementi gesi isiyo na rangi. -lamp taa ya neoni: taa ya mshumaa ambayo hutumia gesi ya neoni na ambayo hutoa mwanga mwekundu wakati umeme unapopitishwa ndani yake nephew,noun,"mpwa, yaani mtoto wa kiume wa dada au kaka" Neptune,noun,Neptuni: sayari ya nane katika mfumo wa jua nerve,noun,"1. neva: mkusanyiko wa nyuroni. 2. mshipafahamu: mshi'pa wa fahamu ambao hukamilisha mawasiliano baina ya mfumo neva mkuu na sehemu za mwili. -cell, nyuroni: mkusanyiko wa seli ambazo huunda tishu ya neva" nest,noun,kiota; mahali pa mapumziko; maficho net,noun,"wavu; nyavu; jarife; juya; kimia; mtego. mosquito ~, chandarua" net,verb transitive,(-tt-) vua kwa wavu; tega kwa wavu; funika kwa wavu neuron,noun,nyuroni: mkusanyiko wa seli ambazo huunda tishu ya neva neutal,adjective,sifoungamana na upande wowote; siopendelea upande wowote; sio na sifa bainifu neutrino,noun,nyutrino: punje ya kimsingi imara isiyokuwa na chaji yoyote ya umeme au masi tuli lakini yenye piamzunguko nusu neutron,noun,nyutroni: chembe zisizo na chaji zilizokatika nyuklia ya atomu never,adverb,kamwe; asilani; hata kidogo; hata. ~mind! haidhuru! well! -! lahuala! ~more never,adverb,si tena kabisa. ~theless never,conjunction,hata hivyo new,adjective,pya; ngeni; -a siku hizi; -a kisasa new,adverb,karibu news,noun,habari newton,noun,nyutoni: kizio cha kazi kinachofafanuliwa kuwa kani ambayo ikitumwa kwa masi ya kilogramu moja hupatia mchapuko wa mita moja kwa sekunde next,adjective,"enye kufuata, kando; jao" next,adverb,tena; baadaye next,preposition,karibu ya nexus,noun,kiungo; mfululizo nib,noun,nibu nice,adjective,-a kupendeza; -zuri; -ema; -a kuhitaji uangalifu; chaguzi; -teuzi nickel,noun,nikeli: aina ya madini nyeupe ngumu kama fedha nickname,noun,jina la utani; lakabu nicotine,noun,nikotini: sumu iliyomo katika tumbaku niece,noun,mpwa mwanamke night,noun,"usiku. make a ~ of it, kesha kwenye starehe. ~dress ~gown" night,noun,vazi la kulalia usiku nil,noun,"sifuri; bila. The result of the game was 3 - nil, matokeo ya mchezo yalikuwa goli tatu kwa bila" nimble,adjective,-epesi; -elekevu; hodari; (kwa akili) -kali. nimbly nimble,adverb,kwa wepesi nip,noun,"mminyo; mfinyo; mbinyo; mkato. a - in the air, baridi kali. vt./i. (-pp-) minya; finya; binya; nyakua; uma; haribu. - in the bud, haribu toka mwanzoni" nipple,noun,chuchu: kitu chenye umbo la chuchu nitrate,noun,nitrati: chumvi au esta ya asidi nitriki. nitric nitrate,adjective,nitriki: a nitrojeni; enye nitrojeni nitrogen,noun,nitrojeni: elementi gesi ambayo sio metali no,adjective,hapana; hakuna; hamna; haiwezekani; marufuku; siyo; si no,adverb,zaidi. int. la! hasha! hapana! no,noun,ufupisho wa number: namba; nambari noble,noun,sharifu; lodi noble,adjective,sharifu; a kilodi; bora; enye tabia nzuri; adilifu nocturnal,adjective,-a usiku nod,noun,ishara ya kichwa nod,verb transitive/intransitive,"(-dd-) inamisha kichwa; tikisa kichwa; sinzia; kubali. have a -ding acquaintance with, jua mtu juujuu tu. the land of -, ndoto; usingizi" node,noun,1. kifundo: sehemu ya wimbi ambapo tambo lina thamani ya sifuri. 2. fundo: sehemu ya shina ambapo majani huchipukia nodule,noun,tezi kwenye mizizi ya baadhi ya mimea ambazo hufuga bakteria watengenezao nitrojeni Noel,noun,Noeli; Krismasi noise,noun,kelele; ghasia; sauti; mlio; kishindo; myumo. -less adj. -a kimya. noisily noise,adverb,kwa kelele. noisy noise,adjective,-a makelele nomad,noun,mhamahamaji. nomadic nomad,adjective,a kuhamahama nominal,adjective,"-a jina tu; si halisi; -liotajwa; dogo; -a nomino. the - ruler, mtawala wa jina tu. a -rent, kodi ndogo tu. -ly adv. kwa jina; kwa maneno tu" nominate,noun,teua; chagua; pendekeza nomination,noun,uteuzi; pendekezo; chaguo nominee,noun,mtu aliyependekezwa; mteuliwa non-renewable energy,noun,nishati hulu: vyanzo vya nishati ambavyo havina mbadala kimaumbile vikishakutumiwa nonsensical,adjective,-a upuuzi noon,noun,adhuhuri; saa sita mchana nor,conjunction,wala normal,adjective,"-a kawaida; -a desturi; -a siku zote. above -, zaidi kuliko kawaida" north,noun,kaskazini; kibla north,adjective,-a kaskazini; -a kibla north,adverb,upande wa kaskazi. -ern adj. -a kaskazini. -wards adv. kuelekea kaskazi nose,noun,"pua. pay through the -, lipa thamani kubwa sana" nose,verb transitive/intransitive,"nusa; endelea mbele polepole. The ship -d its way through the ice, meli iliendelea polepole katika barafu. -dive v.i. anguka kichwakichwa. -gay n. shada la maua" nostril,noun,chochwe; tundu ya pua not,adverb,si; sio; hapana notable,noun,mtu mashuhuri notable,adjective,-a kujulikana sana; -enye sifa; mashuhuri. notably notable,adverb,hasa; zaidi. notability notable,noun,umashuhuri; mtu mashuhuri notch,noun,keo; pengo notch,verb transitive,piga keo; tia pengo note,noun,"ukumbusho; muhtasari; barua; noti; maoni; ishara; dalili; fahamu; sifa; cheo. A - of self satisfaction was heard in his speech, aliashiria kuridhika katika hotuba yake. of exclamation, alama ya mshangao hii (!). a family of -, familia bora. It is worthy of -, yafaa izingatiwe. Take ~ of what I say, fahamu vyema ninalosema" note,verb transitive,"angalia; ona; kumbuka; andika. set down, andika. noted" note,adjective,mashuhuri. -worthy adj. -a kufaa kuzingatiwa nothing,noun,"si kitu; hakuna kitu. come to -, tofaulu. make ~ of, toka kapa; toleewa. - but, tu" notice,noun,"tangazo, notisi; taarifa; uzingatiaji. give a servant a month ~: pa mtumishi notisi ya mwezi mmoja. Take no ~ of what they say, msiyatilie maanani maneno yao. v.t/i. angalia; ona" notify,verb transitive,tangaza; arifu; julisha. notifiable notify,adjective,ilolazimu kutangazwa. notification notify,noun,taarifa; tangazo; ilani notion,noun,wazo; dhana; fikira notorious,adjective,-enye kuvuma kwa ubaya; -enye sifa mbaya. notoriety notorious,noun,sifa mbaya; ubaya notwithstanding,preposition,licha notwithstanding,conjunction,ijapokuwa notwithstanding,adverb,"hata hivyo. - advice he went, ijapokuwa aliondwa bado alikwenda" nought,noun,si kitu; si neno; sifuri. come to ~ shindikana; tanguka; batilika noun,noun,(grammar) jina; nomino nourish,verb transitive,lisha; chunga; lea; stawisha; rutubisha; tunza moyoni nova,noun,nova; nyota ambavyo nuru yake huwa kubwa sana na baada ya muda hufifia novel,noun,riwaya novel,adjective,pya; geni November,noun,Novemba; mwezi wa kumi na moja wa mwaka wa kizunguzungu now,adverb,"sasa; mara moja; sasa hivi. - and again, and then, mara kwa mara. now then! now now! sasa" nowhere,adjective,"si popote. I went ~, sikwenda popote. The man is ~ to be seen, mtu mwenyewe haonekani mahali popote" nozzle,noun,nozzeli; kizibo cha chuma kilichounganishwa kwenye ncha ya reli ya mpira nuclear,adjective,-a kiini; nyuklia. ~ fission mwatuko nyuklia: utendaji wa kinyuklia unaosababisha kiini kizito cha atomu kumeguka katika sehemu mbili na kutoa nishati nucleic acid,noun,asidi kiiniishi: asidi muhimu iliyomo katika kila seli ya kiumbe hai yenye kuhifadhi na kuhamisha mfumo wa jeni nucleon,noun,"nyuklioni: kijenzi cha kiini cha atomu, yaani protoni au nyutroni" nucleus,noun,(nuclei) kiini; asili; chanzo nude,noun,uchi nude,adjective,-tupu; uchi; bila kuvaa nguo; bila mapambo nudge,noun,kikumbo nudge,verb transitive,piga kikumbo nudist,noun,mtu ahusuduye kukaa uchi nugget,noun,kipande cha dhahabu nuisance,noun,udhia; usumbufu; adha; kero numb,verb transitive,fanya ganzi numb,adjective,"-enye ganzi; -zito; -legevu. fingers ~ed with cold, vidole vilivyokuwa ganzi kwa baridi" number,noun,namba; numeral,noun,tarakimu; herufi ya hesabu; nyumerali numerator,noun,kiasi. numerical numerator,adjective,-a nambari numerous,adjective,-ingi sana nun,noun,mtawa wa kike nurse,noun,mlezi; yaya; muuguzi; nesi nurse,verb transitive,"ugza, nyonyesha; lea; tunza" nurture,noun,malezi; elimu; mafunzo nurture,verb transitive,lea; elimisha nut,noun,"kokwa; njugu; lozi; nati. ground ~, pea ~, njugu-nyasa; karanga, coco-, nazi, cashew-, korosho" nutmeg,noun,kungumanga; basibasi nutriment,noun,chakula bora nutrition,noun,lishe nutritious,adjective,rutubishi nylon,noun,nailoni nymph,noun,"tunutu; wadudu wachanga walio na maumbile yanayofanana na wazazi wao, ila hawajapevuka" oak,noun,mti aina ya mwaloni oar,noun,kasia; kafi oasis,noun,(oases) oasisi; mahali penye miti na chemchemi katika jangwa oath,noun,(~s) kiapo; yamini; laana; apizo oats,noun,"shayiri. sow one's wild ~, ponda maisha ujanaoni. oatmeal" oats,noun,unga wa shayiri obedience,noun,utii; usikivu. obedient obedience,adjective,-tiifu; -sikivu. obediently obedience,adverb,kwa utii obey,verb transitive/intransitive,tii; sikia; tumikia object,noun,"kitu; jambo; nia; kusudi; madhumuni; shabaha; kilolwa. an ~ lesson, somo lenye vielelezo vya vitu halisi. with no ~ in life, bila lengo lolote katika maisha. succeed in one's ~, timiza lengo. Money is no ~, lengo si fedha; fedha si kitu" object,verb transitive,kataa; bisha ping; zuia objective,noun,"lengo; shabaha. adj. bila upendeleo; -a kuhusu jambo. My advice is quite ~, nasaha yangu haina upendeleo. My statement on the purpose of the war is quite ~, tamko langu kuhusu vita halimlengi yeyote" obligation,noun,wajibu; faradhi; jukumu obligatory,adjective,-a lazima; faradhi; -a wajibu oblige,verb transitive,lazimisha; shurutisha; fadhili. obliging oblige,adjective,tayari kusaidia; karimu oblique,adjective,-a mshazari; -a kukingama; -a kuzunguka si wazi obliterate,verb transitive,futilia mbali; ondoa kabisa; haribu oblivion,noun,"hali ya kusahaulika kabisa; -a msaha yangu haina upendeleo. My statement on the purpose of the war is quite ~, tamko langu kuhusu vita halimlengi yeyote. sio na kumbukumbu; -liosahau kabisa" obscene,adjective,"(kwa maneno, desturi) -chafu; pujufu. obscenity" obscene,noun,maneno au matendo machafu; matusi ya wazi obscure,adjective,-a giza; -a kujificha; sioonekana wala kufahamika vyema; sijulikana vizuri obscure,verb transitive,tia giza; fumba; ficha. obscurity obscure,noun,giza; fumbo observe,noun,kuangalia; uangalizi; maoni; ugunduzi. observatory observe,noun,"mahali pa kuchunguzia sayari na nyota. -r n. mtazamaji; mchunguzi, mwa­ngalizi" obsess,verb transitive,"shika, shikilia, jaza katika akili au moyo. -ion n. tamaa; shauku isiyozuilika; kupagawa" obsolescent,adjective,liopitwa na wakati; -siofaa tena obsolete,adjective,-siotumika tena; -liopita wa wakati; -siofaa; kongwe obstacle,noun,kizuizi; pingamizi; kikwazo obstinate,adjective,-kaidi; bishi; -sugu; -nye inadi; -shupavu. -ly adv. kikaidi; kishupavu. obstinacy obstinate,noun,ukaidi; usugu; inadi obstruct,verb transitive,"zuia; pinga; kataza. - a bill in the parliament, zuia mswada bungeni. -ion n. uzui­aji; kizuizi; pingamizi. -ive adj. -a kuzuia; -a kupinga; -enye pingamizi" obtain,verb transitive/intransitive,nunua; pata; jipatia; kubalika; enea; tumika. -able adj. -a kupatikana obtrude,verb transitive/intransitive,jiingiza; jitia kati; jidukiza. obtrusive obtrude,adjective,-a kuingilia kati; -a kujidukiza obtuse,adjective,"butu; dugi; pumbavu. -angle, pembetubatu" obviate,verb transitive,ondoa; katiza; toa obvious,adjective,wazi; dhahiri; -a kuonekana; -a kueleweka occasion,noun,"fursa; wasaa; nafasi; sababu; haja; tukio. not an ~ for laughter, si wakati wa kucheka. rise to the ~, patia; onyesha uwezo unaohitajika. There's no ~ for you to lose your temper, huna sababu ya kukasirika" occasion,verb transitive,"sababisha; fanya; leta. He was late and this ~ed anxiety, alichelewa na jambo hilo lilileta wasiwasi. -al adj. mara moja; -a kufaa wakati fulani. -ally adv. pengine; mara mojamoja" occupy,verb transitive,"kalia; shika; miliki; chukua; shugulikia na kushughulisha; tumia; -wa na. He was occupied with his work, alishughulika na kazi yake. Many thoughts occupied my mind, nilishughulishwa na mawazo mengi. occupant" occupy,noun,mkaji; mwenyeji; mmiliki. occupation occupy,noun,utwaaji; umiliki; shuguli; kazi; biashara occur,verb intransitive,"(-rr-) tokea; pitikia akilini; wa. Which letter of the alphabet ~s most commonly?, herufi ipi hutokea mara nyingi katika alfabeti? to, pitikia akilini. -rence n. tukio; kadhia" ocean,noun,"bahari. -going, enye kusafiri baharini. -ography n. sayansi ya bahari. trench, handaki bahari; handaki refu jembamba lililopo chini ya bahari" octagon,noun,pembenane. -al adj. enye pembe nane october,noun,Oktoba: mwezi wa kumi wa mwaka wa kizungu octopus,noun,pweza ocular,adjective,"-a macho; kwa kuona; kwa macho. -proof, uthibitisho kwa macho" odd,adjective,"witiri; moja pasipo mwenzake; moja peke yake; -ngeni; -a ajabu; -a kuchekesha; -a mzaha; sio -a kawaida; -a muda mfupi; pamoja na -ngine liobaki. a hundred shillings and some cents, shilingi mia moja na senti kidogo. - jobs, kazi anuwai. at ~ times, nyakati za dhiki" odour,noun,"harufu; sifa; upendeleo. be in good ~ with, pendelewa ma" oesophagus,noun,umio: sehemu ya mfereji wa chakula iliyoko kati ya kinywa na tumbo of,preposition,-a; kwa; katika; kuhusu off,preposition,"katika; kwa; -ni; mbali na; juu ya; karibu na; iliochupuka kutoka. an island - the south coast, kisiwa karibu na pwani ya kusini. a small street - the main road, kiochoro kilichochupuka kutoka barabara kuu. -colour, one's food, bila tamaa ya chakula. -one's head, (slang) -enye wazimu" off,adverb,"mbali; si juu. -and on, mara mojamoja" off,adjective,"-a upande wa kuume. the ~ side, upande wa kuume. on the chance, kwa bahati. the ~ season, msimu wa shughuli haba. in one's ~ time, wakati wa mapumziko" offal,noun,matumbo ya mnyama; takataka offence,noun,"kosa; dhambi; uhalifu; hatia; chuki; uchungu; mashambulizi. weapons of ~, silaha za vita" offensive,noun,shambulio; mashambulizi offensive,adjective,"-a kuchokoza; -a kusumbua; -a kushambulia; -a kuanzisha vita; -a kuchukiza. take the offensive, anzisha vita. offensively" offensive,adverb,kivita; kiuchokozi offer,noun,ahadi; mwaliko; bei; zabuni; pendekezo offer,verb transitive,toa; tolea; toa bei; jitolea; -wa tayari; nunua; toa sadaka; tambika; zabuni offhand,adjective,sioandaliwa. ~adv. kwa haraka; bila maandalizi; bila kufikiri; ghafla office,noun,ofisi; wizara; idara; madaraka; cheo; dhamana; wajibu; kazi; fadhila; msaada; huduma official,noun,ofisa official,adjective,rasmi; -a serikali; -enye madaraka officiate,verb intransitive,fanya kazi kwa cheo fulani officious,adjective,-a kujidukiza; -a kujititia; -a kujingilia offshoot,noun,chipukizi; chipwi offspring,noun,mtoto; kizazi; kinda often,adverb,mara kwa mara; mara nyingi ohm,noun,"omu: kizio cha SI cha ukinzani sawa na uwiano kati ya volteji na mkondo umeme. Ohm's law, kaida ya Ohm: kaida inayoeleza kuwa volteji inayopita katika kipitishi ikiongezeka maradufu basi umeme unaopita katika kipitishi utaongezeka maradufu" oil,noun,mafuta oil,verb transitive,"tia mafuta, paka mafuta" ointment,noun,malihamu; dawa ya kuchua old,noun,zamani; kale old,adjective,-zee; kongwe; -enye umri wa; -a zamani; olive,noun,"mzeituni; zeituni. hold out the ~ branch, onyesha ishara ya amani" omelette,noun,kimanda; yai la kukaanga omen,noun,"ishara; dalili; njozi. a good ~, njozi njema. a bad ~, njozi mbaya. ominous" omen,adjective,-a ndege mbaya; -a kisirani; -a nuhusi omit,verb transitive,(tt-) acha; pitiliza; ruka; kosea. omission omit,noun,urukaji; upitilizaji; koseo; lioachwa omnipotence,noun,kudura. omnipotent omnipotence,adjective,"-enye kudura. The Omnipotent God, Mungu mwenye uwezo wa yote" omniscient,adjective,"-a kujua yote. The ~ God, Mungu mjuzi wa yote. omniscience" omniscient,noun,ujuzi wa yote omnivorous,adjective,-enye kula chochote on,preposition,juu ya; katika; -ni; kuhusu; kwenye on,adverb,juu; mbele once,adverb,mara moja; hapo kale; hapo nyuma; wakati fulani; mara tu one,adjective,-moja; -a kwanza; fulani one,pronoun,"moja; mojawapo; fulani; mtu. - by ~, moja-moja. It's all ~ to me, ni mamoja kwangu. -self pron. mwenyewe. please -self, jifurahisha. -sided adj. -a upande mmoja; -a upendeleo. -a argument, hoja zinazopendelea upande mmoja" onerous,adjective,-enye kuhitaji jitihada nyingi -a kutaabisha onion,noun,kitunguu maji onlooker,noun,mtazamaji only,adjective,tu; -a pekee only,adverb,tu; basi only,conjunction,ila; lakini; isipokuwa ooze,noun,matope; kinamasi ooze,verb intransitive,"vuja; tona; tiririka. (fig.) Their courage ~d away, uhodari wao uliyeyuka" opacity,noun,hali ya kutopitisha nuru; utatanishi wa maana opaque,adjective,-siopitisha nuru; -enye utatanishi wa maana opaque,adjective,buye. -enye tabia ya kuttoruhusu nuru kupita open,noun,nje open,adjective,"wazi; -siozingirwa; -siofunikwa; -sio tigua; -sio kizuizi; -liochanua in the ~ air, nje. with ~ arms, kwa mikono miwili. an ~ boat, mashua isiyo na sitaha" opera,noun,opera; mchezo wa kuigiza operate,verb transitive/intransitive,endesha; tenda kazi; pasua; fanya operesheni; fanya manuva operation,noun,"utendaji; upasuaji; kazi; shughuli; ukokotoaji; operesheni; kampeni. come into operation, anza kufanya kazi; tumika. operative" operation,noun,"mfanyakazi, fundi mitambo" operation,adjective,-enye kutenda kazi; -enye kutumika -a nguvu za opinion,noun,maoni; wazo; dhana. get a lawyer's ~ pata ushauri wa mwanasheria. -ated adj. -shupavu; -enye kushikilia maoni yake opium,noun,afyuni; kasumba; aina ya dawa ya kulevya itokanayo na mmea uitwao mpopi opose,verb transitive,pinga; kataa; shindana opponent,noun,mshindani; adui; mpinzani opportune,adjective,-a kufaa; -liotokea -lipohitajika; -a wakati muafaka opportunity,noun,nafasi; wasaa; fursa opposite,adjective,-enye kukabiliana; kinyume; -enye kuelekeana; opposition,noun,"upinzani; ushindani; uelekeanaji. the opposition, kambi ya upinzani" oppress,verb transitive,"dhulumu; kandamiza; onea; taabisha. -ion n. udhalimu; ukandamizaji; mateso. -ive adj. dhalimu; -kandamizaji; -a kutesa. -zito -a tabu. -or n. mkandamizaji, dhalimu" optic,adjective,"-a macho. -al adj. -a macho. -al fibre, fiba maonzi: fiba ndefu nyembamba ya kioo ambamo mwangaza unaweza kupita na kupoteza kiasi kidogo sana cha mng'aro wake" optimism,noun,imani ya matumaini mema. optimist optimism,noun,mtu mwenye imani ya matumaini mema. optimistic optimism,noun,-enye imani ya matumaini mema option,noun,chaguzi; hiari; haki ya kutenda; chaguo. -al adj. -a hiari; si a lazima or,conjunction,au; ama; kama sivyo; la sivyo oracle,noun,mzimu; uaguzi; kahini; mwaguzi; mshauri; mtu mwenye hekima. oracular oracle,adjective,-a mizimu; -a uaguzi; -a hekima; -a fumbo oral,adjective,"-a mdomo, -sioandikwa; simulizi; -a kusemwa" orange,noun,"chungwa, - tree, mchungwa; danzi" orange,adjective,-a rangi ya chungwa. -ry n. shamba la michungwa oratory,noun,ufasaha wa kusema orbit,noun,"mzunguko; mzungo. the earth's ~, round the sun, mzungo wa dunia kuzunguka jua" orchard,noun,shamba la miti ya matunda orchestra,noun,"okestra: kundi la watu wapigao muziki kwa pamoja. -pit, ukumbi wa wapiga muziki kwenye thieta. orchestral" orchestra,adjective,-a okestra ordeal,noun,"mateso; majaribu. by fire, jaribu la moto. trial by ~, mtihani wa majaribu" order,noun,"taratibu; mpango; usahihi; usawa; amani; utulivu; nidhamu; amri; agizo; aina; jinsi; cheo; tabaka; daraja; upadri; chama cha wacha kanuni; oda; maagizo; hundi; hati; madhumuni; kusudi; kibali. by ~ of the president, kwa amri ya rais. goods on ~, bidhaa zilizoaagizwa. in ~ that, ili. the holy ~s, wa padri" order,verb transitive,amuru; agiza; panga. -ly n. mhudumu wa hospitali; askari mtumishi order,adjective,-enye adabu; -enye taratibu; makini; -a amani ordinary,adjective,"-a desturi; -a kawaida. out of the ~, si a kawaida. ordinarily" ordinary,adverb,aghalabu; mara nyingi; kwa kawaida; kwa desturi ordination,noun,kufanya kasisi ore,noun,"mbale: mawe yenye madini. - body, mbalekwimbi: kiasi kikubwa cha mbale za madini ghafi" organ,noun,chombo; kinanda; ogani: sehemu ya mwili wa kiumbe hai ifanyayo kazi maalumu. the -s of speech viungo vya matamshi organization,noun,mfumo; utaratibu; mpangilio; chama; shirika. organize organization,verb transitive,tunga; anzisha; simamia; andaa; pangaratibu organize,verb transitive,tunga; tengeneza orgasm,noun,kilele cha hamu wanachofikia viumbe katika kujamiiana orient,noun,nchi za mashariki orifice,noun,tundu; mlango; kipenyo origin,noun,asili; mwanzo; chimbuko; chanzo; wazazi; ukoo; jadi; nasaba; sababu. original origin,noun,lugha ya kwanza ya utungo; asili mbunifu; mtu wa mtindo wa pekee origin,adjective,~a kwanza; ~a asili; pya; enye akili za kubuni; bunifu. ~ate v.t/i. anza; anzisha; tokana; umba; tunga ornament,noun,"pambo, madoido, urembo. v.t/i. pambo, remba; tia madoido" orphan,noun,yatima orphan,verb transitive,fanya yatima orthodox,adjective,enye imani kamili; sahihi; barabara; halisi orthography,noun,tahajia osmosis,noun,"osimosisi; mfyono, mnyonyo, mnyweshelezo wa uoevu" ostentation,noun,majivuno; fahari; ushuafu ostentatious,adjective,shaufu; a mikogo; a kujidai ostracize,verb transitive,"fukuza nchini, tenga toka kwenye jamii, tenganisha" ostrich,noun,mbuni otter,noun,mnyama anyoyesheaye anayeshi mtoni na nchi kavu ambaye hula samaki ounce,noun,wakia; aunsi out,adverb,nje. ~of out,preposition,kutoka kwa outbreak,noun,mripuko; kuanza kwa nguvu outburst,noun,kutoka kwa ghafla; mripuko outcome,noun,matokeo outcry,noun,makele; mayowe; kilio outdo,verb transitive,"pita; shinda; zidi; fanya vyema zaidi. He was not to be ~ne, hakutaka kushindwa" outfit,noun,zana kwa kazi maalumu; sare ya kazi maalumu outgrow,verb transitive,kua sana; pita kwa kukua upesi; acha kwa vile umeshakua outlaw,noun,haramia; mhalifu outlaw,verb transitive,haramisha; fukuza kwenye jamii outlay,noun,gharama; matumizi outlet,noun,"mlango; tundu la kutokea maji, mvuke, etc.; fursa ya kutoa dukuduku" outline,noun,mstari wa kuonyesha umbo au mpaka; muhtasari. a map in ~ ramani ya mistari outline,verb transitive,chora mstari; eleza kwa muhtasari outlive,verb transitive,ishi au dumu kuliko; dumu hata jambo lisahauliwe outlook,noun,mandhari; matarajio; mtazamo; msimamo output,noun,uzalishaji; habari zitokazo kwenye kompyuta outrage,noun,tendo la ukatili au jeuri; tendo la kufedhehesha outrage,verb transitive,tenda uovu; halifu outright,adverb,"mara; papo hapo; moja kwa moja. He killed him ~, alimuua papo hapo" outright,adjective,-a wazi outset,noun,mwanzo. at the ~ mwanzoni. from the ~ toka mwanzo outskirts,noun,kiunga cha mji; kando; pembezoni outspoken,adjective,-enye kusema vilevyo; -nyofu outstanding,adjective,"-liyojipambanua; -liobaki, -siolipwa; liosalia; -lipo" outward,adjective,upande wa nje; -a usoni; -a kuonekana; -a kuelekea nje. -(s) outward,adverb,kuelekea nje; usoni. -ly adv. kwa juu juu; kwa nje outwit,verb transitive,(-tt-) shinda kwa akili au ujanja ovary,noun,ovari: oval ovation,noun,shangwe; vifijo; makofi ove,verb transitive,"wiwa; -wa na deni; wajibika; paswa; pata kwa; tokana na. He ~s me money, namwia; namdia. (fig.) I ~ my success to hardwork, kufanikia kwangu ni kwa jitihada zangu. I ~ loyalty to my president, napaswa kumtii Rais wangu" oven,noun,jiko; oveni over,noun,"(katika kriketi) idadi ya mipira inayotupwa mfululizo. adv./prep. juu; juu ya; zaidi; kupita; zaidi ya; kuhusu. - and above, zaidi. - polite, -enye adabu kupita kiasi. -tired, -liochoka kupita kiasi. -do v.t. (-did -done) fanya kupita kiasi; piga chuku" overall (s),noun,ovaroli; bwelauti overboard,adverb,"kutoka chomboni. fall ~, anguka baharini" overcoat,noun,koti kubwa la kuvaa juu ya nguo nyingine overcome,verb transitive,"(overcame, overcome) shinda; pita; weza; dhoofisha; thibiti" overdraft,noun,ovadrafti: deni katika akaunti ya benki overdue,adjective,-a kuchelewa; -a kupitiliza muda overgrown,adjective,"liokua upesi zaidi; -liofunikwa kwa majani. garden beds with weeds, matuta yaliyo funikwa na magugu" overhang,noun,sehemu iliyotokeza overhang,verb transitive/intransitive,(-hung) tokeza juu ya; elekea kutokeza overhaul,noun,ukaguzi wa jumla; utengenezaji overhaul,verb transitive,chunguza kwa makini; suka upya overhead,adjective,"a. juu; a. uendeshaji. -expenses, gharama za uendeshaji" overhead,adverb,"juu ya kichwa. the stars ~, nyota mbinguni" overhear,verb transitive,(overheard) sikia bila kukusudia; dukiza overlap,noun,sehemu inayolingana: kitu kilicho juu ya overlook,verb transitive,"tazama kutoka juu; toangalia; samehe; simamia; togundua; totolia maanaani. - an error, samehe kosa" overnight,adverb,usiku kucha overnight,adjective,-a usiku kucha; -a ghafla sana overpower,verb transitive,shinda; tiisha overrule,verb transitive,tangua; batilisha overrun,verb transitive,"(overran, overrun) enea; tanda; pitiliza muda uliopangwa. The weeds have ~the whole garden, magugu yameneea bustani yote" overseas,adjective,"-a ng'ambo; a nje; -a ughaibuni. go ~s, enda ng'ambo" oversee,verb transitive,"(oversaw, overseen) simamia; angalia" oversight,noun,usimamizi; uangalizi; koseo; usahualifu oversleep,verb intransitive,lala mno; chelewa kuamka; pitiliza usingizi overt,adjective,-a wazi; -a hadharani overtake,verb transitive,(over-took overtaken) pita; kuta; pata kwa ghafla overthrow,verb transitive,"(overthrew, overthrown) shinda angamiza; angusha; pindua" overthrow,noun,maangamizi overwhelm,verb transitive,gharikisha; angamiza; shinda kabisa; funikiza; funika oviduct,noun,kirijavoya: jozi ya virija ambavyo hutokea kwenye tungu la mwili kwenda nje kwa majike na hatimaya kazi ya kuisafirisha na kulisha ova ovipositor,noun,ovipozita: ungo kwenye ncha ya nyuma ya wadudu ambapo mayai hutolewa yanapotagwa ovulation,noun,uovishaji: uzalishaji au utoaji mayai kutoka kwenye ovari ovule,noun,chembe kikigimba kinachokuwà na kifuko cha kiinitete na kwa hivyo seli ya kike baada ya utungishaji hukua na kuwa mbegu ovum,noun,ova: gameti ya kike kwa wanyama inayotolewa na ovari owl,noun,bundi; babewatototo own,adjective,"enyewe, my ~, angu. your ~, ako" own,verb transitive,miliki own,verb intransitive,kiri; tambua ox,noun,(-en) ng'ombe; maksai oxidation,noun,"uoksidishaji: utaratibu wa kuongeza oksijeni, kupunguza hidrojeni au elektroni kwenye kemikali yoyote au madini" oxide,noun,oksaidi: kampaundi yoyote ya oksijeni na elementi nyingine. oxidize oxide,verb transitive/intransitive,ung'anika au unganisha na oksijeni oxygen,noun,"oksijeni: hewa safi isiyo na harufu, rangi wala ladha" oyster,noun,chaza; kombe ozone,noun,ozoni: aina ya oksijeni yenye atomu tatu kwenye molekuli na ina harufu inayolingana na ile ya klorini pace,noun,"hatua; mwendo wa kutembea au kukimbia. keep ~with (sb.), enda sambamba na. v.t/i. tembea polepole; pima kwa hatua; pima mwendo wa mkimbiaji katika mashindano" pacific,adjective,-a amani; tulivu; pole pack,noun,mzigo; mtumba; robota; furushi; bunda; genge; kundi; jozi ya karata. ~ing fukuza pad,noun,1. pedi; kinga; mamba ya kitambaa laini kitumikacho kunyonya vitu vya majimaji; fungu la karatasi za kuandikia. 2. pedi ya wino wa muhuri. 3. unyayo laini wa mnyama. 4. jukwaa la kurushia makombora; 5. mto mdogo. 6. kata pad,verb transitive,tia pedi ili kukinga paddle,noun,kafi; kasia. v.t/i. piga kafi; tembeatembea majini paddy,noun,mpunga padlock,noun,kufuli padlock,verb transitive,funga kwa kufuli padre,noun,kasisi; padiri page,noun,ukurasa; laha; mtoto mtumishi; tarishi page,verb transitive,tia namba za kurasa pail,noun,ndoo pain,noun,maumivu; uchungu; huzuni; sikitiko paint,noun,rangi; dalia. v.t/i. paka rangi; chora picha ya rangi; remba; fafanua habari pair,noun,"jozi; pea; doti; mume na mke. a ~ of shoes, pea ya viatu. a ~ of scissors, mkasi. a ~ of trousers, suruali. a ~ of spectacles, miwani. in ~s wawili wawili; mbili mbili; etc" palace,noun,ikulu; kasri; hekalu; jumba kubwa palaeolithic,adjective,paliolithiki: a enzi ya zana za mawe palaeontology,noun,paleontolojia: elimu ya viumbe vilivyomo ardhini vilivyogeuka kuwa mawe miaka mingi iliyopita palatable,adjective,tamu: a kupendeza hasa kwa kula; a kukubalika palate,noun,kaakaa; maonjo. soft ~ kaakaa laini. hard ~ kaakaa gumu palatial,adjective,a kasri; a jumba kubwa; a anasa pale,adjective,-liokwajuka; ranga; enye rangi nyepezi palisade cells,noun,seli palisadi: seli za jani zenye kloroplasti nyingi ambamo usanisi mwanga hutendeka pallet,noun,godoro la majani makavu palm1,noun,1. kiganja; kitanga cha mkono; gao palm1,verb transitive,fumbata palm2,noun,"mti wa jamii ya mnazi, mvumo, etc; date ~ mtendematawi" palpitate,verb intransitive,pigapiga; puma; tetemeka. palpitation palpitate,noun,kihererehe au mpapatiko wa moyo pamper,verb transitive,dekeza; endekeza pamphlet,noun,kijitabu; kabrasha pan1,noun,chungu; sufuria; chuma; kikaango. frying ~ kikaango pancreas,noun,kongosho: tezi iliyo karibu sana na tumbo ambayo kazi yake ni kutengeneza vimeng'enya kadhaa ambavyo husaidia kumeng'enya chakula pane,noun,kioo cha dirisha panel,noun,penteri; paneli; jopo; kundi la wanenaji wakuu katika majadiliano pang,noun,kichomi; maumivu makali ya ghafla panic,noun,hofu ya ghafla. stricken panic,adjective,-lioshikwa na woga mkuu wa ghafla pant,noun,utwetaji; uhemaji. v.i/t. tweta; hema; kukutika pantry,noun,stoo ya vyombo vya kulia; stoo ya chakula papa,noun,(neno la kitoto) baba paper,noun,karatasi; gazeti; hati; risala; taarifa; makala; maswali ya mtihani paper,verb transitive,bandika karatasi ukutani; kitanika kwa karatasi papyrus,noun,mafunjo; aina ya karatasi za kizamani huko Misri par,noun,"wastani; kiwango cha kawaida. on ~ with, sawa na" parable,noun,fumbo; hadithi ya fumbo yenye maadili parabola,noun,parabola: mchirizo bapa unaofanywa kwa kukata pia kwenye bapa sambamba na upande wake. parabolic parabola,adjective,parabola: enye kuhusiana au kufanana na pidadfu parachute,noun,mwavuli; parachutist,noun,mtu arukaye kwa parachuti; askari wa parachuti parade,noun,"gwaride; paredi; maonyesho; fahari; njia ya kutembelea pwani au bandari. ground, uwanja wa gwaride. make a ~ of one's virtues, jaribu kuvavutia watu kwa kujionyesha" parade,verb transitive/intransitive,"panga kwa ajili ya gwaride; pangana; andamana; tembeza; onyesha. He ~s his strength on every occasion, aonyesha nguvu zake kila wakati" paradise,noun,"peponi; mahali pa raha. the gate of ~, nyota ya jaha" paradox,noun,kweli iliyokama uwongo; kitendawili; neno linaloonekana kama kinyume kumbe ni sahihi; fumbo la maneno paraffin,noun,mafuta ya taa paragraph,noun,aya; ibara parallel,noun,"mfano; kifani; mlinganisho; msambamba. circuit, saketi sambamba; vipenzi vya saketi vilivyounganishwa kwa kuelekeana. of latitude, msambamba wa latitudo" parallel,adjective,sambamba; a kulingana; sawa parallel,verb transitive,fananisha; wa sambamba paralyse,verb transitive,poozesha; pooza; duwaza; fadhaiisha paralysis,noun,kiharusi; maradhi ya baridi; upoozaji paralytic,noun,/adj. mtu aliyepooza parameter,noun,parameta; kigezo; mfiko paramount,adjective,kuu; kubwa parapet,noun,ukingo au ukuta mfupi pembeni mwa daraja parasite,noun,kimelea; kupe; mnyonyaji. parasitic parasite,adjective,enye kunyonga. -enye kuishi kwa kudusa. parasitism parasite,noun,uemela: hali ambapo kiumbe mmoja huishi kwa kumtegemea mwingine parcel,noun,"kifurushi. part and ~ of, sehemu muhimu ya" parcel,verb transitive,"(-ll-) out, gawanya; gawa katika mafungu" parch,verb transitive,ungua; tia joto; kausha; choma pardon,noun,msamaha; samahani pardon,verb transitive,samehe parent,noun,mzazi. -age n. nasaba; ukoo; uzawa. of unknown ~age -siojulikana ukoo halisi parenthesis,noun,"mabano; alama hii () au hii {} au hii []. in ~, katika mabano. parenthetic(al)" parenthesis,adjective,a mabano; a katika mabano parish,noun,parokia; mtaa. -ioner n. mkazi wa parokia park,noun,"bustani; mbuga; kiwanja cha kuweka silaha za vita. car ~, maegesho ya gari. national ~, mbuga ya taifa" park,verb transitive,"egesha. -ing n. maegesho. a lot, maegesho" Parkinson's disease,noun,ugonjwa wa kutetemeka au kukutakutika Parkinson's law,noun,nadharia kwamba kasi ya kazi hufuatana na muda uliotengwa parliament,noun,bunge. -arian n. mbunge. -ary adj. -a bunge parlour,noun,sebule; ukumbi; chumba cha wateja parody,noun,mwigo wa kubeza parody,verb transitive,iga kwa kubeza parrot,noun,kasuku; mtu aigaye kikaksuku parrot,verb transitive,iga kikaksuku parse,verb transitive,changanua; pambanua maneno kisarufi parsley,noun,kotimiri; aina ya parsnip,noun,aina ya mboga kama kiazi part,noun,"sehemu; kipande; kiasi; janibu; nafasi; wajibu; upande; aina. on my ~, kwa upande wangu. on the ~ of Asha, kwa upande wa Asha. take ~ in, shiriki; act ~ in play, igiza katika mchezo. take sb.'s ~, unga mkono. take sth in good ~, kubali bila kinyongo. (grammar) ~s of speech, aina za maneno. v.tadv. ~ muda maalumu. ~ial adj" partake,verb intransitive,"(partook, partaken) shiriki; onja; chukua sehemu ya; -wa na sifa fulani" participant,noun,mshiriki participate,verb intransitive,shiriki participation,noun,ushiriki participle,noun,badiliko la kitenzi kuonyesha hali inayoendelea present ~ wakati uliopo; hali ya kuendelea particle,noun,chembe; (grammar) kishirikishi particular,noun,habari kwa ukamilifu; odh. s. eleza kwa urefu particular,adjective,"mahsusi; maalumu; -a pekee; -aaguzi; -angalifu. He's very ~ in what he eats, ni mchaguzi sana kwa chakula chake. in ~, hasa" particularize,verb transitive,taja -moja -moja; orodhesha; pambanua. ~ly adv. zaidi; hasa partisan,noun,"mfuasi mwenye ari, mpiganaji mzalendo" partner,noun,mshirika; mwenza; mbia; patna partner,verb transitive,wa mbia partridge,noun,kwale parturition,noun,kuzaa; tendo la kutoa mtoto kutoka tumboni party,noun,"chama; mtu mmoja miongoni mwa wengi; jopo; dhifa; karamu; pati. the ~ system, mfumo wa utawala kwa vyama vya siasa. one ~ system, mfumo wa chama kimoja. multi ~ system, mfumo wa vyama vingi. put public interest before ~, weka mbele maslahi ya umma kuliko chama. He was a ~ to their actions, alishirikiana nao" pascal,noun,paskali; kizio cha kanieneo sawa na nyutoni moja kwa kila mita ya eneo pass,noun,kufaulu mtihani; pasikibali; pasipoti; njia nyembamba. v.t/i. pita; pitisha; ruka; malizika; pa; tawanya; idhinisha; kubali; -fa; tokea; fanyika; pasia; zidi passable,adjective,"(kwa njia, etc.) a kuendeka; a kupitika; a kadiriki; wastani. ~ably adv. kwa kupitika; kwa kiwango cha wastani. ~age n. upitaji; njia; safari; mlia; dodondo; fungu la maneno. ~ the ~ of times, kupita kwa wakati. book one's ~ to" passenger,noun,abiria; msafiri passion,noun,hisia kali; hamaki; uchu passive,adjective,-a kutoonyesha hisia; -a kukaa tu; baridi passivity,noun,hali ya kutoonyesha hisia; uvumilivu passover,noun,pasaka; ni sherehe ya Kiyahudi kukumbuka kukombolewa kwa Wayahudi toka utumwani Misri past,noun,zamani; wakati uliopita; mambo yaliopita zamani past,adjective,-a zamani; iliyopita paste,noun,lahanu; gundi; unga uliopondwa; vyakula vilivyopondwa; vitobandia paste,verb transitive,gandamisha; ponda kuwa laini pasteurize,verb transitive,ondoa vijidudu vya maradhi katika maziwa kwa kupasha moto pastry,noun,unga uliopondwa pasture,noun,malisho pasture,verb transitive,chunga. pasturage pasture,noun,machunga; malisho pat,noun,kifoki; kibonge cha siagi pat,verb transitive,pigapiga pata,noun,mkutano; pambano; pigano patch,noun,"kiraka; plasta; pechi; kidoa; kikatao. not a ~ on, haifikii hata kidogo" patch,verb transitive,tia kiraka patella,noun,kilegeambavu; kipaji; kifupa kidogo cha bapa na mviringo katika kiungo cha goti patent,noun,hati; kibali rasmi kinachotolewa kwa kutengeneza au kutuza bidhaa fulani; namna mpya ya kutengeneza bidhaa patent,adjective,"dhahiri; wazi; bayana; enye kulindwa na serikali -sigewe na wengine; -a asili; -a akili. defect, dosari alahiri. letter ~, amri ya serikali ya kuruhusu utengenezaji wa kitu na kukilinda kisiigwe na wengine" paternal,adjective,-a kuumeni; -a baba; -a kama baba paternity,noun,ubaba; kuumeni path,noun,(wa mti) njia pathetic,adjective,-a kutia huruma pathogen,noun,pathojeni: kiumbe ambacho huleta ugonjwa katika mwili wa kiumbe kingine pathological,adjective,-a patholojia; -a maradhi pathologist,noun,mwanapatholojia pathology,noun,patholojia: sayansi ya magonjwa patience,noun,subira; uvumilivu; ustahamilivu; mchezo wa karata wa mtu peke yake patient,noun,mgonjwa; mwele patient,adjective,stahamili; -enye subira patriot,noun,mzalendo. -ic adj. -a uzalendo. -ism n. uzalendo patrol,noun,doria; vyombo vya doria; watu wa doria. vt./i. (-ll-) fanya doria patron,noun,mlezi; mteja wa kila siku dukani; mfadhili. ~ize vt. lea; linda; a mteja wa kudumu patter,noun,"1. vishindo vidogovidogo vya mfululizo: the ~ of rain on a roof, vishindo vya mvua kwenye paa. 2. kiwizi; lugha ya kikundi cha watu fulani. vi/t. fanya vishindo vidogovidogo kama mvua; sema upesiupesi" pattern,noun,kiolezo; ruwaza; ruwazi; sampuli; nakshi; mkondo; mwelekeo; mpangilio pauper,noun,maskini; fukara; mkata; ombaomba; lofa. ~ize vt. fukarisha pause,noun,"kikomo; kituo; kipumziko; mapumziko. give ~ to, fanya mtu asite na afikiri kwanza" pause,verb intransitive,pumzika kidogo; sita; tua kwa muda pavilion,noun,banda la maonyesho; kibanda cha wachezaji na watazamaji paw,noun,unyayo wa mnyama mwenye makucha. vt. parua; papasa pawn1,noun,kitunda; (fig.) kibaraka pawn2,noun,rehani; uwekaji rehani pawn2,verb transitive,"weka rehani. His watch is in ~, saa yake ameiweka rehani" pay,noun,"malipo; mshahara; ujira; haki. vt./i (paid) lipa; fidia. • for, lipia; adhibiwa kwa. • attention, angalia; sikiliza. • a visit, zuru. • a compliment to sb, salimu; sifu out, (kwa kamba) legeza polepole. ~able" pay,adjective,~e ee pay,noun,mlipwaji pea,noun,njegere; mbaazi; choroko; dengu; adesi; kunde peace,noun,amani; salama; raha; utulivu. ~pole ably peace,adverb,kwa amani peacock,noun,tausi peak,noun,kilele; upeo; kikomo pear,noun,pea; piasi/peasi; aina ya tunda lenye nyama laini na majimaji. ~tree mpera pearl,noun,"lulu. white, nyeupe" peasant,noun,mkulima mdogo pebble,noun,mbwe; changarawe peck,noun,"dono; udonoaji; busu la haraka. vt./i. dono; gogota; anjonga. (collog.) ~ at one's food, la chakula kidogo" pecked,adjective,enye kutawaliwa na mkewe peculiar,adjective,geni; a ajabu; a peke yake; a vili hasa; zaidi; kigeni; kijabu pedal,noun,pedeli. v.t./i endesha kwa pedeli pedestrian,noun,mwenda kwa miguu pedestrian,adjective,a kwenda kwa miguu; (kwa maandishi au hotuba) siovutia. ~crossing kivuko cha waenda kwa miguu barabarani peel,noun,ganda; gamba peel,verb transitive,menya; chuna; papatua; bambua peel,verb intransitive,banduka; chunika peep,noun,"budi; kuchungulia; mapambazuko. vi. chungulia; piga budi; onekana; chomoza. The sun ~ed out from the clouds, jua lili chomoza kidogo tu" peer,noun,mwenza; rika; aliye sawa kwa cheo etc peg,noun,"kigingi; mambo; kibanio; hesi; hoja; kisa; sababu; pegi. a square ~ in a round hole, mtu asiyeweza kwa kazi afanyayo. v.t./- (gg-) pigilia vigingi; weka kimasharti; bei au malipo. -away at. fanya kazi sana. -out, (colloq.)-fa; kata kamba" pelican,noun,ndege aitwaye mwari pelt,noun,ngozi ya mnyama ikiwa na manyoya; kasi pelt,verb transitive/intransitive,1. shambulia kwa kutupia vitu. 2. nysesha kwa nguvu. at full ~ mbio sana; haraka iwezekanavyo pen,noun,kalamu ya wino mwandiko; kazi ya uandishi pen,verb transitive,"(nn-) andika barua, etc" pen,noun,zizi; ua; tunduu kizimba pen,verb transitive,"(-nn-) fungia. -sb up, fungia ndani" penal,adjective,"-a adhabu, servitude, kazi ngumu. -ize v.t. adhibu; tia hatiani; one" penance,noun,toba pencil,noun,penseli pencil,verb transitive,"(-ll-) andika kwa penseli. sharpener, kichongeo. eyebrow ~, wanja wa penseli" pending,adjective,siokwisha bado pending,preposition,mpaka; wakati wa; kabla pendulum,noun,"penduli; mizani ya saa; timazi. compound ~, penduli changamano. simple ~, penduli sahili" penetrate,verb transitive,ingia; penya; enea; (fig.) fahamu penetrating,adjective,-elekevu; enye akili nyingi; -enye kupenya penetration,noun,upenyaji; uingilaji; welekevu; nguvu ya kupenya penguin,noun,pengwini; ndege wa maji mwenye miguu mifupi asiyeweza kuruka juu penicillin,noun,penisilini; aina ya dawa itengenezwavyo kutokana na kuvu peninsula,noun,rasi; mkono wa nchi; sehemu ya ardhi iliyojingiza/tokeza baharini au ziwani penis,noun,uume; dhakari; mboo penniless,adjective,fukara penny,noun,"(pennies, pence) peni; sarafu ya Kiingereza" pension,noun,pensheni; kiinua mgongo; malipo ya uzeeni pension,verb transitive,lipa pensheni pensive,adjective,-liyezama katika mawazo; enye kufikiri kwa makini pentagon,noun,pembetano penumbra,noun,kivuli chepesi; kisuka people,noun,watu; jamii; taifa; kabila; wananchi; jamaa; ndugu people,verb transitive,jaza watu pep,noun,"(slang) nguvu; bidii; msisimko. pill, kidonge cha kuchangamsha mwili. put some ~ into sb., hamasisha mtu" pepper,noun,"pilipili corn ~, pilipili manga. red ~, pilipili hoho" pepper,verb transitive,"tia pilipili. -sb. with stones, rushia mtu mawe. -sb. with questions, lenga mtu maswali" peptide,noun,pepetidi; msombo wa asidi amino ulioundwa kwa jozi moja au zaidi na hivyo kufanya mnyororo per,preposition,kwa kila -moja percentage,noun,asilimia: uwiano wenye kuchukua namba 100 kuwa ndio msingi; sehemu perception,noun,uono; utambuzi. perceptive perception,adjective,ng'amzi; tambuzi perch,noun,kitulio cha ndege; wadhifa wa juu. Nile (samaki) sangara perch,verb transitive/intransitive,tua; kaa juu ya; wa juu ya percolate,verb transitive,(kwa viowevu) penya; penyeza; chujua; vuja percolator,noun,kichujio; chujio; kung'uto; mashine ya kutengenezea kahawa percussion,noun,mgongano; ugonganishaji. -ist n. mpiga ngoma perennial,adjective,-a kudumu; -a kuishi zaidi ya miaka miwili perfect,adjective,kamili; -zima; salihi; safi; bila kasoro; timilifu perfect,verb transitive,kamilisha. -ion n. uepo; ukamilifu; ustawi perforate,verb transitive,toboa; pekech; perforation perforate,noun,"kitobo, utoboaji. perforator" perforate,noun,kitoboleo perform,verb transitive,"fanya; tenda; tekeleza; onyesha penye hadhira; (hasa) mbele ya watu; piga, cheza, imba muziki. -er n. mcheza;ji; mwimbaji; mtumbu" perfume,noun,manukato; uturi perfume,verb transitive,tia manukato. -r n. muuza manukato perhaps,adverb,labda; huenda; pengine pericarp,noun,"ganda; perikapi, ukutatunda: ukuta wa nje ya tunda ambao chanzo chake ni tishu za ukuta wa ovari" peril,noun,hatari; kitu kisababishacho hatari. -ous adj. enye hatari perimeter,noun,mzingompito wa nje kupakana na ubapa wa umbo period,noun,"kipindi; nukta; wakati; kituo kikuu; muda wa mzunguko mmoja; sentensi kamili; hedi. -nic, -ical adj. -a kipindi; -a muhula; -a kurudiarudia; jarida litolewalo kila baada ya kipindi fulani. -ic acid, asidi periodiki. - law, kaida mrudio. - table, jedwali ya elementi kulingana na uzito na tabia zao. -ically adv. kila baada ya kipindi fulani" periscope,noun,"periskopu: darubini ya kuona juu ya uepo wa macho, hutumika sana katika nyambizi" perish,verb intransitive,"fa; potea; haribika; hiliki; chakaa; angamia; fifia; toweka; isha. -ed with cold, naosumbuliwa na baridi. -able adj. -a kuharibika upesi; si enye kudumu" peristalsis,noun,mnyeso; usagaji chakula katika utumbo kwa namna yake maalumu kusogeza au kujiongea kwa chakula tumboni kwa mwendo kama wa mawimbi permanent,adjective,"-a kudumu. the ~ wave, njia ya reli. wave, mtindo wa nywele wa kutia mawimbi ya kudumu. -ly adv. bila kubadilika. permanence" permanent,noun,kudumu permeable,adjective,enye kupitisha maji permeate,verb transitive/intransitive,sambaa; penya; enea na kujaza sehemu zote permissible,adjective,halali; -enye kukubalika; enye kuruhusika permission,noun,ruhusa; idhini permit,noun,kibali; ruhusa; idhini permit,verb transitive/intransitive,(-tt-) ruhusu peroxide,noun,peroksidi: oksidi inayounda peroksidi ya hidrojeni inapopendana na asidi perpendicular,noun,mstari sulubi; mstari wima; hali ya kuwa sulubi au wima perpendicular,adjective,-a wima. -a mstali; -a sulubi. -ity n. usulubi perpetrate,verb transitive,fanya kosa. perpetrator perpetrate,noun,mkosaji perpetration,noun,ukosefu; ukosaji perpetuate,verb transitive,dumisha; endeleza. perpetuity perpetuate,noun,"milele; dawamū, aushi. in perpetuity, milele" perplex,verb transitive,"tatiza; fadhilisha; kanganya; tatani­sha; emea. -ed adj. -enye kufadhaika; enye kukanganyika. -edly adv. kwa fadhāa; kwa uemewu. -ity n. fadhāa; uemewu; mkanganyiko, kitu kisababishacho fadhāa" perquisite,noun,marupurupu; bahshishi persecute,verb transitive,tesa; sumbua; adhibu. persecutor persecute,noun,mtesaji. persecution persecute,noun,"usumbufu, mateso" persevere,verb intransitive,vumilia; stahamili. perseverance persevere,noun,uvumilivu persist,verb intransitive,"shikilia; kataa kubadili msimamo; chagua endelea kuwapo. He -ed in turning them away, alishikilia kuwafukuza. -ence n. ushikiliaji; jitihada; chagizo. -ent adj. -enye kushikilia thabiti; -enye kuendelea bila mabadiliko" person,noun,"mtu; mwenyewe; mwili; mashika kivimilivi; nafsi. He was present in, alihudhuria mwenyewe. -able adj. maridhia; -enye sura nzuri. -age n. mtu mashuhuri; mhusika. -al adj. -enyewe; -a mtu binafsi; -a mwili. He paid him a visit, alikwenda mwenyewe kumzuru. He made remarks about me, alinishkifu. -ally adv. kibinafsi. -ality n. nafsi dhati; wasifu; haiba; hulka; tabia mtu mashuhuri. a strong -, haiba. a man with little -, mtu mwenye haiba ndogo" personel,noun,watumishi; utumishi personification,noun,tashihisi personify,verb transitive,-pa nafsi; wa mfano wa perspective,noun,taswira; uhusiano; mtazamo; wazo; matumaini; uono perspiration,noun,jasho; utokaji jasho perspire,verb intransitive,toka jasho persuade,verb transitive,shawishi; fanya mtu aamni. persuasion persuade,noun,ushawishi; imani; madhehebu; itikadi. persuasive persuade,adjective,-enye kushawishi; -a kuaminisha; -a kutoa wasiwasi pertain,verb intransitive,"husu; fungamana na, to, -wa mali au sehemu ya; husiana na" pertinent,adjective,-a kuhusu; -a kufungamana na; -a kufaa; -a kupasa pervade,verb transitive,sambaa; zaga; enea kote pervert,noun,murtadi; mpotofu pervert,verb transitive,potosha; ongoza vibaya. perversion pervert,noun,upotofu; kuritadi pervious,adjective,-enye kupenye­ka; -enye kupitika; -enye kufikika; -enye kuruhusu kitu kupenya pessimism,noun,ukosefu wa rajua; imani kuwa mambo yote ni mabaya; hali ya kukata tamaa. pessimist pessimism,noun,mtu aaminiye hivyo. pessimistic pessimism,adjective,bila rajua pest,noun,mnyama au mdudu mharibifu. -er v.t. sumbua; udhi; chokoza; chagiza. -icide n. dau­kud. dawa ya kuulia wadudu. -ilence n. maradhi ya kuambukiza; tauni. -ilent adj. -a kuleta madhara au maradhi; (collog.) -a kusumbua. -ology n. pestolojia; sayansi ya wadudu na mbinu za kupambana nao pestle,noun,mchi wa kutwangia pet,noun,kipenzi; mnyama kipenzi pet,verb transitive,(-tt-) busu; tomasa-tomasa; papasapapasa; bembeleza petal,noun,petali petition,noun,ombi; rufaa; dua petition,verb transitive,omba; omba dua; kata rufaa; shihi; lalamika. -er n. mlalamikaji petrification,noun,ugeukajikisikuku; badiliko la kitu cha kaboni kuwa na umble la kijive au kimadini petrochemicals,noun,petrokemikali: vitu vya kikemikali vinavyotokana na mafuta ya kiptroli au gesi asili petrol,noun,petroli. -eum n petticoat,noun,gwaguro; shimizi petty,adjective,"dogo; siokuwa muhimu; uchwara; finyu. - cash, fedha kichele. officer, ofisa mdogo katika manowari" petulance,noun,chuki; kinyongo petulant,adjective,sio vumilivu; epesi kukasirika; a kasikasi. -ly adv. kichukichuki pew,noun,benchi la kanisani pewter,noun,pyuta: aloi ya bati na risasi pH,noun,"kipimo cha uasidi au ukali katika mmununyo. - meter, kipima pH. - scale, kipimo pH. - value, thamani ya pH" phagocyte,noun,fagosaiti: seli kama amiba au protozoa ambayo huzingira chembechembe au vidubini vinavyoshambulia tishu phantom,noun,mzuka; mfano wa mwili wa mtu umtiwao na madaktari wanafunzi kujifunza upasuaji pharaoh,noun,farauni; farao pharmacy,noun,famasia: utayarishaji na utoaji dawa; duka la dawa. pharmaceutic pharmacy,adjective,a madawa. pharmacist pharmacy,noun,mfamasia. pharmacology pharmacy,noun,"sayansi ya matumizi, athari na ufanayaji kazi wa dawa mwilini" phase,noun,"mkupuo; awamu; sura. -s of the moon, awamu za mwezi: maumbo anuwai ya uso wa mwezi yanavyoonekana kutoka kwenye dunia" phenomenon,noun,(phenomena) kitu; jambo; tukio; ajabu. phenomenal phenomenon,adjective,a ajabu sana; si a kawaida philanthropy,noun,huruma; hisani; fadhila; mapenzi kwa binadamu. philanthropist philanthropy,noun,mtu mwenye kusaidia wengine. philanthropic philanthropy,adjective,a hisani; -enye hisani philology,noun,filolojia: taaluma ya ukaaji wa lugha. philologist philology,noun,mwanafilolojia. philological philology,adjective,a elimu ya lugha philosophy,noun,falsafa; siasa; busara. philosopher philosophy,noun,mwanafalsafa; mtu makini; mtulivu. philosophical philosophy,adjective,a falsafa; -enye kufuata taratibu za kifalsafa phlegm,noun,kohozi; utulivu; usiri; upole. -atic adj. -tulivu; -siri phloem,noun,floemu: tishu katika mimea inayohusika na usafirishaji wa chakula kutoka kwenye majani kupitia kwenye shina hadi mizizini phobia,noun,hofu; woga mwingi uso kitani juu ya kitu fulani phone,noun,(linguistics) foni. (colloq.) simu v.t.fəˈnetɪks/ phone,noun,fonetiki: elimu ya sauti za usemi phosphate,noun,fosfati: chumvi ya asidi fosforiki; mbolea phosphorescent,adjective,-a kung'aa gizani. phosphorescence phosphorescent,noun,mmenetuko phosphorus,noun,fosforasi: elementi ya njano sistemati ambayo huwaka haraka photocell,noun,selimwanga: zana inayotumika kutambulia na kupimia mwanga kwa kutumia tabia yake ya kubadilika kiumeme inapothiriwa na mwanga photochemical reaction,noun,"utendanjai kikemikali mwanga: utendanjai kikemikali unaoasiswa, kusaidiwa au kuchapushwa kwa kuangazwa kwenye mwanga" photochemical smog,noun,ukungu kemikali: aina ya uchafuzi wa mazingira hewa unaosababishwa na moshi wa magari photoelectric,noun,"-enye kupata umeme kutokana na mwanga; a umememwanga. cell, seli umememwanga: zana inayotumika kutambulia na" photograph,noun,picha photograph,verb transitive,piga picha fotoa photon,noun,fotoni: chemchemi ya wimbi la sumakuumeme linalobeba nishati photosensitive,adjective,a nyetimwanga; enye kuathiriwa na mwanga kwa urahisi photosphere,noun,angamwanga: sehemu ya juu inayoonekana ambavyo ina mng'aro mkali sana na ambayo ina halijoto kubwa mno photosynthesis,noun,usanidimwanga: ujenzi wa chakula katika seli za mimea kwa kutumia nishati ya mwanga na viyenyeo vingine phototropism,noun,uelekeomwanga: hali ya kukua sehemu ya mmea kuelekea kwenye upande wa nuru phrase,noun,kirai: fungu la maneno lililo sehemu wa sentensi; msemo; kitungu cha muziki phylum,noun,failamgawanyo wa ngeli za viumbe wenye sifa zinazohusiana physical,adjective,a kuonekana; a mwili: a viumbe: a maumbile physician,noun,daktari; mgangwa tabibu physicist,noun,mwanafizikia physics,noun,fizikia physique,noun,umbo; umbilie; maungo; gimba piano,noun,piano. pianist piano,noun,mpiga piano pick ~axe,noun,sururu; chombo kidogo kama kijiti cha kiberiti. a tooth: kichokolea meno; uteuzi; uchaguzi; chaguo pickle,noun,"achari; hali. in a sad ~, katika hali mbaya" pickle,verb transitive,tengeneza achari picnic,noun,mandari; pikniki picnic,verb intransitive,enda mandari; enda pikniki pictorial,adjective,a picha picture,noun,"picha; sura; mchoro; taswira; uono; mfano; mithali; maelezo; sinema; filamu. be the picture of health, -wa mfano wa afya bora. the ~s, (colloq.) sinema" picture,verb transitive,eleza kwa maneno; waza moyoni pie,noun,"pai; sambusa; andazi. have a finger in the ~, ingilia kati; husika" piece,noun,"kipande; sehemu; tukio; kipimo maalumu; kitu kimoja katika seti; sarafu in ~s, vipande vipande. take to ~s, vunja; kongoa. a ~ of luck, bahati. a ~ of news, habari. a ~ of cloth, kitambaa. cloth sold only by the ~, kitambaa kiuzwacho kwa jora tu. a ten-shillings ~, sarafu ya shilingi kumi" piece,verb transitive,unganisha; kamilisha pig,noun,nguruwe. (collog.) mchafu. pigheaded pig,adjective,kaidi; kichwa ngumu; kichwa maji. pigsty pig,noun,zizi la nguruwe pigeon,noun,njiwa pigment,noun,pigmenti; rangi ya asili "pigmy, pygmy",noun,mblilikimo; mtu mfupi sana pigtail,noun,nywele zilizofungwa nyuma na kuning'inia mabegani pile,noun,nguzo; mhimili; fungu; chungu; rundo; biwi; jumba kubwa pilgrim,noun,haji; hujaji pill,noun,"kidonge; tembe. the ~ kidonge cha kuzuia mimba; kidonge cha majira. go on the ~, anza kutumia vidonge vya majira" pillage,noun,utekaji nyara; uporaji; nyara pillage,verb transitive,teka nyara; pora pillar,noun,nguzo; mhimili; mwimo pillion,noun,"kiti au kibao cha nyuma cha mtu baiskeli, skuta au pikipiki" pillow,noun,mto; takia; mhimili pin,noun,"pini; kipingwa; kiwi. I don’t care ~, sijali kabisa. My leg has got ~s and needles, mguu wangu umekufa ganzi" pin,verb transitive,(-nn-) funga kwa pini; bandika kwa pini; bana pincers,noun,koleo pinch,noun,mfinyo; shida; mashaka; uokozi; kiasi kidogo pinch,verb transitive/intransitive,"finya; bana; umia; hisi athari ya; iba; dokoa; bana matumizi; wa bahili; kamata. be ~ed for money, kosa fedha. a ~ of salt, chumvi kidogo" pincushion,noun,kichomekea pini. ~money n. fedha apewayo mke kwa haja zake ndogondogo. ~prick n. (fig.) jambo dogo lenye kuchukiza pine,noun,msonobari pineapple,noun,nanasi; nanasi pinhole camera,noun,kamera toboe; namna ya kamera sahili pink,noun,rangi ya waridi pinnacle,noun,mnara mrefu juu ya paa la nyumba; (fig.) kilele pint,noun,"painti. a ~ of milk, painti ya maziwa" pioneer,noun,"mtangulizi; mwanzilishi; mpelelezi; pavonia. young ~, pavonia; chipukizi. v.t/i. tangulia; ongoza; asisi; peleleza" pious,adjective,~cha Mungu (la zamani); ~enye kutii wazazi pip,noun,mbegu ya tunda pipe,noun,paipu; bomba; zumari; filimbi; kiko; koromeo. v.t/i. pisha kioevu katika bomba; piga zumari; piga king’ora; pamba nguo kwa kichuruzio piping,noun,kipande cha bomba; kichuruzio; sauti ya zumari piping,adjective,-enye sauti ya filimbi; enye sauti nyembamba piping,adverb,"piping hot, joto sana" piracy,noun,uharamia; wizi pirate,noun,haramia; mwizi wa haki miliki pirate,verb transitive,iba kazi ya mwingine Pisces,noun,1. samaki; oda inayojumuisha samaki wote. 2. Samaki; nyota ya unajimu ya thenashara pistil,noun,pistili; sehemu ya ua inayotoca mbegu pistol,noun,bastola piston,noun,pistoni pit,noun,shimo; mgodi; machimbo; mtego wa shimo; mwanya; gulio la biashara maalumu; uwanja wa kati wa thieta pit,verb transitive,"(+tt-) fanya kovu. a face ~ed with smallpox, uso uliojaa kovu za ndui. - against, shindanishwa mtu au mnyama" pitch,noun,"1. lami. 2. dark, giza totoro. - black, -eusi tititi; marama; msukosuko; mvurumisho; uwanja wa kuchezea; mahali pa kuzia vitu; mwanguko; mshuko; mteremko; mwinamo; kiwango; uzito wa sauti; nafasi baina ya meno ya gurudumu" pitch,verb transitive/intransitive,"piga hema; tupa; vurumisha; angusha; enda mrama; rekebisha sauti; sukasuka; tia mwinamo katika paa. in, anza kwa bidii. into, shugulika kwa bidii; piga; - upon sb, chagua fulani kwa bahati. -ed battle, mapigano yaliyoandaliwa kabla" pith,noun,moyomti; upande wa ndani wa ganda la chungwa; nguvu; juhudi; wepesi. (fig) kiini; maana pittance,noun,ujira mdogo kuliko unaostahili pituitary gland,noun,tezi pituitari; tezi homoni iliyopo katikati ya sehemu ya chini ya ubongo inayosaidia ukuaji na udhibiti wa tezi nyingine pity,noun,"huruma; jambo la kusikitisha. What a ~, inasikitisha" pity,verb transitive,hurumia; sikitikia. pitiable pity,adjective,-a kutia huruma; -a kusikitisha. -a kuhuzunisha. pitifully pity,adverb,kwa huruma; kwa masikitiko. pitiless pity,adjective,katili; sio na huruma. pitilessly pity,adverb,kikatili; bila huruma pivot,noun,egemeo; (fig.) asili; chimbuko; kiini; msingi; mtu anendeshae kikosi cha askari pivot,verb transitive/intransitive,egemea; geuka katika egemeo placard,noun,bango placard,verb transitive,bandika bango ukutani; tangaza habari kwa bango place,noun,"mahali; mji; iji; kijiji; jengo; sehemu katika maandishi; nafasi; nyumba; mtaa. - of worship, mahali pa ibada. - of amusement, mahali mwa burudani. out of -, pasipo faa. take ~, tokea. give ~ to, pisha nafasi. in -, of, badala ya. lose one's ~, achishwa kazi au kusoma. keep sb in his ~, weka mtu badala yake" place,verb transitive,weka; panga; teua; agiza bidhaa placenta,noun,plasenta; tishu maalumu katika uterasi ambako kiungamwana kutoka tumboni mwa mtoto mchanga kimeunganika na tishu za mama mjazito katika ukuta wa uterasi plague,noun,tauni; mateso; balaa; kitu kinachosumbua plague,verb transitive,sumbua; udhi; kera sana plain,noun,"uwanda; tambarare. -adj. dhahiri; wazi; -a kawaida; -sio na maremb; -sio na mapambo; nyofu; -a kweli; si zuri. - food, chakula bila kitoweo. - in clothes, katika vazi la kirai. - in words, to be - with you, kwa kusema kweli. -ly adv. kwa uwazi. -ness n. uwazi; udhahiri; udufu" plaintiff,noun,mdai plait,noun,unywele uliosukwa; msokoto plait,verb transitive,suka; sokota plan,noun,"ramani; picha," plane,noun,bapa: uso mfuto; ubapa; hatua; kiwango; landa; ndege. vt./i. piga landa plane,adjective,-enye uso mfuto planet,noun,sayari. -arium n. jengo linalojenga nyendo za sayari. -oid n. sayari ndogo plank,noun,ubao; hoja ya msingi katika sera. bed kitanda cha falka tupu bila godoro plankton,noun,planktoni: jamii ya viumbe vidogo sana ya wanyama na mimea viishivyo katika maji. huonekana kwa hadubini tu plant,noun,mmea; mche; mtambo; vi-faa; mashine; kiwanda; karakana; hila; mtego; askari kanzu aliyejiunga na majambazi ili awakamate plant,verb transitive,panda; atika; pandikiza; otesha; ingiza wazo akilini; weka; kaza; simamisha; piga; anzisha; asisi; lowea. -ation n. shamba kubwa; mgunda plantain,noun,ndizi; mgomba plasma,noun,plazma: sehemu ya majimaji katika damu; limfu bila seli plasmodium,noun,plasmodia: jamii ya protozoa waishio katika ini na damu ya binadamu na ambao husababisha malaria plaster,noun,"plasta; ripo; mchanganyiko wa chokaa au saruji, mchanga na maji" plaster,verb transitive,"piga plasta; piga ripo; bandika plasta; tia -ingi. His hair is -ed with oil, nywele zake zinachuruzika mafuta. -er n. mwashi" plastic,noun,plastiki plastic,adjective,"-a plastiki; -a kinamo; -a kutengeneza; -a kunyumbuka. The bag was made of ~ material, not of real leather, mkoba ule ulikuwa wa plastiki, si wa ngozi halisi. -s n. taaluma ya kutengeneza vitu vya plastiki. -ity n. uinyumbukaji" plate,noun,sahani; bamba; pleti; picha ya kitabu; vyombo vya chahabu au fedha. dental ~ menobandia plate,verb transitive,chovya vitu vya madini katika madini ya namna nyingine plate tectonics,noun,nadharia ya vishani: nadharia inayodai kwamba ardhi imeundwa kwa vipande vya amango viitwayo vishani na ambavyo daima vimo katika mwendo plateau,noun,uwanda wa juu; nchi tambarare iliyoinuka platelet,noun,"chembelele; kigandishidamu: aina ya kigimba kidogo cha utehai chenye umbo la kisahani katika damu, hutoa kemikali yenye uwezo wa kugandisha damu" platform,noun,jukwaa; ulingo; ilani ya uchaguzi ya chama cha siasa platinum,noun,platinamu: madini nzito nyeupe ya thamani plausibility,noun,ukubalika; uelekeaji plausible,adjective,-enye kukubalika; -enye kuelekea; -enye kutoa hoja za kukubalika play,noun,"mchezo; uchezaji; zamu katika mchezo; tamthilia; kamari; nafasi ya kufanya jambo; kazi; shughuli. in ~ kwa mzaha; -on words, cheza na maneno. the ~ing of sunlight, kurukaruka kwa mionzi ya jua. give your fancy full ~, fikiria kama upendavyo. a joint with too much ~ kiungo chenye nafasi ya kutembea. come into" plead,verb transitive/intransitive,"tetea; toa hoja; tetea hoja; kiri; omba; sihi. -guilty, kiri kosa. -not guilty, kana kosa" pleasant,adjective,a kupendeza; zuri; tamu pleasing,adjective,a kupendeza; zuri; tamu pleasurable,adjective,a kupendeza; enye kufurahisha pleasure,noun,"furaha; raha. take in, furahia. with ~ kwa furaha. at his ~ atakapotaka" pledge,noun,rehani; zawadi ya kuonyesha upendo; ahadi; kiapo; dhamana; mdhamini pledge,verb transitive,weka rehani; apa; ahidi; nywa kwa afya ya plenty,noun,wingi. plentiful plenty,adjective,-ingi; maridhawa. plenteous plenty,adjective,-a wingi; maridhawa pleurisy,noun,ugonjwa wa ngozi ya nje ya mapafu pliable,adjective,a kupindika kirahisi; enye kushawishika kirahisi. pliability pliable,noun,sifa ya kupindika au kushawishika kirahisi pliers,noun,koleo plight,noun,hali mbaya; taabu plod,noun,kazi ngumu plod,verb intransitive,(dd-) jikokota plot,noun,kiwanja; muundo wa riwaya; njama; shamba plot,verb transitive,(-tt-) panga; kula njama; weka alama; panga matukio katika riwaya plough,noun,plau; kundi la nyota saba zifanyazo umbo la plau plough,verb transitive,"lima kwa plau; penya kwa nguvu. The ship ~ed through the heavy waves, meli ilikata mawimbi makubwa" plow,noun,plau pluck,noun,ushujaa; ujasiri; unyakuaji pluck,verb transitive/intransitive,"nyonya manyoya; chuma matunda au maua. -up weeds, ng'oa magugu. -up courage, jipa moyo; piga moyo konde" plug,noun,plagi; kizibo; msokoto wa tumbaku; tangazo la biashara la mara kwa mara plug,verb transitive/intransitive,"(-gg-) ziba; funga. (colloq.) away at, shugulikia kwa juhudi. -in, chomeka plagi" plum,noun,plamu; tunda kama zambarau; kitu bora. treemplaum plumage,noun,manyoya ya ndege. plume plumage,noun,"nyoya. plume oneself on sth., jipongea kwa" plumb,noun,"timazi; chubwi. out of ~, tenge. v. vima" plumb,adverb,hasa; sawasawa plumb,verb transitive,(fig.) fikia kiini cha jambo plumber,noun,fundi bomba plumbing,noun,ufundi bomba; mabomba; matangi; etc plump,adjective,nene; nono; a mviringo plunge,noun,mbizi plunge,verb transitive/intransitive,"tumbukiza; tumbukia; enda mrama; piga mbizi. (fig.) -a room into darkness, tia giza ghafla chumbani kwa kuzima taa" plural,noun,wingi plural,adjective,wingi; ~ism plural,noun,"mfumo unaokubali watu wa mitazamo tofauti ya kisiasa, kitamaduni na kidini kuishi pamoja" plus,preposition,na; pamoja na; zaidi Pluto,noun,Utaridi: sayari ya tisa katika mfumo wa jua plutonium,noun,platanionamu: elementi ya kikemikali yenye harakatiredio inayotumika katika vinua vya nyuklia ply,noun,tabaka; uzi. three ~ wood mbao uliofanywa kwa tabaka tatu za mbao. three ~ wool for knitting uzi wa sufi uliofanywa kwa kusokotwa nyuzi tatu pneumatic,adjective,-a hewa; -enye kuendeshwa kwa nguvu ya hewa. ~ tyres tairi hewa pneumonia,noun,nimonia: homa ya mapafu poach,verb transitive,"-an egg, tokosa ute na kiini cha yai katika maji yanayochemka" poach*,noun,ujangili poach*,verb transitive/intransitive,1. winda wanyama bila ruhusa. 2. tokosa yai. -ed egg yai la kutokosa pocket,noun,mfuko; kishimo. be in ~ pata faida. be out of ~ pata hasara pocket,verb transitive,tia mfukoni; ficha. -book n. kitabu kidogo cha kuandikia. money pocket,noun,pesa za matumizi madogomadogo pod,noun,kega; ganda poem,noun,shairi. poet poem,noun,mshairi. poetic (al) poem,adjective,-a mashairi; -a kishairi. poetry poem,noun,ushairi poikilotherm,noun,mnyama ambaye halijoto ya damu yake huirekebisha kulingana na mazingira yake point,noun,"ncha; nukta; alama; kizio cha kupimia ukubwa wa herufi; pointi; wazo; hoja; kusudio; sababu; sifa; sakiti ya umeme; umulimu. (fig.) of view, mtazamo. from their ~ of view, kwa mtazamo wao. at this ~, wakati huu; sasa; mahali hapa. on the ~ of, karibu na. when it comes to the ~, wakati ukiwadia" poison,noun,sumu poison,verb transitive,"tia, lisha sumu; (fig) potosha" poke,verb transitive,sukuma; chochea; sukumia; chakura; subukuta. ~n. mchecholeo; mchezo wa karata wenye mizaha polar,adjective,"-a ncha ya dunia; -a nchi ya baridi sana. coordinates, majiranuguzo. front, mkingamo wa ukanda wa baridi na joto. -ity n. jinsimcha tabia ya ncha ulimeme kuwa na ama chaji chanya au chaji hasi. -ize v.t. jinsishancha; fanya dutu au molekuli za dutu kuwa na ncha umeme; fanya nuru ya mitetemo kupita katika bapa fulani tu" pole,noun,1. ncha ya kaskazini au kusini ya dunia pole,noun,ufito; upau; boriti; upondo; mhlimili; mwimo; mwega police,noun,"polisi. military police, polisi wa jeshi" police,verb transitive,simamia kwa kutumia polisi policy,noun,sera; busara; hati polio,noun,polio: maradhi ya kupooza mwili polish,noun,ulaini; mng'aro; polish. v.t.i. ng'arisha; kwatua; sugua; ongoza; noa. a polite,adjective,a. adabu; ~taratibu; pole political,adjective,a. siasa; a kisiasa. ~ly adv politics,noun,"siasa. racial ~, siasa ya ubaguzi. politician" politics,noun,mwanasiasa. politicize v.t.i. hamasisha au hamasika kisiasa poll,noun,"kura; hesabu ya kura; mtu; maoni ya watu. go to the ~, piga kura. be at the head of the ~, shinda kura kuchaguliwa kwa wingi wa kura. ~ tax" poll,noun,kodi ya kichwa pollen,noun,chavua; chavuo pollinate,verb transitive,chavusha; hamisha chavua kutoka chavulio hadi stigma pollutant,noun,kichafuzi pollute,verb transitive,tia taka; chafua pollution,noun,"uchafuzi; uchafu. environmental ~, uchafuzi wa mazingira" polygamy,noun,mitala: desturi ya mume kuwa na wake wawili au zaidi wakati mmoja polyglot,adjective,a lugha nyingi: enye kuzungumza lugha nyingi polygon,noun,poligoni; pembe nyingi polymer,noun,polima: kampaundi yenye uzani mkubwa wa molekuli iliyotenguliwa ama kwa ongezaji wa molekuli au kwa kugandishiana molekuli polysyllable,noun,neno lenye silabi nyingi polytechnic,noun,chuo cha ufundi anuwai pompous,adjective,enye majivuno; enye kiburi; enye kujidai. pomposity pompous,noun,ushuafu; majivuno pond,noun,kidimbwi; dimbwi ponder,verb transitive/intransitive,fikiri; tafakari; waza pontoon,noun,pantoni pony,noun,farasi mdogo pool,noun,kiziwa; kidimbwi; kilindi mtoni pool,noun,fedha za dau katika kamari; mchango wa ubia; huduma za ubia pool,verb transitive,changa fedha poor,adjective,"maskini; fukara; ~nyonge; ~chache; duni hafifu. a ~ supply of teachers, walimu haba" pop,noun,sauti inayotoka kizibo kinapofunguka ghafla pop,verb transitive/intransitive,"(-pp-) ziba; tembelea; ingia; ingiza; kaanga bisi. He is always ~ping in and out, daima hatulii" pope,noun,papa; baba mtakatifu poplar,noun,mpopla: mti mrefu na mnyoofu unaokua haraka sana poppy,noun,mpopi: mmea ambao maua yake hutengenezea kokeini na dawa anuwai za kulevya populace,noun,watu; wananchi; umma popular,adjective,a watu; -a population,noun,watu; mimea au wanyama wa sehemu fulani. populous population,adjective,enye watu wengi porch,noun,ukumbi; baraza porcupine,noun,nungu pore,noun,"kinyweleo; tundu katika ngozi n.k. over, soma kwa makini" pork,noun,nyama ya nguruwe porous,adjective,enye vinyweleo; enye kunyonywa unyevu; enye kuruhusu maji kupenya porridge,noun,uji port,noun,"1. bandari; mji wenye bandari; mahali pa usalama. free ~ bandari huru. 2. mlango wa abavuni mwa meli. -hole, dirisha la ndege au meli. 3. upande wa kushoto wa meli ukikabili gubeti mbele. 4. poto; divai nyekundu nzito na tamu" portable,adjective,a kuchukuliwa; epesi portal,noun,mlango mkubwa porter,noun,mchukuzi; mpagazi portfolio,noun,"jalada la kuweka nyaraka; dhamana katika kazi, ofisi ya waziri wa nchi" portion,noun,sehemu. vt. gawanya katika sehemu portrait,noun,picha; taswira portrayal,noun,uchoraji picha; uelezaji; ufafanuzi pose,noun,mkao; sura; hali; uigizaji. vt/i kukaa namna maalumu; kujifanya; kujidai; kuiga; toa hoja au swali poser,noun,mwendo; mkao; makini poser,verb transitive/intransitive,tuliza sawasawa; tulia sawasawa position,noun,mahali; hali; namna; msimamo; uwezo; nafasi; kazi; cheo. What's your ~ on this problem? una msimamo gani juu ya jambo hili? positive,adjective,"a hakika; halisi; waziwazi; bayana; dhahiri; a kujenga; a kusaidia; a kuunga mkono; chanya. Are you ~ about what time it was? una hakika ilikuwa saa ngapi? ~ a suggestion, wazo la kufaa" possibility,noun,uwezekano; kitu kiwezekanacho possible,adjective,a kuwezekana; a kuyumkinika; a kufaa possibly,adverb,kwa kadiri iwezekanavyo; labda post1,noun,1. lindo. 2. mahali pa kufanya biashara. 3. cheo; daraja; nafasi katika kazi post1,verb transitive,weka walinzi; weka mahali pa kazi. 4. posta. v.t/i. peleka kwa njia ya posta; andika katika daftari; enda kwa farasi postpone,verb transitive,ahirisha pot,noun,"chungu; sufuria. a coffee-, mchele. a tea-, buli" potash,noun,shura; potashi potassium,noun,potasiumu potato,noun,(~es) kiazi; mbatata potency,noun,nguvu; ate potency,noun,mtu mwenye nguvu potent,adjective,-enye nguvu potter,verb intransitive,fanya kazi bila juhudi; cheza cheza na kazi potter,noun,mfinyanzi pouch,noun,pochi; kifuko; mbeleko wa kangaruu; kifuko cha mbegu katika mmea poultry,noun,"jamii ya kuku, mabata, etc" pounce,verb intransitive,rukia; shambulia ghafla; vamia pounce,noun,mruko wa ghafla pound,noun,1. ratili. 2. pauni. 3. zizi la kuhifadhia wanyama waliopotea pound,verb transitive,twanga; ponda; funda pour,verb transitive,mimina; mwaga; toa kwa wingi pour,verb intransitive,"mimimika; mwagika; toka kwa wingi; nyesha sana. People ~ed into the town, watu walimiminika mjini" powder,noun,"poda; unga; vumbi; baruti. gun ~, baruti. magazine, ghala ya baruti" powder,verb transitive,tia poda; paka na poda; ponda; saga power,noun,"uwezo; nguvu; enzi; amri; mamlaka; mwenye nguvu; madaraka; mzimu; kipeo. He gave me all the help in his-, alinisaidia kwa nguvu zake zote. have sth in your ~, dhibiti mtu" practice,noun,"mazoezi; utekelezaji; utendaji; mazoea; desturi; weledi; hila. put a plan into ~, tekeleza mpango. the ~ of closing shops on Sundays, desturi ya kufunga maduka Jumapili. sharp ~, tendo la ujanja. practicable" practice,adjective,-enye kuwea kufanyika; -enye kuwea kutumika; -a kupitika. practical practice,adjective,"-utendaji; -a busara; -a kufa. practical difficulties, matatizo ya kiutendaji. practically" practice,adverb,kwa busara; kwa kweli practise,verb transitive,"fanya mazoezi; -wa na desturi; tenda; fanya kazi. practise the piano, jioeza kupiga piano. Practise what you preach, fanya unavyohubiri. practise the law, fanya kazi ya sheria. practised" practise,adjective,-stadi; -zoefu prairie,noun,uwanda; nyika praise,noun,sifa; utukufu; praise,verb transitive,"sifu; tukuza; himidi; adhihimisha. sing one's own ~s, jisifu" prawn,noun,kamba preach,verb transitive,hutubu; hutubia; hubiri; hubiria; shawishi; shauri precaution,noun,"hadhari; uangalifu. take ~s, jihadhari" precede,verb transitive,"tangulia; sabiki. -nce n. kipaumbele. This question takes ~ over all others, suala hili lipewe kipaumbele. -nt n. kigezo; kitangulizi" precinct,noun,eneo; mahali jirani; mpaka; eneo precious,adjective,a thamani; ghali; a tunu precipice,noun,genge; jabali. precipitous precipice,adjective,-a kama genge; enye mwinuko mkali sana precipitate,noun,mango isomumunyika inayoundwa kwenye mumumunyo baada ya utendani au kimambo au kikemikali precipitation,noun,ukapishaji; uundaji wa makapi wa msombo usiomumunyika kwa uvunjika jirejea maradufu precis,noun,muhtasari; ufupisho wa maneno au maandishi precise,adjective,sahihi; sawasawa kabisa; -a taratibu; -angalifu; wazi dhahiri; -a kushika kawaida barabara precision,noun,usahihi; utaratibu predator,noun,mwinda; mnyama anayewinda na kula wanyama wengine predecessor,noun,mtangulizi; kitu kilichotangulia predicament,noun,mashaka; hatari; shida; hali ngumu predicate,noun,kiarifu; neno lenye maelezo ya kiima predicate,verb transitive,semea; arifu; sababisha; leta predict,verb transitive,bashiri; tabiri; agua predominance,noun,ukuu; uzidi; kuwa na nguvu predominant,adjective,kuu; enye kuzidi -ingine predominate,verb intransitive,pita; shinda; zidi preface,noun,utangulizi; dibaji prefer,verb transitive,(-rr-) penda zaidi. -able adj. ema zaidi; bora; afadhali prefix,noun,(grammar) kiambishi awali; lakabu prefix,verb transitive,tia mwanzoni; tanguliza lakabu; ambisha awali pregnancy,noun,mimba; ujauzito pregnant,adjective,enye mimba; enye maana nyingi prehensile,adjective,enye nguvu za kushika prehistoric,adjective,a kabla ya historia prejudice,noun,"hisia kuhusu mtu au kitu au jambo lisilo na uthibitisho; athari; madhara; dhuluma; to the ~ of sb, a kuelekea kumletea fulani madhara" prejudice,verb transitive,chukia; pendelea; bagua; athiri; dhuru; haribu; punguza upendeleo wa mtu prejudicial,adjective,a kudhuru preliminary,noun,tendo la mwanzo preliminary,adjective,a mwanzo; tangulizi premature,adjective,a kabla ya wakati wake premeditate,verb transitive,waza; panga mapema; azimia; dhamiria premier,noun,waziri mkuu premier,adjective,a kwanza; kuu premium,noun,"malipo ya uhamasishaji; ada; zawadi; bonasi; thamani ya juu. put a ~ on good behaviour, ahidi zawadi kwa mwenendo mwema. be at a ~, zidi kuwa na thamani" premolar,noun,sagego; jino ambalo kazi yake ni kusaga chakula na ambalo linakuwemo katika seti ya meno ya utotoni preparation,noun,matayarisho; maandalizi; utayarishaji preponderant,adjective,a kuzidi; kubwa -ingi. preponderance preponderant,noun,"hali ya uzidifu, ukubwa au wingi" preposition,noun,(grammar) kihusishi. -al adj. kihusishi prerogative,noun,haki; ridhaa; hiari prescription,noun,agizo; agizo la daktari presence,noun,"kuwapo; sura; umbo; namna mtu anavyo onekana. in the presence of his friends, mbele ya rafiki zake. presence of mind, welekevu wa akili; busara. -able adj. -a kupendeza; -zuri; -a kutaa. -ation n. kupa; kutoa; kuwasilisha. -er n. mtangazaji wa vipindi vya redio au televisheni; mtoa zawadi. -ly adv. hivi karibuni; sasa hivi" present,noun,1. siku hizi; wakati ulipo; wakati wa sasa. 2. zawadi; tunzo; hiba present,adjective,"-liopo; cha sasa; a wakati huu; -a siku hizi; -a wakati mwafaka; -a mara moja. company, watu waliopo" present,verb transitive,"toa; tunukia; tunza; fichua; onyesha; dhihirisha; hudhuria; fika; wasili. sb. to sb., tambulisha rasmi. - arms, toa heshima kwa silaha. - a cheque at the bank, peleka cheki benki kwa malipo. - oneself, hudhuria" preservation,noun,"hifadhi, kulinda. preservative" preservation,noun,kitu kinachozuia kitu kingine kisione preservation,adjective,-enye kulinda; -enye kuhifadhi preserve,noun,hifadhi preserve,verb transitive,tunza; linda; hifadhi; weka preside,verb intransitive,"-wa kiongozi; wa mkuu; -wa mwenyekiti. -ncy n. uraisi; ofisi ya raisi. -nt n. rais. -ntial adj. -a raisi. presidential commission, tume ya raisi" press,noun,mgandamizo; shinikizo; mtambo wa kusindikia; magazeti; waandishi wa magazeti; upigaji chapa; msongamano wa watu. -the magazeti press,verb transitive,"gandamiza; minya; bonyeza; kamua; sindika; piga pasi; nyoosha; bana; sisitiza; songamana. -for, omba sana; silihi; himiza. be -sed for time -wa na wakati mchache, the matter is -ing, jambo linahitajiika sana. time -es, wakati unasonga. sb.'s hand, shika mkono wa fulani. in the -, katika kupigwa chapa. -ing adj. muhimu; -a dharura -man n. mwandishi habari magazetini. -ure n. shinikizo; kanieneo; mkazo; mbano; ulemeaji" prestige,noun,sifa njema; heshima; fahari; hadhi presume,verb intransitive,"dhania; waza; kisia; thubutu. -upon, tumia vibaya ukarimu wa mtu" presumption,noun,1. jambo linalowezekana. 2. ufeedhuli; usafihi; kiburi; ujuvi. presumptive presumption,adjective,-a kutarajiwa; -a kusadikika. presumptuous presumption,adjective,-enye kiburi; fedhuli; juvi; safihi; -enye kujiamini mno pretence,noun,kujisingizia; kisingizio; uwongo; kujifanya; hila; ulaghai pretend,verb intransitive,"jifanya; jisingizie; danganya. -er n. mtu anayejifanya, anayejidai, anayejidanganya ili anufaike" pretext,noun,kisingizio pretty,adjective,"-zuri; safi; -a kupendeza. /adv (colloq) -a kutosha. I'm well, sijambo byoyema. prettily" pretty,adverb,vizuri. prettiness pretty,noun,sura nzuri; uzuri prevail,verb intransitive,"shinda; tapakaa; enea. upon sb. to do sth., shawishi" prevalence,noun,uenevu; ushindi. prevalent prevalence,adjective,enye kuenea; tele previous,adjective,a kwanza; liotangulia; ~z zamani prey,noun,"mateka; mawindo; nyama. bird of ~ ndege mbuawi, e.g. tai. be a ~ to fears, shikwa na hofu" price,noun,thamani; bei price,verb transitive,"tia,weka, panga bei" prick,noun,mchomo; maumivu; kitobo; kichomi. v.ti. chomachoma; washa pride,noun,fahari; heshima; kitu cha kujivunia; kiburi; majivuno. v.t priest,noun,kasisi; kuhani; padri primary,adjective,a kwanza; a msingi; a awali primate,noun,mamalia wa hali ya juu; askofu mkuu prime,noun,"mwanzo; upeo; ustawi; ukamilifu; sehemu, iliyobora; sala ya alfajiri" prime,adjective,"kuu; bora; a kwanza; tasa; a asili; a msingi. number, namba tasa" prime,verb transitive,tengeneza; andaa primer,noun,kitabu cha masomo ya kwanza primitive,adjective,a kale; a asili; ~siostadarabika prince,noun,mwana wa kiume wa mfalme principal,noun,mkuu; mtaji; wakala; mhalifu mkuu; mhimili mkuu principle,noun,kanuni; maadili; msimamo print,noun,chapa; alama; kitabu; chapisho; kitambaa cha maua; picha; mchoro; mwandiko wa wima print,verb transitive,"piga chapa; safisha picha; tia,weka alama; tia nino; chapisha. finger ~s, alama za vidole. foot ~s, nyayo. ~ing press" print,noun,matbaa; kiwanda cha kupigia chapa prior,noun,mkuu wa nyumba ya watawa prior,adjective,a kwanza; liotangulia prism,noun,prizimu; umbo lenye ncha sambamba na sawa prison,noun,jela; gereza privacy,noun,faragha; upweke; siri private,noun,"askari; faragha; siri. in ~, kwa siri" private,adjective,"a binafsi; a faragha; a ~, serikali ~ soldier, askari asiye cheo" privation,noun,upungufu; ukosefu; ufukara; shida; taabu privilege,noun,fursa prize,noun,1. tunzo; zawadi; kitu cha thamani. 2. mateka prize,verb transitive,thamini sana; fungua kwa kitu kama mtaimbo ~fight prize,noun,shindano la ngumi la kulipwa probability,noun,"welekeo. distribution of electrons, mgawanyo wa wezekani wa elektroni. balance of probabilities, kipimo cha welekeo" probable,adjective,yamkini; -lioelekea kuwa au kutoka probably,adverb,yumkini; huenda; labda; asaa probe,noun,kichunguzi angani; chombo kisichokuwa na rubani kinachochunguzwa kuwepo kwa uhai katika anga za juu problem,noun,tatizo; mzozo; utatanishi; mgogoro; swali; mashaka; hoja; fumbo. -atic adj. -tatanishi proboscis,noun,1. kifonyozo: sehemu ya mdomo iliyoerefuka na kuwa mirija katika baadhi ya wadudu na wanyama. 2. mkonga: sehemu ya tembo inayojitokeza kwa mbele ambayo huitumia kama mkono na pua yake procedure,noun,utaratibu; au jinsi ya kutenda. procedural procedure,adjective,-a utaratibu proceed,verb intransitive,"endelea mbele; shika njia; enda, toka, shtaki. -ing n. tendo jambo, utendaji jambo; take ~s against sb., shtaki; dai mahakamani" proceedings,noun,1. kumbukumbu; mashauri mafupi. 2. mfululizo wa matukio yaliyowekwa kwa taratibu maalumu proceeds,noun,mapato; faida process,noun,mfuatano; mlolongo; maendeleo; njia; jinsi; namna; hati; mfanikio; tendani; mchakato. legal ~ daawa process,verb transitive,tengeneza; tenda; andamana; safisha. procession process,noun,"mwandamano, maandamano" proclaim,verb transitive,tangaza; mpiga mbiu; toa ilani; eneza; bainisha; onesha. proclamation proclaim,noun,tangazo; ilani; mbiu; taarifa prod,noun,chombo chenye ncha; uchochozi prod,verb transitive,choma; chokoa; chokoza; chochea prodigious,adjective,-ingi mno; -a ajabu mno prodigy,noun,muujiza; kioja; ajabu produce,noun,mazao; mavuno produce,verb transitive,"leta; onyesha; tengeneza; buni; tunga; sababisha; zaa; tanga; zalisha; (math.) refusha. a play, tunga mchezo. -r n. mzalishaji mali; mtungaji; mwoonyeshaaji mchezo" product,noun,mazao; mavuno; bidhaa; matokeo; (arith.) zao production,noun,uzalishaji mali. productive production,adjective,"enye kuzal; zazi; enye kuzalisha mali; enye rutuba. discussions that are productive only of quarrels, mazungumzo yaletayo ugomvi tu" profess,verb transitive,"shuhudia; ungama; tangaza; toa hoja; kiri; weka nadhiri; dai; jidai; -wa mwelekezi; tanya kazi za. I don't ~ to be an expert, sijadai kuwa mtaalamu. a ~ed friend, rafiki wa kujidai. -edly adv. kwa maneno yako mwenyewe. -ion n. kazi; ungamo; ahadi. -ional n. mchezaji wa kulipwa" profess,adjective,"-a kitaalamu; - kazi ya kulipwa. - skill, ustadi. men, wenye kazi za kitaalamu. footballer, achezaye mpira kwa kulipwa. -or n. mwalimu, mtangaza imani; profesa. assistant, profesa msaidizi. associate, profesa mshiriki" proficient,adjective,hodari; bingwa; enye maarifa; -elekevu; stadi. proficiency proficient,noun,ustadi; ubingwa; uhodari; welekevu profile,noun,maelezo mafupi juu ya mtu; sura ya mtu au kitu kwa upande; ukingo wa kitu profit,noun,faida; manufaa profound,adjective,~ a kina; a ndani sana; kubwa; a wingi; maana sana; zito; enye kuhitaji maarifa mengi progesterone,noun,projesteroni: homoni za kike ambazo huwezesha kuka hali ya uzazi katika uterasi na kukuzakiini tete hadi mtoto kuzaliwa programme,noun,programu; utaratibu; mpango; mfuatano wa vipindi vya redio au televisheni programme,verb transitive,tengeneza programu (ya kompyuta) progress,noun,mwendo wa mbele; maendeleo; kwenda mbele; safari rasmi ya kiongozi wa nchi progress,verb intransitive,endelea; piga hatua; songa mbele. ~ kuendelea mbele; ~ kuongeza hatua kwa hatua; ~ kupendelea maendeleo; ~ moja kwa moja project,noun,mradi; mpango. vt./ti. panga; sanifu; onyesha; chora picha au ramani ya kitu; vurumisha; chomoza proletarian,noun,mfanyakazi wa tabaka la chini proletarian,adjective,~ mfanyakazi proletariat,noun,tabaka la wafanyakazi; tabaka la watu wa kawaida prolific,adjective,~ a kuzaa sana; ~ a kufanya mengi prologue,noun,utangulizi; dibaji; shairi la utangulizi prolong,verb transitive,refusha prominence,noun,umaarufu; umashuhuri; utokezaji prominent,adjective,mashuhuri; maarufu; ~ a kujulikana; ~ a kuchomoza; a kutokeza promiscuous,adjective,~zinzi; ~liochangamana; ~sio na taratibu; ~shaghala baghala; ~vivi hivi; ~a fujo fujo; ovyo ovyo promise,noun,ahadi; kiaga; miadi; matumaini; tarajio promising,adjective,~ a kutumainiwa promontory,noun,rasi prompt,adjective,~ a papo hapo; ~epesi. vt. chochea; shawishi; kumbusha prone,adjective,~ a kifudifudi prong,noun,ncha ya uma pronoun,noun,kiwakilishi pronounce,verb transitive,tamka neno wazi; tangaza; toa hukumu. ~able pronounce,adjective,~ a kutamkika proof,noun,usahihishaji; uthibitisho; ithibati; prufu; nakala ya kitabu ya kupitiwa kwa mashihisho; kuelekeza; jaribio; uchunguzi proof,adjective,~siopenyeka; hodari; thabiti; imara. a rain-coat prop,noun,"mhimili; nguzo. pit -s, mihimili ya dari za migodi; (fig.) mtu wa kutegemewa. He was the ~ of his parents during their old age alikuwa tegemeo la wazazi wake walipozeeka" prop,verb transitive,(-pp-) up. saidia; wekea mwega; weka sawa propaganda,noun,"propaganda; uenezi habari; kampeni. health ~, kampeni ya afya" propagate,verb transitive,eneza; tangaza; zaa; zalisha. propagation propagate,noun,"uzaliano; usambazaji; uenezaji. of light, msambazo wa mwangaza" propel,verb transitive,"(-ll-) sogeza mbele; endesha; sukumia mbele. -ler n. rafadha. -shaft, mtiambo endeshi" proper,adjective,"-a kufaa; -a kustahili; -a stahiki; -a adabu; -a heshima; halisi; maalumu kwa; kamili. do something ~ to the occasion, fanya jambo mwafaka kwa tukio. fraction, sehemu halisi" property,noun,"mali; miliki; sifa; tabia; nguvu; rasilimali. immovable ~, mali isiyo hamisika. real ~, ardhi na majengo" prophecy,noun,utume; unabii; uaguzi; bishara. prophesy prophecy,verb transitive,agua; bashiri; tabiri prophet,noun,mtume; nabii; mwaguzi; mwanzilishi; mwassi. prophetic prophet,adjective,-a nabii; a kubashiri proportion,noun,"uwiano; urari; sehemu; hisa; vipimo. (maths) kadri ya uhusiano baina ya seti mbili za namba. wide in ~ to the height, pana kwa kulinganisha na urefu wake. A large ~ of North Africa is desert, sehemu kubwa ya Afrika ya Kaskazini ni jangwa" proportion,verb transitive,linganisha; gawanya; gawa. -al adj. -a uwiano; -a urari; -a kuwiana propound,verb transitive,"toa; leta; nena. - a riddle, toa kitendawili" proprietor,noun,mmiliki-kaji. proprietress proprietor,noun,mmilikiwa wa kike propriety,noun,adabu; utaratibu; uzuri; makini; usahihi; uzanifu propulsion,noun,nguvu ya kusogeza mbele; msukumo. jet mwendo wa jeti pros and cons,noun,uzuri na ubaya; sifa na kasoro; ubora na udhaifu prose,noun,nathari; lugha ya mjazo prosecute,verb transitive,"endesha mashtaka; shtaki; endelea na. He -ed his enquiry, aliendeleza uchunguzi wake. prosecution" prosecute,noun,"mashtaka. prosecutor mshitaki; mdai. public ~, mwendesha mashtaka wa serikali" prospect,noun,"mandhari; uono; mtazamo; matarajio; matumaini; mteja. There is little ~ of success, kuna matumaini madogo ya kufanikiwa" prospect,verb transitive,"tafuta madini. for gold, tafuta dhahabu. hope v" prospect,adjective,a kutarajiwa. -or n. mtafuta madini prospectus,noun,muhtasari wa shughuli za chuo au kampuni prosper,verb intransitive,"sitawi, fanikiwa; pata heri. God you, Mungu akujae heri. -ity n. heri; baraka; ustawi; neema. -ous adj. -enye heri; -liofanikiwa; -a neema; -enye ustawi" prostate,noun,tezi shahawa: tezi ya homu ya sehemu za kiume za uzazi wa mamalia zinazosaidia kuunda manii prostitute,noun,malaya; prostrate,adjective,kifudifudi prostrate,verb transitive,"sujudu; nyenyekea, angusha chini. trees -ed by the wind, miti iliyoangushwa chini kwa upepo. ● oneself. sujudia; nyenyekea be -ed. zimia; shindwa kabisa" prostration,noun,unyong’onyewu; kusujudia; sijda protease,noun,proteasi: kundi la vimeng’enya linaloweza kuvivunjavunja protini kuwa asidi amino au kinyume chake protect,verb transitive,linda; hifadhi; tunza; hami; zing’a; kinga. -ion n. ulinzi; kinga; himaya. -ive adv. -a kuhifadhi; -a kukinga. -or n. mlinzi. -orate n. mahimya protein,noun,protini protest,noun,lalamiko. v.t.adj. protestanti: mkristo asiyeikubali baadhi ya mafundisho ya Kanisa la Roma. -antism n. uprotestanti proton,noun,protoni: chembe yenye chaji chanya iliyokatika nyuklia ya atomu protoplasm,noun,protoplazimu: jina jumulishi la sehemu hai za seli ambamo umetaboli hufanyika prototype,noun,sampuli kifani; mfano wa awali protozoa,noun,protozoa: jina la kabila linalojumuisha viumbe vyenye seli moja na ambao wana nyuklia za kawaida protract,verb transitive,refusha; zidisha; endeleza. -or n. kipamapembe protrude,verb transitive/intransitive,"toa nje; tokeza; chomoza. - the tongue, toa ulimi. a shelf protruding from the wall, shubaka lililochomoza uktani" proud,adjective,"-a kiburi; a kujivunia; -a fahari; -a maji-vuno. of his success, mwenye fahari juu ya kufanikiwa kwake. He was too to ask for help, alijiona mno kiasi cha kutoomba msaada. This is a day for our nation, hili ni siku ya fahari kwa taifa letu. a - show, tamasha zuri sana" prove,verb transitive/intransitive,"thibitisha; hakikisha; bainika. - sb.'s guilt, thibitisha kuwa ana hatia. - sb.'s worth, bainisha ubora wa mtu. The new clerk -ed to be useless, karani mpya alibainika kuwa hafai" proverb,noun,"methali; mfano halisi. He is a - for hypocrisy, ni mfano halisi wa unafiki. -ial adj. a kufahamika sana; a kutumika sana" provide,verb transitive/intransitive,"toa; andaa; auni; kimu; taja; weka wazi. - for the children, kimu watoto. He -s his children with clothes, awakatia nguo wanawe. - against, jiweka tayari; jizatiti. -ed" provide,conjunction,kwa sharti kwamba; mradi; alimradi Providence,noun,Mungu; majaliwa. provident Providence,adjective,"-enye busara; -a kuona mbele; -a kuweka akiba. provident fund, mfuko wa akiba ya uzeeni. providential" Providence,adjective,a kudra; a bahati njema providing,conjunction,kwa sharti kwamba province,noun,"jimbo; mkoa; uwanja wa kitaaluma. the -s, mashamba. the - of medicine, uwanja wa tiba. It is outside my -, si uwanja wangu; si kazi yangu. provincial" province,adjective,-a jimbo; mikoani; -enye mawazo finyu; mshamba provision,noun,"utoaji wa vitu kwa akiba; vitu vinavyotolewa; chakula; bidhaa; sharti. make - for, jitayarisha kwa baadaye" provisional,adjective,-a muda; -a kitambo. provisionally provisional,adverb,kwa sharti; kwa muda provoke,verb transitive,kasirisha; chokoza; sababisha; chochea. provocation provoke,noun,chokoz; sisit; kitu kinachoudhi; kichocheo. provocative provoke,adjective,a kukasirisha; a- prow,noun,gubeti; omo prowess,noun,ushujaa; uhodari; umahiri; ujasiri prowl,verb intransitive,zungukazunguka (kama simba usiku) proximity,noun,kuwa karibu; ujirani; upakanaji prudence,noun,busara; hadhari; utaratibu; uwekevu. -ly adv. kwa hadhari; kwa busara prudent,adjective,enye busara; -angalifu; -a taratibu prune,noun,plamu kavu; mtu mjinga prune,verb transitive,pogoa matawi; kata; punguza pry,verb intransitive,"into, chunguza, dadisi; peleleza; utilizia" pry,verb transitive,banua; binua psalm,noun,zaburi psychiatrist,noun,mtaalamu wa magonjwa ya akili psychiatry,noun,taaluma ya tiba juu ya magonjwa ya akili psychic,adjective,-a akili psychoanalysis,noun,taaluma ya tiba nafsi psychology,noun,saikolojia; elimu nafsi. psychological psychology,adjective,-a saikolojia; -a kisakolojia. psychologist psychology,noun,mwanasaikolojia pub,noun,(colloq.) bwalo; baa puberty,noun,baleghe; kipindi au umri ambao mtu anaweza kuzaa kijinsia public,noun,"watu, umma; kundi la watu" public,adjective,"-a serikali; -a watu wote; -a wananchi; -a umma. -house, kilabu; baa. -school, shule ya serikali. spirit, moyo wa kusaidia jamii. the football-watching, wapenzi wa mpira" publican,noun,mwenye baa publication,noun,uchapishaji; uenezi chapa publicist,noun,mwandishi habari; mweznezi habari publicity,noun,utangazaji; umaarufu; kuwa hadharani; uenezi wa habari. publicly publicity,adverb,hadharani publish,verb transitive,tangaza; chapisha. -er n. mchapishaji pudding,noun,pudini; aina ya soseji puddle,noun,kidimbwi puddle,verb transitive,ponda au kandika udongo. -r n. mkandikaiji puff,noun,mpumuo; uhemaji; tahakiki inayosifu kupita kiasi. powder- kipakazi poda puff,verb intransitive,"puliza; hema; tweta; sifu kupita kiasi; zima kwa kupuliza; vimbisha kwa hewa. He ~ed at his pipe, alivuta kiko kwa kutoa moshi kwa kishindo. He ~ed out his chest with pride, alivimbisha kifua chake kwa kiburi" pugnacious,adjective,-gomvi; -piganaji pugnacity,noun,ushari pull,noun,uvutaji; mvuto; nguvu ya kwenda dhidi ya mvuto; uwezo wa kuvuta; kishikizi pull,verb transitive,"vuta; kokota; buruta; shua; ngo'a. sb. or sth. down, botoa; tenda auvua; sh. down, bomoa; sb. down, dhofisha. sb. round, saidia mgonjwa kupata nafuu. - through, fanikiwa; okoka. - oneself together, jizua; - up, simamisha; simama; -a face, kunja uso. - one's weight, wajibika. - sb.'s leg, kejeli; - at a bottle, kunywa katika chupa. - over" pull,noun,fulana nzito inayofunika sehemu ya juu ya mwili kiwiliwili pulley,noun,roda pulmonary artery,noun,ateri mapafu: mshipa wa damu unaochukua damu isiyo na oksijeni kutoka kwenye moyo kuipeleka kwenye mapafu ili ipate oksijeni pulmonary vein,noun,vena mapafu: mshipa wa damu unaochukua pulp,noun,nyama ya tunda bivu; kitu laini: mseto; ubao ulio sagwa kutengenezea karatasi pulp,verb transitive,"seta, ponda" pulpit,noun,mimbari pulsate,verb intransitive,pigapiga pum; tuta; tutuma pulse,noun,"1. pigo la moyo, kipigo cha mshipa wa damu. 2. jamii ya kunde" pulse,verb transitive,puma pumice,noun,jabali volkano lenye tundu na viriba vingi vya hewa vilivyosababishawa na hewa iliyotanuka katika lava pump,noun,pampu: bomba ya kuvutia maji au mafuta; chombo cha kujazia upepo. v.t/i. vuta kwa bomba; jaza upepo; sukuma pumpkin,noun,"mboga, boga" punch,noun,1. panchi: chombo cha kutobolea. 2. pigo la ngumi punch,verb transitive,1. tobua kwa panchi. 2. piga ngumi punctilious,adjective,enye kushikilia itifaki punctual,adjective,siochelewa. -a wakati upasao. -ity n. hali ya kuto chelewa. -ly adv. bila kuchelewa punctuate,verb transitive,"weka vituo katika kuandika; ingilia mara kwa mara. His speech was -d with cheers, maneno yake yalidikizwa mara kwa mara kwa vifi jo. punctuation" punctuate,noun,"uwekeji vituo katika maandishi: kituo. marks, alama za vituo" puncture,noun,pancha puncture,verb transitive,tob oa; toka upepo; pata pancha punish,verb transitive,adhibu: tia adabu; rudi. -ment n. adabu; adhabu; rada. capital ~ adhabu ya kifo pup,noun,mbwa mchanga pupa,noun,(pupae) pupa: hatua ya mwisho katika metamofosi ya mdudu kabla hajageuka kiumbe kamili pupil,noun,mwanafunzi; mboni ya jicho puppet,noun,karagosi; kibaraka puppy,noun,mbwa mchanga purchase,noun,ununuzi; kitu kilichonunuliwa; thamani purchase,verb transitive,nunua pure,adjective,"tupu; tu; safi; menyu halisi; kwa ajili ya nadharia tu ~ water, maji safi" purgatory,noun,mahali pa mateso ya muda ahere; utakaso purge,noun,kuharisha; haluli purge,verb transitive,takasa; safisha; harisha (tumbo) purify,verb transitive,takasa; safisha; chuja; toharisha. purification purify,noun,tohara purity,noun,usafi; utakatifu; tohara purpose,noun,azma; nia; kusudio; matilaba on ~ makusudi. to little (no) ~ bure. to the ~ -a kufaa. v.t/i. kusudia; azimia. -ful adj. enye nia purse,noun,"pochi; mkwiji. hold the strings, dhibiti matumizi" pursue,verb transitive,fuatilia; winda; shikilia ganda; andama; saka; endelea na pursuit,noun,"ufuatiliaji; ukimbizaji; kazi; shughuli. He is engaged in literary ~s, anashughulikia uandishi" push,noun,msukumo; bidi; tendo la kujendeleza push,verb transitive,"sukuma; himiza; uza madawa ya kulevya; bonyeza. -on, endelea be -ed for time, pata shida. at a -, ikibidi; ikilazimu" puss,noun,paka put,verb transitive,(put) tia; weka; jiweka; pachika; wekea; athiri maendeleo; sababisha; kadi ra; tupa. be much putty,noun,puti: aina ya gundi ngumu puzzle,noun,fumbo; chemshabongo; kitendawili; mka-nganyiko puzzle,verb transitive,kanganya pygmy,noun,mlibikimo; mbirikimo pyjamas,noun,pajama; nguo za kulalia pylon,noun,pailoni: nguzo za umeme pyramid,noun,piramidi python,noun,chatu QED,noun,ufupisho wa quod erat demonstrandum: kilichotakiwa kuthibitishwa quadrangle,noun,umbo lenye pande nne na pembe nne; behewa kati ya nyumba; uwanja uliozungukwa na nyumba pande zote quadratic,adjective,-a mraba quadrilateral,noun,-a pembe nne quadruped,noun,mnyama wa miguu minne quadruple,noun,mara nne quadruple,adjective,-a sehemu nne; enye kukubaliwa na pande nne quail,noun,tomiboro: ndege mdogo kama kwale quail,verb transitive,jikunnyata kwa hofu; tetema kwa hofu quake,verb intransitive,"tetemeka. earth ~, tetemeko la ardhi" Quaker,noun,madhehebu ya kikristo yanayofuata misingi ya amani na urafiki qualified,adjective,enye sifa zinazostahili qualifier,noun,kivumishi; sharti qualify,verb transitive/intransitive,stahili; stahili; wekea mipaka; pambanua; (grammar) vumisha. qualification qualify,noun,"sifa; tabia; kikwazo; mipaka; sharti; uwezo. a doctor's qualifications, sifa za kuwa daktari" quality,noun,sifa; tabia; aina; ubora; jinsi qualm,noun,shaka; wasiwasi; kuburukwa na tumbo quantify,verb transitive,"pima, eleza kisia hicho" quantity,noun,"kiasi; kadiri; kima; wingi; idadi. an unknown ~, mtu (au kitu) asiyetabirika; alama ya hesabu ionyeshayo idadi" quantum,noun,kiasi kinachotakiwa; kwanta: namba za kwanta quarantine,noun,karantini quark,noun,kwaki: moja kati ya chembe sita za msingi zinazodhaniwa kujenga protoni na nyutroni quarrel,noun,ugomvi; utesi; mzozo; kisa cha ugomvi quarrel,verb intransitive,gombana quarry,noun,kware; machimbo; karakana ya mawe quart,noun,kwati: kipimo cha ujazo cha painti mbili; robo galoni quarter,noun,"robo; kiga cha mnyama; upande; mtaa; makazi. a ~ of mutton, kiga cha kondoo. Men ran from all ~s, watu walikimbia kutoka pande zote. at close ~s, karibu sana" quarter,verb transitive,gawa sehemu nne; pa malazi. ~ day quarter,noun,siku ya mwisho ya robo mwaka quartile,noun,mojawapo ya sehemu ambamo data ya takwimu imegawiwa kupata mafungu manne sawa quartz,noun,kwazi: silika ya kiasili ya kifuwele; namna ya jiwe gumu jeupe la kung'aa quasar,noun,kitu kama nyota ambacho ndicho chanzo cha mawimbi ya sumakuumeme; mawimbi; mwanga wa radio wa mbali sana quay,noun,gati; liko; diko queen,noun,mke wa mfalme; malkia queer,adjective,geni; enye kutia wasiwasi queer,verb transitive,(colloq.) haribu; potosha quell,verb transitive,komesha; zuia; tuliza; nyamazisha quench,verb transitive,zima; zimisha; poza chuma query,noun,swali; alama ya kuuliza query,verb transitive,taka maelezo zaidi juu ya jambo; saili question,noun,"swali; suala; mada. It is out of the ~, haiwezekani. It is only a ~ of time, ni suala la wakati tu. beyond ~, hakika; hakika. call in ~, zungumzia; jadili juu ya" question,verb transitive/intransitive,uliza; hoji; saili; a na shaka queue,noun,foleni; msururu; msuko wa nywele wa mkia quibble,noun,ukwepaji wa swala quibble,verb intransitive,piga chenga swala kwa kuzungumza jambo lingine quick,noun,"nyama chini ya kucha. -adj. epesi; hodari; -elekevu, -enye akili" quick,verb transitive,"to understand, epesi wa kufahamu; -witted, -erevu. to take offence, epesi wa kuudhika. -tempered, epesi wa hasira. the ~ and the dead, wazima kwa wafu. (fig.) It touched him to the ~, limchoma moyoni" quiet,noun,utulivu; kimya quiet,adjective,"-tulivu; kimya: -a siri. an hour's ~, saa moja ya kimya" quinine,noun,kwinini quit,verb transitive/intransitive,"(+ -ted, quit), acha; achilia; ondoka; ondosha. They ~ ted themselves like men, wali ondoka kiume; adji. -lioachiliwa. -liondokana na. be ~s, ridhiana; patana" quite,adverb,"kabisa; kamwe; hasa. He is -blind, yu kipofu. It is -" quiver,noun,mtetemeko quiver,verb intransitive,tetemeka; tikisika; mfumo wa kutunzia mishale quiz,noun,chemsha bongo; fumbo; jaribio la maswali; mtihani mdogo quiz,verb transitive,uliza maswali ya mtihani; dhihaki; chokoza quota,noun,sehemu ya haki iliyopasa; idadi ya kikomo; kiasi kilichopasa quotation,noun,kidondoa; dondoo quote,verb transitive,dondoa; tumia maneno ya; toa maneno kushuhudia; taja quotient,noun,mgao; hisa rabbi,noun,rabi; mwalimu au kiongozi wa dini ya Kiyahudi rabbit,noun,sungura rabble,noun,watu wengi wenye ghasia rabid,adjective,-enye kichaa cha mbwa rabies,noun,kichaa cha mbwa race,noun,shindano la mbio; mkondo wa maji wa kasi race,verb intransitive,"shindana mbio. against time, kimbilia wakati" race,verb transitive,shindanishwa mbio; endesha kwa kasi. racing race,noun,mashindano ya mbio ya farasi. course race,noun,uwanja wa mbio za farasi. -horse race,noun,farasi wa mbio race,noun,kabila racial,adjective,"-a kabila; -a kikabila au rangi. racial discrimination, ubaguzi wa kikabila. racial segregation, ubaguzi wa kikabila" rack,noun,uchaga; chanja; shubaka la kuweka mizigo ndani ya basi; kitanda cha kutesa rack,verb transitive,"tesa; nyanyasa. He was -ed with grief, aliteswa na majonzi. one's brains, fikiri sana; tafakari" racket,noun,ghasia; makelele; utapeli racket,noun,"raketi, kiatu cha kutelezea kwenye theluji" radar,noun,rada; chombo cha kuvuta sura za viumbe vinavyokaribia katika eneo radial,adjective,-a miali au -a nusu kipenyo radiance,noun,mwanga; wangavu; uzuri; nuru radiant,adjective,angavu; -a kung'aa; ng'avu; -enye kupeleka miali ya mwanga; -enye uso wa furaha; -enye kusafirisha kwa miali radiation,noun,mnururisho radiator,noun,rejeeta radio,noun,simu ya upepo; redio; matangazo ya redio radioactive,adjective,-enye uwezo wa kunururisha; nururishi radioactivity,noun,"chembe alfa au chembe beta za mnururisho; mnururifu. radio astronomy, unajimu redio: mtaala wa magimba kwenye ulimwengu na matukio yake kwa kutumia njia" radium,noun,radiamu: madini ya thamani kubwa yenye kutoa nuru na nguvu za umeme radius,noun,(radii) nusu kipenyo raffia,noun,chane kama za ukindu; mwale; mbale raffle,noun,bahati nasibu raffle,verb transitive,piga kura kwa fedha raft,noun,chelezo; boya rafter,noun,kombamoyo; pau rag,noun,tambara; chepe rage,noun,"hasira kali; ghadlhabu; uchu. suits are all the ~, watu wote huitamani suti vi. kasirika; ghadlhibika; (kwa tufani, etc.) chafuka" raid,noun,shambulio la ghafla la vita; uvamizi wa polisi. v.t/i shambulia; pora; vamia rail,noun,"chanja za kitalu; mwinjo; reli. go off the ~s, toka katika njia; (fig.) pata wazimu; enda kombo" rail,verb transitive,safirisha kwa reli. ~ing (s) rail,noun,papai za reli rain,noun,"mvua. long ~s, masika" rain,verb intransitive,nya; nyesha; tiririka rain,verb transitive,toa kwa wingi raise,noun,"yongeza. -v.t. inua; kweza; pandisha; sababisha; leta mjadala; otesha; fuga; lea; changa; kuza. The motorcars ~ed the dust, gari zilifua vumbi. - a new point, leta wazo jipya. - a question, uliza swali. - an army, unda jeshi. - a loan, kopa fedha. - a siege, komesha uzingiaj" rake,noun,reki: kifaa chenye mpini na meno kitumikacho katika bustani. v.t/i zoa au sawazisha kwa reki rally,noun,mkusanyiko wa watu; mashindano ya magari rally,verb transitive,kusanya tena; unga mkono rally,verb intransitive,kusanyika tena ram,noun,kondoo dume; mtambo wa kubomolea. v.t.(-mm) shindilia; piga kwa nguvu RAM,noun,ufupisho wa random access memory: kumbukumbu ya fikio nasibu (KUFINA): kumbukumbu ambazo mfumo wa uendeshaji diski (MUDI) katika kompyuta huhifadhi programu na data kwa muda random,noun,"at ~, bila taratibu; ovyo" range,noun,"safu ya milima; uwanja wa shabaha; masafa ya risasi au mzinga; masafa ya sauti kusikika; eneo; mawanda; eneo la kuchungia. out of rifle ~, nje ya masafa ya risasi. at shot ~, kwa karibu. at long ~, kwa mbali. a wide ~ of prices, bei anuwai. a wide ~ of colours, rangi anuwai. the annual ~ of temperature, kima cha vipimo vya hali ya hewa vya mwaka" range,verb transitive,"panga; enea; fikia. - oneself, jitia" rank,noun,"safu; safu ya askari; cheo; daraja; tabaka; kiwango. other ~s, askari wasio maafisa. He was promoted to the ~ of sergeant. alipandishwa cheo cha usajini" rank,verb transitive,weka; panga rank,verb intransitive,wekwa; pangwa ransom,noun,kikomboleo; fidia ransom,verb transitive,komboa; fidia rape,noun,ubakaji; uporaji rape,verb transitive,baka; pora. rapist rape,noun,mbakaji rapid,noun,maporomoko; mkondo mkali rapid,adjective,epesi; a kasi rare,adjective,adimu; sio na kifani; sio ya kawaida rarity,noun,uadimifu; tunu rash,adjective,ukurutu; upele rat,noun,panya rate,noun,"kima; kiasi; daraja. at this ~, kwa kiwango hiki. at any ~, kwa vyovyote vile. first ~, bora kabisa" rather,adverb,"kidogo; kiasi; heri; afadhali. He is ~ better, hajambo kidogo. I would ~ do this than that, heri nifanye hivi kuliko vile. yes! hakika!" ratify,verb transitive,ridhia; idhinisha; thibitisha. ratification ratify,noun,idhini; ridhia; uthibitisho; uhakikisho ratio,noun,uwiano ration,noun,resheni; mgao; posho ration,verb transitive,gawa rational,adjective,kimantiki; a kirazini; razini; a uwiano rattle,noun,mtatariko; mtataliko; kayamba; manyanga; ubwataji rattle,verb transitive/intransitive,tatarisha; tatarika; tatalika; sema upesi upesi rave,verb intransitive,payuka ravenous,adjective,enye njaa kuu ravine,noun,bonde; korongo raw,adjective,"bichi; ghafi; -sio na uzoefu; enye unyevunyevu. change ~ materials, mali ghafi. recruit, askari kuruta" ray,noun,mwonzi; mstari utokao kwenye kitovu cha kitu razor,noun,wembe reach,noun,uwezo wa kufikia; mnyoosho wa mkono reach,verb transitive/intransitive,"nyoosha mkono; fika hadi; fika. as far as the eye can ~, upeo wa macho" react,verb transitive/intransitive,"onyesha hisia; athiri; pinga; kataa; jibu; tendana. Children - to kind treatment by becoming more confident, watoto huwa jasiri kwa upole" ready,adjective,tayari; a upesi; reagent,noun,kitendanishi: dutu ya kikemikali inayosababisha au kuleta utendaji wa kikemikali real,adjective,"•a kweli; halisi. (law) property, estate, mali isiyohamishika. • image, taswira halisi: taswira inayotokana na mkutano wa mali ya kweli ambayo huweza kutupwa kwenye kiwambo" realization,noun,utambuzi; matunda; matokeo; ubadilishanaji mali kwa fedha realize,verb transitive,elewa; tambua; limka; fanikisha; pata faida au bei; badilisha mali kwa fedha ream,noun,rim: karatasi takriban 500 za kuandikia zilizofungwa katika robota moja rear,noun,nyuma reason,noun,"sababu; akili; mantiki; urazini; kweli; maana; madhumuni. it stands to ~ that, imebainika kuwa. do anything in ~, fanya chochote chenye maana au cha kiasi. v.t/i. tumia akili; waza; fikiri; jenga hoja" reassure,verb transitive,ondoa mashaka; thibitisha; tuliza; pa moyo; poza rebate,noun,nafuu ya bei kwa kulipa fedha taslimu rebel,noun,mwasi rebel,verb intransitive,(-ll-) asi; Kataa rebound,noun,mduto rebound,verb intransitive,duta; rudi nyuma recall,verb transitive,"kumbuka; tangua; batilisha; ita tena. beyond ~, sioweza kurudi; sifanyikika tena; siobatilika" recapitulation,noun,muhtasari; ufupisho recede,verb intransitive,"enda nyuma; rudi; pungua. from view, tokomea" receipt,noun,"risiti; stakabadhi; upokeaji; mapato; maduhuli. On ~ of the news he went, alipata habari alikwenda. The ~s of the business increased, mapato ya biashara yaliongezeka" recent,adjective,a karibu; ya siku hizi; ypa reception,noun,"mapokezi; malakaha; makaribisho; tafrija; kusikika kwa redio. Is radio reception good in your town? Je redio husikika vizuri mjini kwenu? a reception desk, mapokezi" receptive,adjective,sikivu; epesi kupokea ushauri receptor,noun,kipokezi: ogani yenye tishu za neva ambazo hutitikia kwa kiamshi maalumu recess,noun,muda wa mapumziko; mahali pa ndani; shubaka recipe,noun,maelezo ya mapishi; maelezo ya kufanya jambo recipient,noun,mwenye kupokea reciprocal,adjective,"-a kubadilishana; -a kupeana; a wao kwa wao; -a kukubaliana; -a kutendeana; a kutendeana. - help, kusaidiana. reciprocate vt./i peana; tendana; lipa; rudisha; enda mbele na nyuma" recline,verb intransitive,inama; lala; jinyooosha; egemea recollect,verb transitive/intransitive,kumbuka. -ion n. kumbukumbu; jambo lililokumbukwa recommend,verb transitive,sifu; pendekeza; shauri; nasihi. -ation n. sifa; upendekezaji; pendekezo reconcile,verb transitive,"patanisha; suluhisha; linganisha. sb.'s statement with the facts, linganisha maneno ya mtu na mambo yaliyow. • oneself to sth., vumilia; ridhia. reconciliation" reconcile,noun,suluhu; upatanishi record,noun,rekodi; kumbukumbu; maandishi; tarifa iliyoandikwa; sahani ya santuri; ushahidi; sifa record,verb transitive,"andika; rekodi; onyesha. What temperature does the thermometer -? kipima joto kinaonyesha kiasi gani? a man with a good -, mtu mwenye sifa nzuri. break the -, vunja rekodi" recount²,noun,hesabu ya mara ya pili recount²,verb transitive/noun,hesabu mara ya pili recount¹,verb transitive,simulia; eleza recreation,noun,burudani; mapumziko recruit,noun,mwanachama mpya; kuruta recruit,verb transitive,"andikisha. one's strength, jiburudisha; pumzika. -ment n. uandikishaji askari au wanachama" recrystallization,noun,ufuwelikaji mrudio; njia ya kusafisha dutu kwa kurudia ufuwelikaji rectangle,noun,mstatili. rectangular rectangle,adjective,-a mstatili rectification,noun,urekelebishaji; usahihishaji; kirekebishi. rectifier rectification,noun,mtu au kitu kinachorekebisha au kinachosahihisha recur,verb intransitive,"(-rr-) rudia; rejea. -ring to what I said yesterday," recycling,noun,urejelezaji: gangiza dutu ambavyo imetumika ili ifae kutumika tena red,noun,rangi nyekundu; nguo nyekundu red,adjective,-ekundu redgiant,noun,sikukuu redox reaction,noun,utendaanji unaksioski: utendaanji wa uoksidishaji unakisishaji redress,noun,"fidia; jaza; marekebisho vt. fidia; rekebisha. the balance, sawazisha urari tena" reed,noun,"utete; mafunjo; egea a broken ~, kitu au mtu asiyeweza kutumainiwwa" reef,noun,mwamba reel,noun,"kireli; vt. kunja kwenye kireli; sepetuka, shtuka; yumba-yumba" refer,verb intransitive,rejea referendum,noun,kura ya maoni reflex,noun,tendosihari; tendohisia reflex,adjective,a tendohisia; a tendohari; a kujinedea reflexion,noun,"kuakisi; fikira; mawazo; mfano; picha, pindu-shutuma. ~ed ray" reform,noun,mageuzi; marekebisho; kuongoa reform,verb transitive/intransitive,rekebisha; hidi; ongoa; ongoka refrain,noun,kiitikio; kibwagizo; kipokeo refrain,verb intransitive,jizuia; acha kufanya; epuka refresh,verb transitive,burudisha; changamsha; kumbusha. ~ one's memory jikumbushe. ~zuri refrigerate,verb transitive,tia baridi; gandisha kwa baridi. refrigerator refrigerate,noun,friji; jokofu; jorafu refuge,noun,mahali pa salama; kimbilio refund,noun,malipo refund,verb transitive/intransitive,rudisha fedha; lipa refuse,verb transitive/intransitive,kataa; katalia; nyima. refusal refuse,noun,kukataa; haki ya kukubali au kukataa refuse,noun,takataka regain,verb transitive,pata tena; rudia mahali regal,adjective,a kifalme; a kustahili mfalme regard,noun,utazamaji; mazingatio; itibari; heshima; salamu; hoja regard,verb transitive,tazama kwa makini; angalia; heshimu regenerate,verb transitive,ongoa; fufua; ota tena regent,noun,mtawala wa muda badala ya mfalme; naibu wa mfalme. regency regent,noun,utawala wa kukaimu regime,noun,mfumo wa utawala regiment,noun,rejimenti; kikosi chini ya kanali regiment,verb transitive,amuru; lazimisha region,noun,mkoa; eneo; sehemu register,noun,"rejista; rejesta; daftari yenye rekodi; mashine ya kufanya hesabu; kima cha sauti. a cash ~, mashine ya kurekodia mwendo wa fedha" register,verb transitive/intransitive,andikisha; rajisi; sajili; tuma barua ya rejista; onyesha hisia; onyesha kipimo registrar,noun,msajili; mrajisi. registration registrar,noun,uandikishaji; usajili registry,noun,ofisi ya msajili; usajili; mnasado regret,noun,majuto; masikitiko; majonzi regret,verb transitive,(-tt-) juta; jutia; sikitika; sikitikia regular,adjective,a kawaida; enye kukubalika; enye utaratibu unaofana; enye kufuata sheria; enye kufanyika mara kwa mara; enye miyanwabiliko na mabadiliko ya kawaida; linganifu. a soldier: askari mzoefu regulate,verb transitive,rekebisha; dhibiti. regulation regulate,noun,kanuni; taratibu; urekebishaji. regulator regulate,noun,kirekebishaji; mrekebishaji rehabilitate,verb transitive,karabati; tengeneza upya; wezesha kuishi maisha ya kawaida; rudishia mtu cheo rehearsal,noun,mazoezi; masimulizi rehearse,verb transitive/intransitive,kariri; simulia; fanya mazoezi reign,noun,utawala; enzi reign,verb intransitive,"tawala; miliki. Silence -s, kimya kinatawala" reimburse,verb transitive,lipa rein,noun,hatamu rein,verb transitive,zuia au ongoza kwa hatamu reinforce,verb transitive,ongeza nguvu; imarisha reinstate,verb transitive,rudishia nafasi au heshima yake; rejesha mahali pake reject,verb transitive,tupa; kataa; kana rejoicing(s),noun,shangwe; furaha; nderemo relapse,noun,urudiji hali mbaya ya awali relapse,verb intransitive,rudia hali mbaya; rudia mwendo mbaya relation,noun,"masimulizi; maelezo; uhusiano; mahusiano; udugu; nasaba. in to, kuhusu. have business ~s with a firm in Zanzibar, kuwa na mahusiano ya kibiashara na kampuni ya Zanzibar. friendly ~s between countries, urafiki baina ya nchi" relation,noun,kufunua; ufunuo; habari iliyofunuliwa relationship,noun,uhusiano; udugu; mahusiano relative,noun,jamaa; ndugu relativity,noun,"nadharia ya Einstein kwamba vipimo vya mwendo, nafasi na wakati kama wanda wa nne vinawiana; nadharia tete ya Sapir na Whorf kwamba lugha hutawala namna watu wanavyosawiri ulimwengu wao" relay,noun,ubadilishanaji zamu; mtambo wa kupokea na kurusha habari. race mbio za kupokezana vijiti. v.t release,noun,kufunguliwa; kufungua; uwekeji huru; ruhusa release,verb transitive,fungu; weka huru; ruhusu kutolewa; ruhusu kutangazwa relevant,adjective,a kuhusu jambo lenyewe; husika reliable,adjective,a kutegemewa; a kuaminika; a kutumainiwa. reliance reliable,noun,imani; tegemeo; tumaini. reliant reliable,adjective,"enye kujitegemea. self reliant, a kujitegemea" relief,noun,"msaada; faraja; kitulizo; nafuu; burudisho; upokeanaji. a ~ map, ramani mwinuko wa ardhi. in sharp ~, kwa udhihiri. The trees in the picture stood out in sharp ~, miti katika picha ilitokeza waziwazi" relieve,verb transitive,fariji; punguza; tuliza; dhihirisha religion,noun,dini; imani religious,adjective,a dini; a ucha Mungu; a utawa; a imani relinquish,verb transitive,acha; achilia reluctant,adjective,"be ~, topenda; sita; kaidi. reluctance" reluctant,noun,kukataa; ukaidi rely,verb intransitive,"on, tumainia; tegemea; amini; tawakali" remain,verb intransitive,baki; salia; dumù; kaa. ~der v.n. baki; bakaa; salio remark,noun,"maoni; tamko; neno. v.t/i. angalia; ona; sema; nena; toa maoni. nothing worthy of ~, hapana jipya" remedy,noun,dawa. remedial remembrance,noun,ukumbusho; kumbukumbu; salamu remission,noun,"maghufira; msamaha wa deni au adhabu; kulegea au kupungua (kwa maumivu, bidii, etc.)" remnant,noun,bakaa; makombo; mabaki; masazo remonstrate,verb intransitive,pinga. lalamika remorse,noun,majuto; toba; huruma remote,adjective,"a mbali; a zamani; -liotengana; -liopishana sana. I haven't the -st idea, sijui hata kidogo" remuneration,noun,ujira; zawadi; tunzo; jaza. remunerative remuneration,adjective,a kuleta faida renaissance,noun,kipindi cha uhuishaji wa sanaa na fasihi katika karne ya 14 hadi 16 huko Ulay; kipindi cha kuchipuka upya kwa tukio renal,adjective,a mafigo renown,noun,sifa; fahari; jina; umashuhuri; utukufu rent,noun,kodi. vt.i. kodi; kodisha; panga; pangisha repair,noun,"matengenezo; ukarabati. vt. karabati; tengeneza. a road under ~, barabara inayotengenezwa" reparation,noun,malipo; fidia; ufidiaji repeal,noun,utangaji; ubatilishaji; ufutaji. vt. tangua; futa; batilisha repeat,noun,urudiaji. vt.i. rudia; kariri; soma ghubu repercussion,noun,mwangwi; athari; matokeo yasiyotazamiwa replete,adjective,-liojaa; tele repletion,noun,shibe replica,noun,nakala reply,noun,"jawabu; jibu, uitikiaji" report,noun,ripoti; taarifa; uvumi; tetesi; sifa. v.t./i toa habari; toa taarifa; simulia; andika habari shtaki; toa timamu. to the manager for work ripoti kwa meneja tayari kwa kazi repose,noun,mapumziko; utulivu; raha. v.t./i laza; egemeza; lala; pumzika; jinyoosha; sinzia; weka represent,verb transitive,"leta; toa; fanya; sawiri; mfano wa; wakilisha; iga; igiza; eleza. A picture that ~s the garden of Eden, picha inayosawiri bustani ya Aden. ~ government serikali ya uwakilishi" repress,verb transitive,zima; zuia; komesha; nyamazisha reprieve,noun,achilio la muda; ucheleweshaji adhabu ya kifo kwa muda reprieve,verb transitive,ahirisha adhabu ya kifo; achilia kwa muda reprimand,noun,lawama; kemeo; karipio reprimand,verb transitive,laumu; kemea; karipia reprisal,noun,ulipizaji kisasi; vitendo vya kulipizia kisasi reproductive,adjective,a uzazi; enye uwezo wa kuzaa reptile,noun,mnyama baazi; mnyama wa ngeli ya reptilia republic,noun,jamhuri repugnant,adjective,a kuchukiza; a kukirihi; kinzani; -enye kugongana. repugnance repugnant,noun,chuki; karaha repulse,noun,ufukuzaaji; ufukuzwaaji; chuki repulse,verb transitive,rudisha nyuma; fukuza; kataa; katisha tamaa repulsion,noun,uchukivu; kufukuzwa; kurudishwa nyuma. repulsive repulsion,adjective,a kuchukiza; baya reputation,noun,sifa; heshima. reputable reputation,adjective,a sifa njema; mstahiki repute,noun,sifa; heshima. reputed repute,adjective,sifika kwa; julikana kwa request,noun,ombi; haja; matakwa. be in ~ hitajika; takiwa; tafutwa request,verb transitive,taka; sihi; omba requiem,noun,t̠em̠i misa ya kuwaombea waliofariki require,verb transitive,"hitaji; taka; kwa nguvu, amrisha; lazimisha" requisite,noun,mahitaji; lazima requisite,adjective,-liotakiwa. requisition requisite,noun,mahitaji requisite,verb transitive,omba mahitaji rescind,verb transitive,tangua; batilisha; futa rescue,noun,wokovu; msaada; uokoaji; uokolewaji rescue,verb transitive,okoa; saidia research,noun,utafiti; uchunguzi research,verb intransitive,chunguza; tafiti resemble,verb transitive,fanana na; shabihi. resemblance resemble,noun,mshawabaha; ufananaaji resent,verb transitive,chukia; udhika; kasirika reservation,noun,uwekaji au uwekeaji; shaka. without - bila kinyongo; bila ya gatigat. -d adj. liohifadhiwa; -nyamavu reserve,noun,akiba; hifadhi; mchezaji au askari wa akiba; pingamizi reserve,verb transitive,"weka akiba, weka kwa matumizi maalumu. a game ~ mbuga ya wanyama. forest " reservoir,noun,tangi; hodhi; bwawa; ziwa residue,noun,masalio; makapi; machuba; machicha; mabaki resign,verb transitive,"acha; jiuzulu; achisha; uzulu. - oneself to, kubali bila kulalamika. -ed adj. vumilivu; a kukata tamaa. He is quite ameridhika. -ation n. kuacha kazi; kujiuzulu; ombi la kujiuzulu; uvumilivu" resilience,noun,unyumbukaji; unepaji; unesaji. resilient resilience,adjective,-a kunyumbuka; -a kunesa; -a kunepa resin,noun,utomvu resolute,adjective,thabiti; shupavu; imara resolution,noun,azimio; uamuzi; uthabiti; nia; mchanganuo; mgao resolve,noun,azimio; azma; nia; kusudio; ushujaa. v.t/i. nuia; kusudia; amua; pitisha; tatua; komesha resonance,noun,mwangwi; mvumo; sauti yenye kuendelea kwa mtetemo resonant,adjective,-a mwangwi; -a kuvuma; -a kufululiza kwa mtetemo resort,noun,msaada; tegemeo; kimbilio; mahali maalumu pa kutalii resort,verb intransitive,"to kimbilia; tumia; ishia; tembelea. a seaside -, mahali pa kutalii ufukweni" resource,noun,mali; nyenzo; uwezo; werevu; akili. -ful adj. -a busara; elekevu; -erevu; -a akili respect,noun,"heshima; taadhima; staha; itibari; salamu. in this one - kwa hili. in all -s, kwa hali zote" respect,verb transitive,heshimu; jali; pendelea; stahi. -able adj. -a heshima; -stahiki; -a kiasi. -ably adv. kwa heshima. -ability n. unyofu. -ful adj. stahifu; heshimu. -ing respect,preposition,juu ya; kwa; kuhusu. -ive adj. -a pekee; kwa kila mhusika. -ively adv. moja moja; mbalimbali respirator,noun,"kipumulio. respiratory organ, ungo pumuo; ungo katika wanyama linalowezesha kuvuta oksijeni na kutoa dioksidi kaboni" respire,verb intransitive,vuta pumzi; pumua. respiration respire,noun,respire; sheni; upumu; upumuaji respite,noun,nafasi; pumziko; buraha; uahirishaji respite,verb transitive,ahirisha; pa nafasi respond,verb intransitive,"jibu; itika; itikia; vutika; ongezeka. He always -s to kindness, avutika daima kwa upole" response,noun,jibu; jawabu; uvutkaji. responsive response,adjective,"-a kujibu; -a kuvutika; -a kushawishika; -a kuitikia; -a kuitiko, kuongezeka kwa urahisi au kwa upesi" responsible,adjective,"-enye madaraka; -a kuaminiwa. be to sb. for sth., wa dhamana wa matendo fulani. He is - for the whole loss, ni dhamana wa hasara yote. He's a really - person, ni mtu mwaminifu sana. government, serikali wajibikaji. responsibility" responsible,noun,dhamana; jukumu; madaraka; restaurant,noun,hoteli; mkahawa restitution,noun,kulipa; malipo; ukombozi restoration,noun,matengenezo; ukarabati; urudishaji; ulipaji restore,verb transitive,rudisha; lipa; tengeneza; ponya; rudisha kazini restrain,verb transitive,zuia; rudisha restrict,verb transitive,wekea mipaka; zuia rest²,noun,baki; sazo; -ingine -ote rest²,verb transitive,"kaa; dumu; tegemea; weka mikononi mwa. Success ~ is on his answer, mafanikio yanategemea jibu lake. It ~s with you to decide, uamuzi ni wako" rest¹,noun,raha; pumziko; usingizi; buraha; mhimili; kituo. v.t/i. tulia; tuliza; pumzika; pumzishia; egemeza; egemea result,noun,matokeo; athari result,verb intransitive,tokea; wa resume,verb transitive,anza tena; rudia tena; endelea resumption,noun,uendeleaji; urudiaj; uanzaji tena resurrect,verb transitive,fufua ~ion resurrect,noun,ufufuo; ufufuo siku ya kiyama retail,noun,rejareja; uchuuzi. v.t/i. uza rejareja; chuuza retain,verb transitive,shika; ajiri; shika; zuia ~er retain,noun,(la zamani) mtumishi wa mtu mkuu; ada wa wakili retaliate,verb transitive,lipiza kisasi. retaliation retaliate,noun,kisasi; ulipizaji kisasi retina,noun,retina: sehemu ya nyuma ndani ya jicho ambayo hupokea nuru na kujenga taswira retiring,adjective,-nyamavu; makini retort,noun,jibu kali. v.i/t. jibu kwa ukali; itika kwa ukali; jibizana retrace,verb transitive,"fata dia nyuma; rudi ulikotoka; fuatilia; rudia mambo yaliyopita. He ~d his steps, alirudi nyuma" retreat,noun,ukimbiaj; kurudi nyuma; mahali pa faragha; kimbilio retreat,verb intransitive,rudi nyuma; kimbia retribution,noun,malipo yanayostahili; rada retroactive,adjective,kuhusu mambo ya nyuma; -a kutazama nyuma retrograde,adjective,-a kurudi nyuma; -a kuwa -baya; -a kuharibika. retrogression retrograde,noun,kurudi nyuma; kuharibika. retrogressive retrograde,adjective,-a kurudi nyuma; -a kuharibika; -a kuathiriwa retrospect,noun,utazamaji wa yaliyopita; ukumbukaji wa zamani. in ~ kwa mtazamo wa nyuma return,noun,kurudi; kurudishwa; kwenda; kupeleka; kuja; kutoa; faida; taarifa rasmi. v.t/i. rudi; rejea; rudisha; rudia; lipa; jibu; itika; chagua tena kuwa mbunge au mwakilishi reunion,noun,kuungana tena; kurudi; kurudiana revenge,noun,kisasi; ulipizaji kisasi revenge,verb transitive,"lipiza kisasi. he ~ed on sb. for sth., oneself on, jilipiza kisasi" revengeful,adjective,a kutaka kulipiza kisasi revenue,noun,mapato; maduhuli; ushuru revere,verb transitive,heshimu sana; cha; tukuza; stahi sana reverend,adjective,mheshimiwa; msta hliwa; msta hlik; padri; mchungaji reverent,adjective,a kustahi; nyenyekevu reverse,noun,"kinyume, upande wa pili; ushinde; mkosi; nyuma" reverse,adjective,"a kinyume; ~ a nyuma the side of a gramophone record, upande wa pili wa sahani ya santuri" reverse,verb transitive,pindua; geuza; rudisha nyuma; rudisha nyuma; batilisha; tangua. reversal reverse,noun,upinduaji; kupindua. reversible reverse,adjective,"a kupindulika; a kutumika kuwili. reversible reaction, mmeyuko pitukaji: utendaji wa kikemikali katika hali zinazofaa ambao unaweza kufanywa uendelee mbele au kurudi nyuma na kupatikana masawazo kemikali" revert,verb intransitive,rudia hali ya kwanza; rudi rejea review,noun,"kuangalia upya; ukaguzi; muhtasari; tahakiki; mapitio, jarida la mambo ya sasa" review,verb transitive/intransitive,angalia; tafakari; kagua rasmi; hakiki revise,verb transitive,fikiria upya; pitia kwa masahihisho; geuza; badilisha; tengeneza. revision revise,noun,masahihisho; kudurusu revive,verb transitive/intransitive,fufua; fufuka; huisha; huika; anzisha tena; anza tena. revival revive,noun,ufufuo; ufufuaji; uhuishaji. revivalist revive,noun,"mhuishaji, hasa dini" revoke,verb transitive,tangua; futa; kanusha; batilisha; ondoa. revocation revoke,noun,utangaji; ubatilishaji revolt,noun,maasi; uasi revolt,verb intransitive/transitive,"asi; chukizwa; chukiza; kirihishwa; kirihi. Scenes that ~ed all who saw them, mambo yaliyowachukiza wote walioyaona" revolution,noun,mzunguko; mapinduzi revolve,verb intransitive/transitive,zunguka; zungusha; tafakari revolver,noun,bastola reward,noun,zawadi; thawabu; jaza; tunzo. vi. ~pa zawadi; tunza; lipa rheumatic,adjective,a baridi yabisi rheumatism,noun,baridi yabisi; uele wa viungo; jongo rhinoceros,noun,kifaru rhizome,noun,shina koka; aina ya shina linalotambaa ndani ya ardhi rhomboid,noun,romboidi: msambamba wenye pande pakani si sawa rhomboid,adjective,a kama romboidi rhombus,noun,rombasi: msambamba wenye pande zote sawa rhyme,noun,kina; urari wa vina; mashairi wa vina; matumizi ya vina rhyme,verb transitive/intransitive,tunga mashairi ya vina; wa na sauti sawa mwishoni rhythm,noun,wiani: mfuatano wiani wa mkazo mkali na hafifu wa lafudhi; mahadhi; sauti; munduo wiani. ~ic (al) rhythm,adjective,a. enye wiani; enye munduo wiani rib,noun,ubavu; taruma; ukuti; mshipa wa jani ribbon,noun,utepe; riboni rice,noun,mchele; mchele wali rich,adjective,enye mali; tajiri; a thamani; enye rutuba; enye lishe; ingi; zuri Richter scale,noun,kipimo cha Richter: kipimo cha kupimia nguvu za tetemeko la ardhi kwa mizani ya alama 1 hadi 10 rid,verb transitive,"(rid au ridded) toa; safisha; ondoa. - a house of mice, ondoa panya nyumbani; get - of a cough, pona kikohozi. -dance n. uondokaji; uepukaji" riddle,noun,kitendawili; fumbo ride,noun,"kupanda; usafiri wa kupanda; safari ya kipando. v.t/i. (rode, ridden) panda kipando; endesha kipando; shindana kwa kipando; piga chuchuli; elea baharini. -r n. mpanda farasi; shauri lililotiiwa katika mswaada baadaye" ridge,noun,mgongo; mtwiko; tuta; mgongo wa vilima ridicule,noun,dhihaka; mzaha; cheko ridicule,verb transitive,cheka; fanyia mzaha; dhihaki; kebehi ridiculous,adjective,-a kuchekwa; -a mzaha; -a upuuzi rifle,noun,bunduki; kikosi cha askari wa bunduki rifle,verb transitive,chakura; pekua ili kuiba rift,noun,ufa; bonde; mwtatuko; mpasuko right²,noun,wema; haki; ukweli; hali halisi right²,adjective,"-a haki; nyofu; adilifu; -a kweli; ema; salihi; halisi; -a kufaa; ~ angle, pembe pe mbra ba. the ~ side, upande unaofaa" right²,adverb,"sawasawa; kabisa; hasa; moja kwa moja; sana. by ~ (s), kwa haki; barabara; by ~ of, kwa sababu ya" right²,verb transitive,"simamisha wima; simamisha; tengeneza. -about turn, kueguka kabisa. -eous adj. nyofu; adilifu; enye haki. -eousness n. wema; uadilifu; haki; unyofu; madili. -ful adj. -a haki; -a adili; ema. -ly adv. kwa haki; kwa kweli; kwa usahihi" right¹,noun,kulia; kuume; mrengu wa kulia. -adj. -a kulia; -a kuume right¹,adverb,"vyema; kwa upande wa kulia. go to the end, enda mpaka mwisho kabisa" rigid,adjective,"siopindika; gumu; imara; -siobadilika. -a rule, kanuni isiyobadilika. -ity n. ukavu; ugumu; uthabiti; uimara" rigour,noun,ugumu; ukali; hali ngumu. rigorous rigour,adjective,gumu; kali rim,noun,mzing; ukingo; rimu; fremu rim,verb transitive,(-mm-) -wa ukingo; tia ukingo rind,noun,ganda; gome ring²,verb intransitive,"t (rang, rung) lia kama kengele, piga kengele, vuma. - up sb., pigia simu mtu. - off, kata simu. - the changes, fanya kwa namna mbalimballi" ring¹,noun,"mviringo; pete; kipete; duara; genge; kundi; ulingo. -leader n. kiongozi wa uasi. - of fire, zonimototo: eneo la matetemeko na miripuko ya volkano lenye urefu wa kilomita 32,500 ambalo limeizunguka Bahari ya Pasifiki. -worm n. choa; puuye; chawyi; bato" rinse,verb transitive,osha kwa maji safi; suuza; sukutua riot,noun,ghasia; fujo; vurugu; makelele; jazba riot,verb intransitive,fanya ghasia au fujo. -er n. mfanya ghasia. -ous adj. -a kuleta ghasia; -a makelele rip,noun,mpasuko; mahali palipopasuka. v.t/i (-pp-) rarua; tatua; pasua ripe,adjective,bivu; pevu; tayari. -n v.t/i. ivisha; pevusha; iva; pevuka ripple,noun,"mlio wa wimbi kiwimbi. (fig.) a ~ of laughter, sauti ya kicheko" rise,noun,mwinuko; kilima; ongezeko; kuchomoza; kubuka; mwanzo; asili rise,verb intransitive,"(rose, risen) enda juu; paa; inuka; simama; amka; chomoza; tokeza; ibuka; asi; - to an occasion, weza kukabili hali. give ~ to, wa sababu ya; take ~ out of sb., kasirisha mtu kwa kumfanyia mzaha. rising" rise,noun,"uasi; mwinuko; wa -adj. -a kupanda; -a kuendelea; -a kuongezeka. the rising generation, kizazi cha leo. rising twelve, -a karibu kufika umri" risk,noun,"hatari; mashaka; thamani ya bima. take ~s, jihatarisha; bahatisha at the owner's: juu ya mwenye mali" risk,verb transitive,"hatarisha; bahatisha; jusurisha. I will - failure, hasara itakuwa juu yangu" rite,noun,kanuni ya dini; ibada; ada. ritual rite,noun,utaratibu wa dini; taratibu za ibada; tambiko rival,noun,mshindani; mpinzani rival,adjective,-shindani; -pinzani rival,verb transitive,(-ll-) shindana na; jaribu kuwa sawa na; taka kushinda river,noun,mto rivet,noun,ribiti rivet,verb transitive,funga kwa ribiti; vutia; vutiwa RNA,noun,"ufupisho wa ribonucleic acid: asidi ribonuklia: asidi zilizopo na sukari ribosi ambazo kazi zake kuu ni kutengeneza protini kwenye seli, hasa katika oganeli ya ribosomu" road,noun,"njia; barabara. take to the ~, zurrura" roar,noun,ngurumo; rindimo roast,noun,nyama iliyookwa; ubanikaji roast,verb transitive,1. choma; oka; banika. 2. kemeca sana rob,verb transitive,(-bb-) ibia; nyang'anya; pora nyima robe,noun,joho robe,verb transitive/intransitive,vika; visha; vaa; valia robot,noun,roboti: mashine ifanyayo kazi kama mtu au mnyama; mtu afanyaye kazi kama mashine ijiondeshayo yenyewe robust,adjective,-enye afya na nguvu nyingi rock,noun,"jiwe; jabali; mwamba. as ~, imara kabisa. be on the ~s, panda mwamba; (fig.) -wa katika mwambo" rock,verb transitive/intransitive,pembeza; tikisa; pembea rocket,noun,roketi; fataki; fashifashi rod,noun,"ufito; kiboko; fimbo. a fishing ~, mwazi wa kuvulia samaki" rodent,noun,"mnyama mgugunaji kama panya, panya buku etc" roe,noun,ng'ofu: mayai ya samaki rogue,noun,ayari; laghai; mhuni; jangili; jambazi; tapeli; mjanja roll,noun,jora; robota; kata ya tumbaku; ukingo uliogeuzwa; mwendo wa kubingiria; orodha (majina); mrama roll,verb transitive/intransitive,bingirisha; bingiria; kunja; zongomeza; sukuma; sukasukwa; yumbayumba; enda mrama; vuma; in. -ja kwa wingi ROM,noun,ufupisho wa read only memory: kumbukumbu ya soma tu (KUSOTU): sehemu ya kumbukumbu ya kompyuta ambayo imerekodiwa aushi Roman,adjective,-a Kirumi romance,noun,hadithi ya mahaba; mapenzi; uzushi romantic,adjective,-enye kujitujimng mambo yaliyoitiwa chunyi; -enye romanticism,noun,"mrengu wa sanaa na fasihi mnamo karne ya 18 na 19 uliotilia nguvu kariha, udhanahia na umuhimu wa mwanadamu kama mhusika mkuu wa matukio" romp,verb intransitive,cheza; chawachawa; rukaruka roof,noun,paa; dari; sakafu ya juu; kilele; kakaa rook,noun,ndege mweusi kama kunguru rook²,noun,laghai; ayari rook²,verb transitive,laghai; danganya; ghilibu room,noun,chumba; nafasi; mwanya roost,noun,kiota cha ndege; kizimba cha kuku roost,verb intransitive,jikalía usiku katika kiota root,noun,shina; mizizi; (fig.) sababu; asili; mwanzo; kiini; kipeo. ~ sth. up (out) ng'oa; ondoa kabisa rope,noun,"kamba; ugwe; ukambaa. know the ~s, elewa jinsi ya kufanya jambo" rope,verb transitive,"tunga kwa kamba. (fig.) ~ sb. in, shawishi mtu ajiunge kufanya jambo" rosary,noun,tasbihi; bustani ya mawaridi rose,noun,waridi; rangi ya waridi. rosy rose,adjective,-a rangi ya waridi; (fig.) -a kutia matumaini rot,verb intransitive,(-tt-) oza; chakaa; (fig.) haribika; ozesha rotary,adjective,-a kuzunguka rotation,noun,"mzungo, mzunguko. in ~, kwa zamu. the rotation of crops, ubadilishaji mazao" rough,noun,fedhuli; jeuri; safihi; mshari; jambazi; mhuni rough,adjective,"-enye mashimoshimo; -a kukwaruza; -enye mawimbi; -kali; -enye fujo; ghafi; siokamilika; -a kukisia -a sea, bahari iliyochafuka. -a idea, wazo la juu juu. and ready, -a kutosha kwa haja ya ghafla. take the ~ with the smooth, furahia mambo ya kupendeza na kuvumilia taabu. v.t. ~en v.t.i. fanya fujo; wa na fujo" round,noun,mviringo; duara; raundi; mzunguko round,adjective,"-a mviringo; -a duara; -a kuviringana; -a kuzunguka; zima; kamili; -ote. at a ~ trip, safari iliyohiyo pale ilipoanzia. in numbers, kwa mamba za makumi. a good ~ sum of money, fedha nyingi. the daily ~, utaratibu wa kila siku. a ~ of applause, vigelegele. -adv. kwa kuzunguka; katika duara; kwa kurudia mahali ulipoanza. look ~, tazama nyuma. all the year ~, mwaka mzima. Hand these books ~, gawa vitabu hivi kwa wote. There is not enough food to go ~, hakuna chakula cha kutosha kwa watu wote. We came the long way ~, tulifuata njia ya mzunguko. bring sb. ~, ziu. come ~, ziuka" round,preposition,kwa kuzunguka au kuzungusha round,verb transitive/intransitive,"viringisha; viringana. -a cape or corner, zunguka rasi au kona" route,noun,njia routine,noun,utaratibu; kawaida ya kila siku; desturi row1,noun,safu; mstari; msafa row3,noun,mabishano; kelele; ghasia; ugomvi; matata royal,adjective,-a kifalme; -a mfalme; -a fahari ty royal,noun,aila ya mfalme; ufalme; mrabaha: malipo ya mwandishi rtp,noun,ufupisho wa room temperature and pressure. halijoto na kanieneo ya chumba; hali joto na kanieneo kama ilivyo katika chumba bila ya kuibadilisha kwa makusudi rub,noun,"usuguaji; msuguo; taabu; pingamizi. v.t./i (-bb-) sugua; pangusa; futa; chua; fikicha. - up, ng'arisha; piga polisi; fanya kiwe kipya. -ber n. mpira; kifutio; mfuatiji; raba" rubbish,noun,taka; takataka; upuuzi rubble,noun,kifusi; kokoto. ruby rubble,noun,rubi: kito chekundu cha thamani: rangi ya rubi rucksack,noun,shanta rudder,noun,usukani rude,adjective,"fedhuli; si -a adabu; a kustutsha: a fujo; -kali; ghafi. get a - shock, shtuka mno. -ly adv. kwa ufedhuli. -ness n. ufedhuli" rudiment,noun,maarifa ya kwanza; mwanzo; asili; msingi; chimbuko; chanzo. -ary adj. -a mwanzo -sioendelea sawasawa; siokomilika ruffle,verb transitive,chafua; vuruga; timua; timka; chafuka; kasirika. easily -d. a kuudhika kirahisi rug,noun,zulia dogo nene; blanketi nene rugged,adjective,"-a mawe mawe; si sawa; sio -a kawaida; enye mikunjo; -enye kunyani. features, uso wenye kunyani" ruin,noun,"uangamizi; uharibifu; magofu; kufilisika. the ~ of my hopes, kuharibika kwa matumaini yangu. a -ed house, gofu" ruin,verb transitive,angamiza; vunja; haribu; filisi rule,noun,"kanuni; kawaida; amri; desturi; serikali; utawala; mamlaka; dola; rula; mstari. as a ~, kwa desturi. v.t./i tawala; hukumu; amuru; piga mstari; amua" ruling,noun,hukumu; uamuzi; amri rum1,noun,pombe ya miwa rum2,adjective,(colloq) -a kigeni; sio -a kawaida; kioja rumble,verb intransitive,nguruma; vuma; tutuma; rindima ruminant,noun,"mecheuzi; mnyama anayechenua; -a kucheua; enye kuzama katika fikra. -ia n. wacheuzi jamii ya mamalia ambao hucheua kama ng'ombe, mbuzi etc" ruminate,verb intransitive,tafuna; cheua; tafakari; waza rumor,noun,uvumi; tetesi; udaku; mng'ong'oneo rumor,verb transitive,"vumisha. It is -ed that, imevuma kuwa. monger, mzushi; mdaku; mvuumishaji" rump,noun,tako la mnyama; mkia wa ndege run,noun,"kukimbia; mwendo wa mbio; njia; mtiririko; safari; kipindi; mshuko wa ghafla; zizi; banda. v.t./-pp- (ran, run) kimbia; kimbiza; (kwa magari) tembea; (kwa mashine) fanya kazi; tiririka; ingia; pata; pita upesi; elekea; chujuka; toboa; choma; endelea; endesha. - into debt, ingia deni. -short of food, pungukiwa na chakula. Many doubts ran through his mind, mashaka mengi yalimpitia moyoni mwake. She ran a comb through her hair, alichana nywele zake. He ran his eyes over the page, alisoma ukurasa juu juu. The road ~s due north, barabara inaelekea kaskazini. Shelves ~ round two" rung,noun,kidato cha ngazi; taruma la kiti rupture,noun,mpasuko; mfarakano. vt/i. pasua; pasuka; farakana rural,adjective,a shamba; ya vijijini rush,noun,"mwendo wa kasi; mahitaji makubwa wa ghafla; kukurukakara; ukurupukaji; toleo la kwanza bila ya kuhaririwa. vi/t. kurupuka; kurupua; timua; harakisha; vamia; shambulia. the hours in the town, saa za shughuli nyingi mjini" rush²,noun,utete rust,noun,kutu; kanga. v/i. ingia kutu; fanya kanga. -ing n. ulikaji; utendanjai wa kikemikali unaotokea juu ya kitu hasa metali na kukifanya kilike na kumalizika polepole. -y adj. enye kutu; a kuchakaa; enye kanga rustle,noun,mchakacho; mchakariho. v/t. chakacha; chakarisha rut,noun,"alama za magurudumu ya magari. get into a -, fuata taratibu hizo kwa hizo daima" ruthless,adjective,pasipo huruma; katili; korofi rye,noun,shayiri sabbath,noun,"sabato; siku takatifu ya kiyahudi, Jumamosi" sabotage,noun,hujuma sabotage,verb transitive,kuhujumu sack²,noun,"get the ~, fukuzwa kazi. give sb the sack, fukuza mtu kazi" sack²,verb transitive,(colloq.) fukuza kazini sack³,noun,uporaji sack³,verb transitive,teka nyara; pora; nyang'anya sack¹,noun,"mfuko, gunia" sacrament,noun,sakramenti sacred,adjective,a Mungu; takatifu; a dhati; tukufu sacrifice,noun,sadaka; mhanga; dhabihu; dhahiya; kafara sacrifice,verb transitive,dhabihu; toa sadaka; kafara; mhanga. sacrificial sacrifice,adjective,a sadaka; a kama sadaka sacrilege,noun,kufuru. sacrilegious sacrilege,adjective,a kufuru sacrosanct,adjective,lilolindwa na maovu yote kwa sababu ya kuwa takatifu; takatifu sana sad,adjective,a huzuni; a kusikitisha; a aibu; a kashfa saddle,noun,tandiko la juu ya farasi au punda; soji; kibao cha baiskeli; safu ya milima iliyoinuka mwanzo ni na mwishoni saddle,verb transitive,tia tandiko; tandika; pa mtu jukumu kubwa safe,noun,sefu; tajuri; kabati la chakula safe,adjective,"salama; zima; bila madhara; a salama; angalifu; yakini; hakika; bila wasiwasi. travel at a ~speed, enda kwa mwendo wa salama" sag,verb intransitive,(-gg-) nepa; inama; bonyea; leqea saga,noun,ngano; hadithi ndefu sagacious,adjective,a busara; a akili. sagacity sagacious,noun,busara; akili; utambuzi. sage sagacious,noun,mtu mwenye hekima nyingi sago,noun,"kopa; moyo wa mti kama mtende au mnazi, huliwa" Sahel,noun,Saheli; ukanda wa nyanda kavu kusini mwa jangwa la Sahara katika Afrika Magharibi sahib,noun,rafiki sail,noun,"tanga; safari ya chombo cha tanga. set ~, tweka. strike ~, tua tanga" sail,verb intransitive,safiri katika chombo cha baharini; pita baharini; elea polepole angani sail,verb transitive,endesha kwa tanga; endesha chombo cha baharini sake,noun,"ajili. for the ~ of, kwa ajili ya. for my ~, ajili yangu" salad,noun,"saladi; kachumbari. fruit ~, fruti; saladi ya matunda" salary,noun,mshahara sale,noun,"kuuza; kuchuuza; seli; mnada. be on (for) ~, kuuzwa; it is not for ~, haiuzwi" salient,adjective,a kutokeza; a maana; muhimu; kubwa saline,noun,machimbo ya chumvi saline,adjective,a chumvi. salinity saline,noun,uchumvichumvi saliva,noun,mate; udenda; ute; dowu; utavu sallow,adjective,-chakavu; ranga salmon,noun,samoni; aina ya samaki saloon,noun,sebule; ukumbi; gari ndogo; mesi ya melini salt,noun,"chumvi; munyu; kampaundi ya metali na asidi; halidi. take with a grain of ~, sikiliza bila kusadiki moja kwa moja. not worth one's ~, siostahili msha hara. the ~ of the earth, watu waadilifu. an old ~, baharia stadi" salt,adjective,a chumvi salutation,noun,salamu; maamkizi salute,noun,salamu; maamkizi; saluti; mizinga ya heshima salute,verb transitive/intransitive,piga saluti; amkia; salimu salvage,noun,uokoaji; ujira wa uokoaji; kitu kilichookolewa salvage,verb transitive,okoa salvation,noun,wokovu; uokoaji sample,noun,sampuli; kielelezo; kifani; mfano sample,verb transitive,onja; jaribu sanatorium,noun,"hospitali inayoota tiba, chakula na mazoezi hasa kwa wasiojiweza kiafya" sanctify,verb transitive,takasa; fanya takatifu. sanctification sanctify,noun,utakaso; utakasiaji. sanctimonious sanctify,adjective,a kujifanya takatifu; nafiki sanction,noun,ruhusa; idhini; kibali; kikwazo; adhabu sanction,verb transitive,kubali; ruhusu sanctuary,noun,"mahali patakatifu; madhabahu; kimbilio; hifadhi ya ndege. bird ~, mbuga ya ndege" sand,noun,mchanga; ufukwe sandal,noun,makubadhi; malapa; ndara; kandambili sandwich,noun,sandwich; slices za mkate zenye nyama au chakula kingine katikati sandwich,verb transitive,bana; weka katikati sane,adjective,razini; enye akili timamu; si enye wazimu; a busara sanitary,adjective,safi; na kulinda afya; a kutia afya sanitation,noun,usafi; udhibiti afya sanity,noun,akili timamu; busara sap,noun,utomvu sap,verb transitive,(-pp-) ondoa nguvu; dhoofisha saprophyte,noun,saprofiti; mimea inayopata chakula chake kwa kuotesha vinywelea juu ya viumbe vilivyokufa au vyakula vilivyooza sarcasm,noun,kijembe; kejeli. sarcastic sarcasm,adjective,a kupiga kijembe; a kejeli sardine,noun,sadini; dagaa sardonic,adjective,a kubeza; a dhihaka. ~laughter; kicheko cha uchungu sash,noun,mshipi satan,noun,shetani; ibilisi satchel,noun,mkoba; mfuko; shanta satellite,noun,setilaiti; nyota inayozunguka nyota nyingine au sayari. (fig.) kibaraka satin,noun,satini; atlasi; hariri satin,adjective,a kung'aa kama satini satire,noun,tashtiti. satirical satire,adjective,a tashtiti. satirist satire,noun,mwandishi wa tashtiti. satirize satire,verb transitive,dhihaki; andika tashtiti satisfaction,noun,kuridhika; ridhaa; malipo; raha mustarehe; uradhi; fidia; kisasi satisfactorily,adverb,kwa kutosha satisfactory,adjective,a kuridhisha; a kufaa; a kutosha satisfy,verb transitive,ridhisha; tuliza; tosheleza; kidhi; lipiza kisasi saturate,verb transitive,kifu; rowesha kabisa; koleza kabisa; jaza kabisa saturation,noun,ukifishwaji Saturday,noun,Jumamosi Saturn,noun,Zohali: sayari ya sita katika mfumo wa jua sauce,noun,rojo; mchuzi; sosi. (colloq.) ujuvi; mzaha saucepan,noun,sufuria saucer,noun,kisahani saucy,adjective,juvi; ~tundu; tanashati saunter,verb intransitive,tembea polepole sausage,noun,soseji; nyama ya kusaga iliyokaangwa huku imezungushiwa utumbo laini savage,noun,mshenji savage,adjective,shenzi; ~siostaarabika; kali; katili. ~aji saviour,noun,mwokozi saw,noun,msumeno saxophone,noun,saksofoni: namna ya tarumbeta say,noun,kauli; maoni; neno say,verb transitive/intransitive,sema; nena; mathalani. What do you ~ to going out for a walk? unaonaje tukienda kutembea? It goes without ~ing ni dhahiri kabisa. that is to ~ maana yake. I must have no ~ in the matter; siwe sina langu katika hili scab,noun,kigaga scabbard,noun,ala ilihifadhiyo silaha kali kama kisu au upanga scaffold,noun,jukwaa; kidungu; dungu; jukwaa wanaponyongwa wahalifu scalar,noun,skala; chochote chenye ukubwa lakini hakina uelekeo scalar,adjective,~enye ukubwa lakini haina uelekeo scald,noun,kidonda cha moto; lengele; tumbuja scald,verb transitive,babua; safisha kwa maji moto; pasha moto scalene,adjective,enye pande zisizo sawa scale²,noun,"kitanga cha mizani; (pl.) mizani. turn the ~s, amua na kuondoa mashaka; hold the ~s even, amua kwa haki" scale³,noun,gamba la samaki; mba katika nywele; ukoko katika nywele; koya la meno scale¹,noun,"alama za vipimo; kipimo; jamii ya sauti; mfumo wa vipimo; skeli; kiwango na ukubwa halisi na kipimo cha ramani au mchoro; ngazi. the decimal scale kipimo cha desimali. a ~ of wages, ngazi za mishahara. a person who is high in the social ~ mtu wa cheo kikubwa. on a large ~ kwa vingi" scale¹,verb transitive,"panda; kwea; nakili kwa vipimo vya ramani. up, pandisha. down, punguza. All prices were ~d up by ten per cent. bei zote zilipandishwa kwa asilimia kumi" scalp,noun,ngozi ya kichwa na nywele zake scalpel,noun,kisu kidogo cha kupasulia scamper,verb intransitive,enda mbio mbio; puruka; kimbia scan,verb transitive,"pita haraka; chunguza; kagua; changanua maandishi, picha au mchoro kwa mwale elektroniki; soma kwa" scandal,noun,kashfa scandalmonger,noun,mbeya. ~ize v.t. kashifu. ~ous adj. -a kashfa; enye kashfa; mbeya scar,noun,kovu; baka scarce,adjective,adimu; nadra; haba scare,noun,hofu; fadhaa scare,verb transitive,ogofya; tisha; shtusha; gutusha; gutua; fadhaiisha scarf,noun,shali; skafu; shela mtandio scarlet,noun,rangi nyekundu scarlet,adjective,-ekundu scatter,verb transitive/intransitive,tawanya; tawanyika; tapan ya; tapan yika scavenger,noun,ndege mla mizoga; topasi scene,noun,"sehemu ya tukio mandhari; onyesho; ghasia; kituko eneo. be behind the ~s, -wa nyuma ya jukwaa; (fig) -enye kuathiri mambo kisirisiri" scent,noun,"manukato; uturi; harufu; mavumba; mtara; buhuri. throw sb. off the ~, potosha; poteza kwa taarifa zisizo sahihi" scent,verb transitive,sikia harufu; nusa; nukiliza. (fig.) ng'amua; tambua; shuku; tia manukato sceptic,noun,mwenye kushuku sceptre,noun,"fimbo ya kiongozi wa nchi, etc" schedule,noun,orodha; jedwali; ratiba scheme,noun,taratibu; mpango; hila; njama scheme,verb transitive,fanya shauri; panga; fitini; pika majungu; panga njama scholar,noun,mwanafunzi; mtu afadhiliwaye katika masomo; mwanazuoni; mtaalamu; msomi scholastic,adjective,-a chuo; -a elimu; -a masomo school,noun,skuli; shule; masomo; vipindi; kusoma; wanafunzi; tapo; madhehebu; wafuasi school,verb transitive,fundisha; ongoza; adibu; zoeza science,noun,"sayansi; ubingwa; ujuzi; maarifa. natural ~, sayansi asili. physical ~, sayansi um bile. social ~, sayansi jamii. applied ~, sayansi tumizi" scientific,adjective,-a sayansi; -a kanuni za sayansi; -a ujuzi; -a maarifa. scientifically scientific,adverb,kisayansi. scientist scientific,noun,mwanasayansi scissors,noun,mkasi scold,noun,mkaripiaji scold,verb transitive,karipia; kemea scoop,noun,upa wa; mkamshi; bambo. (colloq.) habari iliyotangazwa na gazeti moja kabla ya mengine scoop,verb transitive,pakua; chota kwa mwiko; komba; chimba kwa bambo scope,noun,upeo; eneo; nafasi; uwezo; mawanda scorch,noun,baka la kuungua scorch,verb transitive/intransitive,ungua; choma; ungua; nyausha; babua; (colloq.) enda kasi sana score,noun,"mfuo; mtai; chale; alama; mchoro; korija; ishirini; hesabu ya alama katika mchezo; goli; bao; pointi; sababu; noti za muziki. pay off old ~s, lipiza kisasi. on the ~ of, kwa sababu ya" score,verb transitive/intransitive,"tia bao; funga; hesabu; andika noti za muziki; tia penye chora; kata; pata faida. off ~, shinda. ~r n" scorn,noun,dharau; bezo; kitu au mtu wa kudharauliwa scorn,verb transitive,dharau; beza scorpion,noun,nge; alama ya nane ya nyota za unajimu scotch,noun,haribu; zuia; komesha scoundrel,noun,mtu mwovu kabisa scourge,noun,mjeledi; (fig.) taabu scourge,verb transitive,piga mjeledi; adhibu; tesa scour²,verb transitive,tafuta mtu harakaharaka scour¹,verb transitive,sugua sana; safisha kwa kusugua; ng'arisha scout,noun,mpelelezi atumwaye kupata habari za adui; skauti scout,verb intransitive,peleleza scramble,noun,kinyang'anyiro; fujo; vurugu; scramble,verb intransitive,kwea; paramia; gombania; nyang'anya; shindania; pigania; piga mayai scrape,noun,mparuzo; mkwaruza; mbuzi; shida; matatizo; mkasa scrape,verb transitive/intransitive,"para; paruza; paa; chubua; kwaruza; komba; kuna nazi. (fig.) through an examination, pasi mtihani" scrap¹,noun,kipande; masalio; mabaki; takataka scrawl,noun,mwandiko mbaya; chora. v.i/t. andika vibaya; chora scream,noun,ukweli; usiahi; mayowe. v.i/t. piga siah; piga mayowe; piga ukweli screen,noun,pazia; kioo; skrini; kinga; ngao. ~ play mchezo wa sinema screen,verb transitive,sitiri; (fig.) linda; sitiri; chekecha; chuja; onyesha filamu screw,noun,kizibuo screw,noun,parafujo; skurubu; parafujo shinikizi screw,verb transitive/intransitive,"funga, kaza kwa skrubu; songoa; jamiana" scribe,noun,mwandishi script,noun,mwandiko; mwandiko wa chapa. maandiko scroll,noun,hati ya kukunja; nakshi kama hati za kukunja scrotum,noun,kifuko korodani; ngozi inayoficha kénede katika mamalia scrub²,noun,msitu; pori scrub¹,verb transitive/intransitive,(-bb-) sugua sana kwa brashi. ~bing brush scrub¹,noun,brashi ya kusugulia scruple,noun,haya; aibu. Have you no ~ about borrowing things without permission? huoni haya kujazimia vitu bila ruhusa? scrupulous,adjective,angalifu sana; ~a thalhari sana; adilifu scrutinize,verb transitive,chunguza; angalia kwa makini scrutiny,noun,uchunguzi scuffle,noun,fujo; ugomvi scuffle,verb intransitive,bulurushana; vurumishana scull,noun,kasia; upondo; kafi sculpture,noun,sanaa ya uchongaji; kinyago; sanamu. vt./i. chonga; tia nakshi. sculptor sculpture,noun,mchongaji au mfinyanzi vinyago au sanamu scum,noun,povu; taka za juu; (fig.) mtu ovyo scurry,noun,"mwendo wa haraka; manyunyu ya theluji, gubari. v/i. kurupuk; enda upesi" sea,noun,"bahari. be at ~ (fig.) wa na mashaka. go to ~ wa baharia. a heavy ~ mawimbi makubwa. a ~ of trouble, (fig.) shida nyingi. ~ level" sea,noun,usawa wa bahari. ~shore lion sea,noun,sili baharini seal,noun,muhuri; chapa; alama seal,noun,sili; mnyama wa bahari seam,noun,mshono; bandi; upindo; tabaka ya madini katika mwamba; mkunjo search,noun,upekuzi; utafutaji. vt./i. tafuta pekua; chunguza season,noun,msimu; majira; muhula; kipindi. fruit is in ~ ni msimu wa matunda. vt./i. unga; zoea; zoeshwa; koleza; punguza makali. The wood is well-ed mbao zimekauka vyema seat,noun,"kiti; kikalio; matako; nafasi; makao; mkao; makazi. have a ~ in parliament, -wa mbunge. country ~, nyumba ya shamba. The capital is the ~ of government, mji mkuu ni makao ya utawala. vt. oneself kaa; keti; pa nafasi ya kukaa. The room ~s about twenty, chumba chachukua watu 20 takriban" secant,noun,sekanti; mstari mnyofu ukatao duara au mchirizo seclusion,noun,"kujitenga; faragha; upweke; utawa. live in seclusion, tawa; jitenga" second,noun,msaidizi mwingine; kingine; kitu cha pili; nukta; sekunde second,adjective,-a pili; baada; -a kufuata; -a zaidi. vt. saidia; unga mkono; azima mfanya kazi wa serikali kwa kazi maalumu. ~rate adj secret,noun,siri; jambo la siri secret,adjective,a siri; lifichwa; a faragha. in ~ kwa siri; faragha. -ly adv. kwa siri. secrecy secret,noun,siri; usiri; ufichaji. -ive adj. msiri; enye kufichaficha secretarial,adjective,a uhazili; a katibu; a mwandishi secretariat,noun,jopo la waandishi ofisi ya mhazili makarani wamsaidiao mkuu secretary,noun,"katibu, mwandishi; mhazili. executive ~ katibu mtendaji. principal ~ katibu mkuu. private ~ katibu myeka; katibu muhtasi. publicity ~ katibu mwenezi. general ~ of state, waziri" secretion,noun,mnyeso; utoaji utomvu au kioevu au umajimaji kama kimiminiko kutoka kwenye tishu au tezi; kitu chochote kinachotolewa kama takataka kutoka kwenye mwili wa kiumbe hai sect,noun,madhehebu; kikundi section,noun,seksheni; sehemu; kipande; fungu; idara; kitengo; mkato sector,noun,sekta; sehemu ya medani; sehemu ya duara secular,adjective,a kilimwengu; a kidunia; si a kidini secure,adjective,salama; thabiti; a hakika; a kudumu; yakini. vt. hifadhi; linda; tunza; funga; kaza; pata; jipatia; dhamini security,noun,usalama; rehani; dhamana; amana; hati; sharti sedate,adjective,tulivu; pole; a makini sedative,noun,adj. dawa ya kutuliza; a kutulizac; kitulizo sedentary,adjective,a kukaa; a utako sediment,noun,"mashapo; takataka za chini; matope wa mto; masimbi. -ary adj. a mashapo. rock, mwamba mashapo" sedition,noun,uchochezi wa uasi; uhaini. seditious sedition,adjective,chochezi; asi seed,noun,mbegu; punje; asili; mwanzo segment,noun,"mkato; sehemu; pingiti; pingili; sehemu ya duara; kipande; - of an orange, kipande cha chungwa. -ed worm, mnyoo pingili; mnyoo wa minyoo ya jamii ya anelidi ambao miili yao imegawika katika pingili" segregate,verb transitive,tenga; bagua; tenganisha seismic,adjective,-a tetemeko la ardhi seismology,noun,seismolojia: sayansi ya uchunguzi wa matetemeko ya ardhi seize,verb transitive/intransitive,kamata; twaa; nyang'anya; pokonya; teka seizure,noun,kukamata; kukamatwa; utekaaji; ukamataji; kifafa seldom,adverb,nadra; mara chache; kwa shida select,verb transitive,chagua; teua select,adjective,-liochaguliwa; -teule. -a watu maalumu selenium,noun,seleni: elementi ya kikemikali iliyo kipitishi inayotumika sana katika kazi za elektroniki self2,pronoun,"ji- to see one- kujiona. The dog hid it~, mbwa kajificha. He has killed himself, amejiua" selfish,adjective,-enye choyo semen,noun,"manii, shahawa: giligili ambayo hutolewa kutoka kwenye tezi katika pumbu pamoja na gameti za kiume" semiconductor,noun,kipitishipitishi: dutu yenye tabia ya upitishaji umeme iliyo kati ya zile za kipitishi na kihami na hutumika katika transista seminal vesicle,noun,kibweta manii: sehemu katika pumbu ambako shahawa huhifadhiwa kabla hajatolewa nje seminary,noun,seminari: madrasa ya dini senate,noun,seneti (sehemu ya bunge); baraza la uongozi wa chuo kikuu senator,noun,seneta senile,adjective,dhaifu kutokana na uzee. senility senile,noun,udhaifu wa uzee senior,noun,mkubwa senior,adjective,"kubwa kwa umri, daraja, cheo, etc. -a kwanza; a kutangulia; andamizi" sensation,noun,uono; hisi; kioja; kichocheo sense,noun,"hisi; fasili ya dhana akilini; busara; akili; kufahamu; kupambanua; maana. He has a moral ~ anapambanua mema na mabaya. the principal ~ of a word, maana ya msingi ya neno. be out of one's s., pote wa na akili. bring sb to his ~s, komesha mtu kufanya mabaya, come to one's ~s -sijuridi; zinduka; tanabahi" sensibility,noun,wepesi wa kuhisi. sensible sensibility,adjective,"a busara; enye akili. be sensible of, -wa tambuzi. sensitive" sensibility,adjective,-epesi kuhisi sensual,adjective,a ashiki; tamani; -a kupenda anasa sentence,noun,sentensi; hukumu; fatwa; maamuzi. vt. hukumu; kata hukumu sentiment,noun,maono; hisia; mawazo; pendo; shauku; maoni sentinel,noun,askari wa zamu. sentry-box n. kibanda cha mlinzi. sentry-go n. wajibu wa mlinzi sepal,noun,sepali separate,adjective,mbalimbali; litotengwa; litotengana; liogawanyika; moja-moja. vt./i. tenga; tenganisha; achana; farakana. separable separate,adjective,-a kutengeka; -a kugawanyika. separation separate,noun,utengano; mfarakano September,noun,Septemba: mwezi wa tisa wa mwaka wa kizungu septic,adjective,"-lioambukizwa; a kuoza. a ~ tank, tangi la maji machafu" sepulchre,noun,kaburi lililochongwa kwenye mwamba. sepulchral sepulchre,adjective,-a kaburi; -a maziko; -a majonzi sequel,noun,matokeo; mfuatano; matukio ya baadaye; katika hadithi ya pili lakini juu ya wahusika wa hadithi wale wale sequence,noun,utaratibu; mfuatilio; mwandamano; mfuatano serene,adjective,eupe; safi; liotakata; shwari; -tulivu serf,noun,mtumwa sergeant,noun,sajini. ~ major sergeant,noun,sajini meja serial,adjective,-a mfululizo; -a sehemu ya series,noun,mfuatano; mwandamano; mfululizo; safu; mfulizo serious,adjective,-siocheka; -a kufikiri; -a maana; -kubwa; -a kweli; enye hali mbaya; -a dhati sermon,noun,hotuba; mahubiri serpent,noun,nyoka serum,noun,damaji ute mweupe wa damu; chanjo ya dawa serval,noun,fungo servant,noun,mtumishi; hadimu; boi server,noun,"kompyuta hudumizi, yaani kompyuta inayotoa huduma kwa kompyuta nyingine; seva" service,noun,utumishi; huduma; wasilishaji; fadhila; msaada; sala; ibada; ukaguzi serviette,noun,"kipangusia mdomo, mikono" session,noun,baraza; kipindi; muhula wa masomo; kikao set,noun,"seti; kundi la watu; mwelekeo; mkao; wasifu; machweo; chipukizi; mandhari ya filamu au mchezo. v.t./i (set) tua; chwa; shuka; sababisha; weka; tunga; rekebisha; unganisha; tengeneza. - about one's work, about doing sth., anza kazi; anza kufanya jambo. - forth, shika njia; ondoka. - off, shika njia; ondoka; ripua. - sh. off laughing, chekesha. - (upon) sh., ombambula. - sb. or sth. on, himiza. - out, ondoka, shika njia - to, anza kufanya jambo; up, anzisha. - sh. up, anzisha; panga herufi za chapa. - a bone, unga mfupa. - a clock, rekebisha saa. - sh. an example, wa mfano kwa mtu. I have never - eyes on him, sijapata kumuona kamwe. - a fashion, anzisha mtindo. - fire (a light) to sth., choma; tia moto; washa. - one's heart on (sth.), tamani sana. - a hen, atamisha; lazia mayai. - the pace, rakibu mwendo. - sail, tweka. - one's teeth, kaza meno. - a trap, tega. - to music, tia lahani; tia sauti nyimbo. - fair, njema. - fast, liokazwa sana. - a time (date), wakati au tarehe maalumu. - a smile, uso wa bashasha. - opinion, wazo thabiti. - a wireless, simu. make a dead - at sb., jipendekeza. shambulika. make a dead - at sth., dhamiria jambo" settle,noun,benchi; kiti kirefu settle,verb transitive/intransitive,"fanya makazi; ishi; lowea; lipa deni; amua; hukumu; kata shauri; suluhisha; patanisha; tua; shuka; didimia. - in the country, ishi mashambani. the Dutch -d in South Africa, Wadachi waliowea Afrika ya Kusini" sever,verb transitive,kata; vunja sever,verb intransitive,katika; vunjika several,adjective,kadhaa; -moja moja; kila-moja severe,adjective,bila huruma; kali; enye kuhitaji uvumilivu sew,verb transitive/intransitive,"(sewed, sewn) shona" sewage,noun,maji machafu sewer,noun,mfereji wa maji machafu. sewerage sewer,noun,utaratibu wa kuweka mifereji ya maji machafu sex,noun,"jinsia; uke; uume; mapenzi; kujamiiana. -cell, seli jinsia; seli ya uzazi yenye idadi haploidi ya chembeuzi kwenye kiini chake" shabbily,adverb,kibahili; shabby,adjective,chakavu; -liovaa mibadwada; baya shade,noun,"kivuli; giza; utusitusi. sun -, mwamvuli. v.t/i. tia kivuli; kinga jua au joto; tia giza" shadow,noun,"giza; kivuli; utusitusi; njozi; dalili. without a - of doubt, bila ya shaka hata chembe" shadow,verb transitive,tia giza; tia kivuli; fuata kwa siri; vizia shady,adjective,-a kivuli; danganyifu; a hila shaft,noun,"mpini; wano; shina; dohani; shimo; mtaimbo; mwamzi. propeller -, mtaimbo endeshi" shah,noun,shaha mtawala wa zamani wa Irani shake,noun,mtikiso; tetemeko; msukosuko shake,verb transitive/intransitive,"(shook, shaken) tikisa; tikisika; tetemesha; tetemesha; tukuta; tingshika; tingisha; shtua" shaky,adjective,dhaifu; -a kutikisiska; sio imara; -sioaminika; sio salama shale,noun,mwambatope shallow,adjective,-a kina kifupi. (fig.) -a juujuu; sio makini sham,noun,mnafiki; unafiki; laghai sham,verb transitive/intransitive,(-mm-) jifanya; jisingizia; jiga; jigeuza shame,noun,"haya; soni; aibu; fedheha; tahayuri. It's a - to make fun of the old man, ni aibu kumtania mzee" shame,verb transitive,"aibisha, fedhehesha; tia haya; tahayurisha" shape,noun,"umbo; sura; muundo; tambo; kalibu. take -, tengenea. v.t/i. tengeneza; umba; tengeneza; pata umbo unda" share,noun,"hisa; fungu; sehemu; mgawo. go ~s in, changa bila. v.t/i. gawa; gawanya; gawana; shiri; kiana; shiriki" shark,noun,papa; (fig.) ayari; laghai; mdanganyifu; mla riba sharp,adjective,- kali; -enye ncha; wazi; dhahiri; -a kuonekana vizuri; -elekevu; hodari; epesi kuona; chung; -embamba; -danganyifu; laghai sharp,adverb,ghafla; kamili. ~en v.t/i. chonga; chonga; chongoka; noa shave,noun,kunyoa; unyoaji shave,verb transitive,"(shaved, shaven) nyaa; lainisha; kawa landa; ambaa. a close (narrow) -, kuwa karibu sana na. He had a narrow - from being killed, nusura auwawe" she,pronoun,(mwanamke) she,adjective,"-a kike. jike; goat, mbuzi jike" sheaf,noun,(sheaves) 1. mashuke ya nafaka yaliyouekwa pamoja. 2. gandatitia; vitu kadhaa vilivyowekwa pamoja shear,verb transitive,(shorn) kata manyoya ya kondoo sheath,noun,"ala ya kuhifadhia kitu chenye makali au ncha. contraceptive ~, kondomu" shed,noun,banda; kibanda shed,verb transitive,"(shed -dd) nyonyoa; bambatua; mwaga; toa; ondoa; vua; tawanya; eneza. a fire that ~s warmth, moto unaotoa joto; light on, (fig.) toa mwanga" sheep,noun,(sheep) kondoo sheer,adverb,kabisa; moja kwa moja sheer,adjective,tu: -a wima; laini sheer,verb intransitive,enda upande; acha uelekeo sheet,noun,shuka; shiti; karatasi shelf,noun,(shelves) rafu; mwamba shell,noun,"ganda; gome; risasi; kombora. fish, jamii ya samakigamba" shell,verb transitive,menya; bamba-tua; ambua; rusha kombora shelter,noun,hifadhi; kimbilio; kinga; mahali pa kujistiri. v.t/i. funika; linda; hifadhi; jificha; jilinda shepherd,noun,mchunga kondoo shepherd,verb transitive,chunga; ongoza shield,noun,ngao; ulimizi; kinga shield,verb transitive,linda; hifadhi shift,noun,shifti; zamu; mabadiliko; shifti: gauni lisiyo na mirinda; mkono wa gia. v.t/i. geuza; hamisha; hamia; sogeza; sogea; ghairi; badili shilling,noun,"shilingi. take the queen's ~, jiandikisha uaskari" shin,noun,muundi shine,noun,uangavu; mng'ao; rangi ya viatu. v.t./t. (shone) ng'aa; waka; waa; angaz; ng'arisha. (fig.) ~ wa fahari; ~ wa mashuhuri shingle,noun,kokoto shiny,adjective,-enye kung'aa ship,noun,jahazi; meli. v.t/i. pakia katika chombo cha baharini; lewesha chombo cha baharini shire,noun,mkoa shirt,noun,"shati. He was in his ~sleeves, alikuwa kavaa shati, yaani bila ya koti" shiver,verb intransitive,tetemeka shock,noun,shindo; kishindo; mshtuko; mrusho shock,verb transitive,stusha; fadhai-sha shoe,noun,kiatu; kipande cha breki shoe,verb transitive,valisha kiatu shop,noun,"duka; kiwanda; karakana; utaalamu; ujuzi; kazi. closed ~, kiwanda ambacho wanachama tu hukubaliwa kufanya kazi" shop,verb intransitive,"(-pp-) nunua; enda dukani. go ~ping, enda dukani. have some ~ping to do, -wa na mahitaji ya vitu dukani" shore,noun,"pwani; ufukwe. on ~, pwani" short,adjective,"-fupi; pungufu; haba; adimu. The shopkeeper was fined for giving short measure, mwenye duka alitozwa faini kwa kupunja. This factory is working short time, kiwanda hiki hufanya kazi muda mfupi" shot,noun,"mlio wa bunduki, mzinga, bastola, etc.; jaribio la kufanya jambo; shut; picha; risasi, mpiga shabaha. He was off like a ~, alichomoka shoti. He is a good ~, ni mlenga shabaha mzuri" shoulder,noun,"bega. straight from the ~, (fig.) waziwazi bila kuficha" shoulder,verb transitive,chukua begani; piga kikumikono shout,noun,ukelele; yowe. v.t/i. piga kelele; paaza sauti shovel,noun,pauro; sepetu shovel,verb transitive,pakua; ondoa; chota; safisha kwa pauro show,noun,"kuonyesha; maonyesho; tamasha; sura; hali; dalili; maringo; kujionyesha. v.t/i. (-ed, shown) onyesha; elekeza, dhihirisha" shower,noun,manyunyu; wingi; neema shred,noun,"uchane; kipande. be torn to ~s, raruka kabisa. There is not a ~ of evidence, hakuna ushahidi hata chembe" shrill,adjective,(kwa sauti) embamba; kali shrine,noun,sanduku lenye mabaki matakatifu; mahali patakatifu; madhabahu; mzimu shroud,noun,sanda; mtandio wa kike; kifuniko shudder,noun,mtetemeko shudder,verb intransitive,tetemeka shun,verb transitive,(-nn-) epuka; jitenga na shuttle,noun,balili shy,adjective,enye haya; oga SI unit,noun,"ufupisho wa international units of measurements, vizio vya kimataifa vya vipimo vinavyojumulisha vizio saba vya msingi ambavyo ni mita, kilogramu, sekunde, ampea, kelvini, kandela na moli" sick,adjective,gonjwa; enye mawazo machafu; enye majonzi. ~en v.i/t. kirihi; sickle,noun,mundu side,noun,"upande; pembeni; ubavu; nasaba. on all -s, on every pande zote. by the ~ of (fig.) kwa kulinganisha na. by ~, bega kwa bega; sambamba; sako kwa bako. put sth. on one ~, tenga. take -s with, unga mkono" side,verb intransitive,"with, shirikiana na; unga mkono" siding,noun,njia ndogo ya gari moshi siege,noun,"uzingiaji. lay - to, zingia katika vita" sierra,noun,mlolongo wa milima sieve,noun,chujio; ungo; tunga sift,verb transitive,chunga; chekecha; peta; chunguza; pekua sigh,noun,kushusha pumzi sigh,verb intransitive,"shusha pumzi. -for, tamani sana" sight,noun,"uwezo wa kuona; kuona; kutazama; mtazamo; dira; shabaha. lose one's ~, pofuka. have near, ona vitu vya karibu tu. have long, ona vitu vya mbali tu. know sb. only by ~, jua kwa sura tu. lose of, -toona (fig.)-toJua; tokumbuka at (on), papohapo. be out of, toweka; toonekane. do what is right in your own -, tenda haki kwa unono wako. -a (colloq.) kinyago kichekesho. She looks a real - in that old dress, aonekane kinyago akiwa katika ile kuuka" sight,verb transitive,"ona; angalia; tazama; lenga shabaha. catch - of, ona. -seer n. mtalii" sign,noun,"dalili; alama; ishara. -s of suffering are to be seen on his face, dalili za matoso zaonekana usoni mwake. -board n. kibao au ubao wenye taarifa au maelekezo. v.tv.i. onyesha; wa na maana; -wa na umuhimu. your approval, onyesha kuwa umekubali. It -ifies much, vasharia kuwa ni kitu cha maana kubwa" silence,noun,kimya; unyamavu silence,verb transitive,nyamazisha silent,adjective,-a kimya; nyamavu. silently silent,adverb,kimyakimya silica,noun,"silika; silikoni dioksidi, dutu ngumu sana nyeupe" silicon,noun,silikoni; elementi simetali enye matumizi kubwa na hobela silicone,noun,"kampaundi zozote za kioganiki za silikoni ambazo hutumika sana katika rangi, vainishi na vilainishi" silk,noun,"hariri; vazi la hariri. -en adj. kama hariri; -a hariri; laini a. voice, sauti nyororo" silly,adjective,-pumbavu; -puuzi; jinga. silliness silly,noun,upuuzi; upumbavu; ujinga silo,noun,silo; ghala ya kuhifadhi chakula cha wanyama; kituo cha kurushia makombora toka chini ya ardhi silt,noun,motope; mashapo ya mto silver,noun,fedha; sarafu; vitu vya fedha; rangi ya fedha similar,adjective,-a hali moja; -a kulandana; -a hali moja simile,noun,"tashbihi: usemi unaolinganishwa kwa kutumia maneno ya ulinganishi. As brave as a lion, jasiri kama simba" simple,adjective,rahisi; sahili; siopambwa; -epesi; nyofu: -a kudanganyika kwa urahisi simply,adverb,kirahisi; kabisa; hasa; kikawaida simultaneous,adjective,-a wakati uleule; papo hapo; palepale sin,noun,dhambi; uovu. He had sinned and repented alifanya dhambi na alitubia sin,verb intransitive,(~nn-) fanya dhambi; kosa since,adverb,tangu wakati ule; tena since,preposition,tangu; baada ya; toka; tokea since,conjunction,kwa kuwa; maadam; tangu sincere,adjective,-a kweli; -enye moyo safi; aminifu sinew,noun,"mkano; nguvu; uwezo; misuli. -s of war, gharama za zana za vita" sing,verb intransitive,"(sang, sung) imba, ghani; vuma. - out, ita kwa nguvu. - up, imba kwa sauti. - of, simulia kwa ushairi" singe,verb transitive,unguza; choma single,noun,ubao mwembamba wa kuezekea na hutumika kama vigae single,noun,mchezo wa wachezaji mmoja mmoja; pointi moja; tiketi ya kwenda tu single,adjective,-moja; -moja tu; peke yake; -a mtu mmoja tu; siooa; sioolewa singular,noun,umoja singular,adjective,sio -a kawaida; -a ajabu; -a kipekee; (kwa sarufi) -a umoja sinister,adjective,-a kisirani; -a shari; baya; -a kuogofya sink,noun,sinki; karo ya maji machafu sink,verb transitive/intransitive,"(sank, sunk) zama; zamisha; tosa; chopea; didimia; chilimba; zamisha; shuka. (fig.) His heart sank at the news, alihuzunika sana aliposikia habari ile. The rain sank well into the dry ground, mvua iliingia vyema ardhini. The warning sank into his mind, alitilia maanani onyo alilopewa. ~ feeling hisia ya kukata tamaa au woga" sink,noun,kuzama sip,noun,chubuo sip,verb transitive/intransitive,(-pp-) chubua; -nywa kidogo kidogo siphon,noun,mirija; kifonyzaji; neli siphon,verb transitive/intransitive,nyonya; fyonza sir,noun,bwana; mheshimiwa siren,noun,king'ora; honi; mwanamke shawishi sirloin,noun,sarara; minofu iliyopakana na uti wa mgongo sisal,noun,mkonge; katani sister,noun,"dada; mtwa; sista; mwenza. They were ~ships, zilikuwa meli za aina moja" sit,verb transitive/intransitive,"kaa; keti; fanya mkutano; atamia. - down and, vumilia. - for, wakilisha. for an examination, fanya mtihani. - on a committee, mwenyekiti. - up, kesha. make sb" site,noun,"saiti; mahali; eneo. the ~ of the battle, eneo la vita; the ~ for the new school, kiwanja cha skuli mpya" situated,adjective,"-liopo mahali. It is ~ in Egypt, iko Misri" situation,noun,mahali; hali; kazi size,noun,"ukubwa; kipimo; kiasi; saizi. vt. panga kwa saizi, etc. up tadhmini; pima. -up the situation, pima hali" size,noun,gundi skeleton,noun,"kiunzi cha mifupa. -key, ufungu malaya" sketch,noun,mchoro; kielelezo; muhtasari. vt./i andika; chora; eleza kwa ufupi ski,noun,skii; reli theluji skid,verb intransitive,teleza; serereka skill,noun,ustadi; ubingwa; ufundi; umahiri skin,noun,ngozi; ganda; gome; utando. v.t./i chuna skipper,noun,nahodha; rubani skirt,noun,sketi; mpaka; ukingo; pindo skirt,verb transitive,wa mpakani; pakana na; ambaa skull,noun,fuvu la kichwa sky,noun,mbingu; anga skylark,noun,ndege mdogo arukaye juu sana angani mwenye sauti nzuri slab,noun,slebu; namna ya kitu au jiwe bapa slack,noun,suruali; vumbi la makaa ya mawe; tanzi slack,adjective,"-legevu; vivu. -zembe; doro. Business is ~, biashara inadorora" slack,verb intransitive,legea; zembea slaked lime,noun,chokaa zimwe; chokaa iliyotiwa maji slam,noun,kishindo cha mlango uliofungwa kwa nguvu slam,verb transitive/intransitive,funga mlango kwa kishindo slang,noun,simo; misimu; lugha ya mitaani slang,verb transitive,(colloq.) karipia vikali; tukana slant,noun,mwinamo slant,verb intransitive,enda mshazari; inama; inamisha slap,noun,kofi slap,verb transitive,"piga kofi; piga kibao; zaba kofi. -down, weka kwa kishindo. ~dash adj./adv. bila uhadhari; a haraka" slash,verb transitive/intransitive,tema; katakata; chanja; chapa; shutumu; punguza sana slate,noun,"kigae; kibao; sleiti. (fig.) start with a clean ~, anza upya" slaughter,noun,kuchinja; mauaji slaughter,verb transitive,chinja; ua kwa wingi slave,noun,"mtumwa; hadimu. He is a - to drink, ni mtumwa wa ulevi. trade, biashara ya watumwa" slavish,adjective,kitumwa; -a kitumwa; enye kukosa uhuru wa maamuzi slay,verb transitive,"(slew, slain) ua; chinja" sled,noun,sleji; toroli ya kuteleza kwenye theluji sledge,noun,nyundo kubwa nzito sleek,adjective,laini; -a kung'aa sleep,noun,usingizi; kulala sleep,verb intransitive,"(slept) lala. — sth. off, pona kwa sledge kulala usingizi" sleep,verb transitive,"laza; -wa na vitanda vya kutosha kwa. This hotel can ~100 people, wageni 100 waweze kulala katika hoteli hii. -er n. mlalaji; taruma la njia ya reli; kitanda katika treni. -less adj. siopata usingizi. -ry adj. yenye usingizi" sleeve,noun,"mkono wa nguo. laugh up one's ~, cheka kisirisiri. have something up one's ~, -wa na mpango wa siri" sleigh,noun,sleji inayokokotwa na farasi slender,adjective,-embamba; -dogo; -chache; haba slice,noun,slesi; cheche; mwiko bapa slice,verb transitive,kata slesi slide,noun,mtelezo; utelezi; kuteleza; slaidi slight,adjective,"-embamba; -dogo; kidogo. -ly adv. kidogo. I'm ~ better today, sijambo kidogo leo" slight²,noun,"twezo, bezo, dharau" slight²,verb transitive,dharau; tweza; beza slim,adjective,-embamba; -dogo; haba slime,noun,kinamasi; kinamo; ute slimy,adjective,-a kuteleza kwa tope au ute sling,noun,teo; kombeo; kitambaa cha kuzuia mkono sling,verb transitive,(slung) tupa kwa teo slip,noun,utelezi; kujikwaa; kosa dogo; kuponyaka; foronya. v.i/t. -(pp-) ponyoka; nyatia; chopoka; serekeka; teleza; penyeza; vaa; vua; kosea slit,noun,"ufa; mwatuko; mfuo, mpasuko" slit,verb transitive,pasua; chana; chanjo slogan,noun,wito; maneno ya kuvutia katika utangazaji wa kitu fulani slop,noun,maji machafu. v.i/t. mwagika; mwaga; chezea maji machafu. -py adj. ajujuu; a ovyo; -a purukushani; -a uongo slope,noun,mteremko; mwinamo. v.i/t. inama; inamisha; teremka; fanya mteremko slot,noun,tundu; jembamba; upenyo sloth,noun,uvivu; uzembe; ulegevu slow,adjective,-a polepole; -a kukawia; -zito. v.t/i. punguza mwendo; punguza mwendo. -ness n. usiri slug,noun,"aina ya konokono, koa" sluice,noun,slug mlizamu slum,noun,kibanda cha ovyo; mtaa wa vijumba ovyoovyo vya watu maskini slump,noun,"mshuko wa ghafla wa bei, upungufu wa biashara wa ghafla" slump,verb intransitive,anguka ghafla; pungua ghafla slur,noun,"aibu; fedheha; kashfa. v.t/i. (-rr-) kokoteza maneno. -over, pitia upesi ili kuficha jambo" sly,adjective,-janja; -danganyifu; -a mzaha; -bishi; -tundu smack,noun,kofi; kibao; mwaliko smack,verb transitive,piga kofi; zaba kibao small,adjective,"dogo, look (feel) -ona haya; fedheheka" smart,noun,"mwasho; kichomi; maumivu makali. v.t.smɑːti. en up, kwatua; jikwatua; himiza; shajitisha" smash,noun,mvuñjiko; kishindo; maangamizi smash,verb transitive/intransitive,vunja; vunijka; shinda; angamiza smear,noun,waa; doa; mpako. v.t/i. paka; tia madoa; paka matope smell,noun,harufu smell,verb transitive,(smelt) nusa; sikia harufu smell,verb intransitive,toa harufu smelt,verb transitive,yeyusha madini smile,noun,tabasamu; kukeñya smile,verb intransitive,tabasamu; keno. a.t. ridhia. a.t. furahia. smilingly smile,adverb,kwa furaha smith,noun,sonara; mhunzi smoke,noun,"moshi; mvuke; sigara. end up in ~, enda arijio. v.t/i. toa moshi; fuka; vuta sigara; kausha kwa moshi; fukiza moshi" smooth,adjective,laini; shwari; sawa; mfuṭo; -liopendeka vizuri; rahisi; taratibu; pole; bembelezi smooth,verb transitive,lainisha; sawazisha; piga landa; piga msasa; piga pasi smother,verb transitive,kaba roho; gubika; ficha; zima kwa kufunika; majivu au mchanga; zuia smoulder,verb intransitive,waka bila kutoa miale; endelea kuwepo kisirisiri smug,adjective,a kujisikia; a kinaya; a kuridhisha nafsi snack,noun,sneki; asusa snag,noun,kikwazo snail,noun,koa; konokono snake,noun,nyoka snap,noun,mwaliko; udataji; picha. v.t/i. (-pp-) ng'ata; data; piga picha; katika alisa vidole snare,noun,mtego snare,verb transitive,teganasa snarl,noun,kemeo; karipio snarl,verb intransitive,bweka; ng'aka; karipia; kemea snatch,noun,unyakuaji; ukwapuaji; kipindi kifupi snatch,verb transitive,nyakua; kwapua; choma; chopoa sneak,noun,mwoga; chakubimbi; msaliti; mbukuzi; mchongezi; mbeva sneak,verb intransitive,nyatia; nyemelea sneak,verb transitive,(colloq.) iba sneeze,noun,chafya sneeze,verb intransitive,piga chafya sniff,verb intransitive,nusanuasa; vuta kamasi; beua snob,noun,mpende makuu; mdharau wanyonge; enye snooker,noun,snuka: mchezo utumia tufe nyeupe kubwa nyingine 15 nyekundu na 6 za rangi mbali mbali juu ya meza snore,noun,n. mkoromo snore,verb intransitive,koroma snort,noun,pura; mkoromo snort,verb intransitive,piga pura; koroma snout,noun,pua ya nguruwe snow,noun,theluji snow,verb intransitive,"'nya theluji; anguka kama theluji. be ~ed up, kwamishwa na theluji. be ~ed under with requests, elemewa na maombi" snuff,noun,tumbaku ya kunusa; ugoro snug,adjective,a raha mustarehe; a buraha so,adverb,sana; kiasi hicho; kiasi kwamba so,conjunction,kwa hivyo; hivyo; basi; ndiyo maana so,pronoun,"so-and-so, fulani" soak,verb transitive/intransitive,"rowesha; rowa; rowana; roweka. - up, 'nywa; fyonza; nyonya" soap,noun,sabuni. soft ~ (fig.) sifusifu soar,verb intransitive,"ruka juu kwa mabawa; paa angani. The price is ~ing, bei inapanda" sob,noun,kwikwi sob,verb intransitive,lia kwa kwikwi sober,adjective,a kiasi; enye busara; a makini; siolewa; (kwa rangi) baridi sober,verb transitive/intransitive,leua; leuka sobriety,noun,busara; kiasi; utulivu soccer,noun,(colloq) mpira wa miguu; futboli; soka; kanda-nda sociable,adjective,kunjufu; -changamfu; a bashasha social,adjective,"a ushirikiano; a jamii; a bashasha; changamfu; chelsi; a pamoja; a jumuiya. your equals, wa rika lako" society,noun,"jamii; mfumo wa jamii; chama; shirika; umoja. spend an evening in the ~ of one's friends, tembelea marafiki jioni" sociologist,noun,mwana sosiolojia sociology,noun,sosiolojia; elimu-jamii sock,noun,"soksi. pull one's ~s up, ongeza juhudi" socket,noun,soketi; tundu kama la jicho sod,noun,"tabaka la udongo na majani yake, under the ~, kaburini" soda,noun,magadi sodium,noun,sodiamu: metali ya rangi ya fedha sofa,noun,kochi soft,adjective,ororo; laini; (kwa rangi) sili pole; tamu soil,noun,udongo; nchi; uchafu soil,verb transitive/intransitive,tia uchafu; chafua; chafuka. erosion soil,noun,mmomonyoko wa udongo: uondoashaji udongo kwenye uso wa ardhi kwa upepo au kubururwa na maji solar,adjective,"a jua; ya sola. cell, betri inayotumia nishati ya jua; kifaa kinachogeuza mionzi wa jua kuwa umeme" solder,noun,lehemu; risasi solder,verb transitive,lehemu; lihimu; unganisha kwa lehemu soldier,noun,mwanajeshi; askari sole,noun,unyayo; soli; wayo (aina ya samaki) sole,verb transitive,weka soli sole,adjective,a peke yake; pekee; a moja tu solemn,adjective,~enye taadhima; ~ a ibada; a dhati; makini solenoid,noun,zongomo; solenoidi: koili mduara yenye mipindi mengi ya waya wa shaba na hugeuka sumaku inapopitisha mkondo wa umeme: solicit,verb transitive/intransitive,omba; sihi; tongoza. ~enye kujali; a kutaka kusaidia solicitude,noun,kutaka kusaidia; wasiwasi; tamaa solid,noun,mango; kitu kigumu solid,adjective,"a mango; nene; ~liozibwa kabisa; gumu; yabisi; imara; enye ujazo; thabiti; zima; ~a mfululizo; aminifu; safi; ~loshikamama. He was writing for two hours, alikuwa akiandika kwa masaa mawili mfululizo" soliloquy,noun,kujisemea; kusema na nafsi. soliloquize soliloquy,verb intransitive,zungumza na nafsi solitary,adjective,pweke; a kujitengea; ~kiwa; moja tu. solitude solitary,noun,upweke; ukiwa; upweke; faragha solo,noun,wimbo wa mtu mmoja solstice,noun,solistasi; solistisi: mojawapo ya nyakati mbili za mwaka ambapo jua huwa mbali kabisa na ikweta solubility,noun,umunyunyifu soluble,adjective,mumunyifu: iwezayo mumunyika kwa urahisi solute,noun,kimumunyishaji: dutu itiwavyo kwenye kimumunyishaji ili kufanya mumunyo solution,noun,1. mumunyo: tokeo la kuchanganya kimumunyishaji na kimumunyishwaji. 2. ufumbuzi; jibu; utatuzi solve,verb transitive,fumbua; tatua; tafuta jibu sombre,adjective,a giza; eusi; a huzuni Somnolent,adjective,-a kusinzia; -a usingizi; -a kutia usingizi. somnolence Somnolent,noun,usingizi son,noun,mtoto wa kiume sonar,noun,sona: ufupisho wa sound navigation and ranging: ala inayotumiwa na meli kupimia kina cha bahari kwa kutumia mawimbi ya sauti song,noun,wimbo. for a - rahisi sana sonic,adjective,-a kuhusu sauti; kasi ya mawimbisauti; mawimbisauti sonnet,noun,soniti: utenzi wa mistari 14 soon,adverb,"karibu; hivi punde; mapema; kabla ya. I would as ~ die, ni sawa kufa kwangu; afadhali nife; ni tayari kufa" soot,noun,masizi; gonya: tabaka ya masizi katika kitu kinachopigwa na moshi soothe,verb transitive,tuliza; fariji; ridisha; burudisha sop,noun,kitonge kilichochovywa katika mchuzi; rushwa; kitulizo. ~ping adj./adv. -a kurowana; -a kutota sophisticated,adjective,-a kisasa; staarabu; changamano sorcerer,noun,mchawi; mwanga. sorceress sorcerer,noun,mchawi wa kike; gagula sorcery,noun,uchawi; sihiri; wanga; uramali sordid,adjective,-nyonge; duni; dhalili; hafifu sore,adjective,-a kuwasha; -a kuuma; -a huzuni; -a majonzi; -a kuhuzunisha; -a kero; (la zamani) kubwa; mno; sana; -ly adv. sana; mno sorghum,noun,mtama sorrow,noun,huzuni; sikitiko; simanzi sorry,adjective,-a kusikitika; -a huzuni; -a majuto; -a jitihadi sort,noun,"jinsi; namna; aina. a good ~ muungwana. out of ~ (colloq.) hoi; taabani; -gonjwa; ovyoovyo. He is out of ~s, yu mgonjwa kidogo; hajilewzi" sort,verb transitive/intransitive,"out, tenga; ainisha; chambua; changanua; piga mafungu" SOS,noun,ufupisho wa save our souls: wito wa kimataifa wa kuomba msaada wakati wa hatari soul,noun,"roho; nafsi; moyo. There was not a - to be seen hakukuwa na mtu hata mmoja. He is the ~ of bravery, ni kielelezo cha shujaa" sound1,noun,sauti; milio; mvumo sound1,verb intransitive/transitive,"toa sauti; lia; liza; onekana; elekea; tangaza; piga chombo cha muziki. His explanation s true, maelezo yake yaelekea kuwa kweli. The doctor ~ed my chest, daktari alinipima kifua" sound2,noun,mlangobahari sound3,verb transitive/intransitive,tia bidii; pima maji kwa biluli; (fig.) jaribu moyo; hoji; dadisi sound4,adjective,-zima; kamili; timamu; -a mantiki imara; -a busara; sana; barabara sound4,adverb,"fofofo. -asleep, lilala fofofo. -ly adv. kwa busara; kabisa; fofofo" soup,noun,"supu; mchuzi. be in the ~ (colloq.) wa matatizo. You're in the hot ~, umepatwa na janga" sour,adjective,-chungu; kali; -a kasirani; -liochachuka source,noun,chimbuko; asili; shina; chanzo; chemchemi; rejeo; kumbukumbu south,noun,kusini south,adjective,a kusini south,adverb,kwa kusini. ~erly adj./adv. a kusini; a upande wa kusini souvenir,noun,ukumbusho sovereign,noun,"mtawala, kiongozi wa nchi" sovereign,adjective,kuu; enye enzi; enye mamlaka; a kinchi soviet,noun,bunge la Warusi enzi za ukomunisti; raia wa Urusi; Mrusi sow²,noun,nguruwe jike sow¹,verb transitive/intransitive,"(sowed, sown) panda; sia" soya bean,noun,soya; maharage meupe space,noun,anga; nafasi; mahali; uwanda; muda; muhulka; majiya; kitambo; uwazi; kipindi space,verb transitive,panga kwa nafasi kati. spacious space,adjective,kubwa; enye nafasi; pana spade,noun,pauro; sepetu; (kwa karata) shupaza span,noun,"shubiri, shubiri; nyanda; tao; muda; kitambo; upana" span,verb transitive,(-nn-) dumu; pima kwa shubiri; daraja lililovuka mto spanner,noun,spana spare,noun,spea; kipuri spare,verb transitive/intransitive,achilia; rehema; hurumia; tumia kidogokidogo; pa; toa. ~nyimifu; angalifu; kabidhi. sparingly spare,adverb,kidogo; kwa uchache; kwa kiasi spark,noun,cheche; kimeta; kiasi kidogo sparkle,verb intransitive,mmetameta; ng'aa; ng'ara; mmetuka sparrow,noun,shorewanda; ziwarde; ziwaridi sparse,adjective,haba; chache; kidogo; ~a kutawanyika; ~a kusambaa spar²,verb intransitive,(-rr-) pigana ngumi kwa mazoezi spar¹,noun,boriti; mlingoti; mhimili; nguzo spasm,noun,mshtuko; tukio la ghafla; mpasuko wa kichwa; mtukutiko. ~odic spasm,adjective,~a ghafla; ~a kusababishwa na mshtuko; ~a kutokea kwa vipindi visivyotabirika spate,noun,kufurika kwa mto spawn,noun,mayai ya samaki au chura spawn,verb intransitive,taga mayai kwa wingi speak,verb transitive/intransitive,"(spoke, spoken) mena; sema; ongea; zungumza; jua; tamka; hutubia; wasiliana kwa ishara. ~ out (up) sema sana; sema waziwazi" spear,noun,mukki; fumo special,adjective,a namna; maalumu; a pekee; spesheli species,noun,spishi; aina; namna; jinsi specific,adjective,"dhahiri; maalumu; bayana; mahususi. gravity, uzito linganifu mahususi" specification,noun,vipimo; uainishaji; uonyeshaji uhalisi specify,verb transitive,taja; pambanua; ainisha; eleza bayana specimen,noun,kielezo; kielelezo; sampuli; mfano speck,noun,waa; doa; chembe; alama specs,noun,(colloq.) miwani spectacle,noun,"tamasha; sherehe; maonyesho. make a ~ of oneself, jifanya kinyago. a pair of ~s, miwani" spectacular,adjective,asherehe; -a kustaajabisha spectator,noun,mtazamaji spectrum,noun,"spektra; mpangilio maalumu wa taswira zinazotokana na miali ya mnururisho kufuatana na lukoka mbalimbali ziliz katika mnururisho huo. absorption ~, spektra mfyonyzo. band ~, spektra milia. continuous ~, spektra fulizi. electromagnetic ~, spektra sumakuumeme. emission ~, spektra utokezo. line ~, spektra nyoofu" speculate,verb intransitive,kisia; bahatisha; cheza pata potea; dhania; langua speculation,noun,ubahatishaji; ukisiaji; ulanguzi; dhana speculator,noun,mlanguzi; mbahatishaji speech,noun,kipaji cha kusema; hotuba; kauli; msemo; usemi; lugha. -less adj. -sioweza kusema; liopigwa na butwaa speed,noun,"mwendo; spidi; haraka; kasi; mbio. at ~ of thirty k.p.h., mwendo wa kilomita thelathini kwa saa. travel at full ~, enda upesi iwezekanavyo. exceed the ~ limit, pindukia spidi iliyoruhusiwa. more haste less ~, haraka haraka haina baraka" spell,verb transitive,"(speltspɛlt/ endeleza; taja, andika tahajia za neno; eleza kinagaubaga ashiria. Delay may ~ danger, kuchelewa kunashiria hatari" spell2,noun,uchawi; mvuto; laana; ajizo spell3,noun,muda; kipindi spend,verb transitive/intransitive,(spent) tumia sperm,noun,manii; shahawa sphere,noun,tufe; fani; uwanja; mazingira; eneo sphinx,noun,sfiniksi; sanamu ya jiwe yenye mwili wa simba na kichwa cha mwanamke; msiri spice,noun,"kiungo; (fig.) kidogo; mvuto; msisimko. a ~ of humour, kichekesho; -a kuchekesha kidogo" spice,verb transitive,unga; tia chumvi spider,noun,"buibui. spider's web, utando wa buibui" spike,noun,njuum; msumari; mwiba; shuke spill,noun,"anguko; uangukaji. v.t.spilled) mwagika; mwaga; devaga; dondosha. have a ~ from a bicycle, anguka baiskeli. spill2" spill,noun,kibahaluli: karatasi ya kuwashia taa spin,noun,"mzunguko; ubingirijaji; kueguka ghafla. v.tspæn, spun, -nn-) pota; sokota; jenga utando; tunga hadithi; zungusha; zunguka; bingiria. - sth. out, tumia kitu kwa muda mrefu. - a yarn, piga chuku" spinach,noun,mchicha; spinachi spine,noun,uti wa mgongo; mwiba. spinal spine,adjective,- a uti wa mgongo. -less adj. sio uti wa mgongo. (fig.) -oga. spiny spine,adjective,-enye miba spiracle,noun,"tunduhewa: vitundu vilivyo mbavuni mwa vidudu vya ngeli ya wadudu, mamalia na samaki vinavyo tumika kupitishia hewa" spire,noun,mnara-pia spirit,noun,"roho; nafsi; kizulu; mzuka; ari; msimamo; hisia; hali; mzimu; mwelekeko; spirit. It was in the ~ of mischief, -ilifanywa kwa nia ya kukomoana. Obey the not the letter of the law, tii sheria vilivyo, in high ~s, enye furaha. in poor (low) ~s, out of ~s, enye majonzi" spirit,verb transitive,"away, torosha" spirogyra,noun,spirogyra: mmea mdogo wa maji baridi wenye tanzi zongomo za klorofili spit,noun,mbano; sehemu nyembamba ya nchi kavu iliyoingia majini spit,verb transitive,"banika. He is the dead of his father, amefanana kabisa na baba yake" spite,noun,"chuki; ubaya; ukorofi; fundo; inda. He has a ~ against me, ana chuki dhidi yangu. It was done out of ~, ilifanywa kwa inda. in ~ of, ingawa; bila kujali; ijapokuwa. They went in ~ of the rain, walienda ijapokuwa kulikuwa na mvua. I shall do it in ~ of you, nitafanya ijapokuwa hutaki" spleen,noun,wengu; bandama; chuki; hasira splendid,adjective,-a fahari; bora; tukufu splendour,noun,fahari; ubora; utukufu splice,noun,kiungio splice,verb transitive,unganisha kamba kwa kuzisokota; fungamanisha vipande vya miti splint,noun,gango; kibanzi; kitata split,noun,"mpasuko; ufa; mwatuko; utengano. v.t/i. (-tt-, split) pasua; pasuka; atua; atuka; gawa; gawanyika" spoil,noun,mateka; ngawira; mali ya kuiba; taka; kifusi; marupurupu. v.t/i. (~-ed) haribu; endekea; dekeza; haribika spoke,noun,spoki; taruma spokesman,noun,msemaji mkuu; mwakilishi sponge,noun,"sponji; sifongo. throw up the ~, kubali kushindwa. v.t/i. safisha kwa sponji. ~" sponge,noun,mdusi; mdoezi spongy,adjective,-a kama sponji sponsor,noun,mdhamini sponsor,verb transitive,dhamini spontaneous,adjective,-a hiari; -a kujianzìa; -enyewe spool,noun,kireli cha uzi au filamu au karatasi spoon,noun,mwiko; kijiko spore,noun,kiinyoga; kijimbegu sport,noun,"mchezo; burudani; mzaha; (pl.) mashindano ya michezo. make - of, fanya dhihaka" spot,noun,"doa; baka; paku; chunusi; tone; tojo; kiasi kidogo; mahali. do sth. on the -, fanya palepale. the man on the -, mtu aliyekuwapo mwenyewe" spouse,noun,mume; mke sprain,noun,mteuko; mtenguko; mshtuko sprain,verb transitive,tegua; tenguka; shtua sprat,noun,mdogo wa birika; mliazi; mrizabaki; meli ya ufokaji; ububuikaji. v.t/i. foka; bubujika (colloq.) piga domo; hubiri; hurujù sprawl,verb intransitive,jinyooosha; tandawaa; tambaa; enea spray,noun,rasharasha; manyunyu; kinyunyizio; mrashi spray,verb transitive,nyunyizia; pulizia spread,noun,upana; uenevu; upanuzi; kuenea; shuka. v.t/i. (spread) kunja; nyosha; tanda; paka; tandika; enezà; enea; tawanya; tawanyika; dumu spree,noun,"shamrashamra. have a -, wa katika shamra shamra; be on the -, wa katika shamrashamra" spring²,noun,majira ya vuli spring¹,noun,springi; kitawi; chemchemi; nyunyù; kuduta; mnyumbuko; chimbuko; sababu sprinkle,verb transitive,nyunyiza; rashia sprinkling,noun,"kidogo uchache. There was only a sprinkling of people present, watu wachache walihudhuria" sprint,verb intransitive,kimbià sprout,verb intransitive,chipuka; chipua; anza kuumea; anza kuota spruce²,noun,aina ya msomobari spruce¹,adjective,nadhifu; a kimaridadi spur,noun,"kitu, kikwaru mwilini; kichoko; sumari. (fig.) kichocheo. act on the - of the moment, fanya ghafla bila kufikiri" spur,verb transitive,(-rr) choma; paparua; chomeka; chochea; chonjoa spurn,verb transitive,sukumia mbali; piga teke; dharau spurt,noun,mbubujiko; ufokaji; mtimko; kukurupuka spurt,verb intransitive,foka; bubujika; timka; kurupuka spy,noun,mpelelezi; jasusi; kachero. v.t/i. ona; peleleza; tambua; gundua; stadi; duhusi squad,noun,kikosi cha askari squall,noun,kilio kikali cha maumivu; dhoruba; tufani squander,verb transitive,badhiri; fuja; tapanza square,noun,mraba; uwanja; squash,noun,"maji ya matunda; boga, mchezo wa skwashi; msongamano. vt. ponda; songa; nyamazisha; komesha" squat,verb intransitive,chuchumaa; chutama; kaa kitako; kalia ardhi bila ruhusa squat,adjective,fupi tena -nene ~ter squat,noun,mkaa mahali bila ruhusa ya sheria squeak,noun,kwichikwichi; kilio chembamba (kama cha panya). v. narrow kuponea chupuuchupu squeak,verb transitive,alika; sema kwa sauti ya juu squeal,noun,"utkwenzi; kilio chembamba, kirefu cha hofu au maumivu" squeal,verb intransitive,piga ukwenzi squeeze,noun,kuminya; kubana squeeze,verb transitive,"songa; bana; minya; kamua; kaba. - the juice out of an orange kamua chungwa. a - one's way through a crowd, penya kwenye umati" squirrel,noun,komba; kuchakuro squirt,noun,maji yatokayo kwa nguvu kwenye tundu ndogo; kibomba cha kurushia maji squirt,verb transitive/intransitive,toa; toka katika tundu ndogo kwa nguvu; foka stab,noun,mchomo; kichomi stab,verb transitive,(-bb-) choma kwa silaha; uma; choma; pwita stability,noun,uthabiti; uimara stabilize,verb transitive,"imarisha; tuliza; dhibiti a stabilized price, bei isiyobadilika kila mara" stabilizer,noun,kidhbiti umeme stable²,adjective,thabiti; imara; siobadilika stable¹,noun,zizi stack,noun,tita; rundo; chungu stack,verb transitive,weka; panga. chunguchungu rundika; tutika stadium,noun,uwanja wa michezo staff,noun,mkongojo; fimbo; gongo; mlingoti; nguzo; wafanya kazi; watumishi; mistari ya kuandikia noti za muziki; maafisa waandamizi wa jeshi stag,noun,paa dume stage,noun,"jukwaa; ulingo dungu; (fig.) mahali pa tukio; tukio; wakati; hatua; kipindi; mwendo kati ya vituo viwili. at an early - in the history of our country, katika kipindi cha awali cha historia ya nchi yetu. by easy -s, kwa safari nyepesi" stage,verb transitive,onyesha tamthilia stagnant,adjective,-liotumaa. (fig.) -liokwama; -a kudorora stagnate,verb intransitive,tuama; (fig.) dorora; kwama stain,noun,doa; alama; taka; rangi stain,verb transitive/intransitive,"chafua; haribu; tia doa, tia rangi; chujuka" stair,noun,kipago; daraja stake,noun,"kiguza; kigingi; mambo; nguzo ya kuchomea watu moto; kitegauchumi. be at a -, wa" stalactite,noun,stalaktiti: chokaa iliyogeuka jiwe na kuning'inia kwa chini kwenye dari ya pango stalagmite,noun,stalagmiti: chokaa iliyogeuka jiwe na kuenea katika sakafu ya pango stale,adjective,"(kwa chakula) liochacha; baridi; ovyo; a kunyong'onyea. - news, habari iliyopitwa na wakati" stalk,noun,shina; ubua; kikonyo stalk,verb transitive/noun,nyatia; yemelea stall,noun,zizi; banda; genge; kiti maalumu stall,verb transitive/intransitive,weka; fuga zizini; kata moto; shindwa kuruka; kwepa au chelewesha jibu stallion,noun,farasi dume asiyehasiwa stamen,noun,stameni stamina,noun,nguvu; kutoshoka upesi; uvumilivu stammer,noun,kigugumizi stammer,verb intransitive,sema kwa kigugumizi; baika stamp,noun,stempu; muhuri; chapa; alama; kuchapa miguu; kugonga stamp,verb transitive/intransitive,"kanyaga chapa miguu. (fig.) komesha; piga chapa; piga muhuri; tia alama bandika stempu; pondaponda. It ~s him as trustworthy yabainisha kuwa ni mwaminifu. men of that ~, watu wa namna ile" stampede,noun,ukimbiaji wa ghafla; mtimko; mkurupuko stanch1,verb transitive,zuia utokaji wa damu stand,noun,"kisimamo; kituo; kikomo; stendi; steni; jukwaa; kinara; kibanda; msimamo. v.i.t. (stood) simama; wa na urefu wa; wa wima; wa; kaa; wekwa; baki; dumu; simamisha; vumilia; himili; kubali; chukua gharimia. He is five feet ten, ana urefu wa futi tano na inchi kumi. Let his words - maneno yake yabaki kama yalivyokuwa. I can't heat, siwezi kuvumilia joto. - drinks on round, gharimia vinywaji kwa wote waliopo. he ~s a good chance of, anaelekea kuwa. one's ground, shikilia msimamo. It ~s to reason, yakubalika" standard,noun,"bendera; sanifu; kipeo; kipimo; darasa; kiwango. -ize v.t. fanya kawaida; sanifisha; fanya wastani; fanya aina moja. The parts of motor-cars are usually ~d, vipuri vya gari husanifishwa" staple,noun,pini. -r n. mashine ya kubania pini staple,noun,bidhaa kubwa ya kuuza; kuu kuu la mahali; dhana kuu; wazo kuu; aina ya uzi star,noun,nyota; mtu mashuhuri starboard,noun,upande wa kulia wa meli ukitazama kutoka shetiri mpaka gubeti starch,noun,wanga stare,verb intransitive,"kodoa, kaza macho" stark,adjective,-gumu; siokunjika; -tupu; kabisa starling,noun,aina ya ndege aitwaye kwerzi au mramba start,noun,"mwanzo; chanzo; chimbuko; shtuko; kuondoka; tangulizi; asili. v.i/t. anza; anzisha; shtuka; shtua; gutuka; gutua; inuka ghafla. by fits and starts, kwa vipindi. -le v.t. shtusha; gutua; shtua" starvation,noun,njaa; ukosefu wa chakula state1,noun,"hali; fahari; heshima; daraja; cheo; enzi; dola; serikali. lie in ~, lazwa katika sanduku ya maiti ili kupewa heshima ya mwisho" state2,verb transitive,eleza; nena; sema static,adjective,"hiosimama; tuli. -electricity, umeme tuli: umeme uliotulizana bila ya kusababisha mwendo kutokana na uga wa umeme tuli unaotolewa na chaji" station,noun,stesheni; kituo; lindo; cheo; daraja station,verb transitive,weka mahali; kalisha stationary,adjective,sio-geuka; -sioondosheka; -siohamishika stationer,noun,muuza vifaa vya kuandikia; mji wa vifaa vya kuandikia statistician,noun,mtakwimu statistics,noun,takwimu statue,noun,"sanamu iliyochongwa kwa miti, mawe, madini au kufinyangwa kwa udongo" stature,noun,kimo; urefu wa mtu status,noun,hali; cheo; daraja; hadhi; manzili statute,noun,sheria; amri ya serikali; katiba ya chama staunch2,adjective,imara; madhubuti; aminifu; thabiti stay,noun,"kukaa; kikao; ustahamilivu, uvumilivu; ayari; msaada; tegemeo. v.i.t. kaa; zuia; simamisha; komesha; ahirisha; vumilia; stahamili. -ing power, ustahimilivu" stead,noun,"badala. in a person's ~, badala ya mtu. stand sb in good ~, saidia mtu sana" steak,noun,steki; mnofu steal,verb transitive/intransitive,(stole) steam,noun,mvuke steam,verb transitive/intransitive,toa mvuke; enda kwa mvuke; pika kwa mvuke. ~ engine steam,noun,injini inayoendeshwa kwa mvuke steel,noun,chuma cha pua; feleji steep1,noun,mwinuko au mteremko wa ghafla wa mlima steep1,adjective,(kwa mlima) -a kuinuka ghafla. (kwa bei) ghali; -a kupita kiasi steep2,verb transitive,rowesha; roweka steeple,noun,mnara uliochongoka juu steer1,noun,ng'ombe dume maksai steer2,verb transitive/intransitive,"elekeza njia, shika usukani; ongoza" stem1,noun,shina; ubua; kikonyo; shina; sehemu ya neno lenye mizizi na viambishi stem2,verb transitive,(-mm) zuia; ziba; komesha step1,noun,hatua; kidaraja; kipandio; kipago; wayo; mwendo; tendo step1,verb transitive/intransitive,(-pp) enda; pima kwa steppe,noun,nyika sterile,adjective,gumba; tasa; kame; sio na bakteria sterility,noun,utasa; ugumba; kuwa bakteria; ukame sterilization,noun,uhasishaji; tendo la kuhas sterling,adjective,safi; bora; enye thamani iliyokubalika stern,adjective,kali; gumu; bila huruma stern?,noun,tezi; shetri; sehemu ya mbele ya merikebu stethoscope,noun,stetoskopu: chombo cha daktari kusikilizia mapigo ya moyo au mapafu stew,noun,"nyama, samaki, mboga iliyotokoswa. vt./ti. tokosa; tokoseka; chemsha; chemka polepole. (colloq) in a ~, enye wasiwasi" steward,noun,mhudumu wa abiria; wakala; msimamizi stick,noun,fimbo ujiti; kijiti; bakora; mkongojo; ufito stiff,adjective,"gumu -siopindika; kavu; -liokachka; si-kunjufu; zito. be ~, kauka; kazana. I feel ~ after my work, nahisi machofu baada ya kazi. Mix flour and milk to a ~ paste, changanya unga na maziwa kuwa mseto -mgumu, kuwa kukacha" stigma,noun,stigma: ncha ya kapeli ambayo ina hali ya mnato na hupokea chavua still,adverb,hata sasa; bado; hata hivyo still,adjective,"tulivu, kimya. vt. nyamazisha, tuliza" still,noun,kikeneko: mtambo wa kukanekea vinywaji vikali stilt,noun,mronjo stimulant,noun,"kileo; kichocho; kiburudisho; kichangamshi; kissimuaji. stimulate vt. amsha, chochzea; himiza; changamsha. stimulus" stimulant,noun,kichochoe; kichangamshi sting,noun,uvuerenje; mwiba; (fig.) ukali; uchungu; kichomi. vt./i. uma; choma; washa; chonyota stir,noun,"misisimko; kukoroga; kuvuruga. vt./i. (-rr) tikisa; koroga; vuruga; shtua; amsha; shtuka; amka. The wind ~red the leaves, upepo ulipererusha majani" stitch,noun,mshono; kushona stitch,verb transitive,shona stock,noun,"shina; mti; tako la bunduki; wazazi, ukoo; jadi; nasaba; rasilimali; akiba; hisa; mifugo; supu. He comes of farming ~, wazazi wake ni wakulima. The book is out of ~, kitabu hakipatikani dukani. take ~, hesabu; kadiria; tathmini; pima. take ~ of (fig.) tathmini. live-mifugo ~ with, jaza" stocking,noun,soksi ndefu stocky,adjective,fupi tena nene stoke,verb transitive,chochea; tia makaa tanurini stolid,adjective,~zito; siodhihirisha hisia kirahisi stoma,noun,"(stomata) stomata (za): tundu ndogo katika majani ya mimea, hasa upande wa chini wa jani inayozungukwa na seli-linzi mbili" stomach,noun,tumbo stone,noun,jiwe; changarawe; kito; johari; kokwa stone,verb transitive,piga mawe; toa kokwa. ~enye mawe; ~a mawe; ~gumu; bila huruma stool,noun,kiti kidogo; kihago; kibao; kigoda; stuli; kinyesi stop,noun,kibyongo stop,verb intransitive,inama. (fig.) jitwezea; jishusha stop,noun,kituo; kikomo; nukta; mwisho; kizibo; kipasuo; kidhibiti mwanga stop,verb transitive/intransitive,(-pp) simamisha; komesha; simama; koma; ziba; funga; zuia; isha; katika; fika store,noun,"akiba; vifaa; zana; ghala; bohari; stoo. in ~, wapo tayari. set great ~ on sth, thamini sana. v.t" storey,noun,(storeys) ghorofa stork,noun,korongo; gongo singo storm,noun,"dhoruba; tufani. take by ~, vamia; twaa kwa nguvu" storm,verb transitive/intransitive,foka; vamia; ingia kwa nguvu story,noun,kisa; hadithi; masimulizi; hekaya; uzushi; makala stout,adjective,~enye nguvu; hodari; thabiti; imara; nenenene stove,noun,stovu; stovu stow,verb transitive,weka; pakia; hifadhi; fungasha straggle,verb intransitive,tapakaa; enea; tawanyika; chelewa; potea straight,adjective,~a kunyo o k a; sawa; ~a wima; sawasawa; ~nyofu; amini fu; kweli; a kufuata taratibu straighten,verb transitive,nyoosha; fanya sawa; nyook a; wa sawa. ~forward adj. amini fu; a kwenda sawa; ~epesi; rahisi strain,noun,mkazo; lazima; mvuto; uchovu; mavune; machofu; kuteguka; dalili; mwelekeo; wimbo; uzao; ukoo; safumbegu strain,verb transitive/intransitive,"vuta kwa nguvu; nyoosha; kaza; jitahidi; chuja; tegua; teguka; lazimisha maana. The rope broke under the ~, kamba ilikatika kwa kuvutwa sana. ~ed" strain,adjective,~a shida; ~a mashaka strait,noun,mlango bahari; shida; taabu; dhiki; mashaka strand,noun,ufukwe; ufuko strand,verb transitive,"pweleza; kwamia; kwamisha. be ~ed, (fig.) achwa katika shida; kwama" strange,adjective,"geni; a ajabu. -ly adv. kiajabuajabu. -ness n. ugeni; ajabu; upya. -r n. mgeni. He is a - here, hajulikani hapa" strangle,verb transitive,nyonga; songa kwa kamba; kaba roho strangulation,noun,kunyonga strap,noun,ukanda; kigwe strap,verb transitive,(-pp-) piga kwa ukanda; funga kwa ugwe strategy,noun,maarifa; mkakati; mbinu stratification,noun,utabakishaji stratify,verb transitive,tabakisha; gawanya; fanya matabaka stratosphere,noun,angastrato; tabakastrato: tabaka la pili toka chini ya uso wa dunia hadi kufikia baina ya kilomita 50 na 60 stratum,noun,(strata) tabaka straw,noun,majani makavu; mrija. the last - pigo la mwisho stray,verb intransitive,potea; tangatanga; zurura stray,adjective,"-liopotea; chache. a cat, paka anayezurura, shume. He was hit by a - arrow, alipigwa kwa mshale uliokosa shabaha" streak,noun,"mfu; mlia; mstari; mchirizi, kipindi kifupi, dalili; shubha. like a - of lightning, upesi kama umeme. He has a cruel - in his nature, ana dalili ya ukatili" streak,verb transitive,piga mlia stream,noun,mto; mkondo; mwelekeo; mfululizo; msururu stream,verb intransitive,tiririka; mimimika; pepea. -lined adj. lionyooka; sio na mazonge street,noun,barabara; mtaa strength,noun,nguvu; uwezo; wingi. -en v.t. tia nguvu; imarika; imarisha strenuous,adjective,enye bidii sana; -enye kuhitaji nguvu nyingi; -enye kutumia nguvu nyingi stress,noun,msongo; kani; mkazo; shida; msisitizo; himizo stress,verb transitive,kaza; sisitiza stretch,noun,kujinyoosha; kupinda; eneo; upande ulionyooka stretch,verb transitive/intransitive,"nyosha; jinyosha; panua; zidisha; enea; enea. a point in sb.'s favour, pendelea mtu. -er n. machela; taruma" strew,verb transitive,"(~ed, strewn) tawanya; tapanya; tupatupa" stricken,adjective,-liojeruhiwa; -lioathiriwa; -liojaa majonzi; liopatwa na maafa strict,adjective,-kali; -a kulazimisha uti; halisi; kamili; tupu; -ly adv. kabisa kwa kweli; hasahasa; kwa ukali. -ness n. ukali; uhalisi; nguvu stride,noun,hatua stride,verb intransitive,panua miguu; tembea kwa hatua ndefu. -over; chupa; ruka strife,noun,ugomvi; mzozo; vita; mabishano strike,noun,pig0; mgomo; ugunduzi; mashambulizi strike,verb intransitive/transitive,"(struck) piga; gonga; chapa; pata; gundua; shitusha; washa; choma; fika; tua; shusha; panda mwambani; goma; -off v.t. futa; ondoa. -out, anza. -out for yourself, anzisha peke yako. -up (music) anza kupiga kinanda. -up a friendship with sb., anzisha usuhuba na mtu. The clock struck four, saa iligonga mara nne. -a flag, shusha bendera. -a sail, tua tanga. -a tent, piga hema. -a light, washa taa. -a match, washa kiberiti. -an average, pata wastani. -a bargain, patana. -a balance, pata utar; afikiana. -oil, gundua mafuta. -the path, vumbua njia. -terror into the enemy, ogofya adui. be struck dumb, wa bubu, pigwa na bumbuwazi. How does the plan strike you? waonaje mpango huu? It has struck me that, nimepitikia ya kuwa. The porters are on strike, wapagazi wamegoma. -ri n. mgomaji; mshambululaji. striking" strike,adjective,-a kuvutia; -a ajabu string,noun,uzi; kamba string,verb transitive/intransitive,"(strung) funga uzi; tunga. together a story, tunga hadithi. highly strung -epesi kuonwa wasiwasi, -epesi kuchacharik. -y adj. -a nyuzinyuzi; kama nyuzi. meat, nyama yenye nyuzinyuzi" stringency,noun,ukali strip,noun,ujororo; upapi; ubale; upapi. v.t./i (-pp-) vua; vulia; chuna; kumba; safisha; nyang'anya stripe,noun,mlia; mstari; tepe strive,verb intransitive,"(strove, striven) jitahidi; pania; hangakilia; pigania" stroke,noun,"pigo; mlio wa kengele; mlio wa saa; kifafa; kiharusi; mstari; tukio la jaribio moja. on the - of three, saa tatu barabara" stroke,verb transitive,papasa; singa; sugua; chuachua strong,adjective,nguvu; imara; hodari; thabiti; kali; -a athari kubwa; chungu strontium,noun,strotitiumu: elementi ya kikemikali laini ya rangi ya fedha yenye mionzi nururishi ikisanyikao katika mifupa mwilini structure,noun,muundo; kiunzi; umbo; jengo. structural structure,adjective,"-a muundo; -a jengo. structural linguistics, isimu miundo. structural meaning, maana kimuulifu. structural semantics, semantiksi miundo. structural word, neno amilifu. structuralism, uisimu miundo" struggle,noun,bidi; jitihada; harakati; mapambano. class ~ harakati za kitabaka struggle,verb intransitive,shindana; jitahidi; pambanana strut,verb intransitive,(-tt-) enda kwa mikogo strut2,noun,(engineering) taruma; kiegemeo stub,noun,kisiki; kipande; kibutu; kishungi stub,verb transitive,"(-bb-) - one's toe, jikwaa" stubble,noun,mashina ya majani au muba yaliyokatika; ndevu fupi ngumu stubborn,adjective,kaidi; sugu; -shupavu stud,noun,kifungo; msumari; njumu student,noun,mwanafunzi; mwanachuo studied,adjective,"ya makusudi; lio dhamiriwa; -liotafitiwa. a insult, tusi la kukusudia. studious" studied,adjective,-angalifu; -enye bidii katika masomo studio,noun,studio. 1. chumba cha msanii au mpiga picha. 2. bwalo la kuigizia na kupigia filamu. 3. chumba cha kurushia matangazo ya redio au televisheni study,noun,chumba cha kusomea; kujifunza; mtalaa; mtalaa; masomo; utafiti; uchnuguzi study,verb transitive/intransitive,jifunza; soma; talii; durusu; chunguz; tafiti stuff,noun,vitu; vyombo; zana; vikokoroko; vifaa stuff,verb transitive,jaza; shindilia; danganya stumble,verb intransitive,"jikwaa; babaika; suudia; yumbayumba. on, kata; pata kwa bahati" stump,noun,kisiki; kigutu stump,verb transitive/intransitive,"enda kwa kishindo; (colloq) fadhaliha. His question completely ~s me, swali lake linanitatazia kabisa. (cricket) toa kwa kugonga kijiti" stun,verb transitive,(-nn-) ziraisha; fadhaliha; tia bumbuzi; shtua stunt1,verb transitive,viza; dumaza stunt2,noun,(colloq) mkogo; tendo la kuonyesha ustadi stupid,noun,zuzu; baaradhuli; mpumbavu; mjinga stupid,adjective,mpumbavu; jinga; zuzu stupor,noun,mzuhao sturdy,adjective,-enye nguvu; thabiti; hodari; imara; shupavu stutter,verb transitive/intransitive,sogumiza; gotagota maneno sty(e),noun,(katika jicho) chokea style,noun,mtindo; ufahari. stylish style,adjective,-a fahari kupindukia; -a mtindo. stylist style,noun,msanifu mitindo subconscious,adjective,-a kufichika akilini subdivide,verb transitive/intransitive,zidi kugawa; zidi kugawanyika subdue,verb transitive,"shinda; tuliza; punguza nguvu; tuliza; tiisha. -d light, nuru iliyopunguzwa nguvu" subheading,noun,kichwa kidogo cha habari subject,noun,"raia, mwananchi; mada; habari; mazungumzo; mhusika; somo; kiima" subject,adjective,"-liotawaliwa na serikali; sio huru; -lioelekea kuathiriwa na. -to kwa sharti kwamba; ikiwa; kwa kutegemea. to your approval, ikiwa utaidhinisha" subject,verb transitive,tawala; athiri; jitoa; toa. -ion n. kutawaliwa; kugandamizwa; kukomeshwa subjugate,verb transitive,shinda kabisa; komesha; tiisha sublime,adjective,-a juu sana; bora sana; -kuu; adhimu; -tukufu; -a fahari; -a ajabu submarine,noun,sabmarini; nyambizi: aina ya meli inayotembea/oga chini ya maji submarine,adjective,-a chini ya bahari submerge,verb transitive/intransitive,zamisha; zama; didimiza; piga mbizi submit,verb transitive/intransitive,"(-tt-) tii; jiweka chini; lazima; wasilisha; toa; ridhi; jisalimisha; vumilia, ridhi; toa hoja. submission" submit,noun,utiifu; kujisalimisha; kukubali; unyenyekevu; uwasilishaji. submissive submit,adjective,-tiifu; mnyonge; mnyenyekevu subordinate,adjective,-a chini; -dogo; tegemezi; saidizi subscribe,verb transitive/intransitive,"changa; lipia; tia saini; unga mkono. -$5 to a flood relief fund, changa dola 5 kwa mfuko wa mafuriko. -to a newspaper, jiandikisha na lipia ili uletewe gazeti. -to opinions, kubaliana na maoni," subscribe,noun,mchangaji; mteja. subscription subscribe,noun,mchango; ada; utaji saini subsequent,adjective,-a baadaye; -a kufuatia; -a kutokea. -ly adv. baadaye; hatimaye subset,noun,"setindogo, sabseti: seti iliyomo au inayoweza kuwa ndani ya seti nyingine" subside,verb intransitive,(kwa maji) zizinia; pungua; (kwa ardhi) didimia; (kwa majengo) musu: kudidimia jengo au sehemu yake katika ardhi; tulia; (kwa upepo) tulia subsidiary,adjective,-a kusaidia; saidizi; -dogo. subsidize subsidiary,verb transitive,toa ruzuku; saidia. subsidy subsidiary,noun,ruzuku subsist,verb intransitive,"ishi kwa, ponea; jikimu" subsonic,adjective,kasi yoyote iliyo chini ya kasi ya sauti substance,noun,dutu; kitu; maana; kiini; nguvu; uthabiti; utajiri; mali substantial,adjective,imara; -kubwa; thabiti; madhanawa; tajiri; -kiasi; -a msingi; halisi substitute,noun,badala substitute,verb transitive,badili; chukua nafasi ya; weka mahali pa. substitution substitute,noun,kibadala; ubadilishaji subtend,verb transitive,kingama; elekeana na; kabil; ngoeka; kuwa mkabala na subterranean,adjective,-a chini ya ardhi subtle,adjective,-gumu kueleza; -a kutatiza; -a hila; -a akili; stadi. -ty n. werevu; busara; akili subtract,verb transitive,toa; ondoa; punguza. -ion n. kutoa; kuondoa subtropical,adjective,liopakana na tropiki subway,noun,njia ya chini kwa chini; njia ya treni ipitayo chini kwa chini succeed,verb transitive/intransitive,faulu; success,noun,ufanisi. mafanikio. successful success,adjective,-a kufanikiwa -a kufuzu; -a bahati njema succession,noun,mfuatano; mfululizo; msururu; maandamano; urithi. successive succession,adjective,-a kufuatana; -a moja kwa moja; -a mfululizo successor,noun,mrithi succumb,verb intransitive,"shindwa; fa- to a temptation, shindwa na matamanio ya nafsi" suck,verb transitive,"fyonza; nyonya; mung'unya; nywya; nywesheleza; vuta. The plants' moisture from the soil, mimea hufyonza unyevu kutoka ardhini. (fig.) nyonya maarifa. He was merely out to other people's brains, nia yake ilikuwa kunyonya maarifa ya wengine. -le v.t. nyonyesha; nyonya" sucrose,noun,"sukrosi: disakaridi tamu nyeupe ya kifuwele, hupatikana toka kwenye miwa au jamii ya viazi vitamu" suction,noun,ufyonyzaji; uvutaji; mvuto; mnyonyo sudden,adjective,ghafla: siotazamiwa. -ly adv. ghafla; mara sue,verb transitive/intransitive,"shtaki; omba; sihi. - for peace, omba amani - for mercy, omba kuhurumiwa" suffer,verb transitive/intransitive,"sumbuliwa na; umwa; teseka; vumilia; patwa na; teswa; vumilia; -ance n. uvumilivu; mateso; ustahamilivu. He is here on, ameruhusiwa kuwepo kwa shingo upande -ing n. maumivu; mateso; taabu" sufficient,adjective,-a kutosha; maridhawa; -a kukifu; -a kuridhisha. sufficiency sufficient,noun,utoshelevu suffix,noun,(gram.) kiambishi tamati suffocate,verb transitive/intransitive,songa; kosa hewa; kaba roho; nyonga. suffocation suffocate,noun,kukosa hewa; kusonga roho sugar,noun,"sukari. brown, unrefined, ~ sukari guru. refinery, kiwanda cha sukari" suggest,verb transitive,pendekeza; toa shauri; toa rai; maanisha; ashiria; dokeza suicide,noun,kujiua; kujingamiza; mtu anayejiua. suicidal suicide,adjective,-a kujiua; -a kujingamiza suit,noun,"suti; mashtaka; daawa; madai; karata za namna moja. follow ~, (fig.) fuata mkumbo" suit,verb transitive,"faa; stahili; inyoz; stahili; pendeza; oanish; patanisha; linganisha. sth to oanish, he -ed for, faa kwa. He -ed for teaching, alifaulu" sullen,adjective,-enye kununa; chukivu; -enye kinyongo sully,verb transitive,chafua; paka matope; vunja kadiri sulphate,noun,sulfati: chumvi ya asidi sulfuriki sulphur,noun,"salfa; kiberiti; kiberiti upele. dioxide, salfa dioksidi: gesi isiyo na rangi ikohozayo" sultry,adjective,-a joto kali; -a hari; -enye ashiki nyingi sum,noun,"jumla. (arith.) hesabu; kiasi cha fedha. in ~, kwa ufupi" sum,verb transitive,~ up jumlisha; hesabu; soma; eleza kwa muhtasari. ~mary summer,noun,kiangazi; kaskazi; majira ya joto summit,noun,kilele; upeo. ~ meeting summit,noun,mkutano wa wakuu wa nchi summon,verb transitive,ita; ita kortini; kusanya sun,noun,jua; mwangaza au joto la jua; nyota sun,verb transitive,(-nn-) ota jua; jianika juani. ~stroke ugonjwa unaotokana kwa kupigwa sana na jua kali Sunday,noun,Jumapili sundry,adjective,"kadha wa kadha; anuwai; baadhi; ingine; all and ~, watu wote. sundries" sundry,noun,magorogoro; vikokorokoro superannuate,verb transitive,staafisha; lipa kiinua mgongo superb,adjective,-zuri sana superconductivity,noun,upitituhuru; tabia ya baadhi ya metali kupitisha umeme bila ukinzani katika halijoto karibu na sifuri halisi superficial,adjective,-a juujuu; -a kubabaisha. -ly adv. kijujuu; kwa kubabaisha superfluous,adjective,-a kupita kiasi; liozidi superintend,verb transitive/intransitive,simamia; angalia; amuru kazi; rakibu; ongoza. -ence n. usimamizi; uongozi; urakibu superior,noun,mkuu superior,adjective,"bora; ingi zaidi; enye kuzidi; -a cheo cha juu; -nye kiburi. The enemy were in ~ numbers, maadui walikuwa wengi" superlative,adjective,"bora mno; (gram.) the ~ degree, sifa ya juu kabisa" supernova,noun,supernova; nyota adhamu; mng'aro wake huongezeka ghafla kutokana na mripuko wake supersede,verb transitive,chukua nafasi ya supersonic,adjective,supa-soniki; -a zaidi ya kasi ya sauti superstition,noun,ushirikina; imani ya uchawi. superstitious superstition,adjective,-a ushirikina supper,noun,chakula cha usiku supplant,verb transitive,"twaa mahali pa; chukua nafasi ya; wa badala. Wooden implements are often ~ed by iron ones, vyombo vya chuma vinachukua mahali pa vile vya mbao" supple,adjective,"-a kunesa; nyumbufu. the ~ limbs of children, viungo laini vya watoto; -a mind (fig.) akili nyepesi" supplement,noun,nyongeza; ziada supplement,verb transitive,"ongeza; jaliza. -ary adj. -a kuongezea; -a ziada; -a kurudia. examinations, mitihani ya marudio" supply,noun,kuweka; kutoa; kuleta; ugavi; akiba supply,verb transitive,toa; leta; pa; kimu; ruzuku support,noun,kuchukua; kutegemeza; mihimili; mwega; kiamuli; msaada; muawana; mteueti; uungaji mkono. v.t supremacy,noun,uwezo wa juu kabisa; mamlaka ya juu kabisa supreme,adjective,-a juu kabisa; enye mamlaka makubwa kabisa; -enye uwezo mkubwa kabisa; -kubwa kabisa sur plice,noun,kanzu ya kasisi surcharge,noun,malipo ya ziada; muhi mwi posta unaobadilisha thamani ya stempu; mzigo wa ziada sure,adjective,"-a hakika; -a yakini; -a kweli; -a kuaminika. feel ~ of oneself, jiami ni. be ~ - to come, usikose kuja. make ~, hakikisha" sure,adverb,"- enough, kwa hakika; kwa kweli" surf,noun,shanu;a; povu la mawimbi ya maji surface,noun,umbo la nje; uso; sura; juu; sehemu ya juu surface,adjective,-a nje; -a juu surfeit,noun,shibe; kimaya surgeon,noun,daktari mpasuaji surgery,noun,upasuaji; thieta. surgical surgery,adjective,-a upasuaji; -a kupasulia surly,adjective,-kali; -a kisirani; gomvi. surliness surly,noun,ukali; kisirani; chuki; uchungu surname,noun,jina la ukoo surplus,noun,ziada surprise,noun,mshangao; fadhaha; mastajabu; mzu bao. vt. shangaza; fadhahisha; duwaza; shtua; shtukiza. surprising surprise,adjective,-a kushangaza; -a kustaajabisha surrender,noun,"kujisalimisha; kusalimu amri; kuacha; kujitoa. vt./i. jisalimisha salimu amri; acha; jiachia; kubali kushindwa. one's goods as a surety, weka dhamana mali yako. oneself to sb's care, jiweka chini ya himaya fulani. (fig.) oneself to, jisalimisha" survey,noun,ukaguzi; upimaji; mapitio; uchunguzi. vt. tazama; kagua; aua; pitia; pima ramani susceptible,adjective,"-epesi kuathirika; -epesi kuhlisi. of proof, -a kuwez a kuthibitika" suspect,noun,"mtuhumiwa; mshukiwa. vt. dhani; kisia; tuhumu; tilia shaka; shuku; dhani; waza. He ~ed that the enemy were hiding among the trees, alshuku kuwa maadui walikuwa wamejificha katika miti" suspense,noun,mashaka; wasiwasi; taharuki suspension,noun,"kiangiko; kutungika; kuangika; kuondoshwa kwa muda; kusimamishwa. suspension bridge, daraja ning’inizi" suspicion,noun,tuhuma; shaka; tuhuma; dhana mbaya suspicious,adjective,enye shaka; ~a; kutuhumu; ~ya wasiwasi sustain,verb transitive,"imilili; chukua; patwa na matatizo; vumilia; (law) kubaliana na, idhinisha, toa idhini" sustenance,noun,"chakula, riziki" swagger,verb intransitive,tamba; randa; enda kwa kujivuna. majivuno. - cane. kifimbo cha askari swallow,noun,"kumeza, funda" swallow,verb transitive/intransitive,"meza. - one's words, tia ulimi puani" swallow²,noun,"kijumbamshale; barawai; mbayuwayu, mbililiwi" swamp,noun,kinamasi swamp,verb transitive,jaza maji; tosa majini; vuika majini. (fig.) lemea; kemea; vika maji swan,noun,bata maji swap,verb transitive/intransitive,(-pp-) badili mali kwa mali swarm,noun,kundi kubwa la wadudu au ndege swarm,verb intransitive,"enda pamoja katika kundi. with, wa-ingi, jaa sana" swarm²,verb intransitive/transitive,"- up; paraga, paramia" sway,noun,"kuyonga; kuyumba, nguvu; mvuto" sway,verb intransitive/transitive,yonga; yumbisha; yumba; geuza; vuta; shawishi swear,verb transitive/intransitive,"(swore, sworn) apa; apisha; kula yamini; kula kiapo; lisha kiapo. - by sth, apia kama shahidi; (colloq.) tegemea; laani; apiza; tukana" sweat,noun,"jasho; unyevu, majimaji; (colloq.) kazi ngumu; sulubu" sweep,noun,"fagi; ufagio; upeo; pigo; mkupuo; mkondo; msafisha; dohani, kafi; kasia; upondo" sweep,verb transitive/intransitive,"(swept) fagia; pangusa; kumbad; enda kwa fahari; tamba; enea; tanda; pita upesi; kokota; peperusha; zoa; safisha. Houses were swept away by the floods, nyumba zilikokolewa na mafuriko. She swept out of the room, alitoka chumbani kwa madaha, make a clean ~ of sth. (fig.) ondoa mbali" sweet,noun,kitu kitamu; mpenzi; kipenzi sweet,adjective,-tamu; safi; zuri; a kupendeza; a kuvutia; a kunukia swell,noun,mawimbi makubwa; uvimbaji. v.i.swollen) vimba; vimbisha; tuna; tunisha; tunza; tanuka swelter,verb intransitive,ona joto sana swerve,noun,mchepuko swerve,verb intransitive/transitive,gauka; enda upande; chepuka; pinda ghafla swift,adjective,-epesi; a ghafla; a haraka; a mbio swift²,noun,kijumbamshale; mbililiwi; mbayuwayu; barawai swim,noun,kuogelea swim,verb intransitive/transitive,"(-mm- swam, swum) ogelea; ona kizunguzungu; jawa na. His eyes were ~ming with tears, macho yake yalijaa machozi. be in the ~, fahamu au shiriki katika mambo yanayotokea" swindle,verb transitive,danganya; tapeli; laghai; ghilibu. -r n. ayari; tapeli; dhalimu swing,noun,"kubembea; pembea; bembea. v.i.t. (swung) pembea; pembeza; bembea; bembeza; geuka; geuza; enda upande. go with a ~, fuata mdundo. be in full ~, pamba moto" switch,noun,"swichi; ufito; mchapo; mtambo wa kubadilisha njia za reli; kishungi; mgwisho. v.t.i. - on, washa; fungua. - off, zima" swivel,noun,pete yenye kuzunguka; ekseli swivel,verb transitive,(-ll-) zungusha; zunguka swoop,verb intransitive,"shuka chini kwa kasi (kama tai, kipanga, etc.); ruka chini; chupa; pokonya; pora" sword,noun,upanga; kitara; jambia; sime swot,noun,mbukuaji; kazi nzito swot,verb intransitive,(-tt-) (slang) soma kwa bidii; bukua syllable,noun,silabi symbiosis,noun,ufanano; utegemeanaji wa viumbe viwili hai symbol,noun,ishara; alama; dalili. -nic adj. a mfano; enye maana; -a ishara. -ize v.t. wa ishara ya; onyesha kwa ishara; ashiria symmetrical,adjective,a pacha; -a sawa; linganifu symmetry,noun,"mpachano; pacha; mlingano wa kilingo; umbo la mpangilio wa sehemu mkabala za bapa, mstari au nukta; ulinganifu; usawa; mlingano" sympathy,noun,"upole; huruma; utu wema. be in ~ with, hurumia; sikitika. sympathetic" sympathy,adjective,a huruma; -pole; -a roho nzuri. sympathize sympathy,verb intransitive,be in ~ with; hurumia; sikitika symphony,noun,simfoni; muziki upigwao kwa kutumia ala nyingi kwa pamoja symptom,noun,alama; ishara; dalili. -atic adj. -a dalili; -a ishara synagogue,noun,sinagogi; nyumba ya ibada ya Wayahudi syncline,noun,sinklini; mkunjo katika tabaka wa majabali sedimenti unaosababishwa na msoego wa tabaka za ardhi syndicate,noun,ushirika wa mashirika yenye shughuli za aina moja; ushirika wa waandishi makala magazetini synod,noun,sinodi; eneo la majimbo ya kanisa; mkutano wa majimbo ya kanisa synonym,noun,sinonimia; kisawe; neno lenye maana linalo karibiana sana kimanaa na lingine. -ous adj. -enye maana karibu sawa synopsis,noun,(synopses) muhtasari; ufupisho synovial capsule,noun,kibumba sinovia; kiwambo kama kifuko kinachozunguka mifupa miwili inayotembea kwenye kiungo synovial fluid,noun,ute lainishi; ute mwili ulioko katika sehemu wazi za viungo kama vile mfereji wa chakula syntax,noun,sintaksi; tawi la isimu linalohusu uhusiano wa kisarufi wa vipashio na maneno synthesis,noun,usanisi synthesize,verb transitive,sanisi synthetic,adjective,sanisi. synthetical synthetic,adjective,"a usanisi. synthetic chemistry, kemia sanisi. synthetically" synthetic,adverb,kisanisi syphilis,noun,kaswende; mojawapo ya maradhi ya zinaa syphon,noun,mrija; neli; kifonyozi syringe ['sɪrɪnʤ],noun,sindano syrup,noun,shira system,noun,"mfumo; utaratibu. the nervous ~, mfumo wa neva. Too much alcohol is bad for the ~, kunywa ulevi wa kupindukia ni hatari kwa afya ya mtu" T cell,noun,aina ya limfosti inayotoka kwenye ya mwili dhidi ya antijeni taamuli,noun,mazingira; taamuli; tafakuri tab,noun,nembo ya karatasi au ya kitambaa iliyo katika nguo; kibonye bapa ambacho ni ala ya kiibodi kwenye kompyuta kitoacho fursa ya mfulizo wa vitu na miruko table,noun,"meza; watu waliokaa mezani; ratiba; orodha; jedwali; jiwe. His talk amused the whole ~, mazungumzo yake yalifurahisha wote waliokuwa mezani. keep a good ~, andaa chakula vizuri" tablet,noun,(la zamani) kibao cha kuandikia; padi; kidonge cha dawa; kipande cha sabuni taboo,noun,mwiko; miko; haramu tabular,adjective,liopangwa katika jedwali tabulate,verb transitive,panga katika jedwali; orodhesha tabulator,noun,mashine ya kuorodhesha; mashine ya kupangilia tack,noun,"msumari mfupi mdogo, kupiga bandi; kushikiza, mbisho wa meli; (fig) be on the right ~, fuata mwelekeo mzuri. v.t./i kupigilia kwa misumari midogo; shikiza; piga bandi; kisi" tackle,noun,"vyombo; zana; vifaa; kukamata kwa nguvu. fishing ~, vyombo vya kuvulia samaki" tackle,verb transitive/intransitive,shugulikia jambo; kamata kwa nguvu; shambulia tact,noun,hekima; busara tactical,adjective,-a mbinu; -a mpango; -a maarifa ya vita tactician,noun,stadi wa mbinu tactics,noun,mbinu; njia; mpango wa kutekeleza jambo; mbinu za kupanga mashambulizi katika vita tadpole,noun,pingiriti; kiluwiluwi tag,noun,"tegi; kipande kidogo kilichofungiwa kitu kingine; kibandiko cha bei; msemo unaonukuliwa mara nyingi na watu. question ~, kirai shwishwi" tag,verb transitive,(-gg-) funga; ambatisha; fuata kwa karibu sana; tia tegi tail,noun,"mkia; upande wa sarafu usio na kichwa cha mtu. heads or tails, kichwa au mkia?" tail,verb transitive/intransitive,"after sb., fuata mtu karibu sana. -off punguka; legea; baki nyuma" tailor,noun,msonaji; fundi cherahani; mshoni taint,noun,doa; waa taint,verb transitive/intransitive,tia doa; ozesha; oza tale,noun,hekaya; hadithi; taarifa; maelezo; kisa; ngano. tell ~s about chongea talent,noun,kipawa; kipaji; watu wenye vipaji. the local wasanii wa ridhaa wa mahali wenye vipaji talk,noun,"mazungumzo; mjadala; mhadhara; hotuba; maongezi. small ~ porojo; domo. - of the town, jambo linalozungumzwa. v.i/t. nena; sema; ongea; zungumza. - sth. over, ongea juu ya jambo fulani. - sb. out of doing sth., shawishi kutofanya kitu. - sb. round, shawishi mtu akubali" tall,adjective,"-refu; a kuzidi. - a story, hadithi yenye shaka. - an order agizo lisilotekelezeka; ombi la muhali" tally,noun,kitambulisho; hesabu tally,verb intransitive,lingana; patana talon,noun,kucha la ndege tamarind,noun,(tree) mkwaju; (fruit) ukwaju tame,adjective,-liofugwa; si-kali; nyenyekevu; tilifu; -liopooza tame,verb transitive,fuga; tiisha; tawala tamper,verb intransitive,haribu; geuza; vuruga; chezea tan,adjective,hudhurungi tan,verb transitive/intransitive,(-nn-) (kwa ngozi) dibaghi; geuka hudhurungi tangent,noun,"mstari mguso. go off at a ~, ghairi ghafla; enda masazari" tangible,adjective,"-a kugusika; wazi; dhahiri. proof, ithibati dhahiri" tangle,noun,mfungamano; msokotano; msongamano; mvurugano; vurugu. v.t/i. sokotana; vuruga; songamana tank,noun,"birika; tangi; lothi; kifaru. the petrol ~, tangi la petroli" tantamount,adjective,"-to, sawa na; mamoja" tao,adjective,"-erevu, -enye hila, -janja" tap,noun,"bomba, mferiji" tap,verb transitive,gema; fyonza; kinga. (fig.) jaribu kupata jambo kwa hila tape,noun,utepe; tepu taproot,noun,mzizi mkuu; mzizi mkubwa kuliko yote wa mmea dikotiledoni unaokua kuelekea chini ardhini tap²,noun,kipigo chepesi; kugonga tap²,verb transitive,gota; gonga tar,noun,lami target,noun,shabaha; lengo; kusudio tariff,noun,orodha ya bei; ushuru wa forodha tarpaulin,noun,turubali tart²,noun,pai ya matunda tart¹,adjective,chungu; kali task,noun,"kazi; force, jopo" tassel,noun,kishada; shada taste,noun,"kuonja; ladha; utamu; tamaa; upendo; shauku; akili za kupambanua mazuri. v.t/i. onja, dhuku; -wa na ladha ya. bud, kionjo; ungo la fahamu katika ulimi ambalo huweza kugundua ladha ya kitu - the joys of freedom, furahia uhuru" tasty,adjective,tamu; a- kukolea taut,adjective,"-liokazwa; (fig.) -epesi kushtuka; -liokacha; kavu. a smile, kicheko kikavu" tawny,adjective,-a rangi ya mchanga wa pwani; hudhurungi tax,noun,"kodi; ushuru. a - on my strength, mzigo kwangu; taklifa kwangu" tax,verb transitive,"toza kodi; lipisha ushuru; sumbua; kalifu. - sb. with sth., shatki; laumu" taxi,noun,teksi tea,noun,chai. hoja cha chajo; kijio teacloth,noun,"kitambaa cha kufutia vikombe. ~set, ~service n. seti ya vyombo vya chai. ~strainer n. kichujio cha chai" teak,noun,msaji; mvule team,noun,timu; wanyama wanaokokota gari pamoja. ~work kazi ya kikoo tear1,noun,"mpasuko; mpasuo; ufa. v.t/i. (tore, torn) chana; pasua; rarua; tatua; ng'wafua; pasuka; raruka; chanika; kurupuka. The country was torn by civil war, nchi ilivurugwa kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe" tear2,noun,"chozi. be in ~s, lia" tease,noun,mtani tease,verb transitive,chokoza; sumbua; tashtiti; tania technical,adjective,-a kifundi; stadi; -a ufundi technician,noun,fundisanifu technique,noun,mbinu; jinsi ya kufanya jambo technology,noun,teknolojia; elimu ya ufundi tectonics,noun,ujenzi; tekitonikia; sanaa na ustadi wa kujenga majengo ya kufaa na kupendeza tedious,adjective,-a kuchosha; -a taabu; -a ketaabisha tedium,noun,uchovu; taabu teen,noun,"umri kati ya miaka kumi na tatu hadi ishirini; youths in their ~s, vijana wa umri wa kati ya miaka kumi na tatu na kumi na tisa" teenage,adjective,-a ujana teenager,noun,kijana telecast,noun,utangazaji kwa televisheni telecommunication,noun,"mawasiliano ya simu, redio au televisheni" telegram,noun,telegramu telegraph,noun,telegrafu; simu ya upepo. v.t/i. peleka habari kwa telegrafu telepathy,noun,uwezo wa kupashana mawazo bila kutumia hisia za kawaida telephone,noun,simu. v.t/i. piga simu telescope,noun,darubini. v.t/i. ingiana kama sehemu za mtutu wa darubini. telescopic telescope,adjective,a darubini; -a kuonekana kwa darubini; -a kutazama mbali televise,verb transitive,tangaza kwa televisheni television,noun,televisheni temper,noun,"1. matiko ya madini. 2. hali; tabia; moyo; mwenendo. good, upole; ukunjufu; bad, hamaki; hasira. keep one's, tulia; jiweze; jizuia; poa. lose one's, kasirika; hamaki" temper,verb transitive,"1. tia matiko; tuliza; punguza ukali etc. justice with mercy, -wa na huruma wakati wa kutoa adhabu. -ament n. tabia; mwenendo; silka. -al adj. -epesi kukasirika au kufurahi; -epesi wa kubadili tabia" temperature,noun,"halijoto. take sb's, pima mtu kwa thamometa. have a -, wa na homa" tempest,noun,tufani; dhoruba. -uous adj. -a tufani; -a dhoruba; -enye kuchafuka sana. (fig.) a ugomvi mwingi; -a kubishana temple²,noun,paji la uso temple¹,noun,hekalu temporary,adjective,"-a wakati; -a kitambo; -a muda. hard water, maji magumu ya muda; maji ambayo ugumu wake huondoka kwa kuchemshwa tu" tempt,verb transitive,"tamanisha; shawishi. -ation n. kishawishi; ushawishi; matamanio. -er n. shawishi. the -, shetani" tenable,adjective,"-a kushikika; -a kulindika; -a kudumu kwa muda fulani; -a kuweza kutetea. The fortress is not -, boma halilindiki. His argument was hardly -, ilikuwa taabu sana kuitithibitisha hoja yake" tenacious,adjective,-enye kushika sana; -a kunata; -a kushikamana; -enye kushikilia kauli yake; -enye kung'ang'ania tenacity,noun,nguvu ya kushikamana; ushupavu; uthabiti tenancy,noun,"upangaji; kipindi cha upangaji. life tenancy, upangaji wa maisha" tenant,noun,"mpangaji. farmer, mkulima wa mfumo wa nyarubanja anayekodii ardhi" tender²,adjective,"-ororo; -epesi kudhurika; dhaifu; laini; -a huruma; -pole. -subject, suala nyeti. foot, mgeni katika mazingira magumu. -hearted, pole; -enye huruma, enye upendo. -loin, sarara. -ly adv. kwa huruma; kwa upole. -ness n. wororo; upole; ulaini" tender¹,noun,"tenda; zabuni. legal -, fedha halali ya nchi. v.t/i. toa. for, zabuni. for the construction of a bridge, zabuni ujenzi wa daraja" tendon,noun,mkano tendril,noun,ukono; kikonyo (cha mmea) tend²,verb intransitive,"elekea. Prices are -ing upwards, bei zinaelekea kupanda. Their steps -ed towards the bridge, walienda kwenye daraja. -ency n. mwelekeo; welekeo. Your work shows a - to improve, kazi yako ina mustakabali wa maendeleo" tend¹,verb transitive,"tunza; chunga; hudumia. -er n. mtunzaji, mhudumiaji; mlei saidizi; behewa la maji" tenement,noun,nyumba kubwa iliyo jengwa kwa kusudi la kupangishwa; makao; mali ya tennis,noun,"tenisi. – court, kiwanja cha tenisi" tenor,noun,mwendo; utaratibu wa maisha; mwelekeo; sauti nyembamba tense,noun,njeo: kategoria ya kisarufi inayoainisha wakati ambao tendo hufanyika tense,adjective,"-liokazwa; liokakama; -enye fadhaa (gram). kaze: -enye kutumia nguvu nyingi za misuli katika kutamkwa. Their faces were with anxiety, nyuso zao zilijaa fadhaa. –ly" tense,adverb,kwa fadhaa –ness tense,noun,fadhaa. tensile tense,adjective,a kunyoosheka; a kutanuka; a mkazo tension,noun,"mvuto, mkazo; fadhaa; wasiwasi; mgogoro; nguvu ya umeme" tensity,noun,fadhaa tent,noun,"hema. – cloth, turubali" tentacle,noun,mnyiri; mkia; miviyo; mkono tentative,adjective,a kujaribia. My suggestion was only pendekezo langu lilikuwa la majaribio tu. –ly tentative,adverb,kwa majaribio tenure,noun,muda wa kumiliki; umiliki; masharti ya kumiliki; muda wa kushika cheo tepid,adjective,-a uvuguvugu. be – vuvuwaa term,noun,"muda; muhula; majira; kipindi; sharti; neno; istilahi. come to s with, kubaliana na hali ya. be on good ~s with, chukiana na" term,verb transitive,taja; ita. –inal term,noun,kitu cha mwisho; kichwa; ncha term,adjective,"-a kipindi; a muhula; a mwisho; a kufa; a ncha. velocity, kasimwelekeo kikomo: kasi-mwelekeo usiobadilika unaofikiwa na gimba linalosafiri. –inate v.t/i. komesha; zuia; koma; isha; vunjika; vunja; haribu. –a pregnancy, toa mimba. –ination" term,noun,kikomo; mwisho; uvunjaji. (gram.) silabi au herufi ya mwisho wa neno terminology,noun,istilahi zitumikazo katika nyanja maalumu ya taaluma fulani terminus,noun,kituo cha mwisho cha treni termite,noun,mchwa; kumbikumbi terrace,noun,mahali palipoinuka pa kutembelea au penye nyumba terrestrial,adjective,a dunia; – a kuhusiana na matukio juu ya uso wa dunia terrible,adjective,a kuogofya; a kuhuzunisha; a kutisha; a bughudha. terribly terrible,adverb,sana; mno terrific,adjective,a kutisha; a kuogofya; a hofu. (colloq.) - kubwa mno; ingi mno. terrify terrific,verb transitive,tisha; ogofya; tia hofu territorial,adjective,"a nchi au taifa fulani. the ~ army, jeshi la mgambo. territory" territorial,noun,nchi; taifa; jimbo; wilaya; eneo terror,noun,woga; hofu kubwa terror,verb transitive,tisha sana. –ist terror,noun,gaidi. –ize terror,verb transitive,tisha sana terse,adjective,a maneno machache; a maneno yaliyokato tertiary consumer,noun,mnyama alae wanyama wenye kula wanyama wengine test,noun,jaribio; mtihani; kipimo; vipimo test,verb transitive,"jaribu; tathmini; pima; majaribio. –tube, neli ya majaribio. tube baby, mtoto wa maabara" test,verb transitive,"jaribu; tathmini; pima. The long climb ed our powers of endurance, safari ndefu ya kupanda ilipima uvumilivu wetu" testament,noun,"last will and ~, wasia. Old ~, Agano la Kale. New ~, Agano Jipya" testicle,noun,pumbu: umbo la kiume ambapo gameti za kiume hutengenezwa testimonial,noun,barua ya kuthibitisha uwezo wa mtu itolewayo na mwajiri testimony,noun,"ushahidi. conflicting ~, ushahidi wa uongo. sworn ~, ushahidi wa kiapo. bear ~ to sth., shuhudia jambo" testis,noun,pumbu tetrapod,noun,mnyama mwenye maungo manne text,noun,maandishi textile,noun,kitambaa; nguo textile,adjective,-enye kutengeneza vitambaa au nguo texture,noun,"umamu: umbo asili la kitu laini, au kukwaruza, embamba, nene, etc. a cloth of fine ~, kitambaa laini" thallium,noun,thalliamu: elementi kemikali yenye rangi buluu au weupe than,conjunction,"kuliko; zaidi ya; kupita. He is taller ~ Juma, yu mrefu kuliko Juma" that,pronoun,"(those) yule, ule, ile, etc. rel" that,pronoun,"-o, -ye, -yo, -vyo, etc" that,conjunction,"kama. on condition ~, ilimradi. Oh ~ I could get that opportunity again, laiti ningepata fursa ile tena" thatch,noun,kitu cha kuezekea thatch,verb transitive,"ezeka. strip off ~, ezua" thaw,verb transitive,(barafu na theluji) yeyuka; yeyusha; (kwa watu na mwenendo wao) chamgamka; changamsha theatre,noun,"jumba la maonyesho ya tamthilia; thieta; ukumbi wa mihadhara; tamthilia. operating ~, chumba cha kupasulia. theatrical" theatre,adjective,cha tamthilia; (kwa mwenendo) -a kujidai thee,pronoun,(la zamani) wewe theft,noun,wizi their(s),pronoun,-ao theme,noun,dhamira; wazo then,adverb,wakati ule then,conjunction,kisha; halafu; baadaye theologian,noun,mwanathilojia theological,adjective,-a thilojia theology,noun,thilojia: elimu ya dini na uungu theorem,noun,kauli: usemi au mapendekezo ambayo yamethibitishwa kimantiki kutoka kwenye ukweli na dhana za kimsingi hasa katika hisabati theoretic(al),adjective,-a nadharia theoretician,noun,mnadharia theoretics,noun,elimunadharia theorist,noun,mnadharia theory,noun,nadharia there,adverb,"pale; hapo; kule; huko; mle; humo. -was ~ a man, palikuwa na mtu. It was ~ I saw him, pale ndipo nilipomuona" therm,noun,kipimo cha kima cha joto. thermal therm,adjective,-a kuhusu joto thesis,noun,(theses) tasnifu; hoja au wazo linalotolewa kimantiki they,pronoun,(them) wao thick,adjective,"-nene; (kwa vitu vya majimaji) -zito; (kwa hewa au mvuke) zito. with, -liojaa" thick,adverb,"come ~ and fast, ja -ingi pamoja" thief,noun,(thieves) mwivi; mwizi thigh,noun,paja thimble,noun,kastabini: kifuniko kidogo cha madini cha kulinda ncha ya kidole isiumie kwa sindano wakati wa kushona thin,adjective,"-embamba; liokonda; (kwa mchuzi, uji, etc.) -epesi" thin,verb transitive/intransitive,"fanya kuwa -embamba; -epesi; wa-embamba. the plants out, punguza mimea" thing,noun,"kitu; (pl.) mambo; vitu; ~s, vitu vyako. Have you packed your ~s yet? umekwisha funga mizigo yako? the very ~, kitu kinachofaa. This is the very ~, hiki ndicho hasa. Not at all the ~ to do, si jambo zuri hata kidogo" think,verb transitive/intransitive,"fikir; dhani; tafakari; waza. We ~ well of him, twadhani kuwa ni mtu mwema. He ~s nothing of walking twenty miles, haoni kitu kutembea maili ishirini. He thought better of it, aliachana nalo" thirst,noun,kiu; (fig.) shauku thorax,noun,kifua: sehemu iliyo katikati baina ya kichwa na tumbo thorium,noun,thoriamu: metali ya kikemikali nururishi ya nambari 90 yenye rangi nyeupe thorn,noun,mwiba thorough,adjective,kamilifu. ~bred n./adj. mbegu bora; a asili bora "thou, thee",pronoun,wewe though,conjunction,ingawa; ijapokuwa; hata hivyo thought,noun,"fikira; wazo. take ~ for, zingatia. he had no ~ of, hakuwa na nia ya" thrash,verb transitive,"piga; puta. He ~ him with a whip, alimcharaza kwa mjeledi" thread,noun,"uzi; hesya ya parafujo. of thought, mfululizo wa mawazo" thread,verb transitive,"tunga uzi katika sindano, ushanga, etc" threat,noun,kitisho thresh,verb transitive/intransitive,puta; pura threshold,noun,kizingiti cha chini cha mlango thrice,adverb,mara tatu thrill,noun,msisimko thrill,verb transitive/intransitive,sisimua; sisimka. ~ed thrill,noun,~isimuliwa thrive,verb intransitive,"(throve, thriven). sitawi; tononoka" throat,noun,"koo. force sth down one's ~, lazimisha mtu akubali maoni yako" throb,noun,kututa; mapigo throb,verb intransitive,(-bb-) puma; tuta throne,noun,"kiti cha enzi; (fig.) the ~, enzi" throttle,noun,vali inayodhibiti miminiko wa mvuke katika injini throttle,verb transitive,kaba roho through,preposition,kwa; katika through,adverb,hadi mwisho throw,verb transitive/intransitive,"(threw, thrown) tupa; gea; rusha" thrust,noun,kikumbo; msukumo thrust,verb transitive/intransitive,sukuma kwa nguvu thud,noun,mshindo thud,verb intransitive,"piga, anguka kwa mshindo" thumb,noun,"kidole cha gumba. be under sb.'s ~, wa chini ya. rule of ~, kanuni iliyotokana na mazoea au desturi tu. latch, kitasa cha kuminya kwa kidole. -a lift, omba lifti barabarani" thump,noun,ngumi; pigo la ngumi; mshindo thump,verb transitive/intransitive,piga ngumi; dunda thunder,noun,radi; ngurumo Thursday,noun,Alhamisi thus,adverb,hivi; hivyo thy,adjective,(la zamani) -ako thyroid,noun,thirodi; tezi iliyoko kwenye shingo ambayo hutoa homoni zenye athari muhimu kwa ustawi wa akili na mwili inoculation,noun,chanjo; uchanjaji tibia,noun,goko; mfupa wa mguu wa mguu tick,noun,"pigo jepesi kama la mlo kama wa saa; tiki; alama ya vyema. on ~, kwa kukopa" tick,verb transitive/intransitive,piga mido kama saa; tia tiki tick2,noun,kupe; papasi ticket,noun,tiketi; kipande cha bei katika bidhaa tickle,verb transitive/intransitive,tekenya; nyengeresha. ticklish tickle,adjective,a kutekenyeka upesi tidal,adjective,"a maji kupwa na kujaa. tidal power, umeme wimbi: nguvu za umeme zitokanazo na mawimbi ya bahari" tide,noun,maji kujaa na kupwa tide,verb transitive,"- sb. over, kwamua mtu katika matatizo. Will 6000/= you over until you get your wages? shilingi elfu sita zitakusaidia mpaka upate mshahara wako?" tie,noun,fundo; sare; kizuizi; tai tie,verb transitive/intransitive,"(tying, tied) funga" tier,noun,safu; daraja; rusu tiger,noun,chui mwenye milia tight,adjective,"a kukaza; liokazwa; -lionyoshwa sana. pack ~, funga" tigress,noun,chui jike tile,noun,"kigae cha kuezekea, kubandikiza ukutani au sakafuni" till2,noun,mtoto wa meza till3,verb transitive,lima tiller,noun,tela: mkono wa usukani wa mashua tilt,noun,mwinamo. v.t/i. inamisha; inama. at full ~ kwa mbio na nguvu nyingi sana timber,noun,mbao; miti time,noun,"wakati; mara; majira, be in ~ wahli. You will be able to speak Kiswahili in ~ utaweza kuzungumza Kiswahili mapema in good ~ mapema. in no ~ (colloq). mara moja. at one ~ zamani. at the same ~ wakati huo huo, from ~ to ~ mara kwa mara" timer,noun,kigeugeu. -tongued adj. mwenye kigeguege timid,adjective,oga; enye haya timorous,adjective,oga tin,noun,bati; kopo; mkebe tinge,noun,rangi; dalili tinge,verb transitive,tia rangi kidogo; geuza kidogo tingle,verb intransitive,sisimka tinkle,noun,mlio wa njuga tinkle,verb intransitive,lia kama njuga tint,noun,rangi tint,verb transitive,tia rangi kidogo tiny,adjective,dogo sana tip,noun,"ncha; kielle. ""toe adv."" kwa ncha za vidole vya miguu" tip,verb transitive/intransitive,(-pp) (mara nyingi up.) inamisha upande mmoja; inama tip3,noun,kidokezo; bahshishi tip3,verb transitive,(-pp) dokeza; pa bahshishi tissue,noun,"kitambaa; shashi; tishu: mkusanyiko wa seli mwilini a ~ of lies, uwongo mtupu" titanium,noun,titaniamu: elementi metali ya kemikali nyepesi na madhubuti ya rangi ya fedha-kijivu na nambari 20 title,noun,jina; cheo; kichwa cha habari. ~ deed hati miliki titrate,verb transitive,tirisha: thibitisha kiasi cha kiambato maalumu kilichopo kwenye mchanganyiko kwa kutumia mjao wa kimeunywa kwa usahili kikiwa na nguvu inayoweza kubadili kiambato hicho kwa kingine titter,noun,kicheko titter,verb intransitive,jichekea; chekelea to,preposition,"kwa; kasoro: ~ni, mpaka; ea; ku; ili; kuliko. They defeated them three goals ~ one, waliwafunga magoli matatu kwa moja. It's quarter ~ nine, saa tatu kasorobo. She has gone ~ town, amekwenda mjini. He followed her ~ the end, alimfuata mpaka mwisho. He threw a stone ~ me, alinitupia jiwe. She came ~ save me, alikuja ili kuniokoa. I prefer milk ~ coffee, napenda maziwa kuliko kahawa" toast1,noun,tosti; tosti toast2,noun,kupongeza; kutakia tobacco,noun,tumbaku toe,noun,kidole cha mguu toe,verb transitive/intransitive,gusa kwa vidole together,adverb,pamoja; ote; kwa wakati mmoja toil,noun,kazi ya sulubu toil,verb intransitive,jitahidi; fanya kazi kwa bidii; endea kwa taabu toilet,noun,"choo; msala. articles, vifaa vya kujikwatua" token,noun,"dalili; ishara. payment, malipo ya mfano" tolerate,verb transitive,vumilia; stahamili. tolerable tolerate,adjective,-a kuvumilika; zuri kiasi. tolerance tolerate,noun,uvumilivu. tolerant tolerate,adjective,vumilivu. toleration tolerate,noun,uvumilivu tomato,noun,nyanya; nyanya; tungule tomb,noun,kaburi ton,noun,"tani; kilo elfu moja. (colloq.) He's worth ~s of money, yeye ni tajiri mno" tone,noun,"sauti; toni; namna au tabia ya sauti. in angry ~, kwa sauti ya ukali. The ~ of the school is good, hali ya skuli ni nzuri" tone,verb transitive/intransitive,geuza rangi au sauti tongs,noun,koleo tongue,noun,ulimi; lugha tonic,noun,toniki; dawa ya kutia afya na nguvu tonne,noun,tani; kizio cha masi sawa na kilogramu 1000 tonsil,noun,tukwi; findo too,adverb,"mno; kupita kiasi; pia; vilevile. have one ~ many, kunywa zaidi ya kipimo" tool,noun,chombo; ala; zana; kifaa; kibaraka tooth,noun,"(teeth) jino. fight ~ and nail, pigana kufa kupona. in the teeth of, kwa kukabiliana na; dhidi ya. false ~, jino bandia. escape by the skin of one's teeth, ponea chupuchupu. have a sweet ~, penda" tope,noun,helmet ya juu; chepeu topic,noun,mada. -of the day gumzo la mji. -al adj. ya siku hii topography,noun,topografia; taaluma ya maarifa ya hali ya eneo kwenye ramani topsoil,noun,dongomaa; tabaka ya juu kabisa ya udongo yenye virutubisho vinavyotumika na mimea top²,noun,pia sleep like a - lala fofofo top¹,noun,"upande wa juu; kilele. at the- of his voice kwa sauti ya juu kabisa. vt. funika, kata juu, the trees kata vilele vya miti. -coat n. koti. -heavy adj. sito juu kuliko chini. -mast n. cheleko, mstamu; sehemu ya juu ya mlingoti. -most adj. juu kabisa" torch,noun,"mwenge, tochi. hand on the- endelea elimu. carry a - for sb. penda mtu asiyekupenda" torment,noun,mateso; adhabu. vt. tesa; adhibu. -or n. mtesaji; msumbufu tornado,noun,(-es) kimbunga torpedo,noun,(-es) kombora torrent,noun,mkondo; mlizamu wa maji. -ial adj. a mlizamu. rain mvua nyingi tortoise,noun,kobe. -shell n. ngamba tortuous,adjective,a kupindapinda (fig.) enye hila tory,noun,enye kushikilia ukale total,noun,jumla total,adjective,ote; kamili. -ly adv. kabisa totalitarian,adjective,a imla; a kidikteta. - state nchi yenye utawala wa kidikteta touch,noun,"mguso; kugusa. at a-, kwa kuguswa tu. soft to the- laini; myororo. final ex. marekebisho ya mwishoi. gusa; papasa. 2. pasa; husu; sikitisha. The sad story -ed our hearts hadithi ya huzuni ilitushitua. 3. shinda. There's nobody to - him for running hakuna mtu wa kumlinganisha kwa kukimbia. 4. (kwa meli) wasili; tia nanga. upon gusa; eleza kidogo; up; tengeneza. -and-go adj. It was and go whether he would arrive in time ilikuwa bahati nasibu iwapo atawahi. -ed adj. (colloq) be -ed wa na kichaa. -ing adj. a kuhuzunisha; hisia juu ya au kuhusu; kuhisiiana na. -y adj. epesi kuguswa; -iness n. wepesi wa kuguswa; kuhisi" tough,adjective,gume; siotatuka; shupavu. customer (colloq) fedhuli; korofi. -luck mkosi tour,noun,"safari ya kitalii; matembezi. on ~, safarini" tour,verb transitive/intransitive,"talii, tembelea" tournament,noun,mashindano tourniquet,noun,fundo la kuzuia damu tow,noun,"kamba, waya, au mnyororo wa kuvutia" tow,verb transitive,"vuta kwa kamba, waya au mnyororo" towel,noun,taulo towel,verb transitive,futa kwa taulo tower,noun,"mnara. a - of strength, mtu wa kutegemewa sana katika matatizo. water ~, mnara wa tangi la maji. block, jengo lenye ghorofa nyingi" tower,verb intransitive,"enda juu sana. above, (fig.) zidi kwa urefu, kimo, au akili. be in a -ing rage, kasirika mno" town,noun,mji toxic,adjective,a sumu toxin,noun,toksini: aina ya kemikali inayotolewa na bakteria yenye uwezo wa kudhuru seli za viumbe vingine toy,noun,mwanasesere: kitu cha kuchezea watoto toy,verb intransitive,chezea trace,noun,dalili; alama; myayo trace,verb transitive,nakili; fuatisha trachea,noun,koromeo: mirija wa hewa kutoka kinywani kupitia shingoni hadi mapafuini track,noun,njia; mkondo track,verb transitive,fuatia kwa alama za nyayo tract1,noun,eneo; nchi; jimbo tract2,noun,kijitabu kifupi kinachohusu mambo ya dini tractable,adjective,tiifu tractor,noun,trekta trade,noun,"biashara; kazi. the ~ cotton, biashara ya pamba" tradition,noun,mila; desturi traffic,noun,trafiki: jumla ya vipando barabarani au ndege angani; magendo traffic,verb intransitive,"(-k-) in, fanya biashara" tragedian,noun,mwandishi au mwigizaji wa tamthilia za tanzia tragedy,noun,tamthilia ya tanzia; msiba tragic,adjective,a tanzia; a huzuni. tragically tragic,adverb,kwa huzuni trail,noun,"njia; lia; alama; nyayo. The storm left a ~ of destruction, tufani iliacha alama za maangamizi. You have to set a trap on their ~ to catch these pigs, lazima uwatege katika lia lao ili uwakamate nguruwe hawa" trail,verb transitive/intransitive,burura; tambaa train,noun,treni; garimoshi; msururu train,verb transitive/intransitive,fundisha trait,noun,tabia au sifa bainishi traitor,noun,msaliti; haini traitorous,adjective,mhaini. traitress n. mhaini wa kike trance,noun,kupagawa transact,verb transitive,fanya shughuli na fulani transcribe,verb transitive,nukuu; nakili transcript,noun,nakala transcription,noun,unukuzi; kunakili transect,verb transitive,pita katikati; gawa kwa kupita katikati transfer,noun,uhamisho. fee ada ya uhamisho. v.t/i. (-rr-) hamisha; hama transform,verb transitive,geuza; badili transfuse,verb transitive,damu. transfusion transfuse,noun,utaji damu. The patient had several blood transfusions. mgonjwa aliongezwa damu mara kadhaa transient,adjective,a kupita; -siodumu; -a muda mfupi tu transistor,noun,transista: kifaa cha dutu pitishi-pitishi chenye elektrodi tatu na kina uwezo wa kukuza umeme wa volteji ndogo transit,noun,"kupita. goods in ~, bidhaa zinazosasafirishwa. ~ visa viza ya kupita. ~ camp kambi ya wasafiri" transitive,adjective,(kwa kitenzi) elekezi: chenye kutumika au kuelekezwa kwa mtendwa translate,verb transitive,fasiri. translation translate,noun,tafsiri. translator translate,noun,mfasiri translucent,adjective,enye ukungu; enye kupitisha nuru bila taswira transmit,verb transitive,(-tt-) peleka; ambukiza transparent,adjective,angavu; a kuona; wazi; bayana transpire,verb intransitive,gemkato; kutoka kwenye vinyeweleo vya ngozi transplant,verb transitive,atika; pandikiza transport,noun,usafiri; uchukuzi transport,verb transitive,"peleka; safirisha. be ~ed with, panda jazba; hemkwa. in a sort of delight, ilohamkwa" transpose,verb transitive,badilisha namna nafasi. transposition transpose,noun,ubadilishanaji nafasi transversal,noun,"mkingamo: mstari wa kukingama," transversal,adjective,a kukingama transverse,adjective,"kingamo, kukingama. transverse wave wimbi kingamo: wimbi" trap,noun,mtego; mtambo; hila trap,verb transitive,(-pp-) tega; nasa; danganya trapdoor,noun,mlango wa sakafuni au darini. ~per n. mtega wanyama travel,noun,usafiri; safari travel,verb intransitive,(-ll-) safiri traverse,verb transitive,pita; pitia; kingama travesty,noun,mwigo; dhihaka travesty,verb transitive,dhihaki kwa kuiga au kuvaa mavazi ya kike na kufanya vitimbi vingine trawl,noun,nyavu ya kukokota chinichini trawl,verb transitive,vua samaki kwa kukokota nyavu chinichini tray,noun,sinia; chano; trei treacherous,adjective,danganyifu; janja treachery,noun,udanganyifu; hila; usaliti treacle,noun,asali ya miwa tread,noun,kishindo; kidaraja cha ngazi; tredi; kasha ta tairi tread,verb transitive,kanyaga. ~on air jaa wa na furaha treason,noun,uhaini. high ~ uhaini mkubwa. ~offence kosa la uhaini treasure,noun,"hazina. house, hazina" treasure,verb transitive,thamini sana treat,verb transitive/intransitive,"tendea. -sb well, tendea fulani vyema. 2. chukulia. He -ed the matter as a joke, alichukulia kama utani 3. eleza. He -ed the subject thoroughly, alielezea vyema mada ile. 4. (kwa hotuba, kitabu, etc.) -of, husika na. The essay ~s of insect pests, insha yahusu wadudu waharibifu. 5. tibu. 6. karibisha. 7. shauriana" treaty,noun,mkataba. ~ port bandari inayoruhusu bidhaa za nje kwa mkataba. ~ of friendship mkataba wa urafiki treble,adjective,a sauti nyembamba tree,noun,mwegea tree,noun,mti. family ~ ukoo; nasaba; usuli trek,noun,safari ngumu na ndefu trek,verb intransitive,(-kk-) enda safari ndefu tremble,noun,mtetemeko; mtikisiko tremble,verb intransitive,tetemeka tremendous,adjective,kubwa mno tremor,noun,tetemeko; mtikisiko trench,noun,handaki; mfereji trend,noun,mwelekeo. set the ~ anzisha mtindo trend,verb intransitive,elekea trepidation,noun,hofu; wasiwasi trespass,noun,uingaji bila ruhusa trespass,verb intransitive,"upon, ingia bila ruhusa" trestle,noun,egemeo la meza au benchi lenye mate- ndege mawili trial,noun,"hukumu; jaribio. The child is a ~ to its teacher, mtoto yule ni mtihani kwa mwalimu" triangle,noun,pembetatu. triangular triangle,adjective,-enye pembe tatu; a kuhusu washiriki watatu tribe,noun,kabila. tribal tribe,adjective,-a kikabila. tribalism tribe,noun,ukabila tribunal,noun,mahakama military ~ mahakama ya kijeshi tributary,adjective,mtawaa wa serikali au serikali iliyo chini ya serikali nyingine; kijito tribute,noun,"ushuru; kodi. pay ~ to a person, shukuru; tukuza" triceps,noun,"msuli ulioko nyuma ya sehemu ya juu ya mkono, karibu na bega" trick,noun,"hila; mbinu. play ~ on, cheza shere" trick,verb transitive,danganya trickle,noun,mchuziuko. v.i./t tricuspid valve,noun,vali kuspid: vali baina ya chemba za chini na juu za moyo zizuiazo damu kuelekea upande sio tricycle,noun,baiskeli ya magurudumu matatu trifle,noun,jambo dogo. a ~ kidogo. v/t. cheza cheza. trifling trifle,adjective,dogo trigger,noun,"mtambo wa kufyatulia risasi. sth. off, chokonoa mambo" trigonometry,noun,trigonometria: tawi la hisabati kuhusu uhusiano wa pembe na pembetatu na kazi zake trim,adjective,nadhifu. v.t/i. (-mm-) punguza. get into ~ for the sports meeting jiweka katika hali nzuri tayari kwa mashindano. -ming n. mapambo trinity,noun,utatu trio,noun,watatu pamoja; (musiaki) wimbo wa watu watatu trip,noun,safari; matembezi v.i/t. (-pp-) tembea kwa hatua nyepesi jikwaa triple,adjective,~ mara tatu; a tatu pamoja triplicate,noun,nakala tatu triplicate,verb transitive,fanya nakala tatu tripod,noun,kiweko chenye miguu mitatu triumph,noun,furaha ya ushindi triumph,verb transitive,"over, shangilia ushindi, shinda. -ant adj. a furaha ya ushindi; iloshinda" trivial,adjective,dogo; a kawaida trolley,noun,kibereng’e; toroli trombone,noun,tromboni: tarumbeta yenye sauti nzito sana troop,noun,kikosi; jeshi; kundi trophy,noun,kumbukumbu ya ushindi; kikombe tropic,noun,"tropiki. the ~s, nchi za joto. -al adj. a joto; a tropiki" tropism,noun,uwelekeokiamshi: hali ya kukua kwa sehemu ya mmea au mnyama kwa kuelekea upande mojamaalum troposphere,noun,"angatropo: tabaka la chini kabisa katika angahewa, umbali wake ni wastani wa kilomita 7 toka pembe za dunia hadi kilomita 28 kwenye ikweta" trot,noun,mwendo wa matiti v.tˈtrɒtə(r)/ trot,noun,farasi aliyetunzwa kukimbia kwa hatua fupifupi kwa taji wa ng’ombe trouble,noun,shida; taabu. in~ matatizoni trough,noun,kihori; chombo cha kupokea unga trounce,verb transitive,piga sana trousers,noun,suruali trousseau,noun,mapambo na mavazi ya bibi arusi trout,noun,aina ya samaki wa mtoni huko Ulaya trowel,noun,mwiko wa mwashi; kijiko cha kupandia mimea troy,noun,tola: kizio cha uzito wa vito vya thamani truancy,noun,utoro truant,noun,"mtoro wa shule. play ~, toroka kazini au chuoni" truce,noun,usimamishaji vita wa muda truck,noun,"lori, behewa la mizigo" trudge,noun,mwendo mrefu wa kuchosha trudge,verb intransitive,jikokota true,adjective,kweli; amilifu truly,adverb,kwa kweli; kwa dhati; kwa hakika trumpet,noun,tarumbeta; parapanda; baragumu. blow one's own ~ jisifu; jigamba truncheon,noun,rungu trunk,noun,"shina. - call, simu ya mbali. - line, reli kuu. - road, barabara kuu" truss,noun,"robota; mtumba; mkanda avao mgonjwa wa ngiri. - sth. up, funga shaka katika mtumba" trust,noun,"imani; amana. - fund, mfuko wa dhamana. vt./i. amini; tegemea. - in sb., amini mtu. - to sth., tegemea kitu" truth,noun,ukweli try,noun,jaribio. vt./i. (tried) jaribu tsetsefly,noun,mbung'o; ndorobo tsunami,noun,sunami: wimbi kubwa baharini linalosababishwa na tetemeko la ardhi chini ya bahari tub,noun,"beseni; pipa; hodhi. thumper, mhamasishaji" tube,noun,bomba; neli; tyubu; kioo cha televisheni; reli ya chini ya ardhi tuber,noun,kiazi; kitunguu tuberculosis,noun,kifua kikuu. tubercular tuberculosis,adjective,-lioathiriwa na kifua kikuu. tuberculous tuberculosis,adjective,-a kifua kikuu tubular,adjective,-enye umbo la neli tuck,noun,pindo; keki Tuesday,noun,Jumanne tug,noun,mvuto wa nguvu tuition,noun,mafundisho tumble,noun,anguko; kuporomoka tumble,verb transitive/intransitive,poromoka; chaka; pindua; angusha tumbler,noun,bilauri tumour,noun,mtutuko: uvimbe wowote mwilini unaosababishwa na ukuaji wa tishu usio wa kawaida tundra,noun,tundra: uwanda mpana usio na miti katika eneo la aktiki tune,noun,"tuni, lahani: mfuatano au uwiano wa sauti. change one's tune, badili tabia. to the ~ of, kiasi cha" tungsten,noun,"tang'isteni: metali ya kemikali ya kijivu yenye sifa ya kufulika bamba, wavu na isiyolikaubika kirahisi ya nambari 74" tunic,noun,koti refu; kanzu fupi; blauzi tunnel,noun,njia ya chini kwa chini turban,noun,kilemba turbid,adjective,-enye matope; litobuliwa turbine,noun,"tabo: injini za maji, gesi, hewa, na mvuke. turbogenerator, tabojenareta: jenereta la mvuke au gesi. turbojet, tabojeti: ndege yenye injini ya mvuke au gesi" turbulent,adjective,-siodhibitika; -a ghasia. turbulence turbulent,noun,ghasia; fujo; maasi; zahama turf,noun,majani mororo na udongo wake turgid,adjective,-liovimba; (kwa lugha) -a kiburi turkey,noun,batamzinga. cold uachaji wa ghafla wa dawa ya kulevya turmoil,noun,machafuko; zahama; ghasia turn,noun,"1. mzunguko. three ~s mizunguko mitatu. — of the century, mwanzo wa karne mpya. 2. koma. sudden ~s in the road kona kali barabarani. 3. zamu. do sth. and about, fanya jambo kwa zamu. 4. badiliko. Events took a new ~ mambo yalibadilika. 5. tendo. One good ~ deserves another, matendo mema ni wajibu kulipwa. do sb. a good ~ mtendea mtu wema. 6. haja. serve one's ~ kidhi haja ya mtu. 7. mshtuko The news gave me quite a ~ habari zilinishitua" turn,verb transitive/intransitive,"zungusha; zunguka, badilisha badilika; pindua; pinduka; geuza; geuka. - a deaf ear to sth., tojalia; tosikiliza. - sb. adrift, telekeza. - sb. down, katalia. - up one's nose at sth., dharau. - ing" turn,noun,kona turnip,noun,aina la tanipu turpentine,noun,tarufeni: aina ya mafuta ya kuveyusha na kuchanganyia rangi turret,noun,"mnara mdogo, banda la chuma lenye mizinga" turtle,noun,"kasa. turn ~ (kwa meli) pinduka. shell, ng'amba; gamba la kasa" tusk,noun,jino la ndovu; pembe. -er n. ndovu au nguruwe mwitu aliyepevuka tussle,noun,pambano tussle,verb intransitive,pambana vikali tutor,noun,mkufunzi; mhadhiri tutor,verb transitive,fundisha. -ial n. semina ya ukufunzi tutor,adjective,-a ukufunzi tweed,noun,nguo ya sufi tweezers,noun,kikoleo; kibanio twelfth,adjective,-a kumi na mbili twenties,noun,miaka ya ishirini twentieth,adjective,-a ishirini twice,adverb,"mara mbili. a ~ told tale, habari inayofahamika vizuri" twig,noun,kitawi twilight,noun,utusitusi wa asubuhi au jioni twin,noun,pacha twin,verb transitive,"- with, ungana na" twine,noun,kitani; uzi twinge,noun,kichomi; maumivu makali ya ghafla twinkle,noun,mmeremeto twinkle,verb intransitive,"meremeta; metameta. in the twinkling of an eye, kufumba na kufumbua; mara moja" twist,noun,msokoto; usokotaji twist,verb transitive/intransitive,"suka; sokota; songa; geuza. sb.'s arm, popoto mkono wa mtu. sb. round one's little finger, fanya mtu afanye unalotaka" twitter,noun,mlio wa sauti nyororo twitter,verb intransitive,(kwa ndege) lia kwa sauti nyororo type,noun,"aina; herufi za kupigia chapa true to ~ mwakilishi hasa wa jamii yake. -face, aina ya chapa. -script, kazi iliyopigwa chapa. setter, mtayarishaji chapa. -writer, mashine ya chapa. -written, iliyopigwa chapa" type,verb transitive/intransitive,pigia taipu; panga katika aina typhoid,noun,homa ya matumbo typhoon,noun,kimbunga; tufani typist,noun,mpiga taipu typography,noun,"taipoɡrafia; taaluma ya kupigia chapa. faults of typography, makosa ya uchapaji" typology,noun,taipolojia; uainishi hasa wa maandiko ya Biblia na sayansi jamii tyranny,noun,uonevu; udhalimu; udikteta; utawala wa mabavu. tyrannical tyranny,adjective,-a kikatili; -a kidikteta; -a kidhalimu. tyrannize tyranny,verb intransitive,kandamiza; tawala kwa mabavu; onea; dhulumu. tyrannous tyranny,adjective,onevu. tyrant tyranny,noun,dikteta; mtawala wa mabavu. tyre tyranny,noun,mpira; tairi ubiquitous,adjective,a kuwapo kila mahali. ubiquity ubiquitous,noun,ueneaji wa kila mahali ugly,adjective,-baya; -a kutisha; siovutia. The sky looks ~. kumefinga. an ~ customer; mtu wa hatari ulcer,noun,kidonda ulna,noun,kigasha mfupa mwembamba ndani ya mkono unaoanzia kikoni hadi kingajani ultimate,adjective,-a mwisho; -a msingi ultimatum,noun,"kauli ya mwisho. give an ~ to a person, toa kauli ya mwisho kwa mtu" ultrasonic,noun,kiuka sauti: kasimawimbi kubwa ambayo inavuka usikizi wa binadamu ultrasound,noun,kiuka sauti: sauti ya kasimawimbi kubwa mno kiasi cha kuvuka usikizi wa mwanadamu ultraviolet,noun,urujuanimno: mnururisho sumaku umeme usioonekana katika mwangaza wa jua umbel,noun,shaziua mwamvuli: mpangilio wa shaziua kama mwamvuli ambao vikonyo vya viua vyake huanzia mahali pamoja umbilical cord,noun,utovuti: tishu yenye umbo la kamba inayounganisha kitovu cha mtoto mchanga kabla ya kuzaliwa na plasenta katika uterasi wa mama umbra,noun,uvuligiza: kivuli ambacho huleta giza totoro katika kupatwa kwa jua ambapo nuru hukosekana umbrella,noun,"mwavuli; hifadhi. under the ~ of AU, chini ya hifadhi ya Umoja wa Afrika" umpire,noun,mwamuzi hasa katika michezo ya tenisi na golfu; msuluhishi unaccountable,adjective,sioelezeka unanimous,adjective,-a pamoja; -a kauli moja; siopingwa unawares,adverb,"ghafla bila kutazamiwa; bila kutambua. She dropped her money ~, aliangusha pesa zake bila kutambua" unbalanced,adjective,kichaa uncle,noun,mjomba; ami uncouth,adjective,-shenzi; jinga undercurrent,noun,mkondo wa chini; (fig.) maoni ya chinichini undercut,verb transitive,uza kwa bei ya chini kuliko ya washindani underdog,noun,anayeonewa; anayehaliilishwa underdone,adjective,(hasa kwa nyama) -siopikwa vizuri; bichi undergo,verb transitive,"pitia, fanya" undergraduate,noun,mwanafunzi wa chuo kikuu wa shahada ya kwanza underground,adverb,chini ya ardhi underground,noun,the ~ treni ya chini ya ardhi undergrowth,noun,"magugu, vichaka" underlie,verb transitive,wa msingi wa; -wa chini ya underline,verb transitive,piga mstari chini; (fig.) sisitiza undermine,verb transitive,"fukua chini; dhoofisha kidogo kidogo. His health was -d by over work, afya yake ilidhoofika kidogo kidogo kwa kazi nyingi" undersigned,adjective,liyoitiwa saini hapo chini understand,verb transitive/intransitive,"(understood) fahamu, elewa, tambua. -able adj. nayoeleweka. -ing adj. enye kuthamini mawazo ya wengine" understand,noun,"ufahamu; mapatano. In this ~ only I will come, kwa sharti hili tu nimekubali kuja" undertake,verb transitive,"(undertook, undertaken) kubali kufanya jambo. undertaking" undertake,noun,ahadi; dhamana; kazi. -r n. mwenye kutayarisha maziko; mzishi undertone,noun,sauti ya kuong'ona underwear,noun,nguo za ndani underworld,noun,jahanamu; jamii ya watu waovu underwrite,verb transitive,kubali jukumu; dhamini. -r n. mdhamini undo,verb transitive,"(undid, undone) fundua; tangua. be undone, potea, angamia. -ing n. sababu ya kupotea au ya kuangamia. undue" undo,adjective,-liyokiuka mpaka; -siyostahili. unduly undo,adverb,mno undulate,verb intransitive,inuka na kushuka; piga mapinde unearth,verb transitive,"fundua, fukua. a buried treasure, fukua hazina. new facts about the life of someone, gundua habari mpya juu ya maisha ya fulani. -ly adj. a peponi; si a dunia hii" uneasiness,noun,wasiwasi uneasy,adjective,si a raha; si tulivu; a wasiwasi. uneasily uneasy,adverb,kwa wasiwasi unfailing,adjective,-a daima; sikowisha; sikowama unfold,verb transitive,kunjua; tangaza unfounded,adjective,"-sio na msingi. rumours, uvumi usio na msingi" ungainly,adjective,-zito; si zuri; ovyoovyo ungovernable,adjective,"siouzuilika; siotawalika; siodhibitika. temper, hasira isiyozuilika" unguarded,adjective,"(hasa kwa maneno) -sio ya busara; -sio ya tahadhari. in moment, bila kufikiri, bila hadhari" unhinged,adjective,-liyevurushwa akili unicorn,noun,(katika hadithi za zamani) mnyama kama farasi mwenye pembe moja uniform,adjective,sare; sawasawa; -a kulingana; -a mfano mmoja uniform,noun,sare; uniformu -ity n. ulinganifu. -ly adv. kwa kulingana unify,verb transitive,uganisha; fanya kuwa moja. unification unify,noun,uganishaji union,noun,umoja; muungano; jumuiya; chama. -ist n. mwanachama unique,adjective,a pekee; sio na kifani -ly adv. kwa namna ya unison,noun,"upatano. in ~, kwa umoja; kwa mapatano. They shouted in ~, walipiga kelele kwa pamoja" unit,noun,"kitu kimoja; kizio. square, kizio mraba. a furniture, seti ya samani. -trust, amana ya kikundi. -ary adj. -a moja" unity,noun,umoja universal,adjective,"-a watu wote; -a kazi zote; -a watu wote. universal indicator, kiasirio jumla: kiasirio ambacho kinaweza kuashiria kemikali mbalimbali. universally" universal,adverb,kilimwengu universe,noun,ulimwengu; vitu vyote university,noun,chuo kikuu unless,conjunction,"ila; isipokuwa. He will not come - you order him, hatakuja mpaka umwamrishe" unmentionable,adjective,-baya sana; -siosemeka; -stojika unmistakable,adjective,dhahiri; bayana; wazi unpleasantness,noun,ugomvi; chuki; maudhi; ubaya unprecedented,adjective,-sio na kifani; -a pekee; -siwahi kutokea unprincipled,adjective,potovu; -a tabia mbaya; sio aminifu unravel,verb transitive/intransitive,(-ll-) fumua; tatua; fumbua unremitting,adjective,-siolegea; -siochoka; -a kufululiza; -a kudumu unrest,noun,wasiwasi; vurugu unruly,adjective,kaidi; -tukutu; fedhuli; tundu unsavoury,adjective,-sio pendeza; -a ufedhuli unscathed,adjective,-sio dhurika; salama salimini unscrupulous,adjective,si -nyofu; fedhuli unsettle,verb transitive,hangaisha; tia wasiwasi; fadhaiha unsightly,adjective,-sio-pendeza macho; -a kuchukiza unsound,adjective,"si -zima; si imara; pungufu. person of ~ mind, punguani" unspeakable,adjective,-sio-semeka; -a kuchukiza kabisa unthinkable,adjective,-sio-wazika unthinking,adjective,"-a pupa; bila kufikiri. He did it ~ly, alifanya bila kufikiri" untimely,adjective,-a wakati usiofaa unto,preposition,(la zamani) kwa untold,adjective,"-siosumulia; -siohesabika. a man of ~ wealth, mtu tajiri kupita kifani" untoward,adjective,sumbufu; -siofaa; -a bahati mbaya; -siypendelewa unutterable,adjective,-siosemeka; -baya mno unwieldy,adjective,-kubwa tena -zito unwitting,adjective,bila kujua; -siokusudiwa. -ly adv. bila kukusudia upbraid,verb transitive,karipia; laumu; shutumu; kemea upbringing,noun,malezi upheaval,noun,"mabadiliko makubwa ya ghafla. The country is in a state of ~, nchi imo katika mabadiliko makubwa" uphill,adjective,"a kupanda; a shida, gumu. an ~ task, kazi ngumu" uphold,verb transitive,(upheld) thibitisha; unga mkono upkeep,noun,gharama za matunzo upland,noun,nyanda za juu uplift,verb transitive,tia moyo upon,preposition,"juu ya. put ~ sb., pa fulani kazi zaidi ya vyo stahili yake" upper,adjective,"a juu; bora. get (have) the ~ hand, shinda dhihari" uppermost,adverb,"a juu kabisa; juu kabisa. He said whatever came ~most, alisema kile kilichomjia kwanza akilini. be down on one's ~s, fukarika" upright,adjective,a wima upright,noun,nguzo uprising,noun,"maasi, machafuko" uproar,noun,makelele; fujo; ghasia; vurumai uproot,verb transitive,ng'oa upset,noun,vurugu; mfadhaiko upset,verb transitive/intransitive,pindua; pinduka. 2. tia wasiwasi; vuruga; tibua upstairs,adverb,ghorofani upward,adjective,a kwenda juu; a kuelekea juu uranium,noun,uraniamu; urani: madini nzito nyeupe inayotoa nguvu za atomiki katika mitambo ya nyuklia Uranus,noun,Zohali: sayari ya saba katika mfumo wa jua urban,adjective,a mji urbane,adjective,a adabu sana urbanity,noun,adabu; utu wema urea,noun,urea: msonbo wa kikaboni wa kifuwele mweupe upatikanayo kwenye mkojo ureter,noun,ureta: viferiji viwili katika figo ambavyo hupitisha mkojo na kuishia kibofuni urethra,noun,urethra: kibomba cha kupitishia mkojo kutoka kibofuni urge,noun,uchu; hamu kubwa urge,verb transitive,shii sana; belezesha urine,noun,mkojo. uric urine,adjective,a mkojo. urinal urine,noun,chombo cha kukojoelea kitandani; msala; sehemu ya kutabawali. urinary urine,adjective,"a mkojo. bladder, kibofu (mkusanyo) kifuko cha mkojo" urn,noun,buli; chombo cha kutilia majivu ya maiti aliyechomwa usage,noun,matumizi; mazoea; desturi use,noun,1. matumizi. 2. kazi. 3. faida. 4. uwezo wa kutumia. 5. ruhusa ya kutumia. 6. mazoea use,verb transitive,tumia; tendea. ~d adj usual,adjective,a desturi; a kawaida utensil,noun,chombo; ala. -s vyombo vya nyumbani uterus,noun,uterasi: sehemu ya kizazi cha mama ambapo kitoto hujishikiza na kuendelea kukua hadi kinapozaliwa utilitarian,adjective,a kuzingatia manufaa utility,noun,"manufaa; matumizi. public utilities, huduma za jamii" utilization,noun,matumizi utilize,verb transitive,tumia utmost,noun,"upeo. do your ~, fanya kila liwezekanalo" utmost,adjective,"a juu, in the ~ danger, katika hatari kabisa. of the ~ importance, muhimu sana" utopia,noun,jamii timilifu kidhahania utter1,adjective,"kabisa. -tupu. darkness, giza totoro" utter2,verb transitive,sema; tamka uttermost,adjective,"a mwisho. -part, ncha" vacancy,noun,"1. uwazi. 2. ukosefu wa mawazo. 3. nafasi wazi ya kazi. There are many vacancies for clerks, kuna nafasi nyingi za ukarani" vacant,adjective,1. -tupu. 2. (kwa akili) -sio na wazo; ~ly vacant,adverb,bila kuwa na kitu vacate,verb transitive,hama; ondoka vacation,noun,1. kuacha; kuondoka; kuhama. 2. muda wa kupumzika; likizo; likivu vaccinate,verb transitive,chanjo vaccination,noun,chanjo; kuchanja vaccine,noun,dawa ya chanjo vacillate,verb intransitive,sitasita; babaika; yumba. vacillation vacillate,noun,kuyumba; kubabaika; kusitasita vacuole,noun,vakouli; uwazi mmoja; wapo ndani ya sitoplazimu ya seli ya mmea iliyokomaa vacuum,noun,ombwe; tupu vagina,noun,uke; sehemu ya nje ya mfumo wa uzazi wa kiumbe kike hadi kwenye uterasi vague,adjective,1. sio dhahiri. 2. (kwa watu) a wasiwasi; sio na uhakika vain,adjective,1. a. bure; -siofaa. 2. -a kujiona; -a kiburi valence,noun,valensi; uwezo wa atomu kuungana valency,noun,valensi; tabia inayowakilika idadi ya atomu au radikali ambazo atomu moja au radikali moja itaungamika kwavyo valiant,adjective,shujaa; hodari; jasiri valid,adjective,"1. halali -enye sheria thabiti. 2. (kwa mapatano) -enye nguvu. 3. (kwa hoja, sababu) -a akili. -ly adv. kihalali. -ate v.t. halalisha; thibitisha. -ity n. uhalali; uthabiti" valley,noun,bonde valorous,adjective,shujaa; jasiri valour,noun,ushujaa; ujasiri valuable,adjective,-a thamani valuables,noun,vitu vya thamani valuation,noun,ukadiriaji valuator,noun,mkadiriaji thamani value,noun,thamani; faida; manufaa. - added tax (VAT) kodi ya ongezeko la thamani. -s maadili value,verb transitive,thamini; kadiria; tathmini valve,noun,vali ya usalama valve,noun,vali; kilango. valvular valve,adjective,-a mishipa ya damu; -a vali za moyo van,noun,gari la mizigo vanadium,noun,vana; dhamu; metali ngumu ya rangi ya fedha vanish,verb intransitive,toweka; tokomea vanity,noun,kiburi; majivuno; majisifu vanquish,verb transitive,shinda; tiisha van²,noun,(jeshini) kikosi cha mbele vapour,noun,mvuke; ukungu. vaporize vapour,verb transitive/intransitive,geuka au geuza mvuke; fusha. vaporization vapour,noun,kuvuukisha; mvukisho variant,noun,kibadala; namna nyingine ya neno moja variant,adjective,"tofauti. as tire and tyre are variant spellings. tire¹, tyre¹ ni vibadala vya neno moja. variation" variant,noun,uhitalifiano; kubadilika hali ya vitu kutoka hali ya kawaida na kuwa tofauti kimaumbile au kijeni varied,adjective,-a hamina nyingi variety,noun,namna; aina; jinsi. for a variety of reasons kwa sababu mbalimbali. various variety,adjective,anuwai; mbalimbali; aina kwa aina varnish,noun,vanishi varnish,verb transitive,paka vanishi vary,verb transitive/intransitive,geuka; badilika; geuza; badilisha. variable vary,adjective,-a kugeuka; geugeu. variability vary,noun,ugeukaji; badilikaji. variance vary,noun,ugeukaji; mpishano vas deferens,noun,tyubu inayotoa spamu kutoka kwenye kende vascular system,noun,mfumo kifereji; mfumo wa vifeleji maalumu vyenye kazi ya kupitisha vioevu mwilini vascular tissue,noun,tishu kifereji; tishu maalumu yenye kazi ya kupitisha kioevu mwilini vase,noun,"chombo cha kutilia maji, maua ya mapambo" vasectomy,noun,uhaishaji; operesheni ya kumhasii dume ili asiweze kutoa mbegu za uzazi vast,adjective,mkubwa mno; ingi mno vault,noun,kuba; chumba cha chini kwa chini. -ed adj. -enye kuba vault²,noun,mruko vault²,verb transitive/intransitive,ruka juu kwa msaada wa upondo veal,noun,nyama ya ndama veer,verb transitive,"(hasa kwa upepo, kwa mawazo) badili mwelekeo. the wind -ed round to north, upepo ulivumia kaskazini" vegetable,noun,"mboga. marrow, msumgune. - soup supu ya mboga" vegetable,adjective,"-a mboga, -a kuhusu mboga. vegetarian" vegetable,noun,"mla mboga za majani, yaani asiyekula nyama kabisa" vegetable,adjective,-a kula mboga za majani vegetation,noun,mimea vehicle,noun,"gari; nyenzo. use the newspapers as a - for political views, tumia magazeti kuwa nyenzo ya kuenezea maoni ya kisiasa" vehicular,adjective,-a magari veil,noun,utaji; shela; mtandio veil,verb transitive,funika kwa shela; ficha vein,noun,mishipa ya damu; tabia yoyote ya kimaumbile ambayo ina ukubwa na uelekeo vein,noun,vena; kishipajani; mwelekeo wa mawazo. He talked in comic aliongea kwa mzaha velocity,noun,kasi;mwelekeo velvet,noun,mahameli vend,verb transitive,(hutumika hasa kwa sheria) uza; chuuza venerable,adjective,a kuheshimiwa. -a heshima; kustahiliwa. venerate venerable,verb transitive,heshimu; stahi; tukuza. veneration venerable,noun,heshima veneral disease,noun,ugonjwa wa zinaa vengeance,noun,"kisasi. take ~, lipiza kisasi. with a~, (collog.) kwa nguvu; sana. vengeful" vengeance,adjective,-a kutaka kulipa kisasi venom,noun,"sumu ya nyoka, mdudu, etc; chuki. -ous adj. -a sumu; -a chuki" vent,noun,"tundu. give ~ to, toa dukuduku. He gave ~ to his anger, alitoa dukuduku la hasira yake" vent,verb transitive,toa nje ventilate,verb transitive,pitisha hewa safi; burudisha kwa hewa; enea; tangaza. ventilation ventilate,noun,hewa safi ventilator,noun,tundu au chombo cha kupitishia hewa ventricle,noun,ventrikali: mojawapo ya chemba mbili za chini katika moyo ventriloquist,noun,mtu awezaye kutoa sauti kama kwamba inatoka kwa mtu mwingine mbali kidogo venture,noun,jambo la hatari venture,verb transitive/intransitive,jaribu; thubutu Venus,noun,Zuhura: sayari ya pili kutoka kwenye jua iliyopo baina ya Mirihi na dunia veracious,adjective,-a kusema kweli. veracity veracious,noun,kweli veranda (h),noun,baraza; varanda; roshani verb,noun,kitenzi. auxiliary ~ kitenzi saidizi verdict,noun,hukumu; uamuzi verge,noun,"ukingo; mwisho; mpaka. be on the ~ of, karibu" verge,verb intransitive,karibia; pakana na verify,verb transitive,hakikisha; thibitisha. verifiable verify,adjective,-a kuthibitishika. verification verify,noun,uthibitisho; hakika vermin,noun,"wanyama au wadudu waharibifu. -ous adj. haribifu; -enye chawa, utitiri, etc" vernacular,noun,"lugha ya kienyeji; lahaja. in the ~, kwa lahaja ya kienyeji" vernacular,adjective,-a lahaja versatile,adjective,hodari na -enye kupendelea mambo mbalimbali. versatility versatile,noun,uhodari katika mambo anuwai verse,noun,"ushairi; aya; ubeti. give chapter and ~ for, toa kumbukumbu halisi. versification" verse,noun,ushairishaji version,noun,tafsiri; masimulizi; habari kama ilivyotolewa na mtu versus,preposition,dhidi ya vertebra,noun,vetabra: moja ya mifupa ya uti wa mgongo wa mnyama. ~l column vertebra,noun,safu vetabra: safu ya mifupa ya uti wa mgongo wa mnyama vertex,noun,nukta ambapo mistari miwili au kingo mbili vertical,adjective,a wima very,adverb,sana; kabisa very,adjective,"halisi; hasa; kweli; -enyewe. in this place, hapa hasa. The thing I wanted, kitu chenyewe hasa nilichotaka" vessel,noun,"chombo, blood ~, mshipa wa damu" vest,noun,fulana; kizibao vestment,noun,vazi; vazi la kasisi vestry,noun,chumba cha kuvaalia nguo kanisani; baraza la waumini vet,noun,(colloq.) mganga wa mifugo vet,verb transitive,(-tt) (colloq.) pima afya; chunguza kwa makini veterinary,adjective,"a kuhusu elimu va maradhi ya wanyama. a ~ surgeon, daktari wa wanyama" veto,noun,(-es) kura ya turufu veto,verb transitive,kataza; zuia vex,verb transitive,"chokoza; taabisha; udhi. a ~ed question, suala lenye kuleta mabishano mengi" via,preposition,kupitia; kwa njia ya; kupitia viable,adjective,a kukimudu; enye uwezo wa kumea; kuzaliwa na kuendelea kuishi viaduct,noun,daraja refu livukalo bonde au korongo vibrate,verb intransitive/transitive,tikisika; tikisa; yumbayumba; tetemeka vibration,noun,mtikisiko; mtetemo vibrator,noun,kitingishi vicar,noun,kasisi wa usharika vice versa,adverb,"kinyume chake. I hate him and ~, namchukia naye anichukia" vice²,noun,jiliwa ya seremala vice¹,noun,uovu vicinity,noun,ujirani; kuwa karibu vicious,adjective,ovu victim,noun,"mhanga; kafara; mwathiriwa na jambo baya. He is the ~ of the tradesman's greed, anaathirika kwa choyo cha mnunuzi" victor,noun,mshindi video,noun,video; chombo cha kunasia picha na sauti hai vie,verb intransitive,"with, shindana na" view,noun,"1. upeo wa macho; kuangalia; kutazama. be in ~, come into ~, onekana or nayoonyeshwa wazi. 2. sura; mandhari. a house with a ~, nyumba iliyojengwa penye mandhari nzuri. 3. maoni; shauri; rai. or ~, kwa kuzingatia. a. kusudio. fall in with s.b.'s ~s, kubaliana na. with a ~ to, ili; kwa nia ya. I came with a ~ to see him, nilikuja ili nimwone. I came with a ~ to settling down, nilikuja kwa nia ya makazi" view,verb transitive,tazama; angalia; kagua vigil,noun,kesha; ukeshaji vigour,noun,nguvu; bidii; juhudi. vigorous vigour,adjective,hodari; nguvu; a juhudi vile,adjective,ovu; potovu; baya; sana vilify,verb transitive,singizia; kashifu; seng'ena; tukana villa,noun,nyumba (ya shamba) yenye bustani kubwa village,noun,kijiji; kitongoji villain,noun,mwovu; mhalifu villus,noun,vidoletumbo: namna ya vijidole katika tabaka ya ndani ya utumbo mdogo vindicate,verb transitive,thibitisha vindication,noun,uthibitisho vindictive,adjective,-a kutaka kulipiza kisasi; sisamehe vine,noun,mzabibu vinegar,noun,siki violent,adjective,a nguvu nyingi; kali sana. violence violent,noun,nguvu; jeuri; vurugu violet,noun,urujuani violet,adjective,-a rangi ya urujuani violin,noun,fidla virgin,noun,bikira; mwanamwali virgin,adjective,safi; siyoguswa; ~ asili: forest msitu usiopata kuguswa virile,adjective,-a kidume; -enye nguvu za kiume. virility virile,noun,nguvu za uume za uzazi virtual,adjective,"-a kweli lakini si bayana. He is the ~ head, yeye ndiye kiongozi (ingawa si wa dhahiri)" virtue,noun,"wema; maadili; ubora. by (in) ~ of, kwa sababu; kwa ajili ya. virtuous" virtue,adjective,-ema; adilifu (kwa wanawake) safi; -ilo bora virus,noun,"kirusi; kiumbe hai ambacho hakijafikia ngazi ya seli ambacho huweza kuzaliana kinapo-ishi kwenye kiumbe hai kingine, kwa kawaida husababisha maradhi" visa,noun,viza visa,verb transitive,pa viza viscosity,noun,mnato: mwelekeo wa mmiminiko wenye kunata au kumwagika taratibu sana visible,adjective,-a kuonekana wazi vision,noun,uwezo wa kuona au kuwazi; busara; njozi; ndoto visit,noun,matembezi; ziara. state ~ ziara ya kiserikali visit,verb transitive/intransitive,zuru; tembelea vista,noun,mandhari; taswira. (fig.) mfululizo wa taswira katika mawazo visual,adjective,-a kuona; -a macho vital,adjective,-uhai; -a lazima kwa uzima; muhimu sana vitamin,noun,"vitamini. ~ D," vitiate,verb transitive,haribu; punguza nguvu; dhoofisha vivacious,adjective,changamfu; a furaha; cheshe; enye bashasha. vivacity vivacious,noun,uchanagufu; ukunajufu; ucheshi; bashasha vivid,adjective,(kwa rangi) ng'avu; (kwa maelezo) dhahiri; wazi viviparous,adjective,"a kuzaa watoto, si mayai" viz,adverb,(husomeka namely) yaani; ndo kusema vocabulary,noun,msamiati; maneno vocal,adjective,a sauti vocation,noun,1. wito 2. kazi; shughuli; utaalamu; amali; ufundi. 3. uwezo; welekevu; moyo vodka,noun,vodka; aina ya pombe kali ya Kirusi vogue,noun,mtindo; fashini. be in ~ -wa katika fashini voice,noun,sauti; (gram.) kauli ya kutenda au kutendewa voice,verb transitive,sema; eleza; tamka void,noun,uwazi; upeweke void,adjective,"tupu; wazi; pasipo mtu; of, bila; siokuwa na. (law) null and ~, batili" volatile,adjective,"kitu, fushi- a kigeuka mvuke; (kwa mtu) -epesi kubadilika; -changamfu" volcano,noun,(-es) volkano. volcanic volcano,adjective,a volkano volley,noun,"mshindo wa silaha nyingi za moto zikipigwa pamoja; mfululizo wa matukio. a - of abuse, mfululizo wa matusi" volt,noun,volti: kizio cha nguvu za umeme volume,noun,1. juzuu. 2. ukubwa; wingi. 3. nafasi; uyazo. 4. nguvu ya sauti. voluminous volume,adjective,kubwa; (kwa mwandishi) enye kuandika kazi nyingi voluntary,adjective,a hiari; a kujitolea volunteer,noun,valantia: askari wa kujitolea; mtu ajitoleaye volunteer,verb transitive/intransitive,toa kwa hiari; jitolea vomit,noun,matapishi; matapiko. v.t/i. tapika vote,noun,kura; kasma ya matumizi ya fedha. v.t/i. piga kura; chagua vowel,noun,"irabu; vokali. back ~, irabu nyuma. front ~, irabu mbele" vulcanization,noun,uvulkanishi: mchakato wa kuufanya mpira asilia uwe mgumu zaidi kwa kuukana na salfa vulgar,adjective,-sio na adabu ~ity vulgar,noun,ukosefu wa adabu; usafihi vulnerable,adjective,enye kuwezà kuudhuriwa vulture,noun,tai vulva,noun,njini oculist,noun,daktari wa macho wad,noun,fusho: kitu chochote laini cha kutenganishia vitu ili visitikisike na kugongana; kibunda cha noti waddle,noun,mwendo wa bata waddle,verb intransitive,tagaa; enda kama bata wade,verb intransitive,"enda kwa shida majini, matopeni au mchanga" waders,noun,gambuti: viatu virefu vinavyofika magotini wadi,noun,bondejangwa: bonde kame ambalo hupitiwa na mto katikati yake wakati wa majira ya mvua wading bird,noun,"ndege atembeaye majini. -in, shambulio kwa nguvu" combination,noun,uunganishaji; muungano; mchanganyiko; uchanganyaji; watu wanaoshirikiana katika shughuli moja waft,verb transitive,peperusha wag,noun,mtikisiko wag,verb transitive/intransitive,"(-gg-) tikisa. -one's finger at sb, onyesha kidole" wage²,verb transitive,pigana; fanya vita wage¹,noun,"mshahara; ujira. minimum ~, kima cha chini cha mshahara" wagon,noun,mkokoteni: gari la kukokotwa na farasi au ng'ombe waif,noun,"msokwao (hasa mtoto). -s and strays, watoto wa mitaani" wail,noun,maombolezo wail,verb intransitive,omboleza; lia kwa huzuni waist,noun,kiuno wait,noun,ungojeaji; muda wa kungojea wait,verb transitive/intransitive,"ngoja; ngojea; subiri. -upon sb, ngojea; tumikia. lie in - for, vizia. -on sb, hand and foot, kidhi haja zote. -ing list orodha ya wanaosubiri. -ing room chumba cha wanaosubiri. -er, -ress n. mhudumu" waive,verb transitive,"samehe (deni, etc)" walk,noun,"matembezi; namna ya kutembea; njia. -of life, weledi; kazi katika maisha" walk,verb intransitive/transitive,"enda kwa miguu; tembea. -off with, iba. -away with, shinda bila taabu. -over n. (colloq.) ushindi rahisi" wall,noun,"ukuta; kiambaza. with one's back to the ~, meko kubanwa sana; kwa kuzingirwa. go to the ~, shindwa kabisa. -paper, karatasi za kupambia ukutani" wall,verb transitive,"-up, zungushia ukuta" wallet,noun,pochi wander,noun,zurura; zunguka. -er n. mzururaji wane,verb intransitive,pungua; fifia; legea want,verb transitive,"taka; hitaji; tamani. be-ing, pungukiwa na. a few pages of this book are ~ing, kurasa nyingi za kitabu hiki zimepungua. He is -ing in courtesy, hana adabu. -for nothing, jitosheleza kwa kila kitu. -ing" want,preposition,bila war,noun,"vita. You have been in the -s, (colloq.) umemumizwa vitani. -at, katika hali ya vita. -head, kichwa cha kombora. -rior n. askari mpiganaji. -y adj. mgomvi" ward,noun,"1. mtoto wa kulea. 2. keep watch and -, linda; hifadhi. 3. kata: mtaa wa mji. 4. wadi" ward,verb transitive,"-off, kinga; epusha; kwepa. -en n. msimamizi; mlinzi. -er, -ress n. askari magereza wa kiume, wa kike" wardrobe,noun,chumba au kabati la kuweka nguo warehouse,noun,ghala; bohari warm,adjective,"a uvuguvugu. make things ~ for sb, adhibu fulani; letea matatizo" warm,verb transitive/intransitive,"-up, pasha; pata moto. -blooded adj. a damu moto. -hearted adj. ema; mkujufu. -ly adv. kwa moyo mkujufu. -th n. joto. (fig) hasira; shauku" warrant,noun,1. haki; sababu. 2. kibali; waranti wash,noun,josho; uoshaji wash,verb transitive/intransitive,"1. osha; oga; fua nguo; safisha kwa maji; nawa. 2. fulika bila kuharibika. 3. (kwa bahari mto, etc.) pita. -er n. mashine ya kufulia nguo. -erman n. dobi. -out n. sehemu iliyobomolewa na mafuriko" wasp,noun,zinengo; nyigu; uvi wastage,noun,hasara; uharibifu; takataka waste,noun,ufuaji; takataka; jangwa waste,adjective,1.- sifofa; a jangwa. 2. -a takataka; ovyo waste,verb transitive/intransitive,1. tumia vibaya; fuja. 2. dhoofisha; dhoofika; lika; chaka. ~ product uchafu; mabaki; takataka watch,noun,ulinzi; lindo watch,verb transitive/intransitive,1. tazama; angalia; chunga; linda. over; tunza; linda; kesha. keep ; kuwa zamuni. 2. saa ya mfukoni au mkononi water,noun,"maji. fresh - maji matamu. salt - maji chumvi. under - liojaa maji. get into (be in) hot pata matatizo. throw cold on -, jaribu. hold - thibitisha. high and low - maji kujaa na kupwa. (fig) be in low - kuwa maskini" water,verb transitive/intransitive,"mwagilia maji. my eyes - machozi yanitoka. my mouth -s, natoka mate. (fig.) - sth. down, zimua" watt,noun,wati: kipimo cha umeme wattle,noun,"utifo. -and doub hut, kibanda cha fito kilichokandikwa; nyumba ya mbao za mbwa" wave,noun,wimbi; ongezeko. v.i/t. punga; tikisa; tikisika wax,noun,nta way,noun,"1. njia; barabara. 2. upande; welekeo. Look this tazama upande huu. the wrong round, kuelekea upande sio. 3. mwendo; masafa. We're a long from home, tuko mbali na nyumbani. 4. njia; mbinu; mkakati. the to do it, njia ya kufanya. do in this , ifanye namna hii. ~side n./adj.(a) kando ya njia" wayward,adjective,kaidi weak,adjective,"1. sio na nguvu. 2. -enye maji mengi; si kali; -epesi. 3. (kwa maarifa) pungufu; chini ya kiwango cha kawaida. I have - sight, sioni vyema. ~acid," wealth,noun,utajiri; ukwasi wean,verb transitive,achisha mtoto maziwa ya mama weapon,noun,silaha wear,noun,"kuvaa; vazi; uchakavu. v.t/i. (wore, worn) 1. vaa; valia. 2. dumu; stahamili. 3. chaka; chakaza; off, pita; isha; pungua. - on, (kwa wakati) pita polepole; potea. ~a kushosha" weather,noun,hali ya hewa What sort of -? umekuwaje? v.t/i. 1. pona; pita; epuka. 2. nyauka. beaten weather,adjective,lioathiriwa na hali ya hewa weave,noun,mtindo wa ufumaji weave,verb transitive,"(wove, woven) fuma; suka; (fig.) tunga; buni; sanifu" web,noun,"1. kilichofumwa; mfumo. (fig.) a - of lies, utungo wa uwongo. 2. utando (wa buibui). 3. utando wa ngozi kati ya vidole" wed,noun,harusi; ndoa wedge,noun,"kabari. the thin end of the -, jambo dogo linalozaa jambo kubwa" wedge,verb transitive,kaza kwa kabari Wednesday,noun,Jumatano weed,noun,"gugu; majani. -killer, kiua magugu v.t/i. palia magugu. -out, ondoa vitu hafifu visivyofaa kitu" week,noun,wiki; juma. ~ly adj/adv. kwa juma week,noun,gazeti litolewalo kila wiki weir,noun,boma la kuzuia maji; kikinga mto; mgono; mtego wa samaki comprehensible,adjective,a kufahamika; a kueleweka welcome,noun,mapokezi; makaribisho welcome,adjective,"a- kupokewa kwa furaha; a- kuruharisha You are to use my books, nakuruhusu kutumia vitabu vyangu" welcome,verb transitive,"karibisha vizuri; pokea kwa furaha. your suggestion, nakubali pendekezo lako kwa furaha" weld,verb transitive,lehemu; lihimu welfare,noun,"hali njema; ustawi; neema; afya. social "" ustawi wa jamii" well,noun,kisima; chumba cha lifti au ngazi katika jengo. v.i well,noun,hali njema; afya; raha; ustawi well?,adjective,"(better, best) 1. heri; afadhali; bora. it would be - to, afadhali - and good, vyema" well?,adverb,"vyema; barabara; vizuri. as -, as, pamoja na. be ~ out of sth, jitoa katika jambo bila matatizo. 2. haki. You may be surprised, una haki ya kushangaa. We may as be begin now, tunaweza kuanza sasa hivi. wish sb. ~, takia mtu heri. Let alone, usingilie. int. je? nini tena?" wellingtons,noun,viatu virefu vya mpira wesleyan,adjective,a ufuasi wa madhehebu ya kikristo ya kiprotestanti yaliyoanzishwa na J. Wesley wet,adjective,majimaji; chapa-chapa wet,verb transitive,(-tt) rowesha whale,noun,nyangumi; aina ya mamalia mkubwa kuliko wote aishiye baharini wharf,noun,"(~s, wharves) gati" wheat,noun,ngano wheel,noun,gurudumu; (katika meli) usukani when,adverb,"(inter.) lini? wakati gani? (rel.) po- ambapo. I went, nilipokwenda. I go, niendapo" where,adverb,"(inter.) wapi? mahali gani? (rel.) ambapo, -ko, -mo. We must go ~ we can get food, lazima twende ambako tutapata chakula" whether,conjunction,"kama. you like or no, ukipenda usipende" while,noun,wakati; muda while,conjunction,"wakati. he goes he sings, aimba akienda. once in a ~, mara moja moja. be worth ~, faa. v.t" whine,noun,mlio wa mbwa anayevogopa; kilio. v.t/i. lala kama mbwa anayevogopa; lalamika whip,noun,"mjeledi; kiboko; mchapao. have the ~ hand over sb., dhibiti; tawala. v.t/i. 1. chapa piga mjeledi. 2. piga mayai kwa mchapo" whirl,noun,mzunguko wa kasi. v.t/i. 1. zungusha; zunguka kwa nguvu. 2. ona kizunguzungu whisk,noun,1. brashi ya kupangusia nguo. 2. mchapo wa mayai; mjeledi. v.t/i. pangusa upesi; twua upesi; punga mkia hewani whisker,noun,sharafa; ndevu za mashavuni; sharubu za paka whisky,noun,pombe kali; wiski whisper,noun,mnong'ono; uvumi whisper,verb intransitive,nong'ona whistle,noun,1. mluzi; ubinja. 2. filimbi; kipenga whistle,verb intransitive,"piga mbinja, kipenga. v.t" white,noun,weupe; ute wa yai; mzungu white,adjective,"-eupe. • blood cell selidamu nyeupe: seli ya damu isiyo na maunzi ya rangi nyekundu, kazi yake kubwa ni kupigana na chembechembe za maradhi. - dwarf, - lie, uwongo usiodhuru. - hair, mvi" whitsun,noun,sikukuu ya Pentekoste whittle,verb transitive/intransitive,chonga; kata vipande vyembamba. (fig.) punguza kidogokidogo who,pronoun,"(whom whose) (inter.) nani? (rel.) amba (-o, -ye). The man ~ came was very tall mtu aliyekuja alikuwa mrefu sana. the men - I saw, watu niliowaona the man -se book I am reading mtu ambaye kitabu chake ninakisoma" whoever,pronoun,yeyote; -o; -ote whole,noun,kitu kizima; jumla whole,adjective,"1. ote. the - truth, kweli yote. He devoted his ~ energies to his task, alitumia nguvu zake zote katika kazi yake. 2. -zima. He escaped aliokoka bila ya kudhurika. There's not a - plate in the house, hamna sahani nzima nyumbani. 3. -zima: kamili. Rain fell for three - days, mvua ilinyesha siku tatu nzima. a - number, namba nzima. on the - kwa jumla; kwa kuzingatia yote. -hearted (ly) adj./adv. kamili; -zima; kwa moyo mkunjufu. -sale n. jumla" wholly,adverb,kabisa why,adverb,"kwa nini? kwa sababu gani? the ~s and the wherefores, kisa na mkasa" wick,noun,utambi; ujali wa taa wicked,adjective,-ovu; baya; habithi wicker,noun,fito (henzerani; tete) zilizoshukwa wicket,noun,"1. (vilevile ~door, ~gate) kilango; kidirisha cha kuuza tiketi 2. (katika mchezo wa kriketi) vijiti vitatu vilindwavyo na mshika beti. take a ~, shinda mshika beti" wide,adjective,"1. pana. 2. a kutapakaa; ingi. a man with ~ knowledge, mtu mwenye maarifa katika nyanja nyingi. 3. a kukosa shabaha" wide,adverb,1. sana; kwa kiasi kikubwa. searchi. tanua; tanuka; nanuka; eneza widow,noun,mfiwa na mume; kizuka. -er n. mfiwa na mke; mjane width,noun,upana wield,verb transitive,"shika na kutumia (fig.) - power, shika madaraka" wife,noun,(wives) mke wig,noun,wigi; nywele bandia wild,adjective,1. (kwa wanyama) a mwituni; sifugwa; (kwa mimea) a porini; a kujitoa wenyewe. 2. (kwa mahali) a jangwa; siokaliwa na watu. 3. a nguvu; -a tufani will²,verb transitive,"(~ed) taka. Let him do what he ~ mwache afanye kama atakavyo, would that, laiti" will³,noun,"hiari; ridhaa. free ~ hiari; akili. He always has his ~ daima ana hiari yake. bear sb. good ~ takia mtu heri. last and testament, wosia" win,verb transitive,(won) shinda; faulu winch,noun,winchi wind,noun,"1. upepo. be in the ~ eleweka baada ya kufichwa. See blow the blows, sikia maoni ya watu kuhusu jambo; take the ~ out of sb.'s sails wahi mtu; katiza maslahi yake ghafla. 2. pumzi. 3. harufu; fununu. get ~ of, (fig.) sikia habari za. 4. riah; nihi; gesi ya tumboni; shuzi. 5. upuuzivi" wind,verb transitive,1. kosesha pumzi. 2. pumzisha. 3. nukiliza; gundua kitu kwa harufu windlass,noun,winchi window,noun,dirisha. ~box sanduku la kuoteshea maua dirishani wind²,verb transitive,(wound) 1. pindika; zunguka; zungusha. 2. kunja; sokota wine,noun,"mvinyo; divai. new ~ in old bottles mambo mapya yasiyoweza kuzuilika. grower, mlimaaji zabibu za kutengenezea divai. palm ~ tembo la mnazi" wing,noun,"1. bawa; ubawa. be on the ~, ruka; puruka. under sb.'s ~ chini ya himaya ya mtu. 2. sehemu ya nyumba. 3. (katika kandanda) wingi; mchezaji wa pembeni" winter,noun,majira ya baridi kali; kipupwe winter,verb intransitive,kaa majira ya baridi wintry,adjective,-a baridi kali wipe,verb transitive,"1. safisha kwa kufuta; pangusa; futa. 2. - off, futa" wire,noun,1. waya. 2. (colloq.) simu ya upepo wire,verb transitive/intransitive,1. funga kwa waya. 2. funga nyaya za umeme. 3. piga simu. wiry wire,adjective,embamba na shupavu wisdom,noun,1. hekima; busara. 2. methali; semi; maadili wise,adjective,a. hekima wish,noun,matamanio; matakwa; mapenzi wish,verb transitive/intransitive,"1. tamani 2. taka 3. penda sb. a pleasant journey, takia safari njema" wit,noun,1. akili. 2. mwerevu witch,noun,mchawi mwanamke with,preposition,"na; kwa. He went with his father, alienda na baba yake. Cut it ~ a knife, ikate kwa kisu. He was beaten ~ stick, alipigwa kwa fimbo. together, pamoja na" wither,verb intransitive/transitive,"1. fa; dhooful; fifisha; nyauka; nyauka. 2. fadhaliasha. She gave him -ing glance, alimtu pia jicho la kufadhaisha" withhold,verb transitive,(withheld) nyima; katalia; zuia within,adverb,ndani within,preposition,"ndani ya; chini ya; karibu. - an hour, haipati saa" without,preposition,"pasipo; bila. I have arrived ~ my baggage, nimefika bila mizigo yangu; He tried ~ success alijaribu bila mafanikio" without,adverb,(la zamani) nje withstand,verb transitive,(withstood) himili witness,noun,shahidi; usahidi witness,verb transitive/intransitive,shuhudia; thibitisha wittingly,adverb,makusudi; kwa kujua wizard,noun,mchawi woe,noun,majonzi; huzuni; masikitiko wolf,noun,"(wolves) mbwa mwitu. keep the ~ from the door, weza kujikimu. - cry, kilio cha uwongo. v.t (collog.) la kwa pupa" woman,noun,(women) mwanamke womb,noun,tumbo la uzazi; uterasi wonder,noun,"ajabu; mshangao; vi. staajabu; shangaa; jiuliza. Do you I refused? unastaajabu kwa kuwa nilikataa? I - who he is, sijui hata ni nani. I - wether he'll come, najiuliza iwapo atakuja. ~ful adj a kustajabisha" wondrous,adjective,-a ajabu wood,noun,"ubao; mbao; msitu. be out of the ~, okoka; toka hatarini" wool,noun,manyoya; sufu; sufi word,noun,"neno; habari; kauli; ahadi. have ~s with sb, gombana na mtu; sema na mtu by/of mouth, kwa habari za mdomo. take sb at his ~, amini kauli ya mtu. Send me ~ tomorrow, nijulishe kesho. break one's ~, vunja ahadi. be as good as one's ~, timiza ahadi" word,verb transitive,eleza kwa maneno work,noun,"kazi; ajira; shuguli; sanaa; vifaa vya kazi; mitambo. She took her ~ into the garden, alichukua vifaa vyake hadi bustanini. the ~ of silversmiths, vitu vya fedha. needle ~, ushonaji; ufumaji. stone ~, uashi. wood ~, useremala. the ~s of Shakespeare, maandiko ya Shakespeare. the ~s of a clock, mitambo ya saa. public ~s, huduma za jamii. v.i.t. (~ed) 1. fanya, tenda kazi. 2. (kwa mashine) tenda kazi iliyokusudiwa. 3. faulu; fanikiwa. 4. tendesha kazi. 5. legea. The screw has ~ loose, skrubu imelegea. They ~ their way forward, waliendelea polepole, into, ingiza; changanya. - a few jokes into a speech, tia mzaha kidogo katika hotuba. ~ umbua; tunda; finyanga" world,noun,"dunia; ulimwengu. a man of the ~, mtu mwenye maarifa ya dunia. the old ~, Ulaya, Asia, na Afrika. the new ~, Amerika" worm,noun,"funza; mnyoo. earth ~, nyungunyungu; nyungwi-nyungwi. v.t" worry,noun,wasiwasi; wahaka; usumbufu worry,verb transitive/intransitive,1. udhi; sumbua; hangaisha. 2. jisumbua; hangaika. 3. (kwa mbwa) rarua; ng'ata worship,noun,ibada; sala; heshima kuu worship,verb transitive/intransitive,abudu worth,noun,thamani worth,adjective,"1. -enye thamani 2. stahili. The book is well reading, kitabu hiki chastahili kusomwa. be ~ it, be ~ while, faa" worthless,adjective,bure; ghali; -sio na thamani. ~while adj. a kufaa; a maana. ~y adj. a kustahili. ~ily adv. kwa thamani wound,noun,jeraha; kidonda; uchungu wound,verb transitive,jeruhi; tia uchungu wrap,noun,shali; nguo ya kujifunikia wrap,verb transitive/intransitive,"(~pp~) (engine ~ up) kunja; funika. be ~ ped up in, fungwa; funikwa" wreck,noun,kuvunjika (hasa ya merikebu); merikebu iliyoza-ma wrench,verb transitive,sokota; vuta kwa ghafla; maumivu makali wrench,noun,mshituko; teguo; maumivu; uchungu wrestle,noun,mweleka; mwereka wrestle,verb transitive/intransitive,pigana mieleka (fig. (with) shindana na wretch,noun,maskini; mnyonge; fukara; bazazi; mhuni wring,verb transitive,(wrung) songoa; popotoa; kamua (fig) toza kwa nguvu wrinkle,noun,1. kuvanya; mkunjo. 2. (colloq.) kidokezi; shauri la manufaa wrist,noun,kifundo cha mkono writ,noun,"hati. holy ~, maandiko matakatifu" write,verb transitive/intransitive,(wrote written) andika writhe,verb intransitive,jinyonga; gaagaa wrong,noun,kosa; ulaya; dhambi; ubaya wrong,adjective,"si kweli; si sahihi; si poa; potoka. be in the ~, kosa. put sb. in the ~, fanya mtu aonekane mkosa" wrong,verb transitive,tenda mabaya; onea; dhulumu wry,adjective,"a upande. make a ~ face, a ~ smile, tabasamu la kulazimisha" x-mas,noun,ufupisho wa christmas: sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo x-ray,verb transitive,piga picha ya eksrei xenon,noun,zenoni: gesi adimu isiyo na rangi wala harufu xylem,noun,zailemu: tishu yenye seli mfano wa bomba na kuta nene zinazosafirisha maji na madini katika mmea yacht,noun,yoti: boti dogo jepesi la mashindano yam,noun,kiazi kikuu yard,noun,yadi: kipimo cha urefu sawa na mita 0.914. ~stick kigezo yard²,noun,"ua; uwanja. work ~ kiwanda; karakana. brick ~, kiwanda cha matufali" yarn,noun,"nyuzi zilizososokotwa; kitani. (colloq.) hadithi. spin a ~, simulia hadithi" yawn,noun,mwayo yawn,verb intransitive,piga mwayo year,noun,"mwaka. - in ~ out, mwaka baada ya mwaka. all the ~ round, mwaka mzima. ~ly adj/adv. -a kila mwaka; kwa kila mwaka. - long ~ mwaka mzima mfululizo. the academic ~: mwaka wa masomo. the fiscal ~: mwaka wa fedha" yeast,noun,"hamira: viumbe vyenye seli moja vinavyotokeza zaimasi, yaani kimeng'enya kinachogeuza sukari kuwa alkoholi na dioksidi kaboni" yell,noun,ukelele yell,verb intransitive,piga yowe yield,noun,"mavuno; mapato; chumo. v.t/i. zaa; shindwa. This land doesn't give good ~, ardhi hii haitoi mazao mengi. Although his enemy was tough he did not ~, ingawa adui yake alikuwa mwenye nguvu lakini hakukubali kushindwa" yoke,noun,nira yolk,noun,kiiniyai: dutu ya protini kwenye ova ambayo hulisha kiinitete you,pronoun,wewe; (pl.) ninyi. ~s pron./adj. -ako; -enu young,adjective,"changa; dogo. -ster n. mtoto. and old, vijana kwa wazee" youth,noun,"ujana; vijana. the ~ of Zanzibar, vijana wa Zanzibar" yule,noun,(vilevile ~tide) Sikukuu ya Krismasi zeal,noun,juhudi; bidii; ari zebra,noun,punda milia. crossing alama ya milia ya kuvuka barabara kwa waendao kwa miguu zebu,noun,ng'ombe mwenye nundu zenith,noun,"anga; (fig) upeo, ustawi" zero,noun,"sifuri, tarakimu hii (0); ziro. hour: saa ya kuanza mashambulizi. - in, elekeza mawazo kwenye" zest,noun,bidii; shauku kubwa zigzag,noun,zigizaga; a kupindapinda zinc,noun,zinki: aina ya madini meupe zodiac,noun,"maeneo ya jua, mwezi na sayari nyinginezo zilizogawiwa na wanajimu katika alama thenashara ambazo huitwa nyota za unajimu" zone,noun,"zoni; ukanda; eneo maalumu. of influence, eneoathari: eneo ambalo kiumbe kimoja kinaweza kukiathiri kingine. tropical ~, ukanda wa joto. eastern ~, ukanda wa Mashariki" zoo,noun,zuu: mahali wafugwapo wanyama pori zygote,noun,kiumbe kichanga: seli iliyoumbika kwa muungano wa gameti mbili dv): kwa busara,, dv): kwa busara,,